#LEOTENA

  Рет қаралды 39,514

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 192
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 7 ай бұрын
Huyu mama sasa ndo mama yaan anahisia kari sana na mwanae yaaani kijanawake hata juta kumpata mama yaan wana chemistry moja matata❤❤❤❤❤
@SalhaIradukunda
@SalhaIradukunda 7 ай бұрын
Aliye lia kama mm nipeni like hapa jamani
@VeronicaPaul-l8m
@VeronicaPaul-l8m 7 ай бұрын
Nimelia kwanguvu yaani
@judyngowi391
@judyngowi391 7 ай бұрын
Clouds kitu mnafanya ni kikubwa , nawapa maua yenu, Mungu awabariki sana
@KhadijaSimbamwene
@KhadijaSimbamwene 7 ай бұрын
Wallah kipindi ni kizuri sana na kinaliza allah awalipeni kila lenye heri inshallah
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 7 ай бұрын
Shangazi hongera Allah muweza wa yote 🤲 akurinde na hata clouds mungu awabariki 🥀🥀🥀
@JoyceMwita-e3w
@JoyceMwita-e3w 7 ай бұрын
Mama waziri honge sana kwa kumpata wifi mwenye hofu ya Mungu ubarikiwe shangazi uishi miaka mingi ❤❤❤❤❤
@rhodaangetile2781
@rhodaangetile2781 7 ай бұрын
Kiukweli katika vipindi mnafanya ya kibinadamu nakuonya mioyo. Hongereni sanaaaa
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 8 ай бұрын
Najikuta. Nalia. Jamani. Timu. Ya gea. Hongereni sana
@rehemaathhmani357
@rehemaathhmani357 8 ай бұрын
Mungu awabariki sana kwa kazi zenu ❤🤲
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 7 ай бұрын
Nimelia sanaaa
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 8 ай бұрын
Kiukweli Mungu awabariki sana.Kipindi hiki kinanitoa machozi sana.Naumia nikiona wanawake tunaroho ngm.mm nakufa nawanang.maradhi aukifo ndo kinitenganishe.Japo napitia shida nyingi ila najua mungu hatoniacha
@cocorita8367
@cocorita8367 8 ай бұрын
Hichi kipindi chenu ni kutuliza tu jamni mungu awabariki sana Dahuu na Geah😢
@Sharmy_02
@Sharmy_02 8 ай бұрын
Na jose
@RayChausa
@RayChausa 8 ай бұрын
😢😢Chatuliza kwa kweli
@upendogreutert199
@upendogreutert199 8 ай бұрын
Kipindi hiki kinaliza jamani siwez vumilia kwa kweli
@phebbyshayo9099
@phebbyshayo9099 8 ай бұрын
Kipindi Bora Sana ...nampenda Sana bint yangu Meghan❤
@oman1oman179
@oman1oman179 7 ай бұрын
Hiki kipindi kinaliza sana 😢😢😢😢😢Yani nimeshalia mmpaka basi na fikia kuumwa kicwa juu ya kulia
@samuelmuhindosivamwanza4988
@samuelmuhindosivamwanza4988 7 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza, ninafuata kipindi hiki nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩. Nimekifurahia sana. Mbarikiwe sana na Mungu kwa kazi mnayo itenda. Watu wengi tumepotezana nao. Mmenifanya nilie kama mtoto mdogo.
@JUDITHGEORGE-zs7oq
@JUDITHGEORGE-zs7oq 7 ай бұрын
Mungu awabariki sana
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 8 ай бұрын
Hongera SHANGAZI kwa ulezi
@oman1oman179
@oman1oman179 7 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤mungu awwzidishie wote mnawo fanya kazi hii ya kukutanisha watoto na wazazi ,sasa wazazi wakiume wako wapi
@oman1oman179
@oman1oman179 7 ай бұрын
❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah nimempenda shangazi mungu ammoe maisha mema yarabii
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 8 ай бұрын
Kipindi kinaliza hikiii,nyie tumshukuru Mungu jamanii😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 7 ай бұрын
Kabisa
@salamaalihemed6220
@salamaalihemed6220 7 ай бұрын
Wallh mashaallh thabrk allh mungu awalinde kw kazi yenu ❤❤❤😢😢😢
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 15 күн бұрын
Mungu anisaidie nsipate pressure maana kila nikiangalia hiki kipindi naskia uchungu naliaaa sana,Mungu awalinde team nzima ya clouds
@nenenongi66
@nenenongi66 7 ай бұрын
I wish engekuwa inatokea wale wazazi walishafariki wanaenda huko mbinguni wanakaa kwa mda then wanarudi wakaanza kututafuta watoto wao waliotuacha huku duiniani ,mimi ningekuwa naingoja hiyo siku kwa hamu sana yakuwaona wazazi wangu tena,pumzika kwa amani wazazi wangu😭
@festusbokoro1615
@festusbokoro1615 7 ай бұрын
R I p pole Sana
@zuenamikidadi9295
@zuenamikidadi9295 7 ай бұрын
Yani mungu awabariki sana nimeliya sana
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 8 ай бұрын
Jamanii wamamaaa,hii inatufundisha kitu wapendwa,afadhali wamekutana wakiwa hai, Mungu ni mwema jamanii🙏🙏🙏
@Catherine-fv9ht
@Catherine-fv9ht 5 ай бұрын
Mbarikiwe Sana mueenderee kuwakutanisha watoto na wazazi wao❤❤❤❤
@Catherine-fv9ht
@Catherine-fv9ht 5 ай бұрын
Sangazi mungu akubariki sana na akujaliee akuoe na afiya njema pia
@RoseMhando-kc5ls
@RoseMhando-kc5ls 7 ай бұрын
Hongera Radio Clouse Fm,kipindi kizuri mnoo keep it up
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 7 ай бұрын
Mungu akuride jamani kwa kazi zuri
@PaulinaPetro-e1k
@PaulinaPetro-e1k 23 күн бұрын
Mungu awabark jaman
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 8 ай бұрын
Jaman 😢😢najikuta nalia aki mama aamin kama mwanae
@sheruajafari1676
@sheruajafari1676 7 ай бұрын
Ongereni clous
@NoelaNdibalema
@NoelaNdibalema 8 ай бұрын
Wakati wengne wanatafutwa mama zao sisi wengne tumetelekezwa na Mama zetu.Aiseeeeeeeee mmeweza kuniliza jamani
@GraceSanga-z1t
@GraceSanga-z1t 8 ай бұрын
Iseeey mama unaachaje watoto mm labda uibe
@FurahiniPeter
@FurahiniPeter 7 ай бұрын
Ata akutelekeze ww mtafte kutakua na sababu mm awezi kumuacha mtoto
@FurahiniPeter
@FurahiniPeter 7 ай бұрын
Mungu ambariki huyu shangazi
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 7 ай бұрын
Mtafute mama yako
@JosephKileo-wy1rc
@JosephKileo-wy1rc 7 ай бұрын
Dah
@MariaNdagile-hx5pr
@MariaNdagile-hx5pr 5 ай бұрын
Hongereni wapendwa
@KaniOfficio-lk1rk
@KaniOfficio-lk1rk 7 ай бұрын
Ongera sana claudhi Mungu awape maisha malefu nilikuwa nikisikiliza ledio ongeran
@GraceReonad
@GraceReonad 7 ай бұрын
@oman1oman179
@oman1oman179 7 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤mungu amzidishi moyo mwema huo shangazi alokulea kuna shangazi manshallaah kama baba
@RamlaAmiri
@RamlaAmiri 7 ай бұрын
Mh kama unaweza kuangalia hiki kipindi bila kulia una moyo wa peke yako ila timu leo ten Mungo awabariki kwa hiki mnachokifanya
@darlenedada651
@darlenedada651 7 ай бұрын
MashaAllah iki kipindi nimekipenda kinanijenga nizidi Ku mpenda Mama .Mama Mngu azidi kukulinda
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 7 ай бұрын
Maa Shaa Allah yaan Allah awabark sana 😭😭
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 8 ай бұрын
Nalia tu mimi sijui nalia nn😭
@zainabsulieman5181
@zainabsulieman5181 8 ай бұрын
Hata mimi sielewi nalia nini😢
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka 7 ай бұрын
Kumbe tupo wengi
@AnnaGotrip
@AnnaGotrip 7 ай бұрын
Duh mnatuliza
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 7 ай бұрын
Nimempenda saana huyu kijana ni mwingi wa shukrani Anashukrani saana mno mno nami nililelewa na shangazi zangu nikiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu mpaka miaka 15 Mwenyeezimungu awarehemu shangazi zangu na Bibi yangu mama yao shangazi zangu walikuwa binamu wa Baba yangu nawashukuru saana nami nilijaliwa niliwatunza kwa sasa hawapo tena Mwenyeezimungu awarehemu pamoja na wazazi wangu hata iweje Mama ni Mama tu huwezi kupata mwingine Mwenyeezimungu awarehemu wazazi wangu
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 8 ай бұрын
Da huu huwa nakupenda sana.unaroho ya huruma sana.mingu awabariki wote
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 8 ай бұрын
Kiukweli mitihan ni mingi na maisha nimagum lkn siachi wanang.Kirauz Mungu awabariki.
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 7 ай бұрын
Nimempenda uyoo shqngazi laminitis watu wana rohoo mbayaa
@hanankhamis4517
@hanankhamis4517 7 ай бұрын
Jamani nimelia sana hakika mungu muweza
@StellaMleba
@StellaMleba 7 ай бұрын
Hongeren Sana hicho vipindi help kubwa kwenu
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 7 ай бұрын
Jamani nimelia huyo nidada yangu kbs jeny jony
@wettykznznhuioploko1571
@wettykznznhuioploko1571 6 ай бұрын
Uyu mama nimempenda kuliko wamama wote walio tangulia mahana anaisia zote
@CristinLyanga
@CristinLyanga 7 ай бұрын
Shangazi hongera sana.
@isunga1964
@isunga1964 7 ай бұрын
I wish nisikie mama yangu na baba wananitafuta nikutane nao tena R.I.P wazazi wangu mpumzike kwa Amani😭😭😭
@AshaVitalis-w8w
@AshaVitalis-w8w 7 ай бұрын
😭😭💔
@zaitunichzi5241
@zaitunichzi5241 7 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭mungu akulinda
@isunga1964
@isunga1964 7 ай бұрын
@@zaitunichzi5241 asante wangu yao mbele yetu nyuma
@isunga1964
@isunga1964 7 ай бұрын
@rahmasaid2350 asante wangu yao mbele yetu nyuma kikubwa unawaombea hiki kipindi napenda kuangalia ila nalia pia
@aminamohamed9955
@aminamohamed9955 7 ай бұрын
Maashaallah
@sommohd7903
@sommohd7903 7 ай бұрын
😭😭🙏🏼
@MagiiLema
@MagiiLema 8 ай бұрын
Hongera sana shangaz🙏🙏🙏🙏
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 8 ай бұрын
Sawa Dahuu na Geah tumeelewa tutawalea vizuri
@marrynessbarthazary3144
@marrynessbarthazary3144 7 ай бұрын
jamani nyie wadada mnaoendesha kipindi hiki Mungu awabariki Muishi Maisha marefu sana nawapenda sana 🙏
@DativaMbowe
@DativaMbowe 7 ай бұрын
😭😭😭 l wish kama nisikie mamaangu ananitafuta maana alisafiri nikiwa mdogo akatuacha moshi akaenda bukoba kwenye msiba babu yaani babaake😭😭 siku anarud kutoka bukoba meli MV bukoba ikapata ajali ndio umatu ulipo mkuta😢😢
@RizikiRiziki-bp6dx
@RizikiRiziki-bp6dx 7 ай бұрын
Pole sana
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 8 ай бұрын
Ama mnajua kutuliza jamani😭😭😭hii dunia changamoto ni nyingi daaah!!
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 7 ай бұрын
Mam ni mam❤️
@AshuraIsa
@AshuraIsa 7 ай бұрын
Hawa wanaume mungu anawaona
@sein.208
@sein.208 8 ай бұрын
Masha Allah
@EsterBhoke
@EsterBhoke 7 ай бұрын
Najisikia uchungu sana navyo ona wenzangu wanakutana na mama zao afu wanafurahi pamoja mimi na dadaangu mama yetu alituacha tukiwa wadogo sana dadaangu alikuwa miaka 4 na mimi nilikuwa na miaka 2 tumemtafuta na tumempata lakini hataki hata kutuona anasema yeye anamtoto moja tu ambae amezaa na mwanaume mwingine sisi hatujui dah inauma sana usiombe
@aishamsemwa-zu3eo
@aishamsemwa-zu3eo 7 ай бұрын
Poleni sana
@njuka3515
@njuka3515 7 ай бұрын
Pole sana
@EsterBhoke
@EsterBhoke 7 ай бұрын
Asante
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 7 ай бұрын
😢poleni sanna
@betyjoseph6812
@betyjoseph6812 7 ай бұрын
Kaathirika kisaikolojia tu hakuna mama asiyempenda mwanae
@setiseti5281
@setiseti5281 7 ай бұрын
Ongera sana
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 7 ай бұрын
Hongera sana shangazi
@LenaMwangamilo
@LenaMwangamilo 8 ай бұрын
Uyu waziri alikuwa Anasoma mkombozi mbaliz _mbeya
@ShamilaJuma-z7n
@ShamilaJuma-z7n Ай бұрын
Ht mm nimelia sana tu
@tunkuh661
@tunkuh661 8 ай бұрын
Wapo shangazi zangu watatu hao ni zaidi ya shangazi sijui niseme nini Mungu tu awalipe japo kubwa Lao alikwisha fariki Mungu amlaze mahali Pena peponi... Nimekupenda shangazi umenikumbusha wema wa aunt zangu
@mamasalhat
@mamasalhat 7 ай бұрын
Mie sijui nisemeje😢😢
@rosehaule6765
@rosehaule6765 7 ай бұрын
Continue to rest well mama na baba yngu😢😢😢😢
@AnifaMwakilachile-ii6qd
@AnifaMwakilachile-ii6qd 8 ай бұрын
Jamani mnatuliza wenzenu huku daah
@IssaMbaru-qw6ug
@IssaMbaru-qw6ug 7 ай бұрын
Allah akbar mpaka nimelia
@Tashmaorg
@Tashmaorg 7 ай бұрын
Dah😢😢
@chire4574
@chire4574 7 ай бұрын
Mm nilichukuwa watoto wangu sasa ivi ni mwaka wa kumi....naishi nao Kenya...ila mama yao ajawai shugulika kuwatafuta .....namba as simu anazo.....huku Kenya ameshawai kuja sio mara moja.....lakini gafla akipata mawasiliano
@fatuma5208
@fatuma5208 7 ай бұрын
Nimelia sana
@RachelMalekela
@RachelMalekela 7 ай бұрын
Daaaàh!
@MaryamShabani-n2u
@MaryamShabani-n2u 8 ай бұрын
Nice vizuri
@gloryhamidu9418
@gloryhamidu9418 7 ай бұрын
Dah Mimi sjui kama mama yang kafa au Yuko haii jamani dah aliacha mim n mdog wangu nikiwa mdog Sanaa simjui mama yangu hata kwa sura yani 😢😢😢dah sjui kma yup haii au amekufa jamnii dah naumia sana .natamani nami nimpat mama yangu mzazi😢😢😢 Joyce
@RoseManyata
@RoseManyata 7 ай бұрын
Aliyewalea ukimuuliza mama Ako yuko wapi anakwambiaje
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 7 ай бұрын
Mungu ameweka kitu kikubwa kwenye ubongo wenu mpaka kufikilia kuanzisha hili jambo maana mmesaidia wengi
@AshaKassim-tu7gz
@AshaKassim-tu7gz 8 ай бұрын
Da geah hiki kipindi cheni kinaniliza mwanzo mwisho
@frankkulwa3981
@frankkulwa3981 7 ай бұрын
Kipindi kizuri sana🎉
@aziza9093
@aziza9093 8 ай бұрын
Hiki nnokipidi chakutizama Allah awpe maishamaraf
@mashkadaniel1097
@mashkadaniel1097 7 ай бұрын
Jaman nasie hku hatujui familia ya baba yetu alikuja kutafta maisha kahama mpaka umauti imekumta mwaka 1998
@athmankiama1133
@athmankiama1133 7 ай бұрын
Wtoto wengi baba yao askari!
@HalimaJemedari
@HalimaJemedari 7 ай бұрын
Me nalia tuuu 😢😢
@njuka3515
@njuka3515 7 ай бұрын
Nililekewa ba bibi na baba R.I.P kwao ❤
@tinahminja2452
@tinahminja2452 7 ай бұрын
Kwan mm nalilia nn😢😢
@asnathaman
@asnathaman 7 ай бұрын
😮😮
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 7 ай бұрын
😢😢😢
@Emilymama2boys
@Emilymama2boys 7 ай бұрын
Waaaah poleni jamani😢
@happymasanja4113
@happymasanja4113 7 ай бұрын
Dah nyieee😭
@winniejacob1784
@winniejacob1784 7 ай бұрын
Kila nikiangalia hiki kipindi mimi nalia tu najikaza lakini nashindwa jamani 😢
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 7 ай бұрын
mm mamdogo aliyonifanyia huwa kunamuda nalia mwenyewe
@susannesusie3217
@susannesusie3217 7 ай бұрын
Ninalia apa mpak naulizwa unashida gani😢
@MuhammadHassan-rg7ch
@MuhammadHassan-rg7ch 7 ай бұрын
Haha kama hujapoteza unajihisi ile mama ansvoumia kwa mwana
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 7 ай бұрын
Clouds naomba namba zenu tuwasiliane nanyi kuna mdogo wangu alipotea miaka mingi hatujui kama yupo hai au la.
@saraomar3903
@saraomar3903 7 ай бұрын
Ukipata na mimi nipe
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 7 ай бұрын
Alafu Kuna mtu yuko na mama yake karibu na hampendi hawasemeshani mmmmmmmhhhhhhhhh.Mungu atusaidie
@janembalinga7074
@janembalinga7074 8 ай бұрын
Mimi namtafuta baba yangu mdogo anaitwa thomas mbalinga kama familia tumemkumbuka sana popote alipo aje achungulie bas hata kaburi la mama yake ambaye ni bibi yetu sisi
@FatumaJabu
@FatumaJabu 7 ай бұрын
Niseidieni na mm natafuta babaangu aniacha nikiwa na myaka mitano babaangu anaitwa saidi kwa ni hiringa mm niko kenya
@JokhaVenance
@JokhaVenance 8 ай бұрын
Nimelia
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 7 ай бұрын
Tuko wengi mm ninaye mtoto wa mdogo wangu nilipewa ana mwaka na miezi minne paka hivi ananiita mama watu wanamwambia hy ni shangazi yy anajibu mm huyu ni mama yangu akina asiya abdarahamani ndio wataita shangazi mm siwezi kuita shangazi
@azizambise
@azizambise 7 ай бұрын
Duu sijui nalia kwa uchungu au furaha hata sielewi
@aziza9093
@aziza9093 8 ай бұрын
Shanzi❤❤❤
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx 7 ай бұрын
Da gea hongereni ila kina liza
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 8 ай бұрын
Hadi nimelia jamani!
@moneymaker215
@moneymaker215 7 ай бұрын
Jamani watu wa bara muache Tabia ya kukimbia na wtt
@BeatriceBruchard
@BeatriceBruchard 7 ай бұрын
Mi ninalia tu
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
SPIRITUAL TECHNOLOGY OF ALTARS [PART 1] || APOSTLE JOHN KIMANI WILLIAM
33:50
Mboto awatoa machozi waalikwa
8:06
Azam TV
Рет қаралды 190 М.
Luhya men NEVER cook? Alaaaaa! | Hello Mr Right Ke
12:04
StarTimes Kenya
Рет қаралды 290 М.
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН