MCH HANANJA ALIVYO IBUA MJADALA BAADA YA KUINGIA MSIKITINI, ONA MAJIBU YAKE

  Рет қаралды 69,484

Mbengo Tv

Mbengo Tv

6 ай бұрын

Пікірлер: 131
@dullyjabri8393
@dullyjabri8393 6 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wangu una Hekima Sana full respect
@DawsonKiwia-qt6zf
@DawsonKiwia-qt6zf 5 ай бұрын
Safi sana mchungaji ukiwa borne town unakuwa mwerevu zaidi wa shamba hawatakuelewa. Umeongea vizuri inategemea watu wameudhuria kwenye dhehebu lingine wamefuata nini pia umehimiza watu kulima, kufanya kazi watanzania wengi wanapenda kudeka wanakwepa kuwajibika hayati Magufuli aliliona hilo akawapeleka msobe msobe vijana wengi wanapenda kujiremba na kutunzwa usichoke mwalimu.
@Mtukazi98
@Mtukazi98 6 ай бұрын
Allah akuoneshe haki mzee hananja, ukweli uko vizuri sana mzee wangu
@prochesernest5439
@prochesernest5439 5 ай бұрын
Haki na uzima WA milele ni Kwa Yesu kristo alipo huyo mchungaji njoo kwenye kweli na uzima WA milele
@martinisadru9899
@martinisadru9899 5 ай бұрын
Uslamu ni njia ya haki, na UKRISTO ni njia ya kweli,, kazi kwako kupambana haki na kweli.
@user-uf6qf9lx4y
@user-uf6qf9lx4y 5 ай бұрын
Uislamu ni dini ya HAKI na yeyote atakae amua kufuata Dini isiyokua Uislamu aelewe kua Dini hiyo haitokubaliwa siku ya malipo .Nasaha zangu kwa ndugu zangu Wakristo SILIMUNI ili mpate SALAMA siku ya hukumu
@martinisadru9899
@martinisadru9899 5 ай бұрын
@@user-uf6qf9lx4y je! Ukweli, na haki, ni kipi kisichoweza kupotezwa na wanadamu?
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 5 ай бұрын
Uko uwakika gani bila uislamu akuna salama siku ya kihama
@abdallahkikungulu9141
@abdallahkikungulu9141 6 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu sana mchungaji
@africaonechannel1289
@africaonechannel1289 6 ай бұрын
Huyu Mzee ANA AKILI!!!!!!! And Generally Speaking These Old Boys nitafauti sana na This New Generation!!!!.
@abasingaruka1872
@abasingaruka1872 5 ай бұрын
Hongera mchungaji uyasemayo Ni sahihi, , na wachache wanaoelewa hayo, ,baadhi ya waislamu wahamisjha ugomvi sio Amani,
@yusuphibrahim2850
@yusuphibrahim2850 5 ай бұрын
Mchungaji upo vzr mungu amekipa uwezo mkubwa mungu akubariki
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l 5 ай бұрын
Mzee wangu una busara sana mzee wangu Allah akujalie .
@martinlema7328
@martinlema7328 6 ай бұрын
Amina... Namwomba Mungu akupatie hitaji la moyo wako.😊
@habibmohamed4728
@habibmohamed4728 6 ай бұрын
Majibu mazuri mtumishi wa Mungu ingawa anajaribu kukuchallenge hakupati Tena
@hamsikrasheedi1796
@hamsikrasheedi1796 5 ай бұрын
يَأَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُم مِّن ذَكَرٍ وَأُنثَى وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّهِ أَنْقَنَكُمْ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ Enyi watu! Hakika tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tumekufanyeni watu na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye khabari
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 6 ай бұрын
Hongera sana mchungaji❤❤❤
@user-qz2cs5wm5u
@user-qz2cs5wm5u 6 ай бұрын
Uko vizuli sana mchungaji unaufaamu mkubwa sana mungu akubaliki sana
@ramadhanomar6805
@ramadhanomar6805 6 ай бұрын
Hananja ni Genius anaelewka sana🎉
@user-zp3kw6rw1x
@user-zp3kw6rw1x 4 ай бұрын
Mchungaji Hananja Mungu akupe afya na nguvu na maarifa zaidi. Ukweli nikua unaongea ukweli. Tuko pamoja!!
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 6 ай бұрын
Leo umependeza mtoto wangu na hicho kilemba 💕💕
@hemedsimbaathwartv
@hemedsimbaathwartv 5 ай бұрын
Mashallah mi n muislam ktk kenya , huyu mzee ana busara xna
@Dulla_kite
@Dulla_kite 2 ай бұрын
Mashallh 🙏🏽☝🏽
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 6 ай бұрын
Mashallah.. maneno Yako yapo sahihi...
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 5 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini Nakubali kabisa Hananja alifanya vizuri Sana kuitika mwaliko
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 5 ай бұрын
Hongera Mchungaji.....
@user-zv2uh2ht7g
@user-zv2uh2ht7g 6 ай бұрын
Safi sana wewe mzee ni mwamba sana aisee
@abubakarymaulidy5681
@abubakarymaulidy5681 6 ай бұрын
Akili nyingi sana mzee nakibali
@omarmohamed312
@omarmohamed312 6 ай бұрын
mzee hananja ni mtu wa busara sana na ni mtu anaesema ukweli sana. sisi waislamu wengi tumetokea kumkubali na tunamuombea Allah amfungue zaidi aone haki ipo wapi. hachukii uislamu.
@RamadanPaul
@RamadanPaul 5 ай бұрын
Amini
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 5 ай бұрын
Haki iko kw YESU KRISTO tu, Wala kwingine apana
@omarmohamed312
@omarmohamed312 5 ай бұрын
@@fredrickgitonga1972 nendeni na wakati someni kitabu chenu. mitaona munakoelekea.
@RamadanPaul
@RamadanPaul 5 ай бұрын
@@fredrickgitonga1972 .... Ni kweli haki ipo kwa Yesu ila sio kumuabudu, Yesu mwenyewe alikuwa anaabudu, leo watu wanamuabudu yesu....😂😂
@kingdullah7843
@kingdullah7843 6 ай бұрын
nakuelewa sana mzee wang
@user-cz7kz7cj9v
@user-cz7kz7cj9v 5 ай бұрын
Apana ,Mtumishi uko katika kweli. Mtu awezi kukataa mwalimo,pili Dini zote anaye juwa ni Mungu. Zidi ya yote, Dini mbaya ni ile yenye kuhuwa na kuaribu.
@user-bg1rr7if8k
@user-bg1rr7if8k 5 ай бұрын
Nakukubali baba❤❤❤❤
@user-eh1cu9st4t
@user-eh1cu9st4t 5 ай бұрын
Heshima yako bradha👏
@mwinyimwinyimkadam9948
@mwinyimwinyimkadam9948 6 ай бұрын
Upo vzr Mzee
@abuubakar7594
@abuubakar7594 6 ай бұрын
Kweli wata wa zamani walikua na masuria na c vibaya wake wa4 kafundixa mtume muhammad (SAW) alivyopewa Quran mathnaa wa thulatha warubaa
@jpmanotaofficial639
@jpmanotaofficial639 5 ай бұрын
Muhamad kaingiaje hapo anaongelea mfalme sulemani au muhamad nae alikuwa mfalme duh!
@abuubakar7594
@abuubakar7594 5 ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 Muhammad (SAW) unamjua kwanza?
@allyfutto8763
@allyfutto8763 6 ай бұрын
Somo zuri kuhusu utumishi wa Mungu 🕌⛪️☝🏿
@sostentulian9462
@sostentulian9462 6 ай бұрын
Natamani ningekuwa na ubongo ka mzee hananja
@IsackTheonest
@IsackTheonest 4 ай бұрын
Uko vzr mchg, ss sote ni wamoja
@ibrahimsaad617
@ibrahimsaad617 6 ай бұрын
Mwamba ❤Unajua
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 6 ай бұрын
HONGERA MTUMUSHI, AKILI KUBWA SANA. ILA HATA WAISLAM NAO WANAAMINI SULEIMAN NI NABII LAKINI PIA NI MFALME. KWA HIYO KWENYE UFALME WAISLAM NA WAKRISTO KWA MUJIBU WA MFUNDISHO YA VITABU VYAO WOTE WANAAMINI SAWA KUWA SULEIMAN ALIKUWA MFALME.
@joshuamunisi8461
@joshuamunisi8461 5 ай бұрын
Fact mzee upo vizuli
@maskatifakii7107
@maskatifakii7107 5 ай бұрын
Safi sana..Hawana..Elimu!!!
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 5 ай бұрын
UMEONGEA VZR SANA NA HUYU DADA ATAFANYA KAZI NZR SANA YAANI MUANDISHI WA HABARI
@nassormohamed6520
@nassormohamed6520 5 ай бұрын
Nmekuelewa sana mchungajii
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n Ай бұрын
HUYU BABA ANA MADINI ADIMU SANA
@umazisalim8070
@umazisalim8070 6 ай бұрын
Baba nakupenda buri
@user-pm6tb4yz9i
@user-pm6tb4yz9i 6 ай бұрын
Nice
@rashid3562
@rashid3562 5 ай бұрын
Genius
@elmes09
@elmes09 3 ай бұрын
Una baya 🙏🏻
@jumasungula8510
@jumasungula8510 6 ай бұрын
Mzee unaakili sana
@francoulanga
@francoulanga 5 ай бұрын
❤❤
@MwanaidMagasa
@MwanaidMagasa 6 ай бұрын
Mungu akulipe maneno yako ukweli kabisa
@kasimkassam9565
@kasimkassam9565 6 ай бұрын
Huyu mzee akili nyingi sanaaa
@user-nb6tq8tf7c
@user-nb6tq8tf7c 6 ай бұрын
Ni Bakwata jamani msimlaum mzee hananja
@RamadanPaul
@RamadanPaul 5 ай бұрын
Hananja tunakupenda sana waislam....
@farajifundi1160
@farajifundi1160 5 ай бұрын
Saf sana mzee
@user-eq2wg9hx6o
@user-eq2wg9hx6o 6 ай бұрын
Uko vizuri baba!
@border2bordercuisine168
@border2bordercuisine168 5 ай бұрын
Hawa ndio viongozi wa dini tunaowahitaji Tanzania
@user-tt8fe5xs6t
@user-tt8fe5xs6t 5 ай бұрын
Uko sahihi mchungaji
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 6 ай бұрын
Baba umetisha❤❤
@user-ud4ti3lv9v
@user-ud4ti3lv9v 6 ай бұрын
Naombeni namba ya huyu mzee
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 5 ай бұрын
Kesho kutwa wakristo wenzake watamkata
@abdul-azeezmagram4973
@abdul-azeezmagram4973 5 ай бұрын
Mtangazaji kuwa makini na maswali yako yanalenga uchonganishi kwenye imani za watu usije ukajutia maswali yako
@loner_wolf
@loner_wolf 5 ай бұрын
Mzee ningekuwa Mwandishi hapo ningekuuliza hiv " kati ya mchungaji na wazazi ,nani anaweza kukubariki " ?
@zamdanamwenje9415
@zamdanamwenje9415 5 ай бұрын
Alishawahi kujibu kuwa ni wazazi tafuta clip clip za miaka mingi
@ramadhanihafidh7732
@ramadhanihafidh7732 5 ай бұрын
Wewe ni mtu wa haki unaekubalika na kila mwenye akili na imani ya uwepo wa MWENYEZI MUNGU mtukufu
@stanleyjohn2929
@stanleyjohn2929 6 ай бұрын
Kabisa
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 ай бұрын
🎉una upeo saana baba mtumishi
@ramadhanihafidh7732
@ramadhanihafidh7732 5 ай бұрын
😂 6:55 wewe ni mtu wa hekima kama najash wa Ethiopia
@AssumaneDaniel-yz7co
@AssumaneDaniel-yz7co 5 ай бұрын
Udini ni sababu ya kuharibika África
@user-tx5sx1wu6l
@user-tx5sx1wu6l 2 ай бұрын
Mzee wabusala
@jastinmkoba
@jastinmkoba 5 ай бұрын
Anazeeka vibaya sana wazee wenzie wanabusara🤷
@kasimkassam9565
@kasimkassam9565 6 ай бұрын
Babu kamaliza wanao penda udini mnapigania pepo je niyakwenu ua kama hakuna pepe je mmeuwaniya nini😮
@maalimhamad1297
@maalimhamad1297 6 ай бұрын
Huyo nawewe akilizenu nyote sawa
@martinisadru9899
@martinisadru9899 5 ай бұрын
​@@maalimhamad1297kwani baba Ako aliwahi kufika peponi? Hebu mwambie atume kwene status tuone peponi pakoje.
@denismugisha2
@denismugisha2 5 ай бұрын
Mchungaji Hananja usiongee sana ukapitiliza, wewe ni mchungaji mtu wa imani unasemaje pengine mbingu haipo?? Siku nyingine utawaambia watu habari za kwenda mbinguni wakuelewe?? Acha ukomedi ktk kila jambo
@alleyd.alleyd
@alleyd.alleyd 5 ай бұрын
Don't pretend like you know too much.
@user-ti3gx9jr4v
@user-ti3gx9jr4v 6 ай бұрын
Mzee maneno yako mazito yanaitaji yachukuliwe nawatu wote
@gooleserviceyoutubescandar3450
@gooleserviceyoutubescandar3450 6 ай бұрын
Masha Allah Amiiin.
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 5 ай бұрын
Uyu mchungaji anahekma sana
@SmilingPlanets-yx9rm
@SmilingPlanets-yx9rm 5 ай бұрын
On point
@seynabhaji8035
@seynabhaji8035 5 ай бұрын
Busara imetawala hapa
@idrisandaka2198
@idrisandaka2198 6 ай бұрын
Na traffic waache rushwa
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 5 ай бұрын
IMANI ZA KISHOGA KUFUNGA NDOA👀👀😂😂😂
@jpmanotaofficial639
@jpmanotaofficial639 5 ай бұрын
utafungaje ndoa wakati unaowa owa hovyo wake wa nne4 utamvisha pete nani umuhache nani Kwahiyo ndugu zetu waislamu mambo ya ndoa mtaangalia kwa mbali kama balamwezi 😂
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 5 ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 Tutawabarikimashoga kufunga ndo kanisani🤣🤣🤣👀
@zuchu9750
@zuchu9750 6 ай бұрын
Mch Yuko vizuri kwa majibu
@user-px3po9lt8g
@user-px3po9lt8g 6 ай бұрын
Mama Samia pambana na rushwa tunakuomba mama rushwa imezidi nchii hii
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 5 ай бұрын
😂😂😂
@HAMZALUHANGA
@HAMZALUHANGA 5 ай бұрын
Mchungaji yupo sahihi, binafsi naamini imani zote zinazo fundisha utii, waaminifu, upendo, na kumtii Mungu zipo sawa.
@user-kk6gj7cw3h
@user-kk6gj7cw3h 5 ай бұрын
point wewe ni mtu makini
@Philipoupdates
@Philipoupdates 6 ай бұрын
Mbego nina mkasa nitafute
@loner_wolf
@loner_wolf 5 ай бұрын
Naungezaliwa uchawini.....? Tafuta haki acha kurithi mzee. Otherwise nakukubali na kukuthamini sana .
@abdulhamidisiraja4930
@abdulhamidisiraja4930 4 ай бұрын
Yupovizurisana
@user-wo4do5pk8z
@user-wo4do5pk8z 5 ай бұрын
Wewe mzee,acha uongo, MUHAMMAD alienda usiku mmoja na akarudi,akaeleza kila kitu paka jinsi kulivyo huko mbinguni.na alikutana na Mola wa viumbe wote.kasome!!!
@youngrappertz1735
@youngrappertz1735 5 ай бұрын
Prove
@user-wo4do5pk8z
@user-wo4do5pk8z 5 ай бұрын
U want a prove,how do u want aprove n I can't believe!,go n read in Islam it's there very open.
@user-wo4do5pk8z
@user-wo4do5pk8z 5 ай бұрын
U can't believe,there is an interesting story abt Muhammad sw wen he went to heaven.ucan even Google on ua phone
@jpmanotaofficial639
@jpmanotaofficial639 5 ай бұрын
Muhamad gani alie kufa kwa sumu au kunamwingine alie mbaka haisha au unamuongelea muhamad sala mchezaji wa Egypt 🇪🇬 🤔
@user-wo4do5pk8z
@user-wo4do5pk8z 5 ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 sawa iko siku utakuja juta,utatamani dunia ianze upya lakini majuto yako siku hiyo hayatakufaa kitu.endelea kupinga eti mnaona mnaudhi waislamu.kila mtu atalipwa sawa na vitendo vyake,kumbuka hayo unayoyasema pia ni katika vitendo vyako.utalipwa tu.endelea kucheza
@yohanampangule8817
@yohanampangule8817 6 ай бұрын
Sahihi kualikana ,Ila Ni lazima Uwaeleze UKWELI kuwa YESU NDIYE NJIA YA KWELI ,NA HUKO KWENYE UISLAMU WAMEPOTEA ,,,...LAKINI NAONA MCHUNGAJI HUNA USHUHUDA KABISA KABISA. Humjui Allah ,UNASEMA ,unamshukuru.....ALLAH SIO JEHOVA BABA ,,,,HAPA LEO NIMEJUA WEWE BADO SANA..
@carterjordan4216
@carterjordan4216 6 ай бұрын
Allah, Jehova, Mungu, God, ni lugha hizo mkuu. Siyo imani.
@Sheba4651
@Sheba4651 6 ай бұрын
###Yohana Kwani wewe lugha yako ya kijijini huyo muumba mbingu na ardhi huwa mnamuitaje? Maana kwa uhakika wewe si mswahili wa mjini, una lugha yako ya kijijini, hivi Yehova huwa mnamwitaje?
@SaidiRashid-yc3rc
@SaidiRashid-yc3rc 6 ай бұрын
Hujuwi ulitendalo usamehewe
@rahimukayela297
@rahimukayela297 6 ай бұрын
Jamaa ni empty knowledge ALLAH, JEHOVAH, BUDDHA, JAH, GOD, izo ni lugha tu za watu kw Kiswahili ndo MWENYEZI MUNGU.
@emmanuellwinga5686
@emmanuellwinga5686 6 ай бұрын
Bomu lingine hili linaweza tulipukia
@KhadijaKipua-dw7yz
@KhadijaKipua-dw7yz 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyo ndio Hananja bwana unanikosa sana babaangu wewe Mungu akubariki sana
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 52 МЛН
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 90 МЛН
MCH. HANANJI | "DIAMOND, SHOLO MWAMBA NI WATOTO WETU"
37:38
Victory tv
Рет қаралды 185 М.
PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN
26:49
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 406 М.
HANANJA AMJIBU ZUMARIDI/ ANA UGOJWA WA AKILI
2:03
Wasafi Media
Рет қаралды 25 М.
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 52 МЛН