What Pastor is explaining about his life is what we hear in his preaching his desire for people to know Jesus waooow very powerful testimony be blessed Man Of God I pray for you May your ministry go further ili watu wa Dunia hii wamjue huyu Yesu.🔥🔥
@Glory-cb6to5 ай бұрын
Mungu akuzidishie baraka zaidi na zaidi Baba
@elijahwaweru2309 Жыл бұрын
One year since I started listening to this Man, for sure God can use anyone as long as he can choose you...
@jojianaskibura3190 Жыл бұрын
Nakukumbuka pastor ukiwa SUA tuliabudu wote kwa the late pastor Lyoba, ulikuwa unaonyesha kweli umeamua kumtmikia Yesu. Ubarikiwe sana endelea kwa nguvu hizo hizo kama ulivyosema ufalme wa Mungu hutekwa na kwenye nguvu.
@elvissam78972 жыл бұрын
This brother is smart!Una uwezo mkubwa wa akili,both spiritually na mwilini,niliskiza siku moja nikaamua kuendelea
@elleng5227 Жыл бұрын
Ila ufalme wa mbinguni si kama wa dunia hii, kwamba we need security and financial systems sjui nini za dunia hii, unguvu unaoongelewa ni wa kuukubali huo udhaifu katika dunia hii, The word says alie mdogo ndie mkubwa mbinguni, heri walio maskini wa roho..heri wanaolia sasa maana ufalme wa mbinguni ni wao..kuikubali aibu kama Bwana wetu Yesu..kwa kifupi bro Tony angalia vzuri the root ya wito wako na Mungu akajifunue zaidi katika huduma yako..Peace and one love pastor.
@VeronicaKagemulo8 ай бұрын
Ameeni🙏🙏
@daudchachaitindechachaitinde5 ай бұрын
Namimi natamani kusimama kuifanya kazi ya mungu naitaji maombi yenu watumishi wa mungu ,by daudi itinde
@isaiahzakayo5318 Жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana mtumishi we were created for greatness
@marie-noellemunengela4783 Жыл бұрын
Mimi sio mlokole, lakini nakupenda saaaana Pastor kwa wisdom yako na ginsi unavyo ongelea Bwana. Maubiri yako yananisaidia saana.
@BadruLeonard6 ай бұрын
Okoka uje kwa yesu
@mackfasonmoshi4629Күн бұрын
@marie....noelle...Okoka tu Ndugu. Mahubiri yakusaidie UOKOKEE. Barikiwa Mno.
@latiphajackson49013 жыл бұрын
Ameniiiiiii hakuna kuwa dhaifu dhaifu hapa ni kuwa wakakamavu nmebarkiwaaa💕💕💕💕
@euphrasiantawatawa1510 Жыл бұрын
Nswila ni shule nzuri sana mbeya
@ananiasgervase-cj2yi Жыл бұрын
Yaan huyu pastor ananibariki kwa kweli.. Yaani kila anaongea ni point 👍👍 Actually He is so impressive
@christophermwandemange796 Жыл бұрын
Mbalizi-mbeya Nsalala shule nzuri, viboko sana injili sana shule sana, Barikiwa sana, life-Jesus = zero
@kimkimbeth7918 Жыл бұрын
Late Mbalizi members 🥰
@mercy342 Жыл бұрын
Mungu anatoa kitu chema ndani ya waovu maoni ya yohana ndani ya biblia anasema nliona mishumaa sana ndani yake nikamuona mwana kondoo aliye chinjwa yesu kristo In God nothing impossible 🙏🏽🙏🏽
@ezekiamgwasi7822 Жыл бұрын
Nafikiri na viboko vya swila vilichangia na wazazi wako walikupeleka swila walijua kule utanyooka maana pale palikuwa na fimbo za maana hongera kwa utumishi
@johnbernad39905 ай бұрын
😂😂
@winnerjudith2007 Жыл бұрын
ushuhuda wako umenivusha sana Pastor umeongea point
@mourine22688 ай бұрын
Wonderful testimony impressing
@edithakyando85547 ай бұрын
Akuzidishie MUNGU Tony nakuerewa mtumishi wa kristo iposiku nittafika morogoro
@joynessmhalila2263 жыл бұрын
Dah pastor umenikusha, yaan your interview is very power yaan nmekupenda bure, really you made same thing in my life, ooh haleluya kwa yesu kweli nikutamu Sana,
@happyelias94653 жыл бұрын
Nilizani Tanga wanatoka tu waganga na waimba taarabu ,kweli Mungu anaishi yaani mtu akiniambia natoka Tanga la! Mungu akubariki
@lwihurazakayo38643 жыл бұрын
Sasa ninakufahamu japo KIDOGO na nimekuelewa Pastor.Huwa nakufuatilia ktk mafundisho yako
@highzacknnko96852 жыл бұрын
Ameeeeen
@sebonikegobi6244 Жыл бұрын
Alizaliwa tanga he ni mtu wa Tanga
@djackishara-lj6zd Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ni mukubwa zaidi sana pamoja n'a Mungu yote yana wezekana Mungu aku bariki mchungaji 🙏
@mwl.lydiamcharo4376 Жыл бұрын
Mahojiano mazuri...kla sauti ya ala ya muziki iko juu sana
@mordekaikiwango41163 жыл бұрын
Mungu Akubariki sana Pastor Tony Kapola Nina furahi sana kusikia ushuuda huu
@rogersnyangaga62752 жыл бұрын
A powerful testimony full of wisdom......
@nihifadhiidarusi62332 жыл бұрын
I LOVE THIS,JUST PERFECT,SERIOUS MINDED PEOPLE BECOME VICTORIOUS
@justinalyimo9834 Жыл бұрын
Umenibariki Sana mtumishi.
@kyalagwamaka1550 Жыл бұрын
Huwezi itenganisha Mbeya na injiri ya kristo Yesu Tanzania kama unakubaliana gonga LIKE
@kyalagwamaka1550 Жыл бұрын
Huwezi itenganisha Mbeya na injiri ya kristo Yesu Tanzania kama unakubaliana gonga LIKE
Please dear God as this year going to end please God change my life am real tried of everything i have passed throw plz change my life am ready to change am ready to follow ur rules please 🙏🙏 help me dr God change my life so as nikutumikie watu wakuone kupitia mm
@roseminja4202 Жыл бұрын
Very powerful 👏 🙌 🙏 👌, nimejifunza kitu kikubwa leo
@heriethnyaki48163 жыл бұрын
Iko sawa sana... Kwa sura na mfano wake
@elysefuraha1284 Жыл бұрын
Asante saana wangu pastor
@jacksonchiwalanga48172 жыл бұрын
There is something inside of this man
@gooddeeds162 Жыл бұрын
The Holy Spirit of course 😊
@mackfasonmoshi4629Күн бұрын
Sure
@davidokhaga5831 Жыл бұрын
am so proud of you pastor
@rachelyombi3785 Жыл бұрын
Powerful testimony....God bless you for blessing us.
@judithsalvatory2892 Жыл бұрын
Amina
@marianyange30132 жыл бұрын
Pastor ilikuwa mtundu mno,ubarikiwe
@annamwagilo14893 жыл бұрын
Be blessed Pastor.....hahahaaa nimefurahi
@annamwagilo14893 жыл бұрын
You are so Strong Pastor
@pastortonykapola233 жыл бұрын
Bless you beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation ( LIVING FOUNTAIN ORPHANAGE FOUNDATION.) in Lagos state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Help them contact the MD in charge of the orphanage to get their Bank Account or Transfer details. Here his official email: (livingfountainorphanage07@gmail.com) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you
@winnerjudith2007 Жыл бұрын
Mungu akubariki Pastor
@salomeezekia4239 Жыл бұрын
Hakika unamafundisho mazur Sana Mungu akubaariki
@sj-dg8wg Жыл бұрын
I will be the best as Lord is the best. Amen
@tabumwangomemazera2 жыл бұрын
GOD bless you bro
@deboramsangi360 Жыл бұрын
Nakuelewaga sana pastor
@jimmycliff69772 жыл бұрын
Hahahahaha hawana vaibuuu...!!!! Unatupa vaibu Now days Kwa kweli...!!!
@khakinagentrix39823 жыл бұрын
Napenda kiherehere chako, ndugu,
@naahbby-fk9vo Жыл бұрын
Nitakuwaa Bora Kama yesu
@msafirimfilinge43082 жыл бұрын
Mzuuuuuuka 😂😂😂😂😂😂😂 ubarikiwe sana
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Jamaa kanipa neno la maana Sana na akili zaidi juu ya MUNGU na kujiamini, barikiwa mtumishi wa MUNGU
@philemonmlowe7418 Жыл бұрын
Smart one
@abordercypirian9118 Жыл бұрын
Kapola I accept you much broe endelea Kuni ment kk
@IvanaDaudi-qe3dc Жыл бұрын
Swila iko nyumban kabsa Yan
@barjonahondachi46562 жыл бұрын
Very inspiring
@philemonmlowe7418 Жыл бұрын
Smart one
@zainabmbarak10433 жыл бұрын
Mimi sikuwa naumwa😀😀
@eliasbagaya360 Жыл бұрын
The interview was good and GOD breesing you bro. but I like it
@jenelithangemalila51602 жыл бұрын
AMEEEEEN
@AishaOman-qz7tn Жыл бұрын
❤❤❤
@sheen27562 жыл бұрын
You are so true
@Msuya-w4v Жыл бұрын
Wandishi hamfanyi interview kwa ethics. Hump candidate wako nafas ya kujieleza step kwa step
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
Eti walokore hawana vibe🤣🤣🤣
@yusuphmbembela1151 Жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua tunajifunza mengi kupitia wewe.
@msafirimfilinge43082 жыл бұрын
Strong pastor
@hendrycomonsiwenga1128 Жыл бұрын
Eti mimi sikuwa naumwa! Ila umenichekesha sana Pastor Tony. 😀😆🤣😄😃
@mwanashagladys45813 жыл бұрын
Amen
@thomasrodriguez7684 Жыл бұрын
Sauti hii km Diamond platinum
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
😅kwakwel
@vickysteven11728 ай бұрын
Kweli
@SCAPLER_SNIPER2 жыл бұрын
Part 2
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Safi samaa
@emasonnziliye87113 жыл бұрын
Good
@jazzwambu575 Жыл бұрын
The interview was good but the music back ground is too much should be quite so interrupting like your teaching pastor Tony.
@irenemark6908 Жыл бұрын
Hapana kusudi la Mungu lazima liwe na sababu na sababu ikaanzia kwenye kijana kusogezwa mbavu na jamaa akapelekwa Mbeya huko akutana na Mwamba Yesu 😄😄😄😄
@meshakimsacky4746 Жыл бұрын
Rashid Sadick.
@barjonahondachi46562 жыл бұрын
Hio sauti kwa backgroung mbovu sana
@msafirimfilinge43082 жыл бұрын
Pastor of leave pertime
@SusanaSimoni5 ай бұрын
Maana hata kama ni uongo watu wanaunga hoja angalieni mh
@SusanaSimoni5 ай бұрын
Hii inaonyesha wakristo wengi hawajui nini maana ya ukristo
@ikuucharliez Жыл бұрын
Biggest lesson to us
@malopemaliyamungu5243 Жыл бұрын
Sauti Sasa.. Kama Ida Kapola sijui Ni Dada yake Pastor? 😅😅😅 Sauti ya kukwaruA
@emmanuelkyando6935 Жыл бұрын
Ni dadake ndio.Edina,Ida,..
@malopemaliyamungu5243 Жыл бұрын
@@emmanuelkyando6935 Aisee 😅😅.. Safi sana. I salute them in the name of JESUS.
@mbazibamilka81293 жыл бұрын
Yes sir
@nicebatare2737 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@msafirimfilinge43082 жыл бұрын
Pastor of leave your life pertime
@SusanaSimoni5 ай бұрын
Wee ni muongo maana maandiko yanasema karama na mwito havina majuto mtu anazaliwa nazo
@jenelithangemalila51602 жыл бұрын
AMEEEEEN
@nginyikimaai77502 жыл бұрын
Hata mimi nimemsikiliza mchungaji kijana, yupo vizuri sana! Mungu amempa Kibali, MSUASO.
@tanzaniamovie37922 жыл бұрын
Amen
@sofiarugoye7929 Жыл бұрын
Napenda Sana nahubili yako,unahubili ukweli kabisaaaaaàaaaMungu akubarikie