Fuatilia Mwanzo TV Plus SUBSCRIBE KZbin Channel yetu Follow us on X, Facebook and Instagram
Пікірлер: 334
@nzegeatv63552 ай бұрын
Mm ni chadema lkn makonda namkubali apo lema mm ujanishawishi chochote
@rehemakimungu64943 ай бұрын
Sasa chadema sera zenu ni nini jamani? Maana mnaishia kutukana tu, acheni ujinga mafala nyinyi
@HamisiNguche2 ай бұрын
BIG UP LEMA.
@vicentntamausu-gm3og2 ай бұрын
Makonda kamanda, mungu akulinde, hatuna chakusema zaidi ya kukuombea
@marymalema2582 ай бұрын
Makonda Mungu akupe maisha marefu kipenzi chetu
@BorySaronge2 ай бұрын
Vijana wa Arusha angalieni maslahi ya wanawaarusha sio maneno ya huyo mpumbavu asiyejua lolote na mjinga kupindukia atawatia umaskini kuliko anavyosema kama hakuna faida unasimama hapo kufanya Nini acha ujinga
@SofiaS-i5r2 ай бұрын
Makonda oyeee
@BonnyMwajombe-iu7hb2 ай бұрын
Lemaaaaa! Duhh kisiasa pumzika kwa amani!
@NuruBene3 ай бұрын
Ukiona mtu anatuka bila sababu yamsingi ujuwe ameishiwa selaa Tena anamtukana makonda mtetezi wa wanyonge wakati macho ya watanzania wanaona kazi za makonda,kweli Lema amefilisika kisela ?
@donaldmaziku79152 ай бұрын
makonda hafai ata kulinda choo
@maimunaabdullabi2 ай бұрын
Ajira zote wamewapa watoto wawo shule wanasomeshwa ulaya kwa pesa ya watanzania
@AmisseMwenetombwe2 ай бұрын
Lazma aseme hivyo. Ataishije!?? Ww unaensikiliza tu ,ndo uwe na Busara kwakumuelewa na kutambua KWAMBA amekosa kazi.
@richardkaula68472 ай бұрын
Hana jipya ameishiwa sera huyooooooo,wewe kwenye viatu vya makonda huingii hata robo piga kelele ukalale.
@ramadhanrashidmthailand95532 ай бұрын
@@donaldmaziku7915wewe unaefaa unamsaada Gani hata kwenye familia yako!
@JosephLukumay-wh8sc3 ай бұрын
Hapa dalili inaonesha tutarudi tena nyuma kuanza maandamano badala ya kufanya KAZI tupate chakula na maendeleo huyu pakuna hapa Tanzania anakimbilia Canada sisi tutaenda wapi hata Kenya hatujawahi kufika uuuwwwiiii Mungu atusaidie.
@mataypanga52623 ай бұрын
Bora turudi maandamano ili tujipange,tujiongoze badala ya maneno matupu ya CCM
@nahlaaasidee18483 ай бұрын
Ukapimwe akili wewe@@mataypanga5262
@lightnessgamasa60392 ай бұрын
Lema tafuta AMANI kwenye haya maisha , Muache makonda kabisaaa,Kwanza ni Mtmish wamungu Muache Muache 🙌🙌🙏
@dicksonlusinde28302 ай бұрын
Peleka huko nywumbie ww mtumishi wa mungu unamjuwa ww acha uboya
@ChugaKazi2 ай бұрын
Mbunge Kama mbunge ❤❤❤
@eshyndibalema15292 ай бұрын
Wewe kaa kimya huna jipya acha Makonda amalize shida za wananchi
@angelanaftael79652 ай бұрын
Mhhh tuu mwacheni makonda wetu
@SteveAriba3 ай бұрын
Wewe una sera na matusi yako nan akupe kura achana na Makonda kawasaidia sana tena sana tena muombe radhi paulo
@josephmakutano70672 ай бұрын
Makonda anafanya maigizo tu,utashindwAje kwelewa Mfumo huu niccm sheriambovu wamezitunga wao iliwajinufaishe,wenyewe Leo kiinamacho unachanaganikiw
@josephmahando4932 ай бұрын
Lema umefiriska kifikra , lililo jema pongeza , siyo kupinga kila jambo, Arusha watu wametibiwa bule kwa ushawishi wa Makonda, na wengine kupewa haki yao nk
@Stevenmollel2 ай бұрын
Bado hajaona yote ayo kwanz ajiulize aliongoza miaka mingp alifanya nn kwa ajir ya wananchi
@richardkaula68472 ай бұрын
Duuuu hatuna upinzani Nchii hii,wanasiasa tuliowategemea sana wameishiwa hoja zenye nguvu, umebaki uwana harakati tu na matusi.
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
Arusha wanaongoza kwa MAIGIZO NA KUSUBIRI MIUJIZA😢😢😢😢
@augustinemainde2 ай бұрын
Siasa za Lema bwana watu wanakuona komediani 😂😂😂😂
@HassanAthuman2 ай бұрын
Huyo ni mchekeshaji
@HassanAthuman2 ай бұрын
Si uwape chakula
@MarthaWambura-kz5xb2 ай бұрын
Dogo chengaa Sanaa was INTERESTING 😅😅
@geofreykasinda18953 ай бұрын
Bila kuwa na connection inchi hii ni tabu
@DigidigiSekelwa-l4y2 ай бұрын
huna sela sisi tunamwombeaMakonda Mungu amjaliye kama anaumwa au yuko likizo ulijee salama shujaa wetu
@GoldfreeHagai32 ай бұрын
Angekuwepo makonda usingeweza kuongea na kuvimba hivyo
@yussufhashim44722 ай бұрын
Huyu watoto wake wako canada nä mimi niko sweden usituaribie tanzania yetu vita inaanza wenyekuumia niwale wako Ndani ya nchi wewe Na slaaa nä mbowe watoto Wenu hawako tz nä usiongelee juu makonda makonda ni dume
@KelvinJulius-m4n2 ай бұрын
KIPI NI KIPI MKUU...MBONA HATUKUELEWI .......
@NicomedMartine2 ай бұрын
Lema UtakuaUmecjanganyikiwa wew
@nahlaaasidee18483 ай бұрын
Hawa sindano za makonda zinawaingia na bado mpaka mtasema.
@AugustinoSirong-eo3yj2 ай бұрын
@@nahlaaasidee1848 kama lema imempata, kajikuta si kitu. Nashangaa lema kulalamikia ubunifu wa Makonda mpaka anashuka jukwaa hajaeleza mkakati mbadala duh!
@joseygaudence49222 ай бұрын
lema anatukana tukana tu hana habari mpya sera hamna anaongea nn sijui😂😂
@DanielMdota-gl4ru2 ай бұрын
Fact , but we need action, bro... 👊👊
@bahatigewa41632 ай бұрын
Ebu achana na makonda kwanza, maana ni kipenzi chetu watanzania wote.
@dedankalinga62912 ай бұрын
Wote au ww na wajinga wenzio
@nassercurtis95792 ай бұрын
Kutojitambua pia ni ujinga, jitafakari halafu ukimaliza kitafakari uyambue kila mtu ana haki ya kuchagua anachoona kinafaa.@@dedankalinga6291
@ShifaSinani-ed6po2 ай бұрын
Uongo
@josephmakutano70672 ай бұрын
Kumbe duniani kunawatu wanapenda uharifu yaani Makonda nimuuaji tenakatili
@SalomeKiduko2 ай бұрын
Wajanja wanashindana kwa hoja si kwa matusi,chadema mko vizuri ,ila matusi ndo yanakiangusha chama,(badirikeni
Una mwonea makonda wivu kwa kaz njema Mungu atazid kujidhirisha ndan ya makonda
@BIGBOSS-hl3bu2 ай бұрын
Toa hoja sio maneno makali kaka
@JonasMathias-s6m2 ай бұрын
Acha ujinga lema boda boda wanakufa kila siku kwa ajali za barabarani hamuzioni acha ufala hata wew tukikupa hii tanzania huwezi kumfanya kila mtanzania awe tajili
@abdalahgunda13193 ай бұрын
Nape nauye is not a politician has got no capacity of been politician makonda kwa god bless lema naona pazito maybe makonda use police force can challenge God bless lema without that makonda will face big challenge from God bless lema chadema on my research l have seen that
@Shaabanhmakiya2 ай бұрын
Wewe kima mdogo huna jipya😮😮😮😮
@MarthaWambura-kz5xb2 ай бұрын
Toooo interesting 😅😅 DOGO ANA WENGEEE .... acha ujinga LEMA MAKONDA HE IS ANOTHER MAN 👊👊👊👊
@HeriMohamedi-re7xu2 ай бұрын
Watu wa Arusha ni wajanja midomo tu lakini Hakuna Cha wadudu mnatawaliwa na watu kutoka nje mnadanganywa na kina makonda Ina maana Hakuna mtu wa Arusha akawa mbunge
@basilisamsaka84692 ай бұрын
Lema Hana kitu badala ya kuongea Sera na kuikosoa serikali pale ambapo inakosea mnakaa kutukana watu ovyoo sana
@hassankilengah47862 ай бұрын
Kwa sera hizi amachemka
@jumahabibi35002 ай бұрын
Tena muache makonda achape Kaz kenge madangaji wew
@jumahabibi35002 ай бұрын
Yani wew nimsenge sana ukikalibia uchanguzi mnaaza kukashifu seriksli maneno Gani unayo ongea mbwa wew makonda kakufanyann makonda anapingamia haki za wanaichi wew wa na chama chako kipi mlicho Fanya wanaichi
@mathewyoung21593 ай бұрын
Kweli kabisa kamanda ✌️✌️✌️✌️✌️✌️
@francismigongwa41462 ай бұрын
Toa sera sio vijembe wewe ndye unageuke kuwa boya
@DeboraCalton2 ай бұрын
Wewe kwenye utawala wako ulifanya nini
@MarryKiula2 ай бұрын
Lema Wewe hunaga Jema kila mtu Mbaya tafuta Sera angalia kile kizuri anachofanya Mwenzako umtie Moyo siyo kumkosoa tuu Makonda anapambana Sana halafu anaye hofu ya MUNGU
@davidchihimba94893 ай бұрын
Mwenye Arusha yake vivaaaaaa mheshimiwa Lema Makonda anapumbaza watu wako huko mtoe mitaaaaaa
@BenjaminChombo-o8o2 ай бұрын
Huna jipya brother.
@JeremiaholendikaMakeseni3 ай бұрын
Heshima Yako baba tupo pamoja
@AbdallahIssa-d7r2 ай бұрын
Kwa dunia ya leo ya utandawaz na kila mtu anaona kinachofanyw na Mh: Makonda wap wat walikuw wameshapoteza mal zao lkn kupitia Makonda baadh yao wameokoa mal zao MZEE piga sera zak tu usimguse MAKONDA ata kwa sekumde moja kwan ukiendelea kumsema MAKONDA kwa ubaya utafany ata anaekusikiliza asikusikilize MAKONDA FOR LIFE.
@LucyIsrael-h2w2 ай бұрын
Lema yupo saw sana achana na vicha wa Arusha wamechalogwa na makonda
@sarahyesaya62652 ай бұрын
Mmmh! Kazi ya Makonda wewe usingeweza hata robo
@jumahabibi35002 ай бұрын
Kama huna sela kaa kimy mbwa wew
@CafeJohn-n9o3 ай бұрын
Lema na wewe umechema sana mwaposa unamuwekaje tena kwenye aiese
@SalhaKondoSalum2 ай бұрын
Huyu mental case sio akili ya kawaida Wana wa Arusha kuweni Makini na huyo mtu kila siku atasababisha watu kuwa vilema kwa maandamano
@PendoMlowosa2 ай бұрын
Wewe nae kakae hko
@joshuandabazaniye76422 ай бұрын
uko sahihi
@HawaMohamed-g7c2 ай бұрын
Bora makondaa Mara Mia kuliko lemaa
@LijueNenoАй бұрын
Wewe unatoa sifa, unaongelea usela Lakini hauna msaada kwa wananchi.. muda mwingine tafuta jinsi ya kuwasaidia watu wala siyo maneno
@modestusndunguru71832 ай бұрын
Ukitaka kuamnini makonda yupo juuu ya hawa kunguni...waweke..mdahalo na kila mtu aelezeee chama chake..huyu..atasepa bila mtu kuku huyuuuuuu..hajui siasa....siasa ni sera sio matusi na porojo porojo..watu wanataka udeal na kero zao ..sio tatalinta
@valenakomba92182 ай бұрын
Lema asiwadanganye huyoo..kaenda Canada alizani atakula bure kule , alivyoona kaambiwa hakuna pesa bila kazi kama tanzania, karudu mwenyewe bila kupenda.
@olivernyange234921 күн бұрын
Lema ongeaga point basi,acha kutukana
@RobbinWalt2 ай бұрын
Huyo Lema ashapoteza dila bangi tupu Hana jipya
@prospermsemwa14332 ай бұрын
Big brain 🧠 lema akilikubwa
@janethrwambali27822 ай бұрын
LEMA HATUKUPENDI RUDI CANADA. ACHANA NA MAKONDA KIPENZIIIII CHETU❤
@VictoriaKetegwe-i5vАй бұрын
Mungu hapendi matusi..toa hotuba bila kumtusi mtu,Wala chama nadhan utabarikiwa kuliko kutoka matusi na kutukn watu.ni ushaur tu
@reginaldmapunda67022 ай бұрын
we lema unapata chakula serikalini? Basi wasmbie unapata wapi chakula. Halafu mbina hugawii chakula,huwajengei hospitali wala shule. Sema jinsi utakavyoisaidia jamii.
@SalomeKiduko2 ай бұрын
MAKONDA tunayaona anayofanya,wewe lema umefanya jambo gani ili wananchi wakuelewe,shikamana na MAKONDA ili Arusha ipate maendeleo makubwa zaidi
@mossespallangyo23452 ай бұрын
Elewa mtu anayepambana kwa ajili ya taifa kwa ujumla na sio upande mmoja wala mkoa mmoja,Mmeletewa makonda awafunge macho ili mama abinafsishe vit vingine
@chrispinrafael38313 ай бұрын
Leta sera mambo ya mke wa makonda ayatuusu yeye makonda mbona ajaongera mke wako unaferi best
@davidchihimba94893 ай бұрын
Umetumwa wewe hapo hampati kitu Arusha ina wenyewe
@faustinejemsi14883 ай бұрын
Umeona mm Niko Kenya nafatiria lema mupeni jimbo lake
@mataypanga52623 ай бұрын
Kwani Makonda ana sera gani, kudanganya wajinga tu😂
@EliasAbel-qr8pz3 ай бұрын
Acha kuchongani sha Sana nch😊
@evancetarimo13102 ай бұрын
Lema mm naipenda chadema lkn ukitaka tukosane endelea kumtaja Makonda
@lemakhalfan85642 ай бұрын
Lema umeisha wewe ndio unaiuwa cdm Arusha ila kufa mfe tu ccm ndio chama na makonda safiiiiiiii
@NicomedMartine2 ай бұрын
Lema Umechoka Na Siasa Kapunzike Tu Kaleee Watoto Hua Mnachukia Kiongozi Anaetetea Wanyonge Sasa Bc Kwa Hayo Kashfa Unayo YaOngea Utakosa Hata Hiyo Nafasi Hufai Kua Kiongozi Hewatu
@mirajimtoi85112 ай бұрын
Ila Lema alikua mwizi basi sema ilikua njaa sawa
@MasokaNihatu10 күн бұрын
Hahuwezi fikiya makonda hatasikumoja ubwawewe
@HezronKilongo2 ай бұрын
Mm nikisikia mtu anatokea Arusha najua ni mshamba too. Maana wengi wanajifanya wasela,wahuni,wadudu,sijui, lakini kiufup ni ushamba too njoon tunduma kama hamjaonekana washamba.
@babarungurallyteam27542 ай бұрын
Mkuu Mimi simwanasiasa Ila makonda hajakosea kuandaa tamasha ni anajali vipaji Viwe fursa nanikwambie Mimi hua ndioninaratibu MASHINDANO YA PIKIPIKI nikwambie siasa zenu zielekezeni KATIKA KUSAIDIA jamii na msiwaponde wanaogusa maisha ya WATU Ila nikwambie kaka HAKUNA MCHEZAJI ALIEKUFA, HIZO TAARIFA ULIEPEWA ZA WATU8 ZICHUNGUZE SIOKWELI KAKA.
@MWANAHAMISIOMARY-z3j2 ай бұрын
Muda ufike tu huyo mbunge wao aondoke
@SteveAriba3 ай бұрын
Pigania ugali kuna mtu anapigania sehemu isiyo na makoti hizo sera tu saundi tu
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl3 ай бұрын
jamaa ni matusi tu hatupati mpango Kazi wowote tuambie nn mtafanya mkipata nafasi
@deniccgabriel61533 ай бұрын
Kwani tangu unasikiliza ujaona wao wanachofanya
@rebekakulwa61592 ай бұрын
We lifisiemu tuache tusikilize lema akili kubwa
@AnnoyedBooks-kn5pm2 ай бұрын
Kwenda zako nawewe usie na point
@ayubukivuyo29042 ай бұрын
Kuna changamoto, kwa sababu lugha anayozungumza Lema ndiyo lugha inayoeleweka na Vijana wa kuanzia 2004 mpaka Leo, kama wakijiandikisha wote hali ni Tete.
@LilianMakyao-g8d2 ай бұрын
No one is perfect aongelee maendeleo hana issue
@AbdallahYanga2 ай бұрын
Kunawakati kama una sera bora kunyamaza ..uyu makonda muache brother jamaa anaupija mwingi sio kiwango chako mimi namfikiria 2035 kuwa (RAIS) wetu
@MarthaWambura-kz5xb2 ай бұрын
Mimi n8 chadema lakini MAKONDA hebu usi muongelee ...shughulika na hao maboya wengine ulio wataja
@maruhe19582 ай бұрын
Kazi ni nini? Ni shughuli halali inayompatia kipato. Boda boda lema anaowadharau leo wamejenga nyumba, wana viwanja nk.
@mohamedbakari28742 ай бұрын
Hizi siasa za lema ndio anasema Arusha wajanja Kwa uhuni Kwa sera za upinzani kama ndio hizi Mimi acha niendelee kufunga mkono chama Cha mapinduzi
@NdayishimyeJacksonАй бұрын
Lema hizo zote ni dalili za kushindwa siasa, umebakiza kumwaga sela za matusi?? hapo uko ukingoni!!!!
@britonkanumba68283 ай бұрын
Makonda baba lao
@abubakarimussa91313 ай бұрын
Kwalipi maigizo Yao wenyewe
@youngsachafurniture54822 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@adoniemanuel9082 ай бұрын
Kunasiku kamoigia mama samia simu kwenye mkutano kamwambia mama tunandege yakubeba wagonjwa mama akauliza mafuta nani anaweka
@charlessheks71662 ай бұрын
Sisi ndio wanaarusha Arusha nichadema tuna kukubali
@joycealex86522 ай бұрын
Hivi mna muelewa huyu anaongea nini eti😂😂😂😂we mwache makonda mwache makoda hangaika na yako Makonda wetu mtue kabisaa usimguse
@songeza2 ай бұрын
Mumgu akuponye RC nimeumia nimeumia nimeumia kama kweli amekufa kwa kweli itavuruga uchaguzi
@ponsianomwakisunga8992 ай бұрын
Boda boda nikaz kama kaz zingne
@Kheyuu_Official2 ай бұрын
Lema 😅
@geoffreymwafongochristop-vd6ob2 ай бұрын
Pamoja kamanda
@michaelmagwaza-bc6mk2 ай бұрын
Nchihii ingekua anawaona Watu kama lema niwatu wema na wanahuruma kwa Taifa, wangesimama hadharani nakuwapongeza kwa Mawazo naushauri Mzuri wanaotoa.
@alphoncewilliam43253 ай бұрын
Lema mjinga sana bila kutukana viongozi ili akamatwe apate umaalufu jinga sana
@maulidimsingwa32632 ай бұрын
Laiti tungempata makonda mkoa wetu wa tanga,nina uhakika muheza ingekuwa na kiwanda chakusindika juice,mama samia tuletee makonda tanga,arusha hawamtaki.
@kanankirannko6174Ай бұрын
Hizi siasa za chuki kabisa muache Makonda abadilishe Mkoa Wa Arusha , ungejua watu walivyolia juzi tu hapa na kuomba makonda arudi usingeongea Juu yake kabisa
@MamaBambala2 ай бұрын
Usimuue Makonda wetu,na Arusha tunataka uondoke we .
@VeraVeramollelАй бұрын
Lema Hiyo ni wivu hutaKaa umkutie makonda hata tone acha sera za ……