Hongera sana Lilian Mungu akutunze aasnte kwa kkufanyika kuwa baraka katika maisha yetu.Natamani kukuina siku moja.Unanibariki Sana mpendwa
@rayahnaz1622 жыл бұрын
I LOVE YO LILIAN MWASHA MY ROLE MODEL WA TANZANIA
@josephchuwa12852 жыл бұрын
Lilian usijalaumu kwa kuolewa hukukosea na hakuna mwanaume anayestahili kuwa single Huo ni uoga wa maamuzi ukiamua pambania maamuzi yako as long as uko sahihi màana mlishadivorce what next don't be hard on yourself Na kwa wengine out there msiogope ukweli na uongo upe muda
@floramlowe70782 жыл бұрын
Awapi alilolipanga mungu mwanadamu hawezi kulijua unakuta mwingine walikutana pasipo mpango mungu wakaleteana shida kila mtu anahaki ya kwenda kuanza maisha mpya .
@nolimittvonline68222 жыл бұрын
Nikweli kabisaa
@Nicholas120619742 жыл бұрын
Am glad someone is talking about our boys,it has been my dream
@sheckycobb52402 жыл бұрын
Lilian Sasa ukisema uogope watu wanaowatazama na ujikute unaumia Sana utajijaza tuuu??? Tafakari kumhusu Osinachi mydear.... But km uko na Furaha na hukwaziki ni sawa
@nicolenabintu25092 жыл бұрын
Da Liliane ni mrembo pia intelligence 🥰👏🏾
@rehemakajabu13172 жыл бұрын
NAKUPENDA SANA DADA LILIAN UMEKUWA BARAKA SANA KWANGU,NAKUFATILIA SANA
@namelockmaasailady80022 жыл бұрын
Nice interview jmn,Asante dada lilian na suzi pia
@tinamon79132 жыл бұрын
Huyo Dada unaemuhoji nampenda ananiponyaga sana maneno yake.
@rosemsemwa2226 Жыл бұрын
Kiukweli nampenda da Lily na sauti yake😘
@ayshahussen74522 жыл бұрын
Nakupenda sana dada Lillian
@suzanakesmil2 жыл бұрын
Nakupenda dada mwasha
@fridakaishaza10322 жыл бұрын
Much love ❤️
@Kidotii2 жыл бұрын
I love you Lilian!
@judythasiko86482 жыл бұрын
Love this woman ❤️
@lydiathomas29052 жыл бұрын
Girl i love you, Lilian Mwasha i see my self in you. We don't have to be selfish as women. God bless you.
@leahchalresi56322 жыл бұрын
Nakupenda sana dada liliani
@mwanrique2 жыл бұрын
I love you Suzette, keep doing you!
@beatrice36712 жыл бұрын
She's touched my heart ❤ natamani kukuona one time lily
@mundelejudith39402 жыл бұрын
Nakupenda sana dada
@ashurajengela39262 жыл бұрын
Hapana akitokea naolewa tu aiseee kila mtu na bahati yake siwezi acha bahati yangu kisa alishawahi kuoa labda Mungu ndio njia aliyo mpangia apite ili akutane namm
@happinesskitali1642 жыл бұрын
Mm nampenda sana Lilian
@vailetheanyambilile9749 Жыл бұрын
Duuuh Hongera Sana mtumushi liliani mwasha
@christinamwakibolwa30002 жыл бұрын
Lilian unaponya Moyo na nafsi yangu
@bintisayuni66342 жыл бұрын
Real
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Mwanamke ndio sababu ya kumkandamiza mwanamke. Kwn huyu kaka ni mtoto kuibiwa na wengi wanaosema hizi kauli ni wanawake wenzetu. I wonder why? Tukubali upo wakati mapenzi yakiisha kati ya wawili waachwe wakatafute maisha mengine. Kwnn si mwanamke katiba mwanamke wa watu? Tuache kujikandamiza Lili nakupenda sana dada
@AggiesVine2 жыл бұрын
I'm taking quite a liking to this lady Lilian Mwasha. Great points.
@magrethbenson6724 Жыл бұрын
Kwanini usiseme kiswahili tu au kiingereza ti
@chosentv742 Жыл бұрын
Waooo I love the host🥰
@lucyemichael78142 жыл бұрын
👏🏼
@joycekimario4542 Жыл бұрын
Nimependa sana ujumbe
@hellenmawere92842 жыл бұрын
Mungu atusaidie daLilly.. usijihukumu tuu, furahia familia yako mpenzi. 🥰🥰🥰
@gimbanantavyo5217 Жыл бұрын
You are such an amazing lady, receive a bunch of love.
@carolmugwongo5949 Жыл бұрын
¹1
@saidaramadhan20992 жыл бұрын
Ukiamini mwenyewe inatosha ukisibili watu utakesha
@asifiwekitunga4655 Жыл бұрын
Yes unatakiwa kujismamia mwenyewe
@priscaphedrick5970 Жыл бұрын
Nakupenda dada wewe Lilian yaani hatasijielewi kabisa nakupenda tu
@ubongosahihi2 ай бұрын
Aleluya 🧎🏾♀️🙇🏽♀️👏🏾
@irenechobaliko95992 жыл бұрын
Your story could be different, but most men will lie that it’s not working and blame the woman or say we processing a divorce & blah blah blah, yet he is just a womaniser 😢😢😢. Ladies be careful
@hassankongolilo84083 ай бұрын
dada lili punguza misifa punguza uperfect
@yusrasalum2 жыл бұрын
Kweli tena unaitwa baby 🤣🤣 namuelewa huyu dada 😍
@jacklinemwita41732 жыл бұрын
Hiyo Hofu ikutoke kwa jina la Yesu
@bestcakes70982 жыл бұрын
Amina
@Bestssy2 жыл бұрын
Jaman nipate no yke
@tunsumegideonmwamboneke9639 Жыл бұрын
“hakuna kitu mume wangu atafanya kinifanye nimuache “ haya maneno sio sahihi kwa mwanamke kusema mbele ya hadhara. Its a reason why wanawake wengi wanakufa kwa kuuwawa na waume zao. Ni sababu tu hauna kitu cha kukufanya uondoke, real?!
@esthermwambene6975 Жыл бұрын
Lakini kama umemsikiliza vzr kasema mwanamke usikae kwende ndo ya mateso kupigwa nk so pengine hayo yote yeye hayapitiii
@florencebudoya38142 жыл бұрын
Halafu Isack alimwambia mwanae Essau na si Yakobo. Sema Rebecca akamwambia Jacob jinsi Isack anavyowish kumbariki mwanae wa kwanza kutoka" Mind you that Jacob na Essau walikuwa mapacha "Yacob akajiwahi na akafanya yaliyotakiwa kufanywa na Essau. Jacob akajifanya Essau na akapata baraka. Essau alivyokuja it was too late baraka zilikuwa zimeenda kwa Jacob.Ingawa huko mbeleni baada ya Jacob kwenda kwa mjomba wake na kuoa Leah na Rahel na mpaka kuzaa na vijakazi wake,alirudi na kumuomba msamaha Essau.
@vickydan28692 жыл бұрын
Me hata nilikua cjui kama luvanda alikua kaoaga nalili alikua kaolewaga
@rahma6189 Жыл бұрын
Dada lili nakupenda ila kwanini unachanganya na kingeresa
@samiakikwete17622 жыл бұрын
Kwani wakiristo wanaachana?
@zuhuraally41462 жыл бұрын
Nakupenda sana dada mwasha
@nolimittvonline68222 жыл бұрын
Mimi mwenyewe yamenikuta !
@zeinababdi47572 жыл бұрын
Wabongo wananishangaza sana, are you really doing boy child because you want to shine and make money or you are really passionate about that cause...it is all about you and your family just using poor children from acutely poor background
@sharewithhope12292 жыл бұрын
It takes caurage kufanya hicho anavhokufanya kama ingekuwa rahisi kila mtu angefanya ,it's time tuwapigie makofi wengine pale wanapojaribu kufanya kwa ajiri ya wengine huku na sisi tukijitafuta tufanye nn na vile Mungu ametubariki navyo
@lydiathomas29052 жыл бұрын
Don't judge if you have no evidence, this is why people afreid doing good things. Be positive my dear it will do you good, trust me.
@tukuswigaikasu5227 Жыл бұрын
Acha makasiliko jamani..
@josephmihayo62365 ай бұрын
Kwanini asiitwe Lilian Luvanda?
@iddaadams7351 Жыл бұрын
Lilian kama Lilian.......
@jareengeorge54782 жыл бұрын
Nawapenda Sana Hawa wadada jamani.
@verasikawa6382 Жыл бұрын
Animekupenda sana kwa hekima yako Liliani mungu akubariki pamoja na uzao wako.
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Mhhh kumbe walewale tuu kkk
@evangelistmcsarahmvungi3626 Жыл бұрын
Wewe ni mrembo na unaponya wengi
@aoman52142 жыл бұрын
Umeongea ukweli kabisa wanawake wa siku hizi hawana hofu ya Mungu wakina Christina shusho wanaachika na kuacha watoto wao kisha makanisa jaman hmmm
@jackmacha6057 Жыл бұрын
Kwan shusho alishaachika
@esterpaul3146 Жыл бұрын
@@jackmacha6057 ndio
@veeJesus Жыл бұрын
Kuongea ya shusho ni rahis ila hujui chochote kuhusu ndoa ya shusho Alafu aliekuambia kuwa na hofu ya Mungu ni kukaa kwenye ndoa??
@ndugutv5417 Жыл бұрын
Giza unaliogopa alafu roho Mtakatifu Humwogopi? Hivi vitu sielewagi
If the first marriage didn't work,second ,third , won't work,there is this spirit called, spirit of divorce that is tormenting people.read ?malachi 2:13 kuendelea,the wife/husband of your youth. 😭
@malkiarosemuhando33102 жыл бұрын
Khaaà Yakobo tena??? Sio isaka aliyemwambia Esau aende nyikani akawinde mnyama, amfanyie chakula kizuri ili apate kula AMBARIKI,
@magrethmollel10782 жыл бұрын
Ni yakobo ndugu siyo Isaka
@williammweta55392 жыл бұрын
Ni yakobo dada
@winfridagama58322 жыл бұрын
Isaka alikuwa nawatoto wawili Isau na Yakobo aka yakubuu
@florencebudoya38142 жыл бұрын
Isack alimwambia Esau,ila Rebecca ndo akamwambia Jacob afanye hivyo ajifanye yeye ndo Yacob
@esthermalamsha28472 жыл бұрын
Ni Isaka sio Yakobo, Yakobo ni pacha wa Esau & Isaka ni baba yao...
@nolimittvonline68222 жыл бұрын
Na komaa ata waseme nimechukua ! Walipeana taraka miaka 2 nimeingia kwenye mausiano hyo naambiwa Mimi nimeiba mmewamtu
@yukundapeter82002 жыл бұрын
Olewa mwaya dada! Km lipaka limeachika,mume aache Kuoa? Uliiba alikuwa ni gunia?endelea kuishi na mumeo,Mapaka yackusumbue.
@nolimittvonline68222 жыл бұрын
@@yukundapeter8200 umeonaeee yani kwenye dunia hii ukitaka kufurahisha watu utachelewa