Рет қаралды 29,613
#TANZANIA: John Pambalu, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema aichakaza CCM huko Kagera, atoa hotuba nzito, "mtaendelea kuteswa na CCM mpaka lini?, mnapeleka watoto wenu vyuo wakimaliza wanakuwa bodaboda kisha wanawaita maafisa usafirishaji, mpaka lini?, Idi Amini alivyokuwa anaichokoza Tanzania, Nyerere alijiuliza mpaka lini? akamtwanga"