Hallo Nauka. Yote hunayo shungumza ni hukweli...nilijaribu..biyashara..ya kuhuza nguo wengi akanipuzaa..sahii niko top..wale wale watu sahii wananiomba mawaitha kazi yoyote..hinaitaji..nidhamu..na kukomaa. Kwa kazi..nakumshirikisha..mungu kwa mapato yako..hili hupate maraka zake.mungu..ndiye hubariki kazi zetu..piya bidii
@eliamartine47209 ай бұрын
Naitaji connection ya kununua nguo na kuuza
@challyclassictz59298 ай бұрын
Uko wapi
@ENOSOUND7 күн бұрын
From Moonnight inn kaka nakupata hapa nimeelewa
@fundivigaetzchannel18999 ай бұрын
Ahsante kaka Joel Nanauka ubarikiwe sana MUNGU akutunze Kweli kwa unavyo tuelimisha MUNGU awezi kukuacha Mahana kunawatu wanafanikiwa kusikiliza cilip zako MUNGU akutunze By ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi 🇹🇿
@dizzojozer61377 ай бұрын
Mimi kipaji nilichonacho kuandika vitabu kuhusu maisha mitazamo ya maisha jinsi ya kuanza nakosa motivation na atua ya kwanza nifanye vipi msaada kidg joel
@user-yx3zh8ks2s28 күн бұрын
Usikate tamaa kaka, nakuona mwenye mawazo mapana sana. I appreciate, let God lift up your legs so that you get strengthened. Love you
@jonfredkewe34519 ай бұрын
Joel nidude kubwa lenyeakili mlima barikiwa Sana baba.matatizo yanajitokeza nanung'unika kumbe nifursa ngo kesho nikinukishe
@elishathepapaapeterАй бұрын
naitwa elisha ryoba peter maarufu kama ELISHA"KUCHA ni mzaliwa wa mkoan mara wilaya ya bunda_musoma, mimi ni Mr kucha alieamua kupambana kwa bidii ili kufika mahala sku moja, kiukweli nakufatilia sana nataman sana nifike mahala kupitia ww uncle.... NAESHIM SANA MAWAZO YAKO TAFADHALI KA.A UKIWEZA NAOMBA HATA KUWASILIANA NAWW nipo tayr kukuskiliza na kukuzingatia zaid kiongoz wangu, MUNGU AKUBARILI SANA.
@saidmwangasama21 күн бұрын
Nanauka tunakupenda sana pokea smu zetu hatukupigii iri kukusumbuwa ss ni mavuno yako ulio panda iri uvune
@user-iq3sw9ud2j9 ай бұрын
Habar kaka joel mim nipo oman nafanya kaz za ndan uku lakin nimepata wazo zuri sana kaka nataka nifanye biashara ya tissue nazitoa uku oman kuzileta tanzania maana tissue za uku ni tofaut sana na za kwetu tanzania yaan za uku zipo kwenye ubora mzur na packed nzur sana na pia nataka nizitangaze kwa ukubwa sana maana watu wengi sana awaongelei kuhusu hii biashara NAOMBA USHAUR WAKO kaka joel
@DavidNdosa-mj4eiАй бұрын
Ww mtu inaonekana umesoma sana au umekaa sana ulaya au unasoma sana vitabu maana auchoshi kusikiliza
@taramakimaty59028 ай бұрын
Nashukuru nimeelewa vyema,ubarikiwe mnooo...
@NyalagiMalando-cj4jf3 ай бұрын
Asante sana joeli kwa kulikumbuka taifa lako kk
@BennyPhilip-zq7vbАй бұрын
Asante sana kaka Joel , umekuwa msaada mkubwa sana kwangu. Hapa nilipo kwenye huu mtaa niliopo kunamatatizo mengi sana ngoja niyageuze kuwa fursa
@DaenoPolАй бұрын
God bless you 🎉
@faudhiasalum72799 ай бұрын
Joel 😢video nikimaliza kusikiliza uwa na download na weka cm imejaa video zako Ubarikiwe sana 😢
@user-bk6ue5zl5tАй бұрын
😂😂😂 nikajua niko peke yangu nae download hizo video kumbe tuko wengi
@faudhiasalum7279Ай бұрын
@@user-bk6ue5zl5t kama zote nime badilika mimi kweny status zangu ukut vitu vya kijinga zaidi Ya video za.. Joel. Huy kaka 😭😘
@mayanishamila634910 күн бұрын
Tupo wengi
@bernadetachari76489 ай бұрын
Marazion nimenghi ,ila yatakiwa kwanza kabisa uwe na mtaji ndipo uwenze kuyatatuwa
@MOSHIMWOLOHA-fg1pf9 ай бұрын
Kitu cha kwanza ni kuwa na problem solving mindset ( akili tatuzi ya matatizo). Pesa hitaji mmojawapo lakini si namba moja wala la lazima.
@zabrongermanus-co1jj8 ай бұрын
Unaakili nyingi sana
@EmmanuelGillux-uw1th8 ай бұрын
Nanauka mimi nimeapply kanuni zako na sahizi nipo vizuri
@shukranjulius95269 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel
@mhandondahani26568 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mungu akupe maisha marefu
@EmmanuelGillux-uw1th8 ай бұрын
Joel Mimi giluli mwita nakushukur San nimeapply kanuni zako na nimefanikiwa
@amesalum36369 ай бұрын
Big up broo❤
@ediphonceedwin1482Ай бұрын
Asante, mungu akubariki
@KinanaLemaiba7 ай бұрын
Mungu akuongoze
@NuratyAlly-lq7xc9 ай бұрын
Baba ubarikiww
@johnbanda66018 ай бұрын
Marafiki kuwa wateja
@mhandondahani26568 ай бұрын
Mi nakipaji cha kupiga vyombo vya muziki lakini watu waniishia kunisifia tu kitu kinachoniingizia hela ni kazi nyingine ambazohuwa nazifanya hii imekaaje kiongozi
@user-oi9hc6cs3m9 ай бұрын
God blessed through you
@stanleysome88219 ай бұрын
Thank you so much Sir!
@FrancisGerold9 ай бұрын
Following from songea
@user-bp6ue2sz8d8 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@BenisiaTitus24 күн бұрын
Asant kak
@RivaKilimoАй бұрын
I like it
@simonmalegesi4149 ай бұрын
Nipo mwanza vitabu vyako vinapatikana wapi na kwa bei gani.
@user-xv5kb5pe8h8 ай бұрын
nimejifunza kitu hapo kaka
@MwanaishaHemed-xi6rj9 ай бұрын
Asante sana
@user-bx5wg9nz8g3 ай бұрын
Mimi nina idea ya ufugaji wa kuku wa kienyeji naishi nalo wazonhili karibu miaka lakini cjalianza lakin imani yangu ipo hapo tu kua ufugaji wa kuku wa asili ndio utaonitoa kimaisha kwa sababu mmimi ni mwalim nina watu wengi wamenizunguka na naamini wanahitaji huduma hii lakin kila nikitaka kuanza nashindwa cjui wapi nakwama
@niriacatering1729 ай бұрын
Shukrani
@user-ty6qx5bp3x8 ай бұрын
🙏🙏🙏kaka
@aderiderkihupi72409 ай бұрын
Asante
@sirleemally53149 ай бұрын
Matatizo yaliyo tuzunguka mtaani ni watu kukosa uamknifu 😮
@user-jt3yw1gz2jАй бұрын
Me ninakipaji cha kuimba kaka joel ila mazingira yananiumiza sana kama kuna vita inainuka juu yangu kwa baadhi ya ndug wakisikia nataka kuimba wanaanza kuleta zogo nyungi kunipinga wanasema ni uhuni tu naomba ushauri
@user-gh3zf4ow4cАй бұрын
Penye Nia Pana njia
@user-xv5kb5pe8h8 ай бұрын
5:51 nimejifunza point ya 4
@Paschalmachang8 ай бұрын
Kwelikabisa unachokisema
@MIBWA8 ай бұрын
😅😅😅
@arriyamistamp49459 ай бұрын
Mimi nataka ushauri kama unahitaji mlango wa kufanyia biashara lakini bei ni kubwa ya kukodi kwa mwezi milioni moja na nusu lakini huna pesa yakutosha ukaamini nikipata nitaweza kufanikiwa ufanyeje?
@niriacatering1729 ай бұрын
Unaweza kuanzia hapo ulipo, nyumbani inategemea biashara unayotaka kodi kubwa inaweza kukusumbua Anza na kidgo ulicho nacho, tumia mitandao ya kijamii, Piga picha nzuri weka kwenye ukurasa wako, au wafuate watu Anza taratibu kwa kuwafuata WATEJA ukiwa muanifu, kauli nzuri na nidhamu kwa WATEJA unatoboa wengi tumeanzia nyumbani