GUDLUCK GOZBERT AFUNGUKA SABABU YA KUCHOMA GARI ALIYOPEWA NA GEORDAVIE MUNGU ALINIKATAZA NISIENDESHE

  Рет қаралды 94,816

KUSAGA TV

KUSAGA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 334
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e Күн бұрын
Good inatoshaaaaaaaaaa Jiambatanishe na Mungu wako acha kujielezea ifike mahali itoshee
@Tina-b2b1n
@Tina-b2b1n 6 күн бұрын
Thanks for clearing the air. May God guide you n continue serving Him
@AliCompressors
@AliCompressors 4 сағат бұрын
Mungu akulinde hongera kwa mamuzi yako songa mbele na kazi ya mungu ❤
@JaneMujuni-je8wv
@JaneMujuni-je8wv 7 күн бұрын
Mtumishi naona muda wa kuendelea kuhojiana na watu umetosha,Songa mbele na kazi ya Mungu na zaidi tafuta muda wa kutosha utulie mbele za Mungu,
@SalomeMpota
@SalomeMpota 8 күн бұрын
Pole sana Goodluck YESU AKUSAIDIE
@YunussuHAkizimana
@YunussuHAkizimana 7 күн бұрын
Huyo mungu amekuwangazia mwanga peke yako muwe munaacha usenge
@SalomeMpota
@SalomeMpota 7 күн бұрын
Mwenye F za rohoni hawez elewa haya mwacheni Gozbert
@jescamartin3994
@jescamartin3994 7 күн бұрын
Ukiwa rohoni ndio utamuelewa goodluck hongera sana kijana rudi kwa mungu alie hai atakuponya
@SalomeMpota
@SalomeMpota 7 күн бұрын
@@jescamartin3994 MUNGU SIO mungu
@jastinmkoba
@jastinmkoba 6 күн бұрын
Mimi ni mtumishi wa Mungu wa mbinguni ....sikia godlck Bwana asema ivi simamia ulichokiamua ....usitafute watu wakuoneje au wakuchukiliaje maana nao ni wanadamu tu, songa mbere acha kujielezea sana imeandikwa umenaswa kwa maneno ya kinywa chako....wasije kukunasa kwa maneno yako🙏
@jastinmkoba
@jastinmkoba 6 күн бұрын
Na utakuja kumshukulu baadae
@conradsayi9179
@conradsayi9179 7 күн бұрын
Mungu akulinde, Mungu akuongoze Na pia Mungu akuinue zaidi, Maadui zako wameshindwa.
@John-lp9zk
@John-lp9zk 7 күн бұрын
Goodluck sina neno juu yako ila MUNGU WA MBINGU NA NCHI, AKULINDE NA KUKUTUNZA SANA, nashukuru Mungu kwa hilii Jambo jema alilofanya BWANA
@frankmsangi
@frankmsangi 8 күн бұрын
Pole sana kaka daah Dunia sio mbaya ila watu ndio wabaya😭😭😭👏🙏🙏
@SamwelMtasiwa-t6y
@SamwelMtasiwa-t6y 7 күн бұрын
Pole kaka.. Musa akasema ikiwa uso wako hautaenda nami hatuendi safarini basi tujifunze katka hili
@JestinaMponzi
@JestinaMponzi 3 күн бұрын
Mungu akubariki naakulinde
@aliericchim421
@aliericchim421 7 күн бұрын
You have great spirit and faithfulnes in God.
@rachelbahige2609
@rachelbahige2609 6 күн бұрын
Pole saana ndugu, Mungu akulinde, namiye Mungu anizungumuziye kama wewe,miye tafaataka nyimbo zako saana.
@lazaromwala9498
@lazaromwala9498 8 күн бұрын
Mambo ya kiroho ni ya mtu binafsi na Mungu wake mtu asingilie mambo ya kiroho cha mtu
@GudMpanda
@GudMpanda 7 күн бұрын
Yeye mwenyewe Gozbert ajitafakari maisha yake na ate geneze na Mungu wake
@AgapeCharles-j8e
@AgapeCharles-j8e 3 күн бұрын
Mungu akulinde nakupenda sana
@ShaylinAhingwa
@ShaylinAhingwa 4 күн бұрын
May the lord guide you and show you His ways
@RahelGervas
@RahelGervas 5 күн бұрын
❤nimekupenda Kwa ushuhuda huu nilianza kukuogopa ulipojiunganisha na na Joe dev Ila mungu akubariki karibu geita
@rosesapi6831
@rosesapi6831 6 күн бұрын
Mungu ni mwema sana kwako songs mbele
@CheronoJudith-f7n
@CheronoJudith-f7n 6 күн бұрын
your songs really bless me. may God continue to raise you to another level.
@rafaellnacioadamo6389
@rafaellnacioadamo6389 6 күн бұрын
Mungu akubariki sana. I appreciate your deed.❤
@francoisemashimango8177
@francoisemashimango8177 7 күн бұрын
Umefanya vinzuri sana, Mungu akubariki sana kaka kwa ku unguza iyo gari,
@JULIETAVICTORSHITUPA
@JULIETAVICTORSHITUPA 7 күн бұрын
Ubarikiwe sana ndugu yangu
@otwinakayega9725
@otwinakayega9725 6 күн бұрын
Mungu anakupenda msikilize mungu usisikie maneno angalieni na kuombea zawadi zote mnazopewa wa rohoni tunakuelewa kabisaa
@194summer
@194summer 7 күн бұрын
Uko sawa mtumishi wa Mungu good decision mimi nakuelewa sana,,
@DAVIDNELSONKILUZIA
@DAVIDNELSONKILUZIA 5 күн бұрын
Ulipunguza au kufa kihuduma kibali kweli mpaka nimejia kumbe ilikuwa na jambo Hilo ASANTE YESU Kwa kumpenda gozbert utainuka kuliko jua Kwa JINA la YESU amen
@JustinaCosme-m9p
@JustinaCosme-m9p 2 күн бұрын
Isso mesmo 👍👍👍
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 7 күн бұрын
Watu wana shida kuchoma gari,wanaona gari ni kitu kikuubwa,rohoni si kitu chochote..muulize "Elisha,alitokosa jozi kumi na sita za ng'ombe,na kisha akamfuata Eliya🔥🔥🔥🏹📖💪
@sarahmwasyoge1830
@sarahmwasyoge1830 7 күн бұрын
Si kila kitu cha kupokea kutoka kwa watu hata wakina petro na paulo mtume walikataa baadhi ya vitu kutegemeana na nia ya mtu aliye wapa...biblia inakataza kupokea fedha ya aibu vitu vya aibu!( kuaibisha jina la Yesu kristo). Acha uroho utakufa vibaya! Goodluck amefanya tendo la ujasiri sana namtukuza Yesu kwa ajili yake
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 7 күн бұрын
@sarahmwasyoge1830 😆 Siyo uroho,dunia ya wasanii,bila Yesu ndani,inakuwa hivyo,sasa hivi ndo katoka usingizi wa MAUTI ya kiroho ndiyo maana kacoma gari🔥📖💪
@AugustineSamwel
@AugustineSamwel 7 күн бұрын
Hongera sana mtumish wamungu umerud kwamungu wetu alie hai saiv lazm ufanikiwe
@JustinaCosme-m9p
@JustinaCosme-m9p 2 күн бұрын
Isso é verdade homem de Deus 🙏🙏🙏🙏
@RhodaKibona-w9j
@RhodaKibona-w9j 8 күн бұрын
Mungu atusaidie sana,kwa wakati huu!!!
@AnnaDaniel-lz1wf
@AnnaDaniel-lz1wf 6 күн бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi wa MUNGU nimefurahi sana MUNGU akubariki sana
@AdveraMapera
@AdveraMapera 8 күн бұрын
Rudi kwa mtumishi wa mungu wakweli bishop elibariki sumbe arusha kisongo waya naamini mungu wa bwana wetu yesu kiristo atakufungua
@rehemaanderson832
@rehemaanderson832 8 күн бұрын
Ameeen
@DativaFilimbi
@DativaFilimbi 4 күн бұрын
Napenda nyimbo zako pole sana
@HildaAlen
@HildaAlen 5 күн бұрын
Mungu anakupenda sana songs mbele
@NjileKanuda
@NjileKanuda Күн бұрын
Mungu ni mwema mtumishi
@frankmsangi
@frankmsangi 8 күн бұрын
Unaongea vitu vya msingi sana kaka ubarikiwe sana 🙏🙏💯
@selaphineevalister
@selaphineevalister 7 күн бұрын
Pole sana. Watu wanaogopa miujiza kuliko neno la Mungu. Neno linasema siku za mwisho manabii watakuwa wengi na msiwafuate.
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 7 күн бұрын
Bora ameichoma yule Mzee siyo mtumishi wa kiroho wanaotaka gari pesa nendeni mkachukue mbona mnalalamika Bora ameichoma kuliko angekufa furaha yenu ipi vipofu wa kiroho
@NuruEria
@NuruEria 6 күн бұрын
Mbona umekonda sana au ndomiujiza ya ya nabii mkuu
@JackyMuthoni
@JackyMuthoni 7 күн бұрын
Wooi pole mungu aku-bless naya kwako🙏lkn siyo yakupewa😢
@NyustaFrank
@NyustaFrank 8 күн бұрын
Polee ,
@AtanasiCharlesi
@AtanasiCharlesi 7 күн бұрын
Poleee sana mtumishi wa Mungu
@VeronicaShonyera-fd7ef
@VeronicaShonyera-fd7ef 5 күн бұрын
Damu ya Yesu ikufunike MTUMISHI wa Mungu
@kilalamuhumba4612
@kilalamuhumba4612 5 күн бұрын
Nimekubali leo, wewe ni mtumishi wa Mungu
@asiahsichilima6686
@asiahsichilima6686 4 күн бұрын
Mwanangu asante umeitii sauti ya mungu hutafungwa, maana neno la mungu linasema hakuna hukumu juu yao walio katika yesu kristo tena Kitabu cha NAbii Isaya sura ya54:17 ujumbe huo ukutie nguvu endelea kumtumikia mungu
@theitabagroupcompany998
@theitabagroupcompany998 5 күн бұрын
Munguakuokoe
@penuelypetro109
@penuelypetro109 6 күн бұрын
Kaka Mungu akulinde na akutunze Songa mbele na Huduma Mungu Atakuinua Zaidi
@SylvanusLemi
@SylvanusLemi 7 күн бұрын
Ubarikiwe sana Mimi siku unapewa gari nilisema basi umeisha bahati nzuri inaonekana Mungu anamakusudi na wewe
@WitnesAmos
@WitnesAmos 5 күн бұрын
Songa mbele mtumishi Mungu atakua pamoja nawe
@ngelelanangale6798
@ngelelanangale6798 7 күн бұрын
Bora kula chakula duni cha mtama kisicho cha mwovu. Kuliko kula chakula cha ubora wa kifahari cha mtu wa shetani. Tunakupongeza kijana kwa maamuzi kama ya Danieli
@SalomeMpota
@SalomeMpota 8 күн бұрын
Mimi nakupongeza....sasa nitaanza kusikiliza nyimbo zako
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 7 күн бұрын
Binafsi nakupongeza sana kupata huo utambuzi,,Mungu akujaalie neema zaidi
@SmilingHoneyBadger-mp2uk
@SmilingHoneyBadger-mp2uk 9 сағат бұрын
Mungu aliye kuonyesha hilo pia atakupa mlango wa kutokea
@ErickBenjamini
@ErickBenjamini 7 күн бұрын
Namwelewa zaidi yuko sawa
@AbdalahMaganga-z8l
@AbdalahMaganga-z8l 5 күн бұрын
Mungu nimwema kaka
@williamssempoli2294
@williamssempoli2294 8 күн бұрын
Umepokea mwaliko nawe ukaenda bila kumuuliza Mungu! Hiyo ndiyo hasara ya kwenda kimwili! Anyway, utakua umejifunza jambo hapo.
@TobiasBruno-v1m
@TobiasBruno-v1m 4 күн бұрын
Acha mungu akutendee mwenywe
@CharlesMashenene
@CharlesMashenene 7 күн бұрын
Nakumbka sana nyimbo zako zilivyokuwa zinawagusa watu mbalimbali .Mungu akutumie tena
@DianaDeusdedithpetro
@DianaDeusdedithpetro 7 күн бұрын
pole mwaya ayo ni majaribu rafiki ukiona majaribu ya namna yoyote jua mungu anakupima imani yako na kwo kaka mungu atakuinua mpaka maadui zako washangae endelea kumwamini mungu atakusaidia make vita ya kiroho kubwa mno mungu akulinde mwaya
@ildephoncevicent1568
@ildephoncevicent1568 7 күн бұрын
Uko vizuri lazima usikie sauti ya Mungu
@christianhussein8990
@christianhussein8990 3 күн бұрын
hi or the one you 😊😊😊😊😊😅 19:40 😊😅😊😅😊😊
@ObedMtama-ci7rp
@ObedMtama-ci7rp 6 күн бұрын
Mungu akubariki kaka
@ThedyDoriye-d4f
@ThedyDoriye-d4f 5 күн бұрын
Mwenyez mungu akulinde mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏
@deliveranceandhealing
@deliveranceandhealing 4 күн бұрын
Simama kwenye huduma Mungu aliyokupa kila mtu Mungu alimpa chakwake
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 7 күн бұрын
Huyo Mzee hafai Janani hakuna manabii wa Mungu
@EliaMwaipopo-s6j
@EliaMwaipopo-s6j 5 күн бұрын
Mungu anasema ktk Neno sitafanyanenololote bilakuwajulisha watu wangu jeikuajeuendemahali pasipo sahihi wewe ukiwamtoto wa Mungu chunguza sana mahusiano yako na Mungu yakoje?
@AdveraMapera
@AdveraMapera 8 күн бұрын
Mungu amemtafuta kondoo aliepotea amewaacha tisini natsa akamfuata mmja aliepotea
@elizabethfatuma9053
@elizabethfatuma9053 7 күн бұрын
Amen Baba Mungu Hahendeleye Kuku Linda
@JustinaCosme-m9p
@JustinaCosme-m9p 2 күн бұрын
👍👍👍👍👍👍👍👍🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@kaumbaAndré
@kaumbaAndré 5 күн бұрын
ukona hoor yakuchunguza endelea mpaka vile vile mungu wetu atakupa inhibe Niko ha Congo
@SamNyale-t4t
@SamNyale-t4t 7 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu amekubariki tu kwakuwa anakuona ukiimbia Mungu anafurahia sasa wewe wachoma Gari yeye anakuona kwa tv anakupenda mbona ufanye upumbavu huo aki aswa wewe ukiwa mmoja wasanii mko washerati umefanya upumbavu From Kenya ❤
@NeemaWillson-z5q
@NeemaWillson-z5q 7 күн бұрын
Bora kidogo Cha Hali kuliko kng Cha halam from Tz
@SweetStanford-jo8xj
@SweetStanford-jo8xj 6 күн бұрын
endelea mbele heri umeamua kuufwata msalaba YESU KRISTO NI YEYE YUKE JANA LEO NA MILELE BWANA YESU ni tajiri sana endekea kukaa mbele za MUNGU penda sana kukaa rohoni
@AnnaNgei
@AnnaNgei 6 күн бұрын
Nakuelewa sana kaka
@Onethcorporation
@Onethcorporation 6 күн бұрын
Hii... Dunia ukiishi maisha ya kiroho, basii maisha ya kimwili hayatakushangaza maana pesa, nyumba na magari ni yakupita ila roho zetu ndizo zasafiri na mafanikio tunayopasa kutafuta ni ya kiroho sio yakimwili.....
@annaclethankwabho-x9w
@annaclethankwabho-x9w 4 күн бұрын
MUNGU zaidi kukutumia
@DinnahElias
@DinnahElias 5 күн бұрын
Dah
@Keyozsilas
@Keyozsilas 7 күн бұрын
Usiwahi kubali vitu bure Tu Mungu akubariki
@ANNASTEMBELA
@ANNASTEMBELA 7 күн бұрын
Mungu akulinde na maaduwi zako
@giftgift-g4x
@giftgift-g4x 15 сағат бұрын
MUNGU ninae mwabudu hangefanya njia pasiponjia,napia vitanivya BWANA.kushindana kwetu sisi sijuu ya damu na nya ma balini juu ya falme na mamlaka juu ya wakuu wagizahili,juu ya Majeshi ya mapepo mabaya katikaulimwengu waRoho.
@salomemakene4446
@salomemakene4446 5 күн бұрын
Duuuuh ee Mungu,mtetee Goodluck amepungua sana lakini roho inastawi usiogope
@AlbertMushi-g5i
@AlbertMushi-g5i 6 күн бұрын
Huyu wala hana Mungu, huyo Mungu aliemwambia asiendeshe gari kwanini asimwambie asipokee hiyo zawadi huyo Mungu wake ni mfu yaani miaka miwili anayo anaendesha anakuja kumwambia leo. Ok.
@PeterJoseph-j3m
@PeterJoseph-j3m 8 күн бұрын
Muuombe sana mungu akutoe huko, huyo sio mtumishi wa mungu bhana achana naye
@rastamaghula3142
@rastamaghula3142 8 күн бұрын
Achana nae gar lenyewe si amesema amekupa na alikuwa alitumii Sasa limemuuma nn
@RwachiryoraWema
@RwachiryoraWema 6 күн бұрын
​@@rastamaghula3142wewe jua hiyo sio nabii wewe ndio ufungue macho
@nataemsuya
@nataemsuya 7 күн бұрын
Anachoulizwa na anachojibu ni tofauti.Ameongea na mungu?!🤔mtangazaji ungemuuliza mungu alikuwa anaongea nae kwenye njozi? au mungu alikuja kwenye sura ya namna gani?! 😇Alikuwa anajinsia gani?! Muonekano wake?!Je!alisikia sauti ikimsemesha, yeye alikuwa wapi?!👩🏿‍💻
@MariaEvance
@MariaEvance 7 күн бұрын
Wewe mbona hatujqkuhona unamuhoji hacha ujinga wa kiro
@princejosephat8316
@princejosephat8316 7 күн бұрын
Mambo ya Rohoni huwezi kuyajua mpaka uko rohoni, hivyo upepo unapovuma uwa unauona au unaushika ukijibu hapo ndo utamjua Mungu ni wanamna gani
@FrankworldwideTV
@FrankworldwideTV 7 күн бұрын
Before uendesehemu yoyote kwa muriko muulize roho mtakatifu shida mnakuwa bendera humuendi kiroho mnaenda kimwili 😢
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 7 күн бұрын
Yule Mzee wa arusha siyo wa kawaida hukuna uwepo wa Mungu
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 7 күн бұрын
Mungu akulinde huo uamuzi ni sahihi kama ulikuwa inageuka kama jeneza au joka nyakati za usiku Sasa watu wanaoongea hawajui aliyoyapitia Gugluck mauzauza
@mickchaz341
@mickchaz341 7 күн бұрын
Hongera sana kwa uamuzi wako
@KamgishaIsaya
@KamgishaIsaya 7 күн бұрын
NAOMBA NO. YAKO GOOD LUCK. NAITAJI KUONGEA NA WEWE.
@regnethmtemanyongo2237
@regnethmtemanyongo2237 7 күн бұрын
Pole
@espoirsafari442
@espoirsafari442 7 күн бұрын
Wewe, hungechoma siunamutegemea Mungu, ungerudisha Kisha kukaa kwa maombi Mungu angekusaidia, fikiria kabla ya kufanya jambo
@Rm2024-x3d
@Rm2024-x3d 7 күн бұрын
True
@MariaEvance
@MariaEvance 7 күн бұрын
Wewe hayajakukuta unaogea tu
@daudidaniella2514
@daudidaniella2514 7 күн бұрын
Alilia sana yule dada wa kusini
@Aminamayalla
@Aminamayalla 6 күн бұрын
Bora ulivyochoma. Limekukondesha sana
@BeatriceVahaye
@BeatriceVahaye 7 күн бұрын
Pole sanaaa
@lydiakivuyo-b3l
@lydiakivuyo-b3l 6 күн бұрын
mtegemee Yesu rafiki ako awe muumba ,tuliposhuhudia umepokea ndinga tulikutoa kwenye list
@REUBENFABIAN
@REUBENFABIAN 7 күн бұрын
Nakuelewa mtu wa Mungu songa mbele.
@HabybaAthumani
@HabybaAthumani 6 күн бұрын
Arudishe na hela alopewa..ukiwa uko rohon mbona gar ulipokea muda wote huo .itakuwa unashida ya kiroho
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 7 күн бұрын
Sawa tu. Lakini Goodluck kwakweli hukufanya vizuri ungechukua ukamrudishia mwenyewe aliyekupa pesa kubwa hiyo mtu amekupa kituncha gharama hivyo unaamua kuchoma. Sasa kusema kwa watu kunakutisha nini wewe Mtoto wa kiume mbona bado utasikia mengi tu. Kweli umefanya makosa kaka hata ungejiteteaje!!
@PelagiaMayengo
@PelagiaMayengo 7 күн бұрын
anajitetea kwa nani?kwani kuna anaemdai?
@DansonMwayele
@DansonMwayele 5 күн бұрын
Ww unasema arudishe sasa unajuahuko lilikotoka angerudi unajua ngefanywa nn mm na support sana alifanya poa kuchoma kabisa. Kwanza siako nagariyake mwenyewe. Kwaji mpaka lakubarikiwa? Kwanza hawajatumwa wamuletee kihereherechao tu.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 күн бұрын
Huyu ana Depression tu. Kumbuka alianza kushiriki FIESTA na WASAFI Festival na akina Diamond. Nyimbo zake pia zilikuwa za kudunia zaidi kabla hata hajaenda kwa Nabii Joedavie. Mbona wengi wamepewa vitu na fedha na wako mbali sana kwa sasa. Juzi juzi amekarabati magari 4 ya polisi kwa zaidi ya million 30. Anaishi kwa mitandao. Ngoja tuone baada ya kuchoma kama atainuka Tena. Aache pombeeeeeee
GOODLUCK GOZBERT-SABABU ZA GARI KUCHOMWA MOTO,FIESTA-PART 2 Exclusive Interview
1:21:14
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
NABII MKUU AFICHUA SIRI KUHUSU BIBLIA - GeorDavie TV
23:24
GeorDavie TV
Рет қаралды 33 М.