Lowassa alivyowasili mbele ya maelfu ya Watanzania Arusha

  Рет қаралды 524,876

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania na Mbunge wa sasa wa Monduli alitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania 2015 kwenye uwanja wa mpira Arusha mbele ya maelfu ya Watanzania kutoka sehemu mbalimbali.

Пікірлер: 85
@rahimbukutu6866
@rahimbukutu6866 8 ай бұрын
Tunaoitizama hii video 2024 gonga likes.
@prezzoonlinetv9492
@prezzoonlinetv9492 8 ай бұрын
Huyu Mzee Alipendwa sana na Watu, viongozi wa Dini na Wanasiasa, Apumzike kwa Amani...
@filmonpeter7587
@filmonpeter7587 3 жыл бұрын
👥🇹🇿☑️ Tunakupenda tena mhe .lowasa .karibu Tanzania .
@lawsofsucces5784
@lawsofsucces5784 7 жыл бұрын
Lowasa Mungu akipenda mwaka 2020 usigombee tena. waachie na wengine
@filmonpeter7587
@filmonpeter7587 3 жыл бұрын
Very Nice .mhe. Rai's .lowasa 🅰️🥰
@manongamanonga2785
@manongamanonga2785 9 жыл бұрын
Maamuzi magumu ndio yatawezesha wananchi kupata Elimu bora na sawa,afya safi, Maji ,umeme,uongozi makini na ajira kwa wote
@sixtusmarandu5277
@sixtusmarandu5277 9 жыл бұрын
mr six toka pande za tarakea mr lowasa ndani ya chuga hamna kitu ana sema bali ni kushabikia nyimbo na kelele zake tuuu bablai chadema ni chama kkubwa
@TuntufyeMwakaluka
@TuntufyeMwakaluka 8 ай бұрын
Alifanyiwa unyama sana
@alphoncedaud147
@alphoncedaud147 9 жыл бұрын
Nchi yetu inahitaji kiongozi mwenye historia nzuri ktk uongoz mbalimbali alioupitia sio mtu ulojiuzulu kwa kashfa ya wizi Leo hii unarudi kuomba uongoz wa juu zaid bila hata watz tuamke sio muda wa kulala nakufanywa ss mamburura.
@arongerald3419
@arongerald3419 9 жыл бұрын
take meaning Leadership Organization With Association System Service Adjustment LOWASSA huo ndio msingi wa kauli mbiu iliyoko kichwani na muono wa mwenye jina LOWASSA
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 Жыл бұрын
Yaani uchomoe mbele ya CCM ?
@oswardbeatus8707
@oswardbeatus8707 9 жыл бұрын
Lowasa Chenge, Tibaijuka na Rostam kweli kazi ipo
@benardyadalala5864
@benardyadalala5864 9 жыл бұрын
watanzania kazi ipo,fikirini mlikotoka
@Saripa234-u7g
@Saripa234-u7g 8 ай бұрын
Pumzika baba etu Lowasa
@MohamedAhmed-yn1lx
@MohamedAhmed-yn1lx 9 жыл бұрын
Duuh kweli watanzania vipofu
@richardsifaeli7811
@richardsifaeli7811 9 жыл бұрын
kila kipindi na kelele mpya ilikua maisha bora kwa kila mtz saiv ni safari ya matumaini anasema atashhughulikia umaskini na kuinua uchumi,atashughulikia vipi bila kukomesha ufisadi wa kodi za wa tz na ubadhirifu wa rasilimali na mali asili kitu kinachoitafuna tz,bila kuyapa kipaumbele ayo amna cha uchumi wala umaskini deni la taifa litapanda tu na maisha kua magumu
@kongstrong1938
@kongstrong1938 9 жыл бұрын
Wishing Tanzania many blessings!
@abdulsalammohamed8175
@abdulsalammohamed8175 9 жыл бұрын
Nice..
@olephilemon1773
@olephilemon1773 9 жыл бұрын
Kura yangu unayo Mr Prezda Lowassa
@gracesong9851
@gracesong9851 9 жыл бұрын
Dada waambie coz umalaya utazid,wema unagombea ubunge unataka kuongeza umalaya? Ictoxhe una skendo kibao na hatutaki bora kiongoz tunataka kiongoz bra
@eddieross2581
@eddieross2581 9 жыл бұрын
Naomba mamlaka ya usafirishaji na ile ya anga,iangalie kwa makini suala la wagombea wa nafasi mbali mbali pamoja na ile ya urais kupitia chama cha chadema,kutuwa helkopta katika umati wa watu,unaweza kuhatarisha maisha ya wananchi pindi itapotokea ajali. maana watu wengi huwa wanasogelea kwa karibu wakati helkopta hiyo inapojaribu kutua.
@tumainimabusi7156
@tumainimabusi7156 7 жыл бұрын
bongo move
@hamismwangwale563
@hamismwangwale563 7 жыл бұрын
eddie ross .
@harifumunir6004
@harifumunir6004 9 жыл бұрын
Kiukweli Lowasa amejipanga kwa kauli nzuri, vipi lakini yasemwayo yatatekelezwa au ......
@CharlesLukas-d3u
@CharlesLukas-d3u 3 ай бұрын
Upumzike kwa amani jamani
@daudiabdul3365
@daudiabdul3365 9 жыл бұрын
Rais unayemtaka ww unaempinga lowassa wa tz hawamtaki? Jipangeee 2015
@paulokiruwa9879
@paulokiruwa9879 Жыл бұрын
Hayo yote uliyoyasema Magufuli aliyafanyia kazi
@GodfredAlfredNgarama
@GodfredAlfredNgarama 8 ай бұрын
Kama kweli duniani kungekuwepo na haki kweli ww ulikuwa unapaswa kuwa raisi wetu.
@nelsonyohana6525
@nelsonyohana6525 9 жыл бұрын
Jmn uraic sio nguoyakuvaa leonitavaahii keshoile. Tunazifaham sifazaraic watz. Tumkumbukeni babawataifa mwlm nyerere alisemann.
@oshbakhewedi2997
@oshbakhewedi2997 7 жыл бұрын
nelson yohana 899. m
@comedy_movies_Tz-05
@comedy_movies_Tz-05 8 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@nicholouskuyenga7607
@nicholouskuyenga7607 5 жыл бұрын
Mwandaa hotuba anaweza kukuandalia hotuba yenye maono hata kama mwandaliwa hana maono hayo
@nicholousmasunga4029
@nicholousmasunga4029 9 жыл бұрын
Ebwana vp ujapata habar za huku kilimanjaro kilichojiri kwenye mazishi ya kisumu
@daudilengai7402
@daudilengai7402 9 жыл бұрын
Kiongozi in kioo cha wananchi Mzee uko vizuri wengine nendeni shamba
@onetoanotherglory2024
@onetoanotherglory2024 9 жыл бұрын
Tuwasikilize wote. Tuwapime wote. Tumchague mmoja atakayetufaa.
@fadhilimohamedi5714
@fadhilimohamedi5714 9 жыл бұрын
Watu kama hawa Nyerere alisema tuwaogope sana hizi pesa atazirudishaje pindi atakapoingia ikulu
@teamlowassa6689
@teamlowassa6689 9 жыл бұрын
Anafaa kuwa rais lowassa
@nelsonyohana6525
@nelsonyohana6525 9 жыл бұрын
Shee umeonambali kamamm
@teamlowassa6689
@teamlowassa6689 9 жыл бұрын
Umeonaeeee nelson
@teamlowassa6689
@teamlowassa6689 9 жыл бұрын
hawa wengine wanapiga porojo tu lowassa ndie rais
@kileoally518
@kileoally518 9 жыл бұрын
Hivi kwa nini wanatafuta urais kwa gatama kubwa kiasi hiki?nini hatima yake!!!!
@tobosha3236
@tobosha3236 8 ай бұрын
Mafisadi walimfanyia figisu huyu mzee ili asiwe rais pumzika kwa amani mzee lowasa
@erickmweta8215
@erickmweta8215 9 жыл бұрын
jamaa amejipanga vizuri sana na hawa ndo tunaowataka
@rajabukassimunyon6428
@rajabukassimunyon6428 7 жыл бұрын
jonikomba
@charlesnassary6689
@charlesnassary6689 4 жыл бұрын
sitasahau kwakweli hicho kipindi
@nicholouskuyenga7607
@nicholouskuyenga7607 5 жыл бұрын
Moja ya kitu nilichokibaini, Lowasa ni mtu asiyejiamini
@isackjoseph6306
@isackjoseph6306 9 жыл бұрын
hapana kitu wapo
@darmillionaire
@darmillionaire 9 жыл бұрын
Mheshimiwa mzima kweli? Naona dakika 1:05 wakati anapanda kwenye ngazi akashindwa kutembea.
@josephluhusa4823
@josephluhusa4823 9 жыл бұрын
KAZI UNAYO NA PIA SIFA UNAYO . YETU MACHO TUONE UKITEMBEA MBELE KUIFIKISHA NCHI
@onetoanotherglory2024
@onetoanotherglory2024 9 жыл бұрын
Tuwasikilize wrote . Tuwapime wrote. Tumchague atakaye tufaa.
@chachamagoti2400
@chachamagoti2400 5 жыл бұрын
R.I.P br
@comedy_movies_Tz-05
@comedy_movies_Tz-05 8 ай бұрын
Mmmhhhh
@mashaurymkilya3168
@mashaurymkilya3168 5 жыл бұрын
lowasa
@obeidmakweba8712
@obeidmakweba8712 9 жыл бұрын
WATANZANIA alieturoga kisha kufa.......! tusha sahau kama jamaa alipiga diri la ma billion sakata la richmond
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 9 жыл бұрын
Mzeee huna sifaa kaangalie ng'ombe wako porin huko!!!
@hashimumbaujika5916
@hashimumbaujika5916 7 жыл бұрын
mungu Aweke r n
@isayaswai
@isayaswai 8 ай бұрын
Rlp
@Kifyasi
@Kifyasi 6 жыл бұрын
shati halijanyooshwa
@yunusally9535
@yunusally9535 9 жыл бұрын
Kura yangu unayo
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Walikuwa wanamtunishia misuli jk, na akawaonyesha kuwa yeye ni rais
@williamjonas4123
@williamjonas4123 9 жыл бұрын
bona siwaelewi
@dct4lif
@dct4lif 9 жыл бұрын
Hayo maamuzi magumu yalikuwa wapi wakati wa uwaziri wako ?
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 9 жыл бұрын
Adnan Kashogi unaonekana humjui alivyokua madarakani km aliyatumia hayo maamuzi magumu au lah ,ukweli hiyo ndo sifa yake inawezekana haukuwahi kufuatilia na comment umeitoa kwa uharaka bila uchunguzi
@dct4lif
@dct4lif 9 жыл бұрын
Yuda Madai Alikuwa na maamuzi magumu ndio maana wakamtimua uwaziri mkuu. Namjua Lowassa toka akiwa ardhi hakuna wizara amegusa hajaacha ufisadi. Kesi za kuuza viwanja mara mbiili mbili nimeanza kuzisikia Lowassa akiwa waziri wa ardhi mnazi mmoja alijaribu kumuuzia mwindi akakamatwa na kufukuzwa kazi Nyerere akamwita mwizi.
@kisshydirector2630
@kisshydirector2630 9 жыл бұрын
Vijimbo
@kizitosolo1087
@kizitosolo1087 7 жыл бұрын
makomando was tanzania
@wasafitelevision7619
@wasafitelevision7619 9 жыл бұрын
Huyu hatufai kuwa rais
@mamahustru
@mamahustru 6 жыл бұрын
Imebidi nije kuona Msukuma akiingia uwanjani baada yakuona mahojiano yake na Clouds360. Kibonde na wewe shikamoo. JK shikamoo. Nimeamini CCM sio wamchezomchezo.
@salimabdul9720
@salimabdul9720 5 жыл бұрын
Moyosafi
@arongerald3419
@arongerald3419 9 жыл бұрын
M,baya haji kwa kwa kushawishiwa na watu au minongono,Kiatu cha kale ndio kinacho jua njia sio kilichopo dukani,chagua safari buti uone kama utachomwa mwiba acheni kusikia msiyo yajua kwa kuambiwa na wasio jua na hata wenyewe walisikia kwa watu,Tanzania badilikeni kifikra na mtazamo.fanyia kazi akiliyako inagundua nini sio inaambiwa nini
@abdulnuruh4525
@abdulnuruh4525 9 жыл бұрын
Hafai fisadi mkubwa
@manhwakigoma8656
@manhwakigoma8656 9 жыл бұрын
gyda
@thobiasmertaroi2995
@thobiasmertaroi2995 9 жыл бұрын
Lowassa hakika wewe,ndie unaestahili kuwa raisi. Hoja yako ni ya nguvu na inatekelezeka kwa utekelezaji mathubutu
@wilsonfrance444
@wilsonfrance444 9 жыл бұрын
tunataka mabadiliko##
@rehemarashid3551
@rehemarashid3551 9 жыл бұрын
Lowasa tunakukubar, enda ukawa au uwe ccm bado wewe ni ww yule, jana leo hata kesho. Piga vita kuu mzee, ipige vita vilivo vikali.
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015
1:38:02
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 149 М.
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 66 МЛН
KUMBUKUMBU YA MZEE MKAPA ALIVYOAPISHWA KUWA RAIS MWAKA 2000
40:29
Edward Lowassa Mahojiano na TBC
34:24
Edward Lowassa
Рет қаралды 112 М.
Askofu Gwajima akijibu tuhuma za Dr Slaa 08/09/2015
1:16:06
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 367 М.