Ubinafsishaji ndiye alikuwa kwa maendeleo yetu. Eti Serikali haifanyi biashara! mbona Gaddafi alitaifisha visima vya mafuta na nchi ikaendelea vizuri kiuchumi?
@ommysaphone18324 жыл бұрын
Kimsing Gaddafi alitaifisha makampuni ya mafut kwa sababu yalikuwa chini ya mabeberu na mafuta hawakuwanufaisha kabis wazaw ni kma Mwl na fikra zake za azimio la Arusha azimio lile liliishi katk mfumo rafik ya kulinda mslah ya wanyonge ndio maana viwanda vingi vilijengwa San wakat ule lakn alipoondok fikra zile Na mawaz yake hawakuiishi katika mazingir ndio hapo ndo wanasiasa wakaanza kufanya yao unakumbuk lkn Sera ya ubinafsishaji hiyo ndo iliyotuliz wengi na kutufanya kufike tulipofika ila mungu naye anamakusud na ss katuletea chuma jpm watu wanapatwiza kwa moto mungu ailinde Tanzania