No video

KWELI MAZRUI CCM..? AMEKWISHA, MBELE YA DKT MWINYI "YUPO FURAHANI KWA MAMBO HAYA HAKUNA ATAKAEKATAA"

  Рет қаралды 5,602

Riyadh Tv Online Znz

Riyadh Tv Online Znz

Күн бұрын

#RiyadhTvZnz #Zanzibar #mzarui

Пікірлер: 22
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Kwani kuna kosa gani upinzani ukisifu kazi nzuri waloisimamia pamoja na ndio maana upinzani ukakubali kusamehe acha kejel hizo
@nailamohd7693
@nailamohd7693 2 жыл бұрын
Hao ccm maisha hawabadilikii wana roho mbaya khasaa hawajui hata nn serikali ya umoja kitaifa ujinga mtupu
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
@@nailamohd7693 hawajui wala hawataijuwa madhali waneshikilia mavamizi yao na kuyabadilisha jina kuyaita mapinduzi na dhulma waliofanya
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo Ай бұрын
Akili za ccm ukisifia ndio usuakuwa mwenzao
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 2 жыл бұрын
Katiba mpya
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Hahongeki kwa utumbo wenu wa kichwa cha habari
@nailamohd7693
@nailamohd7693 2 жыл бұрын
😅😅
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
@@nailamohd7693 Haha shukran umeona eee ujinga wao na miroho yao mibaya hajazungumza la maana hata moja upinzani kazi yake kupinga na kupiga kelele serikali wajibu wao kusikikiza na kurekeleza na hizo sera za ACT ndio wanazifanya ili waoneakane wao ndio watejelezaji huo ni wajibu wao sio fadhila mshadaike nao 2025 kazi vile vile msije mkafanya makosa ikisha tuone kama kweli CCM wana nia njema na Zanzibar kwa kutowa ushindi kwa aluyeshinda bado tunasafari refu Wazanzibar Watanzania kwa jumla
@fathiyasalim3946
@fathiyasalim3946 2 жыл бұрын
Mwinyi kazowea kubembeleza waharibifu. Mazurui yeye ana chana tu. Ujumbe wa Mazurui unakuhusu hata weywe kama yamekushinda acha urais. Mazurui bhana
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Yeye ni Waziri katika serikali ya umoja wa kitaiafa na protocol ndio inavyotaka wewe babu acha mara moja kuota ndoto za nyumba ya karata.
@fathiyasalim3946
@fathiyasalim3946 2 жыл бұрын
Hizo ndio sera za ACT Wazalendo anazofanya Mhe. Mazurui. Na angeboronga nyie nyie ccm mgesema hafai.
@fathiyasalim3946
@fathiyasalim3946 2 жыл бұрын
Ndio maana Watanzania /wazanzibari wanakuja huku nje ya nchi kibaooo wanakimbia maisha magumu makodi 2 much. Hata urojo utakatiwa kodi. Tumechoka tunataka kurudi kwetu hakurudiki.
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 Жыл бұрын
si kwenu huku ndo mana hurudi, wenyewe tuna ripoti
@fathiyasalim3946
@fathiyasalim3946 2 жыл бұрын
Nyie ndio mnao mharibia Mwinyi. Mwache asikilize maoni ya wananchi kwani huo ndio ustaarabu na pia wanamzidua ili aweke sawa. Hii ni nchi yetu sote lazima aambiwe.
@noffelsalim830
@noffelsalim830 2 жыл бұрын
Kwanza mm simfahamu hata kdg,
@fathiyasalim3946
@fathiyasalim3946 2 жыл бұрын
Hili babu ndio walokua wakimharibia sheni na walipita. Ccm nyie ndio mnaolazimisha dhiki nchi hii. Wananchi maisha hawayawezi njaaa sio kuhesabu milango ya maduka tuu watu hawana pesa. Pumbavu weee
@fathiyasalim3946
@fathiyasalim3946 2 жыл бұрын
Mazurui hana njaa kama nyie. Anakuonesheni kuwa ACT wanaweza. Mhe. Mazurui ana uchungu kwa Wazanzibari na anajua kuwa waliowengi walimchagua Maalim chini ya ACT wazalendo. Ni lazima awatumikie Walio wengi. Kaza buti Babu Cholo. Natamani siku nije Tanzania nikute una mkutano kama huo.
@ZANAMBER
@ZANAMBER Ай бұрын
Tuondole ujinga wako kwanini babu katoka wapi?
@ZANAMBER
@ZANAMBER Ай бұрын
Tuondole ujinga wako kwani hii mibabu imetoka wapi naona wanatuletea siasa za kijinga na kizamani tu sisi wazanzibar tunataka mamlaka yetu hatuna haja ya porojo lenu
@ashamohammed3612
@ashamohammed3612 2 жыл бұрын
Wewe mkereketwa babu ni mjinga sana kwani Rais huyo kazi anafanya pekee yake wacha siasa za kijinga mpumbavu wewe mtu mzima. Ovyoo kalale muuwaji mkubwa huna lolote na wewe ni wale wachumia tumbo
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Mjinga nini wewe babu nani atakaekuja ona kama umewakusudia wapinzani kakojoee ukalale wewe jinga la mwisho upinzani kazi yake kukosoa na penye wasi wasi waulize wacha utoto huo
ISMAIL JUSSA ALIVYOINGIA KATI SITOFAHAM YA NASSOR MAZRUI
11:47
Marhaba Online TV
Рет қаралды 270
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 88 МЛН
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 11 МЛН
Sitetereki wala siyumbi - Mazrui awapasha wenye mashaka naye
14:14
Zanzibar Kamili TV
Рет қаралды 8 М.
IMEVUJA! CHANZO CHA MGOGORO WA MAZRUI NA ACT-WAZALENDO HIKI HAPA
7:17
CUF ONLINE TV TZ
Рет қаралды 13 М.
#YALIYOMO NDANI YA SOKO LA KWEREKWE ZANZIBAR
29:19
IsleBlogTv
Рет қаралды 29 М.
MWINYI AWAPA UKWELI WANA CCM ZANZIBAR
11:20
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 43 М.
PRESIDENT RUTO SALUTES FRANCIS ATWOLI DURING HOMECOMING CEREMONY OF OPARANYA
9:38
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 88 МЛН