Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania na Mbunge wa sasa wa Monduli alitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania 2015 kwenye uwanja wa mpira Arusha mbele ya maelfu ya Watanzania kutoka sehemu mbalimbali.
Пікірлер: 85
@rahimbukutu68668 ай бұрын
Tunaoitizama hii video 2024 gonga likes.
@prezzoonlinetv94928 ай бұрын
Huyu Mzee Alipendwa sana na Watu, viongozi wa Dini na Wanasiasa, Apumzike kwa Amani...
@filmonpeter75873 жыл бұрын
👥🇹🇿☑️ Tunakupenda tena mhe .lowasa .karibu Tanzania .
@lawsofsucces57847 жыл бұрын
Lowasa Mungu akipenda mwaka 2020 usigombee tena. waachie na wengine
@filmonpeter75873 жыл бұрын
Very Nice .mhe. Rai's .lowasa 🅰️🥰
@manongamanonga27859 жыл бұрын
Maamuzi magumu ndio yatawezesha wananchi kupata Elimu bora na sawa,afya safi, Maji ,umeme,uongozi makini na ajira kwa wote
@sixtusmarandu52779 жыл бұрын
mr six toka pande za tarakea mr lowasa ndani ya chuga hamna kitu ana sema bali ni kushabikia nyimbo na kelele zake tuuu bablai chadema ni chama kkubwa
@TuntufyeMwakaluka8 ай бұрын
Alifanyiwa unyama sana
@alphoncedaud1479 жыл бұрын
Nchi yetu inahitaji kiongozi mwenye historia nzuri ktk uongoz mbalimbali alioupitia sio mtu ulojiuzulu kwa kashfa ya wizi Leo hii unarudi kuomba uongoz wa juu zaid bila hata watz tuamke sio muda wa kulala nakufanywa ss mamburura.
@arongerald34199 жыл бұрын
take meaning Leadership Organization With Association System Service Adjustment LOWASSA huo ndio msingi wa kauli mbiu iliyoko kichwani na muono wa mwenye jina LOWASSA
@ibrahimgwasma1223 Жыл бұрын
Yaani uchomoe mbele ya CCM ?
@oswardbeatus87079 жыл бұрын
Lowasa Chenge, Tibaijuka na Rostam kweli kazi ipo
@benardyadalala58649 жыл бұрын
watanzania kazi ipo,fikirini mlikotoka
@Saripa234-u7g8 ай бұрын
Pumzika baba etu Lowasa
@MohamedAhmed-yn1lx9 жыл бұрын
Duuh kweli watanzania vipofu
@richardsifaeli78119 жыл бұрын
kila kipindi na kelele mpya ilikua maisha bora kwa kila mtz saiv ni safari ya matumaini anasema atashhughulikia umaskini na kuinua uchumi,atashughulikia vipi bila kukomesha ufisadi wa kodi za wa tz na ubadhirifu wa rasilimali na mali asili kitu kinachoitafuna tz,bila kuyapa kipaumbele ayo amna cha uchumi wala umaskini deni la taifa litapanda tu na maisha kua magumu
@kongstrong19389 жыл бұрын
Wishing Tanzania many blessings!
@abdulsalammohamed81759 жыл бұрын
Nice..
@olephilemon17739 жыл бұрын
Kura yangu unayo Mr Prezda Lowassa
@gracesong98519 жыл бұрын
Dada waambie coz umalaya utazid,wema unagombea ubunge unataka kuongeza umalaya? Ictoxhe una skendo kibao na hatutaki bora kiongoz tunataka kiongoz bra
@eddieross25819 жыл бұрын
Naomba mamlaka ya usafirishaji na ile ya anga,iangalie kwa makini suala la wagombea wa nafasi mbali mbali pamoja na ile ya urais kupitia chama cha chadema,kutuwa helkopta katika umati wa watu,unaweza kuhatarisha maisha ya wananchi pindi itapotokea ajali. maana watu wengi huwa wanasogelea kwa karibu wakati helkopta hiyo inapojaribu kutua.
@tumainimabusi71567 жыл бұрын
bongo move
@hamismwangwale5637 жыл бұрын
eddie ross .
@harifumunir60049 жыл бұрын
Kiukweli Lowasa amejipanga kwa kauli nzuri, vipi lakini yasemwayo yatatekelezwa au ......
@CharlesLukas-d3u3 ай бұрын
Upumzike kwa amani jamani
@daudiabdul33659 жыл бұрын
Rais unayemtaka ww unaempinga lowassa wa tz hawamtaki? Jipangeee 2015
@paulokiruwa9879 Жыл бұрын
Hayo yote uliyoyasema Magufuli aliyafanyia kazi
@GodfredAlfredNgarama8 ай бұрын
Kama kweli duniani kungekuwepo na haki kweli ww ulikuwa unapaswa kuwa raisi wetu.
Mwandaa hotuba anaweza kukuandalia hotuba yenye maono hata kama mwandaliwa hana maono hayo
@nicholousmasunga40299 жыл бұрын
Ebwana vp ujapata habar za huku kilimanjaro kilichojiri kwenye mazishi ya kisumu
@daudilengai74029 жыл бұрын
Kiongozi in kioo cha wananchi Mzee uko vizuri wengine nendeni shamba
@onetoanotherglory20249 жыл бұрын
Tuwasikilize wote. Tuwapime wote. Tumchague mmoja atakayetufaa.
@fadhilimohamedi57149 жыл бұрын
Watu kama hawa Nyerere alisema tuwaogope sana hizi pesa atazirudishaje pindi atakapoingia ikulu
@teamlowassa66899 жыл бұрын
Anafaa kuwa rais lowassa
@nelsonyohana65259 жыл бұрын
Shee umeonambali kamamm
@teamlowassa66899 жыл бұрын
Umeonaeeee nelson
@teamlowassa66899 жыл бұрын
hawa wengine wanapiga porojo tu lowassa ndie rais
@kileoally5189 жыл бұрын
Hivi kwa nini wanatafuta urais kwa gatama kubwa kiasi hiki?nini hatima yake!!!!
@tobosha32368 ай бұрын
Mafisadi walimfanyia figisu huyu mzee ili asiwe rais pumzika kwa amani mzee lowasa
@erickmweta82159 жыл бұрын
jamaa amejipanga vizuri sana na hawa ndo tunaowataka
@rajabukassimunyon64287 жыл бұрын
jonikomba
@charlesnassary66894 жыл бұрын
sitasahau kwakweli hicho kipindi
@nicholouskuyenga76075 жыл бұрын
Moja ya kitu nilichokibaini, Lowasa ni mtu asiyejiamini
@isackjoseph63069 жыл бұрын
hapana kitu wapo
@darmillionaire9 жыл бұрын
Mheshimiwa mzima kweli? Naona dakika 1:05 wakati anapanda kwenye ngazi akashindwa kutembea.
@josephluhusa48239 жыл бұрын
KAZI UNAYO NA PIA SIFA UNAYO . YETU MACHO TUONE UKITEMBEA MBELE KUIFIKISHA NCHI
@onetoanotherglory20249 жыл бұрын
Tuwasikilize wrote . Tuwapime wrote. Tumchague atakaye tufaa.
@chachamagoti24005 жыл бұрын
R.I.P br
@comedy_movies_Tz-058 ай бұрын
Mmmhhhh
@mashaurymkilya31685 жыл бұрын
lowasa
@obeidmakweba87129 жыл бұрын
WATANZANIA alieturoga kisha kufa.......! tusha sahau kama jamaa alipiga diri la ma billion sakata la richmond
@severinmmassy76279 жыл бұрын
Mzeee huna sifaa kaangalie ng'ombe wako porin huko!!!
@hashimumbaujika59167 жыл бұрын
mungu Aweke r n
@isayaswai8 ай бұрын
Rlp
@Kifyasi6 жыл бұрын
shati halijanyooshwa
@yunusally95359 жыл бұрын
Kura yangu unayo
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Walikuwa wanamtunishia misuli jk, na akawaonyesha kuwa yeye ni rais
@williamjonas41239 жыл бұрын
bona siwaelewi
@dct4lif9 жыл бұрын
Hayo maamuzi magumu yalikuwa wapi wakati wa uwaziri wako ?
@madaiincubationcenter49479 жыл бұрын
Adnan Kashogi unaonekana humjui alivyokua madarakani km aliyatumia hayo maamuzi magumu au lah ,ukweli hiyo ndo sifa yake inawezekana haukuwahi kufuatilia na comment umeitoa kwa uharaka bila uchunguzi
@dct4lif9 жыл бұрын
Yuda Madai Alikuwa na maamuzi magumu ndio maana wakamtimua uwaziri mkuu. Namjua Lowassa toka akiwa ardhi hakuna wizara amegusa hajaacha ufisadi. Kesi za kuuza viwanja mara mbiili mbili nimeanza kuzisikia Lowassa akiwa waziri wa ardhi mnazi mmoja alijaribu kumuuzia mwindi akakamatwa na kufukuzwa kazi Nyerere akamwita mwizi.
@kisshydirector26309 жыл бұрын
Vijimbo
@kizitosolo10877 жыл бұрын
makomando was tanzania
@wasafitelevision76199 жыл бұрын
Huyu hatufai kuwa rais
@mamahustru6 жыл бұрын
Imebidi nije kuona Msukuma akiingia uwanjani baada yakuona mahojiano yake na Clouds360. Kibonde na wewe shikamoo. JK shikamoo. Nimeamini CCM sio wamchezomchezo.
@salimabdul97205 жыл бұрын
Moyosafi
@arongerald34199 жыл бұрын
M,baya haji kwa kwa kushawishiwa na watu au minongono,Kiatu cha kale ndio kinacho jua njia sio kilichopo dukani,chagua safari buti uone kama utachomwa mwiba acheni kusikia msiyo yajua kwa kuambiwa na wasio jua na hata wenyewe walisikia kwa watu,Tanzania badilikeni kifikra na mtazamo.fanyia kazi akiliyako inagundua nini sio inaambiwa nini
@abdulnuruh45259 жыл бұрын
Hafai fisadi mkubwa
@manhwakigoma86569 жыл бұрын
gyda
@thobiasmertaroi29959 жыл бұрын
Lowassa hakika wewe,ndie unaestahili kuwa raisi. Hoja yako ni ya nguvu na inatekelezeka kwa utekelezaji mathubutu
@wilsonfrance4449 жыл бұрын
tunataka mabadiliko##
@rehemarashid35519 жыл бұрын
Lowasa tunakukubar, enda ukawa au uwe ccm bado wewe ni ww yule, jana leo hata kesho. Piga vita kuu mzee, ipige vita vilivo vikali.