MAENEO MANNE AMBAYO FEDHA IMEJIFICHA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 21,420

Joel Nanauka

Joel Nanauka

9 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 55
@salomemrembo7482
@salomemrembo7482 9 ай бұрын
Hallo Nauka. Yote hunayo shungumza ni hukweli...nilijaribu..biyashara..ya kuhuza nguo wengi akanipuzaa..sahii niko top..wale wale watu sahii wananiomba mawaitha kazi yoyote..hinaitaji..nidhamu..na kukomaa. Kwa kazi..nakumshirikisha..mungu kwa mapato yako..hili hupate maraka zake.mungu..ndiye hubariki kazi zetu..piya bidii
@eliamartine4720
@eliamartine4720 9 ай бұрын
Naitaji connection ya kununua nguo na kuuza
@challyclassictz5929
@challyclassictz5929 8 ай бұрын
Uko wapi
@ENOSOUND
@ENOSOUND 7 күн бұрын
From Moonnight inn kaka nakupata hapa nimeelewa
@fundivigaetzchannel1899
@fundivigaetzchannel1899 9 ай бұрын
Ahsante kaka Joel Nanauka ubarikiwe sana MUNGU akutunze Kweli kwa unavyo tuelimisha MUNGU awezi kukuacha Mahana kunawatu wanafanikiwa kusikiliza cilip zako MUNGU akutunze By ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi 🇹🇿
@dizzojozer6137
@dizzojozer6137 7 ай бұрын
Mimi kipaji nilichonacho kuandika vitabu kuhusu maisha mitazamo ya maisha jinsi ya kuanza nakosa motivation na atua ya kwanza nifanye vipi msaada kidg joel
@user-yx3zh8ks2s
@user-yx3zh8ks2s 28 күн бұрын
Usikate tamaa kaka, nakuona mwenye mawazo mapana sana. I appreciate, let God lift up your legs so that you get strengthened. Love you
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 9 ай бұрын
Joel nidude kubwa lenyeakili mlima barikiwa Sana baba.matatizo yanajitokeza nanung'unika kumbe nifursa ngo kesho nikinukishe
@elishathepapaapeter
@elishathepapaapeter Ай бұрын
naitwa elisha ryoba peter maarufu kama ELISHA"KUCHA ni mzaliwa wa mkoan mara wilaya ya bunda_musoma, mimi ni Mr kucha alieamua kupambana kwa bidii ili kufika mahala sku moja, kiukweli nakufatilia sana nataman sana nifike mahala kupitia ww uncle.... NAESHIM SANA MAWAZO YAKO TAFADHALI KA.A UKIWEZA NAOMBA HATA KUWASILIANA NAWW nipo tayr kukuskiliza na kukuzingatia zaid kiongoz wangu, MUNGU AKUBARILI SANA.
@saidmwangasama
@saidmwangasama 21 күн бұрын
Nanauka tunakupenda sana pokea smu zetu hatukupigii iri kukusumbuwa ss ni mavuno yako ulio panda iri uvune
@user-iq3sw9ud2j
@user-iq3sw9ud2j 9 ай бұрын
Habar kaka joel mim nipo oman nafanya kaz za ndan uku lakin nimepata wazo zuri sana kaka nataka nifanye biashara ya tissue nazitoa uku oman kuzileta tanzania maana tissue za uku ni tofaut sana na za kwetu tanzania yaan za uku zipo kwenye ubora mzur na packed nzur sana na pia nataka nizitangaze kwa ukubwa sana maana watu wengi sana awaongelei kuhusu hii biashara NAOMBA USHAUR WAKO kaka joel
@DavidNdosa-mj4ei
@DavidNdosa-mj4ei Ай бұрын
Ww mtu inaonekana umesoma sana au umekaa sana ulaya au unasoma sana vitabu maana auchoshi kusikiliza
@taramakimaty5902
@taramakimaty5902 8 ай бұрын
Nashukuru nimeelewa vyema,ubarikiwe mnooo...
@NyalagiMalando-cj4jf
@NyalagiMalando-cj4jf 3 ай бұрын
Asante sana joeli kwa kulikumbuka taifa lako kk
@BennyPhilip-zq7vb
@BennyPhilip-zq7vb Ай бұрын
Asante sana kaka Joel , umekuwa msaada mkubwa sana kwangu. Hapa nilipo kwenye huu mtaa niliopo kunamatatizo mengi sana ngoja niyageuze kuwa fursa
@DaenoPol
@DaenoPol Ай бұрын
God bless you 🎉
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 9 ай бұрын
Joel 😢video nikimaliza kusikiliza uwa na download na weka cm imejaa video zako Ubarikiwe sana 😢
@user-bk6ue5zl5t
@user-bk6ue5zl5t Ай бұрын
😂😂😂 nikajua niko peke yangu nae download hizo video kumbe tuko wengi
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Ай бұрын
@@user-bk6ue5zl5t kama zote nime badilika mimi kweny status zangu ukut vitu vya kijinga zaidi Ya video za.. Joel. Huy kaka 😭😘
@mayanishamila6349
@mayanishamila6349 10 күн бұрын
Tupo wengi
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 9 ай бұрын
Marazion nimenghi ,ila yatakiwa kwanza kabisa uwe na mtaji ndipo uwenze kuyatatuwa
@MOSHIMWOLOHA-fg1pf
@MOSHIMWOLOHA-fg1pf 9 ай бұрын
Kitu cha kwanza ni kuwa na problem solving mindset ( akili tatuzi ya matatizo). Pesa hitaji mmojawapo lakini si namba moja wala la lazima.
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj 8 ай бұрын
Unaakili nyingi sana
@EmmanuelGillux-uw1th
@EmmanuelGillux-uw1th 8 ай бұрын
Nanauka mimi nimeapply kanuni zako na sahizi nipo vizuri
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 9 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel
@mhandondahani2656
@mhandondahani2656 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mungu akupe maisha marefu
@EmmanuelGillux-uw1th
@EmmanuelGillux-uw1th 8 ай бұрын
Joel Mimi giluli mwita nakushukur San nimeapply kanuni zako na nimefanikiwa
@amesalum3636
@amesalum3636 9 ай бұрын
Big up broo❤
@ediphonceedwin1482
@ediphonceedwin1482 Ай бұрын
Asante, mungu akubariki
@KinanaLemaiba
@KinanaLemaiba 7 ай бұрын
Mungu akuongoze
@NuratyAlly-lq7xc
@NuratyAlly-lq7xc 9 ай бұрын
Baba ubarikiww
@johnbanda6601
@johnbanda6601 8 ай бұрын
Marafiki kuwa wateja
@mhandondahani2656
@mhandondahani2656 8 ай бұрын
Mi nakipaji cha kupiga vyombo vya muziki lakini watu waniishia kunisifia tu kitu kinachoniingizia hela ni kazi nyingine ambazohuwa nazifanya hii imekaaje kiongozi
@user-oi9hc6cs3m
@user-oi9hc6cs3m 9 ай бұрын
God blessed through you
@stanleysome8821
@stanleysome8821 9 ай бұрын
Thank you so much Sir!
@FrancisGerold
@FrancisGerold 9 ай бұрын
Following from songea
@user-bp6ue2sz8d
@user-bp6ue2sz8d 8 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@BenisiaTitus
@BenisiaTitus 24 күн бұрын
Asant kak
@RivaKilimo
@RivaKilimo Ай бұрын
I like it
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 9 ай бұрын
Nipo mwanza vitabu vyako vinapatikana wapi na kwa bei gani.
@user-xv5kb5pe8h
@user-xv5kb5pe8h 8 ай бұрын
nimejifunza kitu hapo kaka
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 9 ай бұрын
Asante sana
@user-bx5wg9nz8g
@user-bx5wg9nz8g 3 ай бұрын
Mimi nina idea ya ufugaji wa kuku wa kienyeji naishi nalo wazonhili karibu miaka lakini cjalianza lakin imani yangu ipo hapo tu kua ufugaji wa kuku wa asili ndio utaonitoa kimaisha kwa sababu mmimi ni mwalim nina watu wengi wamenizunguka na naamini wanahitaji huduma hii lakin kila nikitaka kuanza nashindwa cjui wapi nakwama
@niriacatering172
@niriacatering172 9 ай бұрын
Shukrani
@user-ty6qx5bp3x
@user-ty6qx5bp3x 8 ай бұрын
🙏🙏🙏kaka
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 9 ай бұрын
Asante
@sirleemally5314
@sirleemally5314 9 ай бұрын
Matatizo yaliyo tuzunguka mtaani ni watu kukosa uamknifu 😮
@user-jt3yw1gz2j
@user-jt3yw1gz2j Ай бұрын
Me ninakipaji cha kuimba kaka joel ila mazingira yananiumiza sana kama kuna vita inainuka juu yangu kwa baadhi ya ndug wakisikia nataka kuimba wanaanza kuleta zogo nyungi kunipinga wanasema ni uhuni tu naomba ushauri
@user-gh3zf4ow4c
@user-gh3zf4ow4c Ай бұрын
Penye Nia Pana njia
@user-xv5kb5pe8h
@user-xv5kb5pe8h 8 ай бұрын
5:51 nimejifunza point ya 4
@Paschalmachang
@Paschalmachang 8 ай бұрын
Kwelikabisa unachokisema
@MIBWA
@MIBWA 8 ай бұрын
😅😅😅
@arriyamistamp4945
@arriyamistamp4945 9 ай бұрын
Mimi nataka ushauri kama unahitaji mlango wa kufanyia biashara lakini bei ni kubwa ya kukodi kwa mwezi milioni moja na nusu lakini huna pesa yakutosha ukaamini nikipata nitaweza kufanikiwa ufanyeje?
@niriacatering172
@niriacatering172 9 ай бұрын
Unaweza kuanzia hapo ulipo, nyumbani inategemea biashara unayotaka kodi kubwa inaweza kukusumbua Anza na kidgo ulicho nacho, tumia mitandao ya kijamii, Piga picha nzuri weka kwenye ukurasa wako, au wafuate watu Anza taratibu kwa kuwafuata WATEJA ukiwa muanifu, kauli nzuri na nidhamu kwa WATEJA unatoboa wengi tumeanzia nyumbani
@farijanibakari9018
@farijanibakari9018 9 ай бұрын
Hapo ni kweli kabisa
USIMAMIZI WA FEDHA - JOEL NANAUKA
4:32
Joel Nanauka
Рет қаралды 10 М.
Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi
14:27
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 112 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 41 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 17 МЛН
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 153 М.
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 99 М.
Mambo 5  Ya Kufanya Kila Siku Kama Unataka Kufanikiwa
21:53
Joel Nanauka
Рет қаралды 260 М.
mambo ya kuacha ili ufanikiwe
4:47
darasa la biashara na ujasiriamali
Рет қаралды 946
KANUNI ZINAZOPELEKEA KIONGOZI KUWA MZURI - JOEL NANAUKA
16:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 7 М.
Aina 6 Za Boss Wakorofi Na Jinsi Ya Kuwakabili
14:53
Joel Nanauka
Рет қаралды 21 М.
NAMNA RAHISI YA KUANZA KUJIAMINI | Ezden Jumanne
8:45
Success Path Network
Рет қаралды 7 М.
Njia 4 Rahisi Za Kujenga Nidhamu Ya Fedha Ili Utimize Malengo Yako
7:52