LEMA BALAA! AMUWASHIA MOTO MAKONDA NA MBUNGE WA ARUSHA MJINI | MWAMPOSA | "POLISI NJOONI MNIKAMATE"

  Рет қаралды 101,045

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

Күн бұрын

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 334
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 2 ай бұрын
Mm ni chadema lkn makonda namkubali apo lema mm ujanishawishi chochote
@rehemakimungu6494
@rehemakimungu6494 3 ай бұрын
Sasa chadema sera zenu ni nini jamani? Maana mnaishia kutukana tu, acheni ujinga mafala nyinyi
@HamisiNguche
@HamisiNguche 2 ай бұрын
BIG UP LEMA.
@vicentntamausu-gm3og
@vicentntamausu-gm3og 2 ай бұрын
Makonda kamanda, mungu akulinde, hatuna chakusema zaidi ya kukuombea
@marymalema258
@marymalema258 2 ай бұрын
Makonda Mungu akupe maisha marefu kipenzi chetu
@BorySaronge
@BorySaronge 2 ай бұрын
Vijana wa Arusha angalieni maslahi ya wanawaarusha sio maneno ya huyo mpumbavu asiyejua lolote na mjinga kupindukia atawatia umaskini kuliko anavyosema kama hakuna faida unasimama hapo kufanya Nini acha ujinga
@SofiaS-i5r
@SofiaS-i5r 2 ай бұрын
Makonda oyeee
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 2 ай бұрын
Lemaaaaa! Duhh kisiasa pumzika kwa amani!
@NuruBene
@NuruBene 3 ай бұрын
Ukiona mtu anatuka bila sababu yamsingi ujuwe ameishiwa selaa Tena anamtukana makonda mtetezi wa wanyonge wakati macho ya watanzania wanaona kazi za makonda,kweli Lema amefilisika kisela ?
@donaldmaziku7915
@donaldmaziku7915 2 ай бұрын
makonda hafai ata kulinda choo
@maimunaabdullabi
@maimunaabdullabi 2 ай бұрын
Ajira zote wamewapa watoto wawo shule wanasomeshwa ulaya kwa pesa ya watanzania
@AmisseMwenetombwe
@AmisseMwenetombwe 2 ай бұрын
Lazma aseme hivyo. Ataishije!?? Ww unaensikiliza tu ,ndo uwe na Busara kwakumuelewa na kutambua KWAMBA amekosa kazi.
@richardkaula6847
@richardkaula6847 2 ай бұрын
Hana jipya ameishiwa sera huyooooooo,wewe kwenye viatu vya makonda huingii hata robo piga kelele ukalale.
@ramadhanrashidmthailand9553
@ramadhanrashidmthailand9553 2 ай бұрын
​@@donaldmaziku7915wewe unaefaa unamsaada Gani hata kwenye familia yako!
@JosephLukumay-wh8sc
@JosephLukumay-wh8sc 3 ай бұрын
Hapa dalili inaonesha tutarudi tena nyuma kuanza maandamano badala ya kufanya KAZI tupate chakula na maendeleo huyu pakuna hapa Tanzania anakimbilia Canada sisi tutaenda wapi hata Kenya hatujawahi kufika uuuwwwiiii Mungu atusaidie.
@mataypanga5262
@mataypanga5262 3 ай бұрын
Bora turudi maandamano ili tujipange,tujiongoze badala ya maneno matupu ya CCM
@nahlaaasidee1848
@nahlaaasidee1848 3 ай бұрын
Ukapimwe akili wewe​@@mataypanga5262
@lightnessgamasa6039
@lightnessgamasa6039 2 ай бұрын
Lema tafuta AMANI kwenye haya maisha , Muache makonda kabisaaa,Kwanza ni Mtmish wamungu Muache Muache 🙌🙌🙏
@dicksonlusinde2830
@dicksonlusinde2830 2 ай бұрын
Peleka huko nywumbie ww mtumishi wa mungu unamjuwa ww acha uboya
@ChugaKazi
@ChugaKazi 2 ай бұрын
Mbunge Kama mbunge ❤❤❤
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 2 ай бұрын
Wewe kaa kimya huna jipya acha Makonda amalize shida za wananchi
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 ай бұрын
Mhhh tuu mwacheni makonda wetu
@SteveAriba
@SteveAriba 3 ай бұрын
Wewe una sera na matusi yako nan akupe kura achana na Makonda kawasaidia sana tena sana tena muombe radhi paulo
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 ай бұрын
Makonda anafanya maigizo tu,utashindwAje kwelewa Mfumo huu niccm sheriambovu wamezitunga wao iliwajinufaishe,wenyewe Leo kiinamacho unachanaganikiw
@josephmahando493
@josephmahando493 2 ай бұрын
Lema umefiriska kifikra , lililo jema pongeza , siyo kupinga kila jambo, Arusha watu wametibiwa bule kwa ushawishi wa Makonda, na wengine kupewa haki yao nk
@Stevenmollel
@Stevenmollel 2 ай бұрын
Bado hajaona yote ayo kwanz ajiulize aliongoza miaka mingp alifanya nn kwa ajir ya wananchi
@richardkaula6847
@richardkaula6847 2 ай бұрын
Duuuu hatuna upinzani Nchii hii,wanasiasa tuliowategemea sana wameishiwa hoja zenye nguvu, umebaki uwana harakati tu na matusi.
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
Arusha wanaongoza kwa MAIGIZO NA KUSUBIRI MIUJIZA😢😢😢😢
@augustinemainde
@augustinemainde 2 ай бұрын
Siasa za Lema bwana watu wanakuona komediani 😂😂😂😂
@HassanAthuman
@HassanAthuman 2 ай бұрын
Huyo ni mchekeshaji
@HassanAthuman
@HassanAthuman 2 ай бұрын
Si uwape chakula
@MarthaWambura-kz5xb
@MarthaWambura-kz5xb 2 ай бұрын
Dogo chengaa Sanaa was INTERESTING 😅😅
@geofreykasinda1895
@geofreykasinda1895 3 ай бұрын
Bila kuwa na connection inchi hii ni tabu
@DigidigiSekelwa-l4y
@DigidigiSekelwa-l4y 2 ай бұрын
huna sela sisi tunamwombeaMakonda Mungu amjaliye kama anaumwa au yuko likizo ulijee salama shujaa wetu
@GoldfreeHagai3
@GoldfreeHagai3 2 ай бұрын
Angekuwepo makonda usingeweza kuongea na kuvimba hivyo
@yussufhashim4472
@yussufhashim4472 2 ай бұрын
Huyu watoto wake wako canada nä mimi niko sweden usituaribie tanzania yetu vita inaanza wenyekuumia niwale wako Ndani ya nchi wewe Na slaaa nä mbowe watoto Wenu hawako tz nä usiongelee juu makonda makonda ni dume
@KelvinJulius-m4n
@KelvinJulius-m4n 2 ай бұрын
KIPI NI KIPI MKUU...MBONA HATUKUELEWI .......
@NicomedMartine
@NicomedMartine 2 ай бұрын
Lema UtakuaUmecjanganyikiwa wew
@nahlaaasidee1848
@nahlaaasidee1848 3 ай бұрын
Hawa sindano za makonda zinawaingia na bado mpaka mtasema.
@AugustinoSirong-eo3yj
@AugustinoSirong-eo3yj 2 ай бұрын
@@nahlaaasidee1848 kama lema imempata, kajikuta si kitu. Nashangaa lema kulalamikia ubunifu wa Makonda mpaka anashuka jukwaa hajaeleza mkakati mbadala duh!
@joseygaudence4922
@joseygaudence4922 2 ай бұрын
lema anatukana tukana tu hana habari mpya sera hamna anaongea nn sijui😂😂
@DanielMdota-gl4ru
@DanielMdota-gl4ru 2 ай бұрын
Fact , but we need action, bro... 👊👊
@bahatigewa4163
@bahatigewa4163 2 ай бұрын
Ebu achana na makonda kwanza, maana ni kipenzi chetu watanzania wote.
@dedankalinga6291
@dedankalinga6291 2 ай бұрын
Wote au ww na wajinga wenzio
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 2 ай бұрын
Kutojitambua pia ni ujinga, jitafakari halafu ukimaliza kitafakari uyambue kila mtu ana haki ya kuchagua anachoona kinafaa.​@@dedankalinga6291
@ShifaSinani-ed6po
@ShifaSinani-ed6po 2 ай бұрын
Uongo
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 ай бұрын
Kumbe duniani kunawatu wanapenda uharifu yaani Makonda nimuuaji tenakatili
@SalomeKiduko
@SalomeKiduko 2 ай бұрын
Wajanja wanashindana kwa hoja si kwa matusi,chadema mko vizuri ,ila matusi ndo yanakiangusha chama,(badirikeni
@Stevenmollel
@Stevenmollel 2 ай бұрын
Makelele tu hakuna cha maana
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 ай бұрын
​@@Stevenmollelnakushangaa ebufanya tadhumini zauchaguzi ndipo utajuwa CCM haipokabisa isipokuwa mapolisi bebabeba tu,
@deomushy2594
@deomushy2594 2 ай бұрын
Una mwonea makonda wivu kwa kaz njema Mungu atazid kujidhirisha ndan ya makonda
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 ай бұрын
Toa hoja sio maneno makali kaka
@JonasMathias-s6m
@JonasMathias-s6m 2 ай бұрын
Acha ujinga lema boda boda wanakufa kila siku kwa ajali za barabarani hamuzioni acha ufala hata wew tukikupa hii tanzania huwezi kumfanya kila mtanzania awe tajili
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 3 ай бұрын
Nape nauye is not a politician has got no capacity of been politician makonda kwa god bless lema naona pazito maybe makonda use police force can challenge God bless lema without that makonda will face big challenge from God bless lema chadema on my research l have seen that
@Shaabanhmakiya
@Shaabanhmakiya 2 ай бұрын
Wewe kima mdogo huna jipya😮😮😮😮
@MarthaWambura-kz5xb
@MarthaWambura-kz5xb 2 ай бұрын
Toooo interesting 😅😅 DOGO ANA WENGEEE .... acha ujinga LEMA MAKONDA HE IS ANOTHER MAN 👊👊👊👊
@HeriMohamedi-re7xu
@HeriMohamedi-re7xu 2 ай бұрын
Watu wa Arusha ni wajanja midomo tu lakini Hakuna Cha wadudu mnatawaliwa na watu kutoka nje mnadanganywa na kina makonda Ina maana Hakuna mtu wa Arusha akawa mbunge
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 2 ай бұрын
Lema Hana kitu badala ya kuongea Sera na kuikosoa serikali pale ambapo inakosea mnakaa kutukana watu ovyoo sana
@hassankilengah4786
@hassankilengah4786 2 ай бұрын
Kwa sera hizi amachemka
@jumahabibi3500
@jumahabibi3500 2 ай бұрын
Tena muache makonda achape Kaz kenge madangaji wew
@jumahabibi3500
@jumahabibi3500 2 ай бұрын
Yani wew nimsenge sana ukikalibia uchanguzi mnaaza kukashifu seriksli maneno Gani unayo ongea mbwa wew makonda kakufanyann makonda anapingamia haki za wanaichi wew wa na chama chako kipi mlicho Fanya wanaichi
@mathewyoung2159
@mathewyoung2159 3 ай бұрын
Kweli kabisa kamanda ✌️✌️✌️✌️✌️✌️
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 2 ай бұрын
Toa sera sio vijembe wewe ndye unageuke kuwa boya
@DeboraCalton
@DeboraCalton 2 ай бұрын
Wewe kwenye utawala wako ulifanya nini
@MarryKiula
@MarryKiula 2 ай бұрын
Lema Wewe hunaga Jema kila mtu Mbaya tafuta Sera angalia kile kizuri anachofanya Mwenzako umtie Moyo siyo kumkosoa tuu Makonda anapambana Sana halafu anaye hofu ya MUNGU
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 3 ай бұрын
Mwenye Arusha yake vivaaaaaa mheshimiwa Lema Makonda anapumbaza watu wako huko mtoe mitaaaaaa
@BenjaminChombo-o8o
@BenjaminChombo-o8o 2 ай бұрын
Huna jipya brother.
@JeremiaholendikaMakeseni
@JeremiaholendikaMakeseni 3 ай бұрын
Heshima Yako baba tupo pamoja
@AbdallahIssa-d7r
@AbdallahIssa-d7r 2 ай бұрын
Kwa dunia ya leo ya utandawaz na kila mtu anaona kinachofanyw na Mh: Makonda wap wat walikuw wameshapoteza mal zao lkn kupitia Makonda baadh yao wameokoa mal zao MZEE piga sera zak tu usimguse MAKONDA ata kwa sekumde moja kwan ukiendelea kumsema MAKONDA kwa ubaya utafany ata anaekusikiliza asikusikilize MAKONDA FOR LIFE.
@LucyIsrael-h2w
@LucyIsrael-h2w 2 ай бұрын
Lema yupo saw sana achana na vicha wa Arusha wamechalogwa na makonda
@sarahyesaya6265
@sarahyesaya6265 2 ай бұрын
Mmmh! Kazi ya Makonda wewe usingeweza hata robo
@jumahabibi3500
@jumahabibi3500 2 ай бұрын
Kama huna sela kaa kimy mbwa wew
@CafeJohn-n9o
@CafeJohn-n9o 3 ай бұрын
Lema na wewe umechema sana mwaposa unamuwekaje tena kwenye aiese
@SalhaKondoSalum
@SalhaKondoSalum 2 ай бұрын
Huyu mental case sio akili ya kawaida Wana wa Arusha kuweni Makini na huyo mtu kila siku atasababisha watu kuwa vilema kwa maandamano
@PendoMlowosa
@PendoMlowosa 2 ай бұрын
Wewe nae kakae hko
@joshuandabazaniye7642
@joshuandabazaniye7642 2 ай бұрын
uko sahihi
@HawaMohamed-g7c
@HawaMohamed-g7c 2 ай бұрын
Bora makondaa Mara Mia kuliko lemaa
@LijueNeno
@LijueNeno Ай бұрын
Wewe unatoa sifa, unaongelea usela Lakini hauna msaada kwa wananchi.. muda mwingine tafuta jinsi ya kuwasaidia watu wala siyo maneno
@modestusndunguru7183
@modestusndunguru7183 2 ай бұрын
Ukitaka kuamnini makonda yupo juuu ya hawa kunguni...waweke..mdahalo na kila mtu aelezeee chama chake..huyu..atasepa bila mtu kuku huyuuuuuu..hajui siasa....siasa ni sera sio matusi na porojo porojo..watu wanataka udeal na kero zao ..sio tatalinta
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 ай бұрын
Lema asiwadanganye huyoo..kaenda Canada alizani atakula bure kule , alivyoona kaambiwa hakuna pesa bila kazi kama tanzania, karudu mwenyewe bila kupenda.
@olivernyange2349
@olivernyange2349 21 күн бұрын
Lema ongeaga point basi,acha kutukana
@RobbinWalt
@RobbinWalt 2 ай бұрын
Huyo Lema ashapoteza dila bangi tupu Hana jipya
@prospermsemwa1433
@prospermsemwa1433 2 ай бұрын
Big brain 🧠 lema akilikubwa
@janethrwambali2782
@janethrwambali2782 2 ай бұрын
LEMA HATUKUPENDI RUDI CANADA. ACHANA NA MAKONDA KIPENZIIIII CHETU❤
@VictoriaKetegwe-i5v
@VictoriaKetegwe-i5v Ай бұрын
Mungu hapendi matusi..toa hotuba bila kumtusi mtu,Wala chama nadhan utabarikiwa kuliko kutoka matusi na kutukn watu.ni ushaur tu
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 2 ай бұрын
we lema unapata chakula serikalini? Basi wasmbie unapata wapi chakula. Halafu mbina hugawii chakula,huwajengei hospitali wala shule. Sema jinsi utakavyoisaidia jamii.
@SalomeKiduko
@SalomeKiduko 2 ай бұрын
MAKONDA tunayaona anayofanya,wewe lema umefanya jambo gani ili wananchi wakuelewe,shikamana na MAKONDA ili Arusha ipate maendeleo makubwa zaidi
@mossespallangyo2345
@mossespallangyo2345 2 ай бұрын
Elewa mtu anayepambana kwa ajili ya taifa kwa ujumla na sio upande mmoja wala mkoa mmoja,Mmeletewa makonda awafunge macho ili mama abinafsishe vit vingine
@chrispinrafael3831
@chrispinrafael3831 3 ай бұрын
Leta sera mambo ya mke wa makonda ayatuusu yeye makonda mbona ajaongera mke wako unaferi best
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 3 ай бұрын
Umetumwa wewe hapo hampati kitu Arusha ina wenyewe
@faustinejemsi1488
@faustinejemsi1488 3 ай бұрын
Umeona mm Niko Kenya nafatiria lema mupeni jimbo lake
@mataypanga5262
@mataypanga5262 3 ай бұрын
Kwani Makonda ana sera gani, kudanganya wajinga tu😂
@EliasAbel-qr8pz
@EliasAbel-qr8pz 3 ай бұрын
Acha kuchongani sha Sana nch😊
@evancetarimo1310
@evancetarimo1310 2 ай бұрын
Lema mm naipenda chadema lkn ukitaka tukosane endelea kumtaja Makonda
@lemakhalfan8564
@lemakhalfan8564 2 ай бұрын
Lema umeisha wewe ndio unaiuwa cdm Arusha ila kufa mfe tu ccm ndio chama na makonda safiiiiiiii
@NicomedMartine
@NicomedMartine 2 ай бұрын
Lema Umechoka Na Siasa Kapunzike Tu Kaleee Watoto Hua Mnachukia Kiongozi Anaetetea Wanyonge Sasa Bc Kwa Hayo Kashfa Unayo YaOngea Utakosa Hata Hiyo Nafasi Hufai Kua Kiongozi Hewatu
@mirajimtoi8511
@mirajimtoi8511 2 ай бұрын
Ila Lema alikua mwizi basi sema ilikua njaa sawa
@MasokaNihatu
@MasokaNihatu 10 күн бұрын
Hahuwezi fikiya makonda hatasikumoja ubwawewe
@HezronKilongo
@HezronKilongo 2 ай бұрын
Mm nikisikia mtu anatokea Arusha najua ni mshamba too. Maana wengi wanajifanya wasela,wahuni,wadudu,sijui, lakini kiufup ni ushamba too njoon tunduma kama hamjaonekana washamba.
@babarungurallyteam2754
@babarungurallyteam2754 2 ай бұрын
Mkuu Mimi simwanasiasa Ila makonda hajakosea kuandaa tamasha ni anajali vipaji Viwe fursa nanikwambie Mimi hua ndioninaratibu MASHINDANO YA PIKIPIKI nikwambie siasa zenu zielekezeni KATIKA KUSAIDIA jamii na msiwaponde wanaogusa maisha ya WATU Ila nikwambie kaka HAKUNA MCHEZAJI ALIEKUFA, HIZO TAARIFA ULIEPEWA ZA WATU8 ZICHUNGUZE SIOKWELI KAKA.
@MWANAHAMISIOMARY-z3j
@MWANAHAMISIOMARY-z3j 2 ай бұрын
Muda ufike tu huyo mbunge wao aondoke
@SteveAriba
@SteveAriba 3 ай бұрын
Pigania ugali kuna mtu anapigania sehemu isiyo na makoti hizo sera tu saundi tu
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl 3 ай бұрын
jamaa ni matusi tu hatupati mpango Kazi wowote tuambie nn mtafanya mkipata nafasi
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 3 ай бұрын
Kwani tangu unasikiliza ujaona wao wanachofanya
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 2 ай бұрын
We lifisiemu tuache tusikilize lema akili kubwa
@AnnoyedBooks-kn5pm
@AnnoyedBooks-kn5pm 2 ай бұрын
Kwenda zako nawewe usie na point
@ayubukivuyo2904
@ayubukivuyo2904 2 ай бұрын
Kuna changamoto, kwa sababu lugha anayozungumza Lema ndiyo lugha inayoeleweka na Vijana wa kuanzia 2004 mpaka Leo, kama wakijiandikisha wote hali ni Tete.
@LilianMakyao-g8d
@LilianMakyao-g8d 2 ай бұрын
No one is perfect aongelee maendeleo hana issue
@AbdallahYanga
@AbdallahYanga 2 ай бұрын
Kunawakati kama una sera bora kunyamaza ..uyu makonda muache brother jamaa anaupija mwingi sio kiwango chako mimi namfikiria 2035 kuwa (RAIS) wetu
@MarthaWambura-kz5xb
@MarthaWambura-kz5xb 2 ай бұрын
Mimi n8 chadema lakini MAKONDA hebu usi muongelee ...shughulika na hao maboya wengine ulio wataja
@maruhe1958
@maruhe1958 2 ай бұрын
Kazi ni nini? Ni shughuli halali inayompatia kipato. Boda boda lema anaowadharau leo wamejenga nyumba, wana viwanja nk.
@mohamedbakari2874
@mohamedbakari2874 2 ай бұрын
Hizi siasa za lema ndio anasema Arusha wajanja Kwa uhuni Kwa sera za upinzani kama ndio hizi Mimi acha niendelee kufunga mkono chama Cha mapinduzi
@NdayishimyeJackson
@NdayishimyeJackson Ай бұрын
Lema hizo zote ni dalili za kushindwa siasa, umebakiza kumwaga sela za matusi?? hapo uko ukingoni!!!!
@britonkanumba6828
@britonkanumba6828 3 ай бұрын
Makonda baba lao
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 3 ай бұрын
Kwalipi maigizo Yao wenyewe
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 2 ай бұрын
Kunasiku kamoigia mama samia simu kwenye mkutano kamwambia mama tunandege yakubeba wagonjwa mama akauliza mafuta nani anaweka
@charlessheks7166
@charlessheks7166 2 ай бұрын
Sisi ndio wanaarusha Arusha nichadema tuna kukubali
@joycealex8652
@joycealex8652 2 ай бұрын
Hivi mna muelewa huyu anaongea nini eti😂😂😂😂we mwache makonda mwache makoda hangaika na yako Makonda wetu mtue kabisaa usimguse
@songeza
@songeza 2 ай бұрын
Mumgu akuponye RC nimeumia nimeumia nimeumia kama kweli amekufa kwa kweli itavuruga uchaguzi
@ponsianomwakisunga899
@ponsianomwakisunga899 2 ай бұрын
Boda boda nikaz kama kaz zingne
@Kheyuu_Official
@Kheyuu_Official 2 ай бұрын
Lema 😅
@geoffreymwafongochristop-vd6ob
@geoffreymwafongochristop-vd6ob 2 ай бұрын
Pamoja kamanda
@michaelmagwaza-bc6mk
@michaelmagwaza-bc6mk 2 ай бұрын
Nchihii ingekua anawaona Watu kama lema niwatu wema na wanahuruma kwa Taifa, wangesimama hadharani nakuwapongeza kwa Mawazo naushauri Mzuri wanaotoa.
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 3 ай бұрын
Lema mjinga sana bila kutukana viongozi ili akamatwe apate umaalufu jinga sana
@maulidimsingwa3263
@maulidimsingwa3263 2 ай бұрын
Laiti tungempata makonda mkoa wetu wa tanga,nina uhakika muheza ingekuwa na kiwanda chakusindika juice,mama samia tuletee makonda tanga,arusha hawamtaki.
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 Ай бұрын
Hizi siasa za chuki kabisa muache Makonda abadilishe Mkoa Wa Arusha , ungejua watu walivyolia juzi tu hapa na kuomba makonda arudi usingeongea Juu yake kabisa
@MamaBambala
@MamaBambala 2 ай бұрын
Usimuue Makonda wetu,na Arusha tunataka uondoke we .
@VeraVeramollel
@VeraVeramollel Ай бұрын
Lema Hiyo ni wivu hutaKaa umkutie makonda hata tone acha sera za ……
SATIVA AMSHIKA UCHUKU KAMANDA MULIRO
31:58
SK Media Online TV
Рет қаралды 12 М.
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 37 МЛН
Зу-зу Күлпаш 2. Интернет мошенник
40:13
ASTANATV Movie
Рет қаралды 540 М.
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 6 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 56 МЛН
#LIVE: GODBLESS LEMA ANAFUNGUKA MAZITO MUDA HUU
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 24
DP Gachagua ahota gutiga wira mbere ya athiite mbere ya mbunge ya Senate.
28:11
KAMEME OFFICIAL PAGE
Рет қаралды 3,3 М.
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 37 МЛН