Mungu Akubariki Peter Madereka na Team yako, Dr Peter Slaa uko salama kwa uwezo wa Mungu. Insha Allah
@timboxlee91910 күн бұрын
Wanaacha mawaziri majambazi,wanafunga watu wanaotetea mali za Tanganyika
@mambosasabill75589 күн бұрын
@@timboxlee919 huyo pimbi tu,wenzake Wana kula bata yeye ananyea DEBE
@Frankremishoy10 күн бұрын
Mbwembwe nyingi nguvu kubwa Askari wengi Kwa mzee.just intimidating
@sebmalunde594510 күн бұрын
AT THE END OF THE DAY EVERYINDIVIDUAL WILL DIE. Pole sana Dr Wilbroad Slaa
@TomasiklistophaMwinuka10 күн бұрын
Dokter Slaah tuko pamoja tunazidi kukuombea namungu akulinde
@annasitaziakamtewe10 күн бұрын
Yaani ni upuuzi sana mahakama zetu zimegeuka kuwa chombo Cha siasa na ukandamizaji.
@MashakaMagesa8 күн бұрын
Tatizo ni mfumo wa kuwapata hao mahakimu, majaji ndiyo mbovu hauoni hata Bunge la Sasa halina nguvu tena Kwa serikali ndiyo maana Watu wanataka katiba mpya Mifumo ibadilishwe Jaji anateuliwa na Rais unategemea Nini hapo
@amanmalima94010 күн бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@childofgod321610 күн бұрын
Huna akili kabisa Mambo hayo sio Mungu ni mwanadamu na Mwanadamu Unafikir slaaa hamwamini Mungu Acha ujinga umeniuzi kweli yani Mungu anajua Kwanini yupo hapo
@childofgod321610 күн бұрын
Hata injili yenyewe Hujui Mbinguni sio ENEO la kijeografia Ni ufahamu Mbinguni ni ndani yako Acha kutarajia kwenda mbinguni
@aqcqpissa68879 күн бұрын
@@childofgod3216sasa ndg biblia inasema nitawahukumu kwa sheria zilezile mliojiwekea
@malakiedson8 күн бұрын
Mwachie dk sira mzee wetu moja ya wazelendo wa nchii hii wapenda haki.
@AlhajiHusseni-x9g10 күн бұрын
Jambo God bless you always,
@annasitaziakamtewe10 күн бұрын
Aisee,tz kwa hiki kinachoendelea kwa dr.slaa ni aibu na unaweza kuona jinsia mahakama zetu hazipo huru,wanafanyakazi kwa maelekezo ya watawala.
@Wardenburg-h5x10 күн бұрын
Yes
@shabanizayumba543210 күн бұрын
Mungu tunakuomba umnusuru mzee wawatu,ukweli hana kosa,
@lawimichaelwerewere761910 күн бұрын
Mungu akutetee
@EmmanuelChrispin-bo5xh10 күн бұрын
Serikali du!
@dignakanje450810 күн бұрын
Tufike mhli hwa wazeee tuwalipe waliofanyia hpa Dunia ,Tusisahahu mema Yao maxury tusiyasahau tukahukumu kwakidgo alichokifanya.Tuwaelimishe ili waishi uzee wao kwawema.
@YosephatMasanyiwa10 күн бұрын
Sio aache siasa, bado hatujapona
@mohdseif16599 күн бұрын
Hilo lizee silaa lilijifanya mjuaji Sanaa aache uwongo atambue raisi ni taasisi kubwa
@DONALDMTOWE-u9g9 күн бұрын
Sema nani alikwambia Rais katoa hela mzee?,au wamepigiana simu?,ulipo pewa ubalozi ulikubali ulipotolewa umeanza umbea,sasa utamjua Samia vizuri,hongera mama samia mitano tena.
@godlovekinyunyu-lk3hu9 күн бұрын
Tanzania !!Tanzania !!Tanzania watawala wangu wanako kupeleka wanajuwa wenyewe sijui kama unaumwa au uhai mimi yangu macho tusio na macho tunaona wenyewe wanao oña wanafumba macho tusilazimishwe kufumba macho wote oneni jamani siyo kabisa Utakufa Tukiku angalia pole sana Tanzania ninaye kupenda daima moyoni mwangu
@AlexMagori10 күн бұрын
Ila askari magereza Wana mbwenbwe 😅😅😅
@نوفل-س5ر10 күн бұрын
Wanambwembwe au wanasifa??
@vinny.morales10 күн бұрын
Mafala tu😂
@mohamoudhussein457010 күн бұрын
Wewe Muite anaropoka Hio Nchi haina Sheria na kuna Siku yakikukuta ndio utaelewa.Mzee Ali Kibao alitekwa kwenye Buss na kuuwawa jee na yeye alijitakia.Kuweni na mioyo ya kibinadamu Hatupaswi kuwa hivyo.
@kamanapomo702910 күн бұрын
Kwani uongo?, nikweli slaa karopoka anatakiwa awempole tu mamlaka zimuhurumia umri alionao sio rafiki kufanya mambo Kama hayo na kua katika mazingira hayo binafsi niombe tu mamlaka zimuhurumia coz anaonekana afya + umri sio rafiki kwake na Mzee slaa pia ajitathmini mwenyewe na achague upande akipenda kuendelea kutumika kisiasa haitakua nzur kwake muda haupo upande wake alishafanya ya kufanya Sasa atulie tu.
@RastaMany-p8x10 күн бұрын
Lisu kashinda tayr na we umesha shinda apa ni swala la mda2🇹🇿✌️✌️✌️❤️❤️💪💪💪💪💪💪🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🙏🙏
@jumskibona326110 күн бұрын
Moja ya mambo ya aibu kwa taifa ni kuendelea kushikila mzee Dr slaa mtu mwenye. Hazi zake na pia mzee huyu ajaonekana kutenda kosa wakina ndani
Twaafwa Watanganyika. Tukimbilie wapi Yarabi, Mahakana zenyewe ndio hizi...
@EmmanuelKazimili-ky1ss10 күн бұрын
Tunaomba mahakama impe dhamana Mzee wetu
@deodatusmugalulamugalula10 күн бұрын
Hivi kuns haja ya dr Slaa kulindwa kwa mbwembwe hivyo kama amekuwa Gaidi au kaua mtu laana itawapata wahusi wakati wa MUNGU ukifika.
@Piusrevo20134 күн бұрын
Mimi najiuriza Mzee mangufuri adi alimpa ubarozi duu
@AnociathaChuwa-cb5nk9 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI DR SILAA UNATESEKA KWA KUWATETEA WANANCHI WANYONGE WASIOKUWA NA UELEDI WA HAKI ZAO WANATESEKA NA MAISHA MAGUMU MNAOMTESA HUYU BABA SIKU MOJA MTAYALIPA.MBELE ZA MUNGU
@simonsadala238610 күн бұрын
Mzee anamaliza vibaya kwenye siasa zake jmn kila jambo Lina mwisho wake
@mdnsakuzi773210 күн бұрын
Wajinga ndiyo mtaamini kuwa anamaliza vibaya muda wake
Watanzania bwana huyu Mzee alivyokua anachezea vyombo vya Dola na kutukana mmekaa kimya tu bila hata kutoa ushauri Kwa huyu Mzee kua pumzika acha kupambana na Dola. SI kitu kizuri kwake
@tumlakimwaitumule10 күн бұрын
Sasa kama ametukana si ahukumiwe ?
@Wardenburg-h5x10 күн бұрын
Kuma la mama yako
@RBMBAKARI-bv6wn10 күн бұрын
@Wardenburg-h5x wewe acha matusi ni jinsi Gani umefilisika kimawazo .Mimi sikutukani ila Dola l itakushukia😀
@AlbertSabo-hp3ss10 күн бұрын
Kazi ya Mama na "R" nne ipo kazini 😮
@mohdseif16599 күн бұрын
Hilo zee silaa ni mchochezi achukuliwe hatua kali za kisheria
@TumainieliMamuya5 күн бұрын
Jaman
@kennycathles10 күн бұрын
Muogopeni MUNGU kwa mnavyomtendea huyu Mzee. Duniani tunapita tu!
@machumumalugu405810 күн бұрын
Upo sahihi ndg...yaani watu utu umepotea tunaishi kama wanyama pori yaan alie na nguvu ndo mwenye haki
@JustineKavishe10 күн бұрын
Mmh nimetumia sanaaaa
@edwarddaniel568310 күн бұрын
Kwani huyu mzee wakimwacha alale nyumbani na kwenda mahakamani kila wanapomhitaji kuna shida?
@frankpeter417810 күн бұрын
Yaaani
@annamnanka-qk1bx10 күн бұрын
Jamani mpe haki huyo mzee
@GodfreyMwendawila-ff7on10 күн бұрын
Hii nchi yetu inalaana kubwa sana wanajalibu kufanya kila linalo waflahisha mioyo Yao hata kwa kudhulumu maisha ya wengime ili mladi tu wapate Wanacho kitaka kisa wako selikalini
@richardhosea882710 күн бұрын
Slaaa hiyo ni sehemu ya kazi yake huwezi kuwa mwanaharakati bila kukukuta hayo yeye yupo sawa tu
@jeanmusamba844810 күн бұрын
Samia unamtesa mzee hivyo kisa mmetofautiana mawazo duuu,this is not good,na wewe Mzee Silaha mwombe Mama Samia msamaha muyamalize na wacha ongea mambo ynayokwaza serikali,toeni tofauti zenu hatuwezi wote tukawaza katika mtazamo ulio sawa lazima tutatifautiana
@hashimuuhehwa425210 күн бұрын
Hivi Samia Suluhu haoni aibu kweli kwa matendo haya ya kipuuzi
@donaldmaziku791510 күн бұрын
Godly blindness
@nyembobea728510 күн бұрын
Ona aibu wewe na mzee wako kupayuka hovyo, acheni kuleta mazoea na serikali makosa afanye Doctor silaa aibu aone rais wapi na wapi acha kumuandika rais na kumuhusisha na mambo ya makosa yenu huyu mzee aache kutumika kisiasa
@MaguguStore10 күн бұрын
Mzee ndio mpuuzi ningekuwa mimi Rais
@AbudullaSulieman-ez7dl10 күн бұрын
Kwani amefanya nni?
@MohammedAwadh-gq9si10 күн бұрын
Samia sio mahakama ,cha msingi usaliti wake utamuumiza , Mzee angeachana na siasa akalea vitukuu ,sasa hata lissu hana muda naye
@B23-i8p10 күн бұрын
Tz bhana 😂😂😂 Yani kama Gahidi
@leokamil628410 күн бұрын
Inachekesha kwa huzuni sinema tupu .Tupo bado usingizini
@leokamil628410 күн бұрын
Drama za kututishia raia wa Tanzania 😢
@B23-i8p10 күн бұрын
@leokamil6284 kabisa
@faustinluambano295810 күн бұрын
Hivi askari hawa wote ni kulinda slaa au kwa kuwa kuna posho?
@RamadhanAlly-cf7du10 күн бұрын
Yani maaskar wa kibongo baana yani wanamlinda mzee na srahaa kubwa utazan jambaz
@NixonJohnson-zn8nk10 күн бұрын
Kudos akili ni Jamboree LA ajabu mno.. Ndio kinachowasumbua
@stewartdyamvunye-wz6rn10 күн бұрын
Hii ni dalili tosha ya utumishi wa umma hii leo umejaa watumishi kama sio wote walio wengi ni wenye vyeti feki. Kama matokeo tunashuhudia leo kila kona utendaji usio na hekima, weledi wala utu! Comde Slaa analindwa na askari/silaha kama makomando utadhani Paulo Escoba gwiji wa madawa ya kulevya kule Mexico! Kisa: Slaa kasema rais Samia anaongea na Mbowe/anafisadi uchaguzi CHADEMA! Mwamba Magufuli alipiga vita sana vyeti feki, alivojiondokea, sera hii ikatupiliwa mbali na kuwarejesha kazini vyeti feki! Hivyo kuhalalisha vyeti feki zaidi vipya! Sasa tusishangae mauzauza: polisi - sisi ni weledi, tutachunguza kifo cha mzee Kibao, hadi leo kimya! Mchengelwa - CCM imeshinda kwa 99.8! (Kwa viwango hivi hakika CCM sasa ni malaika!) CAG - jamani kuna ufisadi, serikali kimya! DP World badala ya yeye kunyenyekea kuomba kazi kwa wa tanzania ya kuendesha bandari, Steaven Wasira (na wenzake) aliziara nchi nzima kumuombea kazi huku DP World amelala mustarehe Dubai! Na mengine mengi, si rahisi kuyataja yote hapa!
@BestonMwaminyambi9 күн бұрын
Hata jambazi akiwa mahakamani hakuna haja ya kubeba silaha namna hii labda kama Yuko kwenye tukio la ujambazi au kama ni gaidi.
@Isaacchama-d8j8 күн бұрын
Tanzania mambo yanayoendelea ni aibu mambo yakijinga SANA serikali ya samia imeshindwa kuendesha nchi
@ThomasAlute10 күн бұрын
Mahakama ya Tanzania ni ovyo sana imegeuka chama Cha siasa
@JosephineKabuka10 күн бұрын
Tuna serikali ya hovyo sana!
@YourMoor-px1rd10 күн бұрын
HAPA BONGO HAKUNA SHERIA KABISA
@AllanLyombile10 күн бұрын
CCM na serikali mnatia aibu sana mnawaogopa hata wazee vikongwe? basi mmefirisika vibaya kisiasa, mwisho mbaya unawasubiri.
@AidanAndrea-g5b10 күн бұрын
Mi namuomba mheshimiwa Rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania amsamehe tu si Kila atae sema kuhusu yeye amfuatilie mengine asamehe tu tuendelee na mengine
@modernmwamtobe-lq8rg8 күн бұрын
Komenti zingine ni za kipuzi sana wewe kripu aliogea mzee silaa hijaiona.acha wanasheria wafanye kazi zao.
@AllyMwakyioma10 күн бұрын
Kwa kweli hii selikari iwe na huruma. Umri wa mzee slaa umeenda sio wa kukaa rumande bila sababu za msingi.
@kamanapomo702910 күн бұрын
Hoja dhaifu, wazee wapo wenge sana nchi hii, huyo kakosea aombe radhi mamb yaishe ujuaji wa uzeeni sio sawa aachekutumika vibaya
@ndelanzali10 күн бұрын
Shetani hawezi kuwa na huruma
@abi-onlinetv418110 күн бұрын
Wazee si wengi kwa nini akamatwe yeye. Au kichwa kikubwa akili kisoda
@Dr.ForexTz10 күн бұрын
Dah mzee wetu anateseka jamani
@giztony200910 күн бұрын
Kwa kile alichokisema anastahili
@MaguguStore10 күн бұрын
Kasema uongo ingekuwa vema angeomba msamaha
@victorcharlesmwakikoti776410 күн бұрын
V@@giztony2009Wala hastaili mana hajaua mtu mbona
@2000-j3i10 күн бұрын
Wacha afundishwe kuheshimu dola
@hamzakhamis157510 күн бұрын
Iyo ndio dawa yake, ttzo lake ni kiherehere sana
@HonorataMafala10 күн бұрын
Ukipanda mahindi utavuna mahindi so watavuna wanachopanda. Mbingu na ahdra iko hapahapa. Mungu ni wa haki atahukumu kwa haki.
@alisalim272510 күн бұрын
Yani bongo bwana sasa huyu mzee ndio tushio sio mpka mwampeleka left right
@MzeeBabu-s6y10 күн бұрын
daaa hayaa mungu hana yaona
@TomasiklistophaMwinuka10 күн бұрын
Tunawaamini mawakili wetu kuufatiria kesi ya dokter Slaah il aachiwe huru wanaamua tu kumtesa mtetezi wawanyonge wananchi watanzania .
@teddymassawe358310 күн бұрын
Kwani huyu mzee hata angekuwa askari mmoja anaweza kukimbia kweli au ni mbwembwe tu
@husseinshabani952210 күн бұрын
Analindwa sio Asikimbie...Analindwa ili Asizulike.wangemsamehe tu Mzee ..Naona kama Amechoka kiafya.
@AroniBruno-v2b10 күн бұрын
Nan afute ,mama funga hyo Mzee mshambenga SANA ,sas hzo ela zko wp mbn mbowe kashndwa? Msaliti akafie gerezan hyo kobe
@JacquelineMnishanga7-hw9zp10 күн бұрын
Nawashangaa mnaomlaumu Mama ! Tatizo lipo kwa huyo mzee yeye ndiye aliye Twitte ujinga kumuhusu mama sasa muacheni apate alichokua akikitafuta.
@BorySaronge10 күн бұрын
Kwa umri huu na uzee huu Dr slaa ulikuwa hauna sababu ya kusumbuana na dola.
@LeahMgunda-l8c10 күн бұрын
Mabunduki kulinda mtuhumiwa mzee, mtoto kauliwa na fisi Simiyu!!!!
@JamesAbel-ig8wb10 күн бұрын
Vyama vya upinzani ongezeni nguvu mzee Slaa apate dhamana,
@YourMoor-px1rd10 күн бұрын
CCM NI CHAMA CHA UONEVU HAWATAKI KABISA KUKOSOLEWA KILA KITU WANACHOKIFANYA WAO NI SAHIHI LKN YANA MWISHO WAKE
@kihongole87-ns1bo10 күн бұрын
Hv kanisan au misikitini huwa mnaenda kweli na bdio maana mkifa tnafrahi
@ndelanzali10 күн бұрын
Wanaenda ila Mungu hayupo
@onesphoryndomba611510 күн бұрын
Haya yanaonekana ni maagizo kutoka juu kabisa lakini yatapita tu sote ni damu na nyama mungu wetu atatenda kwa wakati usio julikana mteseni mzee lakini ipo siku
@malkavoice257010 күн бұрын
Huyu mzee mnamtesa bure mnajilimbikizia laana Mahakama na serikali yenu. Kawafanya nn huyu mshua mbona hana hata shida na mtu
@mfwimiekayuki869210 күн бұрын
Ni jambo la aibu,serikali imajidhalilisha.
@solomondanny-150710 күн бұрын
Mwacheni mzee amechoka. Huenda hata aliyoandika sio akili yake. Ni uzeeee 😅
@PeterMuhina10 күн бұрын
Daaah nchi hii😢😢😢😢
@vinny.morales10 күн бұрын
Askari wa Tanzania vituko kweli😂.. sasa huyo pimbi kavalia kama anakwea mlima Everest😂
@buberwajohn131210 күн бұрын
Safi kabisa wakili msomi
@frankpeter417810 күн бұрын
Tanzania tumelelewa kuwaheshimu na kuwatunza wazee na kuyanyamazia yale wanayoyatamka kwa hasira na mihemko, mstufundishe utamaduni mpya kuwadhalau kuwakamata kamata, sisi wazee wakiingia hata kwenye gari tunaangaliana nani anyanyuke
@AminaJofrey-u8m10 күн бұрын
Samia kapania na ndio sababu Dr. Mpango ameamua kujitenga na maovu haya.
@kamanapomo702910 күн бұрын
Unaushahidi na hilo?
@MiriamAziz-z5t10 күн бұрын
OOH MAMA TANZANIA....AIBU NA FEDHEHA KUBWA KWA TAIFA LETU KWA HAYA MAMBO YA AIBU YALIYOFANYWA NA HAKIMU WA MAHAKAMA YA KISUTU, OFISI YA DPP AKISHIRIKIANA NA POLISI....AIBU KUBWA SANA KWA SERIKALI YETU....DUNIA INATUSHANGAA!
@Freeedom-e4h10 күн бұрын
Kwa umri huu lengo kumtia presha mzee adondoke mana hakuna jambo alofanya ujinga tu
@AminaJofrey-u8m10 күн бұрын
Mahakana imeahirisha uamuzi Ili kusubiri maelekezo kutoka juu kama Dr.Slaa apewe dhamana au la.
@iddyissa811010 күн бұрын
Mtamuuuwa bule mzee wa watu
@BestonMwaminyambi9 күн бұрын
Wakumuuwa Kwani wao Wana hati miliki ya uhai au Wana ujomba na mungu?
@SimonMelon-k9p10 күн бұрын
Sasa huyo babu,simuachie tu
@MathiasMayengo-c1c7 күн бұрын
Tz viongozi hovyo
@sundaystanley532210 күн бұрын
Nakuonea huruma dr slaa lkn nadhani tujifunze kutokuwa wasemaji wa mambo yasiyo na ukweli,taasisi ya urais ni kubwa mno
@evansdecaprio819610 күн бұрын
Watanganyika tunahangaika sana
@SaleheNgoli10 күн бұрын
Wewe mnyarwanda
@MiriamAziz-z5t10 күн бұрын
KOMREDI SILAA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.
@hamisishabani407210 күн бұрын
Huyu ni komredi wa kuropoka hivyo.wacha ya mfike.
@GadafSalum10 күн бұрын
Acha anyowoke mze anazalawu sana
@hamisishabani407210 күн бұрын
Sawa sawa.
@HamisiNguche10 күн бұрын
Serikali inapenda kuwafunga watu wanaowakemea wezi ili waache Wizi. Na wale wezi wanalindwa. Yaani hapa Ni Mungu tu aingilie Kati. Ni ngumu Sana hii kuwaondoa wezi madarakani. Wanalindwa sana
@kamanapomo702910 күн бұрын
Slaa mwenyew ndio mwizi mkubwa alikimbia upadri kwa tamaa ya fedha za siasa hayo ndio malipo yake, alipokua anatukana na kuwadhalilisha watu tena viongozi hakujua Kama Kuna sheria?
@HamisiNguche10 күн бұрын
@kamanapomo7029 lakini Serikali yako si ilimpa ubalozi huyo baada ya kutoka ujambazi akiwa Padre. Sasa Serikali kwanini ilimfuga kumpa ubalozi. Ndiyo maana nasema Serikali inapenda kutetea majambazi. Leo jambazi mwenzao kawageuka inawauma nini? Huyo tayari ameshajua mbinu za ujambazi mnazotumia. Mwacheni huru.
@StivinPasco10 күн бұрын
Mbona mzee analindwa kuliko kawaida
@zedmsuya42010 күн бұрын
Em muacheni huyo mzee bwana mnamtesa sana jmn
@EmmanuelGervars7 күн бұрын
Slaha stafu siasa umezeeha achia vijana jamani
@justardzelphine65269 күн бұрын
Kamateni mafisadi na wala rushwa! Sio wanao waking! Laana inawatawatafuna!
@CharlesLobulu10 күн бұрын
Mzee mwenyewe kutembea shida askari wote hao wa kazi gani.
@bsmonline84829 күн бұрын
😂😂😂 mi mwenyewe najiuliza yaaani dooh
@hamisishabani407210 күн бұрын
HAWA MAWAKILI WANAKAUKA MAKOO WANATETEA CHAO WAKO KAZINI HAO.
@PovertyPeace10 күн бұрын
Kamdomo kamdomo
@Oswaldpaulkimario10 күн бұрын
Mwachieni jamani huyo ni mzee msinyanyase hivyo
@YourMoor-px1rd10 күн бұрын
YAANI NI JAMBO LA AIBU SANA KWA SERIKALI YETU
@ezekielkitula449510 күн бұрын
Kesi ya msingi ni ipi? Habari haijakamilika.
@VictorMwalulenga10 күн бұрын
Nimaagizo kutoka juu hayo
@Andrew-d1x3j10 күн бұрын
Huyo mzee aachane na siasa.apumzike kwake
@Seifkassimmkumba10 күн бұрын
Mwana siasa awezi kuacha siasa mbaka mwisho wa maisha yake