Ee Bwana niaandae kwa ajili ya ndoa uliyonipe,mm pamoja na Ibrahim kalaita, kwa jina la yesu, mungu tusaidie ameeeeeeeennnnnn 🤲🤲🤲🤲
@FanuelMkimbo19 күн бұрын
Mungu nakuomba uniandae kwajili ya kusudi la kuwepo kwangu duniani pamoja na familia yangu🙏🙏🙇🙇🧎
@AlicePaul-ro1luАй бұрын
Mungu naomba uniandae kwa Kile kichopo mbele yangu. Amen
@judithpeter20132 ай бұрын
Amen Tunaomba utuwekee full ibada ya mwisho tuangalie
@veronicajohn76452 ай бұрын
Bwana Yesu niandae katika kuifanya kazi hii nitakayo ianza tarehe 22/5/2023 ambayo nakabidhiwa 15.5.2023
@sarahbarnaba88332 ай бұрын
Mungu naomba uniandae Kwa ajili ya ndoa yangu
@user-ny5gc3fg8d29 күн бұрын
Amen, UTUKUFU KWA YESU KRISTO❤
@LovelyJoelАй бұрын
Amen faith without action is die 😇🙏 I believe in the word of God as he says must be
@aderanderwa76232 ай бұрын
Amina Mwalimu MUNGU Akubariki azidi kukuinua zaidi Shaloom
@omuze12902 ай бұрын
Ni kweli kabisa ila madarasa mengine ni magumu sana. Bila kuwa na tunda la uvumilivu na unyenyekevu, pia neema ya Mungu kukufunika hamna kufuzu.
@scolaoisso915619 күн бұрын
Mungu najua ulivyo mkuu naomba nisamehe uinue Tena biashara yangu iliyo anguka
@mesiamkisi65182 ай бұрын
Ameni naomba mwendolezo wa ibada Mungu awabaliki
@CANAANTZ_TV2 ай бұрын
Haleluya Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi 2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu 3=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii
@willbroadkaizirege44702 ай бұрын
Amina.
@anaellamtalemwa31322 ай бұрын
Cjaona picha
@godfreyoisso-mw2rr2 ай бұрын
Asante kwa maarifa mtu wa Mungu, barikiwa sana
@yassinshaban1343Ай бұрын
Niombee ninayo huduma ira nayumba sana mtumish ubarikiwe Sana niombee sana
@amanikisanga2 ай бұрын
Mungu naomba uniandae kwa jili ya ndoa yangu
@salomengowi33832 ай бұрын
Amen 🙏
@marryedson27622 ай бұрын
Mungu naomba unisaidie kuyajua mapenzi yako juu ynagu
@vincentonsomu8372Ай бұрын
Mungu niandae ajili ya neno lako
@frankwilfred7262 ай бұрын
Mungu niandie kwa ajili ya uponaji
@user-iq2ks4xt5n2 ай бұрын
Amina baba barikiwe nimetoka na kitu
@AugusterJackson-eb6erАй бұрын
Mungu wangu niandae bwana
@user-mt1vj9hh8p2 ай бұрын
ameni 🙏🙏
@willbroadkaizirege44702 ай бұрын
Amina, Amina, Amina.
@edwinmshana13762 ай бұрын
Amen
@TyasonKinyaga2 ай бұрын
Ahsant Sana baba
@LennyMallya-oj7njАй бұрын
Ameen tuomba full semina
@TinaKisomba-jt6yr2 ай бұрын
Amen🙏🙏
@sarahvenance2 ай бұрын
Mungu atusaidie mm na mume wangu kutuandaa kiuchumi na ndoa yangu . Mwl nakupenda sana kila unapofundisha napanda kiimani Mungu akutinze Baba❤
@tumainmwamatenge4575Ай бұрын
Amen amen
@user-mz9nx3pw3zАй бұрын
Aminaaaa 😭🙏
@frolencialupilya62092 ай бұрын
Amen Amen
@emykimaro5642 ай бұрын
Mbarikiwe sana
@RachelBundala2 ай бұрын
Amina
@yolandaluvakubusa85162 ай бұрын
Ameen
@jomomwalubandu64682 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@irynaedward2765Ай бұрын
🙏🙏🙏
@raphaelmwamakimbula96422 ай бұрын
💯♥️👏
@msambwajoseph2 ай бұрын
Ameeeni 4:31
@user-nu3eq2ck5j2 ай бұрын
Jaman nomben msaada nahitaj kuongea na mwalimu na niko mkoan na mpataja jaman wapendwa
@brownsebastianmwibi56472 ай бұрын
😂😂😂😂
@christinamasanja86982 ай бұрын
Tuwekeeni kipande Cha mwisho tumalizie somo
@cmoshi70142 ай бұрын
Kwani kilitokea nini jumapili siku ya mwisho ya seminar kahama? Kwanini hatukuwa live?
@magrethmarco892 ай бұрын
Tatizo la network mpendwa...karibu nchi nzima,mpaka leo hii ni shida tu
@cmoshi70142 ай бұрын
@@magrethmarco89 ohhh Asante kwa kunifahamisha. Barikiwa