Pastor na shauri mahubiri tv iwepo kwenye tv ili internet isitukoseshe mafunzo kama haya
@daudnyore46963 ай бұрын
Tuliombee Swala Hilo na Tulikabidhi Mikononi mwa Mungu, ili Yeye Mwenyewe alifanikishe Kwa Utukufu wa Jina lake
@jdhbaziyakadamascene68884 ай бұрын
Hamjambo Pasta. Ninayofuraha ya kukusalimu na kukujulisha ya kwamba mimi ni Mzee wa Kanisa la wasabato la huku DRC, Nord-Kivu, Rutshuru, Bugara. Nafuata hubiri zako ambazo zimeimarisha imani yangu. Nahitaji namba Yako ya watsp.
@maseaJoe86764 ай бұрын
Pastor kwa kweli acha Mungu akubariki tu saaaana kwa kuwa unafariji roho zetu zilizojawa vidonda sugu😢...may He bless you and use you more and more na neema Yake ikutoshe in Jesus Name Amen Amen 🙌
@shadrackamos33314 ай бұрын
Pastor nabalikiwa na mahubili Yako Ila naomba uniombee uchumi wangu hauko vizuri ili nikawe mibaraka kwa wengine
@makindyakenani9339Ай бұрын
MUNGU awe nawe kama dhamiri yako ndiyo hiyo ndani UMEPATA TAYARI katika jina la YESU KRISTO AMEN.
@PendoJoseph-jv8cm4 ай бұрын
Aliye juu akutunze poster kwa ajiri ya watu kama sisi tuliyo kuwa tumekata tamaa lakini kupitia masomo haya tunaamka upya, CK moja tuje kushuhudia hapa ukuu wa MUNGU
naomba wimbo wa mwanzoni tumesikia mbiu, naamini wengi wanaupenda, asante
@tulikifrimbagga7224 ай бұрын
PR MMBAGA UNANIBARIKI MNO ,MUNGU AKUBARIKI ZAIDI UNAPOPONYA MIOYO ILIYOPONOKA
@roselineombati6704 ай бұрын
Mungu nisaidie kupitia roho wako nijifunze kuisikia sauti yako
@jonacemanyama48584 ай бұрын
Pastor umesema kweli kabisa,mm naishi mbali sana na mama yangu mzazi,lakini kunasiku nilimuwaza sana hadi nikatamka jina lake, lakini sikumpigia simu,jioni ya siku hiyoyo MAMA YANGU alinipigia Simu.Nilishangaa sana.
@MariamBusele4 ай бұрын
Kabisa mchungaj
@user-vm8sb7sr1d3 ай бұрын
Asante mchungaji niko Kenya miriamkageha
@farajamumangi28094 ай бұрын
Mbeba agano ni mshindi, na jina tu la mbeba agano ni ishara ya ushindi. Barikiwa sana Pr. 🙏🙏
@gelardjames25953 ай бұрын
Barikiwa Pastor Nabarikiw san na mafundisho yako 🙏
@fatumachagudadui31382 ай бұрын
Amina nimetuma maombi ya ajira serikalini naomba Mungu anibariki nipate hiyo ajira nikawe baraka kwa taifa langu. Ee Mungu nisaidie nisiwe mbinafsi nina uhakika nitarudi mahubiri TV kushuhudia SMS yangu hii maana naenda kuajiriwa sasa Mungu anisamehe
@RozaNicole-me9zm4 ай бұрын
Ninase asante kwakuwa nilikuwa na uvivu wakusikili neno la mungu kwasasa sisikiye uvivi tena asante mungu❤