Huyu mama sasa ndo mama yaan anahisia kari sana na mwanae yaaani kijanawake hata juta kumpata mama yaan wana chemistry moja matata❤❤❤❤❤
@SalhaIradukunda7 ай бұрын
Aliye lia kama mm nipeni like hapa jamani
@VeronicaPaul-l8m7 ай бұрын
Nimelia kwanguvu yaani
@judyngowi3917 ай бұрын
Clouds kitu mnafanya ni kikubwa , nawapa maua yenu, Mungu awabariki sana
@KhadijaSimbamwene7 ай бұрын
Wallah kipindi ni kizuri sana na kinaliza allah awalipeni kila lenye heri inshallah
@naimarishedy15237 ай бұрын
Shangazi hongera Allah muweza wa yote 🤲 akurinde na hata clouds mungu awabariki 🥀🥀🥀
@JoyceMwita-e3w7 ай бұрын
Mama waziri honge sana kwa kumpata wifi mwenye hofu ya Mungu ubarikiwe shangazi uishi miaka mingi ❤❤❤❤❤
@rhodaangetile27817 ай бұрын
Kiukweli katika vipindi mnafanya ya kibinadamu nakuonya mioyo. Hongereni sanaaaa
@SharifaOman-bf1bn8 ай бұрын
Najikuta. Nalia. Jamani. Timu. Ya gea. Hongereni sana
@rehemaathhmani3578 ай бұрын
Mungu awabariki sana kwa kazi zenu ❤🤲
@theonestinamutole85497 ай бұрын
Nimelia sanaaa
@zamdambalilo97188 ай бұрын
Kiukweli Mungu awabariki sana.Kipindi hiki kinanitoa machozi sana.Naumia nikiona wanawake tunaroho ngm.mm nakufa nawanang.maradhi aukifo ndo kinitenganishe.Japo napitia shida nyingi ila najua mungu hatoniacha
@cocorita83678 ай бұрын
Hichi kipindi chenu ni kutuliza tu jamni mungu awabariki sana Dahuu na Geah😢
@Sharmy_028 ай бұрын
Na jose
@RayChausa8 ай бұрын
😢😢Chatuliza kwa kweli
@upendogreutert1998 ай бұрын
Kipindi hiki kinaliza jamani siwez vumilia kwa kweli
@phebbyshayo90998 ай бұрын
Kipindi Bora Sana ...nampenda Sana bint yangu Meghan❤
@oman1oman1797 ай бұрын
Hiki kipindi kinaliza sana 😢😢😢😢😢Yani nimeshalia mmpaka basi na fikia kuumwa kicwa juu ya kulia
@samuelmuhindosivamwanza49887 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza, ninafuata kipindi hiki nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩. Nimekifurahia sana. Mbarikiwe sana na Mungu kwa kazi mnayo itenda. Watu wengi tumepotezana nao. Mmenifanya nilie kama mtoto mdogo.
@JUDITHGEORGE-zs7oq7 ай бұрын
Mungu awabariki sana
@sarahkinyashi62138 ай бұрын
Hongera SHANGAZI kwa ulezi
@oman1oman1797 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤mungu awwzidishie wote mnawo fanya kazi hii ya kukutanisha watoto na wazazi ,sasa wazazi wakiume wako wapi
@oman1oman1797 ай бұрын
❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah nimempenda shangazi mungu ammoe maisha mema yarabii
@sarahkinyashi62138 ай бұрын
Kipindi kinaliza hikiii,nyie tumshukuru Mungu jamanii😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@hamzafishten95607 ай бұрын
Kabisa
@salamaalihemed62207 ай бұрын
Wallh mashaallh thabrk allh mungu awalinde kw kazi yenu ❤❤❤😢😢😢
@paulabelleghe45115 күн бұрын
Mungu anisaidie nsipate pressure maana kila nikiangalia hiki kipindi naskia uchungu naliaaa sana,Mungu awalinde team nzima ya clouds
@nenenongi667 ай бұрын
I wish engekuwa inatokea wale wazazi walishafariki wanaenda huko mbinguni wanakaa kwa mda then wanarudi wakaanza kututafuta watoto wao waliotuacha huku duiniani ,mimi ningekuwa naingoja hiyo siku kwa hamu sana yakuwaona wazazi wangu tena,pumzika kwa amani wazazi wangu😭
@festusbokoro16157 ай бұрын
R I p pole Sana
@zuenamikidadi92957 ай бұрын
Yani mungu awabariki sana nimeliya sana
@sarahkinyashi62138 ай бұрын
Jamanii wamamaaa,hii inatufundisha kitu wapendwa,afadhali wamekutana wakiwa hai, Mungu ni mwema jamanii🙏🙏🙏
@Catherine-fv9ht5 ай бұрын
Mbarikiwe Sana mueenderee kuwakutanisha watoto na wazazi wao❤❤❤❤
@Catherine-fv9ht5 ай бұрын
Sangazi mungu akubariki sana na akujaliee akuoe na afiya njema pia
@RoseMhando-kc5ls7 ай бұрын
Hongera Radio Clouse Fm,kipindi kizuri mnoo keep it up
@VailettyShigerla-fw2sg7 ай бұрын
Mungu akuride jamani kwa kazi zuri
@PaulinaPetro-e1k23 күн бұрын
Mungu awabark jaman
@rukiauwonde70628 ай бұрын
Jaman 😢😢najikuta nalia aki mama aamin kama mwanae
@sheruajafari16767 ай бұрын
Ongereni clous
@NoelaNdibalema8 ай бұрын
Wakati wengne wanatafutwa mama zao sisi wengne tumetelekezwa na Mama zetu.Aiseeeeeeeee mmeweza kuniliza jamani
@GraceSanga-z1t8 ай бұрын
Iseeey mama unaachaje watoto mm labda uibe
@FurahiniPeter7 ай бұрын
Ata akutelekeze ww mtafte kutakua na sababu mm awezi kumuacha mtoto
@FurahiniPeter7 ай бұрын
Mungu ambariki huyu shangazi
@hellendaniel38097 ай бұрын
Mtafute mama yako
@JosephKileo-wy1rc7 ай бұрын
Dah
@MariaNdagile-hx5pr5 ай бұрын
Hongereni wapendwa
@KaniOfficio-lk1rk7 ай бұрын
Ongera sana claudhi Mungu awape maisha malefu nilikuwa nikisikiliza ledio ongeran
@GraceReonad7 ай бұрын
❤
@oman1oman1797 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤mungu amzidishi moyo mwema huo shangazi alokulea kuna shangazi manshallaah kama baba
@RamlaAmiri7 ай бұрын
Mh kama unaweza kuangalia hiki kipindi bila kulia una moyo wa peke yako ila timu leo ten Mungo awabariki kwa hiki mnachokifanya
@darlenedada6517 ай бұрын
MashaAllah iki kipindi nimekipenda kinanijenga nizidi Ku mpenda Mama .Mama Mngu azidi kukulinda
@GfgGgh-v5z7 ай бұрын
Maa Shaa Allah yaan Allah awabark sana 😭😭
@bintmrisho35268 ай бұрын
Nalia tu mimi sijui nalia nn😭
@zainabsulieman51818 ай бұрын
Hata mimi sielewi nalia nini😢
@Rehemamakuka7 ай бұрын
Kumbe tupo wengi
@AnnaGotrip7 ай бұрын
Duh mnatuliza
@mossyfimbo35777 ай бұрын
Nimempenda saana huyu kijana ni mwingi wa shukrani Anashukrani saana mno mno nami nililelewa na shangazi zangu nikiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu mpaka miaka 15 Mwenyeezimungu awarehemu shangazi zangu na Bibi yangu mama yao shangazi zangu walikuwa binamu wa Baba yangu nawashukuru saana nami nilijaliwa niliwatunza kwa sasa hawapo tena Mwenyeezimungu awarehemu pamoja na wazazi wangu hata iweje Mama ni Mama tu huwezi kupata mwingine Mwenyeezimungu awarehemu wazazi wangu
@zamdambalilo97188 ай бұрын
Da huu huwa nakupenda sana.unaroho ya huruma sana.mingu awabariki wote
@zamdambalilo97188 ай бұрын
Kiukweli mitihan ni mingi na maisha nimagum lkn siachi wanang.Kirauz Mungu awabariki.
@aishaabrahaman99577 ай бұрын
Nimempenda uyoo shqngazi laminitis watu wana rohoo mbayaa
@hanankhamis45177 ай бұрын
Jamani nimelia sana hakika mungu muweza
@StellaMleba7 ай бұрын
Hongeren Sana hicho vipindi help kubwa kwenu
@mkambaselemani-ej7np7 ай бұрын
Jamani nimelia huyo nidada yangu kbs jeny jony
@wettykznznhuioploko15716 ай бұрын
Uyu mama nimempenda kuliko wamama wote walio tangulia mahana anaisia zote
@CristinLyanga7 ай бұрын
Shangazi hongera sana.
@isunga19647 ай бұрын
I wish nisikie mama yangu na baba wananitafuta nikutane nao tena R.I.P wazazi wangu mpumzike kwa Amani😭😭😭
@AshaVitalis-w8w7 ай бұрын
😭😭💔
@zaitunichzi52417 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭mungu akulinda
@isunga19647 ай бұрын
@@zaitunichzi5241 asante wangu yao mbele yetu nyuma
@isunga19647 ай бұрын
@rahmasaid2350 asante wangu yao mbele yetu nyuma kikubwa unawaombea hiki kipindi napenda kuangalia ila nalia pia
@aminamohamed99557 ай бұрын
Maashaallah
@sommohd79037 ай бұрын
😭😭🙏🏼
@MagiiLema8 ай бұрын
Hongera sana shangaz🙏🙏🙏🙏
@mariamkibindo17418 ай бұрын
Sawa Dahuu na Geah tumeelewa tutawalea vizuri
@marrynessbarthazary31447 ай бұрын
jamani nyie wadada mnaoendesha kipindi hiki Mungu awabariki Muishi Maisha marefu sana nawapenda sana 🙏
@DativaMbowe7 ай бұрын
😭😭😭 l wish kama nisikie mamaangu ananitafuta maana alisafiri nikiwa mdogo akatuacha moshi akaenda bukoba kwenye msiba babu yaani babaake😭😭 siku anarud kutoka bukoba meli MV bukoba ikapata ajali ndio umatu ulipo mkuta😢😢
@RizikiRiziki-bp6dx7 ай бұрын
Pole sana
@fatmaallyabdul17328 ай бұрын
Ama mnajua kutuliza jamani😭😭😭hii dunia changamoto ni nyingi daaah!!
@ghhhhy18127 ай бұрын
Mam ni mam❤️
@AshuraIsa7 ай бұрын
Hawa wanaume mungu anawaona
@sein.2088 ай бұрын
Masha Allah
@EsterBhoke7 ай бұрын
Najisikia uchungu sana navyo ona wenzangu wanakutana na mama zao afu wanafurahi pamoja mimi na dadaangu mama yetu alituacha tukiwa wadogo sana dadaangu alikuwa miaka 4 na mimi nilikuwa na miaka 2 tumemtafuta na tumempata lakini hataki hata kutuona anasema yeye anamtoto moja tu ambae amezaa na mwanaume mwingine sisi hatujui dah inauma sana usiombe
@aishamsemwa-zu3eo7 ай бұрын
Poleni sana
@njuka35157 ай бұрын
Pole sana
@EsterBhoke7 ай бұрын
Asante
@bahatinassorali52227 ай бұрын
😢poleni sanna
@betyjoseph68127 ай бұрын
Kaathirika kisaikolojia tu hakuna mama asiyempenda mwanae
@setiseti52817 ай бұрын
Ongera sana
@hamzafishten95607 ай бұрын
Hongera sana shangazi
@LenaMwangamilo8 ай бұрын
Uyu waziri alikuwa Anasoma mkombozi mbaliz _mbeya
@ShamilaJuma-z7nАй бұрын
Ht mm nimelia sana tu
@tunkuh6618 ай бұрын
Wapo shangazi zangu watatu hao ni zaidi ya shangazi sijui niseme nini Mungu tu awalipe japo kubwa Lao alikwisha fariki Mungu amlaze mahali Pena peponi... Nimekupenda shangazi umenikumbusha wema wa aunt zangu
@mamasalhat7 ай бұрын
Mie sijui nisemeje😢😢
@rosehaule67657 ай бұрын
Continue to rest well mama na baba yngu😢😢😢😢
@AnifaMwakilachile-ii6qd8 ай бұрын
Jamani mnatuliza wenzenu huku daah
@IssaMbaru-qw6ug7 ай бұрын
Allah akbar mpaka nimelia
@Tashmaorg7 ай бұрын
Dah😢😢
@chire45747 ай бұрын
Mm nilichukuwa watoto wangu sasa ivi ni mwaka wa kumi....naishi nao Kenya...ila mama yao ajawai shugulika kuwatafuta .....namba as simu anazo.....huku Kenya ameshawai kuja sio mara moja.....lakini gafla akipata mawasiliano
@fatuma52087 ай бұрын
Nimelia sana
@RachelMalekela7 ай бұрын
Daaaàh!
@MaryamShabani-n2u8 ай бұрын
Nice vizuri
@gloryhamidu94187 ай бұрын
Dah Mimi sjui kama mama yang kafa au Yuko haii jamani dah aliacha mim n mdog wangu nikiwa mdog Sanaa simjui mama yangu hata kwa sura yani 😢😢😢dah sjui kma yup haii au amekufa jamnii dah naumia sana .natamani nami nimpat mama yangu mzazi😢😢😢 Joyce
@RoseManyata7 ай бұрын
Aliyewalea ukimuuliza mama Ako yuko wapi anakwambiaje
@femidayahaya92937 ай бұрын
Mungu ameweka kitu kikubwa kwenye ubongo wenu mpaka kufikilia kuanzisha hili jambo maana mmesaidia wengi
@AshaKassim-tu7gz8 ай бұрын
Da geah hiki kipindi cheni kinaniliza mwanzo mwisho
@frankkulwa39817 ай бұрын
Kipindi kizuri sana🎉
@aziza90938 ай бұрын
Hiki nnokipidi chakutizama Allah awpe maishamaraf
@mashkadaniel10977 ай бұрын
Jaman nasie hku hatujui familia ya baba yetu alikuja kutafta maisha kahama mpaka umauti imekumta mwaka 1998
@athmankiama11337 ай бұрын
Wtoto wengi baba yao askari!
@HalimaJemedari7 ай бұрын
Me nalia tuuu 😢😢
@njuka35157 ай бұрын
Nililekewa ba bibi na baba R.I.P kwao ❤
@tinahminja24527 ай бұрын
Kwan mm nalilia nn😢😢
@asnathaman7 ай бұрын
😮😮
@HanifaOman-oo4pl7 ай бұрын
😢😢😢
@Emilymama2boys7 ай бұрын
Waaaah poleni jamani😢
@happymasanja41137 ай бұрын
Dah nyieee😭
@winniejacob17847 ай бұрын
Kila nikiangalia hiki kipindi mimi nalia tu najikaza lakini nashindwa jamani 😢
@zuwenasalim27947 ай бұрын
mm mamdogo aliyonifanyia huwa kunamuda nalia mwenyewe
@susannesusie32177 ай бұрын
Ninalia apa mpak naulizwa unashida gani😢
@MuhammadHassan-rg7ch7 ай бұрын
Haha kama hujapoteza unajihisi ile mama ansvoumia kwa mwana
@solomondanny-15077 ай бұрын
Clouds naomba namba zenu tuwasiliane nanyi kuna mdogo wangu alipotea miaka mingi hatujui kama yupo hai au la.
@saraomar39037 ай бұрын
Ukipata na mimi nipe
@philemornmutta15977 ай бұрын
Alafu Kuna mtu yuko na mama yake karibu na hampendi hawasemeshani mmmmmmmhhhhhhhhh.Mungu atusaidie
@janembalinga70748 ай бұрын
Mimi namtafuta baba yangu mdogo anaitwa thomas mbalinga kama familia tumemkumbuka sana popote alipo aje achungulie bas hata kaburi la mama yake ambaye ni bibi yetu sisi
@FatumaJabu7 ай бұрын
Niseidieni na mm natafuta babaangu aniacha nikiwa na myaka mitano babaangu anaitwa saidi kwa ni hiringa mm niko kenya
@JokhaVenance8 ай бұрын
Nimelia
@jamilahjamilah41577 ай бұрын
Tuko wengi mm ninaye mtoto wa mdogo wangu nilipewa ana mwaka na miezi minne paka hivi ananiita mama watu wanamwambia hy ni shangazi yy anajibu mm huyu ni mama yangu akina asiya abdarahamani ndio wataita shangazi mm siwezi kuita shangazi
@azizambise7 ай бұрын
Duu sijui nalia kwa uchungu au furaha hata sielewi
@aziza90938 ай бұрын
Shanzi❤❤❤
@faridaally-jp1gx7 ай бұрын
Da gea hongereni ila kina liza
@mrsdeborahurio8 ай бұрын
Hadi nimelia jamani!
@moneymaker2157 ай бұрын
Jamani watu wa bara muache Tabia ya kukimbia na wtt