Huyu Chama anatakiwa awe na dose yake special maana namuona bado yupo very slow mpira wa Yanga speed yake sidhani kama ataiweza
@MichaelNgowi-nc3vnАй бұрын
Yani we ume ona kama Mimi kumbe
@matrida.lunyilija5196Ай бұрын
Aongeze bidii tu atakuwa sawa,maana simba hivyo vitu hakuvizoea
@stellasheba842Ай бұрын
Tuwaombee wachezaji wetu. Mungu awalinde na awafiche. Maadui wasiweze kuwagusa. Wafanye vizuri Zaid ya msimu uliopita. Tupunguze maneno tuongeze Sala
@RobartPatrickАй бұрын
Upo sahii
@JumaNtasimbaАй бұрын
Jamani mi naumia sana loho inauma sana chama wangu
@fatmasaaed144Ай бұрын
Aucho Ibrahim bacca azizi k Diara ni watu muhimu wanatakiwa waje bwan😢😢
@lamama.Ай бұрын
ni mwaka wa kuforce watake wasitake lazima watupe kombe letu la CAF champion hatuwazi NBC tenaa
@GabrielSky64Ай бұрын
Tunasubir ya kesho akiwepo na Aziz Ki😂😂 Maaamae mwaka huu
@MichaelNgowi-nc3vnАй бұрын
Mazoezi ya yanga ni noma sana
@jonathansirkintungi7434Ай бұрын
Mazoezi ya beach ni ya timu za ndondo cup. Mkiambiwa hamna hela kwenda kwenye sehemu zenye miundo mbinu ya kisasa mnakataa nini?
@mpangalalisotha6808Ай бұрын
Na hii ni timu ndogo inayozifunga timu kubwa
@jonathansirkintungi7434Ай бұрын
@@mpangalalisotha6808 Timu ndogo inaweza kufunga timu kubwa kwa mbinu za kijinga kwa mfano kurubuni wachezaji wa timu pinzani, kutumia pesa kwa waamuzi na wachezaji n.k
@user-kd7mw6be5qАй бұрын
Umekariri mkuu hapo mwili unawekwa saw2
@khalifasultan2677Ай бұрын
Miundo Mbinu Ya Kisasa Unayoongelea Wewe Ni Ipi??? Au Ile Avic TOWN Ni Yako???
@nehemiakiswaga1819Ай бұрын
Ligi ianze jaman maana makolo washaanza kunenepa
@LindaMbilinyiАй бұрын
😂😂😂😂😂akil huna
@nehemiakiswaga1819Ай бұрын
@@LindaMbilinyi 🤣🤣🤣
@khantv3331Ай бұрын
Yanga to top🔥 Like here🙏
@ShekhMufyd-mn9znАй бұрын
Ukistaajabu ya spain utayaona ya simba nawaona wastaafu fc wakiwa koko bichi wanacheza ukuti ukuti yameme yameme
@user-zb9mf3us2wАй бұрын
mbona nasikia yanga bingwa
@HalimaMaulidi-sv7leАй бұрын
Timu za bongo bhana zimejaa janja janja nyingi na usaliti tu
@benjo_brighterАй бұрын
Inabidi Yanga mumpe chama namba yake ya bahati 17😊
@juliascherehani2330Ай бұрын
Yanga maskin kweli ndy mazoez ya kitoto mchangan hahahah