#LEOTENA MAMA AWEKWA MTEGONI, YUPI NI MTOTO WAKO KATI YA HAWA, ''HATUJAONANA KWA MIAKA 30''
Пікірлер: 104
@user-fz1ph3cn4s14 күн бұрын
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
@user-lm8ji4tz2r22 күн бұрын
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
@masterhptv406523 күн бұрын
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
@enockmaige893623 күн бұрын
Utabarikiwa
@ansifridmkongoja333722 күн бұрын
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
@user-xc4or2vp6l22 күн бұрын
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
@solomondanny-150720 күн бұрын
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
@anenragnesmunis849011 күн бұрын
Anafana na mama yake 😊
@user-ii1tc7gt9r22 күн бұрын
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
@user-xh7xf2ki3r14 күн бұрын
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
@CristinLyanga22 күн бұрын
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
@samuelmuhindosivamwanza498815 күн бұрын
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
@jaliamkubilasidi11 күн бұрын
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
@Allygibison5 күн бұрын
Put the music off or down a bit as you guys telk
@darajalakidatukilomgi236223 күн бұрын
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani795319 күн бұрын
😂
@KAHINDITV7 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@Teresa-25517 күн бұрын
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
@halimamremi537520 күн бұрын
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
@user-rm9iz3yi5c19 күн бұрын
Hongera sana
@janneferisaya8316 күн бұрын
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
@GetrudeRashid-be8bs18 күн бұрын
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
@sleeprelaxation843123 күн бұрын
Bibi bado ana maumivu
@asiansky976722 күн бұрын
Kweli
@user-xd9ye7wk6c20 күн бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@matridamwalyoyo173523 күн бұрын
Katokea kwetu
@fathimamct23216 күн бұрын
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
@user-yd6xh1mr1k23 күн бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
@halimaoman872623 күн бұрын
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
@user-ii1tc7gt9r22 күн бұрын
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle798820 күн бұрын
😂😂😂
@ruthmuja779223 күн бұрын
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg866422 күн бұрын
😂😂😂
@user-ck3sj6ni4z19 күн бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
@aziza909323 күн бұрын
❤❤❤
@rehemaabdy283021 күн бұрын
Nimelia
@Moscow92419 күн бұрын
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
@GladnessJohnLewis4 күн бұрын
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
@ruthmuja779223 күн бұрын
❤
@ruthmuja779223 күн бұрын
🎉
@hashakishabani489616 күн бұрын
Daaa kafanana na mamaake sana
@halimaoman872623 күн бұрын
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle798820 күн бұрын
😂😂😂anawaza mbal
@user-ml8jd5xg1r18 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@abdulkhalim94758 күн бұрын
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
@fatmamohammed834619 күн бұрын
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
@leokamil628422 күн бұрын
Acheni kuweka huo mziki
@SuzanFelix-mo8fq20 күн бұрын
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
@user-bz6ru7sk7u8 күн бұрын
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
@mussanangumi17347 күн бұрын
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
@magrethmathayo280023 күн бұрын
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
@MonaJuma-cp3jg20 күн бұрын
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
@user-qg2sw9bj2i17 күн бұрын
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere41885 күн бұрын
Sijui yaaani basi tu
@Wilbadi15 күн бұрын
Sis sio milima tutakutan
@user-ky2do8fn1w16 күн бұрын
Mama znaongea kibembe
@user-sy4wf5ll4o14 күн бұрын
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu77 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
@user-th9nc2om2x19 күн бұрын
Acheni muziki
@aminaabdalla994922 күн бұрын
katikati
@user-lx8nl8hh3f18 күн бұрын
Ila inauma
@ReginaThomasLongwe-qf4qs17 күн бұрын
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu77 күн бұрын
Sana
@mariyamsalalah820421 күн бұрын
Weee nalia bas tu
@aziza909323 күн бұрын
Safuy san kwakipidi
@user-pn7qg8jb1e21 күн бұрын
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8ud17 күн бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
@ghhhhy181222 күн бұрын
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
@user-do1ug7de3g16 күн бұрын
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini
@TeleziaSimbeye-fm3zw10 күн бұрын
Ilikuwaje wakapotezana???
@HawaAhmed-yj8wo22 күн бұрын
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
@MsAggie522 күн бұрын
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
@FloraMarinyo21 күн бұрын
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
@michaelthobias996721 күн бұрын
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
@michaelthobias996721 күн бұрын
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@HawaAhmed-yj8wo21 күн бұрын
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
@rashidkishk872611 күн бұрын
Kwann natoa machozi Sasa.. 😢
@hyacintagugu77 күн бұрын
Huzuni jamani
@Aminahlamranl420-hw2ie22 күн бұрын
Bib amemkwepa babu jamaniii huruma
@MsAggie522 күн бұрын
Mie ningemtia ngumi 😂😂
@MaryCaroly-zl1ei18 күн бұрын
😂😂😂😂
@FloraMarinyo21 күн бұрын
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba185220 күн бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
@georgedaniel496222 күн бұрын
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ie22 күн бұрын
😂😂😂
@MsAggie522 күн бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie522 күн бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?
@hyacintagugu77 күн бұрын
Yaani😂😂😂
@user-vv3et8xy2x21 күн бұрын
Ila babu
@rehemaabdy283021 күн бұрын
Kampatia mtu chake jaman
@GetrudaChagu11 күн бұрын
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana