💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@rogerspeter71433 ай бұрын
okay kazi nzuri
@umranim58543 ай бұрын
Mbona ukijaribu kujiunga haikubali
@umranim58543 ай бұрын
Mbona ukijaribu kujiunga haikubali
@obaidothmanalbulushi91963 ай бұрын
Kichwa cha habari siyo mtanzania huyo sema ni mzaliwa wa tanzania nzega lakini yeye ni muoman huyu kabila lake ni al shedhan
@hansmsangi98283 ай бұрын
Doesn't exist hiyo 1 2 tunapataje kazi dada yangu ya malori hapo connection tunaomba❤❤❤
@McT-m1m3 ай бұрын
Yarabii nifanyie wepesi wa riziki amiin
@rogerspeter71433 ай бұрын
mungu ni mkubwa 👏👏👏👏✍🤳 tutafika huko
@edwardkishiwa32963 ай бұрын
Global TV naomba kwa msaada wenu niunganishieni kazi nafasi ya Driver, mungu awabariki kazi njema,!
@MsifuFrancis3 ай бұрын
Boss hongera sana maelezo mazuri mwenyezi azidi kukupambania katika shughuri zako za kila siku
@maryamhannif8973 ай бұрын
Boss uko vizuri
@abdullahal-adhary51803 ай бұрын
Maa Shaa Allah ما شاء الله تبارك الرحمن
@ayshasaid15473 ай бұрын
Ukikaa na mfanyakazi kama ndugu na yy ujiaminisha sababu huyu boss ni nzuri ndio maana wanamfanyia vizur
@khalfanaltaley3 ай бұрын
Well done. Keep it up! Allah bless you and the Company.
@vero573 ай бұрын
HONGERA SANA ZARI UMEFIKA OMANI
@Fathasssane-vs2th3 ай бұрын
Dada zari upo oman ila hujawapata haswa house girl waliopo majumban ukajua shida wanazo pitia ukajua mapito yao umehoji wasataff wa house girl tu
@FahadAbubakari-y3f3 ай бұрын
Sa si anachukua maokoto kwanza , maana harakati za mahouse girl ilikua tz wajanja kumzima wamemlipia tiketi kwenda kufichaficha kashafungwa mdomo unachezea njaa ndugu
@rayahamisi1183 ай бұрын
Mwenye matatizo aende ubaroz
@abdullahal-mahruqi96103 ай бұрын
Fahad Abubakar, Huyu mama usimdhulumu. Kwani Anafaidika nini? Naona kazitafuta hizo mbwa majumbani hakuzikuta. Ikiwa kuna mfanyakazi aliyezinishwa lazima ampe address mama wa Globe….akacheck. Kuwa na subra kidogo hajamaliza na hizo atazigusa. changamoto kama zipo lazima lakini uongo uliopindukia unaharibia watu fursa.
@rayahamisi1183 ай бұрын
@@abdullahal-mahruqi9610 kwakwel
@FahadAbubakari-y3f3 ай бұрын
@@abdullahal-mahruqi9610 hujui eeh ? Waandishi wa tz tunawajua sie mengine yaache , acha Dada amalize ziara
@lusakaone77823 ай бұрын
Allah akubaariki, akuongezee kipato cha halali, na iwe sababu ya malipo mema mbele ya Allah. From Zanzibar
@am2323tze3 ай бұрын
Amin
@eaglecrown11013 ай бұрын
Hongera sana mwanetu sultan logistics 🎉 👍.
@aminahamad34283 ай бұрын
Dada zari tupo oman tuombee ajira hapo tunamaliza mikataba pleas fanya hivo
@husseinkarim76633 ай бұрын
Sisi watanzania ni wezi na wavivu.
@seifixnetwork46633 ай бұрын
😂😂😂😂
@crayonmaze99703 ай бұрын
kweli kabisa
@mamafaiza17203 ай бұрын
Karibuni na barka soko
@KH-on8pp3 ай бұрын
MashiAllah well said keep it up bless u
@maryamhannif8973 ай бұрын
Mashallah
@Ommybabaa473 ай бұрын
Alhamdulillah
@jazzmancoltrane3 ай бұрын
Mtangazaji anakosa u professional. Anasita sita na anavuta Maneno. Pitieni interviews za Salim Kikeke kisha mjifunze. Sina hakika kama research team ilifanya kazi yake kabla hamjaenda Oman. Kuna room for improvement.
@HaleemaOsman-r2m3 ай бұрын
Ma sha Allah
@Mariam-t7k3 ай бұрын
Tutunataka kaz
@surooral-humaimy67933 ай бұрын
Allah awabarikiye biashara na shirika lenu kwa ujumla, awaruzuku uwezo zaidi wa kutowa fursa za ajira kwa ndugu zenu. Ameen
@RukayyaNassor-i9o3 ай бұрын
Jamani nacc tunawatoto wetu wanaujuzi WA kutengeza magari na kuendesha magari makubwa Ajira nindogo kutumika wanatumia kupitia kiac maisha haitoshi kuendesha maisha
@lenniefei67103 ай бұрын
MAPINDUZI UPUUZI MTUPU ! Munauwa watu bila hatia kisha muwafwate waliko kuwaomba ajira !!!!
@maryamhannif8973 ай бұрын
Nataka ajira
@salmaalsharji82053 ай бұрын
Bora atuuuuuulize sisi tunao pata khasara.
@PeninaAdam3 ай бұрын
Mashallaah naomba ajira
@aminaabood28983 ай бұрын
❤Sister tuombeen kazi.. Nipo miaka 11
@saimjonas3 ай бұрын
Mzee anaongea kiswahili fasaha, mstaarabu, anaonekana kujali wafanyakazi wake na anawajengea uwezo. Huyu ni mwajiri wa mfano na wa kuigwa.
@abdallahdullah86423 ай бұрын
Watu wengne washamba kweli Kuna mausiano gani Kati ya muwekezaji mwenye kampuni ya uchimbaji na mfanya kazi wa ndani ambae huajiriwa Kaz za ndani. Hii ni Logistic sio beki 3.
@Allyhujjat3 ай бұрын
Dada safi sana lkn uliza maswali kama muamdishi sio kama mmbea apo haumuhoji daz baba au chidi benzi uliza maswali ya msingi waombee kazi watanzania walio uko
@JasuminiOmarkataka3 ай бұрын
J. Kanzi. Ndani. Mashagara. Amuhitaji
@MaliamuNassoro3 ай бұрын
Kwakweli niwaambie ukweli hawa Waarabu wapo wenye roho nzuri kama boss wangu kiukweli namuombea dua nzuri ninakaribia kumaliza contract yangu ya miaka 2 ila kiukweli sikupt changamoto kama ninavyo zisikia.
@khalfanidriss89313 ай бұрын
Sio Kiwandaa Hicho . Please
@seifixnetwork46633 ай бұрын
Ni kiwanda hiko
@MaliamuNassoro3 ай бұрын
Yaani uzuri wa hawa Waarabu sio wachoyo walio wengi.
@islanderthegreat41353 ай бұрын
Na pia sio kiwanda bali ni kampuni
@hassanbilali55763 ай бұрын
Aslm aleikum Fanya mpango tupate mawasiliano uwezo wa kuendesha mitambo upo tatizo connection
@Shanitiba3 ай бұрын
Tunapenda kulalamika watz lakin oman wanaroho nzuri bas tu dubai ndio cyo kabisa wanakomoana
@Bahati473 ай бұрын
Hata wabaya pia Oman wapo
@modyworldmody42973 ай бұрын
Diaspora wa kitanzania....
@hamadsheni89973 ай бұрын
Mtafute na sumri,amezaliwa ngunga.ukenyenge.wilaya ya kishapu.
@SaidSaid-wh4ky3 ай бұрын
Sultan Al sheidhani
@husseinkarim76633 ай бұрын
Huyu maswali yake hayana maana.
@manasstaMuhammad3 ай бұрын
Kuna vijana wetu tz wanataka ajira hizi wakipatiwa itakuwa bora zaidi
@salmaalsharji82053 ай бұрын
Hawapo
@HanifaOman-oo4pl3 ай бұрын
Basi heli
@islanderthegreat41353 ай бұрын
Sorry huyu si mtanzania bali alizaliwa Tanzania
@nassrasaif91483 ай бұрын
Looh munamuandama huyu mtangazaji kosa lake nini yuko kazini anajipatia chake hao wanapiga makelele wanamlipa nini?
@Maryam-qe5lb3 ай бұрын
Asalam. Alaikum. Allah akulipe kilalakheri. Utitembeleya. Wafanyakazi. Madam. Watakaa. Sawa. Na. Tanzaniya. Itakuwajuu. Zaidi kutowa. Wafanyakaxi wengi. Mana. Watanzaniya. Imaniyetu ipojuu sana kuliko nchezengine
@MuhammedAliOmar-c9u3 ай бұрын
Mna imani nyie ?ingekuwa na imani msingedhulumu wazanzibari na nchi yao mliotuvamia
@kisagentabirage66933 ай бұрын
Dada Zari tunahitaji kujua namna ya watu mwenda kufanya kazi kwa huyo Mtanzania huko Oman muuljze contact zake tagadhali
@altentic86163 ай бұрын
Waarabu lazima wabaki Oman na waiache Tanzania na Zanzibar kwa ajili ya watu weusi tu.
@salimali-rf9er3 ай бұрын
Alokwambia Tanzania na Zanzibar ni ya watu weusi ni nani? Ondosha fikra mgando hizo
@LailaLaila-kg2qd3 ай бұрын
🔥🔥🔥
@rehemashabaniameen3 ай бұрын
Mashaallah dada tupatie namba vijana waje kazini
@hamadsheni89973 ай бұрын
Unawajua?tuulze
@rehemashabaniameen3 ай бұрын
@@hamadsheni8997 wakwanza ni mwanangu kasomea kazi hiyo
Watafute wafanyakazi wa nyumbani wanaosema wanateseka ujue uongo wao
@MwanaHamis-y4e3 ай бұрын
Kwa wanaopitia changamoto wapo ukipata sehem ukaa vzl bira matatizo yaliopitiliza tushukulu Mungu wapo wanopitia changamoto kusema apite kira nyumba Atapita nyumba ngapi na sio kweli anatakapopita uyo boss siku iyo atajifanya mwema mara mia kikubwa kuombeana tu Tuvuke salama
@tanzaniaafrica70193 ай бұрын
Na kingine uwezi kutukana mamba kabla ujavuka mto tunapitia mengi tu mazito lakini atanijakuulizwa nikiwa kwa boss wangu nilazima niwasifie mnajifanya malaika hapa kwenye comment kuaminisha watu kwamba hakuna anaeteseka oman hovyoooo kabisa
@salma51873 ай бұрын
@@tanzaniaafrica7019 km unateseka ondoka
@Mariam-t7k3 ай бұрын
Ndg zetu pia wanataka kaz
@aliyissa98573 ай бұрын
Huyu anatolia Tabora
@salma-nh4of3 ай бұрын
Assalam alaikum kwahisani yako naomba uniajiri
@AbdallahHamoud-fe4lq3 ай бұрын
Ninaomba contact zake...tunahitaji fursa za hivi
@maryamhannif8973 ай бұрын
Tupe konesheni
@DohaQatar-w4t3 ай бұрын
Anatoka tanzania sehem gani
@umranim58543 ай бұрын
Shinyanga
@shakirashakira-gc2yw3 ай бұрын
Kalibi dada iznk
@ayshasaid15473 ай бұрын
Je agent gani yimyagute maana kuna bijana wanahitajia
@maymunakhelef21543 ай бұрын
Twataka ajira jamani
@HalimaMichael-x6x3 ай бұрын
Baba naomba kazi ata ya kufagia niko oman hapa maskati ata ukinipa mshahara rial 200 nitashukuru maana niko na hali mbaya sana nihurumie
@khadijauvuruge97003 ай бұрын
Kazi yakufagia akupe rial 200 ikiwa wafanyakazi wake wa mazra anawalipa rial 80 tuu
@salwamohammed47873 ай бұрын
@@khadijauvuruge9700😂😂😂😂
@Bahati473 ай бұрын
Da zai kma hujarudi nyumbani tafadhali nitafute nikupe namba ya dada mmoja anaeteseka sana hapo alipo
@NardhisMhagama-sy3eq3 ай бұрын
PDD wa omani
@HAWANassoro-o2j3 ай бұрын
😂😂😂😂watu mnamambo
@MohamedIbrahim-bn1gz3 ай бұрын
Huku ukhanithi wakumtangaza na kushughulikiya pdd hakuna hapa kazi tuuu na kutafuta petrol Hata huyo pdd wako hawamjui Nyie pigeni kelele ba pdd wenu
@shamzone3883 ай бұрын
Unasema kitu ambacho hakipo Ujue oman ni nchi yenye security kali sana wewe endeleaa tu
@saidymbagalla66223 ай бұрын
Uzee woteuo bado una miaka59😳 mi nildhani atakua na 70+
@nasseralhatmi17623 ай бұрын
@@saidymbagalla6622 Shukuru Mungu wako wewe Wacha Unafiki wako kwani wewe ni Allah mpaka umuhukumu kwa umri wa Umri wa Binadamu? Mbona nyie Watanzania mnapenda sana Unafiki na Wivu kama mtu anafanikiwa kwenye Maisha yake? Wapumbavu sana nyie kama huwezi kucomment bora Nyamazaaaaa!!!!
@NardhisMhagama-sy3eq3 ай бұрын
Hela za viongozi wanawekeza nnje kuna watu walisema walianza kushona viatu harafu mabilionea
@abdullahal-mahruqi96103 ай бұрын
Rizk. Tafuta
@MohamedIbrahim-bn1gz3 ай бұрын
Baharesa kaanza kuuza askrimu sasa yukowapi
@DohaQatar-w4t3 ай бұрын
Roho mbaya wew
@abdullahal-mahruqi96103 ай бұрын
@@MohamedIbrahim-bn1gz Bakhresa alianza kushona viatu, baadae ice cream. Mungu humpa amtakaye bila hesabu. Mipango ya Mungu
@Azza-o8c3 ай бұрын
Sasa huyo ni mtanzania ao mu Omani? Mbona wahindi wa Tanzania mnawaita wahindi hamuwaiti watanzani mna chuki na wa Omani Kwa nini nyie? Haitawasaidia kitu na huyo mama mwenye uso mpana kama chapati ya kusukuma mimi nimefunguwa ili kuona mtanzania yupi millionaire Oman ili nishangae
@masoudalriyamy62983 ай бұрын
Sasa wafanyakazi 350 hapa tanzania kuna kampuni wanamadereva zaid ya 400 jee mbona hamuwahoji
@nasseralhatmi17623 ай бұрын
Akirudi Tanzania ka Muulize hilo Suali hapa Yupo Oman hatuna Unafiki kama wewe
@abdallahdullah86423 ай бұрын
Hawa sio madereva kuendesha tu waliopita veta pekee mze anasema wanatumia dollar 1000 kumpeleka shule kufanya course licha ya vyeti vyake pia kampuni Ina course zake inasomesha sio madereva wa dangote mtwara wizi mpk wa tyres za magari.
@khalfanidriss89313 ай бұрын
Population ya Oman ni 7 M.. 😊
@nasseralhatmi17623 ай бұрын
@@abdallahdullah8642 kweli kabisaa 💯🤣🤣🤣🤣
@nasseralhatmi17623 ай бұрын
@@khalfanidriss8931 NO ni milioni 4 nusu ni Wageni