KWAYA YA MT KIZITO YAFANYA MIUJIZA TENA KWENYE TAMASHA LA STEPHANO DAY, HAIJAWAI TOKEA
Пікірлер: 58
@lomuriatandrewlokaale8662 Жыл бұрын
This is wonderful choir and am interested one day to attend and kizito makuburi choir if their choir master can attend the choir in Turkana County in Kenya in Good shephered in kakuma parish.
@leonornhantumbo2381 Жыл бұрын
que lindo corro. parabens radio Maria
@modjazyb37924 жыл бұрын
Hongereni cku moja mje na kwetu fanyeni ziara ya uinjilishaji kwa njia ya uimbaji mje malinyi.parokia ya yesu mchungaji mwema Itete karibuni tunawapenda sana mbarikiwe katika kazi hii ngumu
@deogratiusdominick88822 жыл бұрын
Cku moja nataman niwe mwanakaya mzur zaid
@sarafinafranci84814 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kuinjilisha na kumsifu Mungu, Mungu awape nguvu na afya njema, mzidi kumsifu Mungu daima.
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
Mungu hasifiwi kwa nyimbo zakijinga kma hzo ..wala mungu htaki kuimbiwa Achen ujinga njooni kwa uislam mumuabudu mungu Anavo paswa kuabudiwa. Achen kumshirikisha mungu katika makanisa nyumba za mashetan..kanisa cinyumba yamngu Bali ninyumba zakishetan...freemason wako mknisan kiti chashetan chaenzi nz kiko knisan.sasa munafanya nn katika nyumba zamshetan.
@user-xl2tp6md1q3 ай бұрын
My favorite choir
@restustanjau3224 жыл бұрын
Hongereni Mungu awabariki muendelee kuinjilisha kwa njia hii ya nyimbo
@augustinomkongwa54444 жыл бұрын
wonderful performance jamani what a perfomance hongereni sana, mmetishaa, conductor anaongoza mpaka mpigo wa ngoma mko njema sana St. Kizito
@simonthomas79694 жыл бұрын
Kwaya bora ya muda wote
@mariasalomelukosi6846 Жыл бұрын
Hallelujah
@patrickshirima69174 жыл бұрын
Mnajitahid sana wezeshen na kwaya ndogo mbinu ili zifikie kiwango chenu
@deogratiusdominick88822 жыл бұрын
MUNGU nisaidie nifikie hapa
@stephenkishinhi21094 жыл бұрын
You guys are using your talents big up
@francissilayo.34574 жыл бұрын
Conductor huwa ani nibless sana
@samorahbanderas87674 жыл бұрын
Dah! Mpaka Naskia kulia Mnavyo Mtukuza MUNGU KWA NYIMBO ZILIZO TAMU NAJIVUNIA KUWA MCATHOLIC SIJUTI
@patrickvenance45484 жыл бұрын
Kizito nawakubali sana
@petroniamagera68664 жыл бұрын
Hakika daima juu siku zote Mt. Kizito😘😘😘
@latefalatefa55944 жыл бұрын
Mungu awaongoze daima katika utume mwema
@user-xl2tp6md1q6 ай бұрын
If this was 4 yrs back what about today
@erneuslugusi17854 жыл бұрын
Jamani yaaani daaa naikumbuka makuburi Mimi jamani karibuni sasa parokia ya kijenge Jimbo la arusha
@georgettejolie21634 жыл бұрын
Well organized love it.
@richardboteto36134 жыл бұрын
Hongera kwao
@revocatusrubaba44164 жыл бұрын
Kichwa cha habari hakifanani na kiwango wameanza vzr ila sio sana
@octavinamgulunde51834 жыл бұрын
Vizuri bwana
@michaelbaha95984 жыл бұрын
Ni wivu tu in Gwajima voice
@revocatusrubaba44164 жыл бұрын
Michael baha wivu wa nini cha ajabu hapo nn nimewaona live kwaya ya chag'ombe kwaya ya katubuka wanaimba muziki pure wa kikatoliki Achana na hayo masebene na ndio maana hata conductor wao hafuati taratibu za ku conduct Aje huku kigoma uone kama hazuiliwi Waimbe vzr kwa kufuata miongozo ya ma Baba kama huijui uliza
@michaelbaha95984 жыл бұрын
@@revocatusrubaba4416 Usilazimishe choice. Huyo Paroko anayetajwa hapo siyo Baba? Umewahi kusikia kitu kinaitwa Sinodi ya Afrika? Unafahamu kitu chochote kuhusu utamudinisho? Vumilia tu hata wewe nyumbani kwako hauli migebuka kila siku. Hao hawakujipeleka hapo wana mualiko wa Paroko na Paroko alikuwepo kwa maelezo ya MC na hawajaanza leo. Labda ujiulize kwanini Kanisa linavumilia hawafungiwi kama ilinvyotokea kwa wafuasi wa Nkwera.
@octavinamgulunde51834 жыл бұрын
Una kazi jaribu kutofautisha tamasha na ibada . Ukitaka kujua mengi kuhusu hao ungana nao wanapoadhimisha misa takatifu. Usiwe ivyo na kwaya sio siasa hakuna ushindani
@neemaneema68253 жыл бұрын
Amina
@zawadieladionic48234 жыл бұрын
Nawapenda
@zainabumwambughi2194 жыл бұрын
Hongeren
@stanilupelele27934 жыл бұрын
Kweli huwa mnanibariki sana natamani siku nabariki ndoa mje
@adrianswai84934 жыл бұрын
Stani Lupelele Kibunda chako tu mbona watakujaa
@danrugayana50724 жыл бұрын
Hadi rahaa
@evathadeo96124 жыл бұрын
Hakika huwa sichoki kuwasikiliza mnafufahisha mbarikiwe
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
Eenyi watu hamupati uzima wamilele mpka mue waislam ndio kupta uzima wamlle
@felisterligwa4 жыл бұрын
sule hassan shall hahahaa pole sana kapimwe hiyo maralia imeshakupanda kichwani
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Utateseka sana
@mariasalomelukosi6846 Жыл бұрын
Kwanini
@winifridanzige9944 жыл бұрын
Akili Akili
@gabrielwambele86483 жыл бұрын
Hawa jamaa wanajua kipi wanakifanya
@jeniferkabigumila23984 жыл бұрын
Mbalikiwe
@revocatusrubaba44164 жыл бұрын
Conductor anatakiwa viboko kwa Kuwa amegeuka kuwa mtoto wa vipapa
@zachariagerald4 жыл бұрын
Revocatus Rubaba 🤣🤣
@nuruelimapunda47924 жыл бұрын
Yuko vizuri kachangamka
@octavinamgulunde51834 жыл бұрын
Sio bure wewe kuna sababu unazo
@barakathobias87884 жыл бұрын
@@zachariagerald mkuu naomba tutafutane ninashida na wewe sana plz ni check kwa namba yangu hii 0625810227
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Mbona huyo hachezi jamn,nakumbuka kuna kwaya ilialikwa kuja kuimba hapo makuburi jina nimesahau kwasb ni muda mrefu,ungemuona nadhani ungeshangaa zaidi badala yakufata ibada
@rashidmohamed9284 жыл бұрын
Uwa naumia ninapoona kwaya kubwa kamahii miakayote kwenye matamasha wanachoimba akijulikani
@alexandermakanta94684 жыл бұрын
Labda wewe ulitaka waimbe nini? Walisifu Jina la Baba Yako Mzazi?
@clementinakabaka74474 жыл бұрын
Kwa kweli conductor hajui anachokifanya!ameenda hapo kucheza siyo kuconduct maana kuna taratibu zake yy anapuyanga tu hakuna bits anazofuata hapo