Lisu tetea haki za Tanganyika binafs niliwahi kuuliza faida za muungano sijawahi ambiwa
@lovenessvisent94084 ай бұрын
Lisu umeongea ukweli sana shida Moja watanganyika hawajitambui elimu hatuna ila wazanzibar wanaakili sana sisini mbuzi tu hatujui lolote
@solomonadams63374 ай бұрын
mikijua msijuie jijueni Passport inakuja mtaingia Zanzibar kwa Passport sawa!😂🤣🥲🧐😉
@faridhassan23084 ай бұрын
Ukisema watanganyika wako wapi mbona hakuna Tanganyika na mlishaizika wenyewe,wazanzibar wanaakili sana hawakukubali kuizamisha Zanzibar kwenye kivuli cha muungano
@salma00004 ай бұрын
@@solomonadams6337 huyo bwana wenu nyerere aliweka passport kuingia Zanzibar au Tanganyika, imeondoka sio zamani sana tena cha ajabu nini hapo. Uvunjeni😏
@emmanuelsulle9114 ай бұрын
Lissu Mungu akulinde daima na kukutunza Upo Kwa makusudi makubwa ya kulitetea taifa letu na Watu wake...
@abdullahalkindi96734 ай бұрын
Lusi usibabaishe watu mbona hayati Aboud Jumbe ni mbara wa Kilwa na Ali Mwinyi ni mbara wa Mkuranga walitawala Zanzibar, Tundu Lisu Hana hoja Ndio analeta ujinga huo
@user-hb3ip9it2j4 ай бұрын
Wewe tulia kama imesaliwa mjini tulia hifo hifo wazanzibari wanatunyanyasa watanganyi Magufuli alikuwa anasema mtu mmoja hawezi kumiliki hk 1000 wakati kuna wananchi hawana mahali ya kukalia VIP
@FunnyProteaFlower-dg4gi3 ай бұрын
Hawakuuza Mali za Zanzibar
@dianamilaji66904 ай бұрын
asante Lisu umeeleweka
@charlesnassary66894 ай бұрын
Hongera lissu
@kamalabuberwa20014 ай бұрын
Ndugu yangu Lissu, umenigusa pale penye uchungu
@mobilempula5454 ай бұрын
TUNDU LISU nakupa asilimia zote uko vizuri sana
@user-ov5lq1kf3l4 ай бұрын
Uko sawa mkuu wapige za USO mpaka wajue wananchi tunajuwa.
@isaacalex63274 ай бұрын
Sawa kabisa wanauza kwa kuwa siyo kwao hawana mpango na sisi
@nabimanyafesto50144 ай бұрын
Lisu kwa ukweli wako huu,"wewe ni kiongozi na Mtumishi wa Mungu kama Daudi"
@dullahkalanjedullahkalanje14224 ай бұрын
upo sahihi sana mwamba aiwezekani chao ni chao chetu cha wote ni ujingaa sana tatizo viongozi wengine ni chawa tu
@CafeJohn-jz8ri4 ай бұрын
Lakini ukimsikiliza lisu vizuri kunaukweli ndani yake uwa nimzee wa kukurupuka lakini apa namuelwa sisi watanizania kwenye ukweli uwa tunapinga sana kwenye ukweli kunawengine bado tunapiga wazazibari wanajitambua sana lakini lakini sisi wabongo tupo tu kama mbuzi wa kakafala
@user-wl6zs4sf5p4 ай бұрын
Mwamba nimekuelewa sana kwa ufafanuzi hapa tumepigwa na kitu kizito
@deogratiusvalentino62484 ай бұрын
Uzuri wa Lisu qnajenga hoja na kukupa uthibitisho wa anachokisema. Wale waliomsema mbaguzi baada ya hapa hawatoongea tena.
@eliasnisagurwe1374 ай бұрын
Wazanzibar ni wabaguzi kwa hoja hii
@SleepyDesert-nn7tk4 ай бұрын
Leo tenaaa hta hya hamuoni miaka mingp mumetawala nyny watangnyka leo mungu ametuona cc imekua shda pole xnaa aunty lissu😂😂😂😂😂😂w
@FridayMwassa4 ай бұрын
Tumetawala Kwetu, Zanzibar mna rais wenu
@DjJohnBashir-oy7cx4 ай бұрын
Kweli Elimu inatakiwa kwa watanzania Lisu heshima kwako wataelewa tu
@f.a60434 ай бұрын
Aisee kweli kama hivyo ndivyo katiba ya zenji ilivyoandikwa basi hapo kutakua na changamoto kubwa na haifai kabisa kua na uwiano na Tanganyika
@benardmwinuka69484 ай бұрын
Point Leo nimekubali
@ndimimaskati36414 ай бұрын
Wazanzibari hawautaki Muungano lakini Tanganyika wanatumia nguvu kuulazisha Muungano uendelee.
@salma00004 ай бұрын
Nashangaa, wanakataa mpaka utaifa wao walivyo washamba😂😂
@AbbasMwakichui-db9tn4 ай бұрын
Huyu jamaa ni mbaguzi sana na ni hatari sana
@isaacalex63274 ай бұрын
Hawa ccm wa bara wana juwa haya alooo nitaipenda chadema
@deusobadia89744 ай бұрын
😮
@chuguletheodos33424 ай бұрын
Hii ni kichwa ya mungu ni moto
@dullahkalanjedullahkalanje14224 ай бұрын
tatizo ujinga umetuzidi ila utaisha atumpi kura Mzanzibari
@adamlubawa12814 ай бұрын
Alafu piga kelele kwa hali uliyonayo hufai kuwa Rais wa nchi yeyote Duniani
@ramadhanchenga46064 ай бұрын
Ni kweli kabisa mama kagawa vitu vya tanganyika
@sahimm47674 ай бұрын
Na anakujeengeeni tanganyika yenu mbona hulisemi hilo au huoni
@sahimm47674 ай бұрын
Na anakujeengeeni tanganyika yenu mbona hulisemi hilo au huoni
@FridayMwassa4 ай бұрын
@@sahimm4767Kodi zetu ndiyo zinajenga yy hana hela
@adamlubawa12814 ай бұрын
Lissu ni mpuuzi sana yaaani bandari zako wewe ndiye uliejaza maji humo
@salma00004 ай бұрын
Hiyo bandari yenyewe ya Dar ilianzishwa na mwarabu, na Dar si sehemu ya Tanganyika
@adamlubawa12814 ай бұрын
@@salma0000 Lissu hajui Histolia Kama waarabu ndiyo walioanzisha bandari
@FridayMwassa4 ай бұрын
@@salma0000Acheni uongo hiyo bandari ilijengwa na wajerumani pamoja na reli ya kati,mwaarabu hawezi kukujengea bandari au shule zaidi ya misikiti
@salma00004 ай бұрын
@@FridayMwassaitakua hujawahi kuisikia Zanzibar Empire wewe. Mjarumani alitawala Tanganyika na hakuwafundisha hata kijarumani alvyokuoneni wajinga, aliwatumia kukamata ndugu zenu tu kuwauza utumwani.
@adamlubawa12814 ай бұрын
Lissu huna shukurani yaani wewe utahukumiwa na mungu
@FridayMwassa4 ай бұрын
Shukrani ya nini
@rashidomar27714 ай бұрын
Lisu unasahau kama watu waliuliwa na polisi zanzibar na mpaka leo watu wanaumizwa unasahau
@pidiusDominick-qi7nl4 ай бұрын
Lisu sheria unaijua ni sahihi kabisa kama kuna Zanzibar basi Tanganyika inatakiwa iwepo wala apo akuna ubaguzi wowote
@adelinelyaruu30364 ай бұрын
It's very ambiguous. One country, two presidents and two constitutions😁😁
@EnockKanduli-cv8yr4 ай бұрын
Tuwe na serkali tatu. Ndoo dawa yake
@user-gr9wc7bc2m4 ай бұрын
Habishani anawafungua ninyi wajinga dodoma imejaa vyuo lkn wasomi hawapo hata hapo wamekalia mitandao jinga kabisa
@cachboy52184 ай бұрын
Mjing ww askal wa zenj
@alisonikihedu96144 ай бұрын
Kuna kaukweli fulani
@bonifacemkanga63024 ай бұрын
Mmmmh aiseee huna issue tena
@JescaAcili4 ай бұрын
Tanzaniya shadama 2024010
@user-hv9pv3sd1u4 ай бұрын
Mm naelewa vzr maana naishi unguja na bala ila kwa machawa hawaelewi
@nabimanyafesto50144 ай бұрын
Asante
@IsayaSosolo-nx8zk4 ай бұрын
Tundu unabishana na Fatima kwani unapoteza nguvu zako kwa mjinga kama hiyo anakojoa huku amechuchumaa!
@sahimm47674 ай бұрын
Hayo ni maumbile boy acha upuuzi kwn bi mkubwa wa kwako hafanyi haja kwa kuchutama?
@NanaMasalago-rh4ow3 ай бұрын
Kwani lissu tukitaja tanzania unafaham nini mbon haueleweki!
@faridhassan23084 ай бұрын
Lissu unapotosha wasiojua ,katiba ya Zanzibar haiwezi kumzungumzia Mtanganyika,Kama katiba ya Zanzibar inasema kila mzanzibar atafaidi matunda ya zanzibar kuna kosa gani? Tanganyika haipo na ndio maana Mchungaji Mtikila alivyokuwa akidai Tanganyika ulikuwa ni mmoja wapo wa waliopinga,na pia elewa kuwa kila Mzanzibar ni Mtanzania lakini sio kila mtanzania sio mzanzibar,yote hayo unataka kupotosha hutaki kusema ukweli,lakini sisi tunajuwa wazi kuwa wewe ni mzuri sana kwa propaganda na hao wanaokusikiliza wengi wao hawajui kitu kwa hivyo unawaburuza,sema ukweli fafanua kiuwazi sio kupotosha
@OmarMohamed-zf8dp4 ай бұрын
Sasa Leo kakwambia ukweli umeumia sio
@mangulimanguli39744 ай бұрын
Lisu wachane wanzanzibar wamezidi kila ck Muungano Muungano kwetu Muungano una faida gn?uvunjike uo Muungano wasije Bara
@IsayaSosolo-nx8zk4 ай бұрын
Tundu sitaki Mimi ubishane na hiyo mjinga wa like!
@salma00004 ай бұрын
Anabishana na ccm bila kujua, ulidhani anabishana na nani
@IsayaSosolo-nx8zk3 ай бұрын
Kenge yule!
@richardnganya23114 ай бұрын
Zanzibar ni Nchi ! Wazanzibari wana yao !!
@domymerinyo81654 ай бұрын
Nimekuelewa sana ni ngumu kukuelewa
@KhaliluRahman-rc4te3 ай бұрын
kwan mlipoungan n wazanzibar hamkujuwa km zanzibar ndogo tanganyik kubwaaa mbon mnajizimaaa dataaa lkn
@OmarMohamed-zf8dp4 ай бұрын
Bara inabandari kutoka wap
@eliasnisagurwe1374 ай бұрын
muungano hauna faida yoyote
@geey78934 ай бұрын
Eti Mpka wakuu wa wilaya na wakurugenzi wapo wazanzibar daah!
@jamesmzaki60414 ай бұрын
Iko hivyo,,Hata huku nilipo DC ni Mzanzibar
@geey78934 ай бұрын
@@jamesmzaki6041 wilaya gani vile
@sahimm47674 ай бұрын
Kwetu zanzibar raisi ni mtanganyika au hulijui hilo
@geey78934 ай бұрын
@@sahimm4767 Mzee Mwinyi amezikwa Mwanza?
@maulidimwambala21274 ай бұрын
Ungura mwamba
@hamzakhamis15754 ай бұрын
Kwani tanganyika ameipoteza nani mpaka leo hii wewe ndo unalijuwa ilo? Marais wangapi wamepita tanzania na jee wote walikuwa wanatoka zanzibar mpaka mkashindwa kupata tanganyika yenu munayoidai?
@pantaleolaurentlaurentkavu20114 ай бұрын
Mbona salum mzanzibar hamujamtoa chadema na mlifanya nae kampeni huku bara miaka yote.
@FridayMwassa4 ай бұрын
Wamtoe kwasababu gani, wakati Lisu anampa ukweli Fatuma karume
@rahimsadru-ct4ot4 ай бұрын
Et aende zake 🤣🤣
@omarybakunda25544 ай бұрын
Lissu wewe ni chizi ndio mana kidogo utolewe roho kuwa makini na domo lako hakika Magufuli alikua kiboko yako.
@nabimanyafesto50144 ай бұрын
Yeye na magufuli nani yuko hai??
@user-hb3ip9it2j4 ай бұрын
Wambie ukweli kama hawataki wazeme hiyo ukweli
@SKY-fk3fz4 ай бұрын
Lakini Wazanzibar wamekusave uhai wako,
@saidimpako51864 ай бұрын
Shoga aki sev uhaiwako kwahiyo ushoga ni mzuri
@Ernestlaiza4 ай бұрын
Kwani wazanzibar ni mungu
@albertinamichael61234 ай бұрын
Nie wa bara si hamjitambui kama waznzibar acha muuzwe kwa waarabu.
@salummohamed26894 ай бұрын
Hivi watu wa serikali mkitaka kujibu haya hamsomi katiba hizi mkazielewa? Kama mmezisoma kwanini hayafanyiki marekebisho au ndo yale mazoea ya kukariri kuwa Mtzia haulizi chochote ukimwekea kwenye maandishi?
@zawadimbwambo10914 ай бұрын
Sasa mtu kama nape mwenye akili ndogo . ATI anajaribu kumjubu lissu!!;;;Hana ada u kwa watanganyika
@jafarmlawa96274 ай бұрын
Ushakua DJ sasa
@f.a60434 ай бұрын
😂😂😂 kama ww🐸👈🏽🤣 ukweli unauma tulia ww🐸👈🏽
@omarybakunda25544 ай бұрын
Huyu jamaa akili yake haiko sawa hata kidogo pelekeni milembe
@user-wp8yk6ow8h4 ай бұрын
RISASI ZA MAGUMASHI ZIMEMCHANGANYA AKILI ANAMTUKANA ALIEMSAIDIA SAMIA ALIENDA KUMKAGUA HOSPITALI KENYA NA ULAYA FATMA AMEMTETEA KORTI LKN HUYU NI CHIZI TUU
@adamlubawa12814 ай бұрын
Hajui Histolia na sehemu wanazotoka baadhi ya viongozi
@FridayMwassa4 ай бұрын
Wewe unayejua tujilishe
@user-dk8uf8ho9s4 ай бұрын
Dah Lisu unaitia aibu tasnia ya Sheria
@zawadimbwambo10914 ай бұрын
Yani wewe kama humuelewi lissu wewe ni mtoto wa balozi na unatumia mavi kichwani kufikiria.
@sirialemmy374 ай бұрын
Yani huyu anayesema Lissu anaitia aibu tasnia ya sheria, anayo matope kichwani. Ni mjinga wa mwisho kabisa
@silvesterrichardhelenya13194 ай бұрын
Wewe Ni ngombe unajua shria wewe
@f.a60434 ай бұрын
Hapa anaondoa unafiki wote ktk tasnia hio ya sheria
KUNA KAUKWELI FULANI HAPO!NAFIKIRI PAMOJA WAASISI WALIFANYA KWA SEHEMU YAO SIYO MBAYA NA SISI KIPINDI HIKI KATIKA KERO ZA MAMBO YA MUUNGANO BARA TUNGESIKILIZWA PIA.ILI KUBORESHA!!!!! KAMA ZENJI WANAKUWA NA KERO BASI BILA SHAKA HATA BARA PIA.
@obadiajuma4364 ай бұрын
Lisu MUNGU alikuacha hai kwakusudi
@nabimanyafesto50144 ай бұрын
Absolutely
@JamesJastin-bg1rx4 ай бұрын
Huyu lisu hajielewi
@user-wp8yk6ow8h4 ай бұрын
Lisu mchonganishi wapo wabogo kibao wamejenga zanzibar na wamepewa vitambulisho vya mzanzibari ss km ni hivyo muungano na uvunjwe basi na kila mmoja arudi kwao😊😊
@helencyprian87454 ай бұрын
Haina shida
@isaacalex63274 ай бұрын
Fatuma hana uzarendo
@MapenziMalanda4 ай бұрын
Huyu Mzee ame ishiwa sera Mungu amusamehe
@zawadimbwambo10914 ай бұрын
Una akili ndooogounashindwa hata na panya. Yanihuelewi?
@joscamwoshezi29864 ай бұрын
Huyu kweli ni kichaaaa kabisaaa
@zawadimbwambo10914 ай бұрын
Kichaa ni wewe unaepigwa bei kama kuku alafu unamshangilia. Unatumia mavi kichwani kufikiria?
@DjJohnBashir-oy7cx4 ай бұрын
Bado hawajaelewa 2?
@DanielMollel-nu5yq4 ай бұрын
Ni kweliiiiiii
@ZaitunAbdallah-ol1bb4 ай бұрын
Vunjeni muungano hizi ni nchi mbili nyie mmekubali muungano sisi hatkukubali muungano ndio zanziba hatukubali kuvunja kama mlivo vunja Tanganyika yenu sasa wabunge wawe sawa sawa kama Tanganyika kumi na Zanzibar kumi haijalishi ukubwa wa nchi hizi ni dola mbili sawa sawa tukubali kwamba muungano hauna ridhaa kwa wataanganyika wala waz
@emmanuelmlowe-ew7gx4 ай бұрын
Matako yako yavinje kwanza
@emmanuelmlowe-ew7gx4 ай бұрын
Naonaga napoteza mb zangu bre kumsikiliza lisu
@emmanuelmlowe-ew7gx4 ай бұрын
Hiyo katiba ya Zanzibar inatumika?
@user-id7ws5hl5p4 ай бұрын
Mbaguzi anajikosha sasa baada ya kufundisha siasa sio ulete ubaguzi
@MnubiMm4 ай бұрын
Kazi kwenu nyie wazanzibar mlioko Chadema ndio mjitathimini Mnastahili kuwa huko
@helencyprian87454 ай бұрын
Ukweli wacha usemwe
@JumaOmar-ku6cr4 ай бұрын
Kataeni muungano nasisi hatutaki hata kuuona kwanza hatuwapendi mnatuharibia tamaduni zetu
@user-fk6mt5ib6g4 ай бұрын
Kwani utamaduni wa Zanzibar ni upi? Kama sio Mila za waarabu wa Imani?
@nellyjr3964 ай бұрын
Utamaduni wa kutolewa marinda au😂
@HamzaHeri4 ай бұрын
AJAKOSEA FATUMA YUKO SAHIHI NYINYI CHADEMA NI WABAGUZI NA WADINI SANA ALAFU MNATAMA YA MADARAKA NYIE MKIPEWA. NCHII MTAUWANA WENYEWE WEWE SISI WATANZANIA TUNAWAJUWA.
@zawadimbwambo10914 ай бұрын
Ccm. Wana tamaa ya mavi?
@ZaitunAbdallah-ol1bb4 ай бұрын
Vunja muungano kama hamtaki hayo nyie mna wabunge wangapi tuwe na wabunge sawa sawa kama Tanganyika kumi na Zanzibar kumi
@salma00004 ай бұрын
Wameukataa utanganyika wao na kuukumbatia utanzania then kutuita wazanzibari wabaguzi kwa kuupenda utaifa wetu, sasa watulie wavune matunda ya muungano.
@user-wp8yk6ow8h4 ай бұрын
Kwa kweli ndo lililobakia sisi tumesema mpaka tumechoka na huyo samia bzdo hajatufanyia kitu kuliko anavyo wafanhia wao hadi makanisa anawachangia michango pesa kibao kweli mfadhili mbuzi binaadamu ana maudhi tuwachilieni nchi yetu ns mbakie na yenu mkesha muuwane wenyewe kwa wenyewe kama vile ruwanda nyoko zenu nyie michogo na migozi km kutukana ndo uungwana nasie tunajua msimtukane ndg yetu bureeeee😢😢😢😢😢😢😢😢
@salma00004 ай бұрын
@@user-wp8yk6ow8h hawa jirani zetu tulpokua tukilia na muungano waliufyata na kutuita wabaguzi leo eti wanasema Zanzibar tunanufaika na muungano wakati tumefika kuuliwa na masheikh kuwekwa jela kisa tumekataa muungano
@mugambarazidjuma8464 ай бұрын
Huyu atakiwa auwawe uyu ataketacshida inchini huyu mana haja elewa
@FridayMwassa4 ай бұрын
Akiuwa wewe unapata faida gani,na wakati huo unajifanya mshika dini kumbe una kama ya shetani
@user-wp8yk6ow8h4 ай бұрын
Chizi huyu
@mindicarrashid31314 ай бұрын
Risas zimegawa ubongo
@zawadimbwambo10914 ай бұрын
Sasa wewe hata kibao hujapigwa lakini akili zimeaambaratika Sasa unatumia mavi kufikiria utamuelewaje mtu mwenye akili?
@mindicarrashid31314 ай бұрын
@@zawadimbwambo1091wewe nimlango, wanakuingilia muda wote
@Gelenya-ne2ip4 ай бұрын
Siasa za maji taka!
@MnubiMm4 ай бұрын
HAKUNA zambi kubwa kama ubaguzi na huwa hauishii kalibu unatafuna kila kona iko siku hata bara tutabaguana hatutokuwa salama kwa sbb kila kabila tunatofautiana mila na desturi endelea tu iko siku utaelewa
@user-bl1tx8fc9v4 ай бұрын
Kama hivo bora tubaguane tu,,, kama hutaki kuambiwa ukweli bora uumie ili ujue ,,, sa unaendaje zanzibar na passport na wao wanaingia kwetu bila passport who does that
@sarahdeograthias90974 ай бұрын
Uyu jamaa kiukweli najuta sana kusikiliza hoja zake,niwaajabu sanaaaaaa sijawai ona
@lovenessvisent94084 ай бұрын
Wewe akili ya kuona kesho huna fungua ubongo usiwe mvivu wa fikra 😢
@MnubiMm4 ай бұрын
@@lovenessvisent9408Afazari yake kuliko wewe mlevi wa Akili Kila atakachosema huyu alipigwa risasi wewe ndio kwani haya anayoyasema lisi nyerere hakuyaacha alikuwa hayajui Unazungumzia Ukada na Mapenzi yako huwezi fikili ni ndio tu na yyt anaetofautiana nae kwako adui na Hana akili Akili ni kuunga mkono Kila hoja ya lisu
@user-id7ws5hl5p4 ай бұрын
Huyo mbaguzi hafai kuwa raisi huna sera Fatma karume kakunyoosha labda uwe wakili wa wamasau
@abelmirwatu5444 ай бұрын
Wenzenu kivipi?
@maryamabdallah31404 ай бұрын
Wacha uchonganishi...wakati wa Magu bado lawama, hata akija mwingine bado lawama hazitaisha... huyo ndio binadaam!!
@zawadimbwambo10914 ай бұрын
Ujinga ni ugonjwa augu kwako huwezi kunielewa akilikubwa hio.. wewe qaelewe malimbukeni wenzio
@uwezotv4 ай бұрын
Sasa halafu chadema itaenda kuomba kula zanzibar kweli ipate nitawaoma wazanibar watakua waninga sana wakikichagua chama cha chadema watakua watu wa ajabu sana huyu mbaguzi sana akili hana laana ina msumbua ana mtindio wa ubongo
Nenda falla ww huna sera mbaguzi makufuli alikutia adabu kwa mdomo wako huo mbaguzi
@RutinikiGosbert4 ай бұрын
Sasa yuko wapi aliyemtia izo adabu Mungu wetu ni mwema aliona mambo yasiyokuwa ya haki
@nshoyachacha34974 ай бұрын
Tundu Lissu unapayuka mno. Umepoteza mwelekeo na ndiyo maana CCM wamegundua hilo na hawajali utapayuka kiasi gani. Wao wako busy kuhakikiaha serikali za mitaa wanashind asilimia tisini. Kudai Raisi Samia ameuza bandari ni uongo na unadanganya watu wasio na ufahamu wa dunia na biashara. Tundu Lissu ni bora ujitafakari ili kuepusha kuiangamiza Chadema kwa sera zako za hasira.
@zawadimbwambo10914 ай бұрын
Elezea alivyopoteA muelekeo? Kama una akili tuone.
@nassercurtis95794 ай бұрын
Huyu jamaa hana akili kila siku me nasema hiki chama kina mihemko sana, mbona magufuli hakuwafukuza na aliwatetea sana watu wa hao wa masai na ukamuita diktekta
@nabimanyafesto50144 ай бұрын
Shida watu kama ninyi hamchukuagi pointi ndio shida; na ndio maana Mungu alimuacha haiiiii.
@MuriduAli-cf3xh4 ай бұрын
Acha ujinga lisu.kama hujuwi.ndugu zako wapo Zanzibar wanajiuza nawala hawafukizwi.pia kuna wengine wameeacha udangahji.wanafanza kazi.sikta binafsi.hata Hao wazanzibari..hawapati hizo kazi.usitake tussle yote
@OmmyJames-xn7ji4 ай бұрын
NEXT EPISODE CHADEMA 🤧🤧🤧🤧🤧🤧WAZEE WA MATUKIO
@f.a60434 ай бұрын
🐸🐸🐸👈🏽🤣🤣🤣
@salma00004 ай бұрын
Lissu umeshindwa kumuona big white elephant in the room(ccm) , nilikuona wa maana kumbe huna akili.
@user-ng7fi7nl2r4 ай бұрын
Tundulisu nimlopokaji anahoja zamsingi hoja zake zakupandikiza chuki hoja zake zakijinga alafu ana shukurani alikimbia nchi lakini samia kwahuruma yake akamludisha nyumbani leo anamdhalilisha anaongea utumbo tu