#LEOTENA

  Рет қаралды 47,398

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

25 күн бұрын

#LEOTENA MAMA AWEKWA MTEGONI, YUPI NI MTOTO WAKO KATI YA HAWA, ''HATUJAONANA KWA MIAKA 30''

Пікірлер: 104
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s 14 күн бұрын
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
@user-lm8ji4tz2r
@user-lm8ji4tz2r 22 күн бұрын
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
@masterhptv4065
@masterhptv4065 23 күн бұрын
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
@enockmaige8936
@enockmaige8936 23 күн бұрын
Utabarikiwa
@ansifridmkongoja3337
@ansifridmkongoja3337 22 күн бұрын
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l 22 күн бұрын
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 23 күн бұрын
Kipindi. Ķimetulia. Vizuri. Mwijaku. Hayupo. Wamekelele. Aende. Salama. Kwakweli. Kipndi. Kimependeza. ❤❤
@enockmaige8936
@enockmaige8936 23 күн бұрын
😂😂😂😂
@bahatibushiri1610
@bahatibushiri1610 23 күн бұрын
Umewaza kama mimi simpendi misifa mingi
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 21 күн бұрын
😂😂😂 akawapigie kelele huko mbele kwa mbele
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c 20 күн бұрын
😂😂😂 yupo Dubai anakula bata
@aminaomary5567
@aminaomary5567 23 күн бұрын
Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@floraflora5964
@floraflora5964 19 күн бұрын
hee umenikumbusha baba mwita
@user-rn9lk1ck7m
@user-rn9lk1ck7m 7 күн бұрын
​@@floraflora5964kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
@christaoman8890
@christaoman8890 18 күн бұрын
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 20 күн бұрын
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
@anenragnesmunis8490
@anenragnesmunis8490 11 күн бұрын
Anafana na mama yake 😊
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r 22 күн бұрын
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 14 күн бұрын
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
@CristinLyanga
@CristinLyanga 22 күн бұрын
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
@samuelmuhindosivamwanza4988
@samuelmuhindosivamwanza4988 15 күн бұрын
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
@jaliamkubilasidi
@jaliamkubilasidi 11 күн бұрын
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
@Allygibison
@Allygibison 5 күн бұрын
Put the music off or down a bit as you guys telk
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 23 күн бұрын
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 19 күн бұрын
😂
@KAHINDITV
@KAHINDITV 7 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@Teresa-255
@Teresa-255 17 күн бұрын
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
@halimamremi5375
@halimamremi5375 20 күн бұрын
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
@user-rm9iz3yi5c
@user-rm9iz3yi5c 19 күн бұрын
Hongera sana
@janneferisaya83
@janneferisaya83 16 күн бұрын
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 18 күн бұрын
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 23 күн бұрын
Bibi bado ana maumivu
@asiansky9767
@asiansky9767 22 күн бұрын
Kweli
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c 20 күн бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 23 күн бұрын
Katokea kwetu
@fathimamct232
@fathimamct232 16 күн бұрын
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
@user-yd6xh1mr1k
@user-yd6xh1mr1k 23 күн бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
@halimaoman8726
@halimaoman8726 23 күн бұрын
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r 22 күн бұрын
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle7988
@eggysulle7988 20 күн бұрын
😂😂😂
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 23 күн бұрын
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg8664
@nancyg8664 22 күн бұрын
😂😂😂
@user-ck3sj6ni4z
@user-ck3sj6ni4z 19 күн бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
@aziza9093
@aziza9093 23 күн бұрын
❤❤❤
@rehemaabdy2830
@rehemaabdy2830 21 күн бұрын
Nimelia
@Moscow924
@Moscow924 19 күн бұрын
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
@GladnessJohnLewis
@GladnessJohnLewis 4 күн бұрын
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 23 күн бұрын
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 23 күн бұрын
🎉
@hashakishabani4896
@hashakishabani4896 16 күн бұрын
Daaa kafanana na mamaake sana
@halimaoman8726
@halimaoman8726 23 күн бұрын
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle7988
@eggysulle7988 20 күн бұрын
😂😂😂anawaza mbal
@user-ml8jd5xg1r
@user-ml8jd5xg1r 18 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@abdulkhalim9475
@abdulkhalim9475 8 күн бұрын
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 19 күн бұрын
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
@leokamil6284
@leokamil6284 22 күн бұрын
Acheni kuweka huo mziki
@SuzanFelix-mo8fq
@SuzanFelix-mo8fq 20 күн бұрын
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
@user-bz6ru7sk7u
@user-bz6ru7sk7u 8 күн бұрын
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
@mussanangumi1734
@mussanangumi1734 7 күн бұрын
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
@magrethmathayo2800
@magrethmathayo2800 23 күн бұрын
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
@MonaJuma-cp3jg
@MonaJuma-cp3jg 20 күн бұрын
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
@user-qg2sw9bj2i
@user-qg2sw9bj2i 17 күн бұрын
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 5 күн бұрын
Sijui yaaani basi tu
@Wilbadi
@Wilbadi 15 күн бұрын
Sis sio milima tutakutan
@user-ky2do8fn1w
@user-ky2do8fn1w 16 күн бұрын
Mama znaongea kibembe
@user-sy4wf5ll4o
@user-sy4wf5ll4o 14 күн бұрын
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
@user-th9nc2om2x
@user-th9nc2om2x 19 күн бұрын
Acheni muziki
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 22 күн бұрын
katikati
@user-lx8nl8hh3f
@user-lx8nl8hh3f 18 күн бұрын
Ila inauma
@ReginaThomasLongwe-qf4qs
@ReginaThomasLongwe-qf4qs 17 күн бұрын
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 7 күн бұрын
Sana
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 21 күн бұрын
Weee nalia bas tu
@aziza9093
@aziza9093 23 күн бұрын
Safuy san kwakipidi
@user-pn7qg8jb1e
@user-pn7qg8jb1e 21 күн бұрын
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8ud
@HOLINESSPIUSE-gv8ud 17 күн бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 22 күн бұрын
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
@user-do1ug7de3g
@user-do1ug7de3g 16 күн бұрын
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini
@TeleziaSimbeye-fm3zw
@TeleziaSimbeye-fm3zw 10 күн бұрын
Ilikuwaje wakapotezana???
@HawaAhmed-yj8wo
@HawaAhmed-yj8wo 22 күн бұрын
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
@MsAggie5
@MsAggie5 22 күн бұрын
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo 21 күн бұрын
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 21 күн бұрын
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 21 күн бұрын
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@HawaAhmed-yj8wo
@HawaAhmed-yj8wo 21 күн бұрын
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
@rashidkishk8726
@rashidkishk8726 11 күн бұрын
Kwann natoa machozi Sasa.. 😢
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 7 күн бұрын
Huzuni jamani
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie 22 күн бұрын
Bib amemkwepa babu jamaniii huruma
@MsAggie5
@MsAggie5 22 күн бұрын
Mie ningemtia ngumi 😂😂
@MaryCaroly-zl1ei
@MaryCaroly-zl1ei 18 күн бұрын
😂😂😂😂
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo 21 күн бұрын
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba1852
@mouldykomba1852 20 күн бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 22 күн бұрын
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie 22 күн бұрын
😂😂😂
@MsAggie5
@MsAggie5 22 күн бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie5
@MsAggie5 22 күн бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 7 күн бұрын
Yaani😂😂😂
@user-vv3et8xy2x
@user-vv3et8xy2x 21 күн бұрын
Ila babu
@rehemaabdy2830
@rehemaabdy2830 21 күн бұрын
Kampatia mtu chake jaman
@GetrudaChagu
@GetrudaChagu 11 күн бұрын
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 6 күн бұрын
❤❤❤
MEU IRMÃO FICOU FAMOSO
00:52
Matheus Kriwat
Рет қаралды 37 МЛН
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 25 МЛН
TAZAMA MAMA ALIYEKUWA AKIMROGA MKWEWAKE AJITOKEZA BAADA YA MAOMBI YA NABII KIBOKO YA WACHAWI
22:06
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 3
29:07
ZamaradiTV
Рет қаралды 17 М.
MPENZI KADANGANYA ANA SAFIRI
10:02
Mr Uky
Рет қаралды 26 М.
NLIKUA NAMTAFUTIA SABABU | WAKUTANISHWA
15:01
KIREDIO
Рет қаралды 151 М.
Парковка ТАКСИ от клоуна!
0:22
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 1,3 МЛН
Время летит быстро 😱
0:19
НЕБО - СПОРТ И РАЗВЛЕЧЕНИЯ
Рет қаралды 1,7 МЛН