Nimefurahi ninalia kwafurahaa niliyonayo mm mungu anajua ❤❤❤❤❤
@MashakaEdward-ne1ihАй бұрын
Mungu baba wa mbingini mwenye mamlaka hapa chini na juu mbingini jina lako lihimidiwe na ufulume wako utukuzwe tunakushukuru kwa ulinzi wako mkubwa na kuturejeshea mtu alieshika dhamana yetu madarakani mungu mrinde na umukinge kati ya maadui wake amina
@user-eo4ni2lm9iАй бұрын
Bwana yesu wewe uko karibu sana na mtumishi wako makonda mlinde mtumishi wako mpe afya ya Roho na mwili aweze kufanya kazi uliyo muitia bado kazi ajaikamilisha baba wa mbinguni uyu niwako yelemia <a href="#" class="seekto" data-time="1983">33:3</a>
@SelemanAthuman-ke1ghАй бұрын
Mungu akupe maisha marefu makonda ww Jerry silaa,na majaliwa kwakwel mnajua majukumu yenu
@EliasMoyo-g3pАй бұрын
Asante mungu kwa kumuona makonda wetu na mungu muekee ulinzi mukubwa mtetezi wetu wanyonge
@maroriventures5322Ай бұрын
mimi ni Moses from Kenya kweli makoda amepatikana asant mungu
@naimarishedy1523Ай бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah 🙏 mungu akubariki akulinde Mh Makonda ❤❤❤✅💪💯🤲🇹🇿👍
@franklukwala1157Ай бұрын
Channel ya habari ya kuaminika ni Millard Ayo tu wew ni tapeli
@danielimeshack3712Ай бұрын
Sasa kama unaiamini hiyo hapa umekuja kufanya nini
@walidmgonja3644Ай бұрын
@@danielimeshack3712Ni kweli kabisa,hii ni channel ya mataahira wala hakuna habari ya maana ila majungu,umbea na fitina
@YaeliJosephАй бұрын
Hasaaaaa, huyu ni shetani kabisa maana anongea uongo,
@MashakaMagesaАй бұрын
Sauti yenyewe ya mtangazazi ni kama ya yule wa ubaya ubwela Wana Simbaaaa
@NeemaJackson-s5fАй бұрын
Nakukubdlii mungu akulinde jamsni
@hassaniabdallah401Ай бұрын
Mungu Akulinde sana naomba ugombee urais tunakuomba
@asiasuleman875026 күн бұрын
Love my brother wangu sana mungu akudumishe na akupe umli mrefu
@user-tz7px9hh8sАй бұрын
Tunakupenda baba mungu akulinde
@JanethBlasd24 күн бұрын
Mungu n mwema kila wakat dam y yesu ikufunike
@ZubaibaАй бұрын
Alhamdulillah ,makonda mungu akulinde na husud za walimwengu
@SallehFakki28 күн бұрын
I love you makonda from zanzibar
@AlikoSabasaba26 күн бұрын
Asante sana mungu wetu kwa kupatikana makonda
@nadiatanzaniaАй бұрын
I'm very happy thank you Jesus 😊🙏
@averinataitusАй бұрын
Asante Mungu kwa yote Tunamweka Makonda mikononi mwako umlinde kwa Kila baya zaidi umjaze ujasili Hekima na Busara katika utenfaji wake Hilo awe mtetezi was wanyonge wanaoonewa
@user-dr6pb3yo9s26 күн бұрын
Yaaan mimi jumatatu niko ofisini kwa jambo langu asante mungu
@mariammabula731828 күн бұрын
Asante mungu
@EliasMoyo-g3pАй бұрын
Yaani mungu yuko makini na kiongozi wetu mzuri na mungu wetu ulie hai tunakuomba endelea kuwa makini na makonda wetu wachawi wasijaribu wabaya wasijaribu kumutafuta mungu yule yeyote atakae jaribu kumutafuta mtetezi wa wanyongo mutangulize yeye mungu na nasema Asante mungu kwa kuitikia Ombi hilo
@PendaelyMartin27 күн бұрын
❤❤❤❤
@magdalenalaban889526 күн бұрын
Na Mimi nimefurahi Sana Mungu azidi kukupa ulinzi
@fransiscajohn4373Ай бұрын
Ee mwenyezi mungu mlinde sana Mh . Makonda kiukweli ni msaidizi wa watu wanaonyanyaswa Arusha watu waliteseka sana mungu ukamleta baba wakugomboa Arusha yetu
Da asate mungu kama kiogozi wetu yu hai asate mungu kwa awamu nyingine tena baba tunakupenda sana sisi wanaichi wa hali ya chini kumbuka baba hata yona alitumwa na mungu kwenda kwenye mji wa ninawi na mungu kwenda kuwaponya wana wapotevu lakini wengi walimkatisha tamaa ila mungu wake akamkubusha tena kwa hiyo hata wewe ajaribu ni mengi sana kwako ila mungu yuko pamoja na wewe
Ashukuriwe Mungu asikiae maombi yetu watanzania3umerudi salama kiongozi wetu ulindwe na ulinzi wa mbinguni na ulinzi wa duniani Damu ya Yesu ikuzingire pande zote ❤
Huu ulofa wenu unavunja heshima na ustaarabu wetu watanzania.vichwa vya habari na clip mnazoonesha havina uhusiano,uhalisia Wala ukweli.Watu wanashukuru Mungu kwa taarifa zisizo za kweli
@MsafiriNkweraАй бұрын
Hakika mungu akupiganie rc makonda nimefarijika sana binafsi kukuona mwamba
@DamaclineHaron28 күн бұрын
Mimi mkenya.nimefurahi kukuona ndugu yangu mungu anakupenda
@YunusuKantangayoАй бұрын
Mungu ni mkubwa aendelee KUKULINDA na bado tunakihitaji sana si kwa nafasi ya uliopo kwa sasa tunamuomba mwenyezi Mungu upandishwe na uinuliwe juu zaidi mara mbili zaidi Amin
@user-im9ew6pw8eАй бұрын
Pole sana mh
@SallehFakki28 күн бұрын
Mwenyezi mungu atakulinda RAIS WETU UNAE FATA
@IssaKolobaАй бұрын
Ameeeeeeeeeeeeeeeen jamani
@user-kq7in8gd9oАй бұрын
Makonda Kaka Mungu hatakuacha Kila atendaye haki jicho la Bwana litamfurahia Bali mwovu na fisadi ataaibika wakati wa Bwana umjiapo.
Hii picha ni msibani kwa rowasa kwa hiyo usitupange
@mkambaselemani-ej7npАй бұрын
Makonda usiwe mzembe jikinge unamaadui wengi wakubwa wenye nguvu na uwezo
@mukeshimanarose1334Ай бұрын
😮😊😊❤❤❤🙏🙏🇧🇮🇰🇪
@Blessing_ukАй бұрын
Wwnimuongo hyo video niyamuda
@NeemaMoleli-g7m29 күн бұрын
Nahitaji nimekosa namna ya kupata
@emmanuelmogela5871Ай бұрын
Hii sio ya kweli ya siku nyingi hapa kwenye msiba wa mkapa alikua katumbuliwa na magufuli hapa alikua raia wa kawaida kashaondolewa kwenye ukuu wa mkoa dar
@WilliamSENYE-yk8pbАй бұрын
Tafuten kiki zakuwambia wananchi kuliko lutuhadaa
@MashakaEdward-ne1ihАй бұрын
Kwa furaha machozi yananitoka makonda kweli upo hongera kwa ujasiri wako ktk kutimiza wajibu katka jukumu lako😂.