No video

LIVE: Mungu Hafanyi Kazi Peke Yake |Pastor Tony Kapola Anazungumza na Vijana Chamani XXL

  Рет қаралды 46,232

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

#CloudsDigital ipo mubashara kutoka Stusio ya Clouds FM kwenye kipindi cha #xxl

Пікірлер: 84
@kongs.9595
@kongs.9595 Жыл бұрын
Wafilipi 4:6-7 [6]Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu. Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let your requests be made known unto God. [7]Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu. And the peace of God, which passeth all understanding, shall keep your hearts and minds through Christ Jesus.
@janetmbambazi6865
@janetmbambazi6865 Жыл бұрын
I love listening to pastor tony
@rehemasimsamba1788
@rehemasimsamba1788 5 ай бұрын
Speech zake ni very powerful and and contains authority man of God.HOPE one day atakua the biggest preacher in the world.Hakika kupitia yeye Mungu amenivusha kwenye eneo ambalo nilikua nimelizoea.
@user-lp8mu7ri2u
@user-lp8mu7ri2u 7 ай бұрын
Mwanaume wa wanaume Yesu anainua
@paulinedavid2524
@paulinedavid2524 Жыл бұрын
Asante pastor tony napokeaq mbegu yangu bora iliyopandwa ndani yani yanu iman chanzo chake kuskiaa
@benomeya797
@benomeya797 Жыл бұрын
Thanks Tony, kila nikifuatilia mafundisho yako napata kitu kwenye maisha yangu na familia yangu
@gracesilas1971
@gracesilas1971 Жыл бұрын
Preach Preach Preach Man of God,your in the right place sir.
@yohanadaniel7030
@yohanadaniel7030 Жыл бұрын
Ahsante Pastor ninajifunza vingi kupitia wewe all in God bless you
@jonathanthomas7606
@jonathanthomas7606 Жыл бұрын
Bigap kwa pastor Ton kapola🙏🙏🙏❣️❣️❣️❣️❣️
@kennethkelvin7225
@kennethkelvin7225 Жыл бұрын
well done mtumishi Tony, mafundisho mazuri. Sema utusomee neno kwa kutumia Biblia maana hizi App za simu muda wowote zinahitaji Update sijui wanapunguza neno au wanaongeza ...
@user-vd9gi8ik4n
@user-vd9gi8ik4n 6 ай бұрын
Barikiwa sana pastor tony kapola
@veronicamahenge7256
@veronicamahenge7256 7 ай бұрын
Nakupenda pastor Tony kapola❤
@victodeussiriwa3919
@victodeussiriwa3919 Жыл бұрын
What an interview... asanteni sana
@yagwishaheke2524
@yagwishaheke2524 Жыл бұрын
Hongr pastar Mungu ataotesha mbegu ambazo umepanda no matter what Hakika Mungu anakusikia
@piliibrahim4057
@piliibrahim4057 Жыл бұрын
God bless u pastor tony kapola nakuelewa sana
@salummussa9871
@salummussa9871 Жыл бұрын
Mungu si tegemezi ujue pia
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 Жыл бұрын
Asante sana mtumishi watu umewajibu vizuri sana Mungu akubariki
@godlisenservice9555
@godlisenservice9555 Жыл бұрын
Hii ni Bonge la interview, nimependa @xxl mlivyokuwa creative. Ur the best media with bright presenters.
@efraziafoka1500
@efraziafoka1500 Жыл бұрын
Wooou
@TheRealTemidayo
@TheRealTemidayo Жыл бұрын
The Best Interview ever! He GOATED IT!!
@saimonmizingo7485
@saimonmizingo7485 Жыл бұрын
Unanipa radha ya neno la Mungu paster ubalikiwe
@josinahmukoya3311
@josinahmukoya3311 Жыл бұрын
This was very powerful let man of God blessed
@merrykisu
@merrykisu Жыл бұрын
Eee MUNGU anisaidie namimi
@joycemagessa350
@joycemagessa350 Жыл бұрын
Nimebarikiwa na Mafundisho japo muda mchache Barikiwa mtu wa Mungu
@user-op8rq3xr1w
@user-op8rq3xr1w 7 ай бұрын
God bless you ...
@DeeDiyo5
@DeeDiyo5 Жыл бұрын
Thanks
@giftmbogela2435
@giftmbogela2435 Жыл бұрын
Adam bhn anaharibu interview aambiwe anaboa
@sinaichristian8365
@sinaichristian8365 Жыл бұрын
Sisi ndo wale tunaosaidiwa na mungu
@user-qq5rp9qn5t
@user-qq5rp9qn5t Жыл бұрын
Jamani kodi nyingi sana nchi hii, zinakatisha tamaa
@clemence3493
@clemence3493 Жыл бұрын
Be blessed pastor Tony
@mariethaschoolofbeauty
@mariethaschoolofbeauty Жыл бұрын
Mungu akutunze sana baba mchungaji aisee unajua kufundisha neno la mungu
@esterkiyongo2316
@esterkiyongo2316 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu Pr
@atanasicosmas6678
@atanasicosmas6678 Жыл бұрын
So sweet
@mulidjuma6095
@mulidjuma6095 Жыл бұрын
Good sana wanangu
@bettybusumba1478
@bettybusumba1478 Жыл бұрын
Well done Tony
@barakaandrea8271
@barakaandrea8271 Жыл бұрын
Amen mchungani Kapola
@enockadam8509
@enockadam8509 Жыл бұрын
Huyu pastor kapola ni balaa, kiukweli sijawahi ona
@maryaika9645
@maryaika9645 Жыл бұрын
Anadanganya Mungu ni Mungu A nafanya kazi pekeyake na Au na watu
@priscillamwashigadi1271
@priscillamwashigadi1271 Жыл бұрын
Asanteni
@barakabenoni857
@barakabenoni857 Жыл бұрын
Adam unauliza maswali mazuri Mungu akubariki
@clemence3493
@clemence3493 Жыл бұрын
Daah. Adamu chizi kweli eti Kumoka
@dianamchami2720
@dianamchami2720 8 ай бұрын
Adam plzzzz iga mfano wa milad akihoji watu kahhh
@kobelochande6669
@kobelochande6669 Жыл бұрын
XXL good 👍 pastor yuko goooooood
@Hshshhsi1222
@Hshshhsi1222 Жыл бұрын
Bangi anazovuta Adam ukijaribu unawezq kuvua nguo ukahc bd umevaa 🤣 ila huyu pastor ni next level 💥
@husseinwemmar6217
@husseinwemmar6217 Жыл бұрын
Pastor ana sauti kama Barnaba fulani
@dankonkwibe2032
@dankonkwibe2032 Жыл бұрын
Please Adam, let the Pastor explain him self.
@benjaminilutakala9254
@benjaminilutakala9254 Жыл бұрын
Dah pastor katulisha madini ya maana sana
@koburungomubahasha2207
@koburungomubahasha2207 Жыл бұрын
Adam bangi mbaya saana na anakaribia kuzimaa haisee
@O11CEreview
@O11CEreview Жыл бұрын
Aaah adamu mchomvu anazingua anacompein kila mda hatulii kusikiliza hadi anamtoa mzungumzaji kwenye mpangilio wa point kwani hua hawezi kutulia tu au awe anatoka wengine waendelee haiwezekani mtu aanaelezea ye anakurupuka huko na kuongea tena visivyo endana nachanganya mambo dah watu tuko makini kuelewa lakini huyu adm anaharibu sjui majina ya adam yana shida gani naona akili zao ni za kushukiwa tu hawawezi kutulia
@venanciapeter8059
@venanciapeter8059 Жыл бұрын
Yaniii anakera
@dankonkwibe2032
@dankonkwibe2032 Жыл бұрын
Akuwe najikaza muache mtu amalize maneno kwenye kuongea
@nathanielshayo6306
@nathanielshayo6306 Жыл бұрын
Bonge la kipindi na hongera kwenu.....next time Tena japo hjamliza kiu yetu leo
@Paplick9
@Paplick9 Жыл бұрын
Master maind
@clemence3493
@clemence3493 Жыл бұрын
Emeeen
@Gtunewaves
@Gtunewaves Жыл бұрын
kuna time mchomvu anakera sana tena anaharibu si vyema kumkatisha mtu akiwa anaongea yan kila interview anafanya hii mbona wakina mamy na kennedy wanatulia mpaka mtu amalize then maswali yanafuata lakin adam kila sekundi kasharukia ebu hii kitu arekebishe maana inakua too much
@diannanziku1856
@diannanziku1856 Жыл бұрын
Kwakweli kher umeongea🎉🎉
@hildapenina9390
@hildapenina9390 Жыл бұрын
hat mm napenda Sana uyu mchungaji
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 Жыл бұрын
Good 👍
@InsideTanzania
@InsideTanzania Жыл бұрын
Amen
@MarcoAbel-rj5kv
@MarcoAbel-rj5kv Жыл бұрын
Good
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
Ameen kiongozi
@samsonezekiel5239
@samsonezekiel5239 Жыл бұрын
2023 ukwendeee zakee
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 8 ай бұрын
Hakuna nchi isio na uhalifu mtu wa mungu 😅😅
@iamissaanthon724
@iamissaanthon724 Жыл бұрын
God enjoy to be in the middle of Men🙌🙌🙌🙌🙌
@yagwishaheke2524
@yagwishaheke2524 Жыл бұрын
Nmba ya pastar please
@nancynkya4462
@nancynkya4462 9 ай бұрын
Uyu kak ana maswali ya ajabu😅😅😅
@iamissaanthon724
@iamissaanthon724 Жыл бұрын
🙌🙌🙌🔥🔥
@goldprocessplant5893
@goldprocessplant5893 Жыл бұрын
Mwanadamu ameumbiwa roho chaguzi Kisha akaonyeshwa kutambua mema na mabaya na mwisho wake akaambiwa
@barakachaula7055
@barakachaula7055 Жыл бұрын
Huu nimsiba Eti Mungu hafanyi kazi peke yake haya tueleze anasaidiwa na wewe au tufundishe Mwalimu,,, nijuavo Mimi Mungu hanamshirika hapo VP acheni kuropoka ili mpate coment
@jacklinechaula
@jacklinechaula Жыл бұрын
Ww nawe hujaelewa ww ndo uache kulopoka hpo vyote anavyoongea vipo kweny biblia kwahy kasome biblia ndo uje kukoment
@hanslikecha4786
@hanslikecha4786 Жыл бұрын
Nitakuwepo tena hichi kipindi
@jonathancosmas8131
@jonathancosmas8131 Жыл бұрын
Aje Tena tunahitaji madini siku nyingne
@joycemagessa350
@joycemagessa350 Жыл бұрын
Ahaaaa mmetukatisha
@ramamaulid675
@ramamaulid675 Жыл бұрын
You blessed mi
@safiahassan6121
@safiahassan6121 Жыл бұрын
Watangazaj wana makelele hawatoi mda kwa mchungaj
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 Жыл бұрын
Jumatano akija muulize kwanini Yesu amezaliwa tarehe ya mfanano na miungu wengi
@partnersah8802
@partnersah8802 Жыл бұрын
Tarehe ipi
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 ай бұрын
Macho ya rohoni adamu vipi wewe mkristo gani jamani tunaimba kwenye kipaimari
@tugwemshana8825
@tugwemshana8825 Жыл бұрын
Kanisa lako lipo wapi mchngaji
@laurianpima2528
@laurianpima2528 3 ай бұрын
Una kitu,utafika mbali
@iamissaanthon724
@iamissaanthon724 Жыл бұрын
Betrayal is painful sin😔😔😔
@rubyring100
@rubyring100 Жыл бұрын
Walikula Bangi 😂😂😂
@habibaissa3641
@habibaissa3641 Жыл бұрын
Sank you
@faizahalmmm6896
@faizahalmmm6896 Жыл бұрын
❤❤❤
LIVE: XXL SOMO LINAENDELEA NA PASTOR TONY
1:45:01
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 2,7 М.
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 12 МЛН
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 28 МЛН
Salama Na MR BLUE SE6 EP69 KHERI PART 1 SendTip MPESA LIPA NO 5578460
25:09
Gari ya Pastor Tony Kapola. Kwanini aliamua kununua Ineos Grenadier
3:56
KWANINI WATU WANALIA MSIBANI SEHEMU YA TATU
35:12
Harris Kapiga
Рет қаралды 14 М.
Pastor Tony Kapola Ameomba Mungu Anipe Adam Mchovu Niweze Kumlea
33:10
LIVE: Tony Kapola Akifungua Shajara Yake na Babbie Kabae
1:03:40
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 30 М.
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 12 МЛН