Nilipotezana na mama yangu miaka 23 iliyopita | Bhoke Nimeolewa nina watoto watatu

  Рет қаралды 39,084

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Mama Boke alikuwa akimtafuta mwanaye kwa takribani miaka 20 na Mtoto pia alikuwa akimtafuta Mama yake na leo wamekutana kwa mara ya kwanza na ni kwa zaidi ya miaka 20 Mama amekutana na mtoto wake.
Sasa mtoto yule wa miaka miwili sasa ameolewa na ana watoto watatu na Mama amekuwa Bibi wa jukuu watatu.
#LeoTena
#MamaNiMama
#Tumekuverify

Пікірлер: 165
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 3 ай бұрын
Ninawaomba hata wale waliokosa wazazi au watoto mngewaweka kwenye mitandao ili watu waendelee kutafutana maana inawezekana siku kipindi kinarushwa wengine wanakuwa hawapo ili kuwajua
@mrfashion1687
@mrfashion1687 3 ай бұрын
Ila Geah anazeeka na uzuri wake
@hellenlimo3208
@hellenlimo3208 3 ай бұрын
Kwa kweli Gea na wenzako mnachokifanya Mwenyezi Mungu atawalipa na vizazi vyenu mbarikiwe sanasana mnagusa hisia za watu inafurahisha na kuhuwisha maisha ya watu
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 3 ай бұрын
Mungu tusaidie wamama jamaniii,tusiachane na uzao wetu🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu awabariki sna CLOUDS F.M.hakika m'nafanya KITU kikubwa sna, JAMBO ZITOOOO 😭😭🙏🙏
@anorldmarandu4725
@anorldmarandu4725 3 ай бұрын
Wakati Wa Mungu ni sahihi siku zote.
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 3 ай бұрын
Nimejikuta tu nalia..Mungu mpumzishe mamaangu pema peponi. Bhoke hongera sana kumpata Mama💖
@Gersah
@Gersah 3 ай бұрын
Amen
@lusticabernad9982
@lusticabernad9982 3 ай бұрын
Nani ananimenyea vitunguu machoni, wamefanana sana
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 3 ай бұрын
Nshalia sana
@alfamgayatv872
@alfamgayatv872 3 ай бұрын
Hii radio station ni zaid ya radio mungu huonesha nuru palupo na nuru
@AminaJuma-r4y
@AminaJuma-r4y 3 ай бұрын
Wame fanana sana na mama yake❤😢
@RamadhanMohamedi-j3d
@RamadhanMohamedi-j3d 3 ай бұрын
Bint-Habibu na mwenzio Husna wallah kazi munayoifanya kuwaunganisha watoto na wazazi ALLAH atawalipa inshallah
@missmoona4497
@missmoona4497 3 ай бұрын
Mm nasemaga kila siku wa bb wadizain hii wanafungu lao kwa MUNGU laatullah mnatesa watt mnaumiza watt kana kwamba unamkomoa mama bila kumjali mtt anahak za mama yake pia, nahata huyo alie potea itakuwa lengo nikumtafuta mama yake inaumiza sana , sasa bb huko uliko upewe unachostaili kwa huu unyama ulioufanya, na MUNGU alivyo fundi kwa roho zenu mbaya hizo huwa hamuna maisha marefu kwa laana zenu za kutesa watt
@faridabilly379
@faridabilly379 3 ай бұрын
Jmn tunaomba na Victor atafutwe Mungu awabariki😭😭😭
@Neemaismaily-kb4ho
@Neemaismaily-kb4ho 3 ай бұрын
Nimelia kama mm ndo bhoke
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 3 ай бұрын
Yaan Mimi nimelia Mpaka wananishangaa
@nancyg8664
@nancyg8664 3 ай бұрын
​@@deborahmchona5584😂😂😂ata mimi mpaka nimejiona kajinga
@Peace-x6s
@Peace-x6s 3 ай бұрын
Hata mimi❤
@OmarySamata
@OmarySamata 3 ай бұрын
Daaah sana aisee
@HappyAsajile
@HappyAsajile 3 ай бұрын
Mda mwingine nawazag nikwel aya yapo asant mung kwakuniwekea wazaz wang daaa
@HusnaSharifu
@HusnaSharifu 3 ай бұрын
😢😢mi Baba wadogo zangu hata hakuwaleta kwenye msiba wa mama
@chachawambura4030
@chachawambura4030 3 ай бұрын
Nilishawakutanisha mtu na dadake walopotezana zaidi ya miaka 35. Ilikuwa hivi, nilienda Moshi kufata Cheti changu chuo nikakosa hifadhi ya kulala, aliyenipa hifadhi ya kulala lazima akuchukue maelezo. Alifurahi kusikia natoka MARA akatamka WEWE KIJANA MUNGU KAKULETA HAPA. Kumbe kule dadake alikoolewa Mimi ndiko nakotokea, niliporudi nyumbani Yani haikupita wiki Moja nikampata dadake mpaka Leo wanawasiliana na dada alokaa miaka zaidi ya 35 bila kurudi nyumbani alienda Moshi kuwasalimia.
@JaneBihagala
@JaneBihagala 3 ай бұрын
MNGU wetu ni mwema yote hayo ni makaudi yake ili wakutane tu
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 3 ай бұрын
No comment huyo ni mama yake hadi umbile ni mfanano. poleni kwa kukaa mbali kwa muda huo wote.
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 3 ай бұрын
Kuweni na mpangilio mzuuri wa utoaji wa taarifa zenu
@caritaskabyemela1530
@caritaskabyemela1530 3 ай бұрын
Kafanana na mwanae jamani
@joycekalago532
@joycekalago532 3 ай бұрын
Hata bamdogo wa bhoke ni mstaarabu sana wabarikiwe
@janetmushi4689
@janetmushi4689 3 ай бұрын
Dah wamemiliza sana, hongereni sana kwa kuwakutanisha Mungu awabiriki.
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 3 ай бұрын
imeshindwa kuzuia machozi wallah
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 3 ай бұрын
Ukitaka jua Sura asili za mtu mwambie alie. Mama Amelia nikaona Sura zimebadilika tofauti na alipokua hajalia.Mungu mkubwa kweli.
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 3 ай бұрын
Jaman mie hiki kipindi hadi kiishe nitakua nimevimba macho😭😭😭😭
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 3 ай бұрын
Yani we acha atuu😢
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 3 ай бұрын
Yaaani basi tu
@zachariasimkanzye445
@zachariasimkanzye445 Ай бұрын
Kwakweli kipindi hiki kinaleta faraja sana kwa familia zetu, ila ningependa au kuomba serikali angalau wasapoti kipindi hiki kwa namna yoyote ile maana kinarejesha matumaini yaliyo potea katika familia zetu, salute kwenu clous media na watangazaji wote kwa ujumla mungu atawalipa msichoke kutenda mema
@djcashwanakidiry9158
@djcashwanakidiry9158 3 ай бұрын
Jamani kwakweli Mungu aitwe Mungu najikuta natoa machozi 😭🙏🏼🇲🇿
@pamelafidelis6102
@pamelafidelis6102 3 ай бұрын
Nawapongeza sana clouds.Jambo mnalofanya ni kubwa sana naomba serikali itambue mchango wenu kwa jamii.
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 3 ай бұрын
Baba mdogo hongera sana.
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 3 ай бұрын
Wamefanana sana Mashallah ❤
@joycekambuga6286
@joycekambuga6286 2 ай бұрын
Hongereni sana clouds Mungu awatunze
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 3 ай бұрын
Hiki ni kipindi bora kuliko vyote
@michaelgilbert1531
@michaelgilbert1531 3 ай бұрын
Baba mdogo ana hekima
@ClaraMakoye
@ClaraMakoye 3 ай бұрын
Tunaomben mawasiliano jaman tuna shida
@edvinaselestine712
@edvinaselestine712 2 ай бұрын
Kumbe wakurya wote huwa mnaozeshwa na mama zenu
@ZekaniS
@ZekaniS 3 ай бұрын
Hongera baba mdogo kwa ulezi❤❤❤❤
@kiboshokiboshomungumkubwa7789
@kiboshokiboshomungumkubwa7789 3 ай бұрын
Mungu mkubwa hata mimi nimetokwa na mchozi sijui niseme ni yafuraha au ya huzuni
@FatmaSuleiman-v5z
@FatmaSuleiman-v5z 10 күн бұрын
Sauti zinaingilana
@FatmaSuleiman-v5z
@FatmaSuleiman-v5z 10 күн бұрын
Sauti zinaingilana
@JohnBaruti-m2k
@JohnBaruti-m2k 3 ай бұрын
Kwakweli vitunguu vinawasha machoni machozi yanatoka tuuu
@HildaMlay
@HildaMlay 3 ай бұрын
Hiyo saut nyingine inaboa
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 3 ай бұрын
Bhoke amaefanana na mama yake
@masatumtani1588
@masatumtani1588 3 ай бұрын
Baba mdogo apewe heko
@marygregory7566
@marygregory7566 3 ай бұрын
Mungu awajalie na victor wampate
@madammbago9787
@madammbago9787 3 ай бұрын
Hivi process za kutaft mtu inakuwaj unaenda redion au kweny account zao
@abasiabdulabi5430
@abasiabdulabi5430 3 ай бұрын
Nikimuona malehemu mze nguzo na uyu mwanae nakumbumbuka mbali sana
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 3 ай бұрын
Nimelia kwakweli
@omanoman2044
@omanoman2044 3 ай бұрын
Mtt wake wakiume hayupo mungu wangu
@MiriamEzekiel-d1p
@MiriamEzekiel-d1p 3 ай бұрын
Jamani na mm namtafuta mjomba angu Toka atoke nyumbn 2018 hadi leo hajui aliko Wala mawasiliano hatuna
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 3 ай бұрын
Jamani hawa waandishi wana jicho gumu hata chozi
@mshambaused3840
@mshambaused3840 3 ай бұрын
Wamezoea tena. Wamelia sana sana tena
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 3 ай бұрын
Kweli hii redio ni nzur ,,Mungu Wa mbinguni aendelee kuinua,,wakati WA Mungu ni sahihii🎉🎉🎉
@ABDULShq-wv6st
@ABDULShq-wv6st 3 ай бұрын
Good job clous
@OmarySamata
@OmarySamata 3 ай бұрын
Daah clouds kweli inafungua Dunia huu nizaidi ya ubunifu ongereni sana endeleeni kusaidia watu
@Mamas-06k
@Mamas-06k 3 ай бұрын
Zingine zina hisia kali wweeeee, lakini kile ule mama wakuumwa ni kifua,,, pamoja na kuugua lakini kuna lakini ,na vile ana watoto warembo, au hanajiurumia kwa kutofikia wanae na ilikua karibu tu, au kujihukumu moyoni, ila watu wameumbika tofauti
@KawserA-hw1j
@KawserA-hw1j Ай бұрын
😢😢😢😢😢
@KaniOfficio-lk1rk
@KaniOfficio-lk1rk 3 ай бұрын
Kiukweli claudhi Mungu awape maisha malefu pia mwezi 1 hautoshi jamani
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 3 ай бұрын
Du walimtesa sana mama huyu kumnyanganya watoto wawili tena wadogo,huyo baba alikua katili,na mama alien muozesha pia,
@ARAFATVSHOW
@ARAFATVSHOW 3 ай бұрын
😭😭😭😭😭
@jolyPoly-qm9fb
@jolyPoly-qm9fb 3 ай бұрын
Natamani na mimi iwe kama ndoto mamaangu niweze kumuona tena mana napitia maumivu makali bila mama siwezi😢😢
@IreneMasunzu
@IreneMasunzu 3 ай бұрын
Duuuuu 😢😢😢
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 3 ай бұрын
Sauti zinaingiliana na za efm
@HappyKaboma
@HappyKaboma 3 ай бұрын
Hongera dada yetu wa mbamba bay tunakupenda sana dd hongera sana kwakuwapata watoto wako hakika Mungu hunaemtumikia hamekupa kibari Asante Mungu dada kampe Mungu hutukufu wake
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 3 ай бұрын
Mungu awabarik,,, naomba mumtafute nahuyo victa
@AnethVenansi
@AnethVenansi 3 ай бұрын
Hiki kipindi kinasikitisha sana
@HusnaSharifu
@HusnaSharifu 3 ай бұрын
😢😢😢gea na wenzako Mungu awalipe kheri
@ahmedronga7583
@ahmedronga7583 3 ай бұрын
Sauti za wapiga story
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 3 ай бұрын
Nimelia ad bs daa😢😢
@Gloriousministriesforallnation
@Gloriousministriesforallnation 3 ай бұрын
Mungu awakumbuke watt ambayo hajui wazazi wao wako wapi.
@ShadyAbdallah-vu7iu
@ShadyAbdallah-vu7iu 3 ай бұрын
😭Machozi yame nitoka wallah
@Denatha50
@Denatha50 3 ай бұрын
Nimelia mno jamn mungu awalinde wazazi wetu
@EMANUELMgaya
@EMANUELMgaya 3 ай бұрын
mambo ya muhimu lakini bado back stage sauti ipo juu
@jamilamsafiri2501
@jamilamsafiri2501 3 ай бұрын
Jaman naombeni namba namim natafuta ndugu wa baba angu
@salimngajoga3407
@salimngajoga3407 3 ай бұрын
Nijambo jema sana mlilofikiria la kukutanisha mama na mwana
@ibraoman2745
@ibraoman2745 3 ай бұрын
Nawashukuru san wazaz wang kua pamoja had leo
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji 3 ай бұрын
😢😢
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 ай бұрын
Nimelia mpaka nimezimia😂😂
@consolataaloycemgumba3735
@consolataaloycemgumba3735 3 ай бұрын
Ulipozinduka umejikuta je
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 ай бұрын
Nimejikuta kwenye gari napelekwa clouds baada ya ospital😢​@@consolataaloycemgumba3735
@IgnasiaNdunguru-hr5ep
@IgnasiaNdunguru-hr5ep 3 ай бұрын
Asante
@RajabJuma-e9e
@RajabJuma-e9e 3 ай бұрын
Dahuu naitwa Rajabu Juma nipo musoma mjini, nina umri wa miaka 29 namtafuta babu yangu mzaa mama, alikuwa anafanya kazi gereza la musoma mjini miaka ya 1971 hadi 1974 akahamia gereza la tarime kisha kuamishiwa jijini mwanza, mama angu ananiambiaga babu aliondoka akiwa na miaka minne 4, na anamfaham kwa jina moja anaitwa Lasuri ni mzaliwa wa moshi, kabila lake ni mpare namtafuta kwa muda mrefu sana babu yangu, aswa mama yangu mzazi anahamu sana ya kumuona baba yake
@salmangwila8062
@salmangwila8062 3 ай бұрын
alhamis hii wewe na mama yako sikilizen leo tena kuna fursa ya wanaowatafuta baba zao,labda mtaweza tuma voice note
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya 3 ай бұрын
Siku zote mungu awalipe Kwa msaada huu
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 3 ай бұрын
Bamdogo maashaallah. Allah atakulipa kwa ulexi
@EvaMalijo-wb2vs
@EvaMalijo-wb2vs 3 ай бұрын
Wapenda nawapataje na mimi namtafuta baba yangu mzazi sijawah kumuona tangu nizaliwe na mama alifariki naishi na maumivu kwa muda sasa nisaidieni nipate
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 3 ай бұрын
Ulitakiwa ujieleze
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug 3 ай бұрын
Malia jamani! Mungu awabariku
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru 3 ай бұрын
Ba mdogo pia aheshimike sana
@JackMalima
@JackMalima 3 ай бұрын
Jamani cloud mnajua kuniliza
@norakaima1644
@norakaima1644 3 ай бұрын
Wanaume ni baba zetu ni watoto wetu tunawazaa kwa uchungu lkn nyinyi ndio mnatufikisha hapa😢😢 naumia sana wallah😭😭
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 3 ай бұрын
Sasa baba anakosa gani na hatujasikia upande wake na Alisha fariki
@RebecaMackenzi
@RebecaMackenzi 3 ай бұрын
Hawa askari police mbona kama wana shida sana?
@assumptamwilanga5504
@assumptamwilanga5504 3 ай бұрын
Wamama tujifunze kitu
@careenlouis8563
@careenlouis8563 3 ай бұрын
Wamefanana mno❤😢
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 3 ай бұрын
Baba mdogo mauwa 🎉🎉🎉
@lucypatrick7830
@lucypatrick7830 3 ай бұрын
Dah nimejisikia huzuni sana
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 3 ай бұрын
Baba mdogo Mungu akujalie kwa kazi njema
@JackMalima
@JackMalima 3 ай бұрын
Jamani cloud mnajua kuniliza
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 3 ай бұрын
Wamefanana sana 😢
@AngeKazege-sy1ok
@AngeKazege-sy1ok 3 ай бұрын
Baba Mudogo Katuliya Sana❤
@valentinamjindo5374
@valentinamjindo5374 3 ай бұрын
Wamefanana sana jaman
@mamuumamuu7743
@mamuumamuu7743 3 ай бұрын
😢😢😢😢haki kweli mum ana nguvu
@skilindaissa5441
@skilindaissa5441 3 ай бұрын
Pumnzika kwa Amani Mama yngu
@upendogreutert199
@upendogreutert199 3 ай бұрын
Jamani Damu ya mtu haipoteagi milele
@DeboraChediely
@DeboraChediely 3 ай бұрын
Wamefanana
@Everline398
@Everline398 3 ай бұрын
Na wamefanana
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 3 ай бұрын
Anafanana na mamake
@JackMalima
@JackMalima 3 ай бұрын
Mama Bado kijanaa mwenyewe
@JumaDea
@JumaDea 3 ай бұрын
Daah hii redio ni zaidi ya redio.
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 117 МЛН
Win This Dodgeball Game or DIE…
00:36
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 38 МЛН
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 17 МЛН
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
KIREDIO
Рет қаралды 162 М.
Waliniambia Mama Amefariki | nimefurahi Kumuona Mwanangu
8:08
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 30 М.