LILIAN MWASHA;KWA MARA YA KWANZA AJIBU KUHUSU KUIBA MUME WA MTU/NAUMIA/WATU BADO HAWANIAMINI

  Рет қаралды 79,770

NEWS UPDATES

NEWS UPDATES

2 жыл бұрын

#CoffeeNight #Wasafi #diamondplatnumz #cloudstv #lilianmwasha #fmjmedia

Пікірлер: 96
@reginaringia7080
@reginaringia7080 2 жыл бұрын
Hongera sana Lilian Mungu akutunze aasnte kwa kkufanyika kuwa baraka katika maisha yetu.Natamani kukuina siku moja.Unanibariki Sana mpendwa
@rayahnaz162
@rayahnaz162 2 жыл бұрын
I LOVE YO LILIAN MWASHA MY ROLE MODEL WA TANZANIA
@josephchuwa1285
@josephchuwa1285 2 жыл бұрын
Lilian usijalaumu kwa kuolewa hukukosea na hakuna mwanaume anayestahili kuwa single Huo ni uoga wa maamuzi ukiamua pambania maamuzi yako as long as uko sahihi màana mlishadivorce what next don't be hard on yourself Na kwa wengine out there msiogope ukweli na uongo upe muda
@floramlowe7078
@floramlowe7078 2 жыл бұрын
Awapi alilolipanga mungu mwanadamu hawezi kulijua unakuta mwingine walikutana pasipo mpango mungu wakaleteana shida kila mtu anahaki ya kwenda kuanza maisha mpya .
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 жыл бұрын
Nikweli kabisaa
@Nicholas12061974
@Nicholas12061974 2 жыл бұрын
Am glad someone is talking about our boys,it has been my dream
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 2 жыл бұрын
Lilian Sasa ukisema uogope watu wanaowatazama na ujikute unaumia Sana utajijaza tuuu??? Tafakari kumhusu Osinachi mydear.... But km uko na Furaha na hukwaziki ni sawa
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 2 жыл бұрын
Da Liliane ni mrembo pia intelligence 🥰👏🏾
@rehemakajabu1317
@rehemakajabu1317 2 жыл бұрын
NAKUPENDA SANA DADA LILIAN UMEKUWA BARAKA SANA KWANGU,NAKUFATILIA SANA
@namelockmaasailady8002
@namelockmaasailady8002 2 жыл бұрын
Nice interview jmn,Asante dada lilian na suzi pia
@tinamon7913
@tinamon7913 2 жыл бұрын
Huyo Dada unaemuhoji nampenda ananiponyaga sana maneno yake.
@rosemsemwa2226
@rosemsemwa2226 Жыл бұрын
Kiukweli nampenda da Lily na sauti yake😘
@ayshahussen7452
@ayshahussen7452 2 жыл бұрын
Nakupenda sana dada Lillian
@suzanakesmil
@suzanakesmil 2 жыл бұрын
Nakupenda dada mwasha
@fridakaishaza1032
@fridakaishaza1032 2 жыл бұрын
Much love ❤️
@Kidotii
@Kidotii 2 жыл бұрын
I love you Lilian!
@judythasiko8648
@judythasiko8648 2 жыл бұрын
Love this woman ❤️
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 2 жыл бұрын
Girl i love you, Lilian Mwasha i see my self in you. We don't have to be selfish as women. God bless you.
@leahchalresi5632
@leahchalresi5632 2 жыл бұрын
Nakupenda sana dada liliani
@mwanrique
@mwanrique 2 жыл бұрын
I love you Suzette, keep doing you!
@beatrice3671
@beatrice3671 2 жыл бұрын
She's touched my heart ❤ natamani kukuona one time lily
@mundelejudith3940
@mundelejudith3940 2 жыл бұрын
Nakupenda sana dada
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 жыл бұрын
Hapana akitokea naolewa tu aiseee kila mtu na bahati yake siwezi acha bahati yangu kisa alishawahi kuoa labda Mungu ndio njia aliyo mpangia apite ili akutane namm
@happinesskitali164
@happinesskitali164 2 жыл бұрын
Mm nampenda sana Lilian
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 Жыл бұрын
Duuuh Hongera Sana mtumushi liliani mwasha
@christinamwakibolwa3000
@christinamwakibolwa3000 2 жыл бұрын
Lilian unaponya Moyo na nafsi yangu
@bintisayuni6634
@bintisayuni6634 2 жыл бұрын
Real
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Mwanamke ndio sababu ya kumkandamiza mwanamke. Kwn huyu kaka ni mtoto kuibiwa na wengi wanaosema hizi kauli ni wanawake wenzetu. I wonder why? Tukubali upo wakati mapenzi yakiisha kati ya wawili waachwe wakatafute maisha mengine. Kwnn si mwanamke katiba mwanamke wa watu? Tuache kujikandamiza Lili nakupenda sana dada
@AggiesVine
@AggiesVine 2 жыл бұрын
I'm taking quite a liking to this lady Lilian Mwasha. Great points.
@magrethbenson6724
@magrethbenson6724 Жыл бұрын
Kwanini usiseme kiswahili tu au kiingereza ti
@chosentv742
@chosentv742 Жыл бұрын
Waooo I love the host🥰
@lucyemichael7814
@lucyemichael7814 2 жыл бұрын
👏🏼
@joycekimario4542
@joycekimario4542 Жыл бұрын
Nimependa sana ujumbe
@hellenmawere9284
@hellenmawere9284 2 жыл бұрын
Mungu atusaidie daLilly.. usijihukumu tuu, furahia familia yako mpenzi. 🥰🥰🥰
@gimbanantavyo5217
@gimbanantavyo5217 Жыл бұрын
You are such an amazing lady, receive a bunch of love.
@carolmugwongo5949
@carolmugwongo5949 Жыл бұрын
¹1
@saidaramadhan2099
@saidaramadhan2099 2 жыл бұрын
Ukiamini mwenyewe inatosha ukisibili watu utakesha
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 Жыл бұрын
Yes unatakiwa kujismamia mwenyewe
@priscaphedrick5970
@priscaphedrick5970 Жыл бұрын
Nakupenda dada wewe Lilian yaani hatasijielewi kabisa nakupenda tu
@ubongosahihi
@ubongosahihi 2 ай бұрын
Aleluya 🧎🏾‍♀️🙇🏽‍♀️👏🏾
@irenechobaliko9599
@irenechobaliko9599 2 жыл бұрын
Your story could be different, but most men will lie that it’s not working and blame the woman or say we processing a divorce & blah blah blah, yet he is just a womaniser 😢😢😢. Ladies be careful
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 3 ай бұрын
dada lili punguza misifa punguza uperfect
@yusrasalum
@yusrasalum 2 жыл бұрын
Kweli tena unaitwa baby 🤣🤣 namuelewa huyu dada 😍
@jacklinemwita4173
@jacklinemwita4173 2 жыл бұрын
Hiyo Hofu ikutoke kwa jina la Yesu
@bestcakes7098
@bestcakes7098 2 жыл бұрын
Amina
@Bestssy
@Bestssy 2 жыл бұрын
Jaman nipate no yke
@tunsumegideonmwamboneke9639
@tunsumegideonmwamboneke9639 Жыл бұрын
“hakuna kitu mume wangu atafanya kinifanye nimuache “ haya maneno sio sahihi kwa mwanamke kusema mbele ya hadhara. Its a reason why wanawake wengi wanakufa kwa kuuwawa na waume zao. Ni sababu tu hauna kitu cha kukufanya uondoke, real?!
@esthermwambene6975
@esthermwambene6975 Жыл бұрын
Lakini kama umemsikiliza vzr kasema mwanamke usikae kwende ndo ya mateso kupigwa nk so pengine hayo yote yeye hayapitiii
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 жыл бұрын
Halafu Isack alimwambia mwanae Essau na si Yakobo. Sema Rebecca akamwambia Jacob jinsi Isack anavyowish kumbariki mwanae wa kwanza kutoka" Mind you that Jacob na Essau walikuwa mapacha "Yacob akajiwahi na akafanya yaliyotakiwa kufanywa na Essau. Jacob akajifanya Essau na akapata baraka. Essau alivyokuja it was too late baraka zilikuwa zimeenda kwa Jacob.Ingawa huko mbeleni baada ya Jacob kwenda kwa mjomba wake na kuoa Leah na Rahel na mpaka kuzaa na vijakazi wake,alirudi na kumuomba msamaha Essau.
@vickydan2869
@vickydan2869 2 жыл бұрын
Me hata nilikua cjui kama luvanda alikua kaoaga nalili alikua kaolewaga
@rahma6189
@rahma6189 Жыл бұрын
Dada lili nakupenda ila kwanini unachanganya na kingeresa
@samiakikwete1762
@samiakikwete1762 2 жыл бұрын
Kwani wakiristo wanaachana?
@zuhuraally4146
@zuhuraally4146 2 жыл бұрын
Nakupenda sana dada mwasha
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 жыл бұрын
Mimi mwenyewe yamenikuta !
@zeinababdi4757
@zeinababdi4757 2 жыл бұрын
Wabongo wananishangaza sana, are you really doing boy child because you want to shine and make money or you are really passionate about that cause...it is all about you and your family just using poor children from acutely poor background
@sharewithhope1229
@sharewithhope1229 2 жыл бұрын
It takes caurage kufanya hicho anavhokufanya kama ingekuwa rahisi kila mtu angefanya ,it's time tuwapigie makofi wengine pale wanapojaribu kufanya kwa ajiri ya wengine huku na sisi tukijitafuta tufanye nn na vile Mungu ametubariki navyo
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 2 жыл бұрын
Don't judge if you have no evidence, this is why people afreid doing good things. Be positive my dear it will do you good, trust me.
@tukuswigaikasu5227
@tukuswigaikasu5227 Жыл бұрын
Acha makasiliko jamani..
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 5 ай бұрын
Kwanini asiitwe Lilian Luvanda?
@iddaadams7351
@iddaadams7351 Жыл бұрын
Lilian kama Lilian.......
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 2 жыл бұрын
Nawapenda Sana Hawa wadada jamani.
@verasikawa6382
@verasikawa6382 Жыл бұрын
Animekupenda sana kwa hekima yako Liliani mungu akubariki pamoja na uzao wako.
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Mhhh kumbe walewale tuu kkk
@evangelistmcsarahmvungi3626
@evangelistmcsarahmvungi3626 Жыл бұрын
Wewe ni mrembo na unaponya wengi
@aoman5214
@aoman5214 2 жыл бұрын
Umeongea ukweli kabisa wanawake wa siku hizi hawana hofu ya Mungu wakina Christina shusho wanaachika na kuacha watoto wao kisha makanisa jaman hmmm
@jackmacha6057
@jackmacha6057 Жыл бұрын
Kwan shusho alishaachika
@esterpaul3146
@esterpaul3146 Жыл бұрын
@@jackmacha6057 ndio
@veeJesus
@veeJesus Жыл бұрын
Kuongea ya shusho ni rahis ila hujui chochote kuhusu ndoa ya shusho Alafu aliekuambia kuwa na hofu ya Mungu ni kukaa kwenye ndoa??
@ndugutv5417
@ndugutv5417 Жыл бұрын
Giza unaliogopa alafu roho Mtakatifu Humwogopi? Hivi vitu sielewagi
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 2 жыл бұрын
Best interview
@bikozikomo9496
@bikozikomo9496 Жыл бұрын
Anajionanga mtakatifu huyu dada,
@silviagustavo416
@silviagustavo416 Жыл бұрын
Kingereza cha nn 😏😏
@julianapeason6254
@julianapeason6254 2 жыл бұрын
Dada jifunike
@sakinanaftali7929
@sakinanaftali7929 2 жыл бұрын
#TUNAMWAMINI KARIBUNI KUITAZAMA kzbin.info/www/bejne/kJm8XodurNBnetE
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 4 ай бұрын
Learn to cover your legs PLEASE
@fridahiminza8659
@fridahiminza8659 2 жыл бұрын
If the first marriage didn't work,second ,third , won't work,there is this spirit called, spirit of divorce that is tormenting people.read ?malachi 2:13 kuendelea,the wife/husband of your youth. 😭
@malkiarosemuhando3310
@malkiarosemuhando3310 2 жыл бұрын
Khaaà Yakobo tena??? Sio isaka aliyemwambia Esau aende nyikani akawinde mnyama, amfanyie chakula kizuri ili apate kula AMBARIKI,
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 2 жыл бұрын
Ni yakobo ndugu siyo Isaka
@williammweta5539
@williammweta5539 2 жыл бұрын
Ni yakobo dada
@winfridagama5832
@winfridagama5832 2 жыл бұрын
Isaka alikuwa nawatoto wawili Isau na Yakobo aka yakubuu
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 жыл бұрын
Isack alimwambia Esau,ila Rebecca ndo akamwambia Jacob afanye hivyo ajifanye yeye ndo Yacob
@esthermalamsha2847
@esthermalamsha2847 2 жыл бұрын
Ni Isaka sio Yakobo, Yakobo ni pacha wa Esau & Isaka ni baba yao...
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 жыл бұрын
Na komaa ata waseme nimechukua ! Walipeana taraka miaka 2 nimeingia kwenye mausiano hyo naambiwa Mimi nimeiba mmewamtu
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 2 жыл бұрын
Olewa mwaya dada! Km lipaka limeachika,mume aache Kuoa? Uliiba alikuwa ni gunia?endelea kuishi na mumeo,Mapaka yackusumbue.
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 жыл бұрын
@@yukundapeter8200 umeonaeee yani kwenye dunia hii ukitaka kufurahisha watu utachelewa
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Hakuna mume wa MTU endelea my
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 жыл бұрын
@@jescajulius8023 nasonga mbele my
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
@@nolimittvonline6822 haya mpenzi
@ummukuothumndakize
@ummukuothumndakize Жыл бұрын
Nakupenda sana lilian
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 35 МЛН
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 46 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 110 МЛН
LILIAN MWASHA AJUTIA KUOLEWA NA MUME WA MTU
8:43
NEWS UPDATES
Рет қаралды 3,9 М.
WOMEN MATTERS - JE NI SAWA KUOLEWA NA EX WA RAFIKI YAKO?
24:49
Lillian Mwasha Tv
Рет қаралды 2,1 М.
Kunyanyapaliwa | Mtu ananionesha kabisa | Inaumiza sana -  Dorah
6:55
KAZI ZA KULEA WATOTO NA KULEA WAZEE UJERUMANI | MAPENZI YA WAZUNGU SIO YALE YA TELEMUNDO
55:20
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 35 МЛН