kuna mapimbi wanakomenti pumba wakimfagilia Mukunda ili hali ameletwa kuangamiza upinzani kitu ambacho hakiwezekani
@HamzaHeri3 ай бұрын
IVINYIE WA ARUSHA MBONA HAO VIONGOZI WENU WA CHADEMA WANA WAFANYA KAMA WAJINGA HAMJAENDA SHULE NIWAONGO SANA
@WamboiMangore2 ай бұрын
MBOWE = M-- mabadiliko B-- bado O-- ongoza W---wanachama na E---elimisha
@HamzaHeri3 ай бұрын
WEWE LEMA ULIVYO MJINGA WEWE UNAWAONA WAKENYA NI WAJANJA AMBAPO WANA ABUDU UKABILA NA UDINI WEWE KWELI NI ZIRO NJOO MIRERENI TUCHIMBE
@SEIPHNASSOROHATIBU3 ай бұрын
Hawana watu Arusha Samia kumiletea makonda kaja kuizima chadema mazima😂😂
@bekabakari73943 ай бұрын
Sissa hizi ni sissa njaa Ukimuons kiongozi kama huyu Kweli anaweza kua waziri flani Siongoe Kama ni mwana chama Wa chama chochote ninavyoona Ni kua wote wanao taka madaraka Tunamtaka mzalendo kama traute
@ErnestShija-y2f3 ай бұрын
Wao si watetezi qa wanyonge haturdi nyuma,hawana sera
@magaigwa42043 ай бұрын
Tulidhani mmebadili siasa zenu, kumbe bado hakuna lolote.
@AdamJohn-r1c3 ай бұрын
Ataa mkimpaa uongozii mtakulaa vumbii pakaa mpag
@Felix-e6t4m3 ай бұрын
Mapambano mapambano atutakubali kamwe CCM ipite mbele mwambieni Samia tunuona sana makonda anakuja na mapepo ya CCM alisema mbele ya watu ya kwamba wanatumia mapepo kututawala wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika wenu
Amna kindo hapo Mzee.. mbowe alishindwa kuachia uenyekiti 😅
@rodrickkasilati1833 ай бұрын
Tuonyesheni picha au ni kikao Cha Ndani?
@gracekagoma32313 ай бұрын
Rushwa miaka nennda rudi😅
@HamzaHeri3 ай бұрын
NYIE MMEISHIWA SERA KAZI MLIYO BAKIWA NAYO NI SERA ZA KUWATETEA WEZI NA WANAO VUNJA MILA NA DUSTURI WA TANZANIA MPAKA MNAWACHANGIA HADI 5000000 KWA AJILI AMDHALILISHE KIONZI WETU NANYINYI KWANINI HIZO PESA MNAZO WACHANGIA HAO HALIFU MSINGEZA KUWACHANGIA MASIKINI AO WALEMAVU
@HuseniMsumba3 ай бұрын
HUYU JAMAA NATABIRI HANA MUDA MREFU ATAONDOKA CHADEMA,
@gracekagoma32313 ай бұрын
Chade m a kazi yenu wizi tu
@FrankMwakatundu-cu6bd3 ай бұрын
Bila shaka Umelewa UGORO!!! WEZI ni mabwana zako CCM ofisadi kila kona!!!