Leo mtumishi wa Mungu umegusa Moyo wangu sana, maana yote usemayo nilidhani umeniona kweli kweli, naamini Mungu wetu yuko na sababu kwa ajili yangu kupitia wewe, Mungu wetu akutende mema kwa jina la Yesu Amen 🙏 . Timothy Wandera kutoka Kenya county ya Eldoret.
@Lesley4003 жыл бұрын
Wewe ni Rafiki yangu mwalimu wangu mshauri wangu jirani wangu wa Mbinguni ninabarika sana namshukuru MUNGU pastor Mmbaga
@montteyfloki39533 жыл бұрын
Huyu pastor ni zaidi ya mwalimu.bwana yesu ninakushukur kwasabb ya mtumishi wako kwasabb anatujenga sana sana.
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@ireneorina35603 жыл бұрын
Nimejifunza mengi Sana, roho Wa Mungu azidi kukutumia kwa mafunza mengi kama haya. Ubarikiwe sana
@danielkisonde5667 Жыл бұрын
Naendelea kubarikiwa sana barikiweni zaidi
@pstbahavusylvain6893 жыл бұрын
Amen Amen Mungu akutie nguvu kwa ujumbe. From Canada 🇨🇦
@cyrusmagonya26703 жыл бұрын
Asanti pr. Nimepokea uponyaji, katika Jina LA Yesu. Hakika ushindi daima
@sifunimuojikweba86353 жыл бұрын
Ubarikiwe zaidi mchungaji Nakuelewa vzr unapofundisha/kuhubiri ninabarikiwa sana sana nafuatilia toka Oshakati Kaskazini mwa Namibia.
@romainesikujuwa24433 жыл бұрын
Amen! Jina langu ni Romaine sikujuwa. Niko Nederland. Minabarikiwa saaaaaaana na mahubiri,
Thanks pastor for educative teaching. I am with you since first day and I have benefited alot.may the Lord bless you
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@gladkathurima87023 жыл бұрын
Huyu ni mimi kabisa Unanenea, kuhusu kujenga. Mungu amenipa first step, Tafadhali niombeni kuna blockage.
@jacquesmwangu15412 жыл бұрын
Na barikiwa na fundisho hiyo
@tabithajeremiah26573 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu nimefuatilia somo hili tangu oart 1 hadi ya 6 nimebarikiwa sana.vilevile nimekuwa mfuatiliaji wa masomo yako kwenye KZbin ninabarikiwa SANA.MUNGU wa mbinguni azidi kukutumia kwa utukufu wake.
@upendoeliudi51963 жыл бұрын
Aminaa barikiwa sana pastor Mmbaga
@imgracesamwel39993 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa bwana mungu
@phinawatwego72603 жыл бұрын
Amina na Amina, Bwana Mungu asifiwe
@chancekambale34982 жыл бұрын
Nimebarikiwa.
@lindabarasa43163 жыл бұрын
Naskia kubarikiwa sana na mahubiri yako mchungaji mmbaga barirkiwa sana
@jimmyjangu69343 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi kuna kitu nimekipata ktk jum hili
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Umeona mengi Mchungaji. Mungu akubariki
@judithnjalambaya245010 ай бұрын
Amen 🙏
@hortensiaprotas9226 Жыл бұрын
Nashukuru sana kwa mafundisho je unaweza kunisaidia naomba Yako? Pia mtu anawezaje kuvunja mambo yaliyopita au kumpoteza Mungu narudi lakini naona Bado by HP protas from Kilimanjaro
@user-wg2gd2nl6c3 ай бұрын
Waimbaji stjawaelewa. Kuna mungu wa utatu. Anatoka wapi? Au walomani?
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Amina!! Yesu anatupenda
@FurahaKitsao-oq9rm9 ай бұрын
Nawaoata kutoka Saudi Arabia
@user-ns1jw3rl3g11 ай бұрын
Thanks alot
@celinalyimo1870 Жыл бұрын
PASTOR ROHO WA MUNGU AZIDI KUKUFUNULIA MAANDIKO TUPATE KUPONA MJIIBU KUHUSU UJENZI NIMEPONA KWANI KILA ULIPOKUWA UNAFUNDISNDISHA NIMEJIONA KAMA NINA NYUMBA TAYARI KWANI MIMI NI MMOJAWAPO NIMEKWAMIA NIiani kwa mda mrefu lakini sasa zab. 127 :1 na mith. 16: 9 ooh. Nitakuambia matokeo. Nakuskiliza nikiwa U.S.A.
@juharazanzi9973 жыл бұрын
Mchungaji nashukuru sanaa kuusu somo la ombi japo naisi lilikuwa limepita ila nimabarikiwa maana na mimi nipo miongoni
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@frank_luminous3 жыл бұрын
Pastor naomba unisaidie kujua hili hivi watu waliokufa kabla ya YESU kufa na kufufuka watapata neema ya kuishi milele ikiwa tunapokea wokovu na maisha ya milele kupitia wokovu wa YESU KRISTO!?
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Soma Warumi 2:12-16
@eluyasillah10363 жыл бұрын
Naamini nitajenga sasa!Nina mabanda ya uani yanashindwa kuezekwa,sielewi sababu!
@onesmoelias85093 жыл бұрын
Amina nmebalikiwa
@juharazanzi9973 жыл бұрын
Nawapa na mimi nipo Muscat omani nabalikiwa sanaaa watumishi
@reaper55343 жыл бұрын
Swali mchungaji, watu tunaowasaidia sio tunajiunganisha na madhabahu yao mana hatuwajui wengi? Je inatakiwa ukimsaidia mtu Kimtu kifedha unatakiwa kuiombea kwanza? Naomba ufaganuzi juu ya jambo hili. Barikiwa sana🤲🙌🙏
@user-wt2gz7by5j2 жыл бұрын
Amen thanks
@eluyasillah10363 жыл бұрын
Hakika me Na nyumba yangu tumebarikiwa Na semina,tunakuombeawewe Na familia yako MUNGU awatunze
@elieshambakatembo92803 жыл бұрын
DR congo tuna barikiwe kwa ujumbe, sasa kitabu tutakipata kwa njia gani?
@moisekitumaini88709 ай бұрын
Salamu zangu zikufikiye. Tafadhali, nime sikiliza haya mahubiri, na kisha kusikiliza nime kuwa na hili swali: tufanye je? Tusipoteze tena muda kuomba msamaha wa zambi zetu kila mara tunapo tafuta kuomba ?
@moisekitumaini88709 ай бұрын
Ubarikiwe na Mungu.
@victoriajames61903 жыл бұрын
Amen
@chancekambale34982 жыл бұрын
Lakini pasta hapo kwenye mutu aliye kufa kuku ambia kitu kwenye ndoto umesema sio vizuri! Mbona Yesu Kristo aliongea nao? Siwakumbuki majina lakini nafahamu kua walikua na mtia moyo waka alikua naenda sulubiwa.
@isabelavictor99643 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@violetteiradukunda77613 жыл бұрын
Asante sana Mchungaji,nawezaje kupata hicho kitabu? Niko America.
@keziaranga63293 жыл бұрын
Nawapata vyema kutoka Australia, nabarikiwa na Mahubiri haya,
@richakilo3 жыл бұрын
Im blessed with ur teaching pastor. May God continue to bless you pastor. Happy sabbath
@vicentndiholeye10673 жыл бұрын
nimebalikiwasana
@vicentndiholeye10673 жыл бұрын
namushukulu mungu kwakusikia kilasiku mahubiliyako napendwzwanayo lohoyangu inajisikia amanisana
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
@lucykadeghe3193 жыл бұрын
Amen. Naomba namba za pastor Mmbaga.
@perisbosibori85243 жыл бұрын
Today's teaching was awesome with a number of testimonies. I've been so blessed and i praise GOD wholeheartedly. Be blessed pastor and happy sabbath.
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Kweli njaa nikifunga
@GeoffreyKithure Жыл бұрын
Geoffrey kithure na kusikiliza ni kiwa muru kenya
@gladkathurima87023 жыл бұрын
Bwana asifiwe sana kwa Mahubiri anayoikupa Pastor David. Hakika nimeona Jesus in action in the present World. Sana testimonies za Huisho, Uponyaji, intervening of Angles and Heaven at work to bless us Spritually,, Mentally, Physically and Socially. Nasikiza kutoka UK. God bless
@joycemashikolo909611 ай бұрын
Achana nae Abuu sio mtu mzuri ipo siku atarudia tena kukusariti .nakuona wewe ni binti mzuri sana utapata wako mwaminifu bado wanaume waminifu wapo wengi,pia imani yako iweke kwa Mungu na wala sio kwa waganga
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Kuongea kwa signal!!
@aquilineanthony11153 жыл бұрын
shaloom nami naomba hicho kitabu cha manabii na wafalme namba yangu ni 0753005444
@esthermsely35372 жыл бұрын
Amen🙏
@estherwambuies17823 жыл бұрын
Amen
@chancekambale34982 жыл бұрын
Lakini pasta hapo kwenye mutu aliye kufa kuku ambia kitu kwenye ndoto umesema sio vizuri! Mbona Yesu Kristo aliongea nao? Siwakumbuki majina lakini nafahamu kua walikua na mtia moyo waka alikua naenda sulubiwa.
@rosesimon46303 жыл бұрын
Amen
@olphamoraa66833 жыл бұрын
Amen
@chancekambale34982 жыл бұрын
Lakini pasta hapo kwenye mutu aliye kufa kuku ambia kitu kwenye ndoto umesema sio vizuri! Mbona Yesu Kristo aliongea nao? Siwakumbuki majina lakini nafahamu kua walikua na mtia moyo waka alikua naenda sulubiwa.