Embu acheni majungu huyo msichana ni selfmade millionare kuna watu wanawazazi wenye fedha na hawawezi kizitumia hizo fursa salute kwako dada
@benclassic68613 жыл бұрын
Hongera kwa office kali
@husseinwemmar62173 жыл бұрын
I was not able to watch the whole interview cause the story does not inspire a poor child as it discourages education which is the only way for a poor child. Zainab had a very bright future ahead due to a concrete family background as she was working while at school that means there was a push behind her that encouraged her and had no fear to fail which everyone of us was missing. Kwa ufupi masikini tusome tusidanganyike na hawa watu wenye familia zenye uwezo.Unaacha shule kivipi.
@haanyalmsalmy62463 жыл бұрын
U have said it all....yy tayar anatoka kwny familia yenye uwezo...
nani aliesikia "nilipofanikiwa kuacha shule"😀😀 a gonge like hapa
@DuniayaHabari3 жыл бұрын
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako kzbin.info/www/bejne/r5acoX15nM-lh7c
@trishtrish23493 жыл бұрын
Nimesikia. Ana bahati familia yao ina uwezo . Wengi wetu tunangangana na masomo kwa sababu wazazi wetu walifikiri that was the only way to make it.
@mrsliverpool42353 жыл бұрын
@@trishtrish2349 Ndio the only way unaweza kuajiriwa na hicho cheti
@trishtrish23493 жыл бұрын
@@mrsliverpool4235 Cheti husaidia but not all the time . Many times uta realise masomo hai endani na kazi ambayo we end doing.
@mrsliverpool42353 жыл бұрын
@@trishtrish2349 kina umuhimu wake Lakini, ni vizuri kua nacho kama I'd
@lenniefei67103 жыл бұрын
Allah haangalii ukoo ama nasaba ya mtu cha Muhimu kwake Ucha Mungu(TAQWA)
@ugonjwanadawa50413 жыл бұрын
Familia ya kitajiri kufanikiwa ni kwaida hahaaha , kingine kumbuka huyo ni ngozi ya yemeni
@user-cx4jc1wn2e3 жыл бұрын
🤔🤔
@sashasasha92533 жыл бұрын
Nasab ya mtume haipo Tena hapa duniani Hamna kujibasib na imefanywa hivyo kwasababu ilijulikana Kuna watu watakuja kujidai au kujitofautisha na wengine kwajifanya wao ni nasab ya mtume
@user-cx4jc1wn2e3 жыл бұрын
@@sashasasha9253 wako NASAB wamtume wako
@ToneTone-ll3qb5 ай бұрын
@@sashasasha9253haha huo niuongo bwana Nasabu ipo bibie ila wengi wajinasibisha kwakwe
@lareineminah13533 жыл бұрын
Huu sasa pisi kaliii👌🏾👌🏾👌🏾 Ila mkono wa wazazi umechangiya ALLAAH azidi kuku endelezaaa
@sekymwasumbi19383 жыл бұрын
Guys Embu acheni roho za korosho bhana... Hajasema watoto zenu waache shule, wewe unayeamini in education well and good. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, sio wote watoto wa mboga Saba wana uwezo wa kufanya hicho alichokifanya! Keep up girl!
@yasirhassan74383 жыл бұрын
Sawa
@mdzainb37223 жыл бұрын
Mmi nikajua kapambana mwanzo mwisho mwenyewe kumbe kwao pesa na viwanja vipo 😅😅😅
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Jamani nothing is impossible..tuendeleze hustle..usikate tamaa.
@marthamanjale70673 жыл бұрын
nakubali vijan
@edishaa31083 жыл бұрын
Nasabu ya MTUME alafu unatuonyesha mkia wa farasi kichwan duu... Pole sis
@mirfatali69603 жыл бұрын
Very true
@UserZ7713 жыл бұрын
nice words
@maryanshariph67783 жыл бұрын
I also belong there bt it doesn't min unajionyesha
@user-cx4jc1wn2e3 жыл бұрын
We are bin hashim 🤷🏽♂️
@user-cx4jc1wn2e3 жыл бұрын
@@maryanshariph6778 what is wrong with u guys
@ndengeyepatrick11083 жыл бұрын
Hongera sana Sister kwa baba mzazi, ni neema laki pekee kumpata baba mwenye usikilivu kama yeye.🇨🇩
@zennakailo81063 жыл бұрын
Zenna wajina jamani Etiii ulifanikiwa kuacha shule😜😅😅😅hongera zenna km zenna
@therealbriannoel73893 жыл бұрын
She's really intelligent..elimu ya Tanzania haiwezi kuhandle akili kama ya huyu dada thank God she found her true calling. Congrats!!
@abukhaulatibrahim75213 жыл бұрын
Naamin hili hujaliona peke yako, angekua juu angekua NASA
@bosssoul255211 ай бұрын
Bulshit
@fadhilaliussi74213 жыл бұрын
Haya sasa watoto wa kitanzania nanyinyi acheni shule mumeone mwisho weyu 🤣😃😂😂 jamani naombeni like hapa
@mwajumakassim66323 жыл бұрын
hahahaaa
@saidmkilya84543 жыл бұрын
Mashallaah
@saidmkilya84543 жыл бұрын
Mtangazaji chukua Like yako Napenda sana unavyo chomeka maswali
@saidmkilya84543 жыл бұрын
Still you came from rich family
@abuubakar9873 жыл бұрын
hahahaha
@emanigirls54443 жыл бұрын
Mabrouk Alf Mabrouk ukhty. You are very inspiring girl at your tender age and being a muslim girl. Big up to your parents and entire family. Radhiya Qoyan commenting.
@mordally3 жыл бұрын
Nakupa hongera kwa bidii ya muendelezo wa utajiri na kujituma, baba akiwa mwalimu, ila nakusihi ukasome vizuri uislam na historia kamili ya mtume, usije ukajinasibisha na ukoo wa Rasula Allah, kumbe unainganishwa na ukoo wa mjomba wake mtume Abuu Jahal.
@mutwalesylvie74433 жыл бұрын
Nice sana kazuri nakupenda na pesa unazo mashallah
@feiz31803 жыл бұрын
Yaani watz wengi wanachoyo mwenzao akifanikiwa. Nimepitia maoni ya wengi na nimeona yaani ROHO mbaya kweli. Poleni. Mungu atamlinda huyu dada na macho yenu ya UHASIDI poooo
@faudhiyahimidi21293 жыл бұрын
Hajapondwa ila kapotosh mn yy yupo family ya kitajir then kajinasbish na mtume yaan mtum nasab yak iliishy njian iko hiv
@feiz31803 жыл бұрын
@@faudhiyahimidi2129 choyo jitathmini.
@faudhiyahimidi21293 жыл бұрын
Wal cn choyo upo mm maish yng ctoyatoa mitandaon wal ctojip nasab zilokuw cfanan naz hooi
@feiz31803 жыл бұрын
@@faudhiyahimidi2129 kwani ungenyamaza ingejuwa nini?. Kila kitu museme. Mengine muyapishe.
@UmiMarya6 күн бұрын
Kwani kaongea kipi kibaya jomn
@kudrajuma25763 жыл бұрын
Acha zako Dogo we inspire watu wasome ,we mtoto wa kixhua ndio maana imekuwa hivyo.my fellow students strive to excellent.
Mnatakiwa muwe waelewa huyu binti hajsema muache shule yeye anatoa storia yake na la kujifunza ni kua kufanikiwa maisha sio lazma usome mpaka uwe na madigirii
@mgosimkome92423 жыл бұрын
Jamani lakini msidanganye watu waache kusoma eti kisa mtu flani aliacha shule na akafanikiwa, huyu anaonekana uwezo wake pia haukuwa mzuri darasani hivyo akaona anapoteza muda tu akiangalia kwao maisha ni mazuri maana amesema kwao kuna ma hardware, maviwanja mengi hivyo alikuwa na uhakika wa kupata mtaji, sikiliza anasema hakuwa na target yoyote kuhusu shule huko mbeleni, so ukiingia shule ukiwa huna malengo basi shule lazima uache, mm nimemsikiliza vizuri hadi mwisho kuwa hakuwa na uwezo. Hivyo ndugu zangu tusiige .
@moreenrespishazy293 жыл бұрын
Watu wagumu kuelewa ila wepesi kunakili
@pendoshao95193 жыл бұрын
Kabisa yani kila mtu anauelewa wake
@jawaadfahad41553 жыл бұрын
Amesema sharifu nasaba ya mtume alaf nyele wazi dadangu waonesha picha gani hapo???
@abdallahamad46823 жыл бұрын
ndo hapo sasa sjui mtume gani uyoo ahahaha
@youngbreezy66153 жыл бұрын
Kwa sisi ambao tunafatalia successfull people in the world na kueleza wao wamefanikiwa vipi wengi wao mafanikio yao yameanza from zero to hero but huyu mdada inaonesha kwao kuna hela then baba ake amechangia asilimia kubwa katk kufanikiwa kwake lakn sio SELFMADE but all in all hongera
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Amejitahidi ila utajiri wake sio wa kujivunia Sana kwa sababu ya background yake
@shaluissa31843 жыл бұрын
Wa kwanza Leo jamani like bas
@DuniayaHabari3 жыл бұрын
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako kzbin.info/www/bejne/r5acoX15nM-lh7c
@muniradaudi4403 жыл бұрын
Mashallah na atusaidiye sisi masikini mana twafaa njaaa.
@lil-masougee73883 жыл бұрын
Huyu dada nilisoma neye jaman duh mashaallah mungu akufungulie tena na tena
Khadija Abdulqadir nyie msio na pesa ndio inatakiwa mfuate sheria zote
@jumanasoro89033 жыл бұрын
Yusuph kumbuka kwamba wewe ni muislaam acha kejeli,kukejeli sheria za dini humtoa mtu kwenye uislaam. Chunga ulimi wako ndugu yangu
@jumanasoro89033 жыл бұрын
Khadija Mashallah uko sahihi kujisitiri sio lazima usiwe na hela, wangapi wanamiliki mabilioni ya mapesa lakini wanajisitiri kisheria
@wilfredelimeleki45433 жыл бұрын
@@yusuphmwalunu2307 🤣🤣
@maestrojayysule56603 жыл бұрын
Uyo hajatafuta pesa kwao zipo. Ache ni kupotosha masikini
@kubrymtutala17363 жыл бұрын
Kweli kabisa, hawa watu sio wakuwaiga kabisa....yaani huo utajiri sio wakwake ni support kutoka kwenye Famili yake... Angalia shule aliyekua anasoma ni UPANGA hii sehemu wanasomaga watoto wa kishua sana..asitudanganye hapa
@aisha-ro5fr3 жыл бұрын
Kweli kabsaaa
@mct22273 жыл бұрын
Mm namjua sana babaake sio maskini
@shadyajecha18703 жыл бұрын
Kweli
@yunyun7993 жыл бұрын
@@kubrymtutala1736 😂😂
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Hustle kama hustle👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@footballprayers1323 жыл бұрын
Ety ana unasaba na mtume mmmh naomb npte kdg mm........ half we kapuku mwezng acha shule thn uone na ufala wako
@ashaally66623 жыл бұрын
😂hajafunika hata kichwa vizur
@abubakaryalmas76733 жыл бұрын
😂😂😂 Apo akili kichwani mwako, ukimfatisha huyu utapotea. Ina maana uo umbali alikua yeye tu anasoma kutoka mbali? Alafu kuna school buss sasa kama mukichelewa kosa si la dereva iweje adhabu apewe mwanafunzi? Uyu alikua hapendi shule tu ila asiongope umbali
@rahmahassan32063 жыл бұрын
Jamani umeshindwa kujistiri vzr hicho kichwa dada? Mbona mnautupa uisilamu hivi ndiyo kwenda na wakat sindio, Allah anakuona
@salmamohammad56143 жыл бұрын
Lol ww sharifu kisha wasema uko na nasaba ya mtume then shungi wazi huna hata haya jiheshimu
@aminamohamed18283 жыл бұрын
Hawa waarabu koko wanapenda kujishaua sana nahawana lolote wamepotea kweli Allah atunusur
@milermiler15043 жыл бұрын
@@aminamohamed1828 Kabisaa
@halimaamini80153 жыл бұрын
Usisubutu kuacha shale kufata huyu dada huyu ni wakishuwa 😂😂😂 katoka shule naingia kwenye campun ya mdingi zingatieni ilo
@azizially7813 жыл бұрын
Mamb
@am_fashabi38883 жыл бұрын
Congrats sister ni Mimi kakako all the way from lamu kenya njoo unichukue Allah barik lakum
@JKQGAME3 жыл бұрын
Aliye sikia mshua kanipiga kampani like zangu jamani kwa wale kapuku Kama mm tunaozidi kuasi kila jua likichomoza hakuna Cha mshua kampani au Cha boss kampani wewe Kama wewe ndo nawataka hapa
@davidboniphace81593 жыл бұрын
Hao waarabu in nature huw hawapend shule Wana vichwa vigumu San kuelew darsna
@muniradaudi4403 жыл бұрын
Mungu wang jaman
@muskanabdulrazak65153 жыл бұрын
Kweli
@davidboniphace81593 жыл бұрын
@Warda Ahmed muongo warda Ahmed nd nature yen bhna
@davidboniphace81593 жыл бұрын
@Warda Ahmed 👍🤞
@akshaydavid1593 жыл бұрын
We mtangazaji acha ufala, tunahitaji utuletee tajiri ambae ni self-made sio Hawa mboga saba wanaopata mitaji kirahisi na sapoti ya nguvu kutoka kwa wazazi au ndugu.
@feiz31803 жыл бұрын
umemsikiliza vizuri. Huyu dada ni amejitahidi. Pengine wewe ungekuwa katika nafasi yake ungelifeli tu. Anacho kipaji na wazee wake wamesimama na yeye na kufanikiwa kwake anasaidia ambao hawana uwezo. Very creative.
@faridakidoti67343 жыл бұрын
Ishu sio kutoka kwenye ushua ishu ni akiri yake tu ipo vizuri Kuna watu wametoka familia tajiri ila hawana chochote kile
@maryamomary95963 жыл бұрын
Naam
@aishahamoud28323 жыл бұрын
Kabisa👋👏👋
@abubakarmahad31013 жыл бұрын
Mm naona anaongeza pesa kwao tu maana zipo
@mohabatkhanmalak11613 жыл бұрын
I am of the opinion that education is more vital now, in todays world. This is my advice to our youngsters - if you have to make a break from your studies do it, but later on finish your diplomas and degrees. For Africa, education is the key.
@souvenirweber71693 жыл бұрын
Sijui watoa comment za matusi na lawama kwa huyu mtoto sijui zinatoka wapi .huyu mtoto yuko real anasemesha ukweli wake kuwa shule ilimshinda niwangapi shule iliwashinda na hawana hata akili ya kujiongeza? Hata wazazi wakiwa maskini kuna umuhimu wakujiongeza huyu mtoto mpeni hongera zake .
@yusuphmbugi85943 жыл бұрын
kama alikua ana uwezo wa kulipiwa school bus kwa nn asihamie boarding
@amourflamin20923 жыл бұрын
Apewe hongera zanini au kwakuufanikiwa kuwachashule upumbavu huyu kazaliwa kazikuta helazipo kwao alicho kufanya yeye kipi kigumu
@halimamohamed21463 жыл бұрын
Shule si kila kitu kinachokufanya ufanikiwe maishani ni uwe na mwelekeo maishani na ujue unataka nini big up Zena sharif would like to meet you one day am from kenya a lady like you 🤣🤣🤣
@mgosimkome92423 жыл бұрын
Wee uliesema shule si kila kitu pia kumbuka unaweza kosa shule na ukakosa vyote pia maisha na shule kuna wanaokosa vyote, hapa inategemeana mfano kwa mtoto anaetoka familia ya kimasikini ama hali duni Kwake shule ni mkombozi msimdanganye, lakni kwa ambao kwao uwezo upo shule sio lazima kwani hata akiacha anaweza Pewa mtaji kirahisi na akafanya mambo makubwa lakni mtoto wa masikini akiacha aseme apambane aisee mtoko wake ni mgumu na inachukua muda mrefu Sana na pengine asipate kabisa ndugu zangu watu wengi mnaosikia oh sijui nilianza na nn leo niko hapa sijui saivi ni tajiri sio Kweli, angalia akina MO utajiri ni wa baba zao, Alihaji Aliko Dangote babu yake alikuwa ni tajiri mkubwa Nigeria akamwachia mwanae ambae ndo baba wa Aliko Dangote leo huyo hapo tunamsikia, lakni alisoma na ana Bachelor degree of business administration hivyo alienda kusoma ili aje kusimamia biashara na Kama ni mtaji alipewa mtaji sio wa kitoto, hivyo sio kila anaeonyeshwa mtandaoni anajinadi oh mm tusiige, ni dada mmoja eti nilianza kupika Makande na leo nina ofisi kubwa ya kuuza Makande ukiangalia amesoma Marekani ndo akaja Tanzania hivi mtu Aliesoma Marekani unadhani wazazi wake walikuwa kapuku na hakuwa na Scholarship, Kaja kapewa mtaji lkni anakuambia oh niwashauri wasomi wasikae tu, wabuni vitu vya kufanya hivi Nani asie penda kufanya kitu shida atatoa wapi mtaji wa kufanya hicho kitu ndugu zangu.
@BigZhumbe3 жыл бұрын
Shule mara nyingi ni tumaini la maskini kupata kazi nzuri kama wazazi wanahela Shule ni waste of time
@NR-ll4sr3 жыл бұрын
Huu ndio upumbavu wetu wa Africa kusoma sio lazima uajiriwe, kusoma ni kufuta ujinga,hata ukiwa na biashara yako mwenyewe ukisoma huibiwi kirahisi
@nanaleetz3 жыл бұрын
Umeongea utopolo majinaa mpk unatia hurima walai
@BigZhumbe3 жыл бұрын
@@NR-ll4sr Hakuna mwenye hela mjinga.... Na kusoma si mpaka uende shule..... kuna home schooling na matajiri wengi watoto wao wanasomea nyumbani na wanafanya vizuri.... Shule ni ujinga hata alieanzisha Shule hakusoma
@BigZhumbe3 жыл бұрын
@@nanaleetz Umesemaje? Kiswahili chako si cha nchi hii 🤣🤣
@itshaluastyle3 жыл бұрын
Mishonoya vitenge MAHARUSI nk bonyeza link pia usisahau kusubscribe kzbin.info/www/bejne/e6WVh2Ckprtqeas
@tphj29133 жыл бұрын
Kumbe pesa toka mwanzo ipo umepewa mtaji wa kutosha 😂😂😂
@nuruyusuf6503 жыл бұрын
Nasaba ya mtume nywele ziko wazi subhana Allah
@omarsharifa56063 жыл бұрын
Mikono iko nje
@omarsharifa56063 жыл бұрын
Swag hio mtajuaje ana singaa
@khadijaaliy92633 жыл бұрын
Mtihani kwa kweli nasabu ya Mtume (SAW) hawako hvo aseme2 ni muarabu lkn so ktk nasabu hyo
@shufaakhamis45483 жыл бұрын
Mwambie huyoo
@dasilvajunior30163 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@fakihdarusi43853 жыл бұрын
Sawa kwao zipo vizuri ndio mana akaacha shule PESA IPO HATA MIMI ZINGEKUWEPO NIHANGAIKE NA MADAFTARI YA NINI
@tamemahmad99023 жыл бұрын
Apo sasa
@milermiler15043 жыл бұрын
HAHAHAHHAHAHAHA
@benjamininyambaso50413 жыл бұрын
Tuliofanikiwaa kuachaa xhulee kama dada,ila kwasisi homee kunaukapuku tujuanee hapaa😂😂😂
@zalhayahya24133 жыл бұрын
Umenichekesha
@Munirahamisi533 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@zuhuraimran36593 жыл бұрын
😂😂😂
@kubrymtutala17363 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@nancyg86643 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@victorwhitte3 жыл бұрын
🤣🤣😂😂🤣🤣, kama kwenu baba yako na mama yako (familia yenu kiujumla) hakuna mchele "umate mate" usijaribu hyo upuuzi
@ashrafkaniki58053 жыл бұрын
Kbsaa😂
@subrynerysegerow13233 жыл бұрын
Hahahaha
@jamilaathumani90043 жыл бұрын
Nasibu ya mtume sasa usiweke kichwa waz nywele izo zinaonekana wewe umebeba jina kubwa la mtume wetu sw ,,mana wewe nishalifu
@sherin31713 жыл бұрын
Sasa huyu kwao walikua na pesa ... aseme tu ataka kujulikana sana
@kabyjxjrd98743 жыл бұрын
Huyu ni kiki tu hkuna kizazi chochot kilobkia kwenye nasabu ya mtume
@abdulazizijuma2263 жыл бұрын
@jamila athumani na wewe umedanganywa umeamini ukoo wa mtume!!!!!
@atfyahabdulfatah31973 жыл бұрын
Hhhhhhh ety kuwa sharifu ndo kizazi cha mtume bc tupo weng maana hata mm ni sharifu na nasabu yng inatokea YEMENI pia
@ibnismail88313 жыл бұрын
@@atfyahabdulfatah3197😁
@yahyamajidyahyahilalal-har87623 жыл бұрын
Hongera Sana... Mungu hawezi kukunyima yote.
@owlbig3 жыл бұрын
I love her ♥️🔥🇧🇮
@ickymirigo97433 жыл бұрын
Na pesa zinachangia 😁Asa we kapuk acha shule uone 😋
@happygibson85173 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂wakishua huyu
@JKQGAME3 жыл бұрын
Mtoto wa kifaru siuangarie hata rangi ya kinyaturu hiyo
@mrsliverpool42353 жыл бұрын
Acha shule utakula msoto hadi njaa ikuzoee
@aminanamoyo833 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fakihdarusi43853 жыл бұрын
Yaani acha shule uone uwe punda wa mtaani
@theatushafamily49773 жыл бұрын
U can have the money. To invest but if you don’t have a great connection everything is zero😂😂.
@tztanzania22623 жыл бұрын
What connection you mean??
@baga46703 жыл бұрын
Money means connections
@aminajuma63523 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@colinmlay37563 жыл бұрын
Daah! Awesome..👍
@saudatkiuta50603 жыл бұрын
Ishikilie Sana elimu usimwache aende zake 🤔🤔🏃🏾♀️🏃🏾♀️
@danieltuya30893 жыл бұрын
Haaaaa umetxha
@nanaleetz3 жыл бұрын
Oya uyo sio tajiri kwanza familia yake ndo tajiri kwhy ikambeba ila angeanzia chini ndo ungesema tajir Alafu kavivu😂😂😂kusoma hahahhahhaa
@aminsalimali7933 жыл бұрын
ZENA NA KUFUATILIA SANA NA KUKUBALI SANA ILA HILI LA UKO WA UTUME HUUU NI UWONGO UTUPU MUNGU ALIUONDOA UKOOO WA MTUME
@SGL_tz3 жыл бұрын
What is really the meaning of Hijab? Kajielezea vzur but hio hijab imekua kofia kwa kichwa au ni kitu chakuheshimiwa katika dini.......coz why aivae nusu!!!!!! WAISLAM MPOOO!!!! Sawa Ni tajiri, but sio matajiri wote wana hojiwa why #SIMULIZINASAUTI. Nyie fanyeni ivo TRA WAMUONE.
@aminanamoyo833 жыл бұрын
☝️ sioni amevaa hijab na amesema ni familia ya mtume, watu wanacheza na dini 🤔
@barakaohani54383 жыл бұрын
Maelezo mazur , ILA YAMEJAA CHUKI , TAFUTA PESA KIJANA
@SGL_tz3 жыл бұрын
@@barakaohani5438I was jus curious nothing more... sina chuki coz life n mzunguko wenda ataniajir apo mbelen
@zainabzainab97243 жыл бұрын
Mwenyewe hananishtua..sasa inamaan ngani kwa kichwa.onyesha nywele zote dah but ujui unywele umoja dhambi.njee ziko ngapi kwa kichwa.
@Ahmed-fm5fr3 жыл бұрын
Lazima aonyeshe hzo pasta
@mshalewasumu31213 жыл бұрын
Kabla sjamaliza kuangalia hauwezi shindana kibiashara na mwarabu Kwanza mtoto anazoeshwa biashara bado mdogo hata asiposoma biashara itamuinua
@badrubadran76633 жыл бұрын
Mm sijaelewa lkn uyu mdada apa nikama aalisaidiwa na familia yake ndo akawa tajiri sasa anatufunza tuache shule tufate dream mm dream yangu yanpotosha heri nisome kwanza kwetu ukiacha shule naa wazazi wanakuacha sasa ndio utajiunga na vikosi vinavopotosha hapo hujaongea dada heri tusome. Umefanikiwa ju kwenu kuna hela banaa uko na zaree.....usituharibu ety tuache shule kama sishiki heri niendde ivo ivo kuliko kukaa nyumbani....
@salehsaleh5483 жыл бұрын
Mtangazaji unazinguwa umeganda hapo kwenye shule tu itatusaidia nini uliza mawsali mengine bana...peole wanataka alifanikiwa vipi ktk maisha yake....
@ashuraabby95443 жыл бұрын
Siliza mpaka mwisho kwanza hii ni sehemu ya kwanza hivyo bila shaka Kuna vitu vingi huko mbeleni
@divinebernard26243 жыл бұрын
Mhhh Saleh ilo tu njo unataka?ao unataka aulizwe kama huko single ao kipi ili upenye😲😲😄😄🏃🏃nakimbiya mimi
@smknaturalorganic52873 жыл бұрын
👏
@zeyanamrope89433 жыл бұрын
Mhhh. unajinasibisha na Mtume wakat Hassan na Hussein wajukuu wa mtume hawakuendeleza familia. wewe umetokea wapi??
@safiaabubakar11203 жыл бұрын
Unafi
@khadijaaliy92633 жыл бұрын
Muongo2 hyo kua na nasabu ya Mtume so masihara ni muarabu2 asitudanganye
@saidasaid58553 жыл бұрын
Apo sasa
@qayyalove25063 жыл бұрын
Nmependa
@athumanimvula37183 жыл бұрын
Sio kweli Huseni alikuwa na watoto na waliendelea kuzaliwa.
@sweetyjanne2553 жыл бұрын
Mfyuuu Wengine Wanawapaga Hela Muwafanyie Interview Kupata Kiki Mtu Anaonekana Alipewa Mtaji Katoka Ushuani Alafu Mnataka Danganya Watu Waache Shule Jamani Jamani 😃😃😃😃😃😃
@ghhhhy18123 жыл бұрын
From 🇧🇮 Saudia ila jameni mwarabu awana akili 🤣🤣ya Shula ata kidog🤣
@shaimaaaheresi81653 жыл бұрын
😂😂😂😂
@dasilvajunior30163 жыл бұрын
😁😁😁
@laylahasshim8273 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chidyboytz483 жыл бұрын
🤣🤣
@jumanasoro89033 жыл бұрын
Uko saudia sehem gani
@Queen-be1uf3 жыл бұрын
Umeacha shule kwa sababu nyumbani hela ipo na bussiness umeanzishwa nyumbani. Msije mukaacha shule mukaona mtatajirika kirahisi kama huyu. Huyu kwao tajiri kutoka asubuhi. Kajua ataanzishiwa mradi tuu
@pilihamis96573 жыл бұрын
Alaf mm huwa c hamasishwiii na hawaa wanaokuta magar nyumban kwaooo napendaaa inspiration anaetoa toa stor had unahc kweeeel pagumuuuu......sas huyuuu ad alkua anapelekwa na school bus shule🤣🤣🤣🤣
@OmanOman-lr4of3 жыл бұрын
Kabisa, hata huo mkopo aliamini akishindwa kulipa baba atalipa .
@rayshikeli15773 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Hapo sasa
@rayshikeli15773 жыл бұрын
@@pilihamis9657 kweli kabisaaaaa,mtu kwao kuna kila kitu,hajui kuteseka kabisa.Twataka wale ambao wamekula msoto mkali.Huyu hakuwa na interest ya masomo kabisa.....😂😂😂😂
@itshaluastyle3 жыл бұрын
Mishonoya vitenge MAHARUSI nk bonyeza link pia usisahau kusubscribe kzbin.info/www/bejne/e6WVh2Ckprtqeas
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Mmm wengine nao waache shule waone moto wake! Uyu dada ukimuona anaonekana mpole, akianza tu kuongea mtu unashtuka kweli sijui kwanini🙉
@mishibabu89463 жыл бұрын
Hahaa pia mm nilijua anasautinyororo
@mrsliverpool42353 жыл бұрын
🤣😅😅😂Ana asili ya kiarabu mumesahau, ya kuongea sana
@shanishosho9113 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminanamoyo833 жыл бұрын
Exerctly hutarajii, ni muongeaji sana na atakaye muoa ajiandae 😉😁
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
@@aminanamoyo83 yani ajipange kuwa msikilizaji tu
@sophiajoseph14613 жыл бұрын
Asante kwa ukwel bhana kama kichwa hakina kitu bora ujisemee tu😹😹✍
@ELVIRAPRODUCT3 жыл бұрын
Warab huwa hawapendi kusoma siku zote.... Kinacho wasaidia ni biasharaa zao
@johnwilliam56773 жыл бұрын
Huyo ni Mtt wa marehem babu yangu mzaa rafiki yangu wa classmate wangu niliesoma nae kabla cjapata rafik mwingne
@bableekhatibu2093 жыл бұрын
Exactly, my sister . Msimamo ni kitu muhimu
@allyteacher73583 жыл бұрын
nikweli umzuri masha allha ilajitandevizuri mm kusema kweli nimekupenda kweli
@helpers923 жыл бұрын
Lean to learn succes is ahead you
@luifdls62173 жыл бұрын
nimemfatilia her story and big up to her maana yea even tho anaeza kua ametokea from a family ambayo wanazo but shes a hardworking gal as well,,,ila dada elimu ndo kila kitu yes inaeza isiwe ya maana kwako leo cuz unahela but mali bila daftar hupotea bila habari,,this advice haiapply kwa wote maana inawezapotosha watu wengine kua shule haina umuhimu which is not true 100%,,,afu kuhusu swala la kujiajiri ni mtu tu kua na mtaji na kua na akili ya maisha na ubunifu ila haimaanishi uache shule cuz unaweza kua unasoma na pia unakabiashara chako na kuhusu distance isiwe reason watu wanatembea kutoka vijijin kwenda mjin shule kwa miguu na hata km inachosha but ni kupambana tu maana fursa mtu anazopata akiwa ameelika ni nyingi sana ukiachana na kuajiriwa au kufata routine, mtu anaweza kujisimamia binafsi na kupanga maisha yake bila kuwa dependent kwa watu wengine na inakufanya uheshimike sana,,, kwahiyo hapo nakataa na ushauri unaotoa hapo,,wewe upo different na asilimia ya watu wengi sana ambayo elimu ndo ufunguo wa maisha na pia a good degree will make you so respectable hata ukiwa na hela kiasi tu,,,stay at school!
@rashidikanyama72272 жыл бұрын
Nimekuelewa saana sana
@elikanakadinda9281 Жыл бұрын
xzz
@elikanakadinda9281 Жыл бұрын
.
@elikanakadinda9281 Жыл бұрын
0qq
@abdullahseif49843 жыл бұрын
Kisharifat huo ni Mtandio au nywele ziko wazi
@naaababy64263 жыл бұрын
Uyu bdo hajaolewa au
@abdusaalim52283 жыл бұрын
Maashaallaah nimependa stara yako ungekua mkewangu ningesikia raha sana aisee
@jokarotv10 ай бұрын
Hatutaki mtuletee watu kama hawa ,,sisi tunataka watu walioanzia chini ,,hawa hawawezi tufundisha kitu sisi,,tunataka wale ambao hawakupewa support kutoka kwa baba wala ndugu,,,,hawa sio Akina sisi
@fatmasalim82933 жыл бұрын
Nasaba ya mtumee umeacha nyewele wazi inalilah wainailahi rajiuun
@busta_malik59713 жыл бұрын
Yani kaacha nywele wazi alaf anajisifia et nasaba ya mtume
@samirahmfanga4653 жыл бұрын
Innalillah
@abdallahamad46823 жыл бұрын
msiba
@azaniaammad37713 жыл бұрын
Sasa mtu ana jifunza nini hapa next tm mje na vitu vyakueleweka ,kwamba watoto wakishua ndio wana toboa au watu waache shule, sns hapa mme feli
@chamandaayolaiza1535Ай бұрын
MTUME 😳 HAPO UMEKOSEA SNA TUBIA UPESI NAUBADILI MANENO YKO MTUME KWELI KAKUFUNZA UNYESHE NYWELE ZAKO MBONA UNAUKOSEA UISILAMU 😭😭 UNAPO MSINGIZIA MTUME BC UMEMSINGIZIA ALLAH. NYWELE UMEZIACHIA NAUNALIJUA HILO ILA UMEAMUA TU 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭UMEIZALILISHA DINI 😭😭😭😭
@joharlijuma94453 жыл бұрын
Masha allah allah akuzidishie dada ufanikiwe zaidi
@user-rb8ir9co9k3 жыл бұрын
Acha kuji mwambafai kua na nasabu ya mtume sio sababu ya kujiona "Allah" haangalii nasabu anaangalia Taqwa ndani ya moyo
@user-lt5hc4re2f3 жыл бұрын
بارك الله فيك وجزاك الله خير يا أخي
@khajumkhamis79103 жыл бұрын
Uhakika
@shufaakhamis45483 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@saidasaid58553 жыл бұрын
Watu Kama hawa huwa wanatabia moja mbaya Sana na mtu wa hivi ukiish nae uwe mtumwa cos anajikweza Sana
@sophiajoseph14613 жыл бұрын
Kujimwambafai🙆♀️😹😹😹😹✍
@Best_wolframmusichub3 жыл бұрын
Familia wamewekeza hapo asitudanganye.Scaba scuba inajulikana wameshafanikiwa so asituingize mkenge shule muhimu....
@dotosalim50903 жыл бұрын
Namm namjuwa uyo mzee ckaba mwenye pesa zake
@subirajohn7283 жыл бұрын
ni kweli asitudanganye shule muhimu!
@aishahela17353 жыл бұрын
Ksbisa asitudanganye tupike keki kazi hizo tumuachie shilole
@kelvinclesh87923 жыл бұрын
Ebu fikili angekuwa mtoto wa mkulima huyu, Baba na mama washika jembe Bush hivi angeongea upuuzi wake huo, angeweza acha shule kwelo akamsaidie babayake kazi ya shamba. Huyu alijua hana chakupoteza coz alijua familia anayotoka ni loyal family.
@kangabell163 жыл бұрын
She go lakin anasupport ya familia pia yaaan kwao wako vizuri sio kwamba ametoka shimon afu anachozunguzia ni mafanikio ya kawaida kwa watoto wa kishua story za kusisimua za maisha kama erick shigogo ivi jaman ametumia nguvu zake Lyke 90%
@emilyibraimo50323 жыл бұрын
Sasa huyu kashikwa mkono na wazee wake pesa kwao ipo kinachotekea kitu gani mafanikio tuu ata dada zetu mboga moja wanajituma kinoma ila bado wana yumba na kila biashara wanafanya ngoma ngumu maisha hadi ushikwe na watu ndo wende tena wenye navya maisha ni kma pakacha ukitia maji yanavuja maisha hadi uchenguke huyu ata shida hajapata mtoto hana ata wasi huyu wakati wajota anakoga wakati wa baridi anakoga wakati sisi huku wakati wa baridi tujipija mafuta ya nazi
@magrethjohn49293 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@middleplatnumz36293 жыл бұрын
Mtume mpya kutoka Yemeni😂😂😂 Nilipofanikiwa kuacha shule😂😂😂 Mwarabu na shule wapi na wapi😂😂😂😂
@hamonyyusto99073 жыл бұрын
Du!
@ZainabAtuli3 жыл бұрын
Nnaboss wang mwarab hajui kusoma vooh, si wa kingereza wala kiswahili, yy ajua kuongea Arabic tu, na jamaa zake huja kutoka Oman naona wote si wa kusoma wala kuandika ni mtihani tu
@buusaadia64493 жыл бұрын
Njoo inchi za kiarabu utaona elimu vip kwa mwarab... unaonekana hujawai kusafiri hahahahah
@allyteacher73583 жыл бұрын
masha allha mrembo mzuru sana ilafunikanywelezao
@ayoubsuleiman36753 жыл бұрын
Jmn Mtoto mzr na ametoboa maisha kiukwel wasichana wenzake naona wanavyo chukia nakumponda huyu mrembo jmn Shariifu au Saydah komaaa zaidi wanao kuhusudu washiiiiti
@achawanunetv11673 жыл бұрын
We dada acha kutudanganya kwa nini usipelekwe karibu na shule sema tu ulitaka kuacha shule
@rayshikeli15773 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Umeonaeee
@abubakaryalmas76733 жыл бұрын
Kabisa alikua sio msomaji lakini asisingizie umbali watu wanasoma kwa tabu na mbali lakini wanawah shule
@moureenanyango45913 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@jumayahya26613 жыл бұрын
Izo nywe nibiashara nazo?
@allyrashid17703 жыл бұрын
Unavinasab vya mtume kwa sifa ipi nywele was unaongea macho yot ju ju mh Mimi naoka
@ndossiadventurestz.67963 жыл бұрын
Kwenye interview Kama iyo muwe mnampa mtu Mike akae nayo mwenyewe
@salahmbarouk35263 жыл бұрын
Jistir kwnza halafu utajtangazia nasabu ya mtume na mafanikio ya dunia ni muhim kwa binadam lkn usisahau na ya huko akhera izo nywele zihifaz mdogo wangu 🙋
@liibaanlugcad88393 жыл бұрын
Keep going bro
@maatumkadhi17603 жыл бұрын
Hakuna shareef anaeacha kujistiri tena tunaomba usijinasibishe na mtume wetu muhamad s w.a halafu ukiwa huwez kujistir ni kher ujinasbishe na beyonce
@ziadasalim14593 жыл бұрын
Kabisaa asituchafue bana ye aendelee kukaa uchi tu,
@NR-ll4sr3 жыл бұрын
Msijidanganye,,,hakuna mashariff dunia ya leo,,ukijifunika au usijifunike hakunaaa
@dianaferdinand75463 жыл бұрын
Dini yenu ya kuhukumiana. Ishini maisha yenu, kama pepo mtaiona nyie ila sii kwa kuhukumu wengine.
@eliassabbath24803 жыл бұрын
tangu lin mwarabu awe na akili ya kusoma😂😂😂
@patricknduwimana28403 жыл бұрын
Si ndo nashangaa
@eliassabbath24803 жыл бұрын
@@patricknduwimana2840 🤣🤣🤣
@zinbormdan98133 жыл бұрын
Umeon eee
@angelzighe42543 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ghanimaali45073 жыл бұрын
aongea kma cherahani
@neemainabikorwa55703 жыл бұрын
Allah ayibariki kazi ya mikono yako
@aishaissa22493 жыл бұрын
Hii hainuhusu baba mwenyewe anadaiwa kwa mangi halafu anichukulie mkopo benk😂😂😂😂😂😂Mungu akubariki kila mtu na rizki yake.
@yusuphmbugi85943 жыл бұрын
hicho kiswahili anachoongea huyo dada sio Cha form two kwakeli, 😜😜🤣
@salumbabesh88283 жыл бұрын
labda sharif majini
@yusuphmbugi85943 жыл бұрын
Acha watu wafuate mkondo
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Woyoooooooooo👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏hongera sana binti
@muniradaudi4403 жыл бұрын
Tena mtanga mwezangu jaman nina bahati miyee dah nisaidiye angalau pesa ya mtaji
@mussanassoro7903 жыл бұрын
Watoto wa masikini someni aiseee huyu kwao tayari walishantengenezea mazingira ohooo kama unahustle usimkatishe tamaa anaesoma na kama unasoma usimkatishe tamaa anaehustle kila mtu na njia zake
@abubakaryalmas76733 жыл бұрын
😂😂😂 Account ipi hiyo isiyo na hesabu? Hahaha Umesikia wap eti
@marthamatheo34713 жыл бұрын
image alikuwa anakwenda shule kwa gari 🤔🤔lkn analalamika umbali ulimchosha je wale wanaoenda kwa miguu shule na shule zipo mbali kweli wakishua huyu
@aminasoma88403 жыл бұрын
💃💃🙄🙄🙄🙄 jamani hahaha AstakafiriAllah nasaba ya mtume duh bora salama nywele ziko wazi basi hongera habithy
@adbashtv67013 жыл бұрын
Ila huyu dem anaongea mnooo😂😂😂😂😂 Au ndokameza memort yangu