No video

KUTANA NA MTANZANIA ALIYEMTENGENEZEA RAIS SAMIA KEKI YENYE KUFANANA NAYE, YAPIKWA MTURUKI

  Рет қаралды 30,088

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 70
@azizimgaza8
@azizimgaza8 3 ай бұрын
Big up dada akiri nyingi kwa ubunifu mungu abariki kazi zako,.
@magigejoseph255
@magigejoseph255 2 жыл бұрын
Mifano yakutengeza keki imeisha mpaka mnathubutu kutengeneza sura ya MTU mnatufundisha kula watu sisi sio wachawi pelekeni mawzo yakishetani huko
@sumecute2513
@sumecute2513 2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃watz na comment
@liliankessy1255
@liliankessy1255 2 жыл бұрын
Mi mwnywe cwez kumla Rais
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 2 жыл бұрын
😂😂😂
@sophiajackson5001
@sophiajackson5001 2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@sitisuleiman7556
@sitisuleiman7556 2 жыл бұрын
Acha roho mbaya😏 mwenzako anakipaji🍰
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 2 жыл бұрын
Kwa hiyo maana yake in nn? Ukianza kula inamaana una mla nani? MTU! Du sidhani kama ni nzuri kumtengeneza MTU hasa kiongozi mkubwa mawazo Yangu lakini ,acha nipite hivi
@navongelysrlynsozsye8494
@navongelysrlynsozsye8494 2 жыл бұрын
Eti hivi kumbe mungu alipata shida kutuumba....asee mungu awafungue na hiyo laana..mnatengenezaje sura ya mtu na mnakula....msifanye mchezo na shetani hiyo hata kimaandiko ni makosa
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 6 ай бұрын
Hii haijakaa vizuri kwa mtazamo wangu .☑️📌
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 2 жыл бұрын
Ssa ubinadamu gani mkate pua yake mule macho kisha mumemfanya wakuchoka zaidi kwenye mashavu mjue hawezi kufurahia japo hatowaonyesha
@earthmoves_
@earthmoves_ 2 жыл бұрын
Tutamuangalia rais wetu kama kama ni mtu wa Imani au hapana usile kabisa
@husnaameen9309
@husnaameen9309 2 жыл бұрын
Iwe ukumbusho wake ila rais usile hiyo keki kwanza imeshikwa shikwahujaona maandalizi yake msijemkamsababishia foodpoinzening mama akahalisha rais wetu
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
hawezi kula mn kulikua hakuna askari
@carlosmzena548
@carlosmzena548 2 жыл бұрын
Huyu dada ni fighter yupo city mall
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 2 жыл бұрын
Daa waharibu kazi yko kwakuchonga masanamu kama nguo tu ikiwa na picha ya mtu ama ya mnyama ukiswali nayo ni haramu Leo itawezaje kuna picha ya mtu??
@sarahkelvin4845
@sarahkelvin4845 2 жыл бұрын
Hao waturuk wamemuua kipendw we2 kuma wao,birthday yak nn anyokoo
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 жыл бұрын
Du Eti Mungu alipata kazi daa Mwenyezi Mungu tusamehe
@ramadhantahila9131
@ramadhantahila9131 2 жыл бұрын
Hakika atusamehe kwa kwelii
@abeidmohamed9142
@abeidmohamed9142 2 жыл бұрын
Kwanza hiyo dhambi huwezi kutengeza mtu kwa chakula
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 2 жыл бұрын
Anahusika rais kuwapa zawadi Hawa watu iyo kweri inafaa kuwa makumbusho lkn pia watu muache ushamba mnao tukana eti keki la sura mbona mnakula jina likiandikwa
@fahmaali8945
@fahmaali8945 2 жыл бұрын
Jamani keki ukatie sura ya binandamu jamani tumuongope mungu da tunakwenda wapi jamani.ewemwenyenzi mungu tusameh makosa yetu tuyafanyayo kwa adaa as ulimwèngu
@josephemmanuel388
@josephemmanuel388 2 жыл бұрын
Wachawi hawa mmebugi kutengeneza keki ya mtu mmekosea sana katika ulimwengu wa loho mnakula
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 жыл бұрын
Mmevuka mipaka.... Mmmh... Sanamu nayo eti keki....éee.. Kibaya zaidi inashangiliwa eti chakula ..sura ya Mtu... !?.. mmmh..Mambo ya kuiga tusiyo jua maana yake..wacha Mungu tuyaepuke.. yatatukosanisha na Mungu.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@rmaryp6269
@rmaryp6269 2 жыл бұрын
Ataikubali!? Yaani mtu ajikule mwenyewe!!??🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
@aminamnyaruge8574
@aminamnyaruge8574 2 жыл бұрын
Eti hata mimi nimewaza hivyo hivyo 😂😂😂Na Imani za kidini Tena ni mtihani kwa kweli 😔😔
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 Жыл бұрын
Cjaipenda😢
@alhmdulilah1187
@alhmdulilah1187 2 жыл бұрын
Wow nice ☺️☺️👍
@gadyetheboss8738
@gadyetheboss8738 2 жыл бұрын
Yaan anastahil pongez asee rais akiiona hii amuarike hata ikulu maana amefanya kaz kubwa sana
@jamesponeca8912
@jamesponeca8912 2 жыл бұрын
Wanawake huwa mnawaza kuliwatu,mlishindwa kubuni kitu kingingine,
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Keki sio vitu vya kula mara kwa mara ni inaongeza sukari mwilini na kunenepeana ovyo ovyo , ni sawa na soda kama diet soda na majuice
@mwigaramadhani3687
@mwigaramadhani3687 2 жыл бұрын
Eti hiyo keki ni expensive jamani kwani kumeongezeka Nini sasa hapo zaidi ya hicho kinguo 🙌😀☹️🤣🏃
@liliankessy1255
@liliankessy1255 2 жыл бұрын
Mwenzangu😂😂Kma ingredients cyo ngano na mayai kma zngine
@d.a.t3383
@d.a.t3383 2 жыл бұрын
Kuna CAKE ZA KIUTAMADUNI ZA WACHAGGA ZINAITWA SHIROO NA INGINE INAITWA NGANDE ATAPENDA HIZO ZA KITAMADUNI ZA NCHI YETU GHARANA KUTENGENEZA ELFU ISHIRINI TUUUU HAZINA SUKARI WALA BUTTER KUJIFUNZA BURE
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
🤣🤣 kali hiyo.
@aishashaibu4772
@aishashaibu4772 2 жыл бұрын
Kwani rais wetu kataka keki
@alimakame9215
@alimakame9215 2 жыл бұрын
Mnakufuru sana hamjujuwitu
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 2 жыл бұрын
Huo niuharibifu wapesa 2
@allykambi7687
@allykambi7687 2 жыл бұрын
Asichukue na wala asile kabisa
@joyceassey2347
@joyceassey2347 2 жыл бұрын
Hatariiii
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Huyu mtengenezaji wa keki ya mama ni ukorofi huo anamchokoza mama , itabidi tuendamane
@alexvenas2699
@alexvenas2699 2 жыл бұрын
Hiyo hatuwezi kumlisha Rais wetu mpendwa,tutaiweka makumbusho .
@earthmoves_
@earthmoves_ 2 жыл бұрын
Yani nitashangaa sanaa rais akila keki ya sura yake kwa kama ni mtu mwenye Imani Haina haja ya kufikilia sanà ni kwamba akila bas utakua umekula binadam mwenzio sio nzuli labda kumbukumbu
@drmussa1220
@drmussa1220 2 жыл бұрын
DAWA YA KULIPWA MADENI m.kzbin.info/www/bejne/hKume6mmi9Crfqs
@apostlebonnyjames5426
@apostlebonnyjames5426 2 жыл бұрын
Nice
@husnabow8662
@husnabow8662 2 жыл бұрын
Mmhh hii sasa kufuru hii
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 жыл бұрын
Anaetengeza leki za kisanamu ya mtu halafu analisha watu, uislam unasemaje ?
@mamalaozphilemon.8800
@mamalaozphilemon.8800 2 жыл бұрын
tena eti mmetumia akili🤣🤣
@d.a.t3383
@d.a.t3383 2 жыл бұрын
Cha ajabu hapo ninii kuna cake already watu hapa wanatengeneza za ma bus za eroplane za pikipiki nyingi tuuu
@d.a.t3383
@d.a.t3383 2 жыл бұрын
Cake zina sukari na butter mnooo kuna ugonjwa wa ki sukari
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Kwanza mchanganyiko wa sukari na butter ndiyo hatari kabisaa
@brycemoshi2122
@brycemoshi2122 2 жыл бұрын
Iyooo cake
@hassanjongo4309
@hassanjongo4309 2 жыл бұрын
Like
@theeyechannel8601
@theeyechannel8601 2 жыл бұрын
Kwahiyo vijana watamula rais?
@nancyhassan8290
@nancyhassan8290 2 жыл бұрын
Huyo baunsa sasa, anavo taka camera immulike...
@alhmdulilah1187
@alhmdulilah1187 2 жыл бұрын
Ahsante Esha buheti❤️❤️
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
Mungu atunusuru na hii dunia hawa ndio watu qariotengeza keki siku ya maulidi ya mtume s.a.w ni kufuru kwakqwri
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄Saw
@erickimambo4544
@erickimambo4544 2 жыл бұрын
Wacha watu wamle
@khalossalim3723
@khalossalim3723 2 жыл бұрын
Mbona hafanani nayo
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 2 жыл бұрын
Nimeipenda ilo darasa hongereni sana
@zainabmapezi5730
@zainabmapezi5730 2 жыл бұрын
Mbona Keki zinatengenezwa hata za kiatu, gari, Ng'ombe nakadhalika.
@rosemneney3244
@rosemneney3244 Жыл бұрын
Mbona haifanani kabsaaa
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 2 жыл бұрын
Dada hongear namm nichoree 🍰 yasur yangu
@allykambi7687
@allykambi7687 2 жыл бұрын
Ujinga tu msile keki iyo upuuzi tu
@selemaniselemani2863
@selemaniselemani2863 2 жыл бұрын
Eti vido watu wanakukata na wanakukula😅😅
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
🤔😏🤪🤭🤭🤭🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
@d.a.t3383
@d.a.t3383 2 жыл бұрын
Atapikiwa Machalary
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 73 МЛН
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
"Nisamehe sana mwanangu Peter" Fatuma
5:12
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 15 М.
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 383 М.
Life with Brothers Episode no 1  (Introduction)
7:56
Scaba Brothers
Рет қаралды 67 М.
KULA 'APPLE' BAADA YA NUSU SAA- PROF. JANABI
2:47
Daily News Digital
Рет қаралды 15 М.
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН