Nampongeza sana mwenyekiti Mbowe kusalimiana na Makonda ameonyesha ukomavuu wa kisiasa na busara
@danielfaustine95037 ай бұрын
Kabisa
@ChoroTesla7 ай бұрын
makonda mnafiki anongea sana shombo na pumba yaaani anaweza zungumza hata uwongo wq wazi safi lema kwa kumtakaa huyo chizi
@JoyceSarufu7 ай бұрын
Chiro acha ujinga sawa.
@JoalAlma-s2k7 ай бұрын
Makonda he knows nothing kuusu politics
@musakihama72057 ай бұрын
@@ChoroTeslahv unajua siasa wewe,au ndio mabendera fuata mwelekeo.?
@evancemapunda95127 ай бұрын
Kuna mtu alipata kumtukana na kumdhalilisha Lowasa kwa takribani miaka nane mfululizo kama Godbless Lema.?
@florencemeza65407 ай бұрын
Hapo sasa? Nyani haoni kundule mpumbavu saaana
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz7 ай бұрын
Wewe mbona unamtukana Magufuli
@hanifamziray2777 ай бұрын
Kwahy umepata nn au umempunguzia nn makonda hebu kuwa ss
@jdanny4977 ай бұрын
Amelinda heshima yake hakuna cha kupunguziana...wewe unaetaka kuongozewa na makonda kijipendekeze
@williammbuzimai57447 ай бұрын
Maishani mwako fanya unachojisikia kikubwa usivunje amri za Mungu na sheria za inchi
@robertempire95427 ай бұрын
Lema unasema hutaki mahusiano na wahuni huku wakati wa kutafuta kura unajiita wewe ni muhuni na mtoto wana chuga....acha unafiki wewe muogope MUNGU siasa si chuki kama unavyoichukulia siku ukiwa rais si utanyonga CCM wote na kuwafirisi mali zao......Tulia brother.. Mzee wetu Mbowe, Mungu akubariki sana kwa kuonyesha ukomavu na hekima kubwa sana ya hali ya juu ingawa umekaa mpk gerezani lakini ulisamehe...Mungu akulinde sana... Pia Makonda big up kuonyesha heshima kwa wenzako.....
@neemanziku54037 ай бұрын
Makonda cc tunakupenda mno tena mno lema dunia hii tunapita kwan ww umetukana mangapi
@Prax17 ай бұрын
Akuoe bac
@masubukopita72017 ай бұрын
Et unmpenda makonda mbwa Koko wewe
@hassanbakari45257 ай бұрын
HIYO IMEENDA,,,NAMPONGEZA MAKONDA,,,BILA KUPELEKWA WATU HUWA HAWAPENDI KWENDA,,,,TENA TUNAHITAJI MTU MKAKSI ZAIDI YA MAKONDA.
@ChoroTesla7 ай бұрын
unafikir matatizo ya hii inchi inaletwa na Chadema ????
@JoyceSarufu7 ай бұрын
Inaezekana ni chadema haoopoo
@musakihama72057 ай бұрын
@@ChoroTeslawewe unaonaje?
@VenerandaKundi-ph4hg7 ай бұрын
Kama ulimtukana marehemu lowasa. umeenda kufanya nini msibani we ni mchawi hufai kuwa kiongo
@trophywilson72117 ай бұрын
kabisa
@florencemeza65407 ай бұрын
Halina akililipayukaji tu
@RahelRonoh7 ай бұрын
Lema ni muhuuni kama wahuni wengine,haendelee kukimbie nchi Bado chuki mpaka lini mwache jpmapumzike kwa amani
@michaelndilima62107 ай бұрын
Kama kweli lema hakutaka kusalimia makonda basi lema hawezi kuwa kuongoza au kuwa kiongozi
@trophywilson72117 ай бұрын
Hawezi Uongozi huyo hafai
@msafiriamani18247 ай бұрын
Makonda mwenyewe mnafiki tuu
@paulokiwango216 ай бұрын
Samahan. Hujamuelewa maana haujamuelewa kiimani sio kisiasa
@millitarybattalion75157 ай бұрын
Mbona nyie mnatukana watu mitaani?
@salmaramadhan27257 ай бұрын
Tena hakuna watu wenye matusi kama Hao chandimu
@HajiKassimu-ww5oz7 ай бұрын
Kwani we unauwongozi gani ikiwa boss wako kamsalimia lema mshamba sana wewe
@Mariam-w9s3b7 ай бұрын
Wewe nawe ni MTU WA ajabu mshamba tu
@damasiasimba-lk5os7 ай бұрын
Huyu jamaal siasa hajui kabisa, namkubali sana Dr Slaa
@gibsonjosephat63527 ай бұрын
Wewe kanye ulale hujswahi kugombea hata uenyekiti wa mtaa au Kijiji.
@monicamwita78657 ай бұрын
Wewe ndiye unajua
@Nyangindu7 ай бұрын
Aijui watu wamenusulika kufa na nchi waliama sinich siyo mtu bro
@faustineonesmo50007 ай бұрын
Kwamba Lema yeye huwa hatukani watu na kudharirisha duh😂
@omarkatesh32997 ай бұрын
Kweli kabisa yeye mara ngapi alikua anamtukana kikwete akiwa munger arusha au mara ngapi kamtukana magufuli
@judyngowi3917 ай бұрын
Hajawahi kumsingizia mtu tuhuma kubwa kama Makonda alivyofanya kwa Mbowe
@fadhilimhussein30907 ай бұрын
Lema pimbi tu
@herybertsabai65037 ай бұрын
Kashamtukana lowasa kabla hajaenda kwao kua ni mwizi na fisadi@@judyngowi391
@atutweve41607 ай бұрын
ROHO MBAYA PUUUH HUO SIO UTZ 😳😳😳😳😳
@dorothmsuya16867 ай бұрын
Wewe mwenyewe Lema ni mhuni ti! Nyie mnavyotukanaga mnaona powa! Tulia dawa ikuingie! Hapana Chelsea Makonda!❤❤
@AlHamra-k4u7 ай бұрын
Kwani usipomsalimia Makonda anapungua nini ndiykwanza unazidi kumpa pawa. Makonda watoe jasho Hawa watu 😅😅😅. Ww mwenyewe mhuni
@awadhally10527 ай бұрын
Huyu kachanga nyikiwa 😂🤣🤣
@joycemfuru47527 ай бұрын
na wewe ni mchawi
@AlHamra-k4u7 ай бұрын
@@joycemfuru4752 🤣🤣🤣🤣 pole
@mabubambassa48827 ай бұрын
Wewe acha kujiona mwema, wewe mwenyewe tu ni muhini anayejufanya mwema, lakini huna lolote, ni muhuni tu.
@deuspaschal76167 ай бұрын
Uwe mkiristo kweli,makonda anakuzdi umaarufu Tanzania, kislaan cha nn,kukaa ulaya bado tu
@richardnganya23117 ай бұрын
Canada ni Ulaya au .....!?
@AllyGibu-cz2vo7 ай бұрын
@@richardnganya2311acha nayo tuiite Ulaya atajua yeye mwenye mkimbizi Lema
@user-zy4ig1eh8q7 ай бұрын
Big up lema, malizia tu mikono michafu huitaki
@AlHamra-k4u7 ай бұрын
Ww mwenyewe hunanidhamu pia mhuni wivu tu imekujaa unaroho mbaya sana ww ulitaka uteuliwe ww toka zako 😅😅😅
@beniardajuna25807 ай бұрын
Kwenda huko mhuni Ni ww unamkana kiongizi mwenzio mbele ya camera
@barakambasile26517 ай бұрын
Wewe huwasemi vby watu majukwaani kamaniuhuni wewe mwenyewe ulishajiita mtoto wakihuni mjini Arusha nakama ruga chufu wewe ndiyo unaongoza na hata usipo msalimia hawezi kuacha kukusema majukwaani
@frankcosmas1537 ай бұрын
Kuna tofauti kubwa kati ya kumsema mtu Vibaya na uongo na kumsema Mtu ukweli wa ubaya wake..Ukisemwa ubaya wako sio mbaya kama uthibitisho upo, ukisemwa na kutuhumiwa uongo bila uthibitisho ndio shida
@barikmwakibete-yi1fq7 ай бұрын
Lema your out of hypocrisy...agree with you!👏👏
@jdanny4977 ай бұрын
Well said
@AloneChuga7 ай бұрын
Wewe ni faraa tu
@damasiasimba-lk5os7 ай бұрын
Ninachojua msibani siasa huwa inawekwa pembeni, sasa huyu ana matatizo ya ubongo
@sewandomkuchu92677 ай бұрын
Hiyo ni wewe mimi naona yupo sawa. tuache unafiki...
@LatifaCharles5 күн бұрын
@@sewandomkuchu9267na ww. Acha ushabiki wako kwenye swala la Msiba ushabiki weka pemben
@frankaloyce11377 ай бұрын
Tatizo kubwa la Lema ni kujihesabia haki kwa kila kitu.Yaani anajionaga yeye anajua kila kitu. Mbowe ni mwanasiasa bora kuliko wote kwa upande wa vyama pinzani, ana ubinadamu sana.
@florencemeza65407 ай бұрын
Exactly
@trophywilson72117 ай бұрын
Kachemsha saana Siasa hawezi
@hamismwangwale5637 ай бұрын
Mbowe ana akili sana huyu mjinga tu subiri makonda awe rais utakimbia sana , ww na atakuwa raisi amini na pia hana mamulaka kumukumu mtu ,na atahukumiwa tu ipo siku
@judyngowi3917 ай бұрын
Labda rais wako wewe mwenyewe acha kuota ndoto za mchana
@JoyceSarufu7 ай бұрын
Judy ndoto za mchana za baba yakooo😂😂😂😂😂
@GoodluckMichael-hb1bv7 ай бұрын
We mwenyew muhuni, unalolote
@samsonmwijage18697 ай бұрын
Tena Lema ni mhuni sana hafai.
@leaherasto9297 ай бұрын
Et sitaki mahusiano nawahuni dah Makonda Mungu akuweke naakulinde malaika zake wakuzingire usiku namchana Amen
@esterlaitetei52077 ай бұрын
Lema nimekupend bure kweli ww ni mwana hipap❤❤
@trophywilson72117 ай бұрын
mmh hafai kuongoza Nchi
@JoyceSarufu7 ай бұрын
Ujinga uwoooooh😊😊
@musakihama72057 ай бұрын
Kaskazini utawajua tu,
@user-yj9un6iz9c7 ай бұрын
Wewe nimgonjwa wa akili na kama uhuni wewe ndiyo muhuni unaacha kuongelea msiba unaongelea makonda hakika ningumu kichaa kushika dora
@LusajoKabuka7 ай бұрын
Naye huyu washike Dola Sasa alafu apewe uwazili mkuu mbona atasababisha vita make anatudhihilshia kuwa ni mzee wa visasi mi Sina chama mbona anatukana sana akiwa jukwaani Tena hajui hata kutabasamu hata ya unafiki tu mwigeni mbowe anajua siasa hakuna mwanasiasa mtakatifu ndo hivo
@EzzyEddy-il3ce7 ай бұрын
Kweli hakuna mwanasiasa mtakatifu kabisa yaan
@godfreymkinga9127 ай бұрын
😮Kwenye maisha sio kila mmoja anaweza kuwa rafiki yako ukiwa na urafiki hata kwa wanaokudis utakuwa na tatizo hata yesu alimwaga bidhaa alipoingia hekaluni watu wakilangua bidhaa that is real humanity kwa wanao weza ni Karama yao kupendana hata na wanaotaka kukudhuru peoples have choice on how to associate na wengine
@zakarialuhemeja4447 ай бұрын
Hahaaaa kutosalimia mtu inaonesha kuna changamoto ya brain
@chai_r7 ай бұрын
Stop, you sound stupid.
@trophywilson72117 ай бұрын
kabisa tena mwanaume anayejidai eti ni Mlokole
@JoyceSarufu7 ай бұрын
Ndo apoooo
@bsmonline84827 ай бұрын
Hata mimi kuliko kuwa mnafiki Mbele za watu ili tuu niwaridhishe nafsi zao. Bora nifanye ninachokiamini mimi nafsini mwangu kama naamini huyu mtu hafai jibu litabaki hafai. Lema yuko sahihi hata ndugu akizingua unamkaushia itakuwa sijui nani apite kushoto tuu kila mtu ale 50 zake.
@bsmonline84827 ай бұрын
Salamu sio lazima na ni utashi wa mtu kuna watu humu hamongei na ndugu wa tumbo moja itakuwa mtu baki Lema yuko sahihi kulingana na nafsi yake inavuoamini juu ya Makonda msimhukumu.
@ezrayohana35417 ай бұрын
Nashauri Lema ajisikilize hapa alichokiongea et sijui kama malasusa alipga makofi😂😂😂
@msouthqualitymabati46577 ай бұрын
God bless lema ni mtu kama watu wengine kabisa,mfanyabiashara mzuri wa siasa za uchumi bora lakini kumpa kiti kaskazini sio sawa kwa sababu kiongozi lazima awe na busara na hekima, hatujitumikii wenyewe tuna tumikia kusudi say no to makasiriko ya kitoto.
@kulwakayagamba13287 ай бұрын
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu ni mchungu .lema alishawahi kumtukana lowassa tena matuzi ajabu tu yaani yeye kuambiwa anauza ngada azira hadi salamu😂😂😂
@EzzyK4387 ай бұрын
Jamaa jinga hili... But Mbowe ni mtu mzuri sana.
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz7 ай бұрын
Lema mwenyewe mhuni
@charlesjoseph10817 ай бұрын
lema ni mchafu too criminal, achana na hilo gaidi
@bestjeremia93727 ай бұрын
Acha unafki lema wewe mwenyewe huwa unatukana watu😂😂😂
@florencemeza65407 ай бұрын
Anajifanyaga kuota mshenzi jambazi huyu hana adabu
@serndaynjumbo69127 ай бұрын
tatizo nyie mikundu hajawakuta nahis ni mafala2
@JoyceSarufu7 ай бұрын
Lem Amna kituuu
@temesjames88677 ай бұрын
Nafikiri huja muelewa msikilize kwa makini utaelewa
@temesjames88677 ай бұрын
@@JoyceSarufumajina ya J huwa wanamatatizo pole
@cmoshi70147 ай бұрын
Wewe mwenyewe ni muhuni. Eti Makonda anatukana watu ndio maana Mbowe mwenzio kamsalimia acheni vinyongo nyinyi wanasiasa. Hiyo ni kazi tu kama kazi nyingine mkikutana barabarani maisha yaendelee. Mwisho wa siku sote tutaonja mauti mavumbi wewe na mavumbini utarudi. Ulitaka Askofu Malasusa apige makofi ili iweje?
@user-cx1tv7bu7h7 ай бұрын
Wewe Rema ukishaona mtu mchapa kazi humpendi Unataka usikike wewe Zama hizo zimepita pambana na yako tuu Umemfuata fuata Sabaya mpaka
@trophywilson72117 ай бұрын
Kabisa,Lema hafai
@sambulugu99887 ай бұрын
Kweli wewe Lema kichwa maji sana! Unadhani unamkomoa Makonda ila unajikomoa mwenyewe kwa watu kukuona hujitambui!
@allykwaya7 ай бұрын
Jamaa mawenge sana
@PhilibetLadislaus7 ай бұрын
Heshima ya viongozi iwe na mipaka mambo ya jukwaani yasiingie kwenye faragha za jamii vinginevyo sheria ichukue mkondo
@adolfmathew96987 ай бұрын
Asante sana hakuna unafki hapo kweny ishu ya makonda umetisha kinyama. Sio kujidai unazuga zuga kuonyesha upendo na moyoni una chuki
@user-zo7vl8bw8z7 ай бұрын
Wemwenyiwe muhuni acha kujifanya ww hiyo ni siasa zenu watu kama ww ambao hamujakomaa kisiasa Ila namkubali Sana mbowe mtu ambae anajua siasa inafanywa wakati gani na wakati gani siasa inaaimishwa kupisha mambo megine Ila ninacho jua mm wanasiasa Hawa bebagi vitu kwa rohoo Ila ww hufai kwenye siasa
@dominiquemushy8957 ай бұрын
Lema unafeli broo, ulitakiwa kusalimiana na makonda msiba hunganisha watu, mbona mbowe ana hata kiburi jmn?
@trophywilson72117 ай бұрын
Tumeshaona hafai huyo
@mohamedrashid1407 ай бұрын
Duuuh, Jamaaaa hamna kitu kichwani box siasa sio vitaaaa
@user-fu3hn1ms2j7 ай бұрын
Safi hata akifa aliwe na nyenyele
@makelemohuya27237 ай бұрын
Lema wewe ni mvuta bangi usiyejielewa Makonda hata usipomsalimia hana habari na wewe mpuuzi wewe
@archbordygodfrey26147 ай бұрын
Makonda tu ndo kila kituuuuu kwa sasa.
@adilimbuba70446 ай бұрын
Kwako ni Kila kitu sio kwa kila mtu sorry lakini.
@SwahiliAmbasador9547 ай бұрын
Rema ana mental problem siasa ni watu na ongea na watu vizuri na si kutukana watu pasi na kuwa na ushahudi wakujitosheleza angalia sasa unavyo tukanwa mitandaoni😊
@salimkhamis36387 ай бұрын
Duuuh Rema tena badala ya Lema?!!😂😂
@SwahiliAmbasador9547 ай бұрын
@@salimkhamis3638 wewe haujaelewa nini apo labda?
@abuuabdillahtv84577 ай бұрын
Acha wivu ww makonda ni mtu wa watu pia nikiongoz ambae anajitambuwa kwa makonda sema jingne tunampenda na tunamkubal uyu ni maguful kama unamkubal makonda gonga like apa
@GenesisReuben-d4o7 ай бұрын
Uko nyuma sana kimtazamo na wewe ndio wale wale msio jitambua
Wewe Lema si ulimtukana Lowassa kwamba ni mwizi na jambazi na anafaa kuchomwa moto,,, leo unajifanya eti wanae na Lowassa ni rafk zako. Mnafiki sana we jamaa Paul Makonda kazia hapo, piga spana wahuni hawa
@hubapessa9137 ай бұрын
Unajua huyo anadhani watanzania bado tuna ujinga wa zamani hatufatiliii
@habisnasalum-nz4zo7 ай бұрын
Hujui sislasa mkundu wew msenge wew kwenda zako choko wew ni shoga pia kama govi
@dorothmsuya16867 ай бұрын
Lema ujue kuna maisha baada ya.siasa! Mara paa Makonda ni mwenyekiti wa .....utauwwka wapi uso wako? Hufai kuwa kiongozi hata mtaa! Pambana na hali yako!😂😂😂
@salummasoud25677 ай бұрын
Wewe mwenyewe Lema unatukana watu sana hakuna aliyemkamilifu kwa mbele za Mungu
@why-ir8zl7 ай бұрын
Mara paa mbowe anabadilisha gia angani Makonda mgombea uraisi Chalema 😊😅😅😅
@musakihama72057 ай бұрын
Hilo si nilipuuzi halijui siasa pamoja na wanaolitetea,siasa ndiyo zilivyo,yeye kamtukana lowasa kwa muda mrefu tu,leo anaongea uboya,ila daah Mbogwe kabadili gia angani😅😅😅😅😅
@LeonatusMisalaba7 ай бұрын
Wewe ushamba unakusumbua
@macdonamasali7 ай бұрын
Kazi ipo, siku watu kama hawa wakiacha kutafuta kiki nchi itarndelea
@KingBuddah-nx3ui7 ай бұрын
UNAJIFANYA MJANJA FARA TU KWA NINI ULIKIMBILIA CANADA?
@elinamilyatuu73377 ай бұрын
Sitaki mahusiano na wahuni...iyo line ya mwisho ndio amemaliza kila kitu😂😂
Mbowe ni mtu mmoja mwenye hekima kubwa sana tofauti na wapinzani wengine anamoyo wenye hofu ya Mungu anafaa kuwa kiongozi mkubwa Hana roho ya kisasi kama wengine hongera sana mbowe
@hope-cj9rh7 ай бұрын
Acha siasa za chuki wewe lema hufai kuwa kiongozi! mbona wewe ulimtukana Lowasa mwembe yanga lakini tulichukulia poa au unadhani tumesahau?
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz7 ай бұрын
Unaona!!!!!!!!!
@salmaramadhan27257 ай бұрын
Mwambie mjinga huyo,Mimi Ni daktari huyo jamaa huwa Ni dish,Tena linayumba sana Sasa kama mwenyekiti wake kasalimiana yeye kibaraka tu chadema,huwa simpendi huyu lema,haki YA Mungu huwa Ni dishi
@FarajiRashidi-z8e7 ай бұрын
@@salmaramadhan2725😂😂😂sio lazima kupendwa na Kila mtu hapa Duniani
@allykwaya7 ай бұрын
Anatafute umaafuru bila kujua wanaolewa wa namuona mjinga tu
@user-be2xx2cl7n6 ай бұрын
Humpend Kama lema au humpend Kama mgombea ubunge anaewasumbua ccm Arusha mjin
@rizikirichard79777 ай бұрын
wewe lema mnafikitu mkimbizi ulikimbia inch siyompiganaji mnafikitu
@ShamteMohmed-ed2kk7 ай бұрын
Bifu za kishamba na siasa hazipo hivyo lema.
@CharlesSomeke-ml7ju7 ай бұрын
Kwani usipo msalimia wewe atapungukiwa nini wewe una wema gani acheni kijiona wema wakati hakuna ulicho wahi kuwafanyia watu unaroho ya kisasi wakat wajiita mtumishi
Nilifikiri Lema ana busara kumbe hamna kitu !! Daah
@user-sl1ko9me7u7 ай бұрын
VIVA MH. LEMA....UMEKUWA MKWELI KUHUSU MAKONDA....HUKUTAKA KUWA MNAFIKI....NA HAPO KWENYE MSIBA WA LOWASSA TUMEWAONA WANAFIKI WENGI!
@dorothmsuya16867 ай бұрын
Wewe Lema unajiona ni nani kwa mfano! Usipomsalimia Makonda haimpunguzii chochoteee! Kwenda kule!😅😅😅
@ezrayohana35417 ай бұрын
Daaaaah huyu lema ni box😂😂😂😂
@exaverysimon10647 ай бұрын
Maisha hayapo ivyo
@emmanyerere64797 ай бұрын
Nasikiaga kuna wahuni ndani ya chama chetu sijawahi kuwajua. Sasa huyu kaka amenifikirisha. Hivi ni kina nani hao? Tujisahihishe
@PeasonJorampmaster7 ай бұрын
Lema ni kiongozi bola 👍👍
@MelauMkivuyo7 ай бұрын
Sasa mpeleke kwenu akamuongozee mama wako
@JoyceSarufu7 ай бұрын
@@MelauMkivuyo acha upumbavu kenge weweee😮😮😮
@protusbishanje8727 ай бұрын
Mmmh lema acha kumtaja Askofu wetu Dr malasusa kwenye siasa zako
@abubakarinchimbi647 ай бұрын
Kichaaaa we lema kwapimwe akili kwanzaaaa
@DaudiCharles-v2x7 ай бұрын
Duu kamanda umeanguka puuuuu huyu nizaiidi ya viongozi kwanza nimwenye roho ya mungu ndani yake ukitaka lema ufanikiwe mseme vizuri makonda hujui kesho mwamba kama kweri unamwamini mungu muombee makonda
@judyngowi3917 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ana roho wa mungu????????????
@ChoroTesla7 ай бұрын
@@judyngowi391wengine hawajasoma kaka
@gaudencemhagama72167 ай бұрын
Mpumbavu ww kwahiyo usipomsalimia anapumgukiwa nini yeye kwenda zako huko
@ChoroTesla7 ай бұрын
mtu akwambie malaya,muuza madawa mwizi afu eti umsalimie unamkataaa tu cumalake
@KamwandaNzowa-eo4ur7 ай бұрын
Huo ni ukweli kabisa Hongera sana Lema kwa kulitambuwa hilo
@user-gr9wc7bc2m7 ай бұрын
Mmmhh
@stellajohn84867 ай бұрын
Asante lema mbai na iwe mbwaii
@jumakapilima72957 ай бұрын
Wewe mwenyewe lema uliwatukana boda boda
@calvinjoseph7 ай бұрын
Lema ni mjanja sana! Kwa kukata kumsalimia Makonda coz alijua lazima itatoka kwenye news 'LEMA AGOMA KUMSALIMIA MAKONDA" Na hiyo inafanya yeye azidi kufuatiliwa na kupata public milestone. This man is smart, he knows how to make bombs💥
@josephmabula96587 ай бұрын
Nyie mbona mlimtikana sana lowasa
@yonaseni39457 ай бұрын
Lema huna jipya na huna lolote maneno yako ni yale yale kila siku wewe majukwaani unasemaga hovyo tena kauli chafu tu leo wewe hata Makonda hawezi kukuzungumzia popote c wa levo yako acha ushamba
@johnsteven85287 ай бұрын
Lema uko sawa
@mamamdogo4097 ай бұрын
Wewe lema acha unafiki hujakomaa kisasa mshamba kwani huna roho ya mungu?makonda ameumbwa kama ww nampongeza mbowe amekomaa kisasa ,naisitoshe salamu ni upendo mbowe hoyeeee3
@ukk97987 ай бұрын
Kumbe Lema mshamba kiasi hicho
@e.d.h.mrumah47777 ай бұрын
wanaume hawanuniani hizo bang
@fatawifatawi72957 ай бұрын
Acha ayo yashapitwa na wakati
@halimamasai22347 ай бұрын
Hahahahah Lema umechemsha kwani kwa sasa Makonda ndo habari ya mjini We endelea tu na maisha yako tuachie Makonda wetu tunampenda sana 😂😂😂
@JoyceSarufu7 ай бұрын
Tena kachemka Sana tuuuuuh😢😢😢😢😢😢😢
@lucaschisamalo28527 ай бұрын
Mbowe kiongozi lema mmh analipa ubaya kwa ubaya hii sijaipenda japo inaumiza Ila sisi nibinadamu twende nao mungu atawalipa hapahapa duniani