Ayo TV & Millardayo.com tumeweka kambi mahali inapoaminika alikuwa akiishi Hamza, jamaa aliyefanya mauaji ya Askari wawili na watu wengine wawili akiwemo Mlinzi.
Пікірлер: 319
@musason16802 жыл бұрын
Uyu jamaa n mtu mhimu sana kwa Millard anapambana na yuko very smart katika kaz yake
@kekiplus1andonly2 жыл бұрын
Jamani tuendelee kuiombea nchi yetu🙏🙏🙏Mwenyezi Mungu atuepushie mabalaa na aimarishe amani na utulive ..Ameen🙏🙏🙏
@tzsolarenergy65922 жыл бұрын
Oya millard huyu jamaa anayetangaza unatakiwa umlipe pesa nyingi sana tofauti na wengne.... Maana jamaa anafight sana kuzitafta habari kwa udi na uvumba ,kokote na muda wowote ,
@husamtech27482 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mwigarleysaid54062 жыл бұрын
Hamza
@nissamwapoladi73452 жыл бұрын
Kabisa bro yupo vizuri
@suleimanhamadi50992 жыл бұрын
Vida vidox
@lilianfelix51432 жыл бұрын
Vido vidox
@peaceisrael81582 жыл бұрын
Ee Mungu wetu ikumbuke 🇹🇿 🤲tujaalie mwisho mwema 🤲🙏
1.kunashida ktk jeshi la polisi. Mbona hajazuru raia 2.Watu Kila mara Wana lalamika mahusiano yanakuwa siyo mazuri kati ya raia na police. 3.Rais wetu kipenzi hebu angalia hili jambo kwa kina. Kunashida hapo katikati ya haya matukio. Poleni wafiwa
@chamblainreuben74312 жыл бұрын
Polic wetu wanapenderea san
@pendombise67562 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka millard kwa kazi yako nzuri
@japhetkassim59102 жыл бұрын
huyu jamaa yawezekana" Alikuwa na BIFU na ASKALI,,.. Mbona hakudiri na RAIA?🤣🤣🤣
@josephmlawa17762 жыл бұрын
Watakuwa walichukuwa boda🙄
@tumainikomba90082 жыл бұрын
Hata mie nahis ivyo...Kuna ktu kpo na hao polis
@RoseRose-fo8lw2 жыл бұрын
Siku moja mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na sio kwa mabaya ulale salama mwenda zake magu. 😭😭😭
@yoakimmsuha96362 жыл бұрын
😢 😢 😢
@ChoroTesla2 жыл бұрын
Kwa iyo yeye ndo alikua mungu kwa matukioa haya yasingetokea ebu acha ujinga bhana
@jumakwau65002 жыл бұрын
Sasa hili tukio la leo linahusiana nini na mzee wetu?
@aminamalugala80102 жыл бұрын
Anasababu tu huyo.angeuwa raiya.kwanini ashambulie polis tu? Ipo sababu t.
@joycecasto79662 жыл бұрын
Watakuwa wamemzurum mbona hajaua raia
@kontradagugami36782 жыл бұрын
Kweli ya kaisari hayo... Polisi wawajiboshwe kutoa taarifa za kweli baada ya kuhojiana nae. Wasitupange uongo. Wasiseme hamza chizi anasababu. Raia tunawajua polisi uzulumat wao na ubabe wao juu ya haki. R.I.p. hamza baba LA watu
@swdaalii68922 жыл бұрын
Kweli kabisa ilo wala haliitaji tochi, awa polisi dhurmati Sana
@jenyyusuph49732 жыл бұрын
Kumbe ni mtanzania na ana family yake DAAH mapolisi wetu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@shijamakoye65442 жыл бұрын
Sasa mapolisi wenu wamefanyeje kama MTU kishauwa askari 4 ulitaka afanyweje sasa na wewe
@saidisalabi76932 жыл бұрын
INNALILAH WAINNA LILAH RAJIUN.
@claudiangowi95852 жыл бұрын
Isingefaa kupigwa risasi ya mguu tu na kumkamata, maana amejitwika silaha kifuani anamimina hovyo. Apumzike kwa Amani.🙏
@hasnasaif10752 жыл бұрын
Inaumiza kwa wafiwa na muuji pia maana cjui kakutwa na nn yaarabi
@edgasanga96942 жыл бұрын
Ira akuna tv makn kama miladayo jomon
@jamilasalimvilog67522 жыл бұрын
Kunakitu sio bure
@aishaibrahim56072 жыл бұрын
Mtangazaji mzur😋macho yake ss nauwo weusi wake dah😘
@zawiajuma7152 жыл бұрын
Poleni sana wanafamiliya
@cathywence43362 жыл бұрын
Noma sana hii
@ismailystarmusic36572 жыл бұрын
Nanyie mtakufa Kama walivyo kufa wengine maana amuogopi mnaenda tuu
@baruthmussamuslim34342 жыл бұрын
Milard ayo number 1 on blog
@sweetluc26602 жыл бұрын
Mungu ilinde 🇹🇿 kweli nimeumia asikali wetu jamani wapumzike kwa Amani
@suzukisimba83932 жыл бұрын
Eee mungu inuxulu nchi yetu nawatu wake 🙏🙏
@omarmuhale53202 жыл бұрын
Mnaifanya kz nzuri
@baruthmussamuslim34342 жыл бұрын
Yes
@boniphacepetro59192 жыл бұрын
Mungu ibarik Tanzania yetu🙏🙏
@evansthobias91152 жыл бұрын
Jaman pengine haya ni matatizo yanayotokana na kupanda kwa tozo luku mafuta na vichanjo yaan dar mungu ibaliki tz
@ednaJF10282 жыл бұрын
Tusha uzwa na wenye tamaa ya pesa
@ednaJF10282 жыл бұрын
Ndo mjue tofauti na alivyo kua magufuli na bado watatunyanyasa haswa tu
@ednaJF10282 жыл бұрын
When magufuli was presented i wanted to come back but now no way Hakuna anaye jari watu wa chini kama magufuli alivyo kua akifanya
@aloycesteven59982 жыл бұрын
Namkubali sana Vido Vidox
@justinendizeye7142 жыл бұрын
Baba awe na mgodi wala asiwe nawo, ila uyo gayidi kajifundisha wapi jeshi, wala silaha????
@abdillahsuleiman79312 жыл бұрын
Jiulize kwanza na iyo silaha anayomiliki kihalali kaipata vp?
@getrudamichaely96092 жыл бұрын
Jaman
@getrudamichaely96092 жыл бұрын
Watu wanaona kitu Cha kushededea Ila kunawatu nyuma ya panzia washaumizwaa
@talekush56232 жыл бұрын
Nakubali
@izdorybutati37182 жыл бұрын
Au ndo zile chanjo za korona zimeanza kuvuruga watu 😭😭😭
Mmmh kazi kwelikweli yalipungua haya wakat mzee yupo sasa yameanza tena kwa kasi
@shubebunyesi5422 жыл бұрын
Rufiji, mapango ya amboni , kutekwa kwa roma, mo, kufaliki kwa msanii wa ze mafiki mbalamwezi na kuokotwa akiwa uchi , beni saa nane ajulikani alipo, nakukumbusha tu Ili upate angalau kuona usiwe kipofu Sema kinachotokea ni miemko au kutaka kumchafua serikali ya awamu hii watu wantembea na changamoto za msongo wa mawazo , juzi Kati kuna jamaa kaua mtu na yeye kajiua saa unawezaje kuzuia tukio kama Ilo duniani kote utokea matukio kama ayo unakua mtu na silaa anavamia shule anapiga risasi baadae naye anauliwa kawaida
@nasrahnaim7952 жыл бұрын
yalipunguaa yap??mbona mo alitekwaa akapoteaa wiki naaa...
@ChoroTesla2 жыл бұрын
@@shubebunyesi542 hao walishalishwa unga wa ndeld km walikua wanakula malimao na kubugia matangawiz na kumtuma profesa kabudi akabebe apple lunch madagascar hawaez kuelewa
@Ram_18932 жыл бұрын
@@shubebunyesi542 Yule jamaa wa Mbalamwezi ilikuaje aisee? Dah!!
@mariaernest93242 жыл бұрын
Habari za hii chaneli sina wasiwasi nazo ni zaukwel
@dogotwaanails_mafunzo2 жыл бұрын
Jaman uombe na kusal Tanzania Mauaji Kira sku😭🙏
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Vido love you bro
@shaniaally1532 жыл бұрын
Jamaa sijui kakutwa na nn ila angeamua kuua RAIA angeua hata buku
@jescajulius80232 жыл бұрын
Kabsa
@lewismpangala9272 жыл бұрын
Kwa risasi kiroba?
@laylatmlacha47292 жыл бұрын
Kweli mana ilikuwa mda wa move ment watu wana shughuli zao kwaiyo angekuwa na nia mbaya kwa raia da angeua sana
@reginaldmsofe24372 жыл бұрын
apo kuna lakujifunza
@ChaluEngine2 жыл бұрын
Kuna nini mbona c elewy
@mathiassay37232 жыл бұрын
Dhuu mbona kazi ipo
@lydiachembe93762 жыл бұрын
Masikini maasikar wetu duh
@lameckmtera22522 жыл бұрын
Tunashukuru kwa tahalifa kaka
@suleimansalim71942 жыл бұрын
Askari wa 4 raia Mmoja Duh,
@zawadimasula62532 жыл бұрын
Poleni Sana jeshi la polisi
@sultanamour85012 жыл бұрын
Sisi tunahangaika kutafuta sababu ni nini kumbe ndio ilikua andiko la kifo Chao hapo kuna yakujifunza kuwa ikifka muda wako utakufa tu maana kama ni jambazi aliiba nini kabla au target yake ni nin au wapi? Lakini kama ni gsidi alitaget nin na kwanini aue Askari tu awaache wengine yaani raia? Na kama ni gaidi hawezi jitoa road kwa style ile?
@wilsonjoshua62092 жыл бұрын
Kwahiyo jamaa Ni msamalia mwema anaetimiza maandiko ya Mungu ..😅😅😂😂 .
@sarahkimaro752 жыл бұрын
@@wilsonjoshua6209 😂😂😂
@wasilaahmad54592 жыл бұрын
We nawe huna point ya msingi ,tunajua kama kila kifo kina sababu lakini huyo jamaa analo alilokusudia, wasomali wanapenda kufanya ugaid na kujificha ktk uislamu, washenzi wKubwa
@wasilaahmad54592 жыл бұрын
@@wilsonjoshua6209 🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu nae itakua ni msomali
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Kuna siri nzito hapo kt ya mtuhumiwa na police
@simonmwandu22142 жыл бұрын
Polisi wa tanzania Kuna jambo la kujifunza kwa hili tukio, jmaa alidili na askar polis tu,
@userAysha2 жыл бұрын
Umeona eeh waache tamaa kama kinacho zungumziwa ni kweli basi mapolice wamekufa kizembe sana wao rushwa tuuu na tamaa mbaya
@simonmwandu22142 жыл бұрын
@@userAysha hatar san yani hao hawana ubinadam hata kidogo rushwa tu hawafny kz kwa mujib wa sheria inavyosema yan
@userAysha2 жыл бұрын
@@simonmwandu2214 kila kona rushwa tu mtu baada ya kufanya kazi yake vizuri kama inavotakiwa basi yeye akimshika mtu anaanza nipe chochote nikuwache
@simonmwandu22142 жыл бұрын
@@userAysha hiyo ndo tatizo watu wanawachukia polisi wa africa ni tatizo
@userAysha2 жыл бұрын
@@simonmwandu2214 halafu afrika nzima sawa sawa karibia wafanya kazi wote wa serikalini wanapenda rushwa ulaya hakuna mmabo hayo na ndo maana wameendelea we tizama afrika mtu anapangiwa mda wa kuanza kazi basi anakwenda time anazotaka yeye hawako makini na kazi zao kabisa
@opendoorspoutryfarm3092 жыл бұрын
ao police walijuaje apo ndo kwake?
@najuf80212 жыл бұрын
Vido vidox nakukubali naunajua bana
@kimodomusic20092 жыл бұрын
Atali Sana😭
@robinahumphrey97252 жыл бұрын
Polesi wetu jamani ..poleni ndugu na jamaa....
@mussanganda5052 жыл бұрын
Polen sana
@mtagechota10022 жыл бұрын
Samia kazidi kusema magaidi magaidi hajui tyuu mazara yake
@shubebunyesi5422 жыл бұрын
Magufuri ajawai kusema acha unafki kama unachuki zako binafsi Sema yani, linawauma kusikia mbowe gaidi ila wale mashekhe wala hamjawai kupiga kelele kwenu sawa tu
@mtagechota10022 жыл бұрын
@@shubebunyesi542 binafsi siko huko unakowaza wew hata ukiangalia video alikuwa anaongea leo unaweza ukaelewa kwann nimecoment ivi Anyway acha kihere here bro
@faustinenyeura42432 жыл бұрын
@@shubebunyesi542 mbona hao Kina Mbowe na Lisu ndo waliipigia kelele serikali ya Magu iwaachie Mashekhe wa uamsho??!!!
@salmaathuman91562 жыл бұрын
Aseee vijana acheni hayo mambo mutaharisha family kama hivyo mama Wenda hujui chochote dah mungu atulindie vizazi vyetu yasitokee balaa kama hizi
@kalizote49522 жыл бұрын
Kaz ya upolisi ni sawa na kujitowa muwanga kuzuiya bom
@naihfrank73062 жыл бұрын
Daaa jmn walinz wetu wanch wameondok gafla mungu awapokeee kak zang mlio kufa bila atia sas huyu anza kwanin walimrus kumilik hiz bastola
@jamesmumba99852 жыл бұрын
Weeee poleni jamani
@zakiamsafiri123zakiamsafir72 жыл бұрын
Duu kumbe wa nyumbani nini maskin kimemkuta
@salamanauthartanzania63012 жыл бұрын
Itakua alikua na bifu na pokisi
@adamkadiri38642 жыл бұрын
Duh mmmmmh
@fredrickmalunde34262 жыл бұрын
We reporter boys kweli ,huna hata bullet proof.karibu na nyumvavya gaidi mwenye jezi za ccm
@mcmwasikitoko72942 жыл бұрын
Aya ndio matatizo yatokanayo na Tozo Luku bizaa kupanda bei chanjo nk lazima akili ziruke sio poa
@jacksonlaurentfrancis8842 жыл бұрын
Nikwel aisee
@jumamsafari51212 жыл бұрын
Watanzania tukio alofanya huyo jama siolakawaida yuko peke yake naeneo lenyewe kuna baloz kama nne na kunakituo chapolic tuji ulize wange kuwa wako watano ingekuaje?
@nasrasaid21212 жыл бұрын
Jamani hata maiti pia askari wamekuja amakeli ukiwa na mali uko mavini bado kazulumiwa na bado family inateseka jamani sasa lazima tuwe makini na hawa askari mola akupe kauli sabit akupunguzie azabu ya kaburi
@jumansekeye38602 жыл бұрын
Inaskitisha allah atunusur
@ezraphonetv61852 жыл бұрын
Dah
@abdulhalim38402 жыл бұрын
Tetea haki yak had Toni lako la mwisho hamza itakuwa alizulumiwa ndio Maan akaamuwa kudili na police tu dah hatar san Ole wak unakufa hali umedhulumu chochote kile iwe kwa tajir ukaona hupunguz kitu au maskin ukaona hanambii kitu jahannam inakusubir mpe kila mwenye haki haki
Polen kwa wafiwa wote Lakin siro aseme alikua anatatizo gan nahamza
@cityhunter68582 жыл бұрын
Mkishindwa niiteni city hunter nije chap chap tutawapata
@jimmymwambe87332 жыл бұрын
Jitiada za polisi kuhus mtuumiwa na wengne kama huyo vp🤷♂️🤷♂️
@filismpangala21462 жыл бұрын
Itakuwa uko uko mgodin polis wamemdulumu kitu akaamua kufany vile na inawezekan ni maswala ya hera
@fauziawaziri27292 жыл бұрын
jeshi lapolisi lichunguzwe vizuri kwanini hajauwa laiya na anafanya kusema yeye hana shida ya kuuwa laiya anashida ya kuuwa askari polisi wachunguzwe kwa kina wakijulikana wanahatia wachukuliwe hatua za kishelia
@goodluckbosha14642 жыл бұрын
Mr Vido Vidox naomba ukipata nafasa kumuhoji mamq yake Muulize "Unahisi Mwanao alipata wapi silaha na mafunzo ya kutumia silaha za kivita..."
@noxlosingida23692 жыл бұрын
Nasikia silaha ni ya baba yake alikuwa mmliki wa migodi huko shinyanga ila kwa sasa baba yake ni marehem kwa sasa na amewaachia hiyo migodi
@mohammedjuma89922 жыл бұрын
Alifuata nn ubalozin
@nasrahnaim7952 жыл бұрын
kwann wasimulize kwann alikuwa anauaaa askarii 2
@victordede19222 жыл бұрын
Wamemuibia mgod uo
@officialsalhath2992 жыл бұрын
Nmehuzunika kutambua hakuw jambaz alizurumiwa pesa zake na askar ND maan akaamua kuyafany hayo Ila waislam wenzangu tujiuliz Jambo japo alifany hayo lkn hakumsaahau mola wake kwa Kila hatua
@elishasolomon97422 жыл бұрын
Me napita tu.
@perpetuafelix22642 жыл бұрын
🙏🇹🇿🇹🇿
@robertmtiba60922 жыл бұрын
Akili anazo timamu kwann aue police tu asiue raia
@jescajulius80232 жыл бұрын
Yap,sio chiz na wala hakuchanganyikwa
@kipsjr36642 жыл бұрын
huwezi kujua chizi kuna muda akiona polisi anajua yupo vitani so tatizo la akili ni daktari wa kuthibitisha
@twistermwasilelwa36632 жыл бұрын
Kazma Kuna kitu hapa polisi tyu na sio laia
@esteromary21022 жыл бұрын
R I P polisi wetu 😭😭😭
@justinendizeye7142 жыл бұрын
Uthubutu wote aliwonyesha siyo wakawayida, dah
@nassirvarane68522 жыл бұрын
Serekal yetu hususani polic wanapenda kuzulum mali za wana nchi ss wananchi wenye hasira kali km hamza hawawez kuvumilia ujinga wao
@mimahally13882 жыл бұрын
Vidox😘😘
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
Hamza kaitia familia yake matatizo
@khatwabisadathil34232 жыл бұрын
Kweli kabisa.
@naihfrank73062 жыл бұрын
Vidi dock anajitahid wamillad hay
@asmahaniabduli27262 жыл бұрын
🙄🙄🙄
@poncan11332 жыл бұрын
Asee MUNGU atukumbuke
@Awatee2 жыл бұрын
Mungu hakuna hata kimoja anachokisahau vyote ni milki yak hasahau kitu
@brayanjames99532 жыл бұрын
Mimi ndo WA kwanza au
@puregamers42152 жыл бұрын
Kwani Millard anasemaje
@mdzainb37222 жыл бұрын
Kupigwa risasi au😃
@fredmramba66122 жыл бұрын
Watu walishachanganyikiwa na maisha
@pendopeleus99432 жыл бұрын
Harafu unakutana na mixengwe unasumbuliwa kweny mali yako kitatokea nini wkt mnawakabidhi bastora ajilinde na mali zake
@mashibatoursafari46702 жыл бұрын
Hakuna ulizi wowote
@elishamwanjela44432 жыл бұрын
Blog no 1 tz
@lucynelsonmungure17192 жыл бұрын
Millard ajawahi kutoa taarifa za hovyo
@officialz-styletz49342 жыл бұрын
duuh pazitooh
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Hawa watu wa jamii ya kisomali sio watu kabisa nyie chukueni hilo tukio poa poa tu, watakuja kuwauwa kama kuku, waulizeni Kenya waliwakaribisha wengi sasa wakenya wazawa wanajuta. Ni bora mkaribishe waafrika wengine hawana tabia za kigaidi na roho mbaya na ubaguzi Ila sio wasomali hawana maana kabisa hao watu.
@abdulahihassankadir97702 жыл бұрын
Punda wewe usoongee pumba ...
@aminiahidani41202 жыл бұрын
ALIYEUWA NAYE KAUWAWA WEWE UNAYESEMA KAIPA TABU FAMILIA KWNI ALIKUWA NAYO KWENYE TUKIO