Shehe Mungu hamfichi mnafiki na wewe naona unaendea kwenye njia hio maana Sasa imekua falaki sio Mungu tena
@msarama54066 ай бұрын
Uzuri wa barahiyan anasoma sana yani anajua sana vitu huyu sheikh Allah amuhifadhi hakika haongei bila ushahidi
@HijaMussa-v5r6 ай бұрын
Mbona hao wanachuoni wa elimu ya falaq walisema katika muandamo wa mwezi wa Ramadhaan hii 1445 hakuna uwezekano wa kuonekana mwezi popote pale lakini saudia walitangaza mwezi umeonekana na watu huku wakaanza kutangulia kufunga. Kutawaliwa ni kubaya sana, Mbona hao saudia wao hawaulizii mwezi sehemu yoyote ile, wao wanafuata mwezi wa matwlai ndivo walivomuelewa Mtume katika muandamo wa mwezi, iweje sisi tuhangaike kufuata mwezi wao. ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA YA SAWA. AAMIN.
@KiangiShimbo6 ай бұрын
shekhe pambana na dini utaenda kufaulu kesho inshaallah
@FatnaAlly-go7yt6 ай бұрын
Oooh allah jaalia amani mola wangu
@amirinho38616 ай бұрын
Kuna mwanazuoni wa kumshinda Mtume?? Kama mtume kasema jua likipatwa swalin na mwez mkiona fungeni maelezo yapo clear kabisa kwaiy mpak ufate kaul ya mwanazuon gan ndo uswal jua kupatwa? Kama mwez wa kimataifa kwann jua lisiwe la kimataifa?
@KhatibKhamis-nj7nk6 ай бұрын
😢sheikh umezungumza vizur sana tunakuomba utupatiehayo maandishiya kuwapa kipaumbele watu wa falaq dhidi ya alouona mwezi
@shammusfredy41586 ай бұрын
Wewe Barahamia ni myahudi
@mohamedhamismagoraonlinetv4596 ай бұрын
BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU kzbin.info/www/bejne/eJ-1mpWQac5-hKMsi=pgMhUUvEIAYACLTT
@sadickmguruka6 ай бұрын
Mashaaallah Allah karimu wenye akili watambue wazijue mbivu na mbichi ,ukweli uko pale pale
@khatibumsekeni3226 ай бұрын
ALLAH atupe mmoja waislam tusifarakane kwa hitilafu ya mwezi
@sadickmguruka6 ай бұрын
Hamuna maaaaaaana kweli nyie ni wapuuzi kweli kazi kuvuruga waisalam lkn mtawapata wasiojielewa na kuelewa uislamu waoooo
@jumajuma13246 ай бұрын
Mbona muda wa swala kigoma na kuzama na kuchomoza kwa jua nitofauti na mikoa mengine jee kuna tz kunamajua mawili ?
@ThabiyaNgumbu6 ай бұрын
Huku nchi ya senegali time swali saaa tatu asubuhi ndiyo utalatibu wahuku
@aminaosman33155 ай бұрын
,unajiona wewe kama uko juu sheria
@ThabiyaNgumbu6 ай бұрын
Shekh wangu sasa niwakati wa kununuwa maeneo ya kufanyiwa ibada yawe lasmi kwa ajili ya ibada namichezo mingine ya kislam
@ahmadirajabu2576 ай бұрын
Sheikh inawezekanaje mwezi uwe mmoja jua lisiwemoja, kwenye ibada ya funga kokote tufunge ila ibada ya kupatwa kwa jua isiwezekana, hiyo sikweki kwabiasa
@sadickmguruka6 ай бұрын
Hivi wingu linaweza likatanda dunia nzima kiasi kwamba mwezi ujifiche ucionekane dunia nzima ,hii inamaana kuna mahala utaonekana lkn kwa wale ambao hawajauona kutokana na mawingu basi wakamilishe 30
@salumrashidabdullashmely25586 ай бұрын
Wewe BARAHAYAWANI fitna sana, sijui kitu gani unachotafuta,
@binkhalifa69566 ай бұрын
Wewe acha kushamnulia masheikh hii nidini acha ushabiki mzee haki itabaki kuwa haki mzee wewe kama uko sawa shukuru mungu mzee
@twahambowe4406 ай бұрын
Subhaanallah, yaani leo shekh akitoa ilimu inshakuwa fitna tena..,,alhamdulillaahi lladhii hadaanaa li haadha,
@kimaroabduli6 ай бұрын
Huna sababu ya kumfuata, fuata sheikh wako unayemuamini
@pillyzubery50316 ай бұрын
Mcheni AllaahU. MtukufU Mtume(Sunna)yasema KWA KUONEKANA MWEZI;hii watU wa falaqi imetokea wapi sasa???
@nasibuabasi47016 ай бұрын
Kwahio shekh haufuati mwezi wakimataifa tena unafuata watu wafaraq? huu nimsiba😭😭😭😭
@HanifaOman-oo4pl6 ай бұрын
Alllha akulipe heri Shehewetu akupe Afya njema❤
@sulaymanqasim61866 ай бұрын
Nimekuelewa vizuri shekhe,kumbe tunategemea watu wa falaki na sio kuuuona au kuonekana kama alivyo sema mtume.
@noorululaatv89736 ай бұрын
Yashike hayo maneno mwakani atayageuka hayo maneno
@AbdulkarimShosi6 ай бұрын
Kisha unajichanganya kweli kweli kwa kusema swala yakupatwa jua na mwezi ni sunna kuswali jee swala ya idd nayo ni sunna vile vile kama swala ya kupatwa jua na mwezi sheikh barhiyaan kuwa na inswaf na mche mola hii ni dhima unajibebesha na kesho mbele ya mola utakwenda kujibu
@mohamedhamismagoraonlinetv4596 ай бұрын
BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU kzbin.info/www/bejne/eJ-1mpWQac5-hKMsi=pgMhUUvEIAYACLTT
@aminaosman33156 ай бұрын
,rudisha haki ya marhum janjira muogope mola wako unawadhulum yatima na mjane warudishie haki zao kumbuka kuna kufa wewe nabaradha lako la wadhamini😊
@OmaryMaulidRissase6 ай бұрын
Salaam. Hotuba nzuri sana lkn mbona unajichanganya?
@salumtakao98286 ай бұрын
Waislami wengi wanapelekeshwa na ushabiki. Leo engelikuwa watu wanaongea baada ya kutafuta aquali tofaut za wanawazuoni naamini wasengekuwa wanaongea hayo maneno . Lkin watu wanazungumza tu bila kujifunza kwanza matokeo yake wanadhalilika wakiambiwa ufafanuzi ulio sahihi wa hizo hoja zao. Ila yote shekhe usichoke. Madamu unaegemea kwenye Rai za wanawazuoni bc intutosheleza sisi .Muhammad idi na wezake watasema na hawatafanikiwa tumeshuhudia Leo Kila kukicha watu wa sunna wankuuw weng na wanaohonga mkonon Rai hii ya mwezi ni weng pia mashallah.
@HamadaZubeirTahir6 ай бұрын
NYINYI WATU JEE HUYU MZEE ALIKUKUSANYENI KUSWALI SWALA YA KUSUUFI?
@FatmaAli-i8g6 ай бұрын
Kwa Allah S.W. hakuna lisilowezekana. Mwezi ni wa Mungu sio wanazuoni afadhali mkiri tu mna makosa
@HamadaZubeirTahir6 ай бұрын
KAMA KWELI WAMEUONA HAMUKUFUNGA WALA KUFUNGUA
@SalimRashid-x7m6 ай бұрын
Barahiyan. Ikiwa uislam ni mmoja. Ni vipk hamumuamini kiongozi 21:35 wa waislam nchini. 😢 kutangaza mwezi. Na nyinyi mnatangaza? Nyinyi mna sera za kuugawa uislam.
@SoudSanawari6 ай бұрын
Mbona hamkuswali swala ya kupatwa jua?au hakuna jua la kimataifa
@RamadhaniKuteya6 ай бұрын
15:15 kwa wanasayansi wanajua ghaibu?
@rashidjuma91696 ай бұрын
Kumbe mnashirikiana na mayaudi.
@noorululaatv89736 ай бұрын
Mwaka huu Mmezidi kuumbuka ... BARAHIYANI unakosea sana
@HanifaOman-oo4pl6 ай бұрын
Wafanya biashalamlopohapo. Jitazameni vizuri msichezee na ibada anaeabudiwa Allah
@HamadaZubeirTahir6 ай бұрын
KWAIYO WATU WA FALAKI WAPO SAHIHI ZAIDI KULIKO MTUME MUHAMMAD(SAW)ALOSEMA KUA FUNGENI KWA KUUONA NA FUNGUWENI KWA KUUONA? AKASEMA PIA MUTAKAPOUONA FUNGENI NA MUTAKAPOUONA FUNGUWENI?
@Lundege_Hips6 ай бұрын
Nipo Zanzibar Natarajia kua Muft baadae ila ukweli huyu sheikh yupo sahihi sana sana asiemuelewa bc anaupungufu wa elimu na kufata mkumbo
@mahammoudhaji6 ай бұрын
Kushawahi kuona mufti wa kiwahabi Zanzibar?
@amritwaha-kp3hu6 ай бұрын
Yaani kweli nimeamini mawahabi hufuata mkumbo haya watu wa falaqi na mwezi wapi na wapi
@HamadaZubeirTahir6 ай бұрын
WANAVYUONI GANI WALIOSEMA KUA MWEZI UKIONEKANA SEHEMU ITAWAPASA DUNIA NZIMA WATU WAFUNGE?
@YaziduIddy6 ай бұрын
Hata Ramadhani watu wafalaki walisema mwezi hauwezekani kuonekana lakin mkafunga
@marwawickama77426 ай бұрын
kweli hii dunia ata ukijiita mungu hutokosa wafuasi,masuala ya kufata hadithi za mtume unafuata wataalamu wakisasa wa falaq
@mattarmohd66176 ай бұрын
Ukweli ukizihiri uongo hujitenga Mungu katuonesha wazi wazi kwa matukio mawili makubwa kwa wakati mmoja. tena yoote ni mwezi wakimataifa najua lakimataifa. Mwezi umeonekana nchi za afrika magharibi sisi hatukufungua(jee sio wakimataifa?) najua limeliwa hatukuswali (jee sio lakimataifa?) Jee watu wafalaq sio bidaaa?. Jee saudia inafuata huu muandamo wakimataifa? Au ni aluta kontinyua ndio tuifuate badala Qur ani na sunna sahihi.
@jumajuma13246 ай бұрын
Hizo hoja sio za kielimu zakuijah
@jumajuma13246 ай бұрын
Mbona jua huliwa kigoma zanzibar na mikoa mingine hawaswali jee tanzania kuna majua mawili?
@mattarmohd66176 ай бұрын
Saudia inafuata muandamo wakimataifa?
@mattarmohd66176 ай бұрын
Aluta kontinua ndio hoja zasawasawa.
@mattarmohd66176 ай бұрын
mwaka ulio liwa jua kigoma pekeyake ni mwaka gani?
@Kassimndungulu6 ай бұрын
Huyu sheikh kasoma anaempinga anawivu tu
@salumrashidabdullashmely25586 ай бұрын
Barahayawani alihudhuria darsa kule saud Arabia, ila hakuelimika, fatwa anazotoa ni za chuki na ugombanishi tu. Hana hekma wala busara wala adabu.
@adamuchebe93076 ай бұрын
@salumrashid wewe ni jadida mtupu yan😅
@sadickmguruka6 ай бұрын
Tupe hadith wapi mtume tutumie watu wa falaq kwenye mwezi
@sadickmguruka6 ай бұрын
Hivi mnatuona sisi waisalam ni mazuzu sana kiasi kwamba mchezee akili zetu hivi inaingia akili mtume kasema ikiwa mwezi utafichikana kutokana kutokana na mawingu tukamilishe 30 kwanini hakusema hakusema tutumie watu wa falaq
@shammusfredy41586 ай бұрын
Jamani msibabaishwe na jina, masalafi ni wafuasi wa Mayahudi
@MaulidHimidi6 ай бұрын
Idi ya mwaka huu tumeswali pamoja mpaka na sisi ambao SI answari suna tulikuwepo uwanjani hapa
@mohdhilaly79006 ай бұрын
Jua la kimataifa hakuna ?
@pillyzubery50316 ай бұрын
Kwani ninyi mnafuata maneno ya wanachuoni ama ya Mtume ???
@saidkabwana18316 ай бұрын
Jua kuwa wanazuoni ni warith sahh wa mtume
@pillyzubery50316 ай бұрын
@@saidkabwana1831 fahamu maana ya urithi. Wamerithi mafunzo yake sio kuyapinga. Wee huoni hili wamempinga?
@pillyzubery50316 ай бұрын
@@saidkabwana1831 4:59:-Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume na wenye madaraka katika nyinyi. Na mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, ikiwa mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Hayo ndiyo bora zaidi na ndiyo yenye mwisho mwema.
@sirillahyusuph95236 ай бұрын
Maa Shaa Allah Leo imekubalika kuwa mashekh nao wanazua Didaa, safi kaka shukran
@GSaleh-xr3vn6 ай бұрын
@@saidkabwana1831 jua kua aliesema wanazuoni ni warith wa mtume ndio uyo uyo aliesema kua amikamilisha dini (uislam)
@jakuabdull346 ай бұрын
Mbona mnajichanganya kama mwezi mmoja na jua moja kwanini vifungike kwenye ibada moja nyengine zisihusike vijana amken huyu atawapeleka kubaya
@salumrashidabdullashmely25586 ай бұрын
Mku unakuwasha
@sadickmguruka6 ай бұрын
lete aya au hadith wapi mtume kasema tutumie watu wa falaq ikiwa mwezi utafikana
@abdullahmasakata1706 ай бұрын
Sasa Kati ya mtume MUHAMMAD S. A. W na wanazuoni nani tumfuate? Yaani unataka kutwambia kuwa huu mgawanyiko wa mwezi ulikuwepo toka enzi za mtume MUHAMMAD S. A. W? Tueleze mtume alikuwa akifungaje wakati huo yupo! Tuambie jee alifunga kwa mwezi wa mataifa au kitaifa. Tupe faida tujifunze.
@kabwangaselemani52286 ай бұрын
Huo mwaka unaoema shekhe kuwa wanachuoni wameeleza kuwa mwezi ukionekana ni mwaka mmoja toka hizi fitna za uwahabi kuanza nchini kwetu 1985 hapa Tz kwa hiyo hizi fitna zimepangwa na ant Islam
@GSaleh-xr3vn6 ай бұрын
Kwama kweli sheikh upo sahihi na mwezi wa kimataif (mwezi wa kimataif).Ivi waislam waliokua wakiishi kabla ya sayansi na teknolojia hii tulionayo walikua wakifuata vip mwezi wa kimataif?
@nabiljumaothman59126 ай бұрын
Ata mwezi wa kitaifa ukionekana kigoma wa dar hawafungi na Dar kwanza hawafungi
@GSaleh-xr3vn6 ай бұрын
@@nabiljumaothman5912 ungetoa jib kuusu ilo swali kwanz na kuacha ushabik hii teknolojia ni ya miaka ya karibuni tu
@jumafaki28916 ай бұрын
je ule wa Mali na Nigeria vipi mbona mumeukataa tatizo nini
@salumtakao98286 ай бұрын
Watu hao walikuwa na hakki yakufata mwez wa maeneo yao. Labda yengelichukua siku nzima na Zaid kugikish taarifa ya mwez kutok sehm moja kwenda nyengine. Hivo walifunga na kufungua kwa sehem zao. Ila kwa waislmu wa sasa ni vizur kufata mwez wakimataifa habr zinfik kwa wakti na ni dk chache t. Hata hivo hii Rai imethibiti kwa hadithi na imetiliw nguvu na wanazuoni wengi kwa sababu inaendan na mazingira ya sasa. Tofaut na Ile ya zamni ambyo inaonesh dhahiri kuwa inpelekea utofaut maan miezi inaaandam tofaut toft kwa baadhi ya nchi. Kwaiy hii ya popote ndo Ina nguvu na inadhihirisha kuwa na ubora zaidi na hata ingesababisha kufanya jambo hil la ibada kwa pmoja
@AbdulkarimShosi6 ай бұрын
Tatizo lenu nihili Muna kwenda na Hawa nafsi idd ya mwaka jana idul fitri jua lilipatwa huko Australia siku ya alkhamis na mwezi haukuandama lakini ijumaa muliswali Swalah ya idd kwa sababu Saudi Arabia na nchi za arabuni walitangaza idd itakuwa ijumaa wiki moja kala ramadhan kwisha
@abuujibriltv52336 ай бұрын
Mwenyezi wa saudia pia ni wafalaqi. Na ndio maana walitangaza idi siku tatu kabla ya mwezi kuonekana
@lusajomwakabana61396 ай бұрын
Kwahyo ukionekana saudia hua hamna hata shida ya kuwatafuta wafu wa falaki ila ikiwa sehem nyengne mnapekua hassa yaani mpaka mtoe dosari
@coyancodavao40046 ай бұрын
Acha kutuzuga mnafata saudia tu mabwana zenu
@jumakitato42486 ай бұрын
Hukusali na watu wa mali na nchi nyingine kwa kua una fata watu wako wasaudia
@jabirhussein41806 ай бұрын
Acheni upotevu msiwafarakanishe waislamu wa Tanzania
@mohamedhamismagoraonlinetv4596 ай бұрын
BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU kzbin.info/www/bejne/eJ-1mpWQac5-hKMsi=pgMhUUvEIAYACLTT
@KomboBakari-gz7hf6 ай бұрын
Mimi nashauri masheikh wasiwe kama Abraham kusema Saudia(Makkah au Kaaba) haifai kuwepo pale watadhalilika kama alivyodhalilika Abraham na jeshi lake!!! [Maana kila siku saudia,Saudia hatari hiyo hayaa langu jicho]
@khaledsuleiman98196 ай бұрын
Tuangalie hapa, JUA Litatangulia kuzama kabla ya mwezi , hapo mwezi hakuna uwezekano kuonekana, sasa je jua limetangulia kuzama wapii yaani lizame nchi ipii ? tunafahamu jua linazama kulingana na nchi tofauti
@HusseinHassan-p7g6 ай бұрын
Wewe ndio usiejielewa
@AbdulkarimShosi6 ай бұрын
Sheikh barhiyyan nenda ukasome kitabu kiitwacho qararat majmaul fiqhi alislami cha makkatul mukarama kinapinga utumizi wa hisabu za falaki na wewe una shika kauli za wanafaki kuacha kauli ya mtume fungeni kwa kuonekana na fungueni kwa kuonekana mwezi
@Zainabnoor0087-ze6 ай бұрын
Msikilize vzr fanya insaaf, ametanabaisha kua si wapiga Ramli bali wataalamu walisomea astrology c horoscopes
@OthmanZuberi-gp2np6 ай бұрын
Mhhh jamani Salim Barahiyani kweli ameishiwa hoja, Hivi kweli mwezi huohuo ukionekana popote watu wafunge na kufungua, lakini ukipatwa hukumu yake NI kwa wale walio katika eneo Hilo????????
@adamkilembwe.6 ай бұрын
Kama ni msingi kuangalia kwa macho,mbona mawahabi wanatumia maskio kuskiliza
@AlhajiMswaki-de3kb6 ай бұрын
Mawahabi mtihan sana akili hamna
@MohdIsmail-ud1gl6 ай бұрын
KWAHIYO SASA TUITEGEMEE FALAKI SIO KUANGALIA MWEZI HALAFU MNAJIITA WATU WA SUNNA
BARAHIYANI UMEPOTEA NA UNAPOTEZA WATU YAANI UNASEMA IMEFIKA HATUA WATU WAWATEGEMEE WATU WA FALAKI TENA WAMEFIKIA HATUA YA UHAKIKA?! SIJASOMA ILA KWAHILI UNISAMEHE.
@FatmaAli-i8g6 ай бұрын
Mipango ya Mungu na sayansi kipi Cha kufuatwa mbona hivi nyie 😭😭😭
@ahmadjuma25386 ай бұрын
Science without religion is lame and Religion without science is blind
@lusakaone77826 ай бұрын
Siku ukiskia utabiri watetemeko watu wakimbilie sehemu salama wewe baki ndani
@SaidAlawi-sv1op6 ай бұрын
Daah hapa kuna ukakasi mkubwa. Nikusema kwamba sheikh hapa anatwambia kwamba Niger na Mali waliokula Eid jumanne wamekula mchana wa ramadhani. Kwa hiyo mufti wao huko kawadanganya watu kwamba mwezi umeonekana. Je amejiridhisha kwamba kweli mwezi haukuonekana huko? Au ndio amefuata FALAK tu moja kwa moja...?
@AbdulkarimShosi6 ай бұрын
Sheikh barhiyyan mche mola wallahi hizi zako ni chuki hoja huna unajichangnya mwenyewe kwenye hii clip unsema wanafalaki walitabiri jua kupatwa huko marekani na likipatwa mtume s.a.w. amesema mutakapo liona jua au mwezi umepatwa basi kabirini na swalini jee lilipopatwa jua huko marekani wewe na wafuasi wako hapa Tanzania muliswali Swalah ya kupatwa jua huko marekani na ilhali Tanzania ni usiku huu wako ni upotoshaji kweli kweli Wacha taasub zako mwezi wa kimataifa hakuna wala jua LA kimataifa mwezi ukipatwa marekani huku kwetu Tanzania ni mchana mbona huswali Swalah ya kupatwa mwezi ili hadithi ya mtume itekelezeke huna hojja wala huwezi funja hojja abuu idd kuhusu mwezi wa kimataifa yako wewe in ubabaishaji tuu
@hassandido88796 ай бұрын
Hata mwaka jana ilmu falaki walisema hivo na Australia watapata solar eclipse giza totoro kwa hivo mwezi hautaonekena .mbona sudi wakatangaza mwezi umeonekana kwa hivo elimu falaki hawakuanza mwaka huu siku zote wake 😂😂😂😂
@aminaosman33155 ай бұрын
,lini ulipoijua haki mpeni singo haki yake na familia marehem janjira kama unamwogopa allahuu
@MohammedIsaa-n2f6 ай бұрын
Wewe mnafiki tu huna jipya,sasaivi falaki unaikubali
@HanifaOman-oo4pl6 ай бұрын
Achachuki. Za kijinga
@ahmadjuma25386 ай бұрын
Sheikh amezungumzia falaq akimaanisha astronomy sio falaq ya uchawi. Mbona mnakuwa na chuki kiasi hicho na mnajifanya hamuelewi yani Mambo siku hizi yapo wazi sana anaeongea fact anajulikana na mbabaishaji ambae bado anaamini yupo zama za mawe mpk sasa hv nae anajulikana
@twahambowe4406 ай бұрын
Yaani chuki imekuwa kubwa hadi anachosema sheikh hakisikiki masikioni mwa wenye chuki? Alhamdulillaahi rabbi l aalamiin. HAQQI HAIJIFICHI. Hata rasuulu llah s.a.w alipoanza kuitangaza haqqi walitokezea wakumpinga hivi hivi,hadi ilipowabainikia kuwa hii ni haqqi.
@noorululaatv89736 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@sirillahyusuph95236 ай бұрын
FALAQ OYEEEEEEEEEEE
@HamadaZubeirTahir6 ай бұрын
JUWA LIMEPATWA JEE MUMESWALI? JUA LA KIMATAIFA AU NI MWEZI TUU
@noorululaatv89736 ай бұрын
Mawahabi ni vichaa kabisa
@HamadaZubeirTahir6 ай бұрын
NYINYI WATU KUWENI NA AKILI HUYU MZEE ANAKUPELEKENI KUBAYAAA...YAANI HAMUZINDUKI TUU
@amaniabdallah13596 ай бұрын
YAANI MKISIKIA MWEZI SAUDIA TU NDİO MNAWAFUATA LAKİNİ NCHI ZINGINE MWEZI UKIANDAMA MNAJIDAI KAMA HAMJASIKIA
@AhmedAli-gh1lm6 ай бұрын
Sheikh acha kuwafadhalisha watu wa Falak mbele ya Nchi za Kiislamu zinazotangaza mwezi. Maadam ushapata ushahidi kutoka katika nchi ya Kiislamu ambayo mufti wake keshathibitisha kuonekana kwa mwezi, basi kwa mujibu wa Sunnah ya Mtume ni kufunga na sio kufuata watu wa Falak.
@jabirhussein41806 ай бұрын
Sasa hiyo ni hadithi ya nani tufunge na tufungue kwa rai ya watu wa falaki
@pillyzubery50316 ай бұрын
HalafU wanawadanganya watU kuwa wao ni watU wa Suuna ...
@musayahaya42816 ай бұрын
Falaq
@SaleemASalim6 ай бұрын
Kwahiyo hata kama tungeuona hapa Tanga haturuhusiwi kifungua mpaka watu wa falaq
@khadijanurdin31636 ай бұрын
Wé nawe hata huelewi
@SaleemASalim6 ай бұрын
@@khadijanurdin3163 nafikiri wewe ndo uelewi maana mwezi umeonekana then sheikh atangazi Lisa watu wa falaq???? Si akubali tuu kuwa anafata mwezi muandamo wa Arabic county
@StamilAlly-o6f6 ай бұрын
Shekhe ww ni mtu ghadili sana umoja wa waisilam ni bora kuliko kitu kingine tumshukuru allah tumeswali pamoja maneno yote ya nini?
@MohammedIsaa-n2f6 ай бұрын
Wewe ndio unaleta Farka kwa kuwaita wale ambao hawako upande wako makafiri na washirikina
@omarbaabad27066 ай бұрын
Huyu Hana ukweli awaambie watu yeye anafuata mwezi wa Saudia tu haya mengine anadanganya watu tu.
@aminaosman33156 ай бұрын
,mwingine angeona haya kuongea hayo uliyowafanyia waislam kuwadhulu haki zao ukinufaika wewe na baradha lako la wadhamini muñgu yupo haho gei wala harogeki
@Muadhin16 ай бұрын
YANI MWEZI WA AFGHANISTAN NA NIGER NI VINYOTA? ALLAAHUL MUSTAAN. SHEKHE MUOGOPE MUNGU. INAMANA KWAKUWA HMJAUKUBALI NYINYI IMEKUWA NYOTA, TENA UNAWATEGEMEA FALAKI! KOTE HUKO HAKUNA MAULAMAA WALA MASHEKHE WALA WENYE AKILI, WAMEONA VINYOTA WAKAAMUA KULA
@HamadaZubeirTahir6 ай бұрын
Kuna watu wanavaa tu Vasi la Kiislamu lakini mmmmh
@farijala16 ай бұрын
Sheikh Amewakana Walioona Na Kaamini Wanafeleki.😅😅
@abdinkuro-my4ij6 ай бұрын
Hanahoja huyo
@rashidsuleiman92536 ай бұрын
Ukitaka kupata vishekesho hivi waingia chanali gani? halafu wenyewe wametuliaa wanamsikiliza😄 Kwamba watu wa falaki ndio wakubalike tu na falaki zao hata kama kuna sehemu mwezi utaonekana basi huo mwezi utupiliwe mbali. Huyu asidanganye watu, ukweli ni kwamba anawafungulisha na kuwafungisha watu kwa habari za mwezi wa Saidia na si changine. Ameleta bidaa kubwa kwenye dini. Ajiandae na majibu kwa Mola wake
@azizihfarijala53076 ай бұрын
mwezi saudia haukuonekana ila serkali ya saudia ililazimisha utangazwe ndugu zetu waliokuwa macca hawakufunga sababu hawakuuona
@KhatibKhamis-nj7nk6 ай бұрын
Hiyo ni ijmaa ilohalifu suna kama wanavosema au ni vipi
@khalidsaid7966 ай бұрын
huyu babu,kila siku anajichanganya mwenyw😂wakata wanaanza kufunga mbona pia wanachuon walisema hvy,ila saudi ndo waliuona na wkaafat.Ss anabisha vp kwa watu ambao wameuona kabsa mwezi,Wao waseme wameufata saudia tu
@MkindiRama-lp6hy6 ай бұрын
Chonde chonde waisilam falak falak falak inapingana na maneno ya mtume
@HijaSaid-xd7fg6 ай бұрын
Tusiwalaumu wafanyanyabiadha, Mwambie aliwatuma, sio makusudi ni mpango maalumu,
@rashidyahya996 ай бұрын
hii sasa hajabu mwezi unapopatwa unakuwa sio wa kimataifa lakin ukiandama unakuwa wa kimataifa" inabidi tutafakali vzr kwa mwny kutumia akili"
@saido.bakari28776 ай бұрын
Jifundishe kutofautisha masaa na siku
@jabirhussein41806 ай бұрын
Fujo nyingi tu mlizifanya labda kwa vijana wa skuiz lkn zamani mlikua mnapita na gari na kispika kwamba asiefunga na nyinyi ni kafiri wazee wanajua hilo