#TANZANIA: #Tundu #Lissu akinukisha tena #Mpwapwa Mjini, awavaa #Mdee, #Kinana, #Nape na #Makalla, apigilia inshu ya #Rushwa inayotembezwa ndani ya #Chadema
Пікірлер: 120
@ERNESTSuleiman5 ай бұрын
Nakuombea kwa Mungu,Mungu akulinde sana sana vita uliyonayo ni kubwa sana
@ChristianMkumbo-ix2ke5 ай бұрын
Mungu ibariki chadema na viogozi wake
@jeremiaakyoo81795 ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa. Endelea kutufundisha. Na tunaunga mkono katiba mpya maana hii ya sasa inatuumiza sana.
@MenruphKahimba5 ай бұрын
Lisu mungu akuweke sana duniani
@ChristianMkumbo-ix2ke5 ай бұрын
God bless LIsu God bless chadema
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi5 ай бұрын
Hongera sana Mh Lisu
@AllyMandunda-tj9jc5 ай бұрын
Hongera sana tundu lisu
@cosmaswilliam38055 ай бұрын
Elimu itolewayo ni nzuri.
@MenruphKahimba5 ай бұрын
Uko vizuri Lisu
@hajirashid-em5vj5 ай бұрын
Hongera sana Lissu ukweli huo ndiyo kifo cha C C M
SAFI SANA LISSU ENDELEA KUWATOA WATU UJINGA AMBAO CCM HAWAWEZI KUWAMBIA WANANCHI CCM NIWAONGO SANA NA VIONGOZI WAKE WOTE WACHUMIA TUMBO CCM WAKATI WAKE UMEFIKA UONGO MWISHO WAKE NI AIBU
@saturinimushi47465 ай бұрын
Chawa Hawatokaa Wakuelewe Kamwe.
@bmdele58165 ай бұрын
Rushwaaaaaaa! Ni adui wa haki na maendeleo!.. 🔥🔥
@yaronaWilliam5 ай бұрын
Lissu you are absolutely correct!
@JeremiaholendikaMakeseni5 ай бұрын
mungu akuongeze miaka mingi duniani
@JoshuaLeonard-s3y5 ай бұрын
Jamani tuililie Tanganyika yetu hatuna bendela hatuna raisi hatuna wimbo wa taifa E,t,c
@AyoubMsonga-ch5xg5 ай бұрын
Kwa elimu unayotoa Ni mjinga tu asiekuelewa
@ismailchimpele6805 ай бұрын
Lissu Una Akili Mnooo
@bukurunestory35405 ай бұрын
Tundu Lissu ana ushawishi Mkubwa Nchini
@phillipmasungwa73655 ай бұрын
SAHIHI KABISA LISSU TUPO PAMOJA SANA.
@Chekibobu5 ай бұрын
Tundu Lisu 🔥
@AllyMandunda-tj9jc5 ай бұрын
Halima mdee kaa kimya usije ukasababisha. Kuwa mwisho wa siasa za nchi
@JoshuaLeonard-s3y5 ай бұрын
Jamani iko wapi tanganyika yetu?
@msabahaali7585 ай бұрын
lissu ni kiongozi hakika namuona Maalim seif ndani yake
@hajihassan54335 ай бұрын
Maalim ni mroho tu wa Madaraka na ndie aliyetufikisha hapa baada ya kufitinisha Jumbe kwa Nyerere kwa kudhani atapewa yeye Urais. Nani alikuwa Makamo Mwenyekiti kwenye mkutano wa Katiba ya 1984, Nani aliunganisha TANU na AFRO na kuleta CCM.
@prospermalala66365 ай бұрын
IQ kubwa sana ndani ya Taifa letu, Mungu akuongoze kwenye Taifa hili
@hajihassan54335 ай бұрын
IQ kubwa ni Rais Samia aliyesema tupate elimu kwanza. Kwa sababu kama Muungano una miaka 60 ndio kwanza leo unamuona Lissu ni Ujinga.
@MACHOYATAI-jk6fu5 ай бұрын
Hata hivyo waisilamu hamnaga akili@@hajihassan5433
@phillipmasungwa73655 ай бұрын
PAMOJA SANA LISSU.
@GiftBatista-u9l5 ай бұрын
Haki
@SeifYusuf-jf7bn5 ай бұрын
TULIA WEWE TUNDU LISSU ANAHUTUBIA TAIFA
@ShalomNissitv5 ай бұрын
Lissu unatufungua.
@GiftBatista-u9l5 ай бұрын
Haki ikiondolewa na watu wake waondolewa, na dunia itapiganiwa kati ya wema na uovu!.
@FellaMbogela5 ай бұрын
SEMA SANA TUNDU A LISU UNAELEWEKA SANA NI WAPUMBAVU PEKEE NDIO HAWATAKIELEWA MUNGU AKULINDE NA KUKUTETEA
@chrissymarcus50515 ай бұрын
I support you Lissu. I stand with you always
@exseviangaeje11585 ай бұрын
43:58 lisu tunakuombea kwa Mungu uishi maisha malefu ili utukombomboe
@ZakayoSanga-ge4jr5 ай бұрын
Tundulisu,wewe nizawadi kutoka kwa mungu ndio maana atawalipo kupiga lisasi hawakufanikiwa mungu alikua upandewako,endelea kutufumbua macho watanzania
@EdoKomba5 ай бұрын
Hakika
@tobiasmbena72455 ай бұрын
Huyu Lissu ni mwalimu, namuelewa sana
@jumamohamed31685 ай бұрын
Endelea kumsikiliza Lissu utajifunza mengi kupitia Lissu
@williamgeorge-hd2tn5 ай бұрын
Hotuba ina nguvu utafikili unasikiliza mahubiri; kiukweli waliotaka kumuua lissu walaaniwe wao na vizazi vyao. Mungu akulinde mh Lissu wew ni mzalendo wa kweli wew ni zaid ya maslahi ya vyama.Mungu akulinde mheshimiwa.
Taasisi ya CHADEMA! inaumizwa na Rushwa,kwa kuwa Mbowe ni mpenda rushwa na Ufisadi ndani ya CHADEMA. Ndo hivyo na Edwin Mtei,alivyowahi kuwa ! Uwenyekiti wa bwana Edwin Mtei,hauna tofauti na Uwenyekiti wa Freeman Mbowe. Maana Umaarufu wao ni State nyuma yao! Na siyo Juhudi na Jitahidi zao juu ya Ukombozi wa taifa letu la Tanganyika.
@valenakomba76865 ай бұрын
WALIVYO WAPUMBAVU BADALA YA KUKASIRIKA, WANACHEKA. WATANZANIA BWANAA.
@evelina96214 ай бұрын
Lisu.hali.rushwa.ww.,ndio.
@PhilipoMwita-wc1ku5 ай бұрын
Yani lissu na maalim self niwatu hatari sana nikama mayele
@MACHOYATAI-jk6fu5 ай бұрын
Wee MKURYA wa wapi huna akili mayele anaingiaje kwenye mambo ya nchi yetu punguza ujinga
@PhilipoMwita-wc1ku5 ай бұрын
Kamuulize mama Yako akikujibu kama yeye ni mjinga njoo unambie mm baba yako
@hebronmalatila61865 ай бұрын
Bwana JK. Nyerere! Kuruhusu rasilimali na mali za taifa la Tanganyika! Haki ya watu wa taifa la Zanzibar. Kwa mujibu wa Katiba batili au fake iliyopo hivi sasa,ilikuwa rushwa kwa Watu wa taifa la Zanzibar. Kusudi kuwanyamazisha Wazanzibari hawasiniteoe ktk Muungano fake! Usiyowahi kuridhiwa na Wazanzibari wenyewe.
@hebronmalatila61865 ай бұрын
Wazanzibari walifanikiwa kutunza jina la utaifa wao,kutokana na Abed Amani Karume kuwakataza Wazanzibari wasikubali kuridhia hoja ya Muungano wa bwana JK.nyerere. Lkn huku Tanganyika! JK.nyerere aliwashinikiza Watanganyika kuaachana na kujiita Watanganyika.
Kwani yote anayozungumza hakuzungumza wakati yupo bungeni? Ulikuwa bado unanyonya? Fuatilia historia Kama bado ulikuwa chekechea!
@MACHOYATAI-jk6fu5 ай бұрын
Wajinga kupita kiasi hamuwezi kosekana
@MswadikuOmary5 ай бұрын
Ukosahihi risu
@miraabdul74705 ай бұрын
Tumshukuru sana Nyerere kwa Kutunganisha, Hawa wanasiasa uchwara wanatugawa tu.
@solomtz70495 ай бұрын
Wewe ni mjinga usomi nyakati wa Zanzibar wanafursa nyingi bara kuliko kwao
@solomtz70495 ай бұрын
Wewe mtanganganyika kwako wan Zanzibar wanakuja kukutawala
@solomtz70495 ай бұрын
Eti wan Zanzibar kwNini sissi twende kule na pass port
@miraabdul74705 ай бұрын
Katembee Zanzibar brother ujionee mwenyewe uwone watu kutoka Pembe zote za Tanzania wanavyofanya kazi bila ubaguzi . na wanamiliki chochote wanachotaka Muhimu fata sheria tu!
@albinusmkono58875 ай бұрын
Mjinga hujielewi.mnagawanywa vp hujui
@miraabdul74705 ай бұрын
Tindu Lissu hatimae rangi yako ya kweli tumeiyona ni mbaguzi
@ibrahimandrew8485 ай бұрын
Wewe Ni MATAKO
@miraabdul74705 ай бұрын
Bro umeanza matusi You don’t know who you messed with.
@simonnjovu5865 ай бұрын
Miraa ukiingia humu usitishie watu. Mjibu Lissu kwa hoja, usikimbilie kusema tu mbaguzi.
@isacktesha66595 ай бұрын
Hoja hujibiwa Kwa hoja ,ACHA atufungue akili
@miraabdul74705 ай бұрын
Unaweza ukawa mtu intellect kama Lissu na ukawa mbaguzi pia. Alipopata matatizo na Magu aliwakimbilia hao hao Wazenji ndio wamuakilishe kwenye kesi zake. na yeye mwenyewe amekiri in public.
@dorothmsuya16865 ай бұрын
Hakuna hata anayekuelewa hapo! Unapiga tu kelele! Kunywa maji ukalale!😅😅😅
@albinusmkono58875 ай бұрын
Wewe ndie jinga hujitambui lisilojua haki zako.au ndio kikundi Cha kutunyonya.wewe ndie unywe maji😅😅
@dorothmsuya16865 ай бұрын
@@albinusmkono5887 Nadhani mjinga zaidi ni mama yako! Ukiniita mjinga jitafakari ujue mimi ni mama wa wenzako! Kwa hiyo mjinga pia ni mama yako!! Upo!..
@dorothmsuya16865 ай бұрын
@@albinusmkono5887 Ungejua haki zako usingetukana! Kumwambia huyo tundu anywe maji sijamtusi! Unajikuta wewe nani hadi uniite nmjinga! Narudia tena MJINGA NI MAMA YAKO! Pokea hilo kama ni tamu!!
@hulukasefu35265 ай бұрын
chawa wewe
@albinusmkono58875 ай бұрын
Angalia ulichoandika.kumbe unaandika bila kujua unaandika nini.pole basi nikusamehe.nimejua unaandika andika TU kutimiza maelekezo.
@dorothmsuya16865 ай бұрын
Ulitembea dunia nzima ukipokea rushwa ili uitukane nchi yako! Sasa vjnakurudi unaanza kulia lia! Au umesahau?? Mdomo unaponza kichwa. Ukumbuke hii ni nchi na sio familia yako!
@albinusmkono58875 ай бұрын
Wewe Doroth.ndie mjinga mkubwa wa kwanza kama huna hoja kaa kimya watu tunaelemishwa haki zetu unasema alizunguka kutafuta rushwa hao wanaotembea na bakuri na matozo.na baadae wanazichota.CAG.kila Leo anaripoti hakuna hatua.mbona huwasemi.!!!jinga kubwa sana.wewe wewe ni njinga sana
@dorothmsuya16865 ай бұрын
Hakuna jema hata moja! Wewe tu ndio una uchungu na nchi yetu! Nchi ingekua mbaya wewe ungekua hivyo! Umesoma una familia lakini unahubiri ubaya ubaya ubaya kila kukicha! Uwe na aibu kidogo! Uraisi utausikia nimekaa paleee!😂😂😂
@Expedito25125 ай бұрын
Wewe ni mjinga kati ya wajinga. Hujui hata mambo ya muhimu. Wewe hata darasani hukuelewa chochote
@philimonndinadyo21205 ай бұрын
Jema gani lililofanyika zaidi ya umasikini tulishindiliwa na ccm
@dorothmsuya16865 ай бұрын
@@philimonndinadyo2120 ungekua maskini ungeweza kuonekana huku?? Mshukuru Mungu hata kwa hicho ulichonacho pia na amani inayokufanya ufanye haya!
@albinusmkono58875 ай бұрын
Mnatumia amani kutudhibiti.wananchi.haki kwanza ndio amani inakuja.mjinga wewe kibaka wa fikra
@frankcharles39805 ай бұрын
@@dorothmsuya1686WE NIRIJINGA LIJINGA TU KICHWA HASARA
@hajihassan54335 ай бұрын
Mhe. Lissu maelezo yako ni mazuri LAKINI tunachosemea ni ya KIBAGUZI ni kwamba toka Nyerere hadi Magufuli hatukukusikia ukizungumza haya na uliwahi kuwa hata Mbunge.
@Expedito25125 ай бұрын
Wewe ndiyo hukumsikia
@deluxwoiso9995 ай бұрын
Kwani ujawai msikia kipindi cha bunge la katiba
@albinusmkono58875 ай бұрын
Wewe ndie hujitambui lisu ni kiongozi mzalendo
@albinusmkono58875 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu haji.naona umekurupuka sana bila kujitambua.hivi wewe ulikua wapi wakati lisu akiwa bungeni akitetea wazanzibar kuhusiana muungano.??? Nenda ukagugu utaona anavyotetea. ubaguzi uko wapi.???.kipi anasema Cha uongo.?!!!.kaa kimya au ndio wapokea kofia na chumvi
@hajihassan54335 ай бұрын
@@albinusmkono5887 Sasa aliwatetea kwa lipi ikiwa leo anasema ndio beneficial wa Muungano kwa kuwa tu Mhe. Samia ambae ni Mzanzibar ni Rais. Tokea Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli wote Watanganyika. Huu Muungano ni Tanganyika na Zanzibar Rais NI lazima atakuwa ama Mtanganyika au Mzanzibar ni mwanamke au mwanamme kwani ulitegemea kusiwe na Rais Mzanzibar milele.