Nimefurahi kuona rich mavoko kufika wasafi midia nakusema Hana noma namtu yoyote Sasa hivi nikazi2 heshima Yako Rich mavoko 🔥🔥🔥👊
@mondoboy77892 ай бұрын
Bifu azijengi kumuogelea mtu kwa ubaya ili ww uonekane mwema inakua aipendezi nakubali bavoko kwakujibu maswali kikubwa ❤❤❤❤
@marcmarc-xq1fs2 ай бұрын
Beef hazina maana fanya kazi tu broo safi apoo
@mariozulu57432 ай бұрын
Nauliza huyo bodyguard hapo analinda nini😂😂😂😂
@HamadSaid-q9d2 ай бұрын
Messi wa bongo fleva 🎉🎉
@benitokibwaa42512 ай бұрын
Nakubali mavoko
@officialjurassicclassic2 ай бұрын
Mbna hamzungumzii mic zao ziko na shida
@RamadhaniAlphani-j6g2 ай бұрын
Aisee leo ndo nimeamini wasafi kweli wanafanya kazi kikweli kweli na kweli huwa hawazulumu mtu niwatu natamaazao tu latut wasafi wote soon tutajua Kila mnafki
@faizaahamd20522 ай бұрын
Mm nimefrah oyooooooo mavoko💓💓💓💓💓💓💓💓💖💖💖💖💖kuja wasafi
@paulnovelsАй бұрын
Jamani maswali hayo hayo kila siku mtu keshawahi kujibu kila mara. Muulizeni kuhusu muziki wake katoa ngoma kibao tu. Hayo mambo tuyasahau sasa
@emmanueldaud83712 ай бұрын
Achenii maneno chukii azisaidiii kituu Wacha watu wafrah tuna ishi mara mojaa tyu tumeambiwa tupendane xx jamen mnaleta chuk
@MNOMA2552 ай бұрын
Richi mavoko
@NsengiyumvaDesire-u8v2 ай бұрын
Amaua rich
@NasumaYusuph2 ай бұрын
Mavoko
@nelsonyesaya79872 ай бұрын
🎉
@FrolenceWampinda2 ай бұрын
Mavoko unafel kichz na mabay yote uliyo fanyiw duuh au ujiamin mbna xix tunakuamin @"
@patrickkaite38222 ай бұрын
Acha usenge
@Jamal22-o5n2 ай бұрын
Mavoko umefel Bro, hio sio familia kabisa, goma limewazidia wanakimbizwa na mmakonde ndo wanajifanya wana shoo love kwako leo.
@ericnzaro91382 ай бұрын
Wewe sasa Ni true definition ya mtu mjinga
@DadiYanka2 ай бұрын
Huyo ni mwehu kabisa 😂😂😂😂😂
@BHALEEALI2 ай бұрын
khaaa! kuna watu wana comment utopolo kweli kama ww 🤣
@FrolenceWampinda2 ай бұрын
Yn umerud kwenye gem vzr baada ya msoto wote unarud tena kwa hao jamaa watakuzima kam taa @"
@Jamal22-o5n2 ай бұрын
Mavoko wanakung'ong'a hao. Hakuna urafiki apo, umefeli sana
@williamdungumaro66682 ай бұрын
Mavoko yupo sahih km bifu lilishaisha asaiv n aman tu
@nimahnoizy80682 ай бұрын
Mavoko boya kweli unawapa content wajinga hao
@frankngoloka54162 ай бұрын
Wewe ndiyo boya ujuwi kinachoendelea
@stephenmsanzu98502 ай бұрын
Wewe ndiyo mboya,coz wasafi fm Iko mbali sana na haitaji mavoko kuwapa content yeye ndo anataka sapoti kubwa sana kwa media