Hakukosea anatenda haki uonevu tu na wivu wa baadhi ya viongozi
@user-eu6ql9zl7nСағат бұрын
Makonda yupo kwenye MFUNGO anaongea na kumuomba Mungu wake mfumgo wa siku 40 wala tusiwe na waswas Anaongea na Mungu wake
@PastorRainAngelСағат бұрын
mimi Nimeumia sana, Wanajua Mungu anazidi kukuinua, Njoo mm nakupenda sana
@evancechangae2 сағат бұрын
Zuchu wan
@sangasadick33502 сағат бұрын
Asee hii nchi iko na viongoz wa hovyo sana imagine na bado mama almteua kua wazir..
@Gaynor12342 сағат бұрын
Akifa Makonda Samia uhame nchi.
@AlfredMtandi3 сағат бұрын
Mungu atakupatia nguvu tutashinda
@edgercyprian9643 сағат бұрын
Mungu yupo pamoja nawe naimani mambo yote yatakaa sawa tu kiboko😢
@suzanarupia64844 сағат бұрын
Turudishie pesa zetu tapeli wewe hurudi Tanzania hata kwa nini.
@valenakomba92184 сағат бұрын
Mke wake yuko wapi hapo. Maana likizo ni ya familia.
@MustaphaManole4 сағат бұрын
Huyu co
@RahmaMmanyi4 сағат бұрын
Wala msituone ss wajinga tunataka tumuone aongee
@salminasalim56304 сағат бұрын
Mh, Makonda uongee hata kidogo tafadhali mtetezi wa wanyonge. Stay blessed Mh Makonda
@FauzHamisi4 сағат бұрын
❤❤❤😂🎉🎉
@nabii-zc1hm4 сағат бұрын
WASIOJULIKANA NI MAFALA TU
@angelsgabriely35754 сағат бұрын
Toa ujinga huko,video ya zaman hii
@DeborahMatola5 сағат бұрын
Amina baba, kwaimani tutashinda.😅
@DeborahMatola4 сағат бұрын
Sisi watoto wako Imani yetu nikubwa Sanaa na tunashukuru Sanaa kwaupndo wako na kutujali pia wew nikaka unaroho na utu pia unahuruma Sanaa baba etu , e yesu mwana wa daudi tuhurumie.😅
@reginamathayo49565 сағат бұрын
Kusema hakujua siyo kweli, hata alama tu mbona zinaonyesha pale!!? Au Kuna mtanzania ambae amfaham Godlove kuwa ni Freemason?? Mungu atusaidie sana na ndiyo mana tunatakiwa kumshirikisha roho mtakatifu kila jambo kabla hatujafanya. Maana kwenye ishu ya pesa Watumishi wengi sana wanaingia amajaribuni.
@GideonMachoka-px3xd5 сағат бұрын
Mmwaaaaah 💞
@user-ec8tp1ex1h5 сағат бұрын
Hao walikuiwa na haki ya kumtukana Magufuli. Maana kweli alikuwa mshamba na dikteta.
@user-ex4hi7fj5c5 сағат бұрын
Yote mnayorusha huku kumbukeni mtatoa HESABU yakulidanganya taifa.... Yote haya tunayaweka kumbukumbuu... Na wewe unaeongea hapa jua kila lenye mwanzo Lina mwisho... Na km anajua haya yote maswali kwanini acjifiche asizungumzeee.. Mistufanye mafalaa
@MarthaMilaj5 сағат бұрын
Pole mfate congo
@TanganyikaChakupewa5 сағат бұрын
Nyie kaaeni na jipu lenu likipasuka tuu muje na majibu yaliyo sahihi ni kwann jipu lipasuke
@mgolindama10075 сағат бұрын
Nina Imani kuwa kwa yaliyofanyika ulianza uchunguzi kwanza, baada ya kujiridhisha ndiyo hatua zikafanyika. Tukumbuke ya kuwa siyo wote ni washirika wengine huenda kwa kazi maalum. Kwa hiyo hajaonewa mtu naomba muamini.
@ShukuruNzenzule5 сағат бұрын
Ccm hamna haya huyo dogo simnge mwacha tu
@ShukuruNzenzule5 сағат бұрын
Ubaya ubwela makonda aliumiza watu wengi mno kipindi Cha mwenda zake
@ConsolathaGilli5 сағат бұрын
Hapana hii ni danganya toto. Aongee tumsikie mkuu wetu.
@reginaldmapunda67025 сағат бұрын
Kwani ni nani aliyetangaza Makonda amepotea na kwamba kanyweshwa Sumu na yuko nje kwa maribabu ?
@eliasbihita40415 сағат бұрын
Urud Tanzania kufanya nin, Tanzania haijawahi kuwa na wachawi kuliko Congo tangu dunia kuumbwa, wewe kama ni muhubiri wa kuua wachawi, jenga kilinge uko kwenu Congo Ua wachawi walioko Uko kwenu ni wengi wala hutawamaliza
@lugelosanga57985 сағат бұрын
Wamemchukua Kama makonda mitanzania ni minyumbuuu mbuziii
@user-dq1ss2uq6u5 сағат бұрын
Sio kwel hii video....
@judithtitomalyeta40005 сағат бұрын
Hatukutaki jambazi mkubwa fungua kanisa kwenu kwani hakuna wachawi laki 5 akupe nani
@danielsinda5 сағат бұрын
kasome Yeremia23:21
@mdundotv45015 сағат бұрын
Wewe mpumbavu nini? Si ukae huko huko kwenu. Unang'ang'ania nini kubaki hapa kwetu. Kwani huko Kongo hakuna Wachawi.
@josephkisinza62436 сағат бұрын
Polebaba tunakuombeal. Munguyupo
@aladinynur79156 сағат бұрын
Acha hii story
@LucasRozi6 сағат бұрын
Mbwa mkubwa wewe kamuaminishe mwanao
@JamesJonas-it8hc6 сағат бұрын
Ukiona Ivo hakupendi angekupenda angeondoka na wew
@LucasRozi6 сағат бұрын
Ipo siku tutajua wenyenchi na wafayakazi wa wenyenchi.somo gumu ila ipo siku tutafundishwa na sisi tutafundisha
@annaTemu-wx2rc6 сағат бұрын
Mama Yetu Samia tulilizwa sana huko Buza kwa Lulenge,hata zile shuhuda na cm za Capital Mf. Walikuwa wanatenezwa sio kweli,hatutaki Uongo Tanzania,we mpare mfuate mumeo kongo,alivuna pesa nyingi sana
@LucasRozi6 сағат бұрын
Wewe mbwa atutaki akiwa mapumziko tunataka aongee mwenyewe ole yenu tusikie kifo
@annaTemu-wx2rc6 сағат бұрын
Zile.laki tano 500,000/= za kumwuna kisha ukiingia ndani kwake bado wanatumwa mamilioni,we unaona ni sawa ? Bonge mweusi alitutapeli wa crown msaidizi wake alitujibu jeuri sana na kutufungia vioo vya gari akiswa kashapokea hela na kututapeli,mfuate mumeo huko kongo
@lugelosanga57986 сағат бұрын
Wamemuuua huyooo wameua wameuaaa kudadekiii
@joyceagripa51286 сағат бұрын
Kwenda zako
@mossyfimbo35776 сағат бұрын
Fyuuuu kwani kwenu hakuna makanisa yaani mnatutukanisha wakristo kwa mambo yenu ya hovyo
Mkataa kwao ni mtumwa,ww umeona Tanzania ndo nchi ya kuleta vituko vyako? Baki kwenu hatukutaki,chukua familia yako, siku zote Ngoma ikilia sn lazima ipasuke na kupasuka kwake ndo huko