Kka Joel siwez kkusau ktka Maisha yangu miaka ilopita nilikuona kwenye post zako usku wa manane nikiwa kzn nilikuwa na wazo la biashara kwa miaka skuweza kufanya!! post yako ya kujifunza kutogailisha mambo ili ninyanyua sana nilisubutu kwa mtaji mdogo sana tena masalia ya mshara wangu asbh yke bada ya kuangalia post yko nakushkr sana Brother kwa sasa kzn wame nisimamisha kz ni kipind saxa naish na biashara zangu Maisha yanasonga nalo nifanyia fitna ni rfk yangu niliye mfundisha kz toka yupo mchanga kwenye kz bada ya kuona mafanikio yangu alianza chuk iwish skumoja nikuone kk
@isayasikao56722 жыл бұрын
tuko pamoja Sana
@fedharmmark63983 жыл бұрын
Hatuwezi kufanikiwa kwa kiwango kikubwa kwa marafiki wa kiwango kilekile , ahsante Brother kwa Elimu hii maana kweli wengi wetu tumeshindwa kufika mbali kwa kutoangalia madhara ya marafiki wetu 🙏
Iloo kosa kwang sitalirudia ten kukutan na rafik adui
@elijahanthony76672 жыл бұрын
This is very powerful brother nimeipenda🤝🤝
@neemavicent16133 жыл бұрын
Kweli kabixa
@SaidiNamtanga20233 жыл бұрын
Nakuelewa boss
@MangiShayo-hm2lw9 ай бұрын
Pamoja
@hakimmahena48543 жыл бұрын
Hongera Sana mtumishi
@Mkaambali3 жыл бұрын
Thanks
@stevdwin80143 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@danielnjowoka94123 жыл бұрын
🥰🥰🥰💯💯🦁💪🙏
@peterkasembo7854 Жыл бұрын
❤️🙏
@jameskimaro29152 жыл бұрын
Kaka nataka hivyo vitabu please
@neemakweli4612 жыл бұрын
Asante sana ,tufanye nini ili tuhepukane na tabia hizo??? Tayari marafiki tunao,natabia zao wame tuambukiza ,tufanyeje ili tupone???
@maningulubinza48993 жыл бұрын
💪🔥
@nurdinchilambo14863 жыл бұрын
Brother nakumbuka ule msemo wa' show me your friends and I will tell who you are
@twamanjatwasini42003 жыл бұрын
Tuko pamoja
@hammyyombe52293 жыл бұрын
🙏
@mkwizoxsafarisadventures97503 жыл бұрын
Somo zuri life coach,,, je, rafiki ni mtu wa aina gani?! Mpk sasa nahisi sina rafiki na sijui km ina madhara pia...
@frankmtei30173 жыл бұрын
Je wewe ni rafiki bora kwa wengine?
@mkwizoxsafarisadventures97503 жыл бұрын
@@frankmtei3017 sijazungumzia rafiki mzuri... generally huwa nahisi sina rafiki awe mbaya awe mzuri mi nahisi nina company tu za watu basi...
@frankmtei30173 жыл бұрын
@@mkwizoxsafarisadventures9750 inabidi uchuje sasa ktk company uliyo nayo au utafute, kwasababu kua na rafk anae simama na wewe , kukushauri, kukutia moyo kwa kuvaa viatu vyako hasa unapopitia magumu ni muhimu sana ktk maisha....
@mkwizoxsafarisadventures97503 жыл бұрын
@@frankmtei3017 shukrani sana kaka... Hapo sasa kwa kujinyenyekeza ningetamani siku moja life coach wetu @JNanauka akaja na somo la "Rafiki ni nani?!"
@frankmtei30173 жыл бұрын
@@mkwizoxsafarisadventures9750 angalia kwenye clip zake za nyuma, lipo
@richvetty32433 жыл бұрын
Uyu jamaa anaongeaga vitu vya uongo sana na anapoteza na kuwahalibu watu wengi sana kuweni makini
@jonathanmichael43863 жыл бұрын
Wew peke yako na ufupi Wa ktofnyia kaz uwez ona matokeo so kma uelew sio lazma uchangie mada
@allpotentials84203 жыл бұрын
Aisee kweli haters gona hate,,,Kama anakuharibu nenda kafuatilie story za kina ambaluti I'm sure zitakujenga Sana bro usisahau na za piele liquid,,lavalava na Lulu diva ok? Halafu sio lazima uchangie na ukichangia toa sababu za msingi,, blood idiot 🚮🚮
@andrewlomilio19543 жыл бұрын
Si lazima uchangie huna aya huwezi shusha hadhi ya joel leme tell u
@mshigilakarume44253 жыл бұрын
Dunia inahitaj watu wenye mchango chanya kwenye jamii kama Mr joeli, je ww umechangia nini mpaka hapo ulipo ndugu?