Big up dada akiri nyingi kwa ubunifu mungu abariki kazi zako,.
@magigejoseph2552 жыл бұрын
Mifano yakutengeza keki imeisha mpaka mnathubutu kutengeneza sura ya MTU mnatufundisha kula watu sisi sio wachawi pelekeni mawzo yakishetani huko
@sumecute25132 жыл бұрын
😃😃😃😃😃watz na comment
@liliankessy12552 жыл бұрын
Mi mwnywe cwez kumla Rais
@mwanakombopopo51172 жыл бұрын
😂😂😂
@sophiajackson50012 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@sitisuleiman75562 жыл бұрын
Acha roho mbaya😏 mwenzako anakipaji🍰
@zawadichalale40472 жыл бұрын
Kwa hiyo maana yake in nn? Ukianza kula inamaana una mla nani? MTU! Du sidhani kama ni nzuri kumtengeneza MTU hasa kiongozi mkubwa mawazo Yangu lakini ,acha nipite hivi
@navongelysrlynsozsye84942 жыл бұрын
Eti hivi kumbe mungu alipata shida kutuumba....asee mungu awafungue na hiyo laana..mnatengenezaje sura ya mtu na mnakula....msifanye mchezo na shetani hiyo hata kimaandiko ni makosa
@achouraachoura57636 ай бұрын
Hii haijakaa vizuri kwa mtazamo wangu .☑️📌
@sakinaamani14862 жыл бұрын
Ssa ubinadamu gani mkate pua yake mule macho kisha mumemfanya wakuchoka zaidi kwenye mashavu mjue hawezi kufurahia japo hatowaonyesha
@earthmoves_2 жыл бұрын
Tutamuangalia rais wetu kama kama ni mtu wa Imani au hapana usile kabisa
@husnaameen93092 жыл бұрын
Iwe ukumbusho wake ila rais usile hiyo keki kwanza imeshikwa shikwahujaona maandalizi yake msijemkamsababishia foodpoinzening mama akahalisha rais wetu
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
hawezi kula mn kulikua hakuna askari
@carlosmzena5482 жыл бұрын
Huyu dada ni fighter yupo city mall
@mwanakombopopo51172 жыл бұрын
Daa waharibu kazi yko kwakuchonga masanamu kama nguo tu ikiwa na picha ya mtu ama ya mnyama ukiswali nayo ni haramu Leo itawezaje kuna picha ya mtu??
@sarahkelvin48452 жыл бұрын
Hao waturuk wamemuua kipendw we2 kuma wao,birthday yak nn anyokoo
@hadijamandanje61892 жыл бұрын
Du Eti Mungu alipata kazi daa Mwenyezi Mungu tusamehe
@ramadhantahila91312 жыл бұрын
Hakika atusamehe kwa kwelii
@abeidmohamed91422 жыл бұрын
Kwanza hiyo dhambi huwezi kutengeza mtu kwa chakula
@nzitogondwe99762 жыл бұрын
Anahusika rais kuwapa zawadi Hawa watu iyo kweri inafaa kuwa makumbusho lkn pia watu muache ushamba mnao tukana eti keki la sura mbona mnakula jina likiandikwa
@fahmaali89452 жыл бұрын
Jamani keki ukatie sura ya binandamu jamani tumuongope mungu da tunakwenda wapi jamani.ewemwenyenzi mungu tusameh makosa yetu tuyafanyayo kwa adaa as ulimwèngu
@josephemmanuel3882 жыл бұрын
Wachawi hawa mmebugi kutengeneza keki ya mtu mmekosea sana katika ulimwengu wa loho mnakula
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Mmevuka mipaka.... Mmmh... Sanamu nayo eti keki....éee.. Kibaya zaidi inashangiliwa eti chakula ..sura ya Mtu... !?.. mmmh..Mambo ya kuiga tusiyo jua maana yake..wacha Mungu tuyaepuke.. yatatukosanisha na Mungu.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@rmaryp62692 жыл бұрын
Ataikubali!? Yaani mtu ajikule mwenyewe!!??🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@aminamnyaruge85742 жыл бұрын
Eti hata mimi nimewaza hivyo hivyo 😂😂😂Na Imani za kidini Tena ni mtihani kwa kweli 😔😔
@chunaabdullah1333 Жыл бұрын
Cjaipenda😢
@alhmdulilah11872 жыл бұрын
Wow nice ☺️☺️👍
@gadyetheboss87382 жыл бұрын
Yaan anastahil pongez asee rais akiiona hii amuarike hata ikulu maana amefanya kaz kubwa sana
@jamesponeca89122 жыл бұрын
Wanawake huwa mnawaza kuliwatu,mlishindwa kubuni kitu kingingine,
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Keki sio vitu vya kula mara kwa mara ni inaongeza sukari mwilini na kunenepeana ovyo ovyo , ni sawa na soda kama diet soda na majuice
@mwigaramadhani36872 жыл бұрын
Eti hiyo keki ni expensive jamani kwani kumeongezeka Nini sasa hapo zaidi ya hicho kinguo 🙌😀☹️🤣🏃
@liliankessy12552 жыл бұрын
Mwenzangu😂😂Kma ingredients cyo ngano na mayai kma zngine
@d.a.t33832 жыл бұрын
Kuna CAKE ZA KIUTAMADUNI ZA WACHAGGA ZINAITWA SHIROO NA INGINE INAITWA NGANDE ATAPENDA HIZO ZA KITAMADUNI ZA NCHI YETU GHARANA KUTENGENEZA ELFU ISHIRINI TUUUU HAZINA SUKARI WALA BUTTER KUJIFUNZA BURE
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
🤣🤣 kali hiyo.
@aishashaibu47722 жыл бұрын
Kwani rais wetu kataka keki
@alimakame92152 жыл бұрын
Mnakufuru sana hamjujuwitu
@zulfaissa78142 жыл бұрын
Huo niuharibifu wapesa 2
@allykambi76872 жыл бұрын
Asichukue na wala asile kabisa
@joyceassey23472 жыл бұрын
Hatariiii
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Huyu mtengenezaji wa keki ya mama ni ukorofi huo anamchokoza mama , itabidi tuendamane
@alexvenas26992 жыл бұрын
Hiyo hatuwezi kumlisha Rais wetu mpendwa,tutaiweka makumbusho .
@earthmoves_2 жыл бұрын
Yani nitashangaa sanaa rais akila keki ya sura yake kwa kama ni mtu mwenye Imani Haina haja ya kufikilia sanà ni kwamba akila bas utakua umekula binadam mwenzio sio nzuli labda kumbukumbu
@drmussa12202 жыл бұрын
DAWA YA KULIPWA MADENI m.kzbin.info/www/bejne/hKume6mmi9Crfqs
@apostlebonnyjames54262 жыл бұрын
Nice
@husnabow86622 жыл бұрын
Mmhh hii sasa kufuru hii
@asiakheir86842 жыл бұрын
Anaetengeza leki za kisanamu ya mtu halafu analisha watu, uislam unasemaje ?
@mamalaozphilemon.88002 жыл бұрын
tena eti mmetumia akili🤣🤣
@d.a.t33832 жыл бұрын
Cha ajabu hapo ninii kuna cake already watu hapa wanatengeneza za ma bus za eroplane za pikipiki nyingi tuuu
@d.a.t33832 жыл бұрын
Cake zina sukari na butter mnooo kuna ugonjwa wa ki sukari
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Kwanza mchanganyiko wa sukari na butter ndiyo hatari kabisaa
@brycemoshi21222 жыл бұрын
Iyooo cake
@hassanjongo43092 жыл бұрын
Like
@theeyechannel86012 жыл бұрын
Kwahiyo vijana watamula rais?
@nancyhassan82902 жыл бұрын
Huyo baunsa sasa, anavo taka camera immulike...
@alhmdulilah11872 жыл бұрын
Ahsante Esha buheti❤️❤️
@kiehbhzh70442 жыл бұрын
Mungu atunusuru na hii dunia hawa ndio watu qariotengeza keki siku ya maulidi ya mtume s.a.w ni kufuru kwakqwri
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄Saw
@erickimambo45442 жыл бұрын
Wacha watu wamle
@khalossalim37232 жыл бұрын
Mbona hafanani nayo
@nzitogondwe99762 жыл бұрын
Nimeipenda ilo darasa hongereni sana
@zainabmapezi57302 жыл бұрын
Mbona Keki zinatengenezwa hata za kiatu, gari, Ng'ombe nakadhalika.