Hatimaye aliyekuwa mbunge wa Monduli kwa tiketi ya CCM Edward Lowassa amejiunga rasmi na chama cha demokrasia na maendeleo Chadema huku akisisitiza kuwa hakuusiki kwa namna yoyote ile na sakata la Richimond.
Пікірлер: 11
@kallahassan48966 жыл бұрын
kweli mabadiko watanzania wanayataka ila kashayaleta magufuli
@sengondomsuya42 жыл бұрын
Mungu mlaze pema pema peponi
@babalao56349 жыл бұрын
angalia usije ukashindwa na uko ukasema haiwezekani ........! Lakini mzee hujatumwa na ccm uje kutuparaganya baada ya kuona wapinzani tunaendelea kushika kasi? Jamani tunacheza karata mbaya hii.
@nikodemmwahangila33344 жыл бұрын
Mchukueni membe jamani nae anawtu mtieni moyo ila jifunzeni upinzani msipokepokeee tu kwisha habali yake