Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 95
@MariyamusefukhamissiMariyamuse3 ай бұрын
Subhannal-llah ya Rabby tuweke wepesi tuwe miongoni mwa wale wanao jitoleya kwakila jambo😢😢😢🤲🤲🤲🤲🤲
@nailamohd7693 Жыл бұрын
Subhanallah inahuzunisha mtangazaji mbona hua husemi wapi au nyumbani huko zanzibar hata ukiomba mzanzibar basi umefikwa saana sio desturi yetu lkn inabidi iwe hivo kwa njaa iloingia na umaskini sio mashamba tuu mtangazaji hata huku mjini usione tunawasha taa kula hamna unavoamka ndivo unavolala Allah atustiri na atufanyie wepesi na ramadhani hii
@saeedmassoud256 Жыл бұрын
Hyo ni unguja vijijini huko ndugu yngu tuwasaidie ndugu zetu kw hli yyte tuliojaliwa nayo na Allah atahualpa na ramadhan hii inshallah
@othmaniddi7637 Жыл бұрын
Amiin ya Allah
@salumjuma3152 Жыл бұрын
Subhana llah tunaomba mtupatie direction ya hichi kijiji jamani tuende tukatembe na tujifunze kupitia wao kwa kweli Hali ngumu sana
@zainabissa7851 Жыл бұрын
Dhambi zetu nakama haichagui mwema na mbaya Allah atupe taufik tutubie
@arafajabir3194 Жыл бұрын
Subhanallah yarab wape sahali waja wako Ameen
@yousufyousuf5963 Жыл бұрын
Subhanna allah awaruzuk awape wepes duh tuwaseidien allah atatulpa twendako
@user-rk9qj9ob1p4 ай бұрын
Allah akujengeye nyumba ktk pepo yake ya firdausi hakika Allah akuona jitihada zako sheke rashdi pia Allah akupe mwisho uliobora ww na familia yako
@user-oo1vz3zi1t5 ай бұрын
Mbona weng wazee niwap huko Allah tunakuomba simamia Familia hizi
@mwanaidatkhamis5310 Жыл бұрын
Subhana Allah Allah awape Subra 😭
@fatmabakar5767 Жыл бұрын
Subhanallah.Alfatah tv mtu akitaka kuchangia anatumia njia gani
@munaytwinkle8106 Жыл бұрын
Namba za simu zipo kwenye video au ofisi ipo amani, msikiti wa amani zanzibar
@halimaa9367 Жыл бұрын
Subhanalha Alhamdulhai hala kuli naama
@waheedaw1953 Жыл бұрын
inshaAllah Allah atuwezeshe inshaAllah
@lailahumaid2011 Жыл бұрын
Subhanallah Allah atawapa inshaallah
@user-gg5ow9bg6yАй бұрын
😭😭😭. Ahrahu akbaru
@zaitunisinamenye1799 Жыл бұрын
Subhanallah, Allah akowa waja wako
@Muslim-gs6rn Жыл бұрын
Yaaarab watanzania tumsaidie huyu mama wallah 😢😢😢😢
@fatmakhatib2935 Жыл бұрын
Ww kama unatoa msaada towa usijadili kizazi sjui watoto wengi hayo ni majaaliwa ya Mungu
@user-kx5yr4vr5r4 ай бұрын
Kwa ukweli inahuzunisha hivi serikali haiwaoni watu kama Hawa
@abdullatifomar111 Жыл бұрын
Allah awape subra ndugu zetu na wazazi wetu hao Allah awajaalie kila la kheri katik maish haya na waifunge ramadhan wakiwa hai na uzima na kwa furah tele kikubwa zaid wawe na subra na iman kubwa kwa Allah hakika yeye siku zote hamuachi mkono mja wake ipo siku Allah ataleta kher na baraka kutoka kwa Allah kilichobakia n kuwaombea dua kwa Allah ili maisha yao yawe mazur kama wengine
@sadaalsheibani7106 Жыл бұрын
😢😢 yaallah
@arafamke Жыл бұрын
Asalam walaiku jaman naomba mtoto moja nitamle kwajili ya Allah 😭😭😭
@AlAl-sd9pl3 ай бұрын
Jaman watt kumi umezaaa mwenzetu ulikua hausikii uchungu
@OmanOman-dd5qk2 ай бұрын
Yani huyu mama nitajili wakesho mungu anarehemazake
@AllySully4 ай бұрын
Ccm oye raisi mwinyi oye.
@awadhsalim26804 ай бұрын
Jaman hii serekali iko wapi mpaka ikawa ata watu kama hawa haiwaangaliii ?!!!! Ebu nifahamisheni kidogo ivi kazi ya serekali hass ni ipi ?!! Mbona watu kama hawa wanahitaji huruma sana jamn.
@mamitomamita62846 ай бұрын
SUBHANA ALLAH
@fatimasaid9469 Жыл бұрын
Subbuhanallah 😓.
@AbeidkhalfanAbdalla4 ай бұрын
😂machoz yanitok kw kwel M'Mungu awasaidie . Wapi hao watu wapo mkienda km hvo tutajien na maeneo walipo
@husnasalim96144 ай бұрын
Subuhanallah
@adam-saffi211 Жыл бұрын
Is this real? What is all this about uchumi wa bluu, I can’t comprehend this happening in 2023?????
@Muslim-gs6rn Жыл бұрын
Hamna group la wasp nataka hizi clip niwape waarabu wangu mashallah wanato sana nashare hii clip
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Kabisa, na hatakama kuna uwezekano wa kutafusiriwa kiarabu ni vizuri. Kuna waarabu hawajui kiswahili wale wenyewe.
@mustaphakijazi9807 Жыл бұрын
Assalamu alaikum Ninashida na namba yako ya whatsapp nikutumie picha ii ujuwe ni jinsi gan utaweza kuwasaidia
@Muslim-gs6rn Жыл бұрын
@@mustaphakijazi9807 ipo
@mustaphakijazi9807 Жыл бұрын
@@Muslim-gs6rn nisaidie namba yako ya whatsapp ndugu
@munaahmed8499 Жыл бұрын
Nisaidie na mm nike huko nifanye kazi sina mama na baba maisha yng ni taabu ndugu yng
@HajjHajj-he6ey3 ай бұрын
Niwapi tuelekeze nguvu zetu na sisi
@shafiisalim1686 Жыл бұрын
Samahani naomba kufahamu hichi ni kijiji gani
@SoudShuraim2 ай бұрын
Boban wasaidie hawa..wewe ni mtoaji sana
@hashilfarahany Жыл бұрын
Hakuna kitu muhimu kama Taq-wa na wengi wa hao wanataq-wa yaa Allah nijaalie tuwe na Taq-waa
@husnasalim96144 ай бұрын
Mtihani wallahi 😢😢
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
Nimetoka machozi tu jamani, Mwingine Anakula mpaka Anatia Jalalani😭.
@asiasalim9323 Жыл бұрын
Subhana ALLAH 😢😢
@youngbob9761 Жыл бұрын
NAIOMBA SEREKALI YANGU TUKUFU IWE INANYOOOSHAAA MKONO KWA WATU WENYE MAHITAJI KAMA KAWA....
@hamicpina1151 Жыл бұрын
Serekali ya kisengee ya kikafiri Haina maana watu wanateseka hawana la kufanya 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@saidkaim768 Жыл бұрын
Allah tufungulie Zanzibar yetu
@Shdy2569 Жыл бұрын
Al fatah tujuilisheni hiki ni kijiji gani
@FatmaAlly-wm6xb7 ай бұрын
Hichoi Kijiji gani????
@iddidd39797 ай бұрын
Ni kweli hii ndio zanbar kweli
@sein.208 Жыл бұрын
Subhana Allah 😢😢😢
@hadiaiddi2589 Жыл бұрын
Allah azidi kuwapa nguvu
@shazilali9458 ай бұрын
Alfatah tunaomba mutuambie wapi ao watu tunaweza kuwapata na ss tuwafikie
@rizikiabdalla2501 Жыл бұрын
Mbona hujibu kijiji gani hichi tunataka na ss fadhilaaa kaka tunakuomba tuwambieee wapi
@kassimomar7589 Жыл бұрын
Allah Akbar
@hamicpina1151 Жыл бұрын
Enyi viongozi wa serikali hamyaoni haya mipasa yote iyo mnayoiba mnafanya sivo kabisa hii ni serikali ya kikafiri kabisa haijal watu zake
@alhamdulillahalhamdulillah7529 Жыл бұрын
Usimuulize nyama pakukaa Hana maskini
@user-wl8ng3pj5rАй бұрын
Ni unguja hii au Pemba?
@lilianmakwati5228 Жыл бұрын
Ni wapi hii jmn?
@shuwanaliloka3816 Жыл бұрын
Zanzibar
@zainabissa7851 Жыл бұрын
Rashid naomba namba yako
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Wazanzibar jamaan sawa shida nimipango namitihan ila punguzen uzazi watoto 8 wote hao bila kazi bila biashara mnaanzaje
@alhamdulillahalhamdulillah7529 Жыл бұрын
Usitukufurie
@fayeezabdallah2217 Жыл бұрын
maneno mazr ni sadak ndg yng
@AshaKanondi Жыл бұрын
Kaz nzur mnafanya ,vp tunachangia kwa hiki kdg tulichokuwa nacho.
@allyshamtejuma5667 Жыл бұрын
ina sikitisha sana tuzidi kumuomba mungu atundolee huu mtihani amin amin
@iddidd39797 ай бұрын
Hii ni wpi
@user-wl8ng3pj5rАй бұрын
Serikali maaana yake nn na inafanya kazi gani?
@youngbob9761 Жыл бұрын
Hii ni wap jaman
@hamicpina1151 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@maryamalli9090 Жыл бұрын
Alfattah mbona hamtoi namba za wahusika wasaidiwe direct
@Shdy2569 Жыл бұрын
Hawatowi number hao wala jina la pahala wanataka uwapelekee wao
@maryamalli9090 Жыл бұрын
@@Shdy2569 ndio maana yake hiyo hawafanyi Kama channel nyengine hutoa namba za wahusika misaada huwafikia moja kwa moja
@maryamalli9090 Жыл бұрын
@@Shdy2569 sisi hatupendi hivyo tunataka watoe namba za we walengwa direct
@rogojr712 Жыл бұрын
Hawa wapo wengi huezi toa namba ya kila mtu . Ndio wametoa namba zao za channel ili wasaidiwe wote kwa pamoja kwa kitakachopatikana
@safiayussuf9308 Жыл бұрын
Kwanini hamusemi wapi hapo? Ni kijiji gani?
@youmemeyou2976 Жыл бұрын
Viongozi wa nchi wanasema wao waislam , wamsome Saydina Omar alikuwa kiongozi wa aina gani , sio kupanda Land cruser na office yenye kiyoyozi , Hawaogopi maswali ya ALLAH?
@hadiaiddi2589 Жыл бұрын
Mtoto moja nitamsaidia kulea
@Arishafa547 Жыл бұрын
Niwp huko jamn na mbn no inayopita hapo ni ya Dubai hakuna no ya tz
@maryamalli9090 Жыл бұрын
Zanzibar hapa ni sehemu za vijijini
@alfatahtvonline3374 Жыл бұрын
Hatuwezi kutoa namba za kijiji kizima.wasiliana na ofisini.
@shafiisalim1686 Жыл бұрын
Sawa ni vijijini je je nikijiji gani maana si wenyewe tupi zanzibar hiyohiyo
@maidamwaipopo9603 Жыл бұрын
Sasa mtu masikini hao watoto wote wa nini
@mwanaishamande8880 Жыл бұрын
watoto nimajaaliwa yaallah
@user-wc4um7eh4e Жыл бұрын
Subhanallah
@aminaalabri4170 Жыл бұрын
Usiseme ivo my wengine hpo wazee wao wameshafark
@abduliddi7821 Жыл бұрын
Dogo mbona ivyo ao watoto ni majaaliwa ya Mungu ktk kukupa mitihani duniani so unachojaaliwa na Mungu hakuna lawama, mfano ulemavu wowote ule ni majaaliwa na afya njema pia majaaliwa