MABAYA YA HERSI KWA FEI TOTO! | YEYE AKIONDOKA NARUDI YANGA | GHALIB ALINIDHARAU

  Рет қаралды 35,156

Story Tellers TZ

Story Tellers TZ

Күн бұрын

(C) CLOUDS MEDIA

Пікірлер: 136
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Жыл бұрын
Umetumwa dogo kama umetumwa bas kumwaribia mtu sio rahisi huwezi kuidhoofu Yanga hivi
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Жыл бұрын
Hizi za kuambiwa feisal😅 Huwezi kutuondelea Mtu anaeiletee Maendeleo Team yetu aseee 😂😂😂😂utateseka sana kwa kufunzwa ujinga
@othmanali2276
@othmanali2276 Жыл бұрын
Dogo umembwinywaaaa.umekwishaaaaaa
@yusufunkondo512
@yusufunkondo512 Жыл бұрын
Hivi yeye na Hers Nani zaidi Kama alikosewa wapi alilalamika,anapendaga kutuvuruga hasa tukiwa na mechi.Ngoja tumalize Algeria halafu Hersi amuachie bure aende anakotaka Kama simba au Azam,ameikose adabu Yanga yote.
@mkanamc8341
@mkanamc8341 Жыл бұрын
😄😄😄Yaani tumtoe Rais wa team mwenye akili za mbali na team yetu, kwajili ya ujinga wako?😄😄
@twalibmzee2812
@twalibmzee2812 Жыл бұрын
Saw msimlazimishe basi kucheza timu yenu coz kwenu hana thaman ataenda pengine apate thaman
@ahmedkhator3968
@ahmedkhator3968 Жыл бұрын
UNAJUA WATU WENGI HAWAJUI TOFAUTI KATI YA WACHEZAJI KUTOKA ZANZIBAR NA WALE WA TANZANIA BARA ,WACHEZAJI KUTOKA ZANZIBAR NA PIA WATU KUTOKA ZANZIBAR NI WATU AMBAO MIOYO YAO NI WATU WA KURIDHIKA SANA SIO KAMA WW UTAKUA BOSI AU UNA HELA AU UNA CHEO WAKUOGOPE AU WAKUONE TOFAUTI SAANA WAKO RADHI WAKOSE AJIRA AU KIPATO AU HADHI FULANI LAKINI HAWAKUBAL KUDHALILISHWA.NAAMINI FEI YUKO TAYARI HATA KUKAA HANA TIMU AU AMERUDI MCHANGANI MRADI TU HAKUBALI KUDHALILISHWA .WATU WA ZANZIBAR WAZIRI,MBUNGE ,MKUU WA MKOA MSANII MKUBWA HATA KAMA NI DIAMOND HUA NI MTU WA KAWAIDA TU WALA HAPIGIWI MAGOTI ANAKUJA MASKANI NA TUNATIA NAE STORI KAMA MTU WA KAWAIDA TU.KWAIO GHALIB HATA KAMA NI TAJIRI KIASI GANI KUKAA HAPOKEI SIMU YA FEI TAYARI FEI ANAMUONA MTU WA KAWAIDA TU KWANN AMFANYIE HIVO ASIMPOKELEE SIMU ?NA NDIO MAANA FEI AKAGHADHIBIKA AKAAMUA AISHIE ZAKE.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Жыл бұрын
Hiyo sio sababu.Fei ana lake jambo.
@FatmaSalm-jn4xu
@FatmaSalm-jn4xu Жыл бұрын
Mdogo wangu fei toto nakuomba urud yanga samehe saba mara 70 wewe ni mwisilamu hata mtume mukhamad s a w amefanyiwa mengi sana naalisamehe je sisi ninani tusiige mwenendo wake ❤ mpira nisehem ya maisha yako fei achana na here's usilete malumbano nae angalia maisha yako hakuna maisha bila misukosuko wengi watakwambia ukweli na wengine watakupotosha ilimradi kukupoteza
@saalim5401
@saalim5401 Жыл бұрын
Duuuhh!! Kweli huyu dogo kunamtu nyuma yake eti rais wa yanga atolewe yeye arudi kwa lipi? Mdogo wetu acha uhuni unataka kutia Fitna ili tuiharibu yanga kwasababu ya ujinga tu .Ndugu zangu wananchiii!! Huyu dogo asitutoe akili haitakii yanga mema unafiki tu wee mchezaji unapataje ujasiri wa kumpigia muwekezaji na wakati uongozi upo ,utaratibu upo wewe unalakolimekuongoza acha ujinga usiwaaminishe watu ujinga na uongo hata unavyozungumza tu anayeelewa anaona kuna mgongano wa maneno yako acha acha acha sio vizur tuachie viongozi wetu, mdhamini wetu na timu yetu tunakushukuru kwa kipindi ulichotupa furaha na umelipwa stahiki zako hujadhulumiwa naamini kila kaz inachangamoto yake ila wewe unaharibu zaidi
@TalabatabdulZanzibar
@TalabatabdulZanzibar 3 ай бұрын
Wachaaa usengee ..wewe ufalaaa
@user-dq4ko3oo1t
@user-dq4ko3oo1t Жыл бұрын
😂😂😂 kumbe ili toto pumbavu
@hamisuuhamadi1663
@hamisuuhamadi1663 Жыл бұрын
😂😂😂
@hashimuliloto8017
@hashimuliloto8017 Жыл бұрын
Rais Amechaguliwa na wanachama ,haondoki kama UNAVYOSEMA......MSHAURINI HUYO DOGO
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Жыл бұрын
It means fei anaipenda yanga, lakin anamchukia hersi.... *#maswali** lukuki kichwan* 1- inavyoonekana shida Sio mkataba wake na yanga. 2-ingekuwa mkataba angerudi hata kipindi hiko hersi yupo, coz hersi yupo tayar kuboresha maslah yake. 3-watu wa haki zakibinadamu wamuite fei aseme yamoyoni ili asaidiwe, si kawaida kwa kijana ambaye anategemewa nafamilia yao, na kijana ambaye ndo kwaanza ujana waanza kumnogea kukubali kukaa nje ya uwanja nakuacha pesa, hapa Kuna jambooo fei analificha... Mpaka mwanasheria wake anasema "namimi ninamtoto wakiume, naielewa machungu anayopitia mamake fei".
@mariammbwana9018
@mariammbwana9018 Жыл бұрын
Wekeni na zile sauti mlizokuwa mnamfundisha kuzungumza Mungu hamfichi mnafiki
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Wataumbuka tu ipo cku za mwizi 40.
@saniaidrisa3920
@saniaidrisa3920 Жыл бұрын
Sasa Kama tatizo ni watu binafsi cas unaenda kufanya nini? Kwani cas wanaishtaki timu au mtu binafsi ? Labda mi ndo sielewe ndg zangu
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Sio lazma uelewe kila kitu 😆😆😆😆
@saniaidrisa3920
@saniaidrisa3920 Жыл бұрын
@@salamasaidi6620 kwa kweli dada😂
@nyaganyaga3876
@nyaganyaga3876 Жыл бұрын
Fei bado mdogo nadhani kuanzia ukomavu wa akili anaitaji msaada mzuri na atafute manager hizi ishu za kupeleka familia kule utaona udhalilishwa lakini ziko taratibu nzuri. Sijasikia ni nini Mama yake alitukana na unazila eti ghalib hakupokea simu unajua haya mambo waliweka mazoea tu baadhi ya timu huwezi kumpata mdhamini hata kidogo yeye kazi yake nikuweka hela tu ni Basi nadhani hizi timu zikijali utaratibu vizuri wako ambao watakimbia. Kama hivi ndivyo ataitaji kuishi maisha yake kisoka ataaribikiwa. Na kamtaja nchimbi huo ni msimu uliopita Tena kabla ya dirisha dogo mbona hakuzila
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
Mnamnyonyesha?acheni uchimvi na ushabikimakolo nyie kama mnamtaka hiyo hapo au nyie ndiyo CAS? Mnajitekenya mnacheka mnacheka huyu mesh am hang anya zaidi
@PhilomenaSteven-tq2tx
@PhilomenaSteven-tq2tx Жыл бұрын
Usitie huruma umesha ona umegonga mwamba unaanza kuoa vijimambo vunja mkataba offisin uwende uwendako ni sawa na mwanamke aliemsaliti mumewe kisa kapata bwana ana hela unasaau km alikuwa anakupa 2000 zake unakula dagaa unajipya
@mussamwalambalo1052
@mussamwalambalo1052 Жыл бұрын
Kwa nini awasumbue yanga kama anataka kukaim kitu Cha rais aseme na asaliri na slope mishara wachezaji, kwenye maisha ya binadam hakuna mkamilifu halo hakajii maisha ale kipaji chache na tabia hiyo hakuna mtu aliye timam akamchukua mtu mwenye malipizo kama huna roho ya kusamehe wew sio binam mzuri
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo Жыл бұрын
Huyu anaongozwa na mihemko na wapambe wanaomdanganya hamna kitu hapo we kama ucingekuwa na mtu anayekudanganya ungeenda Kwa watu wenye busara zao ukaonana na Hersi suala la kuuza match la lini Hilo Kageravs yanga iliyochoka Ile mbona hukutoka kipindi hicho we ni sawa na mwanmke mwenye tamaa asiyejali ndoa yake.
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Жыл бұрын
Hyu dogo ni Bo anatumika kuiangusha YANGA lkn basi ungesema unamshita Rais na sio CLUb. Pia hueleweki hii inaonyesha kabisa unatumika DOGO.
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 Жыл бұрын
Aludi kwamamayake sioYanga mkaliadolehuyo aendezake mchambawima
@gabriel-dh3qn
@gabriel-dh3qn 3 ай бұрын
Pemba si kwenu? Kwani umeambiwa Pemba ni nchi!? Unazingua wewe Mtoto! Achana na Yanga Yetu! Wewe mdogo sana Kwa YANGA!
@yasinjuma9359
@yasinjuma9359 Жыл бұрын
Kweli utoto nimwingi hasira za mtu mmoja unataka kuiletea klab matatizo ulivyoenda mahakamani kwa nn umeishtak klab nasio heris.
@wiliganuswella4471
@wiliganuswella4471 Жыл бұрын
😂muongo tu simu tu jamani
@allytz4765
@allytz4765 Жыл бұрын
Ukiwasikiliza vizuri hawa jamaa kunakitu unakigundua 😂😂😂
@michaelmartin356
@michaelmartin356 Жыл бұрын
dah huyu kijana hatari yeye tu awaamulie wanachama wote kiongozi hapa sasa hata Sunderland wawe macho
@Veni584
@Veni584 Жыл бұрын
Duh! Mbona analianzisha wakati wa mechi ngumu tu? Halafu anataka aondoke aliyeipandisha timu au unatumiwa kutuharibia?
@mohamediddy5615
@mohamediddy5615 Жыл бұрын
Acha unazi 🦮🦮 yeye anatoa ya moyoni mwake Sasa ana hudika na nn kwenye game 🦮🦮🦮acheni ukuda
@aishahaji3128
@aishahaji3128 Жыл бұрын
Huyo munae,wita raisi wa Tanzania anatokea wp nyoko zako Fei ni !tanzania achankutugawa
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
Zile Tsh 100000000/=ulizipeleka wapi Fei hadi uwe ombaomba?unajidhalilisha bwana
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Жыл бұрын
Sidhani Kama yanaukweli haha ayasemayo fei,... Maana katika watu ambao waliokuwa wakishangilia feisal akifunga Ni hersi, na feisal ametunga magoli muhimu. #kuongea na gharib Ni hatua kubwa Sannah umevuka hatua ngumu
@titobernard383
@titobernard383 Жыл бұрын
Kukaa kimya nako ni neno ! Ghalib siyo kiongozi wa yanga !
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Жыл бұрын
Mbumbumbu wa sheria kaingia choo cha kike……acha ajue sheria zipo
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Жыл бұрын
Dogo hajui kuongea, nature ya maboss wengi ndo IPO hivyo... Boss unaweza mpigia asipokee na akikuta misscall yako asikutafute.
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Labda boss wako ww hahahahahaha
@bonifacemkunda6747
@bonifacemkunda6747 Жыл бұрын
Mm nawashauri viongozi wa Yanga kama Feisal kagoma kwenda kwenye meza ya mazungumzo basi wachukue RB ya Police ili akamatwe na apelekwe kwenye meza ya mahojiano kwa lazima
@nyaganyaga3876
@nyaganyaga3876 Жыл бұрын
Haya anayozungumza inaonesha kadhira kisa hakupokelewa simu. Wachezaji wanaitaji kubadilika maana maisha ya soka yanabadilika na si ya mazoea mfumo wa uendeshaji wa club ukibadilika na ukawa strict vitu vitakuwa vingumu kwa wachezaji wetu wazawa. Na haya ndio matatizo ya kumuchukulia mchezaji Kama mtoto wako ama mshikaji wako siku mkibadilikiana ndio haya. Hilo la kurudi Hadi fulani aondoke ni utoto tu na kumwona Bado anakua na kujifuza Niko najiuliza angegombana na mayele pia angesema sichezi Hadi mayele aondoke ?
@zubedaali4155
@zubedaali4155 Жыл бұрын
Ndio angesema kwani ww utoporo ukitaka asemeje?
@rafikkarimomar8202
@rafikkarimomar8202 Жыл бұрын
Wewe ulikuwa star wa yanga hakukuwa na sababu hersi akuchukie hersi haondoki kwa ajili yako mwache afanye kazi yake clabu isonge mbele
@jogomtata6081
@jogomtata6081 Жыл бұрын
Kumbe nguruwe fc viongozi wanadharau daaah
@noahmgaya6687
@noahmgaya6687 Жыл бұрын
masikini bwan jeul acha utan umeona jeul ya masikin hp
@bnttv8955
@bnttv8955 Жыл бұрын
Kwani feitoto na andazi unachagu nini
@hamisuuhamadi1663
@hamisuuhamadi1663 Жыл бұрын
Andazi😂😂😂
@yusufunkondo512
@yusufunkondo512 Жыл бұрын
Dogo asitutoe kwenye harakatizetu za kuweka historia ya Nchi,atuache sie tupambane
@tzasafaritv9937
@tzasafaritv9937 Жыл бұрын
Huyu dogo mnafiki sana, mbona chama kakosa penalty na watu wana sema mengi ikiwemo hata hilo LA kuuza mechi watu yakaisha, Dogo, Mimi nakushauri hivi na utanikumbuka, Kwa mambo aliyoifanyia yanga na mafanikio iliyopata yanga hivi sasa, Utapata shida sana ili kufanikisha dhamira yako ovu ya kuwachonganisha Wapenzi wa Yanga dhidi ya Rais wao kipenzi, Eng. H. S. Kiufupi bora Fei aondoke tumuache Eng. Hata hivyo dogo umemkosea sana Eng. kujilinganisha nae, huyu mtu Clubs mbalimbali Afrika anazungunzwa juu ya uwezo wake wa kuendesha timu kwa mafanikio, Dogo, tuombe uhai Mungu atakulipa unachostahiki na sio unachokitaka.
@zubedaali4155
@zubedaali4155 Жыл бұрын
Acha kumtisha kwani ww ni mungu mpaka umukumu nenda huko wivu tu ndomaana unakusumbua utoporo mshambawe
@sammiekimani8266
@sammiekimani8266 Жыл бұрын
Fei hana shida....analosema no ukweli Mtupu
@OmarOmar-gq5tk
@OmarOmar-gq5tk Жыл бұрын
PAGUMU apo aondoke hersi kwaajil ya FEI 😄😄😄😄😄 ama kweli uyu jamaa alompa jina la fei toto ambadilishe haraka mana utoto UNAMSUMBUA Atari 🤸
@muhammadjamady-zx1jy
@muhammadjamady-zx1jy Жыл бұрын
Duuu yan rais tena mhhh atari sana
@aishahaji3128
@aishahaji3128 Жыл бұрын
Bac rua,bieni jeshi letu lipi wanzanzibar
@aishahaji3128
@aishahaji3128 Жыл бұрын
Wewe koma uliesema fei sio mtanzania pumbavu anapeperusha bendera ipi bac tuambieni bendera yetu ipi
@hamiduomar1316
@hamiduomar1316 Жыл бұрын
Nyie clous ni washenzi sn yani mupo tyr kuihujumu young kwakuwa nyie t simba
@jengadaudi-oe9wq
@jengadaudi-oe9wq Жыл бұрын
😂😂 Dogo kalogwa sio bule iv anaijua YANGA kweli ,YANGA ilisha fukuza team nzima ikapandisha YANGA B wakina Anuary awadh Bakar Malima nk na YANGA ikabaki pale pale kwa wachezaji wa ndan Lunyamila kioo kwa wachezaji wa nje nazan Mayele aina ubish wamepta watakuja itachkua mda kwa maleye kama yy,,,Fei ana uwezo wa kuisumbua Yanga ,,,
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Жыл бұрын
HAYO YANAYOSEMWA HUWEZI JU PENGINE NI KWELI TUSIEGAMIE UPANDE MMOJA MSAIDIENI HUYU KIJANA. VIPAJI VINAPOTEA TUNAHITAJI TIMU YA TAIFA LA TANZANIA.
@mussamwalambalo1052
@mussamwalambalo1052 Жыл бұрын
Hana akili kijana yanga sio rais tu, yanga Ina watu sana wenye busara zao pia Kuna viongozi wengi sana wa nchi, pia wange msaidia sio njinia tu, aliamua kubebana na wajinga wenzie na kumtuhu kiongozi Moja kwa Moja,
@alimwagude5113
@alimwagude5113 Жыл бұрын
Nimesikiza hii interview nzima,watu wengi wanamkejeli Fei lakini uyu dada ameuliza swali la kuwa boss anakunyanyasa kila mara je hakuna kutaka kuondoka kwa iyo taasisi?iyo ipo na Fei nafikiri amesema yeye saa hii hana haja ya kucheza yanga ikiwa boss wa club bado yupo.
@rophinarona1103
@rophinarona1103 Жыл бұрын
Waaah huyo ni kweli hana akili yaani kiufupi ubongo wake unatatizo kwasababu haiwezekani atolewe rais kwaajili yake 😂😂😂huyu kijana amepotea watanzania musaidieni kwenda kuangalia akili lakini sio kwenda kasii ni mpuuzi sana...
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Жыл бұрын
Huyu dogo muongo ila Simba wakulipe vizuri
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Amekwambia anaenda simba au sababu umezoea umbea???
@raymondzachariah-xr4ys
@raymondzachariah-xr4ys Жыл бұрын
Kwa mwenye akili simu tuu kikifanywa ufike kiasi hicho utoto bwana mzigo kwa kweli
@kassidpandu866
@kassidpandu866 Жыл бұрын
kumbe mlimkosea sana huyo kijana wetu engeneer si mtu mzuri
@mamamtumishi7723
@mamamtumishi7723 Жыл бұрын
Alitakiwa amfuate siyo kumpigia simu huyo Gharib
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
Fei alianzia hapo kuacha njia ya kuwasiliana na boss wake hana adabu kwa nini anataka boss aondoke klabuni ndipo arudi YANGA yeye ni mkubwa kuliko mwajiri wake? Mbona YANGA bila Feisal inawezekana!!!!!!
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
@@marcokaroje8980 bac achen shobo kwake nyie vp 😆😆😆😆
@mussamwalambalo1052
@mussamwalambalo1052 Жыл бұрын
Huyu fei anasema ni sawa na mtoto anamwambia Mimi Siri chakura mpaka baba aondoke, harfu baba huyo huyo ndo anaye hemea hiyo akili matope, Kwan wew unataka nafasi ya baba?
@BrigithaMallya-uk8kk
@BrigithaMallya-uk8kk Жыл бұрын
Huyu apimwe akili ajakoma vzr
@bnttv8955
@bnttv8955 Жыл бұрын
Hapa kuna ukweli 1% Na uongo 99%
@albertvalentino130
@albertvalentino130 Жыл бұрын
Dogo kuna vitu dogo anajaribu kuvificha,---_ anasema hana timu siyo kweli anajaribu,kuificha kwa,maelekezo na ndiyo ilikupa milioni 112_za kurudisha Yanga --- kwasababu,haiwezekani familia iliyoshindwa,kukupa hela ya kula hadi ukala ugali,na sukari na ikashindwa,kukulipia fee ya,CAS yaani,milioni 60_lakini,familia hiyo hiyo ikawa na uwezo wa kukupa milioni 112,za kurudisha Yanga,---_hiyo ni janja,janja ---,halafu nani,anapaswa kuondoka,kati yako,na,eng Hersi pale man utd Beckham alikorofishana,na,Ferguson aliondoka Becks na hapo Yanga utaondoka wewe hata ikibidi bure then,Eng anaweza kuleta,mchezaji mwenye ubora unaokuzidi,Mara kumi,Fahamu kuwa Hersi kachaguliwa na wenye club wewe umesajiliwa kwa mkataba
@hajihaji7050
@hajihaji7050 Жыл бұрын
Brother mimi ni Yanga damu Ila hiki kinachoendelea kwa kile anachofanyiwa FEI TOTO naanza kupoteza mapenzi na TIMU YANGU YA YANGA.
@stellasheba842
@stellasheba842 Жыл бұрын
​@@hajihaji7050 Hama tu.kolo ww
@stellasheba842
@stellasheba842 Жыл бұрын
Fei ndio nani kwanza. Yaaan tukiwa na mechi zetu muhimu ndio anajitokeza. Ss mashabiki tushamsahau n wala umuhimu wake hapo tena kwetu. Maana bila yy mambo yetu n mazur
@eliusfrolian-iw9uy
@eliusfrolian-iw9uy Жыл бұрын
Dogo afie mbele hizo n mbinu za simba kutuharibia game zetu
@ameirfaki9277
@ameirfaki9277 Жыл бұрын
Hata ww utakufa mkuu
@ahmedhamad2410
@ahmedhamad2410 Жыл бұрын
Ww fei ni mzamzibar sio mtanzania hizo ni nchi mbili tofauti 😂😂😂😂
@badmeetsevil7643
@badmeetsevil7643 Жыл бұрын
Yani nyie mtu anatukania mamake muna muona mbaya tu huyu yanga hawana akili hata mm una mtukana mamangu kumamako nakata kichwa mbwa yeye huyo hersi
@mussamwalambalo1052
@mussamwalambalo1052 Жыл бұрын
Umewata shingo wangappi toka umeanza kutukana, hapo wewe umetukana umetukana nani huna akili wewe uliona nani ametukanwa akafa kwa akili ya kutukana au nyinyi ndo mnajaza ujinga, hakuna binadam aliye kamilika angalia maiisha yako ukidili matusi utachelewa sana
@jumannendayigeze2899
@jumannendayigeze2899 Жыл бұрын
Haingii akilini kuwa rais wa yanga anaweza kumuonea mchezaji mmoja tu why?!
@godfreymakubo3692
@godfreymakubo3692 Жыл бұрын
Umefikiria nje ya box
@ReganGregor-bs3jm
@ReganGregor-bs3jm Жыл бұрын
Dogo katumwa uyo lengo apoteze klabu kwel alikua anauza mechi
@kagetaabdallah3712
@kagetaabdallah3712 Жыл бұрын
Maneno ya kufundishwa tumeyajua na tayari tumeshayasikia endelea tu
@kingruvako7590
@kingruvako7590 Жыл бұрын
Umemfundisha ww?
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Kwan utafanyaje sasa
@happinessmwisse1152
@happinessmwisse1152 Жыл бұрын
Shida ni mtoto wa mama Kuna tabu Sana
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Ww mtoto wa babu???
@wardaluambano2177
@wardaluambano2177 Жыл бұрын
Mimi nimemwelewa fesali kumbe mambo yote hayo unataka huluma kwa mashaniki ili uchangiwe
@aishahaji3128
@aishahaji3128 Жыл бұрын
Mh! Mtihanintu ,wanagu nakuomba wasamehe tu ndio maisha ya kz atajirekebisha juyo rudi baba kaeni mwzani musameheyane nyie ni waislamu lazima kusameheyana
@bonifacemkunda6747
@bonifacemkunda6747 Жыл бұрын
Dogo katumwa aje kuitibua team yaani ww na injinia hahahahaha bora ww uende mara mia lakini injinia hawezi kuondoka chamsingi ukimaliza mahojiano hayo nyanyuka na hao hao wanaokuhoji wakusindikize hadi makao makuu ya Yanga mkayamalize ili hao wakawe mashahidi kwasababu
@kazembeally1619
@kazembeally1619 Жыл бұрын
Dogo anazunguka kimsing uyu dogo bado anaendelea kutafuta uruma
@peacerichard8970
@peacerichard8970 Жыл бұрын
Sasa hivi nakuona kama teja ww hazmo,na bado utazidi kutukanwa kwa ujinga wako huo
@salachina5582
@salachina5582 Жыл бұрын
Fei angalia maneno yako
@sebastianlucian5916
@sebastianlucian5916 Жыл бұрын
Yanga fungukeni huyo rais ni mwanadamu ayo asemayo yapo na ili nidhiilishe aliesema kuwa Wala mihogo ni nani kuweni na akili nyingi!
@Prince-rafael
@Prince-rafael Жыл бұрын
Hahahhaah anavyoongea utadhani yanayomtoka ni ya kwel kumbe anapangwa na kikaratas kawekewa akisahau asomee hahahaha tuachie yanga yetu
@muhammadjamady-zx1jy
@muhammadjamady-zx1jy Жыл бұрын
Fei unayoo sema ndugu kwel au kwann usiyaseme toka mwanzo et gharibu yupo bize na mambo yake wapo wengine
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 Жыл бұрын
Ametumwa tuna mechi analeta zake za kuleta tumekuelewa tunataka kukuroga sasa jinga Sana tumefika fainali bila ww na hauvai medali ng'oo
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Kwan kuvaa medali lazima???
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 8 ай бұрын
Hakuna kama mama mtu asimtusi mamamo
@ramadhaniraphael6955
@ramadhaniraphael6955 Жыл бұрын
Huyu jamaa muongo sana
@sammymdemeka7937
@sammymdemeka7937 Жыл бұрын
CLOUDS BE SHAMEFUL PLEASE ACHENI INTERVIEW CHOKO KAMA HIZI. NA ACHENI KUINGIA KWENYE MITEGO KAMA HII MNAPOTEZA BRAND CHEAPLY
@mariammbwana9018
@mariammbwana9018 Жыл бұрын
Kma sio wida malijuana
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 3 ай бұрын
Bogas.
@thomaslyimo9556
@thomaslyimo9556 Жыл бұрын
Mbona hana hoja ya msingii zaidi ya manenoo ya kuambiwa na umbeaa tuu. Kwanini haulizwi athibitisheee hayo anayo sema kwa udhibitisho. Hayo matusi na anayo yasema sio anawachafua viongozii wa Yanga na wengineee?
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Жыл бұрын
Fei hana hoja ni mjinga tu
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
@@MathewNathan-yb2bz km ww
@AishaJuma-pz1zo
@AishaJuma-pz1zo Жыл бұрын
Ru
@ReganGregor-bs3jm
@ReganGregor-bs3jm Жыл бұрын
Dogo mnafk uyo
@robertedward1992
@robertedward1992 Жыл бұрын
Umeona sasa viongozi wa yanga,niwahovyo.wanamlaumu kijana wawatu. Ona sasa,amefunguka.mnasemaje sasa mm ashabiki?
@isackyohana2707
@isackyohana2707 Жыл бұрын
Nyie makolo ndiye mtakayemfuatilia ,,,cc mda huo wa kutunga uongo hatuna...utoto unamsumbua.
@unathanmakenge937
@unathanmakenge937 Жыл бұрын
Ndugu hujui lolote, tafuta clip ya behind the scenes utajua alichoongea
@muhammadjamady-zx1jy
@muhammadjamady-zx1jy Жыл бұрын
Mpka apoo nishaelewa kwann rais aondoke jamani kueni makin dogo kagizwaaa na waty wA simba kwann ataka rais aondoke ww nenda tuu rais wetu analeta wachezaji tu
@marcynhumbi3534
@marcynhumbi3534 Жыл бұрын
Yaani dogo anachekesha kweli
@drvaxminja2133
@drvaxminja2133 Жыл бұрын
Huyo kijana muongo sana mbona hajatoa hizo tuhuma mwanzo? Acha uchonganishi
@GodifreyGody
@GodifreyGody Жыл бұрын
Hapana Fei unazingua kajamaa
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Жыл бұрын
Hata unakotaka kwenda utapata changamoto hizi hazikosekani. Ukiweza Acha mpira kacheze zumari
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Acha klumtisha hatapata changamoto yeyote mungu atamcmamia
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Жыл бұрын
Fei hizo ni sababu za kijinga,hazina mashiko kuna kitu unakificha nyuma ya pazia.
@jumanneshego3308
@jumanneshego3308 Жыл бұрын
ayo mambo ya kike dogo wanaume atuwagi watu wa kususa kama kuna kishawishi kingine sema apo mbona kama unaongopa
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Na wanaume c wambea sasa ww unasema nn hapo
@gabriel-dh3qn
@gabriel-dh3qn 3 ай бұрын
Wewe hatukutaki YANGA wewe !
@mohamedchigochigo3325
@mohamedchigochigo3325 Жыл бұрын
Yani unayo ongea yanaonesha maneno ya kubuni acha ufara wewe
@stanastana3199
@stanastana3199 Жыл бұрын
Sasa ghalib ni mfanya biashara mkubwa pia yy ana mambo mengi inamkula akili,sio yako peke yako bro.
@gabriel-dh3qn
@gabriel-dh3qn 3 ай бұрын
Kipaji kinakuweka wewe mjini! Siyo viongozi wa YANGA wewe! Acha utoto wewe! Akupigie simu wewe huna adabu! Dogo! Na usije YANGA hatukutaki YANGA
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Жыл бұрын
Tumtaki huyu aende tuu
@meshackmayenga969
@meshackmayenga969 Жыл бұрын
Mimi ni mtu mzima nikiangalia huyu Feisal nikama umri wawanangu,hivyo huyu anayoeleza yanaweza kuwa na mitazamo 4. 1.utoto 2.uongo 3.labda ni kweli 4.kutengeneza mazingira ya kuhurumiwa: Maelezo yake yote yanaonyesha amezira kwasababu hakupokelewa simu na tajiri Ghalib pia kusemwasemwa na Rais wa klabu,Lakini garage alipopigiwa simu ba Ghalib naye hakupokea ilikutimiza ule usemi wa jino kwa jino.kwa mtazamo huo mimi sioni sababu za Feisal kufikia huko navyoona waliojirani na Feisal wakae naye wamshauri apunguze hasira amsikilize Ghalib anasemaje. Huko ndiko kwa kuanzia kuweka mambo sawa.Sasa kama hataki hata kumsikiliza Ghalib kama kutompokelea simu eti kwa vile yeye hakupokelewa simu hiya ni hoja dhaifu sana.Ushauri wants ni huo zaidi ya hapo Feisal atakuwa na jambo lake
@bnttv8955
@bnttv8955 Жыл бұрын
Hapa kuna ukweli 1% Na uongo 99%
@ameirfaki9277
@ameirfaki9277 Жыл бұрын
Tupe ukwel bc ndgu
@sebastianlucian5916
@sebastianlucian5916 Жыл бұрын
Huyo aliwatukana na mkawaka Wala mihogo ni kina nani na nani aliesema ilo
@sebastianlucian5916
@sebastianlucian5916 Жыл бұрын
Na jueni huyo mtu atakuja kuwapa mahuzi sana sababu ya uboss wake
Magic or …? 😱 reveal video on profile 🫢
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 69 МЛН
Touching Act of Kindness Brings Hope to the Homeless #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 53 МЛН
Hadithi ya makandokando kwenye mjadala wa DP World| GG Podcast
53:49
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 26 М.
Обзор | Казахстан - Норвегия  - 0:0 | Лига Наций УЕФА ЛИГА B
7:58
Vinicius,Kevin De Bruyne,  Haaland, Luka Modric 💥🥵🥶
0:34
EDIT VS FOOTBALL
Рет қаралды 3,8 МЛН
Самый сложный вид спорта в мире 👏
0:36
EpicShortsRussia
Рет қаралды 7 МЛН
Epic Corner Kicks 🧠
0:26
Xendio
Рет қаралды 5 МЛН