Mzee wa kaliua leo umeongea vizuri Sana ...... Upigaji mwingi Sana .... Kodi zetu zingekuwa zinaelekezwa kwenye miradi yenye tija hii kopakopa ingepunguaa sana
@muthegreat366726 күн бұрын
Kodi zimekua nyingiii sana halafu hakuna maendeleo yeyotee .
@davidboazi261925 күн бұрын
Iko bomba hii serikali ya tz ingekuwa kenya aisee sijui wangekimbilia wapi wasafi mpewe 🎉🎉🎉 yenu
@eddyology730426 күн бұрын
Double taxation. Mzee wa Kaliua leo umetisha sana. Chukua form babu
@mwalimudavidkizazihuru25 күн бұрын
Kwakweli tukiendelea kutumia media kama hivi kusemea wananchi. Media zitakuwa na mchango mkubwa sana ktk maendeleo ya wasilizaji wake. Hongereni sana. 👏🏿
@festokemibala583225 күн бұрын
Lakini siyo channel ten, pale hutapata utetezi wa hoja za wananchi!
@EmmanuelChrispin-bo5xh25 күн бұрын
Misiwaamini kabisa hawajamaa
@kwisa489922 күн бұрын
wananyooshwa na crown media
@FahmiNassor26 күн бұрын
Kodi zetu cc tunawalipia viongozi wajaze matumbo yao ndio maendeleo tuyapatayo kuona wakitembea na magari ya kifahari suti kubwa na vitambi tu
@allymusira215326 күн бұрын
Mimi nampongeza sana waliobuni kuweka kodi kwenye luku imetupunguzia kwenda TRA kupanga foleni na kupoteza muda mwingi la muhimu ni mpangaji na mwenye nyumba kuweka makubaliano ndani ya mkataba pindi unapolipa kodi ya nyumba ikatwe pesa ya kadi ya jengo , hata mimi nafanya hivyo kwa wapangaji wangu na tunaelewana vizuuri
@FrolenceRogath-fv6ku25 күн бұрын
Uko vizur sana
@tracyjohn295725 күн бұрын
siyo wenye nyumba wote ni waelewa kama wewe kaka wengine hawataki Hata kusikia ukiwaambia hivyo
Waandishi ndio tunataka muwe mnajadili hoja kama hizi za kulijenga taifa
@EmmanuelChrispin-bo5xh25 күн бұрын
Kaka nahisikama hawajamaa wameotea tu wesubirikesho utawasikia tu kaupigamwingi
@andrewmaiga433126 күн бұрын
Hapa Serikali inatuibia sana na kutuletea umasikini mkubwa. Hapa tumepanga nyumba moja familia 8 lakini vyumba tofauti na kila chumba kina mita yake. Tunaonewa sana.
@kibasamohamedi802925 күн бұрын
2000 kwa mwezi ndogo! Hebu acha kulalamika, halafu Kuna utaratibu kama nyumba Ina mita nyingi mnaandika barua inalipia mita moja
@philemornmutta159725 күн бұрын
Mwenye chumba yupo atakubali mita yake ndo yapitie malipo na unahisi wengne watamsaidia? @kibasamohamedi8029
@naturelle109722 күн бұрын
@@kibasamohamedi8029hata kama ni shilingi 100 huo ni uwizi wapangaji sio wamiliki wa jengo na sio wapangaji wanaotakiwa kuandika barua tanesco..wenye nyumba wengi ni wahuni na ndio sababu huu mzigo umetupiwa wapangaji which is unacceptable
@Alute-son200326 күн бұрын
Oscar uko vizuri natamani ugombee Uraisi mwakani unaupiga mwingi kuliko hao wanaosema..oooh anaupiga mwingi
@mustafakimalio912925 күн бұрын
Kila mwenye maoni mazuri anafaa kuwa rais,,,,
@user-jq7dd6jo3y25 күн бұрын
😂😂😂😂
@Alute-son200325 күн бұрын
@mustafakimalio9129 Ndio si wanatoka hadharani tunawapigia kura za wazi atakayeshinda anaongoza nchi,lakini isiwe hizi chaguzi za mimi Raisi afu nateua watu wakinisimamia kura za nchi nzima afu baada ya kazi mimi huyo huyo nawalipa hela 😀😀😀
@manoramatv85826 күн бұрын
Fact broo naitwa rama nipo temeke dsm
@PaskaliCharles-pz8ds23 күн бұрын
Mtu saidie kupaza sauti maana ni shida kuanzia leo nitakuwa nawafuatilia kwa point hizo ila tatizo siyo tanesco ni serikali ya CCM na bunge lake ndo wameleta tatizo hilo
@philemornmutta159725 күн бұрын
Hii inasababisha wapangaji kumlipia mwenye nyumba hii ni mbaya sana
@naturelle109722 күн бұрын
Yaani TRA hawataona hata kuta za Mbinguni
@user-oy2gp3nq4j25 күн бұрын
Tunapigwa sana wapangaji ndio tunaumizwa . Simu nazo wanatuchukulia pesa nchii hii Mungu anawaona
@israelmkaka280726 күн бұрын
Gen Z ya Tz iko na Mishangazi
@richardc27025 күн бұрын
TRUE
@jumannemalungo501825 күн бұрын
1000 mda mfupi 1500 sasa 2000 inchi ngumu hii Tanesco inakuaje lakini ndio ivo tukubali tu
@eddyology730426 күн бұрын
Bajeti ya kununua magari ya Tamisemi ni bilioni 189. Tunakamuliwa ili wanunue mavi eiti
@robertmigabe872126 күн бұрын
Osika umeongea kitu Cha akili Sana toka nikujuwe...kama pale napo ishi tunaishi wapangaji2 ikifika mwisho wa mwezi ukinunua umeme unakatwa ..Sasa kitu Cha kujiuliza nakatwa Kodi kwani mim ndo mwenye nyumba ..selikal ya hovyoo sana wanafanya vitu bila kufikilia
@msambalamjukuu386625 күн бұрын
sasa kwa dizaini hii wasafi mtapata wasikilizaji wengi
@amaniurio565526 күн бұрын
Swal Kwa zile nyumba za kupanga zenye MITA Zaid ya 4 Kwa jengo Moja wanakataje awakufukiria Hilo au walifanya maamuz tu
@user-id6xo9td6k25 күн бұрын
Hadi sasa kuna nyumba zinalipia kodi ×2 kwa nyumba moja,zenye mita zaidi ya moja.
@IssaTayari23 күн бұрын
Kod yajengo kulipa kwenye luku Siyo sawa kabsa kunawatu tumepanga
@naturelle109722 күн бұрын
Kweli inabidi tupaze sauti kuhusu hili..wanashindwaje kuwapata wenye majengo ama mchana majengo hayaonekani?
@YasiniMkakile26 күн бұрын
Wananchi wa Kenya Havana mchezo
@user-uh3eg5cj2r25 күн бұрын
Hapo TANESCO WALIFELI
@user-qx4pc3rx8g25 күн бұрын
Safi sana osca huyo mwenyew kupata kakaa kichawa sana watangazaji kama hao hawafai kbsa
Tunaumizwa sana wapangaji na kwa sasa kodi ya pango ni sh.2000 kutoka sh.1500
@zebedayobiswalo192425 күн бұрын
Hii nchi ya ovyo sana it's very sada
@user-wq2fh5rx4s23 күн бұрын
Hamuna nch hapa wazulumaji tu et nimeweka umeme wa 13000 nimepewa wa 2000 nimekatwa 10500 hamuna nch hapa ipo ck watajua hawajui
@naturelle109722 күн бұрын
Wakati hata hilo deni halikuhusu walipaswa kumalizana na mwenye jengo
@stanymccary713617 күн бұрын
Bila ivo wabongo hatuwezi kulipia Kodi ya majengo
@naldclever25 күн бұрын
Hii wizara ya fedha na Tra lazima ijitafakari... Kwa mfano hii wanayokata kwenye umeme wanasema n kod ya pango la ardhi, sasa mm kwenye ardhi yangu 1 nmejenga nyumba ya wapangaji na ndani ya ardhi hiyo 1 kuna Luku 7 kwa room 14, sasa kwann wanakata elf2 2 kwa kila Luku kila mwezi wakati luku zote ni za mmiliki mmoja, na ardhi pamoja na room zote ziko kwenye nyumba moja!!? Huu ni unyonywaji wa wazi kwa wananchi.. Wapangaji wanalipa kodi la pango la ardhi isiyowahusu kivipi ? Waziri anasubiri nn madarakani ?
@naturelle109722 күн бұрын
Ajitafakari tena sana
@lucymtui868023 күн бұрын
Katiba ibadilike tu Viongozi watakuwa na heshimaa😢😢 Itakuwa zaid ya kenya
@aminielimushi870926 күн бұрын
Wapi huko taarifa za kukata umeme Huwa zinatolewa maana mi Nina zaidi ya miezi 6 wanakata bila taarifa,,,Jana nimenunua umeme luku ya 5,000/ nikapewa unit 8, wizi au unyang'anyi?,,,,Sasa mi Nina mita ya kazini na nyumbani halafu nakatwa ya nyumba yangu na ya mwenyewe
@muganyiziluharara966825 күн бұрын
Iyonikweli viongoziwetu wanamasikio lakini hawayasikii hayo sisi wapangaji kweli tunaumia
@jumamkwelengala459926 күн бұрын
Wezi sana hao ila wakumbuke Mungu yupo
@abdallahabdulghani915025 күн бұрын
Na kwa wanaotumia umeme wa solar ambao hawana hiyo luku,je ulipaji wao wa kodi ya jengo watalipia vipi?? From TaNgA CiTy..
@lydiadaudi407624 күн бұрын
Wanalipa kupitia sisi wenye umeme ndo mana wanaongeza tu kodi
@hezronjoseph40521 күн бұрын
Wasenge hao si uku wameanza kutukata 2000 toka mwaka jana ,bila taalifa yoyote
@FeristaKoku-it9nx26 күн бұрын
Nacha kuongezea unakuta nyumba moja ina mita mbili zote zinakatwa kama sio wizinini?
@allymwilu808926 күн бұрын
Unaweza kukuta kuna watu tunawalipia madeni yao apo😂😂😂😂
@nemesjosephat561226 күн бұрын
Hii nchí tunajadili matatizo zaidi ya ubunifu
@christianlutego128826 күн бұрын
Wachumi wetu hao wasiotaka kuumiza vichwa vyao, badala yake ni kututwika mitozo Kila sehemu, MUNGU ata jibu soon tu
@JitinyaIzengo25 күн бұрын
Liangaliwe
@user-tz8wq1dj7j19 күн бұрын
Wabunge wa ccm tupige chini wote inch nzima ni wabunge nyumbu tu
@EdibiliSalum25 күн бұрын
Watatoaje taalifa wakati wanatumudu
@user1337522 күн бұрын
Tumefanya sensa juz tu majengo
@wanguwangu3423 күн бұрын
Kodi ya majengo kulipa kwenye luku ni wizi wa waziwazi na kushindwa watu kazi, wizara ya fedha in vihio wengi bdio maana hawana uwezo wa kujua kodi ya majengo maana yake nini, mfano wewe huna nyumba lkn umepanga kwenye jengo na kutaka separate meter na hapo inabidi ulipe kodi ya majengo wakati huna nyumba why.
@EM4CBeatz23 күн бұрын
Mnaambiwa nyinyi tu dar uko kuhusu kukatika kwa umeme msijizungumzie pekeenu
@BituroPaschalKazeri24 күн бұрын
Mkuu ulikuwaje mwandishi wa habari- mwajiri mbona anakusanya PAYEE
@gabumkono23 күн бұрын
Huna unachokijua... Ninani alikwambiq oscar ni mwandishi wa habari
@BituroPaschalKazeri23 күн бұрын
@@gabumkono ni kweli ningekuwa najua nisingestaajabu
@iddiramadhani511126 күн бұрын
Mambo ya hovyo sana haya.
@NehemiahBashahu19 күн бұрын
Yan Tanesco kwa kweli wameingilia kazi sio yao ili watudhulumu haki zetu wapangaji. Jana tar 08/07/2024 nmenunua umeme wa 3000 napew unit 2.8KW halafu nabiwa nmekatwa 2000 kod ya jengo?
@jimmymushi235725 күн бұрын
Fact
@naturelle109722 күн бұрын
Waleteni Kayombo wa TRA na Waziri wa fedha..waseme kufikia leo wamekusanya shingapi. Na hili zoezi litakoma lini maana sikuizi unakuta compound moja ina zaidi za hata nyumba kumi na kila nyumba ina luku yake na kila luku inakatwa hio kodi. Huu ni UWIZI! Wenye nyumba wengi hawawarudishi wapangaji hio hela na pia kodi inalipwa zaidi ya standard rate kama wapangaji ni wengi. Hili ni tatizo kubwa. Taarifa ya madeni waliotoa TANESCO NI YA UONGO!
@verdianabanabi220521 күн бұрын
Tunashangaa sasa hivi wameongeza imekuwa 2000 yaani makodi yamekuwa kibao. Wanyonge hao eti tunasikiluzwa.
@nicolauselias908419 күн бұрын
Mi naona ni unyang'anywaji wa hela zetu tu
@gililwise26 күн бұрын
Huo ni uonevu mkubwa wabunge hilo hawashughuliki nalo wana kazi us kumuadhibu mpina anayetutetea.
@user-qv6ye6ty5r24 күн бұрын
Mimi nimetumia pia 8000 unit moja point mbili
@nikky475724 күн бұрын
Alafu pia unakuta nyumba moja ikiwa na luku zaidi ya moja zote wanakata unakuta nyumba moja ikiwa na luku mbili unalipia kodi mora mbili
@domymerinyo816526 күн бұрын
Hapo usiwalaumu Tanesco,lawama ziende kwa wabunge walioleta sheria ya kutuibia mpaka huku kijijini. Tulikua hatulipi ila sahivi tunalipa na barax2 hakuna maji pia hakina ni huduma gani tunalipia
@ommyzubery835825 күн бұрын
Kuwa mzalendo hivi nyinyi wapangaji hamjuani kuwa mwezi huu mwezi huu kuna kalipa na kumfanyia mchango na kumrudishia. Pili unapolipa kodi ya pango kwa mwenye nyumba kaaeni naye chini iliafanye makto katika kupokea zile fedha zake. Hakika wananchi wengi sio wenye kutoa bila kushurutishwa.huu ni udhaifu wetu ndio serikali inafanya mitindo hoi ya ajabu. Eleza ukifanya ukaguzi unaweza kuonawenye nyumba hajalipa kodi ya jengo miaka 10 mpaka ishirini haya tunaisaidiaje serikali
@ilynpayne749126 күн бұрын
Nme nunua umeme wa buku 5 napata unit 6 😡 😡 😡 😡 hivi wana dhani ela tuna okota inabidi ni nunue solar 😢
@MtuSafi26 күн бұрын
Sasa Mbona mm wa 4,000 nimepata unit 1
@israelkisaila840126 күн бұрын
@@MtuSafi😂😂😂😂pole
@EmmanuelChrispin-bo5xh25 күн бұрын
Haya majamaa kilasiku yana madilika wasafi hongoleni achaneni na mamboya anaupiga mwingi
@festokemibala583225 күн бұрын
Wewe Mha, nani alianzisha huu utaratibu na wakati huo mbona hatukukusikia ukitoa hoja yako? Uliogopa nini, kipotezwa?
@hezronjoseph40521 күн бұрын
Oska unaongea ukweli ila ,watu wa kampeni ,wataanza kukusumbua,washenz
@FabianiNguvumali25 күн бұрын
Wanakata cod nyng elfu mbili kwamwez tanzania kunanyumba ngpi zenye umem
@msochamouddy774226 күн бұрын
Baada ya kuwanunulia watoto matokeo ya mitihani kwa muda mrefu leo wamekuwa viongozi na haya ndio matokeo yake,nchi inakuwa ya hovyo tunalazimishana kuwa wazalendo.
@bminawandu25 күн бұрын
Sisi tuna lipa Kodi hongera na vigelegele anapigiwa mama Samia alafu Kila siku tuna lipa kodi
@madukaj.j.699926 күн бұрын
Singida Big Star Bingwa 2024/2025 😂😂😂 Singida Big Star Juu...😮😮 D 2
@lydiadaudi407624 күн бұрын
Wenye nyumba wenyewe majeuri , wanakwambia kama hutaki kulipa kaa gizani
@edistidiusmutalemwa575825 күн бұрын
Wizi, maana yake ni kuchukua kisicho chako kutoka kwa mwenyenacho bila idhini yake. Swala la kuvizia fedha za watu,katika manunuzi yao ya umeme ni WIZI kama wizi mwingine.Jamani,kodi ya jengo kulipwa kwenye manunuzi ya umeme wapi na wapi. Nyie watu (Mwigulu na wenzio) mnatukosea sana. Ila naamini yana mwisho.
@naturelle109722 күн бұрын
Rudia hii tena kwa sauti. Mwigulu na Kayombo wa TRA wanatuumiza wapangaji. Wakaona wametoa solution ya kimataifa..🙄
Hivi bill zimepadishwa tena naona wanakatà 5000 saiz sijaielewa
@homeboybeyondtheborders493526 күн бұрын
Tanesco na mabando ya sm bado kodi kubwa,alaf kuna REA,EWURA na VAT
@DaudadamMwansasu25 күн бұрын
Halafu wamepandisha ni 2000 jaman kweli
@user-oo1vz3zi1t25 күн бұрын
Nakuna vijumba vyamradi vmejengwa kama nguzo hakuna jengo hukinunua umemeunalpia kod yapango napango halo hatar
@bakarimahenge26 күн бұрын
kwaiyo wenyenyumba ambao hawatumii umee inamaana wao hawalipi kodi yamajengo
@Chrisblaze-beats26 күн бұрын
Serikali inatumai matatizo yetu kwama mitaji yao kisiasa. Wanasahau zama zimebadilika wanaendelea na mambo yale yale toka uhuru. Ngoja watuaribie amani yetu wakituibia na kututia hasira wananchi wa kawaida.
@amotvtz130226 күн бұрын
Hii seriksli ni ya wezi tu wanajiona kama hawatakufa kazi Yao kuiba .tu tunaongozwa mbwa
@hajjisanga78924 күн бұрын
Imekua ni rahisi wengi walikuwa hawalipi kwahiyo tumefanyiwa urahisi wapangaji si waelewane na wenye nyumba
@naturelle109722 күн бұрын
Bado sio sahihi wanachokifanya..ni sawa na kumlipia nchi jirani deni ambalo halituhusu
@allymaulid939126 күн бұрын
Ni wizi kabisa hii nchi iko siku
@abdallahkambangwa721525 күн бұрын
hatar sana
@saidaliomar26 күн бұрын
mm naunga mkono kodi iendelee kama wewe umelipia kodi ya aridhi si unaonesha kwa mwenye nyumba akulipe
@idinado-wk3lx26 күн бұрын
Kusema ukweli walikosea sana kuleta huu utalatibu insnikela sana hii la kulipa pango kila mwenzi
@ExcitedCave-cx9rx25 күн бұрын
Mhhh hii ndio tz ,bado tumelala.sana sijui nani katuroga wa tz ila ipo siku yatahisha haya wacha watupige mpka tukome ili tuamje
@matukutajuma15623 күн бұрын
JAMANI KWANINI HAMNAGA JEMA:VIJANA?? KWANI MPANGAJI HATUMII BARABARA? MIMI NIULIZENI NIMEENDESHA MAGARI BARABARA ZA MIAKA YA 79-80 DODOMA- DAR SUKU2;
@devangandhl225526 күн бұрын
Tanesco wameshinikizwa tu na mifumo tu.kwani waliopanga hiyo taratibu hawajui shida yake.
@naturelle109722 күн бұрын
But kwa nini walikubali?
@ramadhankombe264326 күн бұрын
Nawapongeza xn tanesco kiukwel imepunguza xn msongamano tra.kikubwa mwenye nyumba apange utaratibu na wapangaji wake.
@rashidingole158826 күн бұрын
Utaratibu upi?? Kuna baadhi ya nyumba za kupangisha kila mpangaji na mita yake, Sasa hapo inakuwaje?????
@KenedyDesigner25 күн бұрын
Yani ni Usumbufu Juu ya Usumbufu Kuna nyumba zina MITA luku 3 na sisi wapangaji hatuna muda wa kuenda TANESCO kujieleza Hapa mjini tukobize ukimwambia mmiliki anasema nendeni TANESCO
@naturelle109722 күн бұрын
Wamiliki wana vichwa vigumu sana na majibu yasiyo ridhisha..Mwigulu ajitafakari kwa hili kuwabebesha Watanzania mizigo mizito sababu yeye na huyo Kayombo wa TRA wameshindwa kufikiri
@JamesAloyceMabicha26 күн бұрын
Oscar wewe ni mpanga ndiyo maana hujuwi sisi wenye nyumba tulivyo pata unafuu wa kulipa hiyo Kodi ya nyuma wewe fanya hivi wakati unalipa Kodi kata kabisa Kodi ya nyuma serekali unajuwa Kila anayekaa kwenye nyuma ndiyo mwenye nyumba
@Samwelianaseti25 күн бұрын
Tatizo sio TANESCO tatizo ni serikali yetu ndio inayopaswa kutatua changamoto zetu
@naturelle109722 күн бұрын
Wao TANESCO ni moja ya hili tatizo kwa nini walikubali swala la kijinga kama hili?
@iddiramadhani511126 күн бұрын
Tuna viongozi wanawaza kutupiga hela tu.
@user-qo6qv6mc5p25 күн бұрын
Xavi mtupu
@user-fl1xz3ln3c26 күн бұрын
Oscar kuna time's hua anaakili kumbe
@israelkisaila840126 күн бұрын
Ukiona hivyo juwa na yeye kimemlamba 😂😂
@bonfacemlay223326 күн бұрын
zakura
@user-hp6bf5lh2d25 күн бұрын
Hii inatuumiza Sana sisi wapangaji Tunalipa Kodi Tunalipa umeme Tena tunalipia Kodi ya nyumban daaaah Inaumiza sana😢
@trecygohy784725 күн бұрын
Kulipa umeme n jukumu lako
@user-hp6bf5lh2d25 күн бұрын
@@trecygohy7847 Sijazungumzia umeme, nmengungumzia Makato ya tanesco ya pango la nyumba ndugu sio jukumu letu Kama wapangaji, lakini tunakatwa kuptiaanunuzi ya umeme
@naturelle109722 күн бұрын
Mwigulu na Kayombo wawajibishwe kwa hili maana ni uwizi. Wameshindwaje kuwakamata wakwepa kodi kisha kuwatwisha wapangaji mzigo huu. Mbona ukuta zinachorwa X wakati wakuvunja..wazunguke nchi nzima sababu kufikia mda huu wenye nyumba walitakiwa kua wameshajisalimisha ili wapangaji wasiendelee kubeba huu mzigo
@user-hp6bf5lh2d22 күн бұрын
@@naturelle1097 hapo tupo sawa ndugu
@trecygohy784722 күн бұрын
@@user-hp6bf5lh2d ungefafanua hivyo ili watu wakuelewe na sio kusema kulipa umeme
@tsumiduwe140626 күн бұрын
NYUMBA INA MITA LUKU 7 TUNALIPIA MITA IPI? AU YOTE WANAKATA?
@israelkisaila840126 күн бұрын
Wanakata Kwa MITA zote 7
@KwebaChuma22 күн бұрын
😂😂😂😂
@esromkanubo81526 күн бұрын
Nimambo ya hovyo kabisa
@moriskalegeleshusha261925 күн бұрын
Mimi ni mpangaji sina mambo mengi kwenye matumizi hapo nyumba nilikuwa natmia umeme wa 1000 kwa mwezi nilinunua umeme wa elfu tano siku umeisha nikaweka 5000 ninunue umeme walikata hela yangu yote,
@user-ub3xh7ug6c25 күн бұрын
,😂😂ht mm Ivo just natumiag wa buk
@moriskalegeleshusha261925 күн бұрын
@@user-ub3xh7ug6c 😀😀😀 kazi kweli kweli
@mkumbwatv808725 күн бұрын
Pia tanenesco niwezi tunaishi sehemu Moja nyumba Moja unatumia yuniti 20 kwamwezi upo kwenye matumizi makubwa mwigine umeme wa 9000 tu unit 75 Mimi nikitaka hizo ninatakiw niwe na 27000 kweli niwezi
@trecygohy784725 күн бұрын
Hesabu zako haziko sawa. Why 9,000 kwa unit 75 ??? Sijakuelewa
@mkumbwatv808725 күн бұрын
Zipo sawa maana matumizi makubwa nayakati niyapi
@mkumbwatv808725 күн бұрын
Kwanza ni lazima ufahamu kwamba Tarrif hii iliwekwa maalumu kwaajili ya watu wenye maisha ikawada kwa kulizingatia hili ukawekwa unafuu wa Kununua umeme na yakawekwa mashart kwa mteja alie katika taarif 4 anatakiwa kutumia unit zisizo zidi 75 Kwa mwezi mzima kwa maana ya kwamba umeme anao nunua hautakiwi kizidi kiasi cha Pesa cha Tsh 9150 na wastani wake wa matumizi kwa miezi mitatu au sita hautakiwi kuzidi unit 75. Sasa endapo utazidisha Matumizi haya basi mfumo
@trecygohy784724 күн бұрын
@@mkumbwatv8087 mtu akinunua umeme wa 10,000 anapata unit ngapi ?
@josephatjordan556026 күн бұрын
Mimi wenyenyumba hua wanarudisha pesa yangu nikikatwa!!Sio jukumu langu kumlipia kodi ya pango!!!nyumba ni yake au pango ni lake anaepaswa kulipia ni yy kupitia kodi zetu za nyumba,,sasa wametuletea kwenye umeme ww unamlipia!!!hapo kwangu n ngumu
@israelkisaila840126 күн бұрын
Huwa unafanyaje mpaka wanakurudishia?
@israelkisaila840126 күн бұрын
Huwa unafanyaje mpaka wanakurudishia?
@josephatjordan556025 күн бұрын
@@israelkisaila8401 Anaeleweshwa tu kuhusiana na anaetakiwa kulipa kodi ya pango ya kuwa ni mwenye nyumba na si mpangaji!!!Jengo ni Mali yake na ni biashara yake anapaswa kulipia hayo malipo ni mmiliki na sio ww mpangaji kwani mali sio yako !!!
@naturelle109722 күн бұрын
Baadhi wanajikausha na ndo wanatakiwa kuchukuliwa hatua maana kama ni mda wamepewa kujirekebisha unatosha. Wapangaji wasiendelee kubeba huu mzigo wasetishe hili zoezi mara moja ama waende nyumbani walopitisha hii sheria ya ajaabu