MREMBO Tajiri mwenye miaka 20 aliyeacha Shule akiwa KIDATO cha Pili afunguka haya mazito - PART ONE

  Рет қаралды 352,301

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

3 жыл бұрын

Пікірлер: 1 000
@stewartrichard1316
@stewartrichard1316 3 жыл бұрын
Embu acheni majungu huyo msichana ni selfmade millionare kuna watu wanawazazi wenye fedha na hawawezi kizitumia hizo fursa salute kwako dada
@benclassic6861
@benclassic6861 3 жыл бұрын
Hongera kwa office kali
@husseinwemmar6217
@husseinwemmar6217 3 жыл бұрын
I was not able to watch the whole interview cause the story does not inspire a poor child as it discourages education which is the only way for a poor child. Zainab had a very bright future ahead due to a concrete family background as she was working while at school that means there was a push behind her that encouraged her and had no fear to fail which everyone of us was missing. Kwa ufupi masikini tusome tusidanganyike na hawa watu wenye familia zenye uwezo.Unaacha shule kivipi.
@haanyalmsalmy6246
@haanyalmsalmy6246 3 жыл бұрын
U have said it all....yy tayar anatoka kwny familia yenye uwezo...
@munirahadrian9055
@munirahadrian9055 3 жыл бұрын
Exaactly
@raymeeray8884
@raymeeray8884 3 жыл бұрын
I second you👏👏 education is everything
@helenkambi3918
@helenkambi3918 3 жыл бұрын
Keeli kabisa
@munirahadrian9055
@munirahadrian9055 3 жыл бұрын
@@helenkambi3918 umeonaa eeh!
@vumipeter9404
@vumipeter9404 3 жыл бұрын
Jamani Mimi huwa napenda kusema hivi, hatupendi kujifunza wenzetu wanafanikiwaje. Hatusikilizi mazuri tunasikiliza makosa tu. Tujaribu kusikiliza na kujifunza. Huyu Dada yupo safi. Supper woman
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 3 жыл бұрын
nani aliesikia "nilipofanikiwa kuacha shule"😀😀 a gonge like hapa
@DuniayaHabari
@DuniayaHabari 3 жыл бұрын
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako kzbin.info/www/bejne/r5acoX15nM-lh7c
@trishtrish2349
@trishtrish2349 3 жыл бұрын
Nimesikia. Ana bahati familia yao ina uwezo . Wengi wetu tunangangana na masomo kwa sababu wazazi wetu walifikiri that was the only way to make it.
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 жыл бұрын
@@trishtrish2349 Ndio the only way unaweza kuajiriwa na hicho cheti
@trishtrish2349
@trishtrish2349 3 жыл бұрын
@@mrsliverpool4235 Cheti husaidia but not all the time . Many times uta realise masomo hai endani na kazi ambayo we end doing.
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 жыл бұрын
@@trishtrish2349 kina umuhimu wake Lakini, ni vizuri kua nacho kama I'd
@lenniefei6710
@lenniefei6710 3 жыл бұрын
Allah haangalii ukoo ama nasaba ya mtu cha Muhimu kwake Ucha Mungu(TAQWA)
@ugonjwanadawa5041
@ugonjwanadawa5041 3 жыл бұрын
Familia ya kitajiri kufanikiwa ni kwaida hahaaha , kingine kumbuka huyo ni ngozi ya yemeni
@user-cx4jc1wn2e
@user-cx4jc1wn2e 3 жыл бұрын
🤔🤔
@sashasasha9253
@sashasasha9253 3 жыл бұрын
Nasab ya mtume haipo Tena hapa duniani Hamna kujibasib na imefanywa hivyo kwasababu ilijulikana Kuna watu watakuja kujidai au kujitofautisha na wengine kwajifanya wao ni nasab ya mtume
@user-cx4jc1wn2e
@user-cx4jc1wn2e 3 жыл бұрын
@@sashasasha9253 wako NASAB wamtume wako
@ToneTone-ll3qb
@ToneTone-ll3qb 5 ай бұрын
​@@sashasasha9253haha huo niuongo bwana Nasabu ipo bibie ila wengi wajinasibisha kwakwe
@lareineminah1353
@lareineminah1353 3 жыл бұрын
Huu sasa pisi kaliii👌🏾👌🏾👌🏾 Ila mkono wa wazazi umechangiya ALLAAH azidi kuku endelezaaa
@sekymwasumbi1938
@sekymwasumbi1938 3 жыл бұрын
Guys Embu acheni roho za korosho bhana... Hajasema watoto zenu waache shule, wewe unayeamini in education well and good. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, sio wote watoto wa mboga Saba wana uwezo wa kufanya hicho alichokifanya! Keep up girl!
@yasirhassan7438
@yasirhassan7438 3 жыл бұрын
Sawa
@mdzainb3722
@mdzainb3722 3 жыл бұрын
Mmi nikajua kapambana mwanzo mwisho mwenyewe kumbe kwao pesa na viwanja vipo 😅😅😅
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Jamani nothing is impossible..tuendeleze hustle..usikate tamaa.
@marthamanjale7067
@marthamanjale7067 3 жыл бұрын
nakubali vijan
@edishaa3108
@edishaa3108 3 жыл бұрын
Nasabu ya MTUME alafu unatuonyesha mkia wa farasi kichwan duu... Pole sis
@mirfatali6960
@mirfatali6960 3 жыл бұрын
Very true
@UserZ771
@UserZ771 3 жыл бұрын
nice words
@maryanshariph6778
@maryanshariph6778 3 жыл бұрын
I also belong there bt it doesn't min unajionyesha
@user-cx4jc1wn2e
@user-cx4jc1wn2e 3 жыл бұрын
We are bin hashim 🤷🏽‍♂️
@user-cx4jc1wn2e
@user-cx4jc1wn2e 3 жыл бұрын
@@maryanshariph6778 what is wrong with u guys
@ndengeyepatrick1108
@ndengeyepatrick1108 3 жыл бұрын
Hongera sana Sister kwa baba mzazi, ni neema laki pekee kumpata baba mwenye usikilivu kama yeye.🇨🇩
@zennakailo8106
@zennakailo8106 3 жыл бұрын
Zenna wajina jamani Etiii ulifanikiwa kuacha shule😜😅😅😅hongera zenna km zenna
@therealbriannoel7389
@therealbriannoel7389 3 жыл бұрын
She's really intelligent..elimu ya Tanzania haiwezi kuhandle akili kama ya huyu dada thank God she found her true calling. Congrats!!
@abukhaulatibrahim7521
@abukhaulatibrahim7521 3 жыл бұрын
Naamin hili hujaliona peke yako, angekua juu angekua NASA
@bosssoul2552
@bosssoul2552 11 ай бұрын
Bulshit
@fadhilaliussi7421
@fadhilaliussi7421 3 жыл бұрын
Haya sasa watoto wa kitanzania nanyinyi acheni shule mumeone mwisho weyu 🤣😃😂😂 jamani naombeni like hapa
@mwajumakassim6632
@mwajumakassim6632 3 жыл бұрын
hahahaaa
@saidmkilya8454
@saidmkilya8454 3 жыл бұрын
Mashallaah
@saidmkilya8454
@saidmkilya8454 3 жыл бұрын
Mtangazaji chukua Like yako Napenda sana unavyo chomeka maswali
@saidmkilya8454
@saidmkilya8454 3 жыл бұрын
Still you came from rich family
@abuubakar987
@abuubakar987 3 жыл бұрын
hahahaha
@emanigirls5444
@emanigirls5444 3 жыл бұрын
Mabrouk Alf Mabrouk ukhty. You are very inspiring girl at your tender age and being a muslim girl. Big up to your parents and entire family. Radhiya Qoyan commenting.
@mordally
@mordally 3 жыл бұрын
Nakupa hongera kwa bidii ya muendelezo wa utajiri na kujituma, baba akiwa mwalimu, ila nakusihi ukasome vizuri uislam na historia kamili ya mtume, usije ukajinasibisha na ukoo wa Rasula Allah, kumbe unainganishwa na ukoo wa mjomba wake mtume Abuu Jahal.
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 3 жыл бұрын
Nice sana kazuri nakupenda na pesa unazo mashallah
@feiz3180
@feiz3180 3 жыл бұрын
Yaani watz wengi wanachoyo mwenzao akifanikiwa. Nimepitia maoni ya wengi na nimeona yaani ROHO mbaya kweli. Poleni. Mungu atamlinda huyu dada na macho yenu ya UHASIDI poooo
@faudhiyahimidi2129
@faudhiyahimidi2129 3 жыл бұрын
Hajapondwa ila kapotosh mn yy yupo family ya kitajir then kajinasbish na mtume yaan mtum nasab yak iliishy njian iko hiv
@feiz3180
@feiz3180 3 жыл бұрын
@@faudhiyahimidi2129 choyo jitathmini.
@faudhiyahimidi2129
@faudhiyahimidi2129 3 жыл бұрын
Wal cn choyo upo mm maish yng ctoyatoa mitandaon wal ctojip nasab zilokuw cfanan naz hooi
@feiz3180
@feiz3180 3 жыл бұрын
@@faudhiyahimidi2129 kwani ungenyamaza ingejuwa nini?. Kila kitu museme. Mengine muyapishe.
@UmiMarya
@UmiMarya 6 күн бұрын
Kwani kaongea kipi kibaya jomn
@kudrajuma2576
@kudrajuma2576 3 жыл бұрын
Acha zako Dogo we inspire watu wasome ,we mtoto wa kixhua ndio maana imekuwa hivyo.my fellow students strive to excellent.
@anuwar6113
@anuwar6113 3 жыл бұрын
MASHAA ALLAH. .zena binti Shariff .Allah akubariki nice job
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Mnatakiwa muwe waelewa huyu binti hajsema muache shule yeye anatoa storia yake na la kujifunza ni kua kufanikiwa maisha sio lazma usome mpaka uwe na madigirii
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 3 жыл бұрын
Jamani lakini msidanganye watu waache kusoma eti kisa mtu flani aliacha shule na akafanikiwa, huyu anaonekana uwezo wake pia haukuwa mzuri darasani hivyo akaona anapoteza muda tu akiangalia kwao maisha ni mazuri maana amesema kwao kuna ma hardware, maviwanja mengi hivyo alikuwa na uhakika wa kupata mtaji, sikiliza anasema hakuwa na target yoyote kuhusu shule huko mbeleni, so ukiingia shule ukiwa huna malengo basi shule lazima uache, mm nimemsikiliza vizuri hadi mwisho kuwa hakuwa na uwezo. Hivyo ndugu zangu tusiige .
@moreenrespishazy29
@moreenrespishazy29 3 жыл бұрын
Watu wagumu kuelewa ila wepesi kunakili
@pendoshao9519
@pendoshao9519 3 жыл бұрын
Kabisa yani kila mtu anauelewa wake
@jawaadfahad4155
@jawaadfahad4155 3 жыл бұрын
Amesema sharifu nasaba ya mtume alaf nyele wazi dadangu waonesha picha gani hapo???
@abdallahamad4682
@abdallahamad4682 3 жыл бұрын
ndo hapo sasa sjui mtume gani uyoo ahahaha
@youngbreezy6615
@youngbreezy6615 3 жыл бұрын
Kwa sisi ambao tunafatalia successfull people in the world na kueleza wao wamefanikiwa vipi wengi wao mafanikio yao yameanza from zero to hero but huyu mdada inaonesha kwao kuna hela then baba ake amechangia asilimia kubwa katk kufanikiwa kwake lakn sio SELFMADE but all in all hongera
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 жыл бұрын
Amejitahidi ila utajiri wake sio wa kujivunia Sana kwa sababu ya background yake
@shaluissa3184
@shaluissa3184 3 жыл бұрын
Wa kwanza Leo jamani like bas
@DuniayaHabari
@DuniayaHabari 3 жыл бұрын
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako kzbin.info/www/bejne/r5acoX15nM-lh7c
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 жыл бұрын
Mashallah na atusaidiye sisi masikini mana twafaa njaaa.
@lil-masougee7388
@lil-masougee7388 3 жыл бұрын
Huyu dada nilisoma neye jaman duh mashaallah mungu akufungulie tena na tena
@abdullathabit7658
@abdullathabit7658 3 жыл бұрын
Ameolewa?
@khadijaabdulqadir1662
@khadijaabdulqadir1662 3 жыл бұрын
SubhanaAllah Allah atuhidii yaraab. MWANANGU jistirii kisharia nyele haifai kuonekana ☹️
@halimaabasi1031
@halimaabasi1031 3 жыл бұрын
👍
@yusuphmwalunu2307
@yusuphmwalunu2307 3 жыл бұрын
Khadija Abdulqadir nyie msio na pesa ndio inatakiwa mfuate sheria zote
@jumanasoro8903
@jumanasoro8903 3 жыл бұрын
Yusuph kumbuka kwamba wewe ni muislaam acha kejeli,kukejeli sheria za dini humtoa mtu kwenye uislaam. Chunga ulimi wako ndugu yangu
@jumanasoro8903
@jumanasoro8903 3 жыл бұрын
Khadija Mashallah uko sahihi kujisitiri sio lazima usiwe na hela, wangapi wanamiliki mabilioni ya mapesa lakini wanajisitiri kisheria
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 3 жыл бұрын
@@yusuphmwalunu2307 🤣🤣
@maestrojayysule5660
@maestrojayysule5660 3 жыл бұрын
Uyo hajatafuta pesa kwao zipo. Ache ni kupotosha masikini
@kubrymtutala1736
@kubrymtutala1736 3 жыл бұрын
Kweli kabisa, hawa watu sio wakuwaiga kabisa....yaani huo utajiri sio wakwake ni support kutoka kwenye Famili yake... Angalia shule aliyekua anasoma ni UPANGA hii sehemu wanasomaga watoto wa kishua sana..asitudanganye hapa
@aisha-ro5fr
@aisha-ro5fr 3 жыл бұрын
Kweli kabsaaa
@mct2227
@mct2227 3 жыл бұрын
Mm namjua sana babaake sio maskini
@shadyajecha1870
@shadyajecha1870 3 жыл бұрын
Kweli
@yunyun799
@yunyun799 3 жыл бұрын
@@kubrymtutala1736 😂😂
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Hustle kama hustle👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@footballprayers132
@footballprayers132 3 жыл бұрын
Ety ana unasaba na mtume mmmh naomb npte kdg mm........ half we kapuku mwezng acha shule thn uone na ufala wako
@ashaally6662
@ashaally6662 3 жыл бұрын
😂hajafunika hata kichwa vizur
@abubakaryalmas7673
@abubakaryalmas7673 3 жыл бұрын
😂😂😂 Apo akili kichwani mwako, ukimfatisha huyu utapotea. Ina maana uo umbali alikua yeye tu anasoma kutoka mbali? Alafu kuna school buss sasa kama mukichelewa kosa si la dereva iweje adhabu apewe mwanafunzi? Uyu alikua hapendi shule tu ila asiongope umbali
@rahmahassan3206
@rahmahassan3206 3 жыл бұрын
Jamani umeshindwa kujistiri vzr hicho kichwa dada? Mbona mnautupa uisilamu hivi ndiyo kwenda na wakat sindio, Allah anakuona
@salmamohammad5614
@salmamohammad5614 3 жыл бұрын
Lol ww sharifu kisha wasema uko na nasaba ya mtume then shungi wazi huna hata haya jiheshimu
@aminamohamed1828
@aminamohamed1828 3 жыл бұрын
Hawa waarabu koko wanapenda kujishaua sana nahawana lolote wamepotea kweli Allah atunusur
@milermiler1504
@milermiler1504 3 жыл бұрын
@@aminamohamed1828 Kabisaa
@halimaamini8015
@halimaamini8015 3 жыл бұрын
Usisubutu kuacha shale kufata huyu dada huyu ni wakishuwa 😂😂😂 katoka shule naingia kwenye campun ya mdingi zingatieni ilo
@azizially781
@azizially781 3 жыл бұрын
Mamb
@am_fashabi3888
@am_fashabi3888 3 жыл бұрын
Congrats sister ni Mimi kakako all the way from lamu kenya njoo unichukue Allah barik lakum
@JKQGAME
@JKQGAME 3 жыл бұрын
Aliye sikia mshua kanipiga kampani like zangu jamani kwa wale kapuku Kama mm tunaozidi kuasi kila jua likichomoza hakuna Cha mshua kampani au Cha boss kampani wewe Kama wewe ndo nawataka hapa
@davidboniphace8159
@davidboniphace8159 3 жыл бұрын
Hao waarabu in nature huw hawapend shule Wana vichwa vigumu San kuelew darsna
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 жыл бұрын
Mungu wang jaman
@muskanabdulrazak6515
@muskanabdulrazak6515 3 жыл бұрын
Kweli
@davidboniphace8159
@davidboniphace8159 3 жыл бұрын
@Warda Ahmed muongo warda Ahmed nd nature yen bhna
@davidboniphace8159
@davidboniphace8159 3 жыл бұрын
@Warda Ahmed 👍🤞
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 жыл бұрын
We mtangazaji acha ufala, tunahitaji utuletee tajiri ambae ni self-made sio Hawa mboga saba wanaopata mitaji kirahisi na sapoti ya nguvu kutoka kwa wazazi au ndugu.
@feiz3180
@feiz3180 3 жыл бұрын
umemsikiliza vizuri. Huyu dada ni amejitahidi. Pengine wewe ungekuwa katika nafasi yake ungelifeli tu. Anacho kipaji na wazee wake wamesimama na yeye na kufanikiwa kwake anasaidia ambao hawana uwezo. Very creative.
@faridakidoti6734
@faridakidoti6734 3 жыл бұрын
Ishu sio kutoka kwenye ushua ishu ni akiri yake tu ipo vizuri Kuna watu wametoka familia tajiri ila hawana chochote kile
@maryamomary9596
@maryamomary9596 3 жыл бұрын
Naam
@aishahamoud2832
@aishahamoud2832 3 жыл бұрын
Kabisa👋👏👋
@abubakarmahad3101
@abubakarmahad3101 3 жыл бұрын
Mm naona anaongeza pesa kwao tu maana zipo
@mohabatkhanmalak1161
@mohabatkhanmalak1161 3 жыл бұрын
I am of the opinion that education is more vital now, in todays world. This is my advice to our youngsters - if you have to make a break from your studies do it, but later on finish your diplomas and degrees. For Africa, education is the key.
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 3 жыл бұрын
Sijui watoa comment za matusi na lawama kwa huyu mtoto sijui zinatoka wapi .huyu mtoto yuko real anasemesha ukweli wake kuwa shule ilimshinda niwangapi shule iliwashinda na hawana hata akili ya kujiongeza? Hata wazazi wakiwa maskini kuna umuhimu wakujiongeza huyu mtoto mpeni hongera zake .
@yusuphmbugi8594
@yusuphmbugi8594 3 жыл бұрын
kama alikua ana uwezo wa kulipiwa school bus kwa nn asihamie boarding
@amourflamin2092
@amourflamin2092 3 жыл бұрын
Apewe hongera zanini au kwakuufanikiwa kuwachashule upumbavu huyu kazaliwa kazikuta helazipo kwao alicho kufanya yeye kipi kigumu
@halimamohamed2146
@halimamohamed2146 3 жыл бұрын
Shule si kila kitu kinachokufanya ufanikiwe maishani ni uwe na mwelekeo maishani na ujue unataka nini big up Zena sharif would like to meet you one day am from kenya a lady like you 🤣🤣🤣
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 3 жыл бұрын
Wee uliesema shule si kila kitu pia kumbuka unaweza kosa shule na ukakosa vyote pia maisha na shule kuna wanaokosa vyote, hapa inategemeana mfano kwa mtoto anaetoka familia ya kimasikini ama hali duni Kwake shule ni mkombozi msimdanganye, lakni kwa ambao kwao uwezo upo shule sio lazima kwani hata akiacha anaweza Pewa mtaji kirahisi na akafanya mambo makubwa lakni mtoto wa masikini akiacha aseme apambane aisee mtoko wake ni mgumu na inachukua muda mrefu Sana na pengine asipate kabisa ndugu zangu watu wengi mnaosikia oh sijui nilianza na nn leo niko hapa sijui saivi ni tajiri sio Kweli, angalia akina MO utajiri ni wa baba zao, Alihaji Aliko Dangote babu yake alikuwa ni tajiri mkubwa Nigeria akamwachia mwanae ambae ndo baba wa Aliko Dangote leo huyo hapo tunamsikia, lakni alisoma na ana Bachelor degree of business administration hivyo alienda kusoma ili aje kusimamia biashara na Kama ni mtaji alipewa mtaji sio wa kitoto, hivyo sio kila anaeonyeshwa mtandaoni anajinadi oh mm tusiige, ni dada mmoja eti nilianza kupika Makande na leo nina ofisi kubwa ya kuuza Makande ukiangalia amesoma Marekani ndo akaja Tanzania hivi mtu Aliesoma Marekani unadhani wazazi wake walikuwa kapuku na hakuwa na Scholarship, Kaja kapewa mtaji lkni anakuambia oh niwashauri wasomi wasikae tu, wabuni vitu vya kufanya hivi Nani asie penda kufanya kitu shida atatoa wapi mtaji wa kufanya hicho kitu ndugu zangu.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 жыл бұрын
Shule mara nyingi ni tumaini la maskini kupata kazi nzuri kama wazazi wanahela Shule ni waste of time
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 жыл бұрын
Huu ndio upumbavu wetu wa Africa kusoma sio lazima uajiriwe, kusoma ni kufuta ujinga,hata ukiwa na biashara yako mwenyewe ukisoma huibiwi kirahisi
@nanaleetz
@nanaleetz 3 жыл бұрын
Umeongea utopolo majinaa mpk unatia hurima walai
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 жыл бұрын
@@NR-ll4sr Hakuna mwenye hela mjinga.... Na kusoma si mpaka uende shule..... kuna home schooling na matajiri wengi watoto wao wanasomea nyumbani na wanafanya vizuri.... Shule ni ujinga hata alieanzisha Shule hakusoma
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 жыл бұрын
@@nanaleetz Umesemaje? Kiswahili chako si cha nchi hii 🤣🤣
@itshaluastyle
@itshaluastyle 3 жыл бұрын
Mishonoya vitenge MAHARUSI nk bonyeza link pia usisahau kusubscribe kzbin.info/www/bejne/e6WVh2Ckprtqeas
@tphj2913
@tphj2913 3 жыл бұрын
Kumbe pesa toka mwanzo ipo umepewa mtaji wa kutosha 😂😂😂
@nuruyusuf650
@nuruyusuf650 3 жыл бұрын
Nasaba ya mtume nywele ziko wazi subhana Allah
@omarsharifa5606
@omarsharifa5606 3 жыл бұрын
Mikono iko nje
@omarsharifa5606
@omarsharifa5606 3 жыл бұрын
Swag hio mtajuaje ana singaa
@khadijaaliy9263
@khadijaaliy9263 3 жыл бұрын
Mtihani kwa kweli nasabu ya Mtume (SAW) hawako hvo aseme2 ni muarabu lkn so ktk nasabu hyo
@shufaakhamis4548
@shufaakhamis4548 3 жыл бұрын
Mwambie huyoo
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 3 жыл бұрын
Sawa kwao zipo vizuri ndio mana akaacha shule PESA IPO HATA MIMI ZINGEKUWEPO NIHANGAIKE NA MADAFTARI YA NINI
@tamemahmad9902
@tamemahmad9902 3 жыл бұрын
Apo sasa
@milermiler1504
@milermiler1504 3 жыл бұрын
HAHAHAHHAHAHAHA
@benjamininyambaso5041
@benjamininyambaso5041 3 жыл бұрын
Tuliofanikiwaa kuachaa xhulee kama dada,ila kwasisi homee kunaukapuku tujuanee hapaa😂😂😂
@zalhayahya2413
@zalhayahya2413 3 жыл бұрын
Umenichekesha
@Munirahamisi53
@Munirahamisi53 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@zuhuraimran3659
@zuhuraimran3659 3 жыл бұрын
😂😂😂
@kubrymtutala1736
@kubrymtutala1736 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@victorwhitte
@victorwhitte 3 жыл бұрын
🤣🤣😂😂🤣🤣, kama kwenu baba yako na mama yako (familia yenu kiujumla) hakuna mchele "umate mate" usijaribu hyo upuuzi
@ashrafkaniki5805
@ashrafkaniki5805 3 жыл бұрын
Kbsaa😂
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 3 жыл бұрын
Hahahaha
@jamilaathumani9004
@jamilaathumani9004 3 жыл бұрын
Nasibu ya mtume sasa usiweke kichwa waz nywele izo zinaonekana wewe umebeba jina kubwa la mtume wetu sw ,,mana wewe nishalifu
@sherin3171
@sherin3171 3 жыл бұрын
Sasa huyu kwao walikua na pesa ... aseme tu ataka kujulikana sana
@kabyjxjrd9874
@kabyjxjrd9874 3 жыл бұрын
Huyu ni kiki tu hkuna kizazi chochot kilobkia kwenye nasabu ya mtume
@abdulazizijuma226
@abdulazizijuma226 3 жыл бұрын
@jamila athumani na wewe umedanganywa umeamini ukoo wa mtume!!!!!
@atfyahabdulfatah3197
@atfyahabdulfatah3197 3 жыл бұрын
Hhhhhhh ety kuwa sharifu ndo kizazi cha mtume bc tupo weng maana hata mm ni sharifu na nasabu yng inatokea YEMENI pia
@ibnismail8831
@ibnismail8831 3 жыл бұрын
@@atfyahabdulfatah3197😁
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 3 жыл бұрын
Hongera Sana... Mungu hawezi kukunyima yote.
@owlbig
@owlbig 3 жыл бұрын
I love her ♥️🔥🇧🇮
@ickymirigo9743
@ickymirigo9743 3 жыл бұрын
Na pesa zinachangia 😁Asa we kapuk acha shule uone 😋
@happygibson8517
@happygibson8517 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂wakishua huyu
@JKQGAME
@JKQGAME 3 жыл бұрын
Mtoto wa kifaru siuangarie hata rangi ya kinyaturu hiyo
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 жыл бұрын
Acha shule utakula msoto hadi njaa ikuzoee
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 3 жыл бұрын
Yaani acha shule uone uwe punda wa mtaani
@theatushafamily4977
@theatushafamily4977 3 жыл бұрын
U can have the money. To invest but if you don’t have a great connection everything is zero😂😂.
@tztanzania2262
@tztanzania2262 3 жыл бұрын
What connection you mean??
@baga4670
@baga4670 3 жыл бұрын
Money means connections
@aminajuma6352
@aminajuma6352 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@colinmlay3756
@colinmlay3756 3 жыл бұрын
Daah! Awesome..👍
@saudatkiuta5060
@saudatkiuta5060 3 жыл бұрын
Ishikilie Sana elimu usimwache aende zake 🤔🤔🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
@danieltuya3089
@danieltuya3089 3 жыл бұрын
Haaaaa umetxha
@nanaleetz
@nanaleetz 3 жыл бұрын
Oya uyo sio tajiri kwanza familia yake ndo tajiri kwhy ikambeba ila angeanzia chini ndo ungesema tajir Alafu kavivu😂😂😂kusoma hahahhahhaa
@aminsalimali793
@aminsalimali793 3 жыл бұрын
ZENA NA KUFUATILIA SANA NA KUKUBALI SANA ILA HILI LA UKO WA UTUME HUUU NI UWONGO UTUPU MUNGU ALIUONDOA UKOOO WA MTUME
@SGL_tz
@SGL_tz 3 жыл бұрын
What is really the meaning of Hijab? Kajielezea vzur but hio hijab imekua kofia kwa kichwa au ni kitu chakuheshimiwa katika dini.......coz why aivae nusu!!!!!! WAISLAM MPOOO!!!! Sawa Ni tajiri, but sio matajiri wote wana hojiwa why #SIMULIZINASAUTI. Nyie fanyeni ivo TRA WAMUONE.
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 жыл бұрын
☝️ sioni amevaa hijab na amesema ni familia ya mtume, watu wanacheza na dini 🤔
@barakaohani5438
@barakaohani5438 3 жыл бұрын
Maelezo mazur , ILA YAMEJAA CHUKI , TAFUTA PESA KIJANA
@SGL_tz
@SGL_tz 3 жыл бұрын
@@barakaohani5438I was jus curious nothing more... sina chuki coz life n mzunguko wenda ataniajir apo mbelen
@zainabzainab9724
@zainabzainab9724 3 жыл бұрын
Mwenyewe hananishtua..sasa inamaan ngani kwa kichwa.onyesha nywele zote dah but ujui unywele umoja dhambi.njee ziko ngapi kwa kichwa.
@Ahmed-fm5fr
@Ahmed-fm5fr 3 жыл бұрын
Lazima aonyeshe hzo pasta
@mshalewasumu3121
@mshalewasumu3121 3 жыл бұрын
Kabla sjamaliza kuangalia hauwezi shindana kibiashara na mwarabu Kwanza mtoto anazoeshwa biashara bado mdogo hata asiposoma biashara itamuinua
@badrubadran7663
@badrubadran7663 3 жыл бұрын
Mm sijaelewa lkn uyu mdada apa nikama aalisaidiwa na familia yake ndo akawa tajiri sasa anatufunza tuache shule tufate dream mm dream yangu yanpotosha heri nisome kwanza kwetu ukiacha shule naa wazazi wanakuacha sasa ndio utajiunga na vikosi vinavopotosha hapo hujaongea dada heri tusome. Umefanikiwa ju kwenu kuna hela banaa uko na zaree.....usituharibu ety tuache shule kama sishiki heri niendde ivo ivo kuliko kukaa nyumbani....
@salehsaleh548
@salehsaleh548 3 жыл бұрын
Mtangazaji unazinguwa umeganda hapo kwenye shule tu itatusaidia nini uliza mawsali mengine bana...peole wanataka alifanikiwa vipi ktk maisha yake....
@ashuraabby9544
@ashuraabby9544 3 жыл бұрын
Siliza mpaka mwisho kwanza hii ni sehemu ya kwanza hivyo bila shaka Kuna vitu vingi huko mbeleni
@divinebernard2624
@divinebernard2624 3 жыл бұрын
Mhhh Saleh ilo tu njo unataka?ao unataka aulizwe kama huko single ao kipi ili upenye😲😲😄😄🏃🏃nakimbiya mimi
@smknaturalorganic5287
@smknaturalorganic5287 3 жыл бұрын
👏
@zeyanamrope8943
@zeyanamrope8943 3 жыл бұрын
Mhhh. unajinasibisha na Mtume wakat Hassan na Hussein wajukuu wa mtume hawakuendeleza familia. wewe umetokea wapi??
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 3 жыл бұрын
Unafi
@khadijaaliy9263
@khadijaaliy9263 3 жыл бұрын
Muongo2 hyo kua na nasabu ya Mtume so masihara ni muarabu2 asitudanganye
@saidasaid5855
@saidasaid5855 3 жыл бұрын
Apo sasa
@qayyalove2506
@qayyalove2506 3 жыл бұрын
Nmependa
@athumanimvula3718
@athumanimvula3718 3 жыл бұрын
Sio kweli Huseni alikuwa na watoto na waliendelea kuzaliwa.
@sweetyjanne255
@sweetyjanne255 3 жыл бұрын
Mfyuuu Wengine Wanawapaga Hela Muwafanyie Interview Kupata Kiki Mtu Anaonekana Alipewa Mtaji Katoka Ushuani Alafu Mnataka Danganya Watu Waache Shule Jamani Jamani 😃😃😃😃😃😃
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 3 жыл бұрын
From 🇧🇮 Saudia ila jameni mwarabu awana akili 🤣🤣ya Shula ata kidog🤣
@shaimaaaheresi8165
@shaimaaaheresi8165 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 3 жыл бұрын
😁😁😁
@laylahasshim827
@laylahasshim827 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chidyboytz48
@chidyboytz48 3 жыл бұрын
🤣🤣
@jumanasoro8903
@jumanasoro8903 3 жыл бұрын
Uko saudia sehem gani
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 3 жыл бұрын
Umeacha shule kwa sababu nyumbani hela ipo na bussiness umeanzishwa nyumbani. Msije mukaacha shule mukaona mtatajirika kirahisi kama huyu. Huyu kwao tajiri kutoka asubuhi. Kajua ataanzishiwa mradi tuu
@pilihamis9657
@pilihamis9657 3 жыл бұрын
Alaf mm huwa c hamasishwiii na hawaa wanaokuta magar nyumban kwaooo napendaaa inspiration anaetoa toa stor had unahc kweeeel pagumuuuu......sas huyuuu ad alkua anapelekwa na school bus shule🤣🤣🤣🤣
@OmanOman-lr4of
@OmanOman-lr4of 3 жыл бұрын
Kabisa, hata huo mkopo aliamini akishindwa kulipa baba atalipa .
@rayshikeli1577
@rayshikeli1577 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Hapo sasa
@rayshikeli1577
@rayshikeli1577 3 жыл бұрын
@@pilihamis9657 kweli kabisaaaaa,mtu kwao kuna kila kitu,hajui kuteseka kabisa.Twataka wale ambao wamekula msoto mkali.Huyu hakuwa na interest ya masomo kabisa.....😂😂😂😂
@itshaluastyle
@itshaluastyle 3 жыл бұрын
Mishonoya vitenge MAHARUSI nk bonyeza link pia usisahau kusubscribe kzbin.info/www/bejne/e6WVh2Ckprtqeas
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 3 жыл бұрын
Mmm wengine nao waache shule waone moto wake! Uyu dada ukimuona anaonekana mpole, akianza tu kuongea mtu unashtuka kweli sijui kwanini🙉
@mishibabu8946
@mishibabu8946 3 жыл бұрын
Hahaa pia mm nilijua anasautinyororo
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 жыл бұрын
🤣😅😅😂Ana asili ya kiarabu mumesahau, ya kuongea sana
@shanishosho911
@shanishosho911 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 жыл бұрын
Exerctly hutarajii, ni muongeaji sana na atakaye muoa ajiandae 😉😁
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 3 жыл бұрын
@@aminanamoyo83 yani ajipange kuwa msikilizaji tu
@sophiajoseph1461
@sophiajoseph1461 3 жыл бұрын
Asante kwa ukwel bhana kama kichwa hakina kitu bora ujisemee tu😹😹✍
@ELVIRAPRODUCT
@ELVIRAPRODUCT 3 жыл бұрын
Warab huwa hawapendi kusoma siku zote.... Kinacho wasaidia ni biasharaa zao
@johnwilliam5677
@johnwilliam5677 3 жыл бұрын
Huyo ni Mtt wa marehem babu yangu mzaa rafiki yangu wa classmate wangu niliesoma nae kabla cjapata rafik mwingne
@bableekhatibu209
@bableekhatibu209 3 жыл бұрын
Exactly, my sister . Msimamo ni kitu muhimu
@allyteacher7358
@allyteacher7358 3 жыл бұрын
nikweli umzuri masha allha ilajitandevizuri mm kusema kweli nimekupenda kweli
@helpers92
@helpers92 3 жыл бұрын
Lean to learn succes is ahead you
@luifdls6217
@luifdls6217 3 жыл бұрын
nimemfatilia her story and big up to her maana yea even tho anaeza kua ametokea from a family ambayo wanazo but shes a hardworking gal as well,,,ila dada elimu ndo kila kitu yes inaeza isiwe ya maana kwako leo cuz unahela but mali bila daftar hupotea bila habari,,this advice haiapply kwa wote maana inawezapotosha watu wengine kua shule haina umuhimu which is not true 100%,,,afu kuhusu swala la kujiajiri ni mtu tu kua na mtaji na kua na akili ya maisha na ubunifu ila haimaanishi uache shule cuz unaweza kua unasoma na pia unakabiashara chako na kuhusu distance isiwe reason watu wanatembea kutoka vijijin kwenda mjin shule kwa miguu na hata km inachosha but ni kupambana tu maana fursa mtu anazopata akiwa ameelika ni nyingi sana ukiachana na kuajiriwa au kufata routine, mtu anaweza kujisimamia binafsi na kupanga maisha yake bila kuwa dependent kwa watu wengine na inakufanya uheshimike sana,,, kwahiyo hapo nakataa na ushauri unaotoa hapo,,wewe upo different na asilimia ya watu wengi sana ambayo elimu ndo ufunguo wa maisha na pia a good degree will make you so respectable hata ukiwa na hela kiasi tu,,,stay at school!
@rashidikanyama7227
@rashidikanyama7227 2 жыл бұрын
Nimekuelewa saana sana
@elikanakadinda9281
@elikanakadinda9281 Жыл бұрын
xzz
@elikanakadinda9281
@elikanakadinda9281 Жыл бұрын
.
@elikanakadinda9281
@elikanakadinda9281 Жыл бұрын
0qq
@abdullahseif4984
@abdullahseif4984 3 жыл бұрын
Kisharifat huo ni Mtandio au nywele ziko wazi
@naaababy6426
@naaababy6426 3 жыл бұрын
Uyu bdo hajaolewa au
@abdusaalim5228
@abdusaalim5228 3 жыл бұрын
Maashaallaah nimependa stara yako ungekua mkewangu ningesikia raha sana aisee
@jokarotv
@jokarotv 10 ай бұрын
Hatutaki mtuletee watu kama hawa ,,sisi tunataka watu walioanzia chini ,,hawa hawawezi tufundisha kitu sisi,,tunataka wale ambao hawakupewa support kutoka kwa baba wala ndugu,,,,hawa sio Akina sisi
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 3 жыл бұрын
Nasaba ya mtumee umeacha nyewele wazi inalilah wainailahi rajiuun
@busta_malik5971
@busta_malik5971 3 жыл бұрын
Yani kaacha nywele wazi alaf anajisifia et nasaba ya mtume
@samirahmfanga465
@samirahmfanga465 3 жыл бұрын
Innalillah
@abdallahamad4682
@abdallahamad4682 3 жыл бұрын
msiba
@azaniaammad3771
@azaniaammad3771 3 жыл бұрын
Sasa mtu ana jifunza nini hapa next tm mje na vitu vyakueleweka ,kwamba watoto wakishua ndio wana toboa au watu waache shule, sns hapa mme feli
@chamandaayolaiza1535
@chamandaayolaiza1535 Ай бұрын
MTUME 😳 HAPO UMEKOSEA SNA TUBIA UPESI NAUBADILI MANENO YKO MTUME KWELI KAKUFUNZA UNYESHE NYWELE ZAKO MBONA UNAUKOSEA UISILAMU 😭😭 UNAPO MSINGIZIA MTUME BC UMEMSINGIZIA ALLAH. NYWELE UMEZIACHIA NAUNALIJUA HILO ILA UMEAMUA TU 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭UMEIZALILISHA DINI 😭😭😭😭
@joharlijuma9445
@joharlijuma9445 3 жыл бұрын
Masha allah allah akuzidishie dada ufanikiwe zaidi
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 3 жыл бұрын
Acha kuji mwambafai kua na nasabu ya mtume sio sababu ya kujiona "Allah" haangalii nasabu anaangalia Taqwa ndani ya moyo
@user-lt5hc4re2f
@user-lt5hc4re2f 3 жыл бұрын
بارك الله فيك وجزاك الله خير يا أخي
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 3 жыл бұрын
Uhakika
@shufaakhamis4548
@shufaakhamis4548 3 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@saidasaid5855
@saidasaid5855 3 жыл бұрын
Watu Kama hawa huwa wanatabia moja mbaya Sana na mtu wa hivi ukiish nae uwe mtumwa cos anajikweza Sana
@sophiajoseph1461
@sophiajoseph1461 3 жыл бұрын
Kujimwambafai🙆‍♀️😹😹😹😹✍
@Best_wolframmusichub
@Best_wolframmusichub 3 жыл бұрын
Familia wamewekeza hapo asitudanganye.Scaba scuba inajulikana wameshafanikiwa so asituingize mkenge shule muhimu....
@dotosalim5090
@dotosalim5090 3 жыл бұрын
Namm namjuwa uyo mzee ckaba mwenye pesa zake
@subirajohn728
@subirajohn728 3 жыл бұрын
ni kweli asitudanganye shule muhimu!
@aishahela1735
@aishahela1735 3 жыл бұрын
Ksbisa asitudanganye tupike keki kazi hizo tumuachie shilole
@kelvinclesh8792
@kelvinclesh8792 3 жыл бұрын
Ebu fikili angekuwa mtoto wa mkulima huyu, Baba na mama washika jembe Bush hivi angeongea upuuzi wake huo, angeweza acha shule kwelo akamsaidie babayake kazi ya shamba. Huyu alijua hana chakupoteza coz alijua familia anayotoka ni loyal family.
@kangabell16
@kangabell16 3 жыл бұрын
She go lakin anasupport ya familia pia yaaan kwao wako vizuri sio kwamba ametoka shimon afu anachozunguzia ni mafanikio ya kawaida kwa watoto wa kishua story za kusisimua za maisha kama erick shigogo ivi jaman ametumia nguvu zake Lyke 90%
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 жыл бұрын
Sasa huyu kashikwa mkono na wazee wake pesa kwao ipo kinachotekea kitu gani mafanikio tuu ata dada zetu mboga moja wanajituma kinoma ila bado wana yumba na kila biashara wanafanya ngoma ngumu maisha hadi ushikwe na watu ndo wende tena wenye navya maisha ni kma pakacha ukitia maji yanavuja maisha hadi uchenguke huyu ata shida hajapata mtoto hana ata wasi huyu wakati wajota anakoga wakati wa baridi anakoga wakati sisi huku wakati wa baridi tujipija mafuta ya nazi
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@middleplatnumz3629
@middleplatnumz3629 3 жыл бұрын
Mtume mpya kutoka Yemeni😂😂😂 Nilipofanikiwa kuacha shule😂😂😂 Mwarabu na shule wapi na wapi😂😂😂😂
@hamonyyusto9907
@hamonyyusto9907 3 жыл бұрын
Du!
@ZainabAtuli
@ZainabAtuli 3 жыл бұрын
Nnaboss wang mwarab hajui kusoma vooh, si wa kingereza wala kiswahili, yy ajua kuongea Arabic tu, na jamaa zake huja kutoka Oman naona wote si wa kusoma wala kuandika ni mtihani tu
@buusaadia6449
@buusaadia6449 3 жыл бұрын
Njoo inchi za kiarabu utaona elimu vip kwa mwarab... unaonekana hujawai kusafiri hahahahah
@allyteacher7358
@allyteacher7358 3 жыл бұрын
masha allha mrembo mzuru sana ilafunikanywelezao
@ayoubsuleiman3675
@ayoubsuleiman3675 3 жыл бұрын
Jmn Mtoto mzr na ametoboa maisha kiukwel wasichana wenzake naona wanavyo chukia nakumponda huyu mrembo jmn Shariifu au Saydah komaaa zaidi wanao kuhusudu washiiiiti
@achawanunetv1167
@achawanunetv1167 3 жыл бұрын
We dada acha kutudanganya kwa nini usipelekwe karibu na shule sema tu ulitaka kuacha shule
@rayshikeli1577
@rayshikeli1577 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Umeonaeee
@abubakaryalmas7673
@abubakaryalmas7673 3 жыл бұрын
Kabisa alikua sio msomaji lakini asisingizie umbali watu wanasoma kwa tabu na mbali lakini wanawah shule
@moureenanyango4591
@moureenanyango4591 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@jumayahya2661
@jumayahya2661 3 жыл бұрын
Izo nywe nibiashara nazo?
@allyrashid1770
@allyrashid1770 3 жыл бұрын
Unavinasab vya mtume kwa sifa ipi nywele was unaongea macho yot ju ju mh Mimi naoka
@ndossiadventurestz.6796
@ndossiadventurestz.6796 3 жыл бұрын
Kwenye interview Kama iyo muwe mnampa mtu Mike akae nayo mwenyewe
@salahmbarouk3526
@salahmbarouk3526 3 жыл бұрын
Jistir kwnza halafu utajtangazia nasabu ya mtume na mafanikio ya dunia ni muhim kwa binadam lkn usisahau na ya huko akhera izo nywele zihifaz mdogo wangu 🙋
@liibaanlugcad8839
@liibaanlugcad8839 3 жыл бұрын
Keep going bro
@maatumkadhi1760
@maatumkadhi1760 3 жыл бұрын
Hakuna shareef anaeacha kujistiri tena tunaomba usijinasibishe na mtume wetu muhamad s w.a halafu ukiwa huwez kujistir ni kher ujinasbishe na beyonce
@ziadasalim1459
@ziadasalim1459 3 жыл бұрын
Kabisaa asituchafue bana ye aendelee kukaa uchi tu,
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 жыл бұрын
Msijidanganye,,,hakuna mashariff dunia ya leo,,ukijifunika au usijifunike hakunaaa
@dianaferdinand7546
@dianaferdinand7546 3 жыл бұрын
Dini yenu ya kuhukumiana. Ishini maisha yenu, kama pepo mtaiona nyie ila sii kwa kuhukumu wengine.
@eliassabbath2480
@eliassabbath2480 3 жыл бұрын
tangu lin mwarabu awe na akili ya kusoma😂😂😂
@patricknduwimana2840
@patricknduwimana2840 3 жыл бұрын
Si ndo nashangaa
@eliassabbath2480
@eliassabbath2480 3 жыл бұрын
@@patricknduwimana2840 🤣🤣🤣
@zinbormdan9813
@zinbormdan9813 3 жыл бұрын
Umeon eee
@angelzighe4254
@angelzighe4254 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ghanimaali4507
@ghanimaali4507 3 жыл бұрын
aongea kma cherahani
@neemainabikorwa5570
@neemainabikorwa5570 3 жыл бұрын
Allah ayibariki kazi ya mikono yako
@aishaissa2249
@aishaissa2249 3 жыл бұрын
Hii hainuhusu baba mwenyewe anadaiwa kwa mangi halafu anichukulie mkopo benk😂😂😂😂😂😂Mungu akubariki kila mtu na rizki yake.
@yusuphmbugi8594
@yusuphmbugi8594 3 жыл бұрын
hicho kiswahili anachoongea huyo dada sio Cha form two kwakeli, 😜😜🤣
@salumbabesh8828
@salumbabesh8828 3 жыл бұрын
labda sharif majini
@yusuphmbugi8594
@yusuphmbugi8594 3 жыл бұрын
Acha watu wafuate mkondo
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Woyoooooooooo👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏hongera sana binti
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 жыл бұрын
Tena mtanga mwezangu jaman nina bahati miyee dah nisaidiye angalau pesa ya mtaji
@mussanassoro790
@mussanassoro790 3 жыл бұрын
Watoto wa masikini someni aiseee huyu kwao tayari walishantengenezea mazingira ohooo kama unahustle usimkatishe tamaa anaesoma na kama unasoma usimkatishe tamaa anaehustle kila mtu na njia zake
@abubakaryalmas7673
@abubakaryalmas7673 3 жыл бұрын
😂😂😂 Account ipi hiyo isiyo na hesabu? Hahaha Umesikia wap eti
@marthamatheo3471
@marthamatheo3471 3 жыл бұрын
image alikuwa anakwenda shule kwa gari 🤔🤔lkn analalamika umbali ulimchosha je wale wanaoenda kwa miguu shule na shule zipo mbali kweli wakishua huyu
@aminasoma8840
@aminasoma8840 3 жыл бұрын
💃💃🙄🙄🙄🙄 jamani hahaha AstakafiriAllah nasaba ya mtume duh bora salama nywele ziko wazi basi hongera habithy
@adbashtv6701
@adbashtv6701 3 жыл бұрын
Ila huyu dem anaongea mnooo😂😂😂😂😂 Au ndokameza memort yangu
@winfridagama2042
@winfridagama2042 3 жыл бұрын
Memort
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 51 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 7 МЛН
KIPI BORA KATIKA UANZAJI WA BIASHARA YA MTUMBA!
14:11
SLAY WITH LOARA MWANZA
Рет қаралды 719