KWANINI TUNAKOHOA KATIKA DHIKRI?| ELIMU INAPOTEA, MAARIFA YANAPANUKA - SHARIF AHMAD ALWI BADAWIY

  Рет қаралды 19,892

BABDEO MILADU

BABDEO MILADU

Күн бұрын

Пікірлер: 156
@ummymagula-qw7kf
@ummymagula-qw7kf Жыл бұрын
Shukran sheikh Allah akupe umri mref wente barakaa
@Ashrafumohamed-gv5cj
@Ashrafumohamed-gv5cj 6 ай бұрын
mimi naamini kama mtu kapita madrasa hawezi kutukana wala kukejeli wewe unaotukana unavitbu gani ulivyo soma mbna mwajichumia madhambi zilzomijaa nichuki tuacheni na kumtaja kwetu alla na kumsifu mtume wetuﷺ
@bakarsalimu6418
@bakarsalimu6418 2 жыл бұрын
Hawo wanao kutukana shekhe waachie mungu hawana hekima haoo mashaallh shekhe
@misbahukhalifa3216
@misbahukhalifa3216 2 жыл бұрын
MashaAllah al habib ustadh Ahmad
@bimsoud8762
@bimsoud8762 2 жыл бұрын
Mashallah jadhaka wallah lkheir ya shekh,umepita katika elmu kubwa sanaa,wambie wale jaamaa zetu wanayopinga haya,na wanapinga kwa uchoyo tu kwavile tunapata dhawabu alhamdulillah 😊
@ramadhanisulemani9016
@ramadhanisulemani9016 2 жыл бұрын
Hhhhhhhh mche allah thawabu ipi waipata kwa kukohoa wewe....huoni hata ametumia hadithi ya uongo. Emb kaa uchunguze
@aboubilal3926
@aboubilal3926 2 жыл бұрын
Ndiyo maana ulamaa wanasema kuwa bidaa inapendeza zaidi kwa ibilisi kuliko maasi. Anayefanya maasi kama vile pombe zina, kamari nk anajua kuwa yale anayofanya ni maasi akitubia anatubia kwa maasi anayofanya wakati mtu wa bidaa atatumia kwa jambo yeye analiona kuwa ni ibadah? Tafakari
@athmanbabusa8020
@athmanbabusa8020 Жыл бұрын
@@aboubilal3926 Unamaanisha kutia Nia kwenye swala inapendeza zaidi kushinda zinaa?
@DHULKIFLYDHULQARNAIN-tw2rc
@DHULKIFLYDHULQARNAIN-tw2rc Жыл бұрын
Shukrani Al habiib
@binbaya923
@binbaya923 2 жыл бұрын
Maa shaa Allah. Shukran yaa Sheikh kwa kutufundisha
@حسنسعيدفرحان
@حسنسعيدفرحان 2 жыл бұрын
Wewe kweli Ni sufiy ALLAH akuongoze wewe mzee
@yasinomary2147
@yasinomary2147 2 жыл бұрын
Huyu sio sufi wala pamba,ni sheikh Al allama al mujahidulqabir
@saidchina8552
@saidchina8552 2 жыл бұрын
Mashallahu mawahabi wanaumia san hawana elim ndo maana wanateseka
@alwymohammed2460
@alwymohammed2460 Жыл бұрын
اللهم انفعنا بعلومه . واطال الله عمره
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 2 жыл бұрын
Ma shall aah, ma shall aah, Allah akulipe kula Kheri. Zidi kutumpa elimu wapuuze majahili yenye kupinga pinga tu, Ila nimekuelewa Sana.
@barjah1184
@barjah1184 Жыл бұрын
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
@hamadfaki2503
@hamadfaki2503 2 жыл бұрын
We mzee hebu rudi ktk sunna sio muda utarudi kwa mola wako, Muogope Allah we mzee wangu utasimamishwa mbele ya Allah na utaenda kuulizwa ktk haya ulosema na mengineyo.
@aljahuur
@aljahuur 2 жыл бұрын
Acha uyahudi wewe
@husseinthabiti311
@husseinthabiti311 2 жыл бұрын
Humjui huyo jaribu kutafuta kwenye you tube Kisha utamjua Ni Nani huyo
@tatatabdi9999
@tatatabdi9999 2 жыл бұрын
@@husseinthabiti311 ni miongoni mwa maswahaba wa mtume au ?
@hamadfaki2503
@hamadfaki2503 2 жыл бұрын
@@tatatabdi9999 hahahaha
@fikafikan8484
@fikafikan8484 Жыл бұрын
Hata ww utarudi kwa mola wako tena omba mungu qkusamehe kutusi walimu yy ametupa yake hupendi na ww toa darsa lako tukuskize
@MwamvuaJafari-fq4ku
@MwamvuaJafari-fq4ku 11 ай бұрын
Mashallah.
@salummzee9739
@salummzee9739 2 жыл бұрын
Allah atujaliye kheir na baraka
@muhammadmjara6776
@muhammadmjara6776 2 жыл бұрын
khurafi jijisufu ujinga mkubo sana allahu akuongoze rejea kwa allahu mjijisufi achani kiburj
@abdilahijuma3373
@abdilahijuma3373 2 жыл бұрын
Masha’Allah elimu kubwa sanaah hiyo imetolewa na Sharifu
@hasanisaidishabani3879
@hasanisaidishabani3879 2 жыл бұрын
Shekhe umesema kweli zama izi elmu inapotea maalifa ndo yanakuja juuu wallah naapa shaidi allah mpk siku yakiama sasaivi elmu inapotea kwanz wanazuoni wasasa wanaojiita chipukizi awana hekma wala busara na allah amesema mweny hekm ndy anakher zote dunianii wasasa wamekosa nawanachosoma nimabishano nakuwaingiza watu moton haliyakuwa wote wapo dunianii ndy maana elmu zao zimekuwa azina kalama tuliziona kalama na maajabu kwa mashekh wetu wakaon bado wanaita walikuwa wachawi kwakel tutaja kuulizwa naallah
@kamaluissackkalonkano1348
@kamaluissackkalonkano1348 2 жыл бұрын
Shukran saanaaa sheikh wetu Kwa elim
@ramadhanisulemani9016
@ramadhanisulemani9016 2 жыл бұрын
Nawashangaa sana wanao kusifia ktk hili ambalo unawapoteza kwalo...kwann usiwafundishe watu ukwel Muogope Allah. Kutokana na uchache wa maarifa yako ya kujua hadithi ipi sahihi na ipi dhaifu Unadanganya watu kwa hadithi dhaifu, ضعف الطالب والمطلوب
@MohamedAli-rl8cl
@MohamedAli-rl8cl 2 жыл бұрын
Yule aliekuambia wewe una maarifa ni nani? Ukamilifu ni wake M/Mungu.
@aminahassani-jh5rp
@aminahassani-jh5rp 19 күн бұрын
Zikri ipo lakini sio kukohoa ila sema allah allah tumtaje mungu
@muftishaban.a.musamombasak6577
@muftishaban.a.musamombasak6577 2 жыл бұрын
Shukuran Sana sheikh sharif
@abdilahijuma3373
@abdilahijuma3373 2 жыл бұрын
Masha’Allah Masha’Allah
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 2 жыл бұрын
eti aaah aaah ahhh. dini mpya hii
@aljahuur
@aljahuur 2 жыл бұрын
Allah kawaziba ufahamu mawahabi mayahudi wamepewa ufahamu wa kufuga ndevu na kuvaa kofia zao za kiyahudi za vitobo zile za kipadri tu
@allyabdallah4679
@allyabdallah4679 2 жыл бұрын
Subhanallah hakika umma unaupotosha turudini katika haki hamna dini kama hio
@aminahassani-jh5rp
@aminahassani-jh5rp 19 күн бұрын
Mbona hamsemi ismi 😂😂😂 msikohoe jamani allah allah
@quranrecitations7267
@quranrecitations7267 2 жыл бұрын
Ndoooooo kazi ipo hapo
@fatumaomary6110
@fatumaomary6110 Жыл бұрын
Tuachane tuzikri tuende motoni shida nn
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 2 жыл бұрын
Mie elimu yangu ndogo nauliza katika majina 99 ya Allah mbona AAA silioni?
@selemohd9060
@selemohd9060 2 жыл бұрын
Utaiona wapi na elimu yako ni ndogo?
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 2 жыл бұрын
@@selemohd9060 ungenielimisha
@mahershadhil2493
@mahershadhil2493 2 жыл бұрын
😅😅😅🤣🤣
@ismailmursal1933
@ismailmursal1933 2 жыл бұрын
Hili swali hukuna Sufi yeyoto aweza kutujibu kabisaaaa حتى يشيب الغراب
@AlawiKahema
@AlawiKahema Ай бұрын
Kipo kitabu yapo majina 1000 yote ya Allaah endelea kujifunza
@ashrafkhamis1051
@ashrafkhamis1051 2 жыл бұрын
Masha Allah
@digital_jungle2
@digital_jungle2 7 ай бұрын
wacha kudanganya hadithi ni maudhur kuhusu aninu al maridh
@sittacharlesmaendeleo778
@sittacharlesmaendeleo778 Жыл бұрын
Jinga sana hili
@tatatabdi9999
@tatatabdi9999 2 жыл бұрын
Mzee ninakukumbusha kwa aya hii. (فَلَنَسۡـَٔلَنَّ ٱلَّذِینَ أُرۡسِلَ إِلَیۡهِمۡ وَلَنَسۡـَٔلَنَّ ٱلۡمُرۡسَلِینَ) [Surah Al-A'raf 6] Sasa endelea kupotosha watu.
@FatherofRabbits13
@FatherofRabbits13 2 жыл бұрын
Kabsa ndugu yangu. Misufi wana taabu Sana. Subhanallah
@sokotvonline8845
@sokotvonline8845 2 жыл бұрын
Hivi Huyo Mtu Munamjua Vzur Kwanza Kabla Hamjasema Lolote...Munamfaham Huyoo
@FatherofRabbits13
@FatherofRabbits13 2 жыл бұрын
@@sokotvonline8845 sheik mm hasa Sina haja ya kumjua jitu kma hlo lenye kupotosha watu ovyo. Ikiwa aqwaal Za maulamaa zinachukuliwa zikiwa ni sahihi na zinarudishwa kma sio sahihi. Ni Nani Uyo aongee hvo askizwe?? Hzo ni takataka anayoongea kutoka kinywani mwake.
@sokotvonline8845
@sokotvonline8845 2 жыл бұрын
@@FatherofRabbits13 Sawa
@hamadfaki2503
@hamadfaki2503 2 жыл бұрын
Asante akhy umetukumbusha
@farmah9685
@farmah9685 2 жыл бұрын
Mwatafuta pilau Tu hamna lolote wacheni kupoteza watu
@adamjutto5849
@adamjutto5849 2 жыл бұрын
Hawi mtu suufi asubuhi ispokua jioni utamkuta chizi,imaamu shaafii
@ismailmursal1933
@ismailmursal1933 2 жыл бұрын
Hhhh Maa SHAA Allah barakallahu fyika Akhy FYI manhaji ssalafyi
@iddydaruwesh8650
@iddydaruwesh8650 2 жыл бұрын
Kama unaona hajui na wew tupe unachojuwa kukwambia mzee kama huyu tena ni shariffu. Acheni kumkosoa kila mtu aamini anachojuwa ukiona halikufai nenda pembeni tuwachie dhikri yetu
@hamadfaki2503
@hamadfaki2503 2 жыл бұрын
Kwani Sharifu ni nani ee
@iddydaruwesh8650
@iddydaruwesh8650 2 жыл бұрын
@@hamadfaki2503 pole sana ndugu hujui shariffu ni nani labda una imani ya nyengine. Ukiona jambo kwako halikufai waachie wenye jambo lao. Dini yetu ni pana sana
@hamadfaki2503
@hamadfaki2503 2 жыл бұрын
Qur'an imetaja walii ni wacha mungu ila nyinyi muna mawalii wenu wa kisufi mnao wajua nyinyi,wkt hata ww unaweza kuwa walii au ndie kabisa,acheni kuwatukuza watu kupita mipaka baadae wanapofariki mnaenda kwenye makaburi yao mnaomba,mnaleta شرك أكبر
@muryd6999
@muryd6999 2 жыл бұрын
Maa Shaa Allah ♥️♥️♥️♥️♥️
@sittacharlesmaendeleo778
@sittacharlesmaendeleo778 Жыл бұрын
Nenda kasome ww acha upuuz usipoteze umma mpuuz mmoja
@SeifAlliy
@SeifAlliy Жыл бұрын
Jitoto la zinaa lazima litoe kauli mbovu kwa waja wema.
@sittacharlesmaendeleo778
@sittacharlesmaendeleo778 Жыл бұрын
Kwa mja mwema Gani...achen kutukuza nafsi zenu Allah anamjua
@barawampaayi
@barawampaayi 7 ай бұрын
Katika watu wa lamu sheikhi wa kisawaswa ni sheikh Ahmad Msallam
@barawampaayi
@barawampaayi 7 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/rJSvZqCKeLWEjqs&si=zS36dSb89CGwrDi5
@abdallahmohd8544
@abdallahmohd8544 2 жыл бұрын
Adabu zao ndogo sana hao wanaomkosoa Sheikh na elimu yao wanafundishwa ya kubishana na ndomana barka hawana kabisa na Allah alivyokua mkubwa basi masheikh aina hii wengi huwa wanapata shahada wanapokufa sasa sijui jaahil nani na wao shahada huwa wanaisikia kwenye bomba😄 ya Rabbi waongoze ndugu zangu uwaoneshe hakika ya mambo
@medimisi6930
@medimisi6930 2 жыл бұрын
Tafuta Hadith ya kujikohoza hata kala shetani utowe hapa iwe ww au hao mashekhe wako wa kujikohoza na lau ungekuwepo ushahidi wake tungeona dunia nzima wanakohoa sawa sawa ila kila mtu anakohoa aina yake fuatilia hilo, tuna taka hadithi sio mbwembwe
@abdallahmohd8544
@abdallahmohd8544 2 жыл бұрын
Sio kujikohoza mbona unabadilisha ni kumtaja Allah kule au hujamsikia sheikh vzr
@aljahuur
@aljahuur 2 жыл бұрын
Hakuna wahabi ata mmoja alokufa akatamka kalima ufe yahudi utamke kalima wap subutuu kazi yahudi kazi yake ni kupatana katika dini kama biashara ili ataka hili hataki ndo tabia zao mayahudi tangu wakat wa mtume muhammad
@foxnineteen5679
@foxnineteen5679 2 жыл бұрын
Pumba unatumwagia
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Kuna Chanel hazifai hata kufungua kama hii mnatueekea upumbavu kama huu
@AlawiKahema
@AlawiKahema Ай бұрын
Pole sana masikini wewe huna jipya acha kubishana na wanaojua ww ni mtu ulionyimwa BUSARA na ALLAAH,Pole sana
@muhidinally3753
@muhidinally3753 2 жыл бұрын
Huyusheikh sioni kwa nini hiki kitv kinampa nafasi ni mpotoshaji sana.
@hasanisaidishabani3879
@hasanisaidishabani3879 2 жыл бұрын
Wee uwez kuwa sawa unaelmu gan kwanz mpk ujue uyo anapotosha
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Nafikiri Riyadh Al Janna iliyozungumzwa katika Hadeeth hiyo ni Majlis Al Ilm!!
@aninanichasi422
@aninanichasi422 Жыл бұрын
Unajuwa kuliko sharifu? hata allaah akupe umri wakuishi miaka 500 huwezi kuifikiliya elimu yahuyo sharifu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@aninanichasi422 hahahaha,,,,, mjuzi na mwenye elimu asiyepitwa ni Allah Tu, hata nabiy ul llah Musa alikuwa na dhana hiyo kuwa ni yeye pekee alikuwa na elimu kubwa kuliko wote, Allah akamuonyesha Al kidhir mtu mdoogo sana asiyekuwa na jina ili amuonyeshe kuwa yeye Musa hajui kila kitu,,,,,,,kwahiyo sishangai hayo uyasemayo!
@ismailmursal1933
@ismailmursal1933 2 жыл бұрын
Duuh Allahu l musta'an nashangaa herufi Inakuwa nikatika majina ya Allah ?hii nibalaa vipi herufi Inakuwa ni katika majina ya Allah? Sisi ELIMU yetu ni ndogo katika hadithi imekuja kuwa Allah anamajina 99 Sasa hili la AAa mbona hatujaliona limetukea wapi! Allah atudhibitishe katika Sunnah wallah لأن هذا من البلوا
@muhammedsuleiman2137
@muhammedsuleiman2137 2 жыл бұрын
Hiyo ni kwa uelewa wako shekhe a ha a ..ahlutwarika..naona unapigia debe ahlutwarika
@athumaniamiri3764
@athumaniamiri3764 2 жыл бұрын
Mi nimtu wa dhikri lkn sijaona mashiko ya matetezi ya huku kukohoa anyway Alkamaalulillah.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 2 жыл бұрын
ndugu yangu, fahamu mtu yoyote huongea kulingana na mzingira husika, hapo hapakuwa na haja ya kuongea hivyo unavyotaka wewe kwa sababu waliokusanyika wote hapo hakuna anayepinga hilo swala hata mmoja, wote wanalikubali, laiti sheikh angekuwa ktk majadiliano ya kielimu na wanayoyapinga maswala hayo wala asingezungumza kwa lugha hiyo kabisa... zingeshuka nondo hapo mpaka angekimbia mtu.
@trucking2298
@trucking2298 Жыл бұрын
Mumeokoka kama wakristo!!! Ulitoa wapi uhakika wa kusamehewa?
@fikafikan8484
@fikafikan8484 Жыл бұрын
Maskini huwelewi mungu akusamehe insha Allah siku yakiyama utamjibu mola wako kufananisha muisilamu na mkiristo
@sabihamakami3720
@sabihamakami3720 2 жыл бұрын
Shekhe unajitahid kutetea ila sio dhikri hio yakukohoa adhkar zilizo sahihi nikesema subhannallah allahuakbar lailahailallah n,k lkn hizo nyengine wanavyo kaa kwenye vikundi nakukohoa sio sahihi vyovyote mujipambiavyo
@daudijuma5914
@daudijuma5914 2 жыл бұрын
Watu wa ovyo ovyooo
@abdullahijma2073
@abdullahijma2073 Жыл бұрын
Upotoshaji huo..tufuate sunnah ya Mtume SAW tuache huu upuzi.
@zanzibaronlytv3470
@zanzibaronlytv3470 2 жыл бұрын
sasa dhikri hiyo kaifanya mtume
@albassammusaalbassam7487
@albassammusaalbassam7487 2 жыл бұрын
Majina yote ya Allah Yana maana tupe maana yake we mzushi
@hamisimwempozo6103
@hamisimwempozo6103 2 жыл бұрын
Wewe jinalako linamaanagn mpaka umuite shekh nimzushi
@albassammusaalbassam7487
@albassammusaalbassam7487 2 жыл бұрын
@@hamisimwempozo6103 we ndo chenga kabisa unadhan dini ni ushabiki?? Kuwa shabiki wa haki acha kukurupuka kaa darasan utajua haki kuliko kusikiliza haki ipo kwenye vitabu waongeaji wengi wanachunga maslahi , kwahyo tunaposema alete maana ya Aa Aa Aa unadhan labda tumekurupuka siyo majina ya Allah yote Yana maana na sifa za Allah ndo Mana tunaomba kupitia majina yake kutokana na shida nilionayo km nimsamaha yeye ni ghafuru km nirizq yeye ni Al razaq km hvyo hvyo majina mengine Yana sifa ulitaka nusra au msaada kuna jina Lina sifa hiyo
@farmah9685
@farmah9685 2 жыл бұрын
Wacha uongo muogope Allah mtaenda kuchomwa na bidaa zenu
@swedibr3218
@swedibr3218 2 жыл бұрын
Mawahabi tu ndo mtaenda peponi
@aninanichasi422
@aninanichasi422 Жыл бұрын
utajuaje wakati hujui kusoma?
@barawampaayi
@barawampaayi 7 ай бұрын
@@swedibr3218umesema ukweli kwa sababu mwahabi ndio wako juu ya haki kuliko watu wa tariqa
@husseinfunga3272
@husseinfunga3272 2 жыл бұрын
Hamna kitu hapo mpotoshaji jahiri bobezi katka bidaa
@isaliisu3408
@isaliisu3408 2 жыл бұрын
Sihaba kwamba umekubali kabobeya asante kwa hilo
@mohdmbarouk8465
@mohdmbarouk8465 2 жыл бұрын
Wenye Elimu zao vichwa vinawaka moto
@alhidaaya5288
@alhidaaya5288 2 жыл бұрын
Ibada ya Dhikri ilikuwepo Tangu kipindi cha Mtume na Maswahaba na Waliofuatia Baada ya Hapo.Lakini Mfumo huu wa kufanya Dhikri uliobuniwa na hawa Haupo katika Dini Mtume Hakufundisha hivi na wala Maswahaba Hawakufanya Aina hii ya Dhikri na wao ni wachamungu zaidi na wenye Elimu zaidi kuliko sisi .Hivyo mfumo huu wa Dhikr ni jambo La Bidaa na hauna Malipo na ipo Hadith Marfuu Swahaba Abdillah ibn Masoud aliwaona watu msikitini Wakikaa vikundi kufanya Dhikri za Pamoja na vijiwe aliwakemea na kuwafukuza Msikitini
@faisalmohamed2746
@faisalmohamed2746 2 жыл бұрын
Unathubutu kumwita huyu sheikh muongo au jahil muogope Allah
@issanasir3583
@issanasir3583 2 жыл бұрын
Kwani maasum huyu ??
@sheikhabdillahmassawe5302
@sheikhabdillahmassawe5302 2 жыл бұрын
Nadhani wangekunywa dawa ya kukohoa kwanza ingekuwa afadhali
@abdulhalim5950
@abdulhalim5950 2 жыл бұрын
hadeeth iyo ni maudhui (fabricated hadeeth) acha uongo mjinga ww
@medimisi6930
@medimisi6930 2 жыл бұрын
Hakuna anaepinga DHIKRI,Bali tunapinga huku kujikohoza kohoza na kujamba Jamba ktk hiyo DHIKRI
@mohdmbarouk8465
@mohdmbarouk8465 2 жыл бұрын
Sisi watu wasaivi wengi niwajinga mfateni mwenyew mumueleze kama anasema uwongo mumekaa kama mambumbumbu kama hamujuw hamujuwi tu mafufu matupu kichwani
@slaeem7515
@slaeem7515 2 жыл бұрын
usitukane watu astaghfirullah
@mohdmbarouk8465
@mohdmbarouk8465 2 жыл бұрын
Mtafute ukweli ya hizo elimi alafu muite Watu waongo tunakosea Sana ndio maana mijadala imekuwa miiingi na makundi haiwi mtu kama shekh unamuita muongo wakati Elimu ya alichokisomea wewe haukijui
@kibavumrisho3495
@kibavumrisho3495 Жыл бұрын
Mashallah elimu emeenda sheikh mungu akujaaalie akupe umri mrefu haki umesema kila utoalo haki maarifa ya ujinga ndio yanapanuka akhlaq hikma pia hawapo ndio maana watu wanaweza kutukana wanazuoni basi watawatukana hata wazazi wao
@OMAR-se6rb
@OMAR-se6rb Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂sheikh muingo ww
@jibriilaboubakar2514
@jibriilaboubakar2514 2 жыл бұрын
Lijinga limoja lasema maasha allah majitu majinga kweli
@athmanbabusa8020
@athmanbabusa8020 Жыл бұрын
😂😅
@العلمالنافع-و8ن
@العلمالنافع-و8ن 2 жыл бұрын
Hebu kuweni wakweli mbona hamuogopi falsafa za hovyo ambazo hazina dalili za Latisha.
@hasanisaidishabani3879
@hasanisaidishabani3879 2 жыл бұрын
Nn maana ya dalili
@hasanisaidishabani3879
@hasanisaidishabani3879 2 жыл бұрын
Kila linalofwanywa dalili zipo
@aboubilal3926
@aboubilal3926 2 жыл бұрын
Hakuna hadithi yoyote kuhusiana na adhkari inayotaja dhikri kwa jina la Allah peke yake achilia mbali A a a. Wakati wote utaona jina la Allah Kwanza halafu neno jingine mfano Allah Akbar, Allah Al Mustaan n.k Au linaanza neno halafu jina la Allah mfano subhaana Allah, Astaghfiru Allah n.k Sheikh kachemka hapo.
@hamzaomar790
@hamzaomar790 2 жыл бұрын
Nenda kasome juha wewe
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 жыл бұрын
Achauongoo bhna huo ujaahilii.....nani katafsiri hivyoo katika wema walio kutangulia....
@zubeiramlanzi2480
@zubeiramlanzi2480 2 жыл бұрын
Jamaa jongo kichizi yani..
@binmiraji2168
@binmiraji2168 2 жыл бұрын
Kasome tafsiri ya ibn kathiri jinsi alivyoitafsiri aya isemayo" إن إبراهيم لاءواه حليم" ukishasoma rudi hapa tuzungumze
@abdulshariff00
@abdulshariff00 2 жыл бұрын
@@binmiraji2168 akifanya hivyo nafunga siku tatu. Kaishia kujaza comment za kumuita sheikh muongo tu na hilo linaonyesha level ya ilmu yake
@jibriilaboubakar2514
@jibriilaboubakar2514 2 жыл бұрын
Mwajazana ujinga pumbavu. Nyie
@nasoros.mgungo5502
@nasoros.mgungo5502 2 жыл бұрын
@@binmiraji2168 lisikushangaze matusi kwa Mawahabi.
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 жыл бұрын
Hahahahahahaha...acha uongoo ewe jina langapii???
@abdulshariff00
@abdulshariff00 2 жыл бұрын
Hicho kicheko chako ni kejeli ama wamuona sheikh ameongea pumba? Mungu akufanyie wepesi na akuongoze uwache kuwadhihaki masheikh
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 жыл бұрын
Hujasema isoku umenena urongoo...
@abdulshariff00
@abdulshariff00 2 жыл бұрын
Hebu tufafanulie urongo aliosema sheikh
@jibriilaboubakar2514
@jibriilaboubakar2514 2 жыл бұрын
Hahahhahaha mashekh uchwara hawa haaah ety jina la allah watu wanachekesha nyie dah wanajua kiarabu kuwashinda waarabu wenyewe
@slaeem7515
@slaeem7515 2 жыл бұрын
Huna elimu bado wewe elimu yako ni ndogo sana nenda ukasome kwanza ndo uje hapa
@jibriilaboubakar2514
@jibriilaboubakar2514 2 жыл бұрын
@@slaeem7515 wewe nipe moja ktk hayo alonena usikimbilie nenda kasome hata wewe kasome elimu nipana
@saidiisimbula428
@saidiisimbula428 2 жыл бұрын
hizi ni dalili za kiyama
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 2 жыл бұрын
wazushi nyinyi. moto matao ya wazushi. ivi huo upuuz mtume saw kwann asitufunze yy. abambanya hoja wafikie malengo
@abubakarmwasumilwe7070
@abubakarmwasumilwe7070 2 жыл бұрын
Ujinga mtupu.. Allah akuongoze
@omarishabani5249
@omarishabani5249 2 жыл бұрын
Kwa kutukana hamjambo..Allah atuongoze
@mansourhubby7398
@mansourhubby7398 2 жыл бұрын
Kumvunjia Muslamu mwenzako heshima ni kharaam
@muftishaban.a.musamombasak6577
@muftishaban.a.musamombasak6577 2 жыл бұрын
Ujinga gani ?
@sakibuabdul7318
@sakibuabdul7318 2 жыл бұрын
Hapo ndo mnapofeli na kudhihirisha jazba na kusahau hikma, kwahyo hapo ndo ilimu yako ilipoishia na umetufundisha nn sisi na huyo shekhe hapo?
@suleimanhemed9537
@suleimanhemed9537 2 жыл бұрын
Ujinga unaujua wewe
@حسنسعيدفرحان
@حسنسعيدفرحان 2 жыл бұрын
Wewe kweli Ni sufiy ALLAH akuongoze wewe mzee
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 26 МЛН
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 30 МЛН
DHIKRI MOMBASA, Ng'ombeni 2021.
2:19:47
Qadiria Razaqia
Рет қаралды 79 М.
🔴 Exclusive Bayan at Birmingham by Molana Tariq Jamil | 22 Feb 2023
2:42:17
سورة البقرة كاملة لطرد الشياطين من منزلك وجلب البركه باذن الله surat albaqra
3:54:31