🔞KWA WAKUBWA TU❤️: BI CHAU AWAFUNDA WANANDOA, MASAJI, MSUNGO, MAFUTA ya NAZI | KATIKATI YA KOKO

  Рет қаралды 170,905

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 229
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@nyembomajid907
@nyembomajid907 Жыл бұрын
walekhum salam wa mama zetu mi KUTOKA Congo mkoa wa mambasa, hapa kwetu mambasa bado Mila ziko hapo hapo wa kungwi wetu wanafanya kazi vizuri Wanaelimisha wakina dada vizuri watoto waume bado wanatairiwa nyandoni vizuri kwa hivo Mila ziko sawa
@munaali7862
@munaali7862 Жыл бұрын
Mona
@NajmaBarry04
@NajmaBarry04 11 ай бұрын
Mleteni tena bi Chau anamafunzo mazur Mungu amzidishie inshaAllah
@idrisaaliy9847
@idrisaaliy9847 Жыл бұрын
Bi chau mashaallah mama huzeeki Allah akueke zaidi na zaidi ishlah
@SaumuLuvuno-s6w
@SaumuLuvuno-s6w 7 ай бұрын
Ntakutafuta bi Chau. Ila mbona ulikua ukimtura mzee small vile😂😂😂. Big ❤ bi Chau. umegusa ndipo, cc wa sasa ndoa hazidumu coz hatutaki kujishusha kisa twafanya kazi sote na vilevile tumejaa viburi na twaendeshwa na udigitali
@mozasaid3869
@mozasaid3869 Жыл бұрын
Utamkuta somo hata kuolewa hajaolewa hata mara moja eti somo!! Anagunda kitu gani?!! Hongera sana bi Chau kwa maneno yako mazuri,
@saumusulaiman4742
@saumusulaiman4742 Жыл бұрын
Maashaalah tupatie namba za b.chau❤Atupe mafunzo zaidi 🙏🥰
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 Жыл бұрын
Bi chsu nakukubali sana. Hayo unayosema ni mambo ya zamani hivi sasa zimepotea. Kwanza mwanamke wa kizamani kwa sasa hivi unaonekana mshamba. Na wanaume wa kizanzibari hata usugue kea hawawi. Na na anakudharau ukimfanyia hivyo. Wanaume wa siku hizi wanaonaowa sio mke inakuw mfanyakazi wa ndani.
@maryamsimai6263
@maryamsimai6263 Жыл бұрын
mashaallah bi chau nikiiipenda sana michezo yako na mzeee small sijui ata inapatikana wapi kwa sasa
@HawaMwanga-b1k
@HawaMwanga-b1k 7 күн бұрын
Mashaallah,, npe npe nitekeleze inshaallah, nkiolewa
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Жыл бұрын
Maashaaallah bi chau uko vizuuuri👌👌madini adimu na adhimu ❤️watu kama nyie wachache Allah awaweke tunawapenda sana, utandawazi umetuharibia watoto na jamii kwa ujumla! Msiba mkubwa!ya KALE NI DHAHABU!!!kipindi muda ni mfupi lkn kitaaamu ajabu😍😍👌🙌🙌
@Raissaabdoul
@Raissaabdoul Ай бұрын
Nakupenda sana bi Chau kwa ajili ya Allah tatizo ya watoto wazisiku awasikiyi ushauri nakupenda sana bi Chau naomba namba za bi Chau
@mohammedibimkubwa4947
@mohammedibimkubwa4947 Жыл бұрын
Ahsante bi Chau , umenikosha, unaelezea bila ubaguzi
@begamnafaj8743
@begamnafaj8743 4 ай бұрын
Shukran madam nimeongeza maarifa mengi hasa ktk somo la msuaki na umuhimu wa kusafisha miguu baada ya bafu. ❤
@mariamtezo8092
@mariamtezo8092 Жыл бұрын
Shukrani bi chau mm nauombea Allah akupe maesha marefu uzidi kututoa ujinga ulio ganda ndani yavichwa vetu
@abudhabiimarat8622
@abudhabiimarat8622 Жыл бұрын
Tunawasikiya makungwi bi chau mm nitakuja kutafuta inshaallah unipe darsa nzr nilikuona itv zamanii
@hamidarukingamarukingama7010
@hamidarukingamarukingama7010 Жыл бұрын
Shukran sana kwakunifunda na mim mtoto wenu ntayafanyia kazi
@mariamoman5057
@mariamoman5057 Жыл бұрын
Walkumsallam wa rahmatullahi wabarakatuhu ✔️ shukran Mom ❤️ 🌹 heshima kwako
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu azidi kuwatunza wazazi wetu ili muzidi kutuelimisha tunapo koseya
@hassankimwan4402
@hassankimwan4402 Жыл бұрын
bi chafu anaonekan alikuwa mwiz sana
@BINTIwaKITANGA
@BINTIwaKITANGA Жыл бұрын
@@hassankimwan4402 😂kivipi?
@millermukhovi3284
@millermukhovi3284 Жыл бұрын
Asante Sana bibi.nitayatilia manani maneno yako
@dottohami
@dottohami Жыл бұрын
Tenaaaa wambie wana ndoa sijui wanakwama wapi ndoa hazidumu mtu wezi tu kaachika mpaka unashangaa mtu masha Allha b chau 😘🔥
@khadijamohanani6476
@khadijamohanani6476 Жыл бұрын
Tupo siri ya urembo bibi yangu huzeeki mashaallah. Bichau
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 Жыл бұрын
Nakupenda sana bi chau mashallah ❤🥰🥰🌹🇴🇲👌
@nurukasunzu2711
@nurukasunzu2711 Жыл бұрын
uko vzr bi chau mungu akuweke
@mariamsaidaboud4959
@mariamsaidaboud4959 Жыл бұрын
AMEEN
@hawaomar5814
@hawaomar5814 3 ай бұрын
Waaleykum salaam warahmatullhy wabarakatuh
@Elesciahmdugo
@Elesciahmdugo 2 ай бұрын
Nakupa kongole bi Amina, toa namba zako
@MakhaiAbdullahEuli-em6jj
@MakhaiAbdullahEuli-em6jj Жыл бұрын
mashaallah tumeisikia
@queenlinda255
@queenlinda255 Жыл бұрын
Mi nilikua sijui kutengeneza mafuta ya nazi Asante sana
@saralusinde53
@saralusinde53 Жыл бұрын
hata mimi nimefurahi bi chau kanifundisha kutengeneza mafuta ya nazi
@muzdiddysultan
@muzdiddysultan Жыл бұрын
MashaAllah bi chau uko vyema
@abdouaishafuzna2345
@abdouaishafuzna2345 Жыл бұрын
Asalam aleikum. tunashkuru sana bi chau.
@engelchilumba9381
@engelchilumba9381 Жыл бұрын
Asante bi chau nakupenda bureee
@aishaabdallah9550
@aishaabdallah9550 Жыл бұрын
Mashallah bi Chau tunaomba namba
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
Asante bi chau kwanza kbs naomba ck ingine muzungumzie kuhusu kipin cha pua maana cc wenye vipin vya puani twaonekana ni malaya kwa dhama hz za smart phone pili bi chau na shangza yangu hpo pemben ck hiz kuna mafundisho ya ndoa kwenye mitandao yan was was hd kero mie naona kwann baadhi ya wanawake huwa wanafundisha mambo ya ndn ya ndoa hadharani kbs 😢
@mwajumakilobwa6237
@mwajumakilobwa6237 Жыл бұрын
Shanga zinatakiwa ziwe 3 na langimaalum na kilalangi inamaana yake
@rwechunguraissa1394
@rwechunguraissa1394 Жыл бұрын
Mitandao imejaa upotoshaji wa tamthilia na maadili mabovu ya kigeni kwa vijana. Mazingira yamechafuka siyo rahisi tena kuwafunda vijana. Hata DINI zetu hazithaminiwi tena kutuongoza kimaadili.
@TamimaKhamis-i6d
@TamimaKhamis-i6d Ай бұрын
Jamani kweli unayo yasema ni mazur lakn waaume wanasababisha
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Kwa watoto wa sahivi hatauwe mkufunzi kiasibgaji hata uwe kungwi kias gani.dujia hii ya sim za kupangusa kilaanapoenda diamond wapo nyuma ndowa haziwezi kukuwa wakat wenu kulikuwa na heshima ujirani ndugu balehe wa nyumba fulan kijiran anaogopa kumtongoza mtoto wa kike wa jiran yake kwasab wazee wako kidugu halafu watoto walikuwa wanahaya sahivi hakuna haya hatamkirud jandoni bure
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 Жыл бұрын
Nampenda sana bi chau
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si Жыл бұрын
Cku izi hata mikeka makawa vipepeo hawatumii ila kwetu tanga bado vipo na tunaenjoy mahaba
@maryamsaleh8438
@maryamsaleh8438 Жыл бұрын
Kabisa Akhuy
@rizikichamosi7551
@rizikichamosi7551 Жыл бұрын
Mashallah mama kazi safi
@swahibasaidi4669
@swahibasaidi4669 Жыл бұрын
Mashaallh thanks allah
@FatimahAl-f1d
@FatimahAl-f1d 9 ай бұрын
Mashaallah Bi chau ❤❤❤💯
@salmasulleysh7101
@salmasulleysh7101 11 ай бұрын
Mbn raha jmn ila waume wengine walishindkna mjuee
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 11 ай бұрын
Jamani watu sasa kwenda kusafisha miguu, kucha na massage huko nje ati ndio maendeleo hayo. 😮😮
@keyla3641
@keyla3641 Жыл бұрын
Jamani vijana tu sikilize wazee wetu hizi hadisi wanasimulia unahisi kabisa walikuwa na furaha waliishi kwa kujali hisia zao waliishi kwa adabu mashallah jamani tujifuze tuwafundishe na watoto wetu asilizetu wazee wetu walifanikiwa kwa kujishusha kubembelezana awakuwa kufika hapa sisi tulipo tu jitahidi I turudi kulikotoka
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Kurudi ulikotoka unaona ni rahisi ee? Haya anza wewe. Wewe unarudi ulikotoka mmeo anaenda mbele kwa mbele na digitali hapo ndo utaona rangi zote. Ya kale yalishapita dear ni kuendana na mazingira tu yaliyopo
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 Жыл бұрын
Ngoja kwanza nizaliwe upya haya yameshanipita
@noorynmohammedy6063
@noorynmohammedy6063 Жыл бұрын
@@fettiemaganza1484 🤣🤣
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 Жыл бұрын
Allah akbar
@ApiaGervas
@ApiaGervas 27 күн бұрын
Sasa mama zangu mume hakupi hela ya kula alafu anakukwaza kila wakati mm mke namuomba ladhi kwa makosa yake ndoanaongeza kukukwaza akijua hutofanya chochote je huyo nae mwaniambiaje hapo? Lazima huyu mama au dada atachoka ndipo dhalau kwa mumewe inaanza wanaume Leo hawapo
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 Жыл бұрын
Huyu mama nampenda alafu hazeeki maasha Allah
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Hazeeki nani kakwambia
@missjudy7294
@missjudy7294 Жыл бұрын
Wakenya twaitaji kusikiliza bi Chau hata kama kiswahili kigumu
@remaz-tf6zh
@remaz-tf6zh Жыл бұрын
Bi chau nataka namba za cm
@Mrs.Mumewangu
@Mrs.Mumewangu 5 ай бұрын
Namtafta bi chau jamani nampatapi. Ni shangazi yangu. Nipo America
@MarthaAlbano-l1q
@MarthaAlbano-l1q 6 ай бұрын
Tuna omba namba ya bi chau ❤️🥰🙏
@neemaalpher8798
@neemaalpher8798 Жыл бұрын
Nime penda jamn kina mama zangu nikiolewa nitafanya ivi kabisaa mbalikiwa sana na MUNGU
@annamnyazi8206
@annamnyazi8206 Жыл бұрын
Thanks
@sarrahmsao3212
@sarrahmsao3212 Жыл бұрын
Cheko la ni Chau tu linasisimua je mengine huko si haubanduki 😀😀😀😀
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Nyie mnaongelea mambo ya 50s dunia hii ya leo! Mjue zamani mwanamke alikuwa hafanyi kazi so muda anao wa hayo yote. Leo hii kila mtu anachakarika kutafuta pesa akirudi home hoooi huo muda wa kuchokorana masikio unatoka wapi?
@neemamzande8547
@neemamzande8547 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kuchokorana masikio join 😆😆😆
@mwakahassan7685
@mwakahassan7685 Жыл бұрын
😄😄😄
@OfficialA83640
@OfficialA83640 Жыл бұрын
Ndy maana mnaachika hamuna mahaba mmeendekeza kutafuta hela 🤣🤣🤣
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
MAADILI hayapitwi na wakati ndugu yangu
@khadijamgambo9382
@khadijamgambo9382 Жыл бұрын
Si lazima kila siku taguta siku ya kufanya surprise mumy ukiendekeza sana pesa hotokuwa na maisha ya furaha maisha ndio haya
@MuniraAbdallah-tv6gs
@MuniraAbdallah-tv6gs 5 ай бұрын
Acnt 🙏 Mama ❤❤❤
@reminamkunda6474
@reminamkunda6474 Жыл бұрын
Kweli BChau
@mwanjumajongette8187
@mwanjumajongette8187 Жыл бұрын
Nice Bi Chau
@Waseme-f7y
@Waseme-f7y Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@mwajumaahmadi5533
@mwajumaahmadi5533 Жыл бұрын
Cjaolewa lakini najifunza jaman kazi nzuri mama zangu
@looqmanmw8190
@looqmanmw8190 Жыл бұрын
Insha Allah utapata mume wa khery
@looqmanmw8190
@looqmanmw8190 Жыл бұрын
Ibadah ufunguo wa kila kitu
@mwajumaahmadi5533
@mwajumaahmadi5533 Жыл бұрын
Inshalla
@looqmanmw8190
@looqmanmw8190 Жыл бұрын
@@mwajumaahmadi5533 Tanzania au kenya weye
@mwajumaahmadi5533
@mwajumaahmadi5533 Жыл бұрын
Tz
@munaali7862
@munaali7862 Жыл бұрын
UnapatikaniwaWapiBiChau
@zuhurasuleiman4986
@zuhurasuleiman4986 Жыл бұрын
Bichau.nakupenda
@mamanaa9352
@mamanaa9352 Жыл бұрын
Bichau 💕💕💓💓💓💓💓🍎nakupenda sana mungu akuweke sana
@mamanaa9352
@mamanaa9352 Жыл бұрын
Namb ya cm tunataka
@Niyiturinda
@Niyiturinda Жыл бұрын
Nakumbuka buchau na mzee small....walinifurahisha....ningezipata kabisa....
@lattifajohn2235
@lattifajohn2235 Жыл бұрын
Jamani 🥰 anapendeza avyovaa mashallah tuambie nasisi mavazi yako jamani nimependa Sana ilo kuberi ♥️♥️♥️♥️
@alittlemoretime
@alittlemoretime Жыл бұрын
Swa baba
@عزيزةمرجاان
@عزيزةمرجاان Жыл бұрын
Nna mwari wangu namtaka bi chau aje anifundie
@Layla_Sulaiman88
@Layla_Sulaiman88 Жыл бұрын
Mashaallah mama
@mohamedhussein-qb5sg
@mohamedhussein-qb5sg Жыл бұрын
Bi Chau ni kweli jando la unyago lirudi , sio wengi katika waume wana mafunzo ya ndani katika unyumba .Mia fil Mia Jando la unyago lirudiiii
@FarouqSalmin-q3v
@FarouqSalmin-q3v 6 ай бұрын
Jinsi ya kufanya wake wenza wapendane
@fatmaamissi7251
@fatmaamissi7251 Жыл бұрын
Nakumped mma yang chau shikamoo
@munaali7862
@munaali7862 Жыл бұрын
NapendaSanaHiliDarasaLakoMami
@ekyongemiseeleco2459
@ekyongemiseeleco2459 Жыл бұрын
kwa nini Wakufunzi wengi ni wale walio achika?, Je! elimu hiyo ya ndoa walipata baada ya kuachika ao kabla ya kuachika, na kwa nini waliachika pindi wanayo elimu ya kumpeti petit mwanaume
@Iragibarune1.
@Iragibarune1. Жыл бұрын
Hili mie pia hua najiuliza sana sijawai pata jibu
@Niyiturinda
@Niyiturinda Жыл бұрын
@@Iragibarune1. nawaza na bahati kwa kujenga inakuwemo....ao mwanaume amekuwa mbaya ao,Familia,...kuacika....si mpqka hujuwi kitu..na kujenga sio lazima ijuwe kitu....hatari kabisa
@devidnongwa4042
@devidnongwa4042 Жыл бұрын
Kwasababu wanawakae wa aina hiyo blaablaa sana utekelezaji hawana na wanaume wengi hawapendi wanawake wa aina hiyo mwanamke mzuzi mkimya na mwenye utiifu.
@busnaoman9981
@busnaoman9981 10 ай бұрын
Kwan bichau nae kaachikaa
@joharijj2164
@joharijj2164 Жыл бұрын
Kuna wanaume awakubali makosa yao yaani kila siku wewe ndio mwenye makosa.khee 😂😂sio wanaume wa leo
@HusnaIdrisa
@HusnaIdrisa 10 ай бұрын
hivi bi chau nakupataje unifunde jamani
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Жыл бұрын
Nipo hapa niwasikiliza moja baada ya jengine
@ناصرالمطيري-م6ع
@ناصرالمطيري-م6ع Жыл бұрын
😅😅napenda mnavyo cheka
@maswamills3161
@maswamills3161 Жыл бұрын
Bi Chau mbona ITV?
@joycemakungwa1307
@joycemakungwa1307 Жыл бұрын
Bi chau umeongea mengi lakini mm yamenikuta nilipata mume lakini alikuwa mchawi badala ya kupendana kwa dhati akaniwekea limbwata la kunifunika nisiende popote iyo ni haki b chau.
@joharijj2164
@joharijj2164 Жыл бұрын
Kumbe tupo wengi 🤣🤣🤣pole natumai ulijikwamua
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
Duhh
@najmaaa6548
@najmaaa6548 Жыл бұрын
Mashallah
@EsterJonas-ii4do
@EsterJonas-ii4do Жыл бұрын
Yani niwaze hela niwaze nahayo yakum bembeleza ivi😅😅😅😅umefeli
@AminaKassim-ni9wd
@AminaKassim-ni9wd 5 ай бұрын
Shida mmeshindikana na ata adabu amna kwasababu wamama kama awa anaelekeza darsa zuri ww unaongea nn ndoa zitawashinda asa pale mume akichepuka na akimpata wakuwafanyia aya kwisha abali yako
@zena6203
@zena6203 Жыл бұрын
Kuachwaa ndio habari yamjini
@ruu6592
@ruu6592 Жыл бұрын
Wanakinai haraka wameumbwa na miyoyo minne yote utamfanyia hakuacho kwa hayo ila ata owa tuuuuuuu ni vimbe walio shindikan
@mkatungu7457
@mkatungu7457 Жыл бұрын
Kabisa Ndugu yangu. Kwa wanaume wa kiafrika hufanye kazi saana.
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wasema walishindikana
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
@@aisharajimbo6784 kama una tako sawa
@neemagowi7692
@neemagowi7692 Жыл бұрын
Wengi wao wanaacha tamaduni kisa tu utandawazi
@mozasaid3869
@mozasaid3869 Жыл бұрын
Kweli kabisa! Huo utandawazi ndiyo unawaharibu,
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Nandyomana migogoro ya ndoa haiishi kila siku tunaona maajabu aisee
@jamilajamal1584
@jamilajamal1584 Жыл бұрын
Mashaallah❤️
@salhabeautybashiru8393
@salhabeautybashiru8393 Жыл бұрын
Samahani nampataje bi chau
@peterkinga5937
@peterkinga5937 Жыл бұрын
@Salhabeauty Bashiru Wapata Taabu Ya Nini Wewe Hebu DondoshA Namba Zako humu Umpate Bi Chau Maana Ni Bibi YangU HuyO
@aishagakurya1964
@aishagakurya1964 Жыл бұрын
Wengine wakitaka kufanyiwa hawataki wasema wataka kuchukuliwa huchafu hupeleke kwa mnganga
@shaukatashiq137
@shaukatashiq137 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂daah kali hii
@siriyangu4724
@siriyangu4724 Жыл бұрын
Mashallah bichao hajabadilika kicheko chake 🤣
@FakihiRajabu
@FakihiRajabu 7 ай бұрын
Naomba munitajie vitu gani vinatumika katik kumsinga mume
@SuzanneZuh
@SuzanneZuh Жыл бұрын
Bib namba yako naomb
@angle3600
@angle3600 Жыл бұрын
Zilipendwa,
@SelemaniMndai-ox8dy
@SelemaniMndai-ox8dy 5 ай бұрын
Na kunyolewa wananyorewa pembe zote
@fridageorge2809
@fridageorge2809 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Chau weeeee nakukubali!
@munaali7862
@munaali7862 Жыл бұрын
MonaAli
@zawadiabdallah8342
@zawadiabdallah8342 Жыл бұрын
Kwahiyo haya mafundisho kwa watu waloolewa t kama mm sijaolewa hanaifai naomba jibu
@joharijj2164
@joharijj2164 Жыл бұрын
Utajua mwenyewe 😂😂
@rakinaabdalla7193
@rakinaabdalla7193 Жыл бұрын
Inakufaa maana nawe unategemea ndoa panapo uhai na majaaliwa
@zawadiabdallah8342
@zawadiabdallah8342 Жыл бұрын
@@rakinaabdalla7193 shukuran
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
Njoo nikuoe basi
@zawadiabdallah8342
@zawadiabdallah8342 Жыл бұрын
@@Pedeshee01 Hahaha usinichekeshe
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Mambo mazito 😍😍
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si Жыл бұрын
Masha Allah
@hahs3822
@hahs3822 Жыл бұрын
A shukulani mama
@munaali7862
@munaali7862 Жыл бұрын
KutokaKenya
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 Жыл бұрын
Bi chau unasura ya kitandani kujibenua benua
@aishaarusha894
@aishaarusha894 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@Fatma-to6rq
@Fatma-to6rq 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂wa mama wanipunga mashaallah
@matesomoci6376
@matesomoci6376 Жыл бұрын
❤❤❤
@Fatma-to6rq
@Fatma-to6rq 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂majirani tukoooooo
@nurtoaliosman8303
@nurtoaliosman8303 Жыл бұрын
👍👍👍👌👌👌
@samirazuberi186
@samirazuberi186 Жыл бұрын
Kama huna cha kupika 😅😅😅
@mariammakotah4888
@mariammakotah4888 Жыл бұрын
😄😄😄
@dehfirstlady12
@dehfirstlady12 Жыл бұрын
bi Chau yupi huyu tena🤔🤔🤔
@leilashume8826
@leilashume8826 Жыл бұрын
Bi Chau mbona ni msanii wa bongo movie famous snaa enzi izo za kina majuto na mzee small aliwahi kuact Dana miaka hiyo.
@dehfirstlady12
@dehfirstlady12 Жыл бұрын
@@leilashume8826 namjuwa ila tetesi kichwan nko na zile za zaman sasa nashangaa kumuona!!!
@gosberthussalvatory7992
@gosberthussalvatory7992 Жыл бұрын
Uko vizuri Sana ila utandawazi unatuhalibu sana
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 160 МЛН
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 63 МЛН
KUNGWI DUME: Kumsinga mumeo
9:37
Ibrah Thedon
Рет қаралды 145 М.
WACHAMBUZI WA MAHABA YA PWANI/UTAMU MTUPU PWANI/MWANAMKE KUINAMA/
8:28
Thinkers TV Online
Рет қаралды 64 М.