Silazima kufumua nywele zakawaida ila hakikisha maji ya nafika kwenye nguzi yk
@osamashakeeb7194 Жыл бұрын
Shukraan sheikh wangu
@ashamwanganzi64002 ай бұрын
Shukran san shekhe
@ShamsaIsmaily-yq8kg2 ай бұрын
Me naswli kwaushauri wa madaktar wamekataza kuwekituchochot chakemikali ndaniyauke kamasabuni na vingin vipikuhusu iyomiski haidhuru
@SharifaOman-bf1bn Жыл бұрын
Mungu akuhifadhi
@user-jy2dl7xe6z Жыл бұрын
Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?
@NasiathiMlishidi-dk8yx Жыл бұрын
Asante shehk nimejifunza kitu endelea kutufundisha
@user-eq8dd6sl7u2 ай бұрын
Shukran shekhe
@user-vz4sh6nw6b Жыл бұрын
Inshallah tumejifunza mengi
@user-mg9fg6vc9w6 ай бұрын
Sheikh Mbona hizo Nia Hamfundishi??
@candiesalm89956 ай бұрын
Kwan si lazima kunyoa sehem za siri na kukata kucha😢😢
@Maryam-kl6gj Жыл бұрын
Shukreen shekhe
@user-ge6sq2wd2f5 ай бұрын
Shukurani
@user-ro3ld6xo5z Жыл бұрын
Shukran sana ila naswali naomba kuuliza kwamwanamke hatakiwi kuoga kuanzia upande wakulia alafu amalizia na wakushoto mana hapo natatizika wengine walinambia waanza kutawadha alafu uanzekichwa pekeake alafu uje mwilini ambapo ndowaanza naupande wakulia je hilinalo vp? Naomba kufahamu sheikh
@AllySalum-ce3ix Жыл бұрын
Kwanza unatakiwa kutawaza vizr Sehm za Siri, Alafu utashika udhu kama unataka kuswali zen utatia Nia ya kuoga Josho la Nifasi au Hedhi au Janaba, Kuoga kuanzia upande wa kulia zen kufuata kushoto Ni Suna, Lengo kubwa la Kuoga hilo Josho ni Kueneza Maji mwili nzima, Kama umemsikiliza vizr Sheikh akasema kama mwili wako Una mikunjo mikunjo hakikisha unanyanyua hizo Nyama za mikunjo hadi Maji yafike kila Sehm za mwili wako. NB: Kama unaoga Josho la Hedhi au Nifasi hakikisha unafumua Nywele zako kama ulikuwa umesuka
@SalmaCosmas Жыл бұрын
Je kueka dread ni haram pia
@fatmarashid753 Жыл бұрын
Jee kama amesuka nywele zake pia mpka afumue ndio aoge?