Nakukubali sana mzee wangu una Hekima Sana full respect
@DawsonKiwia-qt6zf5 ай бұрын
Safi sana mchungaji ukiwa borne town unakuwa mwerevu zaidi wa shamba hawatakuelewa. Umeongea vizuri inategemea watu wameudhuria kwenye dhehebu lingine wamefuata nini pia umehimiza watu kulima, kufanya kazi watanzania wengi wanapenda kudeka wanakwepa kuwajibika hayati Magufuli aliliona hilo akawapeleka msobe msobe vijana wengi wanapenda kujiremba na kutunzwa usichoke mwalimu.
@Mtukazi986 ай бұрын
Allah akuoneshe haki mzee hananja, ukweli uko vizuri sana mzee wangu
@prochesernest54395 ай бұрын
Haki na uzima WA milele ni Kwa Yesu kristo alipo huyo mchungaji njoo kwenye kweli na uzima WA milele
@martinisadru98995 ай бұрын
Uslamu ni njia ya haki, na UKRISTO ni njia ya kweli,, kazi kwako kupambana haki na kweli.
@user-uf6qf9lx4y5 ай бұрын
Uislamu ni dini ya HAKI na yeyote atakae amua kufuata Dini isiyokua Uislamu aelewe kua Dini hiyo haitokubaliwa siku ya malipo .Nasaha zangu kwa ndugu zangu Wakristo SILIMUNI ili mpate SALAMA siku ya hukumu
@martinisadru98995 ай бұрын
@@user-uf6qf9lx4y je! Ukweli, na haki, ni kipi kisichoweza kupotezwa na wanadamu?
@fredrickgitonga19725 ай бұрын
Uko uwakika gani bila uislamu akuna salama siku ya kihama
@abdallahkikungulu91416 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu sana mchungaji
@africaonechannel12896 ай бұрын
Huyu Mzee ANA AKILI!!!!!!! And Generally Speaking These Old Boys nitafauti sana na This New Generation!!!!.
@abasingaruka18725 ай бұрын
Hongera mchungaji uyasemayo Ni sahihi, , na wachache wanaoelewa hayo, ,baadhi ya waislamu wahamisjha ugomvi sio Amani,
@yusuphibrahim28505 ай бұрын
Mchungaji upo vzr mungu amekipa uwezo mkubwa mungu akubariki
@user-ve3wu5jn1l5 ай бұрын
Mzee wangu una busara sana mzee wangu Allah akujalie .
@martinlema73286 ай бұрын
Amina... Namwomba Mungu akupatie hitaji la moyo wako.😊
@habibmohamed47286 ай бұрын
Majibu mazuri mtumishi wa Mungu ingawa anajaribu kukuchallenge hakupati Tena
@hamsikrasheedi17965 ай бұрын
يَأَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُم مِّن ذَكَرٍ وَأُنثَى وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّهِ أَنْقَنَكُمْ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ Enyi watu! Hakika tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tumekufanyeni watu na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye khabari
@rajabrwambow96606 ай бұрын
Hongera sana mchungaji❤❤❤
@user-qz2cs5wm5u6 ай бұрын
Uko vizuli sana mchungaji unaufaamu mkubwa sana mungu akubaliki sana
@ramadhanomar68056 ай бұрын
Hananja ni Genius anaelewka sana🎉
@user-zp3kw6rw1x4 ай бұрын
Mchungaji Hananja Mungu akupe afya na nguvu na maarifa zaidi. Ukweli nikua unaongea ukweli. Tuko pamoja!!
@fatmaalnabhani36096 ай бұрын
Leo umependeza mtoto wangu na hicho kilemba 💕💕
@hemedsimbaathwartv5 ай бұрын
Mashallah mi n muislam ktk kenya , huyu mzee ana busara xna
@Dulla_kite2 ай бұрын
Mashallh 🙏🏽☝🏽
@ibrahimally80736 ай бұрын
Mashallah.. maneno Yako yapo sahihi...
@hilaliusjohn83865 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini Nakubali kabisa Hananja alifanya vizuri Sana kuitika mwaliko
@rahmahersi65845 ай бұрын
Hongera Mchungaji.....
@user-zv2uh2ht7g6 ай бұрын
Safi sana wewe mzee ni mwamba sana aisee
@abubakarymaulidy56816 ай бұрын
Akili nyingi sana mzee nakibali
@omarmohamed3126 ай бұрын
mzee hananja ni mtu wa busara sana na ni mtu anaesema ukweli sana. sisi waislamu wengi tumetokea kumkubali na tunamuombea Allah amfungue zaidi aone haki ipo wapi. hachukii uislamu.
@RamadanPaul5 ай бұрын
Amini
@fredrickgitonga19725 ай бұрын
Haki iko kw YESU KRISTO tu, Wala kwingine apana
@omarmohamed3125 ай бұрын
@@fredrickgitonga1972 nendeni na wakati someni kitabu chenu. mitaona munakoelekea.
@RamadanPaul5 ай бұрын
@@fredrickgitonga1972 .... Ni kweli haki ipo kwa Yesu ila sio kumuabudu, Yesu mwenyewe alikuwa anaabudu, leo watu wanamuabudu yesu....😂😂
@kingdullah78436 ай бұрын
nakuelewa sana mzee wang
@user-cz7kz7cj9v5 ай бұрын
Apana ,Mtumishi uko katika kweli. Mtu awezi kukataa mwalimo,pili Dini zote anaye juwa ni Mungu. Zidi ya yote, Dini mbaya ni ile yenye kuhuwa na kuaribu.
@user-bg1rr7if8k5 ай бұрын
Nakukubali baba❤❤❤❤
@user-eh1cu9st4t5 ай бұрын
Heshima yako bradha👏
@mwinyimwinyimkadam99486 ай бұрын
Upo vzr Mzee
@abuubakar75946 ай бұрын
Kweli wata wa zamani walikua na masuria na c vibaya wake wa4 kafundixa mtume muhammad (SAW) alivyopewa Quran mathnaa wa thulatha warubaa
@jpmanotaofficial6395 ай бұрын
Muhamad kaingiaje hapo anaongelea mfalme sulemani au muhamad nae alikuwa mfalme duh!
@abuubakar75945 ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 Muhammad (SAW) unamjua kwanza?
@allyfutto87636 ай бұрын
Somo zuri kuhusu utumishi wa Mungu 🕌⛪️☝🏿
@sostentulian94626 ай бұрын
Natamani ningekuwa na ubongo ka mzee hananja
@IsackTheonest4 ай бұрын
Uko vzr mchg, ss sote ni wamoja
@ibrahimsaad6176 ай бұрын
Mwamba ❤Unajua
@rayisadesigns26466 ай бұрын
HONGERA MTUMUSHI, AKILI KUBWA SANA. ILA HATA WAISLAM NAO WANAAMINI SULEIMAN NI NABII LAKINI PIA NI MFALME. KWA HIYO KWENYE UFALME WAISLAM NA WAKRISTO KWA MUJIBU WA MFUNDISHO YA VITABU VYAO WOTE WANAAMINI SAWA KUWA SULEIMAN ALIKUWA MFALME.
@joshuamunisi84615 ай бұрын
Fact mzee upo vizuli
@maskatifakii71075 ай бұрын
Safi sana..Hawana..Elimu!!!
@mashramadhani19895 ай бұрын
UMEONGEA VZR SANA NA HUYU DADA ATAFANYA KAZI NZR SANA YAANI MUANDISHI WA HABARI
@nassormohamed65205 ай бұрын
Nmekuelewa sana mchungajii
@user-ui1qs9yl1nАй бұрын
HUYU BABA ANA MADINI ADIMU SANA
@umazisalim80706 ай бұрын
Baba nakupenda buri
@user-pm6tb4yz9i6 ай бұрын
Nice
@rashid35625 ай бұрын
Genius
@elmes093 ай бұрын
Una baya 🙏🏻
@jumasungula85106 ай бұрын
Mzee unaakili sana
@francoulanga5 ай бұрын
❤❤
@MwanaidMagasa6 ай бұрын
Mungu akulipe maneno yako ukweli kabisa
@kasimkassam95656 ай бұрын
Huyu mzee akili nyingi sanaaa
@user-nb6tq8tf7c6 ай бұрын
Ni Bakwata jamani msimlaum mzee hananja
@RamadanPaul5 ай бұрын
Hananja tunakupenda sana waislam....
@farajifundi11605 ай бұрын
Saf sana mzee
@user-eq2wg9hx6o6 ай бұрын
Uko vizuri baba!
@border2bordercuisine1685 ай бұрын
Hawa ndio viongozi wa dini tunaowahitaji Tanzania
@user-tt8fe5xs6t5 ай бұрын
Uko sahihi mchungaji
@VeronicaRugoyi6 ай бұрын
Baba umetisha❤❤
@user-ud4ti3lv9v6 ай бұрын
Naombeni namba ya huyu mzee
@alzawahirabdallah22995 ай бұрын
Kesho kutwa wakristo wenzake watamkata
@abdul-azeezmagram49735 ай бұрын
Mtangazaji kuwa makini na maswali yako yanalenga uchonganishi kwenye imani za watu usije ukajutia maswali yako
@loner_wolf5 ай бұрын
Mzee ningekuwa Mwandishi hapo ningekuuliza hiv " kati ya mchungaji na wazazi ,nani anaweza kukubariki " ?
@zamdanamwenje94155 ай бұрын
Alishawahi kujibu kuwa ni wazazi tafuta clip clip za miaka mingi
@ramadhanihafidh77325 ай бұрын
Wewe ni mtu wa haki unaekubalika na kila mwenye akili na imani ya uwepo wa MWENYEZI MUNGU mtukufu
@stanleyjohn29296 ай бұрын
Kabisa
@tinnahagustinolyelu42476 ай бұрын
🎉una upeo saana baba mtumishi
@ramadhanihafidh77325 ай бұрын
😂 6:55 wewe ni mtu wa hekima kama najash wa Ethiopia
@AssumaneDaniel-yz7co5 ай бұрын
Udini ni sababu ya kuharibika África
@user-tx5sx1wu6l2 ай бұрын
Mzee wabusala
@jastinmkoba5 ай бұрын
Anazeeka vibaya sana wazee wenzie wanabusara🤷
@kasimkassam95656 ай бұрын
Babu kamaliza wanao penda udini mnapigania pepo je niyakwenu ua kama hakuna pepe je mmeuwaniya nini😮
@maalimhamad12976 ай бұрын
Huyo nawewe akilizenu nyote sawa
@martinisadru98995 ай бұрын
@@maalimhamad1297kwani baba Ako aliwahi kufika peponi? Hebu mwambie atume kwene status tuone peponi pakoje.
@denismugisha25 ай бұрын
Mchungaji Hananja usiongee sana ukapitiliza, wewe ni mchungaji mtu wa imani unasemaje pengine mbingu haipo?? Siku nyingine utawaambia watu habari za kwenda mbinguni wakuelewe?? Acha ukomedi ktk kila jambo
@alleyd.alleyd5 ай бұрын
Don't pretend like you know too much.
@user-ti3gx9jr4v6 ай бұрын
Mzee maneno yako mazito yanaitaji yachukuliwe nawatu wote
@gooleserviceyoutubescandar34506 ай бұрын
Masha Allah Amiiin.
@faudhiasaidi36695 ай бұрын
Uyu mchungaji anahekma sana
@SmilingPlanets-yx9rm5 ай бұрын
On point
@seynabhaji80355 ай бұрын
Busara imetawala hapa
@idrisandaka21986 ай бұрын
Na traffic waache rushwa
@natafutamatatizo43825 ай бұрын
IMANI ZA KISHOGA KUFUNGA NDOA👀👀😂😂😂
@jpmanotaofficial6395 ай бұрын
utafungaje ndoa wakati unaowa owa hovyo wake wa nne4 utamvisha pete nani umuhache nani Kwahiyo ndugu zetu waislamu mambo ya ndoa mtaangalia kwa mbali kama balamwezi 😂
Mama Samia pambana na rushwa tunakuomba mama rushwa imezidi nchii hii
@fortyyellu99715 ай бұрын
😂😂😂
@HAMZALUHANGA5 ай бұрын
Mchungaji yupo sahihi, binafsi naamini imani zote zinazo fundisha utii, waaminifu, upendo, na kumtii Mungu zipo sawa.
@user-kk6gj7cw3h5 ай бұрын
point wewe ni mtu makini
@Philipoupdates6 ай бұрын
Mbego nina mkasa nitafute
@loner_wolf5 ай бұрын
Naungezaliwa uchawini.....? Tafuta haki acha kurithi mzee. Otherwise nakukubali na kukuthamini sana .
@abdulhamidisiraja49304 ай бұрын
Yupovizurisana
@user-wo4do5pk8z5 ай бұрын
Wewe mzee,acha uongo, MUHAMMAD alienda usiku mmoja na akarudi,akaeleza kila kitu paka jinsi kulivyo huko mbinguni.na alikutana na Mola wa viumbe wote.kasome!!!
@youngrappertz17355 ай бұрын
Prove
@user-wo4do5pk8z5 ай бұрын
U want a prove,how do u want aprove n I can't believe!,go n read in Islam it's there very open.
@user-wo4do5pk8z5 ай бұрын
U can't believe,there is an interesting story abt Muhammad sw wen he went to heaven.ucan even Google on ua phone
@jpmanotaofficial6395 ай бұрын
Muhamad gani alie kufa kwa sumu au kunamwingine alie mbaka haisha au unamuongelea muhamad sala mchezaji wa Egypt 🇪🇬 🤔
@user-wo4do5pk8z5 ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 sawa iko siku utakuja juta,utatamani dunia ianze upya lakini majuto yako siku hiyo hayatakufaa kitu.endelea kupinga eti mnaona mnaudhi waislamu.kila mtu atalipwa sawa na vitendo vyake,kumbuka hayo unayoyasema pia ni katika vitendo vyako.utalipwa tu.endelea kucheza
@yohanampangule88176 ай бұрын
Sahihi kualikana ,Ila Ni lazima Uwaeleze UKWELI kuwa YESU NDIYE NJIA YA KWELI ,NA HUKO KWENYE UISLAMU WAMEPOTEA ,,,...LAKINI NAONA MCHUNGAJI HUNA USHUHUDA KABISA KABISA. Humjui Allah ,UNASEMA ,unamshukuru.....ALLAH SIO JEHOVA BABA ,,,,HAPA LEO NIMEJUA WEWE BADO SANA..
@carterjordan42166 ай бұрын
Allah, Jehova, Mungu, God, ni lugha hizo mkuu. Siyo imani.
@Sheba46516 ай бұрын
###Yohana Kwani wewe lugha yako ya kijijini huyo muumba mbingu na ardhi huwa mnamuitaje? Maana kwa uhakika wewe si mswahili wa mjini, una lugha yako ya kijijini, hivi Yehova huwa mnamwitaje?
@SaidiRashid-yc3rc6 ай бұрын
Hujuwi ulitendalo usamehewe
@rahimukayela2976 ай бұрын
Jamaa ni empty knowledge ALLAH, JEHOVAH, BUDDHA, JAH, GOD, izo ni lugha tu za watu kw Kiswahili ndo MWENYEZI MUNGU.
@emmanuellwinga56866 ай бұрын
Bomu lingine hili linaweza tulipukia
@KhadijaKipua-dw7yz5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyo ndio Hananja bwana unanikosa sana babaangu wewe Mungu akubariki sana