Mungu akubariki sana Mpina na akulinde No weapon formed against you Mpina shall prosper never ever in Jesus name Amen mwe support you Mpina 💯 % Kweli huyu bashe ni kilaza sana utasemaje watu waachane na kilimo cha miwa are you crazy
@saivellybrutally29942 ай бұрын
Mpina my brother Tanganyika sisi ni changamoto tunaumizana sisi kwa sisi tumeshindwa kupambana na maaudui kama umasikini na ukosefu wa ajila mwenyezi Mungu yupo
@FrederickThadeo2 ай бұрын
Mpina ccm watakukumbuka sana mungu akulinde watu wote hamuwezi kua chawa mwisho wa ubaya ni aibu tu Mzee wasila nae ajiuzulu Mzee kinana ni mfano wapishe vijana amen
@dinalema7322 ай бұрын
Mungu akulinde ndugu yetu Mpina. akufunike kwa damu yake
@fabianmainchanyangachika50172 ай бұрын
Mimi nakuelewa sana Mungu akubariki sana
@benmambya81692 ай бұрын
Tunataka watu Kama Hawa wasema kweli kazi yako ni njema kaka
@JEREMIAOPIYO-j1y2 ай бұрын
uko vizuri mpina
@jumayusuph57332 ай бұрын
mpina uko vizuri
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Huyu ndio mwana CCM halisi,mtanzania mzalendo na muadilifu wa kweli.Huyu ndio mwana CCm ile ya Nyerere iliyokuwa inafuata miiko ya uongozi na maadili na kutanguliza mbele maslahi ya nchi.Tukijenga Taifa la watu wenye kujiamini,wabunifu na wenye uthubutu kama Mpina taifa letu na mifumo yake itakuwa imara sana.Taifa letu litakuwa imara sana na hatatokea fisadi wala mafisadi wa kuifisidi nchi.
@GalilayaKilyabiye2 ай бұрын
Makungu kilyabiye pamoja sana kaka mpina
@RedBelt-m2k2 ай бұрын
Safiiii
@anordkazuba-ft5jr2 ай бұрын
Mpina hongera sana kwa uzalendo ulio tukuka kaza but usikate tama
@mickgeofreyjoachim15802 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭the country smells corruption everywhere
@mickgeofreyjoachim15802 ай бұрын
Hivi nyuma ya Bashe kunananiiiiii????????ukiona panya anamdharau nyau ujue kuna shimo pembeni hapa mkuu wa nchi anahusikaaa ndomaana yupo kimya kama haoni...daah!!!😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mzalendomzalendo25672 ай бұрын
Mnadhani kila kitu ni ushabiki wa mpira,
@mzalendomzalendo25672 ай бұрын
Huyu ana wivu tuu kwa sababu hana nafasi hiyo tena, aende aka hangaikie jimbo lake huko wananchi hawana hata vyoo
@OscarKasalile-u4k2 ай бұрын
Katika wabunge wazalendo umebaki peke yako ndani ya ccm, lakini watanzania tuliowengi tunakuombea kwa mungu, hii vita sio yako peke yako ni vita yetu sote nchi nzima kupambana na watu wasiolitakia mema Taifa hili.
@pamaco_wa_viwanda2 ай бұрын
Bashe na Mwigulu wanyongwe
@BarakaMbise-lk1eb2 ай бұрын
Bo's kweny Jimbo lako wakikunyima kura warakuw na matatiz usikate Tama pambana mpaka kieleweke
@mariaanthoniangowi93762 ай бұрын
We kama hujitambui ni Bora ukale kimya usitoe comment za utumbo. Mamba Mbina ni mwakilishi WA Wananchi anayejitambua .
@ntegrity2772 ай бұрын
HUYU JAMAA NI CHUMA, ALIPIGWA SUMU KIPINDI FULANI BUT GOD IS GREAT
@healingsschool46302 ай бұрын
Mpina usikate tamaa, Dunia, Mbingu na Kuzimu zinakuelewa
@plujoncylugano46112 ай бұрын
Mh.Mpina ni mbunge wa KARNE,Mzalendo wa kweli kwa Taifa lake,Mpina ni zaidi ya wabunge 300 wa ccm,hv Rais sakata hili na kilio cha Mpina kwa hija zake je,umezisikia?Rais jambo hili usilinyamazie toa tamko kwani sisi wana nchi tupo upande wa Mh Mpina mtetezi wa kweli kwa Taifa lake. Mh.Mpina MUNGU akushindie sana na tupo nyuma yako.
@HappyatHome-bn8wm2 ай бұрын
huyu jamaaaa ni mtu muhim sana kwenye taifa hili. mama samia nakuomba mamangu, mtu huyu mrinde sana. kuna upigaji mkubwa sana inaonekana. ruhusu uchunguzi
@ntegrity2772 ай бұрын
KWA LOGIC YA KAWAIDA HIVI MPINA KILA KITU HUWA ANASEMA UONGO? AU VIONGOZI TUNAMPUUZA TU? MBONA ANATOA DATA? EVIDENCE? KUNA NINI HAPA?
@dassustephen7312 ай бұрын
Nchi hii mambo yanakwenda hovyo sana ni kama viongozi wanawafanya wananchi hawana akili Nonsense
@phillipmasungwa73652 ай бұрын
PAMOJA SANA MPINA.
@Leeeeeeee-962 ай бұрын
pigia nyundo hapo hapo 😂😂😂
@TundumaInclusive20242 ай бұрын
Brother nakusalimu kwanza
@mariaanthoniangowi93762 ай бұрын
Ww unayesema acha que de una akili za matope, au ndiye mwizi mwenyewepanya ww
@josephatemmanuel4582 ай бұрын
Ndo umetumwa uongee upuuzi wako kaakimya
@eliasmedutieki75782 ай бұрын
Nakuunga mkono pamoja na kwamba wewe ni ccm hata mchanvo nitakupa pambana
@dinocastico84952 ай бұрын
Hivi nitakua vigezo halali kwenda kwa wananchi ikiwa tu waziri wa kilimo hata kuja kupinga haya. Ikiwa atakaa kimya ni wazi ccm ina jiangamiza kwa kuamini watakuwa madaraki mpaka mwisho wa dunia. Watu weusi tunatabu saana
@titusrobert58902 ай бұрын
❤❤p
@RamaKimbeu-tw4po2 ай бұрын
KWAHIYO WW NDIO WAKILI WA WENYE VIWANDA au
@Dominaevance2 ай бұрын
Ukiwa huelewi mambo better to keep quiet Sasa hoja ya uwakili hapo inatokea wapi?
@saulocharles93062 ай бұрын
Kamahaujui kinacho zungumziwa hapo ni bola kukaakimya
@mossessimon24932 ай бұрын
Wewe ni Kiazi kama Viazi vingine
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Mjinga ww
@mzalendomzalendo25672 ай бұрын
Au mitandao ndio mahakama naona jamaa anauza sura badala ya kutumikia wananchi wa kijijini kwake
@Globalpeace1232 ай бұрын
Jamani wewe Raizan yaani maswali yako hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kuuliza kwani hayana kichwa wala mkoa ni maswali less swali eti kipindi hiki cha uchaguzi kwa hiyo asingetakiwa kutoa haya anayoyasema duuuh kweli inabidi urudi ukajifunze communication skills ujue jinsi ya kuuliza maswali sio tu unacopy na kupest 😅
@raydanfrenk2 ай бұрын
Ŵw umetumwa ila Bilion 580 lazima zipatikane
@RamaKimbeu-tw4po2 ай бұрын
ACHA ziende
@mzalendomzalendo25672 ай бұрын
Huyu jamaa ni anapenda kuonekana tuu kwenye mitandao alionja uwaziri sasa anaona wivu aende akasaidie jimbo lake huko ni kwa hali ya chini sana watu bado wanakwenda machakani kujisaidia
Mchukueni tuu hata huku kijijini kwetu hakuna aliye mchagua hatumtaki
@hamzakimaro37642 ай бұрын
huyu anasumbuliwa na msongo wa mawazo!! atafutiwe tiba!!
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Mjinga nini ww,ushindwe shetani ww.
@paschaljoh57292 ай бұрын
Huna akili ww, utakuwa siyo riziki
@mzalendomzalendo25672 ай бұрын
Mie nashangaa huyu jamaa alivyo shikia bango swala la sukari wakati ni watu wawili au watatu tu ndio wanao tumia sukari jimboni kwake ,
@raydanfrenk2 ай бұрын
Acha ujinga na ujielew kama ww utumii ss tunatumia
@2003hintay2 ай бұрын
Unatapatapa ribo inakuuma kukosa uwaziri
@Dominaevance2 ай бұрын
Ni wapumbavu wachache sana wenye mawazo ya Ajabu kama hayaa, yaan Mbunge kutekeleza Majukumu yake ya kibunge ni kukosa Uwaziri? Unashindwa kufanya analysis ya hoja za Mbunge unakimbilia Uwaziri?
@saivellybrutally29942 ай бұрын
?.....
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Wajinga kama ww kwenye karne hii ni aibu kubwa sana.Mpina anajitahidi kututetea kwa faida zetu sisi wenyewe lakini ww mjinga mwenye laana unamuona si kitu.shetani ww.
@Globalpeace1232 ай бұрын
Weee mbumbu mkubwa hujitambui ndiyo maana unaandika kama ulivyoandika Mpina ni kiongozi anayejitambua ni Mtanzania halisi na Mungu amlinde na kumbariki tuko pamoja nawewe Mpina tunakuunga mkono
@saulocharles93062 ай бұрын
Kweli wapumbavu kama ww hamuwezi kwisha bongo
@mzalendomzalendo25672 ай бұрын
Mie nashangaa huyu jamaa alivyo shikia bango swala la sukari wakati ni watu wawili au watatu tu ndio wanao tumia sukari jimboni kwake ,