kzbin.info/www/bejne/moWnomuArK6DgbM Karibu kwenye channel yangu Asagwile mwasongwe subcribe uwe wa kwanza kupata new song
@shannyjumaa12663 жыл бұрын
@@tukusanyarodrick1147 lppppp
@asagwileofficial44923 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/j4SqpJh_jsmZaJI Hakuna Rafiki mwema na anaetunza siri ubaya na maumivu yetu kama Moyo Rafiki yangu moyo endelea kuwa na SUBIRA maana usalaama wako upo mikononi mwa mwenyezi mungu kwa hiyo usijari moyo ni kitu muhimu saana na mungu anautumia moyo kutudhihirishia makuu yake Subira IPO you tube Kama bado hauja subscribe gusa iyo Link
@kiissrajabu9645 жыл бұрын
Mshindi wangu wa kwanzaaaa kama unakubaliana nami gonga like ....anajua kumilik jukwaaa kuzidi hata wasanii wazoefuuuh ......sauti balaaaaaa ...haha kiba chukua huyooo
@wariobacliff32965 жыл бұрын
Jamaa anafanana NA Eddie Murphy
@lummyrhymes14965 жыл бұрын
kiiss rajabu uyo ndo mshindiii
@Cruz_2407 Жыл бұрын
Walimuibia na master by force😅
@andrewmallya64555 жыл бұрын
kama umemuona mkali wenu ..kama mimi nipe like tukujue
@asagwileofficial44924 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/moWnomuArK6DgbM Karibu kwenye channel yangu Asagwile mwasongwe subcribe uwe wa kwanza kupata new song
@kombosalehe31565 жыл бұрын
Mimi sio jaji lkn kwa nafasi yangu huyu ndie mshindi wa kwanza wa BSS mwaka huu
@rosemarymoris95255 жыл бұрын
Kabsa
@bahatimkumbo72985 жыл бұрын
Unajua mpaka unakera
@imbatokamoyoni22095 жыл бұрын
Aiseee,, umetisha sana Ndugu yangu,,je ungependa kuimba kama huyu Asa. Gusa HAPA#IMBATOKAMOYONI#
@zennahwangare39525 жыл бұрын
Jamanii huyu angefaa kuwa mshidii manake anaimbaa anajua kutumia jukwaa
@rosemarymoris95255 жыл бұрын
Sanaaaa
@damianmosoka82545 жыл бұрын
Huyu jamaa ni fundiiiii,,, vibe Kama lote
@mcwaya5 жыл бұрын
This man is package, sijui kwanini sio mshindi
@francoyoungstar32355 жыл бұрын
Uyu ndo alifaha kuwa mxhindi anajua sanaaaa
@elizaayubu48185 жыл бұрын
Nikweli Kabisa
@gracepool62415 жыл бұрын
ni kweli
@hatibuhaule64445 жыл бұрын
Huyuuuu ndiye aliyestahi kua winer anakila kitu
@tijamhongole9532 жыл бұрын
Yaan ni 2022 lakn Bado unatishaaaa ,,,,nani yupo mwaka huu gonga like hapaa
@jovidamiani48255 жыл бұрын
Mm uyo ndo mshindi wangu..
@davidgustavkomba25215 жыл бұрын
Huyu ndo mshindo vocal tone yuko poa
@gracebilly50775 жыл бұрын
Hongera saana kaka unaimba vizuri
@asagwileofficial44924 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/moWnomuArK6DgbM Karibu kwenye channel yangu Asagwile mwasongwe subcribe uwe wa kwanza kupata new song
@frankakuno.95115 жыл бұрын
Huyu ndoo mshindi wa kwanza
@elizaayubu48185 жыл бұрын
👍👍👍💝💝💝
@tamnaadam7525 жыл бұрын
Frank Akuno. Amrkwambia nani kama ndo wa kwanza
@marykiddo86463 жыл бұрын
I love Asagwile all the best
@marykiddo86463 жыл бұрын
Kbsa
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
Aswagile wakwangu since day 1..fundiiiii
@kaobamaabel55615 жыл бұрын
Ukiachilia mbal japo anatoka nyumban na ni mnyakyu mwenzangu lkn huyu mi ndio mshind wangu na wa pili ni wa boda boda saraphina wa tatu.
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
@@kaobamaabel5561 heheee kweli lakini itabidi tuukubali ushindani ili tuwe washindi..sema Aswa woyoooo
@innocentdonatusdamian8565 жыл бұрын
dada unataka nikuchape japo sikujui aswagile wangu jaman since day one
@jackemanuel46974 жыл бұрын
jamani huyu kaka anaimba vizuri ashiliki tena mwaka mwingine naamini mungu atamjalia apate ushindi wa bss
@godwinmuze39375 жыл бұрын
Jamani acheni kabisaaaaa.......KABISA...ni sheeeeedaaa!!!!!!! WHY NOT NUMBER 1
@mahijakapingu3955 жыл бұрын
Huyu sarafina mlimpendelea tu lakini huyu ndio alikuwa mshindi
@erikadaudi15565 жыл бұрын
Hakika
@rosemarymoris95255 жыл бұрын
Hakika
@doricamongateko48865 жыл бұрын
Mahija Kapingu kwel
@josephajosephat83705 жыл бұрын
Unaweza sana kaka
@calvinsanga7215 жыл бұрын
Kamaa umemuonaaa mkali wenu gonga like apa
@farajanyalulolo81785 жыл бұрын
Mpk nimepata chills. Wa kwanza kucomment
@faridahamis51575 жыл бұрын
Nashidwa nisemeje.Ila wew ndo kiboko yao ya bss huu mwaka aijalishi ujapata ila ukweli ndouo
@achi_raymond5 жыл бұрын
Asagwile bongo star search 2018 second Winner
@abasmwika34325 жыл бұрын
I loved Salama attitude more concentrating on an artist than celebrating the Show,that's how a judge suppose to do Big up
@neemasekwao52435 жыл бұрын
Haki ya mungu huyu ndie mshindi wangu wa kwanza 100%
@faridahamis51575 жыл бұрын
Yani ushindi ulikua wako.Sema tuu wameona safari hii apewe mwanamke ila wew ndomshindi wetu wa Bss
@tijamhongole953 Жыл бұрын
Sijui haki itakujag liniii 😱ulistaili kuwaaa,,,,,,, au basi🥺
@mcwaya5 жыл бұрын
He is versatile, so talented
@ibrahtv55925 жыл бұрын
yaani ASAGWILE alistahili kabisa kua BSS WINNER 2018/2019 ila tatizo ni kwamba sarafina ana company kubwa sana mtaani ukizingatia anasoma udsm. hivyo kulikua na kila uwezekano wa yy kupata kura nyingi ukimlinganisha na Asagwile.
@juniorsmart24835 жыл бұрын
umeona eeeee!
@keshenilemi7452 Жыл бұрын
Kashinda mwaka huu 2023 Mungu mkuu
@ibrahtv5592 Жыл бұрын
@@keshenilemi7452 aisee kama ipo ipo tu.. hakika tusikate tamaa kwa sabab Mungu anatupa kwa wakat sahihi
@michaelevarist55185 жыл бұрын
Ivi jaman mbon hamjamtendea haki uyu jamaaa ujue ndio alie staili kabs kuwa mshindi wa BSS
@akimananeri13295 жыл бұрын
Unanibariki sana nakuombea wendeley ivo ivo amena
@jackemanuel46974 жыл бұрын
Huyu ni balaa anaweza
@mariamshabani59385 жыл бұрын
big up bro lakini mwisho wa siku mshindi anatakiwa kuwa mmoja tu. Unaweza
@chamtvonline90585 жыл бұрын
Uyo ndo mshindi wa kwanza
@mohammedabdallah63905 жыл бұрын
Halafu madam Ritha mchokozi sana kumbe unamkera Master J hapo
@aishaumepuyangaleosabun95405 жыл бұрын
Amekunywa leo uyo siokawaida yake
@nicodemastungaraza71325 жыл бұрын
Anajua
@maryjulius80265 жыл бұрын
alifaaa awe Wa kwanza
@tamnaadam7525 жыл бұрын
mary julius ww unaumwa alistahilikuwa wa pili sarafina bwana
@baeyanka52645 жыл бұрын
Waaaapiiii😏
@judithkasalile69235 жыл бұрын
Huyu ndo angekuwa mshindi Kwa kweli anaweza
@estertembo29395 жыл бұрын
Uyo ndio Alistaili
@fistonmalipo30435 жыл бұрын
nikweli alipashwa kuwa mshindi wamuonea tena sijafurahii hata kidogo
@petermadungu70345 жыл бұрын
Mshindi ni sarafina toka rock city mwamzaaaaaa mwanzaaaas 👍✨✨✨ 🎉😊👏😁👏😃🎉 Congratulations! To her
@elizamsilikasi19525 жыл бұрын
Duuuuuuh!!!!! Katisha
@neemakweligwa16385 жыл бұрын
aswagilwe nakupnda mwnzio unajua mpk bax duuuh yani
Millard huyu cameraman wako aliingia hapa anakaribia sana
@simonbura7890 Жыл бұрын
Hatimaye ameshinda baadya y miaka minne
@hadijarashid52005 жыл бұрын
yn ww ni nomaa sanaaa
@doreenlaurent46755 жыл бұрын
firee
@elishamakanzila75845 жыл бұрын
Jamaa anajua knoma
@fabianmbilinyi27053 жыл бұрын
Mkamuombe msamaha huyu jamaa ...mlimkosea Sana kumnyima ushindi
@kelvinaloys93585 жыл бұрын
Uyo anajua
@loemasafari18385 жыл бұрын
Asagwile unajua
@gideonelias53792 жыл бұрын
N 2022 nkamkumbuka huyu fundyyy acha Vita vya mrus na Ukraine viendelee sasa
@vinniepamzo98024 жыл бұрын
He did it.....Vinnie 254
@chimamychihoney38505 жыл бұрын
Uko poa San asagwileee we ndo mshindiiiii
@samsonyemmanuel51603 жыл бұрын
Mmmmh 🤔🤔2018 kulikuwa vyuma mazee duh👏
@marykessy70425 жыл бұрын
Umetishaaaaa kinyaaamaaaaaaa
@dullymontanah73985 жыл бұрын
Camera man amezingua sisi tunakuja kumuona mshirik na sio hao ma judge ....Millard Camera man amefail...
@rihammoosa92135 жыл бұрын
Namm nilijua atashinda uyu
@husseinmillinga62065 жыл бұрын
Karibu sana
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
salama ni kijitu kikoto sana😂😂😋😂yani salama kipindi umtekenye umekunya uterus
@lisiemvuma35735 жыл бұрын
salama kakaza shingo jamani hahaaaaaaaaaa
@marcokihongo7373 Жыл бұрын
Hili linaitwa Liasagwile. Nieleweke please
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Kijana umetisha Hatareee 💪😂😂😂😂
@chikumlay40915 жыл бұрын
Nice
@victoreddieofficial26052 жыл бұрын
Weeeeeeeeeeeeeeeeeee🎶🙏
@fettyrashid98275 жыл бұрын
kama mondi
@husseinmillinga62065 жыл бұрын
Camera man anazingua sana atuoneshe jamaaa majaji huwa ni baadae
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Huyu kijana matata hatarii
@dominamtey15255 жыл бұрын
Huyu ndo alotalikiwa kuwa mshindi wa kwanza huyo sarafina Kuna namnaaa
@juniorsmart24835 жыл бұрын
Huyu m2 was camera VP?
@josephmushi8194 жыл бұрын
Oyouyo wa wigi kudondoka
@lisiemvuma35735 жыл бұрын
jomoniiiii asajigweeee mwee
@jafarimatelephone93915 жыл бұрын
good
@lulupetterpetter62215 жыл бұрын
Unajua Kaka
@juniorsmart24835 жыл бұрын
Salama bwana yuko bz wenzke wamemkumbatia wolper yeye Aka,hataki shobo,
@husseinmohamed55655 жыл бұрын
Madam Rita kawakera
@erastomarco80805 жыл бұрын
Hussein Mohamed we ndo mshindi
@husseinmillinga62065 жыл бұрын
Cameraman wa bongo bana hasa ndionn
@juliusdeogrtius61995 жыл бұрын
Hahahaa madam mpaka gauni linashukaaa
@maryangela1075 жыл бұрын
huyo ndo namba mmoja
@hasiyakeniyausiachiebabu76345 жыл бұрын
wanapendelea awa
@davidmsami45545 жыл бұрын
Dah huyu jamaa anajua knoma
@juniorsmart24835 жыл бұрын
Woyoooooo!Yaan huyu ndye mshindi huyo sarafina me hapana kabsaa!
@erastomarco80805 жыл бұрын
Junior Smart jamani kutokupewa ushindi imeniuma sana maana unajua sana
@kakamau03845 жыл бұрын
Yani hata sijafaidi unatuonesha watu wengine tuu bhana 😂 😂 😂
@sir_ENOCKMACHA5 жыл бұрын
Dogo anajitahidi kwa kiwango chake ila honestly speaking saraphina is the best ever
@deuselizeo96945 жыл бұрын
Big up Sana unaweza
@3malis2 күн бұрын
Cameraman unazingua 😂😂😂
@yudestinanyabenda6495 жыл бұрын
What is the name of the lost song...... please let me know
@iskiji55845 жыл бұрын
SINA MAKOSA by les wanyika. One of my best zilipendwa songs, I grew up listening to it.
@yudestinanyabenda6495 жыл бұрын
Thanks 😊
@kiboycax84255 жыл бұрын
Hello Wapendwa Tafadhari Gusa Picture Yangu Hapo Kushoto Na Subscribe KZbin Channel Yangu
@kissdiffanyhotnews75185 жыл бұрын
kujitupa kote uko ajashinda doh
@dalalimollelarusha71515 жыл бұрын
Mkali wenu kawa jaji wa staili
@damchone94785 жыл бұрын
Hata kama hakua mshindi haijalishi kipaji anacho
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Wampe mkwanja wake
@queenyahaya31475 жыл бұрын
Mie huwaga majaji wananifurahishaga sana aseee😂
@janethmollel96185 жыл бұрын
Anajua kumiliki jukwaa na nini watu wanapenda. Kwa bongo atapata mashabiki wengi na atavuna....Ila kwa voko Sarafina bado yuko juu....
@bilioneabichwa5 жыл бұрын
Angalia video yangu mpya iitwayo fasheni ulioimbwa na bilionea bichwa kwa kubonyeza picha yangu hapo kushoto unayoiona ,,,tahadhali ,,,usiige sarakasi kama huziwezi ni hatar sana