Wakati unaomba mchungaji na mimi nilikua naendelea kuomba ghafla kinywa changu kilikua kinashindwa kutamka sawasawa mithili ya kigugumizi. This was a new experience in my prayers. Praise the lord
@victorymwasa53562 жыл бұрын
Namshukuru Mungu Sana kupitia kukusikiliza mtumishi kwa ya kwanza nikajazwa na nguvu za Mungu nikanena Zaid ya SAA moja na nilikua najaribu siku za nyuma sifanikiwi Ila sikukata tamaa hatimae Yesu Nami amenikumbuka imekua siku ya furaha Sana kwa kwangu
@catherinekisandu14922 жыл бұрын
Nilkuwa nikipat msukumo wa kuomba sana usiku lakin naishiw maneno ...moyo wangu haukuwah kuwa na confortability hat siku moja, siku niliposkia hili somo kwa mara ya kwanza nilinena kwa lugha lakin nikaogop sana ad nkatoka kwenye uwep..😔....baad ya hapo nilisikia mzigo mzito san ndani yangu kias cha kushindwa at kulala,ilipofik kesho yake usiku nilisikiliza tna na nkanena tena kwa bubujiko kubwa san ndani yangu... namshukuru Mungu kwa ajili yako mtumishi, Ubarikiwe na uongezeke san,umenifundsh kitu kikubwa kuwa huwez kumtumikia Mungu nje ya kiwango unachomjua...Mungu akuinue sana.
@neckikikoti6256 Жыл бұрын
Hakika Mungu wa mbinguni akubariki sana Mtumishi Nimeongea kwa lugha mpya na ilikuwa shauku yangu ya muda mrefu. Hatimae leo nimejazwa na roho mwema. Mungu akubariki sanaaa. Siku moja nitasimama Juu ya taifa hili. Kila mmoja atajua ukuu wa Mungu
@NeemaElly Жыл бұрын
Utukufu Kwa yesu....sijawahi kunena Kwa lugha mpyaaa lakini Leo nimesikia nguvu yaajabu nikaanza kunena....ubarikiwe mtumishiii wa mungu
@hannamichael8499 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Pastor Sunbella Kyando, nmeshiriki maombi n somo hili la kunena kwa lugha, ninashukuru kwamba nmejazwa upya na roho mtakatifu na baada ya hapo nikaanza kunena kwa lugha mpya, sifa na utukufu ni kwa Mungu pekee
@lovethildah73402 жыл бұрын
🗣He did iiiiiit,, oh gracious Lord,, thank you,, I'm literally shading tears,,, I mean this is something I've been yearning for for years😭 I did the 21 day Daniel fast for it in January, finished, didn't receive him but I still kept the Faith,, who knew he will visit me today?😥 I'm genuinely happy and I can't contain myself,, to be sincere Moyo ulikuwa umeinamaa,, nilikuwa hata Maombi yangu ya saa 6 na 9 yameanza kufifia manake nilikuwa naishiwa maneno ya kusema namaliza,, Asante Mungu kwa huu usaidizi,,, I love you and I'm gonna serve you wholeheartedly 🙇♀️🙏. Thanks too Daddy Bella,,yani sijui furaha yangu niieleze vipi,, siamini, yani hii ni kama ndoto😥,, asante sana Baba,, More grace
@catherinemutasi8340 Жыл бұрын
Amen amen Barikiwa sana ndugu
@mildredmunyekenye56072 жыл бұрын
Asante kwamaombi mtumishi nimejashwa na Roho mtakatifu wakati wa maombi mtumishi alipotamka pokea sasa na mwili wangu ukaanza kutetemeka asante baba mungu akupe maisha marefu katika jina la yesu
@mapishirahisiyavyakulavyak8406 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atubariki sote na hata sisi ambao bado hatujajazwa tusikate tamaa roho Mtakatifu atatujaza mda wowote na tutanena kwa lugha tutaongea na baba yetu wa mbinguni tutatua mizigo yetu mioyoni mwetu hallelujah 🙏
@euniceurio768010 ай бұрын
Niliposikiliza neno na Mtumishi tulivyoanza kusema napokea sasa Roho Mtakatifu maneno yalianza kubadilika na kuwa tatata,sasasa,tititi asante Roho Mtakatifu kwa kunikumbuka.
@AminaKassim-t9yАй бұрын
nimejikuta midomo inacheza bila kunyamaza na siwezi kuzuia asante nilikuiwa natamani sana kunena kwa luga
@epifaniaamasi4862 жыл бұрын
Asante YESU hakika nime experience uwepo wa mungu wakati unaomba pastor kujazwa na Roho Mtakatifu nimeskia baridi hasa kwenye mikono na uliposema tujazwe , nikaanza kucheka(holy laughter) katika uwepo na hakika naamini nimejazwa tena na Roho mtakatifu Asante mtumishi kwa neno na maombi haya
@mr.philipoАй бұрын
Ahsante YESU kwa kumuinua Mtumishi Wako Pastor Kyando hakika ninejazwa na roho Mtakatifu
@magrethmchome2503 Жыл бұрын
Ahsante MUNGU kwa kumtumia mtumishi wako nimeokoka na nimepokea roho mtakatifu...glory to GOD hakika huyu MUNGU ni mzuri❤
@rosemsilu51352 жыл бұрын
Nimempokea roho mtakatifu nimesikia baridi kwenye mgongo wangu. Barikiwa mtumishi wa Mungu.
@epifaniaamasi4862 жыл бұрын
Mm pia kwenye mikono nmeskia baridii
@abuubeleko Жыл бұрын
Asante yesu kwa kunijaza ROHO MTAKATIFU 🙏🙏
@francefabian9369 Жыл бұрын
12/2/2023 siku ya ijumamosi Yaleo Nimejazwa NAROHO MUTAKATIFU Asante Bishop Kwamafunuo haya yakwenye mtandao Mungu Wambinguni Akupe Maisha malefu 💯💯💯 Na utuwekee Namba zako Mimi Niko kigoma sijui wewe unapatikana wapi linguine Nimenena kwamasaa mingi Asante
@Schadrackmbuto3 ай бұрын
I Thank Jesus for real i wes to speak kwa ruga
@nurukomba98032 жыл бұрын
Asante mtumishi nimepokea nguvu za Roho mtakatifu
@LovenessUlomi5 ай бұрын
Jaman jaman , That is real Yan hii video niliisave Sasa nikawa Sina bando nikaja KZbin nikaikuta nikaisikiliza ilikua jion ya saa 1 nikaanza kuomba na mtumishi na nikajazwa kabisa na mpaka leo mwenzenu nanena Kwa lugha nasikia kabisa ndani kuanza kunena ata Kama Niko nimenyamaza bas Namshukuru Mungu na mtumishi aliposema tushuhudie hapa chin nikasema nitashuhudia tu nikiweka bando ,bas Mungu ni mzuri , Ubarikiwe mtumishi wa Mungu .
@LovenessUlomi5 ай бұрын
Na nilikua namuomba Mungu anijaze Sasa Nimejazwa Nakushukuru Bwana Yesu .
@positivemindset86047 ай бұрын
Sifa na Utukufu ni kwake Mungu nimepokea nguvu ya Roho Mtakatifu nimeanza kuomba kwa lugha nikatoka makamasi na mate mfululizo hakika nimesikia nguvu yake ikiniingia Atukuzwe sana Mungu Baba Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu sijawahi kuona nguvu kubwa kama hii natamani sana watu wengi wapate hili neno lina nguvu kubwa ya Mungu Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu na Kanisa la Bwana Amen!
@rensonpatrick5869 Жыл бұрын
I have been admiring to speak in tongues, i want to say thank you pastor to have ushered the holy spirit in me, mwili wangu umetoa jasho kama maji wakati wa maombi. Pray for me pastor
@touma.__.7368 Жыл бұрын
This video is timeless. Asante pastor nimejazwa na roho mtakatifu
@doristindamanyile5612 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu wakati nasilikiliza somo lako la kunena kwa lugha niltamani sana nijazwe na roho mtakatifu. Gafla uliponza kusema pokea nifunikwa na giza maana nikuwa nimefunga macho ulimi ukawa mzito nikaanza kunenena kwa lugha nisiyo ijua. Watoto wangu wakaogopa wakanikatisha. Lakini nilpoendea kukusikiliza mwili ukaanza kutetemeka nikanza kunena kwa lugha tena. Asante sana mtumishi nikuwa natamani sana kujazwa na roho mtakatifu na nimempokea. Ubarikiwe sana kwani mafundisho yako yameniweka kariba sana na mungu. Doris Tindamanyile UK.
@leusianton9536 Жыл бұрын
Ahsante sana sana mtumishi nimemupokea roho mtakatifu, nimeenda sana kwa sababu nilikuwa nikitamani Kumpokea🙏🙏🙏
@lidamudy28422 ай бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi
@NeemaNyota3 ай бұрын
Namshukuru Mungu kuwa kwenye maombi najikuta naogea naneno yasiyo yajuwa namshukuru Mungu.
@LizzieMajf-os9sz8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi..kwa kweli tangia unasali na piga miayo..na hisi kutetemeka .na mkono kama kutetemeka kidogo ..Naaminia nimepokea
@sharletnduku4338Ай бұрын
Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji ndivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku ee mungu, nafsi yangu inakuonea shauku mungu uliye hai.mtumishi wa mungu mungu akupe mafuta zaidi nimekua nikimuomba mungu anijaze kwa roho wake miaka mingi lakini leo nimejazwa nguvu kubwa kwa kishindo imeniingia nikashndwa kujizuia nikakimbilia chooni nikaomba huko mda mrefu bila kujua naongea nni lakini nilihisi uwepo wa mungu umenifunika ahsante na mungu akubariki,
@graciousmedia82352 жыл бұрын
Asante Bwana Yesu Nimepokea Nguvu mpya ya Roho mtakatifu. Mungu naomba uniimarishe zaidi na zaidi
@truthforthelastgenerationt69202 жыл бұрын
Nimepokea lugha mpya kwa Jina la Yesu...asante bwana
@jacklinedeus60682 жыл бұрын
Mungu ni mkuu.nmeingia uwepo na mengi akanifunulia majira haya.Mungu ni mwema.ubarikiwe mtumishi.
@mercylinecharo9912 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe, nmetetemeka tetemeko la ajabu Sana nkashindwa nakujizua gafla nikaongea luga nisioijua.nashukuru
@ayubuthomas7343 Жыл бұрын
Ubarikiwe pastor nimepokea lugha mpya, AMEN
@bahatinyandula6425 Жыл бұрын
Asante mtumishi wa mungu asante kwa kuniongoza sala ya toba niliokoka nikarudi nyuma ila usiku wa leo tarehe 2/8/2023 nimempokea kristo upya naomba msaada wako wa maombi nisirudi nyuma pia naomba unilee kiroho Amen.
@positivemindset86047 ай бұрын
Ukiandika Mungu weka M kubwa hili jina lina heshima kubwa sana ikibidi andika kabisa MUNGU kwa herufi kubwa zote...Ubarikiwe
@alvinmoses7379 Жыл бұрын
I have received immediately after the start of prayer . Glory Be your Name o Lord
@heppy-rk7un3 ай бұрын
Sijui kuomnba nifundishe kujazwa na roho mtakatifu
@BulamboEster3 ай бұрын
Asante yesu
@eveotiato22102 жыл бұрын
Thank you Holy spirit of the Lord, today I've seen you manifest in my life
@bahatinyandula6425 Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe
@norveenpharmacy2092 жыл бұрын
I receive it ubaridi siyo ubaridi kun muda naona kama di kutetemeka kama ganzi na joto, I receive it a man of God our God is greatly
@SerenoJoel Жыл бұрын
Ndio nimepokea roho mtakatifu, nashukuru sana pastor
@emmanuelwith18122 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumish nimejazwa nguvu Za Roho mtakatifu
@ivyangelosborn2 жыл бұрын
I thank Almight for the golden gift actually i have received immediatelly after the start of the prayer Glory be to God . Amen
@alfredmugisa60514 ай бұрын
Asante yesu asante yesu kwakuni jaza roho mtaka tifuu
@anithatairo752 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu napokea roho mtakatifu amen
@vivianngoma925 Жыл бұрын
God bless you… nmepokea roho mtakatifu. I fell down and spoke in tongues
@philibertjosephtv44142 жыл бұрын
Mungu akubaliki mchungaji nimepokea
@INOCENTPHALES3 ай бұрын
Speaking in tone is the gift from the Holly spirit
@sheillahkilangunya8825 Жыл бұрын
Nimepokea roho mtakatifu Na nimenena Kwa luggage mpya asante sana mtumishi was mungu
@epifaniaamasi4862 жыл бұрын
Na naamini nmepokea lugha mpya asante Roho Mtakatifu
@MohamediRajabLikunja11 ай бұрын
Nimepokea roho mtakatifu ubarikiwe mtumishi
@alfredmugisa60514 ай бұрын
Asate sana papa nemesema kwa luga asate mungu asate kwa roho ya bwanaa
@gilbertrutasingwa2384 Жыл бұрын
Hii video nmeiona Leo nikafatria maelekekezo ya pastor kwanza nmesikia nguvu ya kulia lakn baada ya maombi yake nmenena kwa lugha zaidi ya saa Moja kwa kwel MUNGU akubariki sana Pastor
@dismasjoseph59612 жыл бұрын
Amen nimepokea Hali isiyo ya kawaida🙏🙏🙏
@veronicashanel9052 жыл бұрын
asante pastor nmeic mwil kusisimka gafla nkaanza kunena kwa lugha ashukuliwe mungu wa mbinguni
@roseabuyah23663 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana maneno yako kwa KZbin yanafanya kazi nilikua na kiu ya kunena kwa lugha nipotazama clip yako na nikazikiliza vizuri nikapokea roho mtakatifu na nikaanza kunena kwa lugha ambayo ni tititi tatata ubarikiwe sana Pastor Mungu anakutumia kuinua wengine be blessed alot.
@graciousmedia82352 жыл бұрын
Najiunganisha na madhabahu hii na Mungu naomba unijaze roho Mtakatifu