Baada ile ya Jakaya....Hii tena umefanya kubwa Salama🙌⚽️💪
@rashidchimwenda2 жыл бұрын
Big up kwa Salama kuweza kutuletea Samatta. Anaongea mambo mengi mazuri ya mfano kwa vijana wetu kwa soka letu. Ila suala la maadili sikubaliani naye aliposema ni yeye mwenyewe. Bila shaka maadili yake mazuri yamejengwa ktk familia yao (baba na mama) na hususan kwakuwa ni familia ya kipolisi, timu alizopitia hapa bongo na tamaduni zetu za kitanzania. Sisi watanzania tupo vizuri kimaadili kuliko baadhi ya watu wa mataifa mengi. Kila la heri kwake na Salama.
@mbwanamtessa86072 жыл бұрын
Kama bado unamkubali huyu jamaa gonga like twenzetu
@sawaabyahya5842 жыл бұрын
Huyu mwanamme mbona best baba! Ni kioo cha jamii..... Vijana wajifunze kupitia tabia yake.... Ahsante Salama kumtafuta...
@maishakisunzu3912 жыл бұрын
Kama umegundua lafudhi ya samatta ishabadilika automatically kuwa ya kiingereza gonga like hapa😝
@navigatorelias9794 Жыл бұрын
Wewe acha zako babu, Asa si lazima hiyo hata wwe ukitoka kwenu huko dongo kusimamia ukija mjini lazima kiswahili chako kibadilike, so sielewi unataka kumaanisha nn
@arafajabir31942 жыл бұрын
Mungu amempa uwezo ila hapendi show off anaishi kama Ali kiba good bless you
@nellymatalanga50332 жыл бұрын
You are ths two people wamebarikiwa but wako humble na down to earth
@mzirairebeca99962 жыл бұрын
Nature ya kazi yake pia
@mzirairebeca99962 жыл бұрын
Ukiwa msanii makelele hayakwepeki
@silvanusremmy95752 жыл бұрын
Sasa Alikiba ametokea wapi. Acha makasiliko 😀
@stevewanga9572 жыл бұрын
Hes very humble like Ali Kiba...much love from🇶🇦🇶🇦
@mnasicafe13192 жыл бұрын
Yeah
@GodfreyPaul Жыл бұрын
Much appreciation for your popa🔥🔥🔥
@luciasteven3314 Жыл бұрын
Nimechelewa sn kumjua samatta❤
@tatutumbi46402 жыл бұрын
Salama Hongera Sana. Nafatilia Sana Vipindi Vyako. Navipenda. 👍
@RehemaChap311 ай бұрын
Samanta MUNGU akubariki sana una busara sana
@shwaibukhatibu28382 жыл бұрын
SAMATA NA KING KIBA ALLAH BLESS YOU OTHER CELEBRITIES THEY HAVE TO COPE FROM YOU
@hanssenbensonmturi24352 жыл бұрын
Ulivofanya interview na Idris, nilitamani ufanye na Samatta as well. Nilivyoona hii leo, ilinikosha sana kwani Samatta ni nguli na role model to a lot of us young footballers. I am currently playing my football in The Thailand 3rd division and I dream one day not only to replicate the legend’s work but also I dream of being part of this show. Thank you Salama and Samatta for this wonderful interview
@Chemba672 жыл бұрын
Keep it up Hanssen Benson.......your name sound Danish.......
@allahisone63862 жыл бұрын
@Hanssen God bless you ❤️🙏❤️
@januarysungura8119 Жыл бұрын
Your the best not just of luck but you deserve it keep up samatta
@RajabuKibik Жыл бұрын
Uyu yomuli Dar Es Salaam Tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mussachabonga95952 жыл бұрын
Fantastic interview big up sister Salama 2023
@erickchitumbi13082 жыл бұрын
Mbwana unayo hekima na busara sana.safi sana.
@homan_nkwama2 жыл бұрын
kama baadhi ya majibu yanatakiwa Sana ili kutimiza mahojiano ni sawa ila kama sivyo, naomba salama punguza kujenga MASWALI yanayo mlazimu mtu ajibu katika mtazamo fulani.....awe huru tusitarajie atajibu nini I LOVE YOU SALAMA
@dullayomwinyi3359 Жыл бұрын
Mwamba huyu ni hatari sana
@majomamajoma87762 жыл бұрын
Nina mwanangu anakupenda na anacheza mpila hatari Huwa anajiita samata, sapoti wanetu vijijin kaka nao watimize ndoto zao Allah akufanyie wepesi uzidi kung'ara
@dseven70942 жыл бұрын
mbagala boy
@deospackle21582 жыл бұрын
Samatta anasound humble sana🔥🔥🔥
@mountaincoffee72 жыл бұрын
Noma sana
@com57662 жыл бұрын
The best interview Hey kenyans give likes for it
@mweusiasili83452 жыл бұрын
Capten Diego
@peterkichochi75102 жыл бұрын
This Guy is very humble and smart, he knows how to communicate
@ahmedjaffari93752 жыл бұрын
Exactly… he is truly a professional footballer, may Almighty Allah bless him abundantly 🙏🏿
@albogastmselejr45832 жыл бұрын
Aiseh! Jamaa Mbona Haongei Kingereza Kama Mimi Wakati Mimi Nimekaa Week Tu Nime Sahau Kiswahili 😁😁
@jackbujimu32202 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 mie nimesoma tu English medium primary Ila mpka Sasa ninachanganya ngeli Kama nimeish mambele
@SaidiHassan-pq3zf10 ай бұрын
Bless captain Diego
@aaronswai3092Ай бұрын
Kauli nyepesi ni kwamba Mungu alimpa neema ya unyenyelevu huyu dogo
@hansigajijime41082 жыл бұрын
Mwamba kabsa
@bish_daddiyao2 жыл бұрын
Mimi mkenya Ila Huyu Jamaa namkubali🙌🏾⚽♥️⚽
@ramadhanmaisa7882 жыл бұрын
Hakun ulazim wa kusema ww n mkenya
@nomamatata7542 жыл бұрын
I keep saying salama you got best questions for your guests.....you keep asking my questions every time i get time to see your sessions.....be blessed girl
@moganfred64732 жыл бұрын
Nakkubali sana
@mr.graphics32132 жыл бұрын
Tz oneeee🔥🔥🔥🔥
@daggerslick2 жыл бұрын
Woyoooo mbwana samatta😜😜😜
@ayubuakko94952 жыл бұрын
Salama jabir Ur on 🔥🔥
@mofungoya97292 жыл бұрын
Best player ever ♥️🇹🇿
@MariamHamad-lr3xc Жыл бұрын
Kipendacho moyo dawa
@safiyatheonlything78482 жыл бұрын
leo salama na samata
@xnobmedia12 жыл бұрын
Dah Salama kwa kumleta salama umenitouch saaaana yan. Hebu pokea 10k la soda hapooo.
@nadildylan61242 жыл бұрын
Huna Baya bro
@thefeyotz2 жыл бұрын
Aliifunga Liverpool 😁😁
@jojigeorige10562 жыл бұрын
He's well programmed aisee
@Revo_silayo2 жыл бұрын
Hyo ni nature ya intruvant peoples Huwa wanakuwa na rafiki wachche lkn wanapendwa na wengi na Huwa wanajifanyia maamuzi wenyewe na pia wapo focused na hutoboaa sanaaa.
@marwajuma74932 жыл бұрын
Nilisubili Sanaa asante sanaa
@aishaomarry69962 жыл бұрын
Huyu ni mimi kabisa hua naamua mwenyewe mambo yangu.
@tztanzania22622 жыл бұрын
Usifanye hivyo mara zote jtahd baadhi ya mambo kuomba ushaur
@ibraimoissiaca60582 жыл бұрын
Popa
@andrewjulius23062 жыл бұрын
Sam ✊🔨 keep it up bro unjua
@edwardfaraji11332 жыл бұрын
Sama goal Sama Sama goal....
@mrlabay98712 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@flavianchuwa43702 жыл бұрын
Waaaaoooh Asante kwa hii Salama
@dreamfootballclip10962 жыл бұрын
Home boi
@samludo54352 жыл бұрын
Mlete mandonga salama
@henrymassawe699 Жыл бұрын
😁🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁 hatavuruga interview aiseee!!!🤣🤣
@kulwamwakagali242 жыл бұрын
Champs Boy
@rosemofuga81012 жыл бұрын
Waoooooo fantastic mr Samatta
@mwasagamwambuli35132 жыл бұрын
Mbwana you are what your father and mother groomed you to be what you are. Be appreciative of your parents
@mashamassingisa87382 жыл бұрын
True
@FranklinMtei2 жыл бұрын
Was looking for this. Kajikuza mwenyewe? Heshima kwa wazazi
@robinhomesuza89062 жыл бұрын
Naskia sauti ya ommy dimpoz zinafanana
@nadildylan61242 жыл бұрын
Legend Bro
@furahambwembwe69352 жыл бұрын
Humble man...
@googleus49032 жыл бұрын
MWAKINYO ANGEPATA NIDHAMU NA HESHIMA KAMA YA NDUGU NYETU SAMATTA ANGEFIKA ZAIDI YA ALIPO LEO.
@tztanzania22622 жыл бұрын
Mbona na mwakinyo yupo fresh tu!
@barbarasara40332 жыл бұрын
@@tztanzania2262 dharau nyingi
@mickidadybakari99742 жыл бұрын
Mwakinyo mtu poa saaana kama utam chukulia poa ila kama ukiwa mduanzi utam hulia mbona ila ni mshikaji saaana tena zaid ya saaana
@nadildylan61242 жыл бұрын
Salama tunaomba ufanye interview na nadir haruob canavaro
@kabirigisaidi82532 жыл бұрын
Sama goal Sama goal. You de best bro
@brunofernandez66082 жыл бұрын
Samagoal Mbagala Boy
@dmikepresenter2 жыл бұрын
Samatta Goal 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@FireHouse1232 жыл бұрын
Samatta mkali sana namkubali
@MariamHamad-lr3xc Жыл бұрын
Wanasema pesa ni sabuni ya roho
@donnietommie84442 жыл бұрын
#SalamaNaDrLeaky
@hassanikipusa83282 жыл бұрын
Champion Boy 🇹🇿
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Laana ya wazazi ndio hiyo mitihani.
@jamaalsaleem29262 жыл бұрын
WA kwanza leoooooo
@kanyika14kanyika162 жыл бұрын
SAMATTA anatabia kama zangu😁😁
@anumario7footballlife9362 жыл бұрын
Kaka yangu
@gasorekassim54992 жыл бұрын
Kizaz san
@abuujuhayfa43212 жыл бұрын
SAMATTA 🔥🔥🔥 gonga like kwa mwamba
@rehemambilinyi94522 жыл бұрын
Tuletee na pastor Tony kapola,
@nahyialetomia92842 жыл бұрын
Nafurahia wewe kujenga msikiti
@mdalamgir-gu9hu2 жыл бұрын
Yan pia salama leo ujui umulize nn..
@pheninhojr58752 жыл бұрын
Samagoal #hainakufel
@abdallahmanula16272 жыл бұрын
Apo salama umenichanganya kabla amjaaanza nyuma muanze mbele mimi cjakuelewa kabisa
@walafredchikawe41132 жыл бұрын
😂😂😂😂
@albertbayona84412 жыл бұрын
Kwan jaman ilo neno shock mbona watu ulitumia vibaya
@Oldskulgemini99912 жыл бұрын
SEMA hata wazungu hutumia Hilo neno mara nyingi Sana so Wala sio ajabu SEMA labda kwakuwa umeona wabongo pekee😅
@ahz69072 жыл бұрын
Linatakiwa litumikaje?
@kamanziian10732 жыл бұрын
Wewe ndo hulielewi
@cvanoedward30932 жыл бұрын
Salama mbona watukatisha?
@adamsengo18692 жыл бұрын
Wape points zao wazazi maana wao ndio source ya tabia yako
@mashamassingisa87382 жыл бұрын
Masikito kua cjasikia hili kutoka kwake
@adamsengo18692 жыл бұрын
@@mashamassingisa8738 eti ni yeye tu amejikuta yupo ivo yani kama vile alijikuza mwenyewe, naona kama vile kwa mbali ana katabia cha kujimwambafai flani hivi
@mashamassingisa87382 жыл бұрын
Masikitiko makubwa kk
@izzi1982 жыл бұрын
angevuta bangi na kuwa teja mngewapa point wazaz wake? Acheni kushinikiza ujinga
@mashamassingisa87382 жыл бұрын
@izzi haya kk uko vyema sana
@Bam2682 жыл бұрын
Apo mnatuchanganya Birmingham ipi sasa ya gwajima au?
@eddiearts37132 жыл бұрын
birmingham ni mjini ndani ndio kuna club ya aston villa
@barbarasara40332 жыл бұрын
Nakojoa. ..... Kwa kucheka
@mdalamgir-gu9hu2 жыл бұрын
Tatzo utembei nawala ulizi pia mitandao uoni
@denisruvugo17642 жыл бұрын
Hahahahahahahahahahahahahahaha
@kostasagelidis532611 ай бұрын
ωχχ ο σαματαςς χαχα
@nadildylan61242 жыл бұрын
Bro umetupa funzo kubwa cc vijana, wewe nd mchezaji usie kuwa na wajivuno na nadir haruob Kwa maono yangu
@msuyatztv52012 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mICmYoGId9-bh6M Ujumbe wa wafanyakazi Kwa Mama samia
@tutumarzouk98032 жыл бұрын
mbona sama goal anajifanya kama hajui kiswahil vzr, yan kama ameish eurupe since he was childhood
@mdalamgir-gu9hu2 жыл бұрын
Kizungu gan kazumgumza apo izo actualy nyingi..
@bryanlimbi3262 жыл бұрын
Sasa he was childhood ndo nini ..!? , Jifunze grammar mbwa wewe
@Nimebarikiwa2 жыл бұрын
@@bryanlimbi326 ilikua na ulazima wa kumtukana????
@noelsanga68532 жыл бұрын
@@Nimebarikiwa wivuuu tu unawasumbua
@anoldjefsta1772 жыл бұрын
@@bryanlimbi326 na aanze kubweka saivi
@ibrahimshilinde61292 жыл бұрын
Kwani wewe Salam,Nani huaga anakushauri kuwakandia vijana wenye talent za mziki?