Lulu jamani hata wewe hujapokea hiyo pesa tangu uzaliwe hadi sasa
@chancelebishopofficial278517 күн бұрын
Kwani mahakama ya Tz aina kesi zakusikiliza au ndo ivo tena 😂😂😂😂😂😂😂😂
@auntiemylee315717 күн бұрын
Zinaishi kimbeambea
@mancholotrasco835017 күн бұрын
Toka aanze kuimba huo muziki hajawah kupata hiyo m200 bomboklaat why hajamfungulia mashtaka yule aliyekuwa akimrekodi wakat amamla tako muuza uchi huyu
@michelinemapendo665217 күн бұрын
😂😂😂
@aaa64sa1317 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-pw2sw1sk1b17 күн бұрын
😅😅😅
@Oldskulgemini999117 күн бұрын
mahakama na UMBEA ni vitu viwili tofauti we zingua watu mitandaoni wakushughulikie, si unaona mwijaku anavyopata stress
@user-fy9pw2zr8l17 күн бұрын
😅😅😅😅 hakili hana umalaya tu wcb wamemupitia wote mi sioni kibaya lavalava kesema😅😅😅
@sharifabahar990517 күн бұрын
😂😂😂😂 yule alie vujisha mbona umemuacha bira kumfanya chochote
@RamazaniMulongeca17 күн бұрын
Inawezekana Sio maarufu au hana pesa😂😂😂😂
@TrinaRoman34517 күн бұрын
Mwaka huu fidia ndo mpango mzima😂😂 sns mjiandae nitawadai fidia nikitoa pongezi humu hamjibu 😅😅😅 fidia ya bando langu inawahusu #SnSlazFamily✌️
@RamazaniMulongeca17 күн бұрын
😂😂😂❤
@athumanmbelako431717 күн бұрын
Lava lava atashinda asbh mapema
@neemanziku540317 күн бұрын
Lulu usimhukum mtu tupo duniani kumbuka pia huyo Ni ex wako
@MdTeofelus17 күн бұрын
Oyo chizi lulu diva
@NingeMuhozya17 күн бұрын
Wanaoamini nikiki kwa ajili ya nyimbo mpya kama mm gonga like hapa
@jeremiahcharles602717 күн бұрын
Duh ,kwahyo anataka kutokomeza umaskini Kwa njia hiyo ,,,,na hii ni kweli walidetiii na tunajua ,,sasa anataka KUtafuta backup ,arudi kwenye game??????
@mtzhalisi223217 күн бұрын
Ulikuwa refa nn kwenye mechi Yao??
@jeremiahcharles602717 күн бұрын
@@mtzhalisi2232 duh
@franccoz9417 күн бұрын
Huyoo diva ameishiwa PESAA, NA HAJUI KAMA N MUUZA UCHI
@muanashaswaleh511017 күн бұрын
Ana hishima ange tobwa navijana wadongo akwende huko na njaa yake
@AminaAbdullah-ws3wy17 күн бұрын
Please Lulu hebu msameehe naomba tusifanye hayo
@maryamm776517 күн бұрын
Kazi IPO
@ameirzapy131817 күн бұрын
Hizo pesa utapewa ila utazijutia😅
@FredrickMatiku-xf2uk16 күн бұрын
Yaani ukiwa mwanaume heshimu sana wanawake usiwachukulie poa kwa nchi za ulaya mwanamke ana sauti sana akikupeleka mahakamani umeisha
@kidatokassim761617 күн бұрын
Yani unamshtaki mtu kwa kosa gani wakati kauli ilisemwa miezi kama minne ilipita 🤣sema una njaa deffermation ina apply only if kuna hasara mlalamikaji amepata hasara kuoitia naneno yaliyozungumzwa
@benancejohn119817 күн бұрын
Hiyo taarifa na ile video iliyovujishwa na Mange,ni kipi kinachafua jina lake 🙄🤔
@aginsagins-jf4vz17 күн бұрын
Huyu bint hana utu tangu mama ake afariki anajiona hakuna mwingine zaidi yake
@rashiikaje346517 күн бұрын
Mama yake amefata nn apo eti
@aginsagins-jf4vz17 күн бұрын
@@rashiikaje3465 kama hujaelewa kakojoe ulale
@sarahmcharo154817 күн бұрын
lava lava ataelewa hiyo lugha kweli!??
@vicentmapunda314617 күн бұрын
Kule fidia bl.5 Huku ml.200😅😅 e ndio ndio
@monicacyprian913717 күн бұрын
Watu wengine watajifunza tabia za kuwaongelea wenzao vibaya
Ndio huyu demu wa million 500 alieolewa na mganga kwa bure
@michelinemapendo665217 күн бұрын
Wote ni kkkk😂😂😂
@DM_1517 күн бұрын
Safi mtu hawezi kuku ongeleahovyohovyotuu kamamwijaku na kipanyabwana ngoma isambe leo mwijaku kaposti halimbaya anasubiri huruma ya Mungu 😂😂 tunhitaji kuheshimiana kwakweli
@MajutoElliasi17 күн бұрын
Mashabiki wakure wavyo tetea sasa agekuwa harmo ugesikia afugwe mara utasiki mabangi
@abassimussa747317 күн бұрын
Jina gani linaribika ama heshima gani wakati video zake tuko nazo hata sai😂
@user-cp1js7ku9r17 күн бұрын
Me nataka kujua hako kawimbo kanako kuja mwisho wa hzi hbr kanaitwaje
@RandB_Channel17 күн бұрын
Heshima gani nyinyi mnazo?? Acha uwongo sa alikuwa mupenzi wako lala ? Hata kama mulikuwa mnakatala mmm fidiya pole
@user-lk9rh5xp4u17 күн бұрын
Huu mwaka fidia zitakoma
@FredrickMatiku-xf2uk16 күн бұрын
Yaani dizzim na wachafu kazi yao maswaliii yao kudhalilisha watu walio nje ya WCb sasa lavalava milioni 200 nani atamsaidia kulipa
@Mumewangu17 күн бұрын
Huu mwaka fidia IPO mbele. Bora nikae kimyaa itabidi nisisalimie MTU. Manake waweza msalimia kesho atasema umemtukana na mipesa duh.
@gracelema237417 күн бұрын
Ngoja tuone
@jamilaathumani548117 күн бұрын
Kwaiyo ukiwa na Kes ya madai kumbe mnaweza kuongea mahakamani asaiv jinsi yakukubaliana kulipwa kabla shauri halijakuwa kesi yakusikilizwa rasmi?? Ooh ok safi
@gracewairimu80014 күн бұрын
Wapare buana 😂😂😂
@Samueldavics17 күн бұрын
yabibibiiiiii😂
@salumobed598017 күн бұрын
Hamn kesi hapo
@jeremiahcharles602717 күн бұрын
Anaelipwa fidia ,hivi anakazi Gani mjini ,,,,,,reply hapo wajuba😁😁😁
@kdloon203017 күн бұрын
Muuza uchi
@jeremiahcharles602717 күн бұрын
@@kdloon2030 😁😁😁😁
@geoufo285817 күн бұрын
Sasa why ela jmn iyo ela yemwenyewe ajawah ishika 😅😅😂 cash
@nellymtambo843217 күн бұрын
Wasanii wabongo muache story za kijinga mnajua kutaja tuuu PESA kwenye account zenu za bank aaaah 😏
@EspiSimai17 күн бұрын
Pesa hiyo lava lava azitowe wap asaiv nyota yake yenyew ishanza kufa taratibu
@eleven-in5qw16 күн бұрын
Wasafi hakuna masikini
@user-fy9pw2zr8l17 күн бұрын
😅😅😅😅eti nini hakili hana malaya huo sasa nani asiejua kama alitoka na mavoko na lavalava na hivi yupo na d voice acha dusubili mbele kenge ww nyie njo munajizalilicha badae munakuja kusema nini😅😅😅😅 ona wema 😅😅😅😅
@salumobed598017 күн бұрын
Hakuna lolote.... Hapo
@Mariam-fm8vq17 күн бұрын
Hatujayaweka sawa ya mwijaku mengine haya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@malengafataki122817 күн бұрын
🙆♂️🙆♂️🗣️😂😂😂😂🤷
@ankalmzito25417 күн бұрын
Tunazingatia Maokoto 😂😂😂😂
@user-qq6mv6vh3e17 күн бұрын
😂😂😂
@sophiekindem907117 күн бұрын
😂😂😂😂😅🤣 🤣 🤣
@sophiekindem907117 күн бұрын
My 🇹🇿 🤷🏽👎🏽
@happynesssamwel424917 күн бұрын
Saingine watu wawe na heshima kudate na mtu isiwe sababu yakumtamkia maneno machafu mm nipo upande wa Lulu
@davidibrahim913817 күн бұрын
Kufulia kubaya sana,nyie wasanii mkisema mburuzane mahakamanj mtaishi kiuadui sana kwa sababu kiki zenu kikawaida lazima ziende hivo,, kwani lulu diva upo wewe 2 kama alimuongelea lulu diva wa buza
@yama_virginhairthequeen106517 күн бұрын
Ukona na akili nyingine au ni hii tu😅 nyie ndio mmnafanyA in hi iwe y mazuzu