Sheikhe wa maana sana huyu. Ameamua kusimama na wenye kudhurumiwa. Allah akubariki sana.❤
@shabanadam44766 ай бұрын
Sheikh big respect 🙏 your a big brain Men
@abdalahgunda13196 ай бұрын
Big point mueshmiwa nakukubali sana ktk point zako
@MWANAHAMISIOMARY-z3j3 ай бұрын
Shekh Asante sana hongera sana mwanaume yimara
@happyjeremiahmhuli40436 ай бұрын
Mungu akulinde
@AllyMandunda-tj9jc6 ай бұрын
Kweli sana sheikh WANGU unaejitambua
@helencyprian87456 ай бұрын
Ubarikiwe sana shehe, kweli we mtu wa Mungu.
@deusdeditsimba44526 ай бұрын
🙌🙌👏👏👏Shekh Nakuheshimu Sana wewe NI Muelewa Kwa 100%
@mobilempula5456 ай бұрын
Hongera sana shekhe
@FredyMichael-ex3kv6 ай бұрын
Kadogoooo nakuelewa sana
@MwasitiMohamedmsusaMwasi-mw4go6 ай бұрын
Mungu akubaliki
@EnockMwanyonga6 ай бұрын
Chadema mpelekeni huyu bungeni atatusaidia sana
@bukurunestory35406 ай бұрын
Watumishi wa Mungu wakweli
@EmmanuelKuzenza6 ай бұрын
Mungu akulinde katika harakati za kuibadiri nchi.
@nizwaoman83786 ай бұрын
Allah akubaliki shehe wetu tuelimishe mana watanzania awaelewi
@AllyMandunda-tj9jc6 ай бұрын
Sawa shekh WANGU nakuelewa sana
@wegesawaryoba33163 ай бұрын
Saluti shehe kadogoo
@Evod-dd3kw6 ай бұрын
Mungu awabariki viongozi wote wa chadema
@MWANAHAMISIOMARY-z3j3 ай бұрын
🎉🎉❤❤❤❤
@SilvesterApolo6 ай бұрын
Good speech
@mawazomwanangwa28326 ай бұрын
Uko vizur sana shehe
@admaumsengi42306 ай бұрын
Mungu akubariki na akulinde Sheikh wangu RESPECT BRO
@ibrahimusanga12693 ай бұрын
Shehe Mimi nakubali sana naomba ugombee ubunge mwakani
@drsumatz75396 ай бұрын
Kadogoo ❤
@dennisezakiel33805 ай бұрын
Yani huwa najiuliza sana shekh hiyo ni Point kubwa sana ,yani mtu anashangalia ccm wakt hyo angalia maisha yake magumu sana , tatizo bado kuna watu mijinga
@sagandamalechampullo6596 ай бұрын
GOOD SPEECH SHEHE
@salimobeid14706 ай бұрын
Kadogoo jitafakari kwa kina wote ndo hao hao chadema CCM ni hao hao matumbo yao tu usiwadanganye wanachi na hao wakiingia bungeni kilavmmoja analia mama angu
@RhodaKibona3 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@innocentkimory6 ай бұрын
umetishaa sana unaakili nyingi sana mazuzu wenye akili ndongo kama hawajakuelewa kivyao
@kigomamaranathagospelchoir26426 ай бұрын
Power
@prospermsemwa14336 ай бұрын
Point
@aishamakala80455 ай бұрын
Kweli shehe unasema kweli
@prospermalala66366 ай бұрын
Sheikh Ally kadogoo akili kubwa sana, Mungu mkubwa akulinde daima ktk kipindi hiki kigumu kinachoendelea nchini kwetu, sasa hiyo elimu unayoitoa ni kubwa sana, mh hicho unachokielimisha kwenye Taifa hili, Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha jamiii iliyopo mbele yako
@deomponzi24596 ай бұрын
Sad sana sheikh kwa pamoja tutaikomboa nchi yetu
@AlbinMsechu6 ай бұрын
Heshima yako shekhe...unatendea haki elimu na nafasi yako
@peterantony58906 ай бұрын
Wote tunaisoma namba.
@EdwardUrassa-xc6gz6 ай бұрын
Huko vzr shehe
@veronicaadrof82446 ай бұрын
Umeongea vizuri sana ni kweli wote tunaasiliwa na uwepo wa ccm tunaacha kazi zetu sisi wanainchi tunaenda kumpigia kula mbowe au lisu matokeo yake anatangazwa ambaye hamjamupigia kula inaumiza sana na kuvunja moyo sana
@exaverysimon10646 ай бұрын
😂😂😂😂 ko we iliambiwa kwamba unaye mpigia kura ndo lazima ashinde 😅😅 mtu anashinda kutokana na wastan wa kura so unaweza kumpigia kura mtu lakin akapata wastan mdogo so automatically anakuwa ameshindwa
@helencyprian87456 ай бұрын
Ama kweli miso misondo
@zuzadomikano37656 ай бұрын
WEWE DOGOO UNGELIA NYAMA WAKATI WAMA GUFURI UNGE TUPWA MAJINI TANGANYIKA ,MFANO WAWALE MASHEIKH WA ZANZIBA HUSENI MWINYI NA KIKWETE WALIVYO WA JERUHI BILA ĶOSA LOLOTE .
@kinkybanjukome2176 ай бұрын
Hiyo ndio mijinga pumbavu iliyobakia ccm hata Kula hawana lakini hawaamki maisha watabakia kuwa kama popo kulala miguu juu kichwa chini
@josephlorri4316 ай бұрын
Sheikh kutoka mikoa ya bara, amekuzwa kwa maziwa,samaki na nyama.. ukiwasikiliza masheikh wa pwani na Zanzibar, kichefuchefu..eti wanampinga samia kwa sababu ni mwislam
@SophiaKamgunda6 ай бұрын
Kama hakuna ucha Mungu kote kite haya mambo yataendelea tu
@albanTz0016 ай бұрын
Mtu wa Maana kabisa
@filbertkumburu80156 ай бұрын
Muislamu msomi huyo. Safi she
@helencyprian87456 ай бұрын
Mafisiem manafiki sana tumeshayagundu
@SamweliKitiku2 ай бұрын
Nimekuelewa kamanda
@musasiame61386 ай бұрын
Mashehe wanaojitambua
@komuhsengo97966 ай бұрын
Ni kweli udini ni kitu kibaya
@omariabdallah17826 ай бұрын
Sheikh kadooo ...
@exaverysimon10646 ай бұрын
sema tusijisahau kuwaambia vijana kwamba maendeleo yako binafsi yanaanza na wew sio selikal ko usikae af utegemee serikal utaumia sana
@OdiloMagungu-uf5is6 ай бұрын
Wana ccm walio wengi hasa hao wafuasi wao Wana matatizo ya akili
@JumaMkiji5 ай бұрын
Shehe endelea kuelimisha wataelewa tu
@gidongailo71746 ай бұрын
Umenena vema Sheikh 😂
@hassankidilikia55666 ай бұрын
Shehe upo makini MUNGU yupo nawe naomba ukazie sana swala la siasa sio simba Na yanga😊
@EdwinCharles-o8f5 ай бұрын
Akiingia bungeni moto utawaka
@levissamweli90056 ай бұрын
NCHIETU INA VICHWA KWELI ,LOO!!
@SaidiMohamedi-n2u6 ай бұрын
Kwakweri tumechoka
@TobiasZamoto6 ай бұрын
Karime wewe maharage alafu uze. 1000,
@ThadeiAndrea5 ай бұрын
Kwakweli upo vizuli
@MwasitiMohamedmsusaMwasi-mw4go6 ай бұрын
Mpeni ubunge iyo shehe
@hassanhaji996Ай бұрын
Dogo kumbe kichwa chako ni kibovu kiasi hiki,unataka kunieleza kwamba kuna nchi duniani ambayo raiya wake wote hali zao zipo sawa,kwamba chadema ikichukuwa nchi watu wote tutakuwa na mashavu kama yako,acha kuona watu wajinga,wewe umeamua kutafuta umaarufu kupitia siasa.
@RhodaKibona3 ай бұрын
Aaaaaaaa,,
@evelynmwaimu-vd9jo6 ай бұрын
Kweli bwana tupo taabani
@exaverysimon10646 ай бұрын
sema tusijisahau kuwaambia vijana kwamba maendeleo yako binafsi yanaanza na wew sio selikal ko usikae af utegemee serikal utaumia sana
@winifridarugayana73126 ай бұрын
Sawa hakuna asiyejua Hilo,mtu ana nafasi yake , na Serikali Ina nafasi yake, mtu anarudishwa nyuma na Serikali atapataje maendeleo?