#isleblogTV Kishindo cha Dkt Mwinyi Soko la Kwanza la kihistoria Zanzibar, kwa Tanzania ndio soko la Kwanza pamoja na Afrika Mashariki yake.
Пікірлер: 76
@oparetionmaalum90306 күн бұрын
Mashallah mashallah mashallah hongera sana muheshmiwa Rais kwa kutumia uzalendo wakuwaajiri wazawa kwenye ukandarasi kumbe tunaweza
@DoctorBondia4 күн бұрын
🎉 Maashallah Inapendeza Sana, Allah ambariki Mr Rais na nawatakia utunzaji wa soko hilo.
@samirasalim42036 күн бұрын
MashaaAllah Tabaraka Rahman, mwege toa na chumba cha kuswalia.
@hairathussein111821 сағат бұрын
Mbona kipo
@SalimKombo-xo4pq4 күн бұрын
Rais mwinyi fanya kazi ndugu yangu mungu atakubariki. Ishaallah ❤❤❤
@hajimnubi45816 күн бұрын
Kazi nzuri tatizo utunzaji....ndio watz tunapofeli
@rajabmsinzia17154 күн бұрын
Kabisa ndugu hatuna utunzaji katika majengo husussan ya Serikali。 Maoni Serikali iajiri au wafunge mkataba na Kampuni tatu Kampuni ya Usafi Kampuni ya Security Na Kampuni ya Maintanace, NB:Vituo vya Afya,Skuli na Masoko
@mussakiziyzi40819 сағат бұрын
Utunzaji kweli ni tatizo la uswahilin,lkn pia Tatizo jenqine ni ujenz wa viwango va chini. Yote ni walafi wachache waliomo kwenye sirikali
@husnamohamed92455 күн бұрын
Kazi nzuri mashallah wasiwasi wangu kwenye usafi mpaka vyooni usafi security ikuepo. Usafi nasisitiza zaidi soko zuri sana mashallah mwinyi mitano tena baba.
@AnkallyPandu6 күн бұрын
Mashaallah soko zuri sana usafi muhimu sana maana soko kama hilo likiwa chafu aibu iwe kila mara liwe linasafishwa hongera kwa soko letu kuwa la kwanza Tanzaniaa nzima kwa ukubwa
@masoudkhamismasoud99457 күн бұрын
Mnahitaji pongezi kwa kazi kubwa
@salumkarim697 күн бұрын
mashaallah ukhtiy umejitahid kuelezea
@hadijamgambo-jn7kg2 күн бұрын
Kumbe wamejenga wazawa wa Zanzibar...Ma Shaa Allah
@KS-iw7qv6 күн бұрын
Wasiwasi wangu kwenye Usafi na maintenance 😢😢.... Soko zuri saaana... Viwepo vitengo maalum kwa usafi na maintenance... Pesa hizi Kodi hizi😔
@mohddeloСағат бұрын
Wnapewa sekta binafsi kuendesha
@DaniDani-v3w4 күн бұрын
Shukrani mweshimiwa raisi ila walokuwepo kibanda maiti na wanamizigo ya kutundika kwamfano ndizi pia na mozigo mengi
@DoctorBondia4 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ Hakika yajayo yanafurahisha😅. Naomba na parking ijengwe ili Mambo yawe mazuri zaidi.
@masoudjuma81695 күн бұрын
Congratulation #Badrani # Hamis hollela🎉 good interview
@SalimKombo-xo4pq4 күн бұрын
Mashallaah kazi nzuri sana. Haya ndio maendeleo tunayo yataka tanzania 🇹🇿 yetuu.
@mohddeloСағат бұрын
Safi Rais mwinyi
@user-qr7et3vl5zКүн бұрын
Mashallah hakika 25 huna mpizani kiongozi
@w40586 күн бұрын
Machinjio ulimwengu mzima takriban hayawi sokoni sehemu nyingi sana sana
@KhamisHaji-pw4jo6 күн бұрын
Potential area,,,,Masha Allah
@masoudmasoud81386 күн бұрын
HONGERA MAMA SAMIA ♥
@DoctorBondia4 күн бұрын
Kwa hali hii hakika Mwinyi anastahiki kupewa tena mitano ❤
@yahyahamisi20382 күн бұрын
Tanganika ziiiiiii 😂😂😂😂 Kadiba mmmaa 👍👍👍👍
@saidkhatib91467 күн бұрын
Looking good
@jumamohamed31687 күн бұрын
Soko ni zuri ,lakini ninavyo ijua Zanzabar shida yetu kubwa ni usimamizi mbaya juu ya mambo mengi sana ,soko hilo litakuwa chafu muda mfupi tu ,takataka zitazagaa kila mahala .
@hajiabdalla57726 күн бұрын
Hao wafanya biashara ndio wachafu zarau kuta zote zitawekwa misumari waweke mapolo pakacha
@alihabib22706 күн бұрын
Nina 9:00 shauri machinjio yawe mbali na soko na hata kuwa mbali na mji na hiyo ndio utaratibu wa masoko mengi ya mji ili kudumisha usafi wa masoko
@ibrahimabdullah18876 күн бұрын
Mskiti umeuvunja ujengwe soko sio muhimu zaidi kuliko ibada zetu
@DoctorBondia4 күн бұрын
Akhy kuwa na shukrani kwani ineo Hilo msikiti ulikuwa Ni huo mmoja tu?
@DoctorBondia4 күн бұрын
Ni Mara ngapi amejengesha miskiti unguja na Pemba
@bakarhamad681013 сағат бұрын
Misikiti ni mingi Sana znz na km tutagawanyiwa wazanzibar wote utagundua kila wtu 20 wanapata msikiti wao so tatzo lkn je tupo ktk Hali gani kiimani na kiitikad. Sasa kuna misikiti mingine sio tatzo kuvunjwa km patatengenezwa Jambo kubwa lenye manufaa makubwa ktk maendeleo y jamii. Il'imrad tu iwe walengwa na wanufaika ni jamii ya Sasa na baadae.
@bakarhamad681013 сағат бұрын
Ninalolitamani ni siku moja na sisi wapemba aje atujengee kitu km hicho ili tuanze kuifungua pmba kiuchumi.
@alhajjkassim26482 күн бұрын
❤
@IbrahimSallim-xd4lx6 күн бұрын
Mashallah 😍❤
@alihabib22706 күн бұрын
Na kama hili halikuonekana sasaivi litakuja kuonekana baadae inshaallah. Hongera sana raisi Mwinyi.
@user-qt5xq6fk6o3 күн бұрын
Mh mwinyi wewe ni mtu na nusu big up Mr president.
@alihabib22706 күн бұрын
Nadhani pamoja na dhamira nzuri ya serikali katika kufanikisha biashara kwa soko la kwerekwe lakini kuweka Shemu ya machinjio sokoni naona kwa kuanzia inaweza ikaonekana ni sawa ila kadiri machinjio yanaendelea nahisi itakuwa mzigo kwa wananchi na wafanyabaishara sokoni
@jombadulla6 күн бұрын
nakuomba mheshimiwa ukienda kukagua angalia kuna raba nyeupe kweny ukuta umezibwa hiyo ni nyufa imeanza kukatik ,wameziba ili kuficha,
@masoudjuma81695 күн бұрын
Maeneo unayoona rubber nyeupe ni expansion joints, kitaalamu jengo kama ilo kubwa huwa linagawanywa .
@salimsalim-ut4jk5 күн бұрын
Mm mungekuja na uchambuzi ni namna gani na kwa kipindi gani fedha zilizojengewa soko zitarudi hp ningewasifu lkn pia siwalaumu kwa kua sisi pengine hatujawahi kuona vitu km hivi lkn pia nikumbushe tu kuwa vitu km hivi maranyingi hufanywa na makampuni na sio serikali, nakuombeni mutuletee na uchambuz wa hela iliyotumika na vp itarud
@hamicpina11516 күн бұрын
Tengeza viwanda vpi kuusu bandar hivi ND tunataka maana watu watapata ajira pasipo mfano na nd maana watanganyika wanajuwa ukijenga bandar na viwanda Zanzibar itakuwa kimaendeleo na sera ya ccm kuizamishaza Zanzibar kimaendeleo kwa iyo mtatubabaisha kwa vitu kama ivo xjuli masoko na Barbara ila mujuwe tuu viwanda vy samaki vy mwani vy matumbawe vya karafuu vya makonyo na pamoja na bandar ndio tunahitaji
@firdaus74285 күн бұрын
Masha Allah znz Dr. Hussein Mwinyi pongezi nyingi kwako Baba 👏👏
@sule179425 күн бұрын
Mwinyi mtu sana
@user-wz7tm6bp1g4 күн бұрын
Doky MWINYI vunja HOROFA hapo mbele ya SOKO
@DelightfulMacawBird-tl5hf7 күн бұрын
Zuri
@harithwhite5896 күн бұрын
Viazi mbatata vinakawaida ya kubeba tope,kwaivo vibaraza vyake viwe uko second floor,sio mbele ya mapokezi apo mwanzo
@Khatib-xp6fp6 күн бұрын
Tuko hapa hapa
@user-gb5vz6wm2q4 күн бұрын
Muwaweke watu watakaosafisha
@IdiKondoКүн бұрын
Daa ingekuwa msikiti Ingependeza zaidi
@salimkhamis36389 сағат бұрын
Kuna msikiti mkubwa unajengwa hapo karibu na soko
@alimuhamed18306 күн бұрын
Msikitini vp jama kumbukeni hiyo ninyumba ya Allah na nyinyi mumeibomoa na mpaka sasa hamjafanya chochote
@user-un3hr5kh6z5 күн бұрын
Tunahitaji viwanda zaidi mwinyi usitumbaze sisi mitaji hatuna ila nguvu na akilin tunayo
@harithwhite5896 күн бұрын
Jusa yuleeeee,kama namuona hivi
@msabahaali7587 күн бұрын
ule msikiti mliouvunja ujengeni jamaaniii apo kwerekwe
@ramadhanngwilili62615 күн бұрын
Jengo kuwa kama hili haliwezi kosa Sehem ya Kuswalia kaka
@labunaabouna61226 күн бұрын
Ila zuri lkn pesa hio no
@Khatib-xp6fp6 күн бұрын
Kodi je itakuaje maana tulisikia ya dara jani?
@AnkallyPandu6 күн бұрын
Vipi kuhusu usafi maana hilo soko la kitaifa
@user-ho1ze2jb5c6 күн бұрын
Naomba mtangazaj tumia kiswahili sababu wazaa wite hatuelewi lugha ya kiengerez na tuna hski ya kupata habar
@hassanmakame43826 күн бұрын
Kwan anaongea English hapo😅
@bongo396 күн бұрын
Mashaallah kama oman mwinyi anafanya mabadiliko makubwa sana
@labunaabouna61226 күн бұрын
Hio hela bilioni 35 hebu inane tena wasema tu hio mpesa soko hii no kwa pesa hio no
@Khamis_Waya6 күн бұрын
😂😂😂 so mchezo ila wao ndo walojemga kwaio cc wacha tukafanye kaz lakin cio pow ata kidogo.
@user-qr7et3vl5zКүн бұрын
Wewe nimpizani hata ukipauka Domo lako sisi kazii tunsiyoons
@saidaly82013 күн бұрын
Limghrimu Milion 30 au nimeskia vbya tu hebu rejea ndg sjaelwa hapo
@hairathussein111821 сағат бұрын
Bilioni sio milioni
@jombadulla6 күн бұрын
limepasuka wameziba raba nyeupe,mkifik jamani angalieni
@khatibabass31066 күн бұрын
Kwa vikuta hivyo ninavyoviona hahahahaha kazi ipo vitawashinda tu hao wafanya biashara