Рет қаралды 17,995
Baada ya kuwa gumzi kwa wiki hii, DC wa INSTA Mwijaku amekaa na Lil Ommy kwa Saa 2 na kuelezea nukta hadi nukta jinsi Billion 1.3 ilivyotumika katika ujenzi wa KASRi lake Kigamboni!, Tazama Full interview hapa, Subscribe, Like, Comment & Share!
Mwijaku aichambua Billioni 1.3 / amchana Baba levo Hana Mipango, alezea mambo kibao kuhusu UCHAWA ulivyomlipa na familia ilivokua inachukulia. ni stori ya kusisimua na kufurahia pia!
Muendelezo wa stori kali upo Part 2, 3 na 4!
Kijana tumia kinga, Zingatia uzazi wa mpango. #Sitetereki