KWA HASIRA MWANA FA AMKATAA STEVE NYERERE ATOA SAA 48 AJITOE KWENYE NAFASI ALIYOPEWA SITAKI KUJUA..
Пікірлер: 27
@jovinjoseph26252 жыл бұрын
Stive, hafai kabsa aendelee kugawa misos kwenye micba
@nussah31582 жыл бұрын
Namwelewa mwana FA. Dunia ya sasa hakuna kupeana kazi kijamaa. Elimu yako, ufanisi wako ndio utaokupeleka Mbele. Elimu ni muhimu . Steve hafai kabisa. Mbona wapo akina Bushoke,Lady Jay dee na wengine wanafaa
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Wakazi🗣️ 🔥
@trueboytz9876 Жыл бұрын
Nakweli imetimia 💥💥💥🤣👨💻
@jumakapola4192 жыл бұрын
Umeongea ukweri uyo muhuni awezi kuwa kiongozi
@mohamedhamza88192 жыл бұрын
Jamaa kaongea point sana
@aminiahidani41202 жыл бұрын
MMECHUKUA UWAMUZI MZULI HIKO CHEO KIKUBWA SANA MTU ALIYEPEWA ELIMU HAKUNA KAPEWA CHEO HIKO KAMA MJANJA WA MJINI MAISHA HAYO YASHAPITWA NA WAKATI
@mariamomary67372 жыл бұрын
Nimekukubali maneno yako yanapoiti sn tena sn stev hafai kuwa kiogozi
@mahmoudaziz47172 жыл бұрын
Steve nyerere afai kabisa na akizi vigezo. Steve out✌️.
@perisnanka21182 жыл бұрын
Democracy
@jwakoofficial15602 жыл бұрын
Stivuafai kabisa
@jwakoofficial15602 жыл бұрын
Boratukabaki bramsemajikuriko stivu
@JapharSaid-yj3sh Жыл бұрын
Urusi na ukraine
@davidmnyagwia84432 жыл бұрын
Kazi ipo😎
@ramadhanmsangi46762 жыл бұрын
😆😆😆😆🙄Hamisi mwinjumaaa MH.
@sigonilemwangole92542 жыл бұрын
Mwacheni Steve nyinyi ni mashetani tu mnaomfitini steve nyerere raisi wa Ukraine alikua mcheshaji sasa ni raisi inakuaje kwa steve pita hivi wewe mwana fa sijui
@zachaamaster53782 жыл бұрын
tangu Rari ukaona msimamizi wakwaya akasimania kwaya kwaiyo awezi kusimamia ww Kuma to kaha mbari
@priscaphedrick23962 жыл бұрын
Kwani kama wewe unataka uongozi siuseme tu masaa 48 wewe kama nani mbona una nyodo sana wewe?faridi chochote kitakacho kupata tutadili na hawa wasanii wa kufoka foka
@mwandumwandu1692 жыл бұрын
Kwan ww kwenye ubunge ulikua una sifa gan
@usiniguse2 жыл бұрын
@Mwandu ,Huyu mwana FA Ameenda shule. Shule ipo tena ya kutosha tu. Fuatilia CV yake utaona
@khalfachannel13402 жыл бұрын
@@usiniguse hata hivo ubunge hauhitajii Cv
@zubedamagambo96002 жыл бұрын
Ana masters
@dicksontimoth4297 Жыл бұрын
Kweli we ni kilaza
@hashimmawazo55032 жыл бұрын
Huyo ndo utanzania , yaani mtu kapewa nafasi mwacheni afanye kazi ,nyinyi fanyieni kazi makosa yake acheni ubinafsi na umimi
@veriusechrispin99712 жыл бұрын
Mwanafa wewe ninani bhanaa wewee mbona unakurupuka sanaa weweeeee