STEVE NYERERE Amvua nguo MWANA FA "Ubunge wakupewa/Sijiuzulu/Aombe Radhi"

  Рет қаралды 160,548

Rick Media

Rick Media

2 жыл бұрын

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 611
@hassanimpota5209
@hassanimpota5209 2 жыл бұрын
STEVE NYERERE, Ufai kua kiongozi, unapenda sifa sana, Unavigezo ww, Sio unapoyanga tu, Hongea na vifungu vya katiba, sio unasoma tu maandishi ulioandikiwa.
@mcpambe8063
@mcpambe8063 2 жыл бұрын
Fuateni Katiba, Kanuni na Miongozo ya Shirikisho. Hizi kelele naona kama mnajivua nguo tuyajue madhaifu yenu ambayo hatukuwahi kuyajua. Steve wewe umepewa tu nafasi hiyo, waliokupa wana sababu zao kwanini wewe. Kama msemaji mteule, omba Katiba ya Shirikisho, isome kwa umakini uielewe. Ukigundua kuna kipengele chochote kinakunyima sifa kuwa Msemaji, wala usipoteze muda, kiroho safi achia nafasi hiyo ili Msemaji apatikane kwa njia sahihi kwa mujibu wa Katiba. Ukigundua sifa na vigezo vyote unavyo; basi kaa kimya, piga kazi. Acha kelele
@khalidawadh9352
@khalidawadh9352 2 жыл бұрын
Afuate katiba
@abdiabdi5929
@abdiabdi5929 2 жыл бұрын
Namm naunga mkono mana anaanza kuvuka mipaka kusema wanaongea ovyo
@Adeen.1
@Adeen.1 2 жыл бұрын
Hii busara sana uloongea 👍 nyingine porojo tu na mipaka ya kesho kiutendaji sababu ataleta chuki kati yao.
@ernestistephen4645
@ernestistephen4645 2 жыл бұрын
Pua pua pua hahahahaha
@nassormgeni7994
@nassormgeni7994 2 жыл бұрын
Sahihi kabisa
@davinaheven4794
@davinaheven4794 2 жыл бұрын
Huna sifa Bwana. Uwezo wako mdogo sana. Ila maneno mengi Andunje!
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Jamaa yuko vizuri... Steve oyeee ! Vijana wa Kitanzania wanakutegemea!
@bobchanda2460
@bobchanda2460 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@stanastana3199
@stanastana3199 2 жыл бұрын
😂😂😂
@owenmutale6691
@owenmutale6691 2 жыл бұрын
Hutakiw unaforce nn
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 2 жыл бұрын
comedian uklain ndani ya bongo, yule chawa wa NATO na USA . Huyu comedian wetu chawa wa.........😂😂😂😂🤣🤣🤔
@directorxaimaco5729
@directorxaimaco5729 2 жыл бұрын
Fanya kuachia ngazi tu Brother. Haya ni Maisha ya Watu. Shida tunazijua ndani. Fata Sheria tu ni swala dogo tu.
@matekerekurwijira1576
@matekerekurwijira1576 2 жыл бұрын
Lugha unayoitumia kama kiongozi moja kwa moja unadisqualify ktk ofisi ya umma,acha kuchanganya pumba zako na viongozi wetu wa umma.
@samuelmwangu3301
@samuelmwangu3301 2 жыл бұрын
Mi nakukubali sana Steve , piga Kazi kaka. Hata Yesu walimkataa.
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 2 жыл бұрын
Nakupenda sana kaka yangu huwezi pendwa na watu wote ww piga kazi tuu tupo tunaokupenda🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️
@richardmbugi2746
@richardmbugi2746 2 жыл бұрын
Kuna watu wanakera sana,hv kwani lazima ukae hapo mbona unatia aibu ww sijui mhehe wa wapi,yani unaongea useng........ unauzi sana
@robertgilbert9453
@robertgilbert9453 2 жыл бұрын
Mmmh sema kweli ata sijapenda uwe msemaji unajua ata misingi ya hip hop
@josephelius8196
@josephelius8196 2 жыл бұрын
ujue hii bongo nimegundua ukiwa unaongea ovyoovyo unapata kitengo sasa uyu nae aya sisi yetu macho weee ongea lakin ipo siku utajikuta ulilala ndani mala uamke uko njee coz unaleta utani kwenye ajira za watu coz wanaendesha maisha yao na familia zao kwa ajiri music mwingine anaamka uko anapewa kitengo duuuh hii bongo bhana kazi sanaaa
@ahmedimuhamed6267
@ahmedimuhamed6267 2 жыл бұрын
Safi. Steve Nyerere. Umeikumbuka. Zanzibar. Asante. Mana hao wote wanaopinga. Zanzibar. Hawaitaji Wala. Hawaisemei
@petermushy9883
@petermushy9883 2 жыл бұрын
Hahaha Anajikuta Nyerere 😂😂😂😂
@rsautoservice984
@rsautoservice984 2 жыл бұрын
Steve tano TENA daaaaah....tuna kukubali Steve Fanya kazi..
@Chemba67
@Chemba67 2 жыл бұрын
Huyu anachanganya mambo kweli kweli.......ili apate huruma ya watu . Amesahau au hajui kua FA ni mwanamuziki na alisimama kama mwanamuziki na si mmbunge. ACHA FITINA. Kuna haja gani ya kutaja ACT, CHADEMA na vyama vingine?
@samuellevy2564
@samuellevy2564 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anamakelele Sanaa ndio maana hawamutaki
@mariamuomari6054
@mariamuomari6054 2 жыл бұрын
Pua pua 👃👃👃👃😁😁😁😁
@teddylyimo2296
@teddylyimo2296 2 жыл бұрын
Mpuuzi huyu stev anaongea pumba
@mcpambe8063
@mcpambe8063 2 жыл бұрын
Ingekuwa usaili, kwa kauli zake angepigwa chini katika hatua za awali kabisa. Amedhihirisha yuko "shallow thinker"; na kwa nafasi aliyoteuliwa ni ngumu sana kwake kuitendea haki inavyotakiwa.
@mazikumange9130
@mazikumange9130 2 жыл бұрын
@@mcpambe8063 yeah exactly hana sifa pia lugha ya kuapproach challenges hawez then hawez kuzi control emotions zake!the guy is good at gossiping not persuading people ila acha tuone kip kitafanyika but imekua gafla kuteua mtu ambayo hana professional kabsaa daah haya bn steve mr poor😅
@kayalaonlinetv
@kayalaonlinetv 2 жыл бұрын
Rick media mnatoa sana habari nzuri na halafu nyie mme improve kiukweli
@SamirBSam
@SamirBSam 2 жыл бұрын
Chapa kazi kaka Steve achana nao.
@iwobidesousa5290
@iwobidesousa5290 2 жыл бұрын
Bilnass Bilnass 🙏 tuko chini ya miguu yako.. huyu jamaa hawezi anatamba kiasi hiki.
@chealakwealakwe463
@chealakwealakwe463 2 жыл бұрын
Ongera mwanafa kwa kumuona uyu kijana uyu sio kiongozi asilete comed kwenye kazi za watu
@KPPKPPkabwendepoultrypro-ue4pe
@KPPKPPkabwendepoultrypro-ue4pe Ай бұрын
😂
@husseinkazungu5101
@husseinkazungu5101 2 жыл бұрын
Steve is active
@majijabombassa6890
@majijabombassa6890 2 жыл бұрын
Hongera Sana kwa Mimi tu unafaa sanaaaa zngine chuki tu pga kaz mzee baba
@mussamwambene7910
@mussamwambene7910 2 жыл бұрын
Safi nyerere
@alhaminyangusi8035
@alhaminyangusi8035 2 жыл бұрын
Kwa akili zake hicho kitu hakimtoshi, upeo wake ni mdogo sana ktk kuingiza watu . Nishaelewa kwann alipata kura 1 uchaguzi kipindi kile.
@erickmichaelmugele2107
@erickmichaelmugele2107 2 жыл бұрын
Nimefurahi Sana Mgogoro kama huu ni afya sana maana uundaji wa hivi vitu ulikuwa wa kihuni na kishkaji na mipango mingine ya hovyo kuumiza baadhi ya Wasanii wa muziki
@kwilasacharles1747
@kwilasacharles1747 2 жыл бұрын
Haya yote ni kwasababu ya njaa tu🤣🤣🤣
@alhaminyangusi8035
@alhaminyangusi8035 2 жыл бұрын
Nawaonea huruma wasanii watakaokubali kuongozwa na stive kwasababu wanaharibu maisha Yao wenyewe.
@daudpaulo2867
@daudpaulo2867 2 жыл бұрын
Umeongea vyema Sana
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 жыл бұрын
Mzee wa busalah stive
@salumsalim7564
@salumsalim7564 2 жыл бұрын
Dah hii mashine hana tofaut na polepole
@ngache46
@ngache46 2 жыл бұрын
Ubalozi wa Malawi unamhusu eeeeh
@benjaminkangolo2017
@benjaminkangolo2017 2 жыл бұрын
Tupo maneno msemaji wetu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 2 жыл бұрын
Hiki kijamaa kinaongea kama kimechanganyikiwa, ndo mana wanakikataa, mbona watu unaweza kuwateka kwa kauli na weredi tu, sasa kinaongea kama kimemeza nini sijui
@abdallahkhamis9227
@abdallahkhamis9227 Жыл бұрын
We ongea clip yako ipo mezani Kwa Naibu waziri kuanzia Jana jioni
@matukiomedia191
@matukiomedia191 2 жыл бұрын
Mzee had maneno ya kusema tu unapiga chabo.....lugha utaweza
@abroadconnectededucationlt5435
@abroadconnectededucationlt5435 2 жыл бұрын
Huna shule Steve , huna hela , huna ushawishi , Mwanamke FA shule ipo , Ana ufuasi mkubwa , akili ndogo haijawahi kuitawala akili mkubwa
@bahatimwangoka649
@bahatimwangoka649 2 жыл бұрын
Siasa imeingia kwenye Music na hapo ndio shida inaanzia
@meemetympingo
@meemetympingo 2 жыл бұрын
Nguvu moja sulet Steven nyerere
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 2 жыл бұрын
Wanamuandama sana sana, ila mtafuteni munae mtaka ili tuone itakuwaje
@philimonambilikile6645
@philimonambilikile6645 2 жыл бұрын
Huwezi pendwa na wote piga kazi utambulike zaidi
@softsoftbby8013
@softsoftbby8013 2 жыл бұрын
Steve Nyerere kachachamaa kweli naona kazi anaweza maana anaowezo wa kujitetea japokua uwezo wake mdogo ila aonekana kazi ataweza wampe mda tuone atawapeka wapi,maana katoa hoja za msingi kabisa unaweza kuwa msanii na usiwezi kuongoza wa sanii na watu walio mteuwa waliona uwezo wake unafaa
@alhaminyangusi8035
@alhaminyangusi8035 2 жыл бұрын
Ww nawe kichwa buyu
@djkayumba
@djkayumba 2 жыл бұрын
Tatizo sio uchama Wala mambo unayo ongea ni broken kikubwa je?? Una sifa moja wapo ya hicho ulichopewa?? Maana watu wanaogopa kutiwa aibu pia angalia Katiba Ina sifa yako nakama hamna achana na hiyo kazi
@zakiangumbe6739
@zakiangumbe6739 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏mungu akubariki
@josephatjames9893
@josephatjames9893 2 жыл бұрын
Kaka nakubari kazi zako
@enockkibona7522
@enockkibona7522 2 жыл бұрын
Hakuna anayetaka kutugawanyisha brother Steve ispokuwa watu baadhi hawataki uwe msemaji wao ndivyo ilivyo kauli ya kusema watu ama mtu anataka kutugawanyisha umeongea wewe,kifupi ambao hawataki uwaongoze waache wamchague mtu wanayemtaka alafu wewe waongoze hao wengine wanaotaka uwaongoze nadhani hapo itakua poa ila usiradhimishe Kuwa msemaji kwa wanamziki wote...
@deboraezekiel784
@deboraezekiel784 2 жыл бұрын
Usisahau kuna wanamziki wanamtaka kwahiyo bwana ambao hawamtaki watajua hawajui
@jamesdadu6736
@jamesdadu6736 2 жыл бұрын
Steve unatimamu sana..nimekuelewa sana
@fredmankaingu446
@fredmankaingu446 2 жыл бұрын
Steve piga kazi mzee wameze wembe
@mwajitajunior7633
@mwajitajunior7633 2 жыл бұрын
Mmh Bongo Balaaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abimerickikibiki5223
@abimerickikibiki5223 2 жыл бұрын
Kazaa baba vizurii
@girah339
@girah339 2 жыл бұрын
The man Steve, ana maneno ambayo kiongozi hapaswi sema , yupo ignorant na personality alonayo hapaswi kabisa kushikiria uongozi if so ataishia in regret coz he likes complaining . Watu wanalilia uongozi ila brother it's hard to manage responsibility of a leader.
@nimrodmareges3131
@nimrodmareges3131 2 жыл бұрын
Una fit sana Stev acha waseme
@adammbuba7230
@adammbuba7230 2 жыл бұрын
Mbona stive uko poa sana
@wahapahapa3279
@wahapahapa3279 2 жыл бұрын
Hapa ndo stive anataka kuchukiwa nakwambia uyu kwa wasanii wa kizazi kipya hatoboi Maana wao ndo wananguvu iyo miziki mingine yote hawana nguvu
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
Aibu Steve Nyerere nenda uko kajambe mbele unatafuta gia ya kuingia bungeni huingii labda kwa goli la mkono lkn raia mwema hakupi kura yake wote ulowataja wana taaluma ya uwezo wa kuongea na elimu kubwa ww huna lolote Steve huna koromeo ww unajiona km Mwalimu Nyerere kwendaaaa hutakiwi kaa chonjoo
@azizairakoze1230
@azizairakoze1230 2 жыл бұрын
Tanzania kaziipo naona mze kapata mhaho hakubali kuondoka nishida
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 жыл бұрын
Mwana fa, puwa wakazi, puwa Nay wamitego, puwa kalapina, puwa Diamond platnumz, puwa Nay wamitego,puwa waliopinga wote mapuwa.
@alextanzania
@alextanzania 2 жыл бұрын
Puwa Dunia Wa Dunia
@csungo8471
@csungo8471 2 жыл бұрын
Napenda anavyosisitiza kama mwalimu Nyerere. You deserve it 💪💪
@khalmudodoma6271
@khalmudodoma6271 2 жыл бұрын
Nice nyerere
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 2 жыл бұрын
Mi kwa kweli najiuliza sana kweli hiyo ndo hekima kuongea hivyo? Kaka huna busara wala hekima hata mimi ningekuwa mwana muziki ningekukataa, kwa ufupi unatia aibu
@joshuambogela8143
@joshuambogela8143 2 жыл бұрын
kajamaa aka kame wazidi sana akili kuna watu walikulupuka naona kana upiga mwingi sana
@frankrobertkomba2318
@frankrobertkomba2318 2 жыл бұрын
Hamna hajajibu hoja za msingi zilizozungumzwa jana,moja kamati ilitumia vigezo gan ambavyo katiba imevisema tivu yake hana.kikubwa anaotaka kuwaongoza hawamtaki.sasa yeye ameenda personal sana hasa kwa fa na wakaz
@costantinebahakaso3736
@costantinebahakaso3736 2 жыл бұрын
Jamani hutakiwi toka
@veenpoul900
@veenpoul900 2 жыл бұрын
et unataka kuharibu mkate wangu duuh,,,,acheni tivu aendeleeeeeeeeee
@saidawadh8292
@saidawadh8292 2 жыл бұрын
Mr 2 au 2 proud sugu inamfaa nafasi iyo
@jeffersonsimon477
@jeffersonsimon477 2 жыл бұрын
Hebu kwanza nchekeee hapo🤣🤣🤣
@vumisungwe7405
@vumisungwe7405 2 жыл бұрын
Usitoke kaka
@fransalbat1800
@fransalbat1800 2 жыл бұрын
😂😂na hang'oki sasa
@roseamos9930
@roseamos9930 2 жыл бұрын
Kimeumaaana
@denicegabriel6616
@denicegabriel6616 2 жыл бұрын
Ona Sasa washaanza taarabu😁
@dgt6303
@dgt6303 2 жыл бұрын
Huu mjadala ulivyoibuliwa umesaidia pakubwa mno kuujua uwezo na busara za aliyekuwa anateuliwa. Daaah Mwanafa na wasanii wengne mliona mbali.
@athumanimbagala8107
@athumanimbagala8107 2 жыл бұрын
Kama movie yani,ninecheka Sanaa,nawaza Kama angekuwepo na mkojani apa ingekuwajee
@MrSurefreight
@MrSurefreight 2 жыл бұрын
Tokaaaa......mwehu ww!
@jafariimduduu9264
@jafariimduduu9264 2 жыл бұрын
Mm wooote nawaona kenge mliokosa mikia stiv anafaaaa kabisa
@frankyohana208
@frankyohana208 2 жыл бұрын
Ungekua na kazi ya kufanya" usingekua unang'ang'ana hvyooo...""
@suwedwakil4392
@suwedwakil4392 2 жыл бұрын
Huuu ndiyo uswahili sasa !
@ngasikajoel9576
@ngasikajoel9576 2 жыл бұрын
Steve acha usanii kwenye professional intelligence ..hiyo nafasi haikufai in real fact..
@pascalgasper403
@pascalgasper403 2 жыл бұрын
Hapo Ni Uongozi Shida,, Yani Watu Wanataka Mtu Wa Kuwaongelea, Kwa Hiyo Watu Kama Hawakutaki Kwa Nini Ung'ang'anie,, Kwa Mtazamo Wangu Hapo Upigaji Hela,, Na Huyu Antaka Hela Tu Mpumbavu Huyu,, Alafu Anaongea Kama Mwalimu Nyerere, Huyu Akamatwe Atufai Kwa Kweli 😅
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Hahahaaa wewe huzitaki unipe miye
@jacksonhantik7597
@jacksonhantik7597 2 жыл бұрын
Hiv ww ulikuwa unalijua hili linaloitwa shirikisho?au ushawahi kusikia kuhusu msemaji?ninachoona hapo ni roho mbaya tuu za watu
@pascalgasper403
@pascalgasper403 2 жыл бұрын
@@jacksonhantik7597 Huyu Alikula Pesa Za lambilambi tunamjua
@009biafra8
@009biafra8 2 жыл бұрын
Eti akamatwe
@annabubelwa4543
@annabubelwa4543 2 жыл бұрын
BASATA mjitafakali kwa hili isee , otherwise mnachokitengeneza kitawachafua wenyewe
@abdillahyabdilkadir4670
@abdillahyabdilkadir4670 2 жыл бұрын
Uko sawa mzee baba stevine nyerereee
@chamzurykashamba1134
@chamzurykashamba1134 2 жыл бұрын
Huyu ndo Tivu ake
@josephmkuar7133
@josephmkuar7133 2 жыл бұрын
Hahaha huyu jamaa mtata sana
@abdillahmtindo6918
@abdillahmtindo6918 2 жыл бұрын
Huna sifa ya kuwa msemaji wa mwana muziki huna tokaaaaaaaaa Ila duh njaaa mabya kwely alikuwa ananyemelea hapo bx kaipata mhhh njaaaa itakuuwa atukupendi Wala atukutakiiii tokaaa
@sefaniambilinyi7080
@sefaniambilinyi7080 2 жыл бұрын
Kwani lazima uwe msemaji usijilazmishe kwa kudanganya watu wazili hamna Sheria inayo mbana kuwa na taaruma frani Ila lazima awe mbunge wa kuteuliwa au kuchagulia ndo atakua wazili lakini PS paraments secretary lazma awe na taaruma husika sasa wewe fata Sheria yenu inasemaje umekiuka na uwe msemaji pigeni kula ili upite kidemocrasia
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Huna lolote kwendaaaa vijitu vifupi huwa vibishi sana hutakiwi unang'ang'ania nn,kwanza una maneno meng sana mbk yanaboa
@chandedon2811
@chandedon2811 2 жыл бұрын
Rastaa hutakiwiiii
@innocentbugobola2234
@innocentbugobola2234 2 жыл бұрын
Ww acha ubaguz hii Kaz aikufai kwanza unaHasira alafu unaonekana Majungu Sana dah et watu wametulia wanakusikiliza aaah
@jacklinejacksone1165
@jacklinejacksone1165 2 жыл бұрын
Uyu awaongoze wa taarabu mbongo freva awakutakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii😂
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 2 жыл бұрын
Of all the trust given to him sikutegemea awe na press low key kama hii.Nilikua najiuliza why wanamkataa, he aint any mature for the post, nikimnukuu anavosema "et napewa masaa 48 kampe bibi yako" this is unprofessional, immaturity, illogical, uncritical etc. Huwezi kua kiongozi usie na akiba ya maneno wala subira, huyu ni mropokaji tu. Press haiwezi kua km unaongea na mkeo its something respectful, na hajajua power ya social media na hz online Tv ambapo anaropoka tu na speech inaenda viral. Mimi sio mwanamuziki lkn kwa speech au press hii hatoshi, bado hajakua na hafai kua kiongozi. Huwezi kua na kejeli fitina na dharau hata kwa Mbunge ambae alisimama km mwanamuziki licha yakua mbunge. Hio bodi iliyo muweka ijitafakari kwaajili ya heshima na umuhimu wake lkn wafate katiba na miongozo ya shirikisho na wazingatie vigezo vya msemaji, huyu waliomuweka ni mtoto bado, hana maadili hata ya uongozi ni mropokaji tu asiejali nini anaongea na impact ya maneno yake.
@mariamuomari6054
@mariamuomari6054 2 жыл бұрын
Hata mwana fa nae ukisikiliza maongezi yake pale alipokua anaongea na raisi wao wa shirikisho hajatumia nidhamu anaongea anamnyooshea kidole raisi anamwambia ado ado👆👆👆alafu anasema natoa masaa48 yaani kma anawapelekesha anawaamrisha nidhamu imekosekana pua pua pua👃👃👃
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 2 жыл бұрын
@@mariamuomari6054 ni kweli nae kuna sehemu kaongea kwa mzuka bila weledi, nakubaliana nawewe. Hv vitu ni vya maridhiano zaidi, lkn hoja ziwe zenye tija na muelekeo sio kukoromeana tu. Kikubwa katiba na miongozo iliyo wekwa kisheria ifuatwe na uongozi uone haja ya kufatilia kwanini wanamkataa Steve!
@mizowdash8640
@mizowdash8640 2 жыл бұрын
@@mariamuomari6054 Nyerere ni mjinga mmja tu hafai hata kwa bure
@nikolausmuhamaly1571
@nikolausmuhamaly1571 2 жыл бұрын
Wabongo tulitupiwaga jin gan lakin du!
@gaspermrosso4060
@gaspermrosso4060 2 жыл бұрын
Wajumbeeee😄😄😄
@seouliteawon8903
@seouliteawon8903 2 жыл бұрын
Wajumbe wa Iringa Mjini waliona mbali..!!!
@josephelius8196
@josephelius8196 2 жыл бұрын
wew bhana si utoke kwani lazima uwe msemaji kwani huna kazi nyingine ya kufanya mjini khaaa
@agnesssanga6544
@agnesssanga6544 2 жыл бұрын
Mbona Steve yuko pouwa tu watu mnawivu jmn khaaa kwan nyie mnataka nan awe msemaji jmn
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 2 жыл бұрын
Tena anafaa haswa
@mwigakatumpula6852
@mwigakatumpula6852 2 жыл бұрын
Poor poor poor 😥🙌😀
@samwelmakanzajr1194
@samwelmakanzajr1194 2 жыл бұрын
Wasanii wenyew hawakutaki🤣🤣🤣
@ahmadnassor6004
@ahmadnassor6004 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@stevengipson857
@stevengipson857 2 жыл бұрын
Tuna kukubaliiiiii
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 жыл бұрын
TUPISHE MZIKI UNAWENYEWE. UMEINGIA PASIPO KUHUSU HAFADHALI HATA UNGEKAA KIMYA
@davinaheven4794
@davinaheven4794 2 жыл бұрын
Steve ni anafaa kuwa Mwenyekiti wa Misibiba tu.
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Komboa fikra... Heshimu kazi za wengine... Comedian ni Rais (Zelensky). Comedian ni Governor (Arnold Schwarzenegger)... Unasemaje sasa?
@aisharevelian6933
@aisharevelian6933 2 жыл бұрын
Na kwenye misiba ni tapeli anakula rambirambi ndmn hata kwa film wamemkataa
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Arnold Schwarzenegger ni actor producer maarufu... Aliwahi kuwa Governor wa California... Just kukwambia usiwachukulie poa Comedians, wale ni Watu serious.. Nchi nyingine zinatambua thamani yao na uwezo wao...
@davinaheven4794
@davinaheven4794 2 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 Hana uwezo huyo Amolo! Abaki na kamati za misiba. Swala sio u comedian. Wala hatudharau taaluma ya mtu, maana ni kazi inampa kipato halali. Usitafute huruma. Shida ni IQ yake ndogo kush nehi. Wako watu weenye uwezo zaidi ya Andunje wataweza kuingiza. Yeye abaki kuazima magari na kuwa mtu kati aka Kuwadi
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Sitafuti huruma ya Mtu... Steve ni Kiongozi, ni mtu mwenye akili, na ni mzalendo pia... Anajua anachokifanya, ana sifa zote... Wale Wahuni wote wanaomkejeli hawana akili kuliko yy... Na wengi wao hawamzidi elimu... Tuheshimiane... Kila kitu chini ya jua kina mwisho! Hela itaisha... Ubunge utaisha... Hela sio kila kitu... Hii dunia tunapita tu... Ee Mungu tusamehe Watz...
@eagleculturetv4692
@eagleculturetv4692 2 жыл бұрын
kwa game ya bongo hapa ni bora akabak steve mana utim ni mwngi mnooo
@Mimy_keys
@Mimy_keys 2 жыл бұрын
Mbona Mwamba ana Busara sana tu 🙌Tuone hivyo vigezo basi ili tuelewe 😂😂😂 Maana Kuwa Msemaji sio lazima awe Mwanamziki 👏👏👏
@simonmlisa6104
@simonmlisa6104 2 жыл бұрын
Nawakeraaa wacha niwakereeee😜😜😜
@kirundumweteni2072
@kirundumweteni2072 2 жыл бұрын
Bongo move wamekuchuja na hukuifanyia maajabu sasa una kashfa ya kumgombanisha Ry na marehemu kanumba, kiufupi tafuta maskani ya kupiga soga sio kwenye mziki watu wamesotaaa wee halafu wakuchukue huna Rank yeyoote. Huna maajabu
@bakariyusufujuma
@bakariyusufujuma 2 жыл бұрын
Nakubali kwa kusema unaweza
@kambugarakim4840
@kambugarakim4840 2 жыл бұрын
Naam walipaona .......
@bumbuli4170
@bumbuli4170 2 жыл бұрын
Mtambeza sana but he is a living genious
@alhaminyangusi8035
@alhaminyangusi8035 2 жыл бұрын
Ww nawe akili huna, Yani huyu mbali na mziki huko kwenye movie sijaona positive impact yake akiwa kama mwigizaje.. mziki ataweza nn analeta ukolo
@themirror9175
@themirror9175 2 жыл бұрын
Umiy mwalimu kweliii..
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 64 М.
One Two Buckle My Shoes ! #spongebobexe #shorts
0:17
ANA Craft
Рет қаралды 52 МЛН
ЭТО САМЫЕ ОПАСНЫЕ ШАРИКИ В МИРЕ!! #shorts
0:22
🚓КОПЫ явно такого НЕ ЖДАЛИ🫣#shorts
0:19